SK Media Online TV
SK Media Online TV
  • 1 046
  • 6 681 800
CHADEMA HAIPUNGUKIWI KARAMA. SHEIKH KADOGOO "AKIWASHA" TANGA
Ni katika mikutano ya hadhara ya ziara ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika kanda ya Kaskazini
zhlédnutí: 4 705

Video

SERIKALI NA WACHINA KATIKA NJAMA ZA KUPORA MASHAMBA YA BABA WA TAIFA
zhlédnutí 8KPřed 4 hodinami
Ni Mwibanza, Butiama. Kisingizio ni uchimbaji wa dhahabu. Serikali kimya. Familia kimya. Kuna nini?
CHAWA RASMI WA SAMIA NI NANI?
zhlédnutí 2KPřed 16 hodinami
Majibu yawe mafupi, tafadhali!
NI UMASKINI AU UJINGA? KIPI CHETU HASA?
zhlédnutí 5KPřed 16 hodinami
Raslimali zetu na umaskini wetu vinaendana?
TULIONA YA GIZANI
zhlédnutí 17KPřed 19 hodinami
Tuliona. Tulidokeza. Yamekuwa.
KATIKA HILI TUMWAMINI MSUKUMA AU MSIGWA?
zhlédnutí 11KPřed 21 hodinou
Alipokuwa na cheo alikataa akili ndogo kuongoza akili kubwa. Alipopoteza cheo, akakubali akili ndogo itawale!
FUNZO KUTOKA KENYA: MABADILIKO YATAKUJA, KWA HERI AU KWA SHARI
zhlédnutí 27KPřed dnem
Ruto amekiri kushindwa na nguvu ya wananchi. Lakini kiuongozi, ameshinda. Tafakari pamoja nami.
TUMEJIFUNZA NINI KUTOKA KENYA?
zhlédnutí 6KPřed dnem
Tulinganishe nguvu ya umma na majibu na hatua ya serikali
"KURA ZA MWINYI NI ASILIMIA 20 TU." MIAKA SABA YA NINI?
zhlédnutí 26KPřed 14 dny
Ni tafakuri ya kilicho nyuma ya pazia la CCM kutaka Mwinyi apewe miaka saba ya urais. Sikiliza.
KISHINDO KARATU: MBOWE NA UCHUMI, LISSU NA HAKI
zhlédnutí 17KPřed 14 dny
Ni uchambuzi wa siku ya kwanza ya Operesheni GF ya siku 22 za Chadema Kanda ya Kaskazini
UNAPOSIKIA HAYA UNAWAZA NINI?
zhlédnutí 6KPřed 14 dny
Ni kauli za Ansbert Ngurumo na Tido Mhando kuhusu mwenendo wa vyombo vya habari
NI BAJETI YA WATAWALA NA WADAI WAO
zhlédnutí 10KPřed 21 dnem
Vipaumbele vya serikali havijali mwananchi
HAWA WANAJIDHALILISHA WENYEWE, RAIS, AU WATANZANIA?
zhlédnutí 4,2KPřed 21 dnem
Hizi ni kufuru kisiasa na kidini.
NI NENO JEMA KUSHUKURU
zhlédnutí 492Před 21 dnem
Ni kwa ajili ya uimbaji mzuri wa "Neno Jema."
UTEUZI WA MAREHEMU NA MIRADI HEWA TUSIYOIJUA!
zhlédnutí 26KPřed měsícem
Mifumo yetu ya uteuzi ni imara na makini kiasi gani?
TUTAFAKARI THAMANI YA MSIGWA, CHEO CHAKE, NA RUFAA YAKE!
zhlédnutí 29KPřed měsícem
TUTAFAKARI THAMANI YA MSIGWA, CHEO CHAKE, NA RUFAA YAKE!
FITINA NA RUSHWA NI ADUI WA DEMOKRASIA
zhlédnutí 1,7KPřed měsícem
FITINA NA RUSHWA NI ADUI WA DEMOKRASIA
KISHINDO CHA CCM KIMEHAMIA CHADEMA?
zhlédnutí 3KPřed měsícem
KISHINDO CHA CCM KIMEHAMIA CHADEMA?
USHINDI, CHANGAMOTO NA MAFUNZO KATIKA UCHAGUZI WA KANDA WA CHADEMA
zhlédnutí 9KPřed měsícem
USHINDI, CHANGAMOTO NA MAFUNZO KATIKA UCHAGUZI WA KANDA WA CHADEMA
NI SUGU AU MSIGWA? NANI AMEKUSHAWISHI?
zhlédnutí 15KPřed měsícem
NI SUGU AU MSIGWA? NANI AMEKUSHAWISHI?
"HUYU NI KIONGOZI WANGU"
zhlédnutí 1,6KPřed měsícem
"HUYU NI KIONGOZI WANGU"
CHAGUA KILE KINACHODUMU (2)
zhlédnutí 661Před měsícem
CHAGUA KILE KINACHODUMU (2)
CHAGUA KILE KINACHODUMU (1)
zhlédnutí 606Před měsícem
CHAGUA KILE KINACHODUMU (1)
JINSI YA KUCHAGUA VIONGOZI WABAYA
zhlédnutí 6KPřed měsícem
JINSI YA KUCHAGUA VIONGOZI WABAYA
"SERIKALI INAONGOPA, HATUJALIPWA"
zhlédnutí 2,5KPřed měsícem
"SERIKALI INAONGOPA, HATUJALIPWA"
TUTAZUIA... HADI LINI?
zhlédnutí 10KPřed měsícem
TUTAZUIA... HADI LINI?
ITAKUWAJE, IWAPO...?
zhlédnutí 16KPřed měsícem
ITAKUWAJE, IWAPO...?
CHINA, MIKOPO YAO, NA UHURU WETU
zhlédnutí 1,6KPřed měsícem
CHINA, MIKOPO YAO, NA UHURU WETU
UWEKEZAJI NA MIKOPO KUTOKA CHINA: NI NEEMA AU KITANZI KWA MLALAHOI?
zhlédnutí 4KPřed měsícem
UWEKEZAJI NA MIKOPO KUTOKA CHINA: NI NEEMA AU KITANZI KWA MLALAHOI?
SAMIA, LISSU, NA WASIRA: NANI MKWELI KUHUSU UZANZIBARI?
zhlédnutí 30KPřed měsícem
SAMIA, LISSU, NA WASIRA: NANI MKWELI KUHUSU UZANZIBARI?

Komentáře

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 3 hodinami

    limekuwa Shamba la bibi.JPM.Alisema.

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 3 hodinami

    Twashukuru kwa Uchambuzi wa kifalsafa.tunapata darasa la Hekhima ya Maarifa.❤😊😊Z

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 Před 15 hodinami

    Fact shekhe

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před 17 hodinami

    Stand up with Justice being witnesses for God and And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 18 hodinami

    Kila siku makosa,mara mwinyi atazikwa kisarawe,mara imeenda?futa hiyo,jmn mambo mabovu mpk yameanza kuonekana wazi.kuna uozo mptupu subirini watu wakichoka walah mtajuta.kaulizeni Kenya

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 18 hodinami

    Hatuna viongozi,bali wahuni tu na wapigaji

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 19 hodinami

    Acha upotoshaji Mzee hautakusaidia chochote

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před 19 hodinami

    Vuneni mlicho kipanda, Magufuli alipokuwa anapinga uwekezani kama huu nyote mlimpiga vita , mkajifanya mnajua democracy sasa mnalalama nini ?

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 18 hodinami

      Tutaendele kulalamika. Angekuwepo magufuli yasingetokea. Hap ni ccm siyo chadema

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 Před 9 hodinami

      Wewe ni chawa kama chawa wengine

  • @MAISHAYACANADA
    @MAISHAYACANADA Před dnem

    Hahajajqjay😅

  • @williamgeorge-hd2tn

    Yupo vizuriii

  • @rajabusaimon7662
    @rajabusaimon7662 Před dnem

    Ccm chungeni sanakupokea watu kama Hawa kama mnapenda kulinda chama chenu

  • @abelianraphili5150

    😅😅😅😅

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před dnem

    Tanga imeitwa ikaitika

  • @UsafiKwanzatz
    @UsafiKwanzatz Před dnem

    Safi sana hongereni sana viongo huyu m2 anafaa, mna jicho la kuona

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před dnem

    Tanzania yangu..... Mama Samia .., kwa hili hapana....fikiria tena....acha.lina madhara

  • @vicentkisogo4970
    @vicentkisogo4970 Před dnem

    Hakika siasa ni sayansi (political science)😂😂😂😂.ulitabiri vyema.leo Ruto anatafuta mlango wa kutokea.wewe ni mchamuzi wa siasa❤

  • @vicentkisogo4970
    @vicentkisogo4970 Před dnem

    Tangaaaa kunani kuleeee😂😂😂😂😂

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 Před dnem

    Pmj mkuu nimeipenda hii

  • @user-zx9mk6pr1c
    @user-zx9mk6pr1c Před dnem

    Acha kubwabwaja huaminiki zaidi wengi tulijua wewe ni kibaraka tangu enzi za JPM kwenye Ile kesi yenu Bora umejitenga ili uchambuke mchanga kwenye Mchele!

  • @ulimbagakipole3971

    Yuko vizuri sana tunaomba apewe muda wa kutosha anapewa vidakika vichache sana. Chonde Wakuu mpeni muda. Mhe. Ngurumo tusaidie kuwaambia viongozi. Anatema madini sana.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před dnem

    😂😂nimecheka pale ccm kama maharage ya Mbeya yanaiva hata kwenye oto la kwapa😂😂

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před dnem

    Umenena

  • @King_Of_Everything

    ✌️👍👊.

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před dnem

    Chadema bwana ni kiwanda Cha busara na hoja

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 Před dnem

    HUYU BWANA NI MJENGA HOJA MZURI SANA. NAMPENDA KWA HOJA ZAKE ZA UKWELI KABISAA.

  • @MathewNathan-yb2bz

    Safi sana

  • @faustinluambano2958

    Wachina walipewa kibaha imeishia wapi sasa wanapewa UbungoNchi inahujumiwa hii

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před dnem

    💪🏻💪🏻💪🏻

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před dnem

    Wenye akili na vipaji vya uongozi wanajua ni ngumu Sana kukaa CCM. Kule CCM wanaitaka watu wa kuomba na kusifu

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před dnem

    Huyu shekhe Yuko vizuri Sana hata Mimi namkubalisana. Tunamtaka agombee akatuwakilishe bungeni

  • @elizabethgitau8825

    Hesitate kuu hiyo,mwenye sikio asikie .

  • @Amo-b7g
    @Amo-b7g Před dnem

    Ok basi sawa

  • @user-mw7xl2zc8f
    @user-mw7xl2zc8f Před dnem

    😁😁😁maana halisi ya kiongozi wa dini

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před dnem

    Kweli mzee chama pendwa hakiishiwi karama ya viongozi 😊😊

  • @onetwo12981
    @onetwo12981 Před dnem

    Hatari sna 🤣🤣

  • @knight6757
    @knight6757 Před dnem

    Pasua baba...

  • @clarencehilary5588

    Msimlaumu msigwa mimi binafsi naona kuna biashara na chama cha mapinduzi

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo Před dnem

      @@clarencehilary5588 Hatumlaumu. Tunafanya documentation. Tunafanya uchambuzi.

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Před dnem

    Ipo siku watanzania wataamka na hapatakalika mpaka kieleweke, wenzetu wakenya walishafanya yao

  • @subiramwaka9792
    @subiramwaka9792 Před dnem

    Nchi hii imeanza kuwa ya wachache. Muwekezaji kama Mo anaruhusiwa kuwa na maeneo makubwa mno ya nchi na huku maskini mko kwe ka kona mbanane huko. Na serikali inaona ni sawa tu. Zamani kulikuwa na muongozo wa watu wenye uwezo kununua maeneo ama la tutajikuta nchi ina milikuwa na wachahe.

  • @raymondodhiambo1552

    Ameķuwa akijipiga kifua kupitia wabunge wa upande wake. Pili amekuwa akishinikizwa na mataifa ya madola kututoza ushuru wa juu licha ya malalamiko ya wananchi. Tatu ahadi zake zimekuwa za uongo hìvyo kùzua ghadhabu....

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před dnem

    Wangewekeza ikulu ningefurahi sana ili tuwe jimbo la China ijulikane. Umesahau kuwa wanaouza ardhi ya baba wa taifa wao si baba yao wa taifa kwa sababu wanatoka kwenye taifa jingine.

  • @jumannerizimbura6750

    Fanya utafiti kidogo kabla ya kuleta hoja hii nzito. Unakumbuka mashamba ya vjj vya ujamaa? Haya yalikuwa yanamilikiwa na vjj vya ujamaa. Mwl alipostaafu, alienda kjjn kuomba AAZIMWE hayo mashamba alime, siyo mali yake, n mali ya wanakjj cha Butiama wote... Fanya utafiti kidogo

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 Před 2 dny

    Ni vyema mjue siasa.... Siasa za Africa na siasa za ulaya.... Msigwa na wengineo wote wanatafuta upenyo na upenyo ukipatikana.. Kila unayemjua mwana siasa anautumia... Acha kuamini wanasiasa

  • @ibadajustine1062
    @ibadajustine1062 Před 2 dny

    Sehem yoyote yenye Kambi ya jeshi, serikali inabidi kuliangalia sana

  • @mariamfaicalhassan2890

    Hivi si ulisema kwamba Magufuli dikteta? Pumzika kwa amani JPM wewe pamoja na propaganda za waliokuponda tunawaona waliosema nchi ipo mikono salama yupo samia sasa mama wacha tulie wote

    • @ulomirabiel6980
      @ulomirabiel6980 Před dnem

      Alikuwa dikteta wa ukweli. Aliturudisha nyuma kidemokrasia kiasi mpaka leo wtz wanaogopa kuiuliza serikali yao mambo ya msingi kabisa. Angalia wenzetu Kenya sasa wanahoji kodi, deni la taifa, wizi wa kura, ubadhirifu nk. Hapa kwetu mpaka kiongozi upnzani aongee wengine kimyaaa. Bangladeshh!!!

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 Před dnem

      Kwani Samia kufanya vibaya kunaondoa udikteta wa mtangulizi wake? Kwani ni uongo hakuwa dikteta?

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před 2 dny

    Bado tunaenfelea kutafuta maokoto ya mgao wa mkataba wa muungano, mpaka tutakapo fidia.

  • @elibarikimollel7149

    Mzalendo Ansbert haya usemayo yote tunayaona, mashine za kubeti ni ujambazi wa kuhamisha fedha mifukoni mwa raia,na haya mashamba ya Mwlm.Nyerere karibu na kambi ya jeshi tumefika, tunayajua, na kibaya zaidi ardhi zote nyeti tunawaona wachina na uwekezaji wao usioeleweka,wa siri,wa kupora ardhi kunakofanywa na watawala wa ccm wa kizazi hiki na wachina! Haieleweki labda tumekumbwa na pepo mbaya aliyejificha na kujichimbia ndani ya mfumo huu tuliourithi kwa Nyerere mwenyewe ili atuteke,atufanye masikini walowezi, na kuitwaa nchi yetu mikononi mwetu wenyewe! Mungu atusaidie sana tusigeuzwe watumwa na watawala wetu wenyewe...

  • @evaristcm2734
    @evaristcm2734 Před 2 dny

    Nilipata shida sana fimbo ya mwalimu nyerere ilipokabidhiwa kwa mtu fulani kama zawadi, kitu ambacho mtanzania yeyote angalipenda akione kwenye mahali pa makumbusho ya kitaifa.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 dny

    👍👊✌️.

  • @benjaminmiselya2622

    WaTanzania hawataki kufanya kazi wategemea mafanikio ya miuuzija ya Mwaposa 😢😂😢