![SK Media Online TV](/img/default-banner.jpg)
- 1 046
- 6 681 800
SK Media Online TV
Sweden
Registrace 26. 09. 2009
This is an online TV channel for SK Media where we do public-interest journalism and investigative news analysis, as well as music and exclusive documentaries in English and Kiswahili. Focused on the global social, political, and economic aspects, SK Media Online TV is a unique arm of www.sautikubwa.org.
CHADEMA HAIPUNGUKIWI KARAMA. SHEIKH KADOGOO "AKIWASHA" TANGA
Ni katika mikutano ya hadhara ya ziara ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika kanda ya Kaskazini
zhlédnutí: 4 705
Video
SERIKALI NA WACHINA KATIKA NJAMA ZA KUPORA MASHAMBA YA BABA WA TAIFA
zhlédnutí 8KPřed 4 hodinami
Ni Mwibanza, Butiama. Kisingizio ni uchimbaji wa dhahabu. Serikali kimya. Familia kimya. Kuna nini?
NI UMASKINI AU UJINGA? KIPI CHETU HASA?
zhlédnutí 5KPřed 16 hodinami
Raslimali zetu na umaskini wetu vinaendana?
KATIKA HILI TUMWAMINI MSUKUMA AU MSIGWA?
zhlédnutí 11KPřed 21 hodinou
Alipokuwa na cheo alikataa akili ndogo kuongoza akili kubwa. Alipopoteza cheo, akakubali akili ndogo itawale!
FUNZO KUTOKA KENYA: MABADILIKO YATAKUJA, KWA HERI AU KWA SHARI
zhlédnutí 27KPřed dnem
Ruto amekiri kushindwa na nguvu ya wananchi. Lakini kiuongozi, ameshinda. Tafakari pamoja nami.
TUMEJIFUNZA NINI KUTOKA KENYA?
zhlédnutí 6KPřed dnem
Tulinganishe nguvu ya umma na majibu na hatua ya serikali
"KURA ZA MWINYI NI ASILIMIA 20 TU." MIAKA SABA YA NINI?
zhlédnutí 26KPřed 14 dny
Ni tafakuri ya kilicho nyuma ya pazia la CCM kutaka Mwinyi apewe miaka saba ya urais. Sikiliza.
KISHINDO KARATU: MBOWE NA UCHUMI, LISSU NA HAKI
zhlédnutí 17KPřed 14 dny
Ni uchambuzi wa siku ya kwanza ya Operesheni GF ya siku 22 za Chadema Kanda ya Kaskazini
UNAPOSIKIA HAYA UNAWAZA NINI?
zhlédnutí 6KPřed 14 dny
Ni kauli za Ansbert Ngurumo na Tido Mhando kuhusu mwenendo wa vyombo vya habari
NI BAJETI YA WATAWALA NA WADAI WAO
zhlédnutí 10KPřed 21 dnem
Vipaumbele vya serikali havijali mwananchi
HAWA WANAJIDHALILISHA WENYEWE, RAIS, AU WATANZANIA?
zhlédnutí 4,2KPřed 21 dnem
Hizi ni kufuru kisiasa na kidini.
UTEUZI WA MAREHEMU NA MIRADI HEWA TUSIYOIJUA!
zhlédnutí 26KPřed měsícem
Mifumo yetu ya uteuzi ni imara na makini kiasi gani?
TUTAFAKARI THAMANI YA MSIGWA, CHEO CHAKE, NA RUFAA YAKE!
zhlédnutí 29KPřed měsícem
TUTAFAKARI THAMANI YA MSIGWA, CHEO CHAKE, NA RUFAA YAKE!
FITINA NA RUSHWA NI ADUI WA DEMOKRASIA
zhlédnutí 1,7KPřed měsícem
FITINA NA RUSHWA NI ADUI WA DEMOKRASIA
USHINDI, CHANGAMOTO NA MAFUNZO KATIKA UCHAGUZI WA KANDA WA CHADEMA
zhlédnutí 9KPřed měsícem
USHINDI, CHANGAMOTO NA MAFUNZO KATIKA UCHAGUZI WA KANDA WA CHADEMA
NI SUGU AU MSIGWA? NANI AMEKUSHAWISHI?
zhlédnutí 15KPřed měsícem
NI SUGU AU MSIGWA? NANI AMEKUSHAWISHI?
UWEKEZAJI NA MIKOPO KUTOKA CHINA: NI NEEMA AU KITANZI KWA MLALAHOI?
zhlédnutí 4KPřed měsícem
UWEKEZAJI NA MIKOPO KUTOKA CHINA: NI NEEMA AU KITANZI KWA MLALAHOI?
SAMIA, LISSU, NA WASIRA: NANI MKWELI KUHUSU UZANZIBARI?
zhlédnutí 30KPřed měsícem
SAMIA, LISSU, NA WASIRA: NANI MKWELI KUHUSU UZANZIBARI?
limekuwa Shamba la bibi.JPM.Alisema.
Twashukuru kwa Uchambuzi wa kifalsafa.tunapata darasa la Hekhima ya Maarifa.❤😊😊Z
Fact shekhe
Stand up with Justice being witnesses for God and And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
Kila siku makosa,mara mwinyi atazikwa kisarawe,mara imeenda?futa hiyo,jmn mambo mabovu mpk yameanza kuonekana wazi.kuna uozo mptupu subirini watu wakichoka walah mtajuta.kaulizeni Kenya
Hatuna viongozi,bali wahuni tu na wapigaji
Acha upotoshaji Mzee hautakusaidia chochote
Mpumbavu wewe Tulia sindano iingie
Vuneni mlicho kipanda, Magufuli alipokuwa anapinga uwekezani kama huu nyote mlimpiga vita , mkajifanya mnajua democracy sasa mnalalama nini ?
Tutaendele kulalamika. Angekuwepo magufuli yasingetokea. Hap ni ccm siyo chadema
Wewe ni chawa kama chawa wengine
Hahajajqjay😅
Yupo vizuriii
Ccm chungeni sanakupokea watu kama Hawa kama mnapenda kulinda chama chenu
😅😅😅😅
Tanga imeitwa ikaitika
Safi sana hongereni sana viongo huyu m2 anafaa, mna jicho la kuona
Tanzania yangu..... Mama Samia .., kwa hili hapana....fikiria tena....acha.lina madhara
Hakika siasa ni sayansi (political science)😂😂😂😂.ulitabiri vyema.leo Ruto anatafuta mlango wa kutokea.wewe ni mchamuzi wa siasa❤
Tangaaaa kunani kuleeee😂😂😂😂😂
Pmj mkuu nimeipenda hii
Acha kubwabwaja huaminiki zaidi wengi tulijua wewe ni kibaraka tangu enzi za JPM kwenye Ile kesi yenu Bora umejitenga ili uchambuke mchanga kwenye Mchele!
Yuko vizuri sana tunaomba apewe muda wa kutosha anapewa vidakika vichache sana. Chonde Wakuu mpeni muda. Mhe. Ngurumo tusaidie kuwaambia viongozi. Anatema madini sana.
😂😂nimecheka pale ccm kama maharage ya Mbeya yanaiva hata kwenye oto la kwapa😂😂
Umenena
✌️👍👊.
Chadema bwana ni kiwanda Cha busara na hoja
HUYU BWANA NI MJENGA HOJA MZURI SANA. NAMPENDA KWA HOJA ZAKE ZA UKWELI KABISAA.
Safi sana
Wachina walipewa kibaha imeishia wapi sasa wanapewa UbungoNchi inahujumiwa hii
💪🏻💪🏻💪🏻
Wenye akili na vipaji vya uongozi wanajua ni ngumu Sana kukaa CCM. Kule CCM wanaitaka watu wa kuomba na kusifu
Huyu shekhe Yuko vizuri Sana hata Mimi namkubalisana. Tunamtaka agombee akatuwakilishe bungeni
Hesitate kuu hiyo,mwenye sikio asikie .
Ok basi sawa
😁😁😁maana halisi ya kiongozi wa dini
Kweli mzee chama pendwa hakiishiwi karama ya viongozi 😊😊
Hatari sna 🤣🤣
Pasua baba...
Msimlaumu msigwa mimi binafsi naona kuna biashara na chama cha mapinduzi
@@clarencehilary5588 Hatumlaumu. Tunafanya documentation. Tunafanya uchambuzi.
Ipo siku watanzania wataamka na hapatakalika mpaka kieleweke, wenzetu wakenya walishafanya yao
Nchi hii imeanza kuwa ya wachache. Muwekezaji kama Mo anaruhusiwa kuwa na maeneo makubwa mno ya nchi na huku maskini mko kwe ka kona mbanane huko. Na serikali inaona ni sawa tu. Zamani kulikuwa na muongozo wa watu wenye uwezo kununua maeneo ama la tutajikuta nchi ina milikuwa na wachahe.
Ameķuwa akijipiga kifua kupitia wabunge wa upande wake. Pili amekuwa akishinikizwa na mataifa ya madola kututoza ushuru wa juu licha ya malalamiko ya wananchi. Tatu ahadi zake zimekuwa za uongo hìvyo kùzua ghadhabu....
Wangewekeza ikulu ningefurahi sana ili tuwe jimbo la China ijulikane. Umesahau kuwa wanaouza ardhi ya baba wa taifa wao si baba yao wa taifa kwa sababu wanatoka kwenye taifa jingine.
Fanya utafiti kidogo kabla ya kuleta hoja hii nzito. Unakumbuka mashamba ya vjj vya ujamaa? Haya yalikuwa yanamilikiwa na vjj vya ujamaa. Mwl alipostaafu, alienda kjjn kuomba AAZIMWE hayo mashamba alime, siyo mali yake, n mali ya wanakjj cha Butiama wote... Fanya utafiti kidogo
Ni vyema mjue siasa.... Siasa za Africa na siasa za ulaya.... Msigwa na wengineo wote wanatafuta upenyo na upenyo ukipatikana.. Kila unayemjua mwana siasa anautumia... Acha kuamini wanasiasa
Sehem yoyote yenye Kambi ya jeshi, serikali inabidi kuliangalia sana
Hivi si ulisema kwamba Magufuli dikteta? Pumzika kwa amani JPM wewe pamoja na propaganda za waliokuponda tunawaona waliosema nchi ipo mikono salama yupo samia sasa mama wacha tulie wote
Alikuwa dikteta wa ukweli. Aliturudisha nyuma kidemokrasia kiasi mpaka leo wtz wanaogopa kuiuliza serikali yao mambo ya msingi kabisa. Angalia wenzetu Kenya sasa wanahoji kodi, deni la taifa, wizi wa kura, ubadhirifu nk. Hapa kwetu mpaka kiongozi upnzani aongee wengine kimyaaa. Bangladeshh!!!
Kwani Samia kufanya vibaya kunaondoa udikteta wa mtangulizi wake? Kwani ni uongo hakuwa dikteta?
Bado tunaenfelea kutafuta maokoto ya mgao wa mkataba wa muungano, mpaka tutakapo fidia.
Mzalendo Ansbert haya usemayo yote tunayaona, mashine za kubeti ni ujambazi wa kuhamisha fedha mifukoni mwa raia,na haya mashamba ya Mwlm.Nyerere karibu na kambi ya jeshi tumefika, tunayajua, na kibaya zaidi ardhi zote nyeti tunawaona wachina na uwekezaji wao usioeleweka,wa siri,wa kupora ardhi kunakofanywa na watawala wa ccm wa kizazi hiki na wachina! Haieleweki labda tumekumbwa na pepo mbaya aliyejificha na kujichimbia ndani ya mfumo huu tuliourithi kwa Nyerere mwenyewe ili atuteke,atufanye masikini walowezi, na kuitwaa nchi yetu mikononi mwetu wenyewe! Mungu atusaidie sana tusigeuzwe watumwa na watawala wetu wenyewe...
Nilipata shida sana fimbo ya mwalimu nyerere ilipokabidhiwa kwa mtu fulani kama zawadi, kitu ambacho mtanzania yeyote angalipenda akione kwenye mahali pa makumbusho ya kitaifa.
👍👊✌️.
WaTanzania hawataki kufanya kazi wategemea mafanikio ya miuuzija ya Mwaposa 😢😂😢