TUTAFAKARI THAMANI YA MSIGWA, CHEO CHAKE, NA RUFAA YAKE!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024
  • Kuna nini huko kwenye kanda kinachopiganiwa hivyo?
  • Hudba

Komentáře • 272

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 Před měsícem +15

    Akina halima na wengine wengi walio ondoka na kuhamia kijanini, walijeruhi mioyo ya wengi, pia kuondoka kwa zito chadema pia kulijeruhi wengi, sasa Mchungaji tafadhali tafakari marambili , pia utulivu na subira ni busara kubwa. Vinginevyo utajikuta unakuwa sawa na wengine, heshima yako chadema ni kubwa sana ungetulia kidogo, pia iringa bado unahitajika.

  • @matiredms917
    @matiredms917 Před měsícem +5

    Ahsante sana Bwana Ngurumo kwa uchambuzi wa kina ambao umeweka suala hili wazi sana. Mchungaji ameonesha dhahiri kuwa ni mbinafsi na barakala la hali ya juu.

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 Před měsícem +17

    Awali nilidhani Msigwa ni mwadilifu ba mweredi katika siasa na kutafsiri Katiba ya chama chake hata ya nchi kumbe nilikuwa najilia upepo! Anatanguliza maslahi, hana uvumilivu ni mnafiki gataki kushindwa! Watu kama hawa hawafai kuwemo katika uongozi wa nchi yetu, wanatuchelewesha kusonga mbele wanatupeleka shimoni!
    Ni kondoo kwa nje kunbe ndani ni mbwa mwitu

    • @user-uq7kk4dw2o
      @user-uq7kk4dw2o Před měsícem

      Nasema aseme ,mmbane aseme

    • @josephmabula9658
      @josephmabula9658 Před měsícem +2

      Shida Nini si amekata rufaa?

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před měsícem

      umo nakusifia sanaaaa kwa ufuatiliaji hapo ujue Viongozi wengi hawapendwi kushindwa na asiyekubali kushindwa si mshindani vyama vingi ni Wasaka tonge gamna kitu hapo

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 Před měsícem +12

    Mch Msigwa kawashangaza watu wengi wapenda ukweli na demokrasia, kwani alikuwa akidhaniwa kuwa ni mtu msimamia kweli na mpenda mabadiliko yanayoifaa nchi, kumbe hafai kabisa!

  • @melch3097
    @melch3097 Před měsícem +10

    Nlimpenda sana msigwa lkn kumbe ni kichaa. Kwakweli taifa letu, mungu pekee ndie atatusaidia.,

  • @johnmakundi9877
    @johnmakundi9877 Před měsícem +17

    nilimwona msigwa n mwana harakati kumbe n CCM mjinga sana tena atakuwa yeye ndiye anavujisha siri za chadema

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před měsícem

      Chadema ina siri gani!!! Ujinga tu..

    • @user-us4tk2tk3c
      @user-us4tk2tk3c Před měsícem

      Bila shaka unatatizo. Leo ndio unaweza kusema hii pumba yako na alipokuwa kiongozi wako hukusema kuwa ni CCM mjinga.

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Před 22 dny

      Kama ulimwona msigwa anafaa na Sasa unaona hafai, maana yake hata waliobaki kama unawaamini wanafaa hawafai......😊😊😊😊😊

    • @jitulakaleboymastr6477
      @jitulakaleboymastr6477 Před 20 dny

      Ivi uyo anaitwa msigw au alima

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před 21 dnem +3

    NIMEKUKUBALI Sana KWA uchambuzi WAKO ILIKUWA busara asimamie HOJA ZAKE za kukubali kushindwa..

  • @isaacndashuka5959
    @isaacndashuka5959 Před měsícem +12

    Msigwa unashangaza sana.unatia aibu.kwa kweli umenifanya nikufute kwenye kundi la watu makini.

  • @lustonjana5980
    @lustonjana5980 Před měsícem +9

    Mchambuzi unastahili pongezi

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 Před měsícem +7

    Mchungaji Msigwa amechepuka baado chadema ni bora kuliko akina Msigwa mia mbili hakuna kusujudu kwa binadamu anae kufa wakati wowote chadema mpango wa Mungu

  • @malinzirutta3391
    @malinzirutta3391 Před měsícem +8

    Asante Ngurumo kwa ufafanuzi mzuri. Sasa tunafanyaje kukinusuru chama ma Msigwa? Nakuomba uwashauri chadema la kufanya

  • @felixmsengi1084
    @felixmsengi1084 Před měsícem +6

    Uko vzr kwa hoja za kisiasa Asante

  • @samirsamson3996
    @samirsamson3996 Před měsícem +2

    Nachompendea Mh Ngurumo anaongea kwa fact anaongea anakupa na clips za anayoyasema atoi maneno mdomoni anayasema wanaoyasema safi sana tunataka uchambuzi wa fact km huu na kuwa na kumbukumbu zote big up bro

  • @samuelmakara1475
    @samuelmakara1475 Před měsícem +9

    Hongera mchambuzi

    • @user-us4tk2tk3c
      @user-us4tk2tk3c Před měsícem

      Hongera ipi kwa mchanbuzi huyu? kama ni ya kuchambua kwa interest ya chama chake sawa lakini je vipi Haki ya Wanachama wake?

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před měsícem +5

    Stay blessed Mkuu Ngurumo

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před měsícem +5

    Ndg Ngurumo nimekuekewa sana kupita kiasi. Nilikuwa najiuluza sana juu ya kauli hizi. Nilishauri sana baada ya uchaguzi kujwnga umoha zaidi na kuunganisha wanavhama lakini Mhe Mch Msigwa naona amekuja na agenda ya kubomia chama. Tutafakari kungali mapema, naona kuna kakipindi ka giza tunaweza kukapitia kabla au wakati wa uchaguzi mkuu ujaao. Mch amejichanganya au amewekwa makusudi kuchanganya mambo.

  • @RobertMaffa
    @RobertMaffa Před měsícem +6

    Hongera ngurumwa, kaza kamba kwa hao vipandikizi vya ccm ndani ya chadema, nafarijikaga kwa uchambuzi wako wa kila siku.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem

      Leo hii ndio mnasema haya kweli kila anaegeuka basi amepandikizwa na CCM zito kabwe na alipotoka si alilalamika hivyohivyo mbona hakwenda CCM acheni upumbavu hiki chama watu wanatamaa sana na majungu mengi.

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi9019 Před měsícem +2

    Mungu akubariki,akulinde, uendelee kutufafanulia. mambo ambayo hattuyajui,tupate kuyajua.wewe ni mtu muhimu. sana kwa nchi yetu.

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před měsícem +4

    Msigwa, Msigwa, Msigwa rejea mazungumzo ya awali, hata kama hukuyaona hayo mwanzo, wewe ni mtu mzima amini Cha mwanzo kilikuwa kinainua chama sasa unataka kubomoa. Heri ungeondoka peke yako ungeheshimika. Kwa hili CHADEMA itabaki hai, hutathubutu kukiua. Kumbuka ulihusika kukijenga kikawa imara. Kwa hili tu hutaweza kututweza ili tuaangamie.

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před měsícem +5

    Hafai iwe kafanyiwa ama la,ni sawa na kutoka Siri za mwenza wako Kwa kuwa tu ameukataa, ni aibu sana kwake na huenda anahama chama ndo tafsiri halisi, liko jambo huyu nadhani hawafai chadema , wameruhusu aende huko anakolenga, jeni mchungaji kweli?😮

  • @LuganoPondo-km8ub
    @LuganoPondo-km8ub Před měsícem +15

    Asbert Ngurumo,wewe ni jasusi wa haya mambo

  • @mcongomakete1664
    @mcongomakete1664 Před měsícem +4

    Msigwa amehusika kutoa rushwa aliwapafedha kwnye sim nakuchukua sim za wajume nawajumbe ndio walio lalamika nakudai kua msigwa kachukua sim zetu kwakua ametuingizia hela ili tumchague.
    Chadema wampe nafasi ya uwenyekiti wa tawi.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Před měsícem +4

    Alipongezwa na watu wengi sana siku ile ya mwanzo.Lakini alipobadili mtazamo,watu walimshangaa sana.Kunusuru hilo imebidi aitwe na Tundu Lissu Singida

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Před měsícem +4

    Uyu msigwa rema alimshitukia mda mrefu, nawaambia kama angepita uyu kanda ya nyasa alikuwa anakwenda kuiuwa kisiasa, wewe ondoka chadema mapambano yanaendelea. Mbowe anafanya kazi kubwa sana na ndiye aliyekubeba. Ulikuwa aujulikani kabisa leo wakumnenea mbowe mabaya? Subiri majibu ya sugu sasa

  • @louisnyaki1936
    @louisnyaki1936 Před měsícem +7

    Naiona Chadema ikiingia katika mtego wa CCM. Kumbukeni huyu mtu aliwahi kutajwa kwenye kuunga juhudi mkono kisha akakimbia . Jini Hilo halijamtoka . Take my word Ngurumo

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem +3

      Imeshaingia lakini itavuka salama

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      ​@@AnsbertNgurumokweli kabisa kiongozi, short reply but smart and critical, CHADEMA haitaweza kufa mpaka mpango wa Mungu kuivusha Tanganyika na Tanzania kwenda nchi yabahadi yatimie, anayeona maslahi yake CHADEMA ni muhimu kuliko ya taasisi but atadhirika yeye na si vinginevyo.
      VIVA CHADEMA VIVA MPANGO WA MWENYEZI MUNGU

    • @JoshuaStanley-qu3im
      @JoshuaStanley-qu3im Před měsícem

      Huyo haifai kabisa maana hata kuongeza anakuwa na hasira

    • @FilbertFissoo-pe2xm
      @FilbertFissoo-pe2xm Před měsícem

      😂😂 na tumwombee litoke aendelee kubaki chadema​@@AnsbertNgurumo

  • @melch3097
    @melch3097 Před měsícem +7

    Msigwa umenifanya mpaka natoa machozi, jitafakari

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před měsícem +3

    Awali alitudanganya kukubali matokeo!
    Makosa yakifanyika, chukua mapungufu na ushahidi mukayajenge, Acha mambo mengine yaendelee bado ananafasi na KAZI kubwa ya ukombozi

  • @eunho9529
    @eunho9529 Před měsícem +3

    Nimeshangaa sana kwa mtu kama Msigwa kuyasema hayo cha msingi hizo ni tuhuma nzito hivyo ni vyema chama kitoke na litolea ufafanuzi kuhusu hizo tuhuma. na msigwa apewe nafasi ya kuthibitisha tuhuma hizo hata ikiwezekana kiwe kikao cha dharura, akithibitisha hatua kali zichukuliwe na hakishindwa pia hatua kali zichukuliwe kwani ni utovu wa nidhamu kwa mtu aliyekuwa kiongozi na mwenye maamuzi ndani ya chama kuyasema hayo ya Msigwa.

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 Před měsícem +3

    Msigwaaaa nenda tena nani kakutuma na hao wapambe wako goooo go go go uko hovyoooooo thamani ilikuwepo kwa cheo sasa tumekujua

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS Před 18 dny +1

    Wewe ni Mwandishi mwandamizi, ambaye unaweza kusaidia nchi kwa uchambuzi mzuri.

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o Před měsícem +3

    Ameharibu sanaa, amejishushia hadhiiiii

  • @usajemwambene
    @usajemwambene Před 22 dny +2

    Lakini Mchungaji Msigwa si Mchungaji . Huyu ni Shetani anayejificha kwa kivuli cha jina la uchungaji.Hafai alitoka CCM akaenda NCCR mageuzi Chadema na sasa tena CCM hafai huyo anatafuta Cheo tu.Atakapo nyimwa cheo ataomba kurudi tena CHADEMA.

  • @frimatuslupimo2031
    @frimatuslupimo2031 Před měsícem +2

    Acha kutetea chama kwa kila kitu

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem

      Najadili hoja iliyo mbele yetu. Leta hoja yako. Kila kiu? Kipi, kipi, na kipi?

  • @FashoKibona
    @FashoKibona Před měsícem +5

    Msigwa anaelement za kuhama chama ,na Kwa jicho la darubini nyuma ya msigwa Kuna CCM,huyu tumpuuze.niking'ang'anizi wa madaraka.? Msigwa alifaa kuwa mfano wa kuheshimu matokeo, swali ,je msigwa angeshinda yy angeyasema hayo?

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před měsícem

      Ndio ujue kila binadam anapenda kua juu hapendi kushindwa hat awe mchungaji shekhe .

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před měsícem

      Na pia km kuna kasoro lazima zisemwe ili wat wajue kilichojificha ndani.

  • @ellykibale190
    @ellykibale190 Před měsícem +3

    Kuna siku alitembelewa na marehemu magufuli jimboni mwake akiwa mbunge...na akamsifia. Siku moja baadaye bungeni akaanza kumponda, wakamkumbusha mbona ulimsifia, akajibu kitu kama sikuwa serious, leo ndiyo nipo serious...Binafsi niliona tatizo kubwa sana la kiuongozi kwa Msingwa kwani kiongozi lazima awe mtu unayeweza kusimamia maneno yake.
    Ndiyo pia tunachokiona hapa, kabla ya uchaguzi anasema hivi baadaye anabadirika.

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 Před měsícem +2

    Irrational analyst. Congrats. I am not a CHADEMA man ,but I like your analysis of political matters

  • @sharifamakuka4832
    @sharifamakuka4832 Před měsícem +3

    Asiye kubari kushindwa si mshindani,kubari kushindwa msigwa.

  • @amrankanda4291
    @amrankanda4291 Před měsícem +2

    Umechemka MSIGWA ni heri ungeunga juhudi kipindi cha Mwendazake kama walivyofanya Wenzio.!

  • @eunho9529
    @eunho9529 Před měsícem +3

    tena ikitokea hakashindwa kuthibitisha AFUKUZWE UANACHAMA.

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 Před měsícem +3

    Msigwa umetia aibu sana sana mchungaji muongo kuwahitokea

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před měsícem +3

    Yaani Chadema pamoja na wewe Mtu akiamua kusema ukweli wa moyo wake mnasema ananunuliwa?😢 Binadamu ni mtu na anahisia zake, ila akitokea upande wa pili mnasema kafuata haki 😅 Huwa mnachekesha sana na kuhuzunisha.

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Před měsícem +3

    Lakini mbona Tundu lisu alisema kuna rushwa ndani ya Chadema lakini watu wamekaa kimya? mi nadhani msigwa anakaukweli flani na inabidi Chadema wajitafakari sana wengine mlio inje mtasema lakini kilichopo ndani kinaweza kisiwe sawa.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 24 dny

      Hukumuelewa alikuwa na maana fedha zimemwagwa kule ili kuwanunua na kufarakanisha chama cha Chadema

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před měsícem +3

    Mwahachie sugu hata Kama hameonga

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před měsícem +4

    Changamoto kubwa sana

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o Před měsícem +3

    Msigwa umejulikana,watu hatushangai

  • @melch3097
    @melch3097 Před měsícem +3

    Chadema ilikuwepo, na itaendelea kuwepo. Hatafanikiwa chochote

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před měsícem +2

    Msigwa alibebwa na mbowe sana na kwa sababu alikuwa akimuhonga mbowe sana alikuwa anasaliti wenzie sana hata kuondoka kwa zitto alichangia sana sasa muosha huoshwa

  • @LaizerSangau
    @LaizerSangau Před měsícem +3

    Hakika ngurumo umetupa darasa kamili🎉🎉🎉🎉

  • @user-ub1yx5vc8b
    @user-ub1yx5vc8b Před měsícem +2

    Msigwa hata kenye mdahalo alipwaya sana. Sugu alitulia sana

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před měsícem +4

    Hivi Kama Mgombea Unawezaje kujua Nani atakupigia kura kabla kura hazijapigwa?

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem

      Mi swali gumu sana, maana kura ni siri ya mpiga kura.

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před měsícem +1

    Hongera Msigwa kwa kutufungua macho Kumbe ndani kuna uchafu

  • @ClementLushino
    @ClementLushino Před měsícem +2

    Mch Msingwa unaoneka kukisaliti chama kabla na baada ya uchaguzi ksababu ya kumunga mkono mbunge SAS wa jimbo la Iringa mjini, si ajabu umelamba noti, unatafuta sababu, jimbo la Iringa Chadema kwa ww litakosekana.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 21 dnem

    Nimekuelewa ngurumo. Uko vizuri Sana. Nilitumia lkn umenifariji Sana.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před měsícem +1

    Msigwa keshaona jimboni pagumu jesca yupo vizuri mfungeni kamba huyo atatoroka😅😅😅😅😅

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před měsícem +6

    Ngurumwa nakukubali Mno Mchambuzi Wangu, Hongeraaa sana napenda Mno Kazi na chanel Yako....

  • @user-xp5bl3ul3m
    @user-xp5bl3ul3m Před měsícem +2

    Yaelekea msigwa baada ya kutangaza kukubali kushindwa alienda kufanya kikao na maadui wa chadema ndio wakamshawishi kuchafua Chadema. Tusubiri kidogo Kuna dalili ya kuchepuka... Tuendelee kufuatilia.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 24 dny

      Au alikua mda mrefu mguu moja ndani mwingine nje .Mtu mwenye kuishi kibinafsi kimtegomtego

  • @thomasbrotherscotractorslt1299

    Msigwa mmmmmmm

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 Před měsícem +2

    Hawa wanasiasa uchwala tu Mzee gurumo ni wachumia tumbo mi nilitegemea kuwa kukibali kushindwa na sio kuja adharani kulalamika

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před měsícem +2

    Tatizo msigwa umezoea kula kupitia cdm. Ukihamia CCM utakula zaidi.

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před měsícem +2

    Siasa bwana yani sugu anamshinda msigwa😂

  • @user-sy9sl7of8w
    @user-sy9sl7of8w Před 21 dnem +1

    Mchambuzi uko vizuri, hongera

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k Před měsícem +3

    Mbona uli kubali Mwenyewe kumbee hata tume ya uhadema sio huru kama ya Taifa haya sasa fungeni Midomo yenu

    • @Ommylayzah_tz
      @Ommylayzah_tz Před měsícem

      Hajasema yeye ni Chadema anachambua tu

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem +1

    Dah ansbert ni mchambuzi nimemkubali sana huyu msigwa chadema wa muangalie Kwa macho mawili Mimi SI chadema ila napenda upinzani imara na ustaarabu. Wa siasa lakini ukiona mtu anatoka Siri za chama huyu tayari ameishaanguka.ushauri Kwa mh mbowe awe mtaratibu tu na afanye siasa za ustaarabu sababu mamluki anao wengi sana

  • @daniell.damian4974
    @daniell.damian4974 Před 20 dny

    Wasioelewa leo, wataelewa kesho!
    Prophetic!!!

  • @kwasmokweka9598
    @kwasmokweka9598 Před měsícem +2

    Mchungaji nini kimempata?yeye si amesoma biblia na anaielewa? Huyu roho mbaya amemnyemeleaje na kumwingilia? Akumbuke ameshaelekezwa la kufanya na afanye hima!

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 Před měsícem +1

    MH PETER MSIGWA "MCHUNGAJI" AMENI SIKITISHA SANA. SIKUTEGEMEA KAMA ANGEONGEA MANENO HAYO. NIMEFEDHEHEKA NAFSINI MWANGU KWAAJILI YA KAULI ZAKE KWENYE PRESS.

  • @justinswati8225
    @justinswati8225 Před 21 dnem

    Asanteee mchambuzi uko vzr sana Balikiwaaa sana

  • @pastorkongoke6308
    @pastorkongoke6308 Před měsícem +1

    Hapo kwa Njombe umejipotosha Alichosema Msigwa ni baada ya rufaa uchaguzi uliitishwa tena na ukavurugwa

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +2

    Msigwa kakosea sana.Huku ni kutaka kukibomoa chama.

  • @siriplacid7152
    @siriplacid7152 Před měsícem

    Huyu ni kiongozi mzuri japokuwa anaweza kuonekana na madhaifu madogo madogo kama hayo . Lakini bado ni kiongozi

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před měsícem +1

    Nafikiri kuna watu wako nyuma yake ndio wanaomsukuma ila anaharibu zaidi kuliko kujenga!. Yeye anafikiri yeye yuko juu ya chama na anaweza kukipasua kama ataondoka, anashindwa kukumbuka hata Dr Slaa aliondoka lakini hakuleta madhara yoyote!.

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Před měsícem +2

    Munyalu huyu hofyo kabisa yaani unajivua chupi hadharani hivi et kisa ni madaraka!!!! Hata ckutegemea hofyo kabisa ila sisi bado tupo na cdm yetu,, cdm ilikuheshimisha sana!!! Yaani kumbe hata uchungaji mwachie Abihudi we umekuwa mbwa mwitu mla kondoo😭😭😭

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +1

    Uko sahihi kbs anasema sitaki kukikchafua chama changu wakati ameshakishafua tayali yaan sielewi ana maana gan

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Před měsícem +1

    Matusi yote ya chadema juu ya CCM tulijua kuwa chadema ni malaika kumbe Nao Ni Wana wa belzebuli?! Watoa rushwa na Wala rushwa wakubwa
    wezi wa kura katika chaguzi zao za ndani
    Komeni sasa kuiandama CCM

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před měsícem +1

    Nakubaliana na Wewe 10,000,000,000%

  • @user-lx2lo2lp8m
    @user-lx2lo2lp8m Před 23 dny

    Hii ni sawa na mtu kulipwa million kumi ukanye msikitini, umejidhalilisha sana bro,heshima yote imeondoka kwa sekunde,nani kakuloga sikujua una kichaa,dah🤔!..

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před měsícem +1

    UKO VIZURI SANA BROTHER..HAKIKA TUNAHITAJI WATU WENGI KM WEWE KWENYE KUUSEMA UKWELI NA KUUSIMAMIA KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA...NIMEKUPENDAGA BURE EE

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před měsícem

    Kwani alichokifanya Msigwa na CHADEMA kwa ujumla kinatofauti gani na suala la kusema Lowassa ni Fisadi na badae kusema ni msafi.
    Kuna kosa gani badae ukigundua kwamba haki haikutendeka ukachukua hatua zingine.

  • @godfreymikmta5008
    @godfreymikmta5008 Před měsícem +1

    Pia ukichunguza kwa umakini anataka kuleta hoja mwenyekiti ni mbaya.

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 Před měsícem +1

    Kibaya zaidi alichofanya Msigwa kwa mujibu wa sauti iliyofuja ni kauli za kitoto, za kipuuzi, za chuki na unafiki kwa kumsimanga M/kiti wa chama chake eti yeye ni "kulambwa miguu" na watu wake na kwamba Mbowe anataka kubaki na watu anayewapenda na hawezi kujipendekeza kwake na maneno mengine ya dhihaka !!!!
    Huyu Msigwa hana ukomavu wa kisiasa amevamia fani kutafuta maslahi binafsi na nina mashaka kama kweli ana taaluma na sifa ya kuwa mchungaji.

  • @jitulakaleboymastr6477

    Pepo uyo ashindwe kwaza nimchungaji wanini ana civic mbuzi au mbna simuelew😃😃🤣🤣 kumbe kushndwa kunaumae

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Před měsícem +1

    mh.umefafanua vizuri sana ambaye hajakuelewa ni mchawi.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem

    Mbowe anataka Uwenyekiti wake uendelee maisha sasa anabadilisha Viongozi ili wampigie kura ndiyo maana Zito alitoka hicho ni Chama cha kikabila Wachaga kwanini Mbowe asitoke wanachama wake wamemchoka kabisa

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Před měsícem +1

    WEWE MCHAMBUZI AMUACHI UKABILA WAKICHAGA MAAMUZI YA MWENYE KITI TUNA JUWA NDIO MAANA AMUWEZI KUONGOZA NCHI HII

  • @samirsamson3996
    @samirsamson3996 Před měsícem

    Kungekuwa na kina Ngurumo km kumi nchi hii hakika taifa lingenyooka i wish Mh Ngurumo angekuwa Wazir mkuu nchi ingenyooka jamaa anajua tumpe maua yake i wish nikutane nae live huyu mtu hakika ni mtu na nusu

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 Před 21 dnem

    Nilimpenda sana Msigwa , Lakini sasa najuta, kumbe ni wa Maslahi tu. Kule zanzibar karibuni Muheshmiwa Mazrui ataungana na Msigwa. Watu wa aina hii bora wajulikane mapema.

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 Před měsícem +1

    Ukiona kuna moshi ujue kuna moto, zitto kabwe alilalamika CHADEMA hakuna haki, wakina halima mdee walilalamika, pia mbowe alishaenda ikulu kuchukua rushwa

  • @josephmwita6012
    @josephmwita6012 Před měsícem +20

    mzee ngurumo wewe ni bingwa bobezi wa uchambuzi na nitaendelea kukufuatilia ili nipate asali ya ya ubongo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem

    msigwA has capacity of creat lmotion into chadema we can say anything but reality stil there kwahiyo tusimbeze msigwA abauwezo mkubwa ktk siasa ndivyo ilovyo

  • @samirsamson3996
    @samirsamson3996 Před měsícem

    SK MEDIA is so brighter Media so fact more than Fact i do apriciate on you bro upo vizur xana sijaona mchambuzi makini km ww bravo to you bro

  • @boscomwangosi1042
    @boscomwangosi1042 Před měsícem

    Tatizo ni sisi wàpigakula hatujitambui tumekua tukiwashabikia wanasiasa badala ya kuwaunga mkuno wachapa kazi bila kujali chama,lkn pia tunasahau kua hao wanasa wao ni sehemu ya ajira,ndiomaana hawawezi kupishana kwenye maswala ya poshozao mishahalayao Wala viinua mgongo vyao,mbunge akimaliza miaka mitano analipwa sh.milion mia mbili hamsini lkn mwalimu miaka 35 analipwa million 60. Huadaima kwenye maswala ya pesa wanaungana wabunge wote.sasa akitokea mchapa kazi Kama mama,magu,sabaya,makonda wote hua wanaungana kuwapiga vita wakiwemo hata wa chama Chao,wanaanza kupambana kuwatafutoa kashifa ili waendelee kuufunika uiziwao.

  • @ignacekiwale7281
    @ignacekiwale7281 Před měsícem +2

    Msigwa kajichanganya ,maneno yake

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Před měsícem +1

    We msigwa usipoteze muda wetu nenda ccm maana wewe si wa kwanza kuhama wamehama wazuri kuliko wewe acha kubweka

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před měsícem

      Salamba peter achana na ccm...mgombane wenyewe msingizie ccm!!! Kwani chadema kuna miungu watu au chadema ni mungu mpaka wanachama wasihoji chochote???!!! Mtasubiri sanaaaaa!!!

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před měsícem

    Ngurumo wewe ni lulu ya taifa letu unaumuhimu sana kwenye uchambuzi wa mambo, hongera sana kaka kwa kuweza kutuelimisha kiasi kikubwa.

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278 Před 21 dnem

    Msigwa hata huko CCM uliko nunuliwa ukiteuliwa kugombea nafasi ukashindwa bado utalalamika hivyo hivyo, kwa maana hiyo wewe sio mwanasiasa mwadilifu kama unavyo jinadi. Kumbuka uchaguzi wa huko nyuma ulicheza rough ukamtoa Wakili Mwambikusi Hadi akahama Chama. ACHA TAMAA YA MADARAKA.

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Před měsícem

    Politician always they are there for their benefit kwa hyo sishangai kunena lugha kama hz na huyu anasumbuliwa na kukosa uongozi

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs Před měsícem +1

    Nimekusubili sana kuhusu hili hatimea nimefurahi usichekewe kutufafanulia

  • @mrmadebwesanga4971
    @mrmadebwesanga4971 Před měsícem +4

    Umechambua vyema sana kiongozi wangu

  • @irenalawrence6386
    @irenalawrence6386 Před měsícem

    Ndugu Ngurumo hakika unafaa kuwa mwalimu wa siasa, vilevile unaye Roho Mtakatifu anayekuongoza vema, aksante leo kwa ufafanuzi wa @Msigwa!

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před měsícem +4

    Hakuna ya hivi. Ali hiki fanya sivyo. Nimekuelewa disappointed naye. Hapa unaona moja kwa moja kajidharilisha mwenyewe kwa kauli mbili tofauti. Na hii ni tatizo kubwa kwa mtu mwenye hekima na heshima. Kashindwa kuzitawala hasira zake na hii imetuonyesha upande wa pili wa ndugu Msigwa. Ana sura mbili tofauti.
    Namsikiyimia sababu angetulia kidogo na kutafakari, hata kama ameonewa angeita kikao ndani ya chama kwa maslahi ya chama na si kwenda hadharani namna hii. Inamaana Hana imani na chama bila yeye kuwa madaraka I.