Akina halima na wengine wengi walio ondoka na kuhamia kijanini, walijeruhi mioyo ya wengi, pia kuondoka kwa zito chadema pia kulijeruhi wengi, sasa Mchungaji tafadhali tafakari marambili , pia utulivu na subira ni busara kubwa. Vinginevyo utajikuta unakuwa sawa na wengine, heshima yako chadema ni kubwa sana ungetulia kidogo, pia iringa bado unahitajika.
Ahsante sana Bwana Ngurumo kwa uchambuzi wa kina ambao umeweka suala hili wazi sana. Mchungaji ameonesha dhahiri kuwa ni mbinafsi na barakala la hali ya juu.
Awali nilidhani Msigwa ni mwadilifu ba mweredi katika siasa na kutafsiri Katiba ya chama chake hata ya nchi kumbe nilikuwa najilia upepo! Anatanguliza maslahi, hana uvumilivu ni mnafiki gataki kushindwa! Watu kama hawa hawafai kuwemo katika uongozi wa nchi yetu, wanatuchelewesha kusonga mbele wanatupeleka shimoni! Ni kondoo kwa nje kunbe ndani ni mbwa mwitu
umo nakusifia sanaaaa kwa ufuatiliaji hapo ujue Viongozi wengi hawapendwi kushindwa na asiyekubali kushindwa si mshindani vyama vingi ni Wasaka tonge gamna kitu hapo
Mch Msigwa kawashangaza watu wengi wapenda ukweli na demokrasia, kwani alikuwa akidhaniwa kuwa ni mtu msimamia kweli na mpenda mabadiliko yanayoifaa nchi, kumbe hafai kabisa!
Mchungaji Msigwa amechepuka baado chadema ni bora kuliko akina Msigwa mia mbili hakuna kusujudu kwa binadamu anae kufa wakati wowote chadema mpango wa Mungu
Nachompendea Mh Ngurumo anaongea kwa fact anaongea anakupa na clips za anayoyasema atoi maneno mdomoni anayasema wanaoyasema safi sana tunataka uchambuzi wa fact km huu na kuwa na kumbukumbu zote big up bro
Ndg Ngurumo nimekuekewa sana kupita kiasi. Nilikuwa najiuluza sana juu ya kauli hizi. Nilishauri sana baada ya uchaguzi kujwnga umoha zaidi na kuunganisha wanavhama lakini Mhe Mch Msigwa naona amekuja na agenda ya kubomia chama. Tutafakari kungali mapema, naona kuna kakipindi ka giza tunaweza kukapitia kabla au wakati wa uchaguzi mkuu ujaao. Mch amejichanganya au amewekwa makusudi kuchanganya mambo.
Leo hii ndio mnasema haya kweli kila anaegeuka basi amepandikizwa na CCM zito kabwe na alipotoka si alilalamika hivyohivyo mbona hakwenda CCM acheni upumbavu hiki chama watu wanatamaa sana na majungu mengi.
Msigwa, Msigwa, Msigwa rejea mazungumzo ya awali, hata kama hukuyaona hayo mwanzo, wewe ni mtu mzima amini Cha mwanzo kilikuwa kinainua chama sasa unataka kubomoa. Heri ungeondoka peke yako ungeheshimika. Kwa hili CHADEMA itabaki hai, hutathubutu kukiua. Kumbuka ulihusika kukijenga kikawa imara. Kwa hili tu hutaweza kututweza ili tuaangamie.
Hafai iwe kafanyiwa ama la,ni sawa na kutoka Siri za mwenza wako Kwa kuwa tu ameukataa, ni aibu sana kwake na huenda anahama chama ndo tafsiri halisi, liko jambo huyu nadhani hawafai chadema , wameruhusu aende huko anakolenga, jeni mchungaji kweli?😮
Msigwa amehusika kutoa rushwa aliwapafedha kwnye sim nakuchukua sim za wajume nawajumbe ndio walio lalamika nakudai kua msigwa kachukua sim zetu kwakua ametuingizia hela ili tumchague. Chadema wampe nafasi ya uwenyekiti wa tawi.
Uyu msigwa rema alimshitukia mda mrefu, nawaambia kama angepita uyu kanda ya nyasa alikuwa anakwenda kuiuwa kisiasa, wewe ondoka chadema mapambano yanaendelea. Mbowe anafanya kazi kubwa sana na ndiye aliyekubeba. Ulikuwa aujulikani kabisa leo wakumnenea mbowe mabaya? Subiri majibu ya sugu sasa
Naiona Chadema ikiingia katika mtego wa CCM. Kumbukeni huyu mtu aliwahi kutajwa kwenye kuunga juhudi mkono kisha akakimbia . Jini Hilo halijamtoka . Take my word Ngurumo
@@AnsbertNgurumokweli kabisa kiongozi, short reply but smart and critical, CHADEMA haitaweza kufa mpaka mpango wa Mungu kuivusha Tanganyika na Tanzania kwenda nchi yabahadi yatimie, anayeona maslahi yake CHADEMA ni muhimu kuliko ya taasisi but atadhirika yeye na si vinginevyo. VIVA CHADEMA VIVA MPANGO WA MWENYEZI MUNGU
Awali alitudanganya kukubali matokeo! Makosa yakifanyika, chukua mapungufu na ushahidi mukayajenge, Acha mambo mengine yaendelee bado ananafasi na KAZI kubwa ya ukombozi
Nimeshangaa sana kwa mtu kama Msigwa kuyasema hayo cha msingi hizo ni tuhuma nzito hivyo ni vyema chama kitoke na litolea ufafanuzi kuhusu hizo tuhuma. na msigwa apewe nafasi ya kuthibitisha tuhuma hizo hata ikiwezekana kiwe kikao cha dharura, akithibitisha hatua kali zichukuliwe na hakishindwa pia hatua kali zichukuliwe kwani ni utovu wa nidhamu kwa mtu aliyekuwa kiongozi na mwenye maamuzi ndani ya chama kuyasema hayo ya Msigwa.
Lakini Mchungaji Msigwa si Mchungaji . Huyu ni Shetani anayejificha kwa kivuli cha jina la uchungaji.Hafai alitoka CCM akaenda NCCR mageuzi Chadema na sasa tena CCM hafai huyo anatafuta Cheo tu.Atakapo nyimwa cheo ataomba kurudi tena CHADEMA.
Msigwa anaelement za kuhama chama ,na Kwa jicho la darubini nyuma ya msigwa Kuna CCM,huyu tumpuuze.niking'ang'anizi wa madaraka.? Msigwa alifaa kuwa mfano wa kuheshimu matokeo, swali ,je msigwa angeshinda yy angeyasema hayo?
Kuna siku alitembelewa na marehemu magufuli jimboni mwake akiwa mbunge...na akamsifia. Siku moja baadaye bungeni akaanza kumponda, wakamkumbusha mbona ulimsifia, akajibu kitu kama sikuwa serious, leo ndiyo nipo serious...Binafsi niliona tatizo kubwa sana la kiuongozi kwa Msingwa kwani kiongozi lazima awe mtu unayeweza kusimamia maneno yake. Ndiyo pia tunachokiona hapa, kabla ya uchaguzi anasema hivi baadaye anabadirika.
Yaani Chadema pamoja na wewe Mtu akiamua kusema ukweli wa moyo wake mnasema ananunuliwa?😢 Binadamu ni mtu na anahisia zake, ila akitokea upande wa pili mnasema kafuata haki 😅 Huwa mnachekesha sana na kuhuzunisha.
Lakini mbona Tundu lisu alisema kuna rushwa ndani ya Chadema lakini watu wamekaa kimya? mi nadhani msigwa anakaukweli flani na inabidi Chadema wajitafakari sana wengine mlio inje mtasema lakini kilichopo ndani kinaweza kisiwe sawa.
Msigwa alibebwa na mbowe sana na kwa sababu alikuwa akimuhonga mbowe sana alikuwa anasaliti wenzie sana hata kuondoka kwa zitto alichangia sana sasa muosha huoshwa
Mch Msingwa unaoneka kukisaliti chama kabla na baada ya uchaguzi ksababu ya kumunga mkono mbunge SAS wa jimbo la Iringa mjini, si ajabu umelamba noti, unatafuta sababu, jimbo la Iringa Chadema kwa ww litakosekana.
Yaelekea msigwa baada ya kutangaza kukubali kushindwa alienda kufanya kikao na maadui wa chadema ndio wakamshawishi kuchafua Chadema. Tusubiri kidogo Kuna dalili ya kuchepuka... Tuendelee kufuatilia.
Dah ansbert ni mchambuzi nimemkubali sana huyu msigwa chadema wa muangalie Kwa macho mawili Mimi SI chadema ila napenda upinzani imara na ustaarabu. Wa siasa lakini ukiona mtu anatoka Siri za chama huyu tayari ameishaanguka.ushauri Kwa mh mbowe awe mtaratibu tu na afanye siasa za ustaarabu sababu mamluki anao wengi sana
Mchungaji nini kimempata?yeye si amesoma biblia na anaielewa? Huyu roho mbaya amemnyemeleaje na kumwingilia? Akumbuke ameshaelekezwa la kufanya na afanye hima!
MH PETER MSIGWA "MCHUNGAJI" AMENI SIKITISHA SANA. SIKUTEGEMEA KAMA ANGEONGEA MANENO HAYO. NIMEFEDHEHEKA NAFSINI MWANGU KWAAJILI YA KAULI ZAKE KWENYE PRESS.
Nafikiri kuna watu wako nyuma yake ndio wanaomsukuma ila anaharibu zaidi kuliko kujenga!. Yeye anafikiri yeye yuko juu ya chama na anaweza kukipasua kama ataondoka, anashindwa kukumbuka hata Dr Slaa aliondoka lakini hakuleta madhara yoyote!.
Munyalu huyu hofyo kabisa yaani unajivua chupi hadharani hivi et kisa ni madaraka!!!! Hata ckutegemea hofyo kabisa ila sisi bado tupo na cdm yetu,, cdm ilikuheshimisha sana!!! Yaani kumbe hata uchungaji mwachie Abihudi we umekuwa mbwa mwitu mla kondoo😭😭😭
Matusi yote ya chadema juu ya CCM tulijua kuwa chadema ni malaika kumbe Nao Ni Wana wa belzebuli?! Watoa rushwa na Wala rushwa wakubwa wezi wa kura katika chaguzi zao za ndani Komeni sasa kuiandama CCM
Hii ni sawa na mtu kulipwa million kumi ukanye msikitini, umejidhalilisha sana bro,heshima yote imeondoka kwa sekunde,nani kakuloga sikujua una kichaa,dah🤔!..
Kwani alichokifanya Msigwa na CHADEMA kwa ujumla kinatofauti gani na suala la kusema Lowassa ni Fisadi na badae kusema ni msafi. Kuna kosa gani badae ukigundua kwamba haki haikutendeka ukachukua hatua zingine.
Kibaya zaidi alichofanya Msigwa kwa mujibu wa sauti iliyofuja ni kauli za kitoto, za kipuuzi, za chuki na unafiki kwa kumsimanga M/kiti wa chama chake eti yeye ni "kulambwa miguu" na watu wake na kwamba Mbowe anataka kubaki na watu anayewapenda na hawezi kujipendekeza kwake na maneno mengine ya dhihaka !!!! Huyu Msigwa hana ukomavu wa kisiasa amevamia fani kutafuta maslahi binafsi na nina mashaka kama kweli ana taaluma na sifa ya kuwa mchungaji.
Mbowe anataka Uwenyekiti wake uendelee maisha sasa anabadilisha Viongozi ili wampigie kura ndiyo maana Zito alitoka hicho ni Chama cha kikabila Wachaga kwanini Mbowe asitoke wanachama wake wamemchoka kabisa
Kungekuwa na kina Ngurumo km kumi nchi hii hakika taifa lingenyooka i wish Mh Ngurumo angekuwa Wazir mkuu nchi ingenyooka jamaa anajua tumpe maua yake i wish nikutane nae live huyu mtu hakika ni mtu na nusu
Nilimpenda sana Msigwa , Lakini sasa najuta, kumbe ni wa Maslahi tu. Kule zanzibar karibuni Muheshmiwa Mazrui ataungana na Msigwa. Watu wa aina hii bora wajulikane mapema.
msigwA has capacity of creat lmotion into chadema we can say anything but reality stil there kwahiyo tusimbeze msigwA abauwezo mkubwa ktk siasa ndivyo ilovyo
Tatizo ni sisi wàpigakula hatujitambui tumekua tukiwashabikia wanasiasa badala ya kuwaunga mkuno wachapa kazi bila kujali chama,lkn pia tunasahau kua hao wanasa wao ni sehemu ya ajira,ndiomaana hawawezi kupishana kwenye maswala ya poshozao mishahalayao Wala viinua mgongo vyao,mbunge akimaliza miaka mitano analipwa sh.milion mia mbili hamsini lkn mwalimu miaka 35 analipwa million 60. Huadaima kwenye maswala ya pesa wanaungana wabunge wote.sasa akitokea mchapa kazi Kama mama,magu,sabaya,makonda wote hua wanaungana kuwapiga vita wakiwemo hata wa chama Chao,wanaanza kupambana kuwatafutoa kashifa ili waendelee kuufunika uiziwao.
Salamba peter achana na ccm...mgombane wenyewe msingizie ccm!!! Kwani chadema kuna miungu watu au chadema ni mungu mpaka wanachama wasihoji chochote???!!! Mtasubiri sanaaaaa!!!
Msigwa hata huko CCM uliko nunuliwa ukiteuliwa kugombea nafasi ukashindwa bado utalalamika hivyo hivyo, kwa maana hiyo wewe sio mwanasiasa mwadilifu kama unavyo jinadi. Kumbuka uchaguzi wa huko nyuma ulicheza rough ukamtoa Wakili Mwambikusi Hadi akahama Chama. ACHA TAMAA YA MADARAKA.
Hakuna ya hivi. Ali hiki fanya sivyo. Nimekuelewa disappointed naye. Hapa unaona moja kwa moja kajidharilisha mwenyewe kwa kauli mbili tofauti. Na hii ni tatizo kubwa kwa mtu mwenye hekima na heshima. Kashindwa kuzitawala hasira zake na hii imetuonyesha upande wa pili wa ndugu Msigwa. Ana sura mbili tofauti. Namsikiyimia sababu angetulia kidogo na kutafakari, hata kama ameonewa angeita kikao ndani ya chama kwa maslahi ya chama na si kwenda hadharani namna hii. Inamaana Hana imani na chama bila yeye kuwa madaraka I.
Akina halima na wengine wengi walio ondoka na kuhamia kijanini, walijeruhi mioyo ya wengi, pia kuondoka kwa zito chadema pia kulijeruhi wengi, sasa Mchungaji tafadhali tafakari marambili , pia utulivu na subira ni busara kubwa. Vinginevyo utajikuta unakuwa sawa na wengine, heshima yako chadema ni kubwa sana ungetulia kidogo, pia iringa bado unahitajika.
Ahsante sana Bwana Ngurumo kwa uchambuzi wa kina ambao umeweka suala hili wazi sana. Mchungaji ameonesha dhahiri kuwa ni mbinafsi na barakala la hali ya juu.
Awali nilidhani Msigwa ni mwadilifu ba mweredi katika siasa na kutafsiri Katiba ya chama chake hata ya nchi kumbe nilikuwa najilia upepo! Anatanguliza maslahi, hana uvumilivu ni mnafiki gataki kushindwa! Watu kama hawa hawafai kuwemo katika uongozi wa nchi yetu, wanatuchelewesha kusonga mbele wanatupeleka shimoni!
Ni kondoo kwa nje kunbe ndani ni mbwa mwitu
Nasema aseme ,mmbane aseme
Shida Nini si amekata rufaa?
umo nakusifia sanaaaa kwa ufuatiliaji hapo ujue Viongozi wengi hawapendwi kushindwa na asiyekubali kushindwa si mshindani vyama vingi ni Wasaka tonge gamna kitu hapo
Mch Msigwa kawashangaza watu wengi wapenda ukweli na demokrasia, kwani alikuwa akidhaniwa kuwa ni mtu msimamia kweli na mpenda mabadiliko yanayoifaa nchi, kumbe hafai kabisa!
WANAPOTEZANA SASA
Nlimpenda sana msigwa lkn kumbe ni kichaa. Kwakweli taifa letu, mungu pekee ndie atatusaidia.,
nilimwona msigwa n mwana harakati kumbe n CCM mjinga sana tena atakuwa yeye ndiye anavujisha siri za chadema
Chadema ina siri gani!!! Ujinga tu..
Bila shaka unatatizo. Leo ndio unaweza kusema hii pumba yako na alipokuwa kiongozi wako hukusema kuwa ni CCM mjinga.
Kama ulimwona msigwa anafaa na Sasa unaona hafai, maana yake hata waliobaki kama unawaamini wanafaa hawafai......😊😊😊😊😊
Ivi uyo anaitwa msigw au alima
NIMEKUKUBALI Sana KWA uchambuzi WAKO ILIKUWA busara asimamie HOJA ZAKE za kukubali kushindwa..
Msigwa unashangaza sana.unatia aibu.kwa kweli umenifanya nikufute kwenye kundi la watu makini.
Mchambuzi unastahili pongezi
Mchungaji Msigwa amechepuka baado chadema ni bora kuliko akina Msigwa mia mbili hakuna kusujudu kwa binadamu anae kufa wakati wowote chadema mpango wa Mungu
Mbona mnamsujudia mtu flani😂😂
Mpeni haki yake ya kusikizwa
Asante Ngurumo kwa ufafanuzi mzuri. Sasa tunafanyaje kukinusuru chama ma Msigwa? Nakuomba uwashauri chadema la kufanya
Uko vzr kwa hoja za kisiasa Asante
Nachompendea Mh Ngurumo anaongea kwa fact anaongea anakupa na clips za anayoyasema atoi maneno mdomoni anayasema wanaoyasema safi sana tunataka uchambuzi wa fact km huu na kuwa na kumbukumbu zote big up bro
Hongera mchambuzi
Hongera ipi kwa mchanbuzi huyu? kama ni ya kuchambua kwa interest ya chama chake sawa lakini je vipi Haki ya Wanachama wake?
Stay blessed Mkuu Ngurumo
Ndg Ngurumo nimekuekewa sana kupita kiasi. Nilikuwa najiuluza sana juu ya kauli hizi. Nilishauri sana baada ya uchaguzi kujwnga umoha zaidi na kuunganisha wanavhama lakini Mhe Mch Msigwa naona amekuja na agenda ya kubomia chama. Tutafakari kungali mapema, naona kuna kakipindi ka giza tunaweza kukapitia kabla au wakati wa uchaguzi mkuu ujaao. Mch amejichanganya au amewekwa makusudi kuchanganya mambo.
Hongera ngurumwa, kaza kamba kwa hao vipandikizi vya ccm ndani ya chadema, nafarijikaga kwa uchambuzi wako wa kila siku.
Leo hii ndio mnasema haya kweli kila anaegeuka basi amepandikizwa na CCM zito kabwe na alipotoka si alilalamika hivyohivyo mbona hakwenda CCM acheni upumbavu hiki chama watu wanatamaa sana na majungu mengi.
Mungu akubariki,akulinde, uendelee kutufafanulia. mambo ambayo hattuyajui,tupate kuyajua.wewe ni mtu muhimu. sana kwa nchi yetu.
Msigwa, Msigwa, Msigwa rejea mazungumzo ya awali, hata kama hukuyaona hayo mwanzo, wewe ni mtu mzima amini Cha mwanzo kilikuwa kinainua chama sasa unataka kubomoa. Heri ungeondoka peke yako ungeheshimika. Kwa hili CHADEMA itabaki hai, hutathubutu kukiua. Kumbuka ulihusika kukijenga kikawa imara. Kwa hili tu hutaweza kututweza ili tuaangamie.
Hafai iwe kafanyiwa ama la,ni sawa na kutoka Siri za mwenza wako Kwa kuwa tu ameukataa, ni aibu sana kwake na huenda anahama chama ndo tafsiri halisi, liko jambo huyu nadhani hawafai chadema , wameruhusu aende huko anakolenga, jeni mchungaji kweli?😮
Asbert Ngurumo,wewe ni jasusi wa haya mambo
😂😂😂😂
Msigwa amehusika kutoa rushwa aliwapafedha kwnye sim nakuchukua sim za wajume nawajumbe ndio walio lalamika nakudai kua msigwa kachukua sim zetu kwakua ametuingizia hela ili tumchague.
Chadema wampe nafasi ya uwenyekiti wa tawi.
Alipongezwa na watu wengi sana siku ile ya mwanzo.Lakini alipobadili mtazamo,watu walimshangaa sana.Kunusuru hilo imebidi aitwe na Tundu Lissu Singida
Uyu msigwa rema alimshitukia mda mrefu, nawaambia kama angepita uyu kanda ya nyasa alikuwa anakwenda kuiuwa kisiasa, wewe ondoka chadema mapambano yanaendelea. Mbowe anafanya kazi kubwa sana na ndiye aliyekubeba. Ulikuwa aujulikani kabisa leo wakumnenea mbowe mabaya? Subiri majibu ya sugu sasa
Naiona Chadema ikiingia katika mtego wa CCM. Kumbukeni huyu mtu aliwahi kutajwa kwenye kuunga juhudi mkono kisha akakimbia . Jini Hilo halijamtoka . Take my word Ngurumo
Imeshaingia lakini itavuka salama
@@AnsbertNgurumokweli kabisa kiongozi, short reply but smart and critical, CHADEMA haitaweza kufa mpaka mpango wa Mungu kuivusha Tanganyika na Tanzania kwenda nchi yabahadi yatimie, anayeona maslahi yake CHADEMA ni muhimu kuliko ya taasisi but atadhirika yeye na si vinginevyo.
VIVA CHADEMA VIVA MPANGO WA MWENYEZI MUNGU
Huyo haifai kabisa maana hata kuongeza anakuwa na hasira
😂😂 na tumwombee litoke aendelee kubaki chadema@@AnsbertNgurumo
Msigwa umenifanya mpaka natoa machozi, jitafakari
Awali alitudanganya kukubali matokeo!
Makosa yakifanyika, chukua mapungufu na ushahidi mukayajenge, Acha mambo mengine yaendelee bado ananafasi na KAZI kubwa ya ukombozi
Nimeshangaa sana kwa mtu kama Msigwa kuyasema hayo cha msingi hizo ni tuhuma nzito hivyo ni vyema chama kitoke na litolea ufafanuzi kuhusu hizo tuhuma. na msigwa apewe nafasi ya kuthibitisha tuhuma hizo hata ikiwezekana kiwe kikao cha dharura, akithibitisha hatua kali zichukuliwe na hakishindwa pia hatua kali zichukuliwe kwani ni utovu wa nidhamu kwa mtu aliyekuwa kiongozi na mwenye maamuzi ndani ya chama kuyasema hayo ya Msigwa.
Msigwaaaa nenda tena nani kakutuma na hao wapambe wako goooo go go go uko hovyoooooo thamani ilikuwepo kwa cheo sasa tumekujua
Wewe ni Mwandishi mwandamizi, ambaye unaweza kusaidia nchi kwa uchambuzi mzuri.
Ameharibu sanaa, amejishushia hadhiiiii
Lakini Mchungaji Msigwa si Mchungaji . Huyu ni Shetani anayejificha kwa kivuli cha jina la uchungaji.Hafai alitoka CCM akaenda NCCR mageuzi Chadema na sasa tena CCM hafai huyo anatafuta Cheo tu.Atakapo nyimwa cheo ataomba kurudi tena CHADEMA.
Acha kutetea chama kwa kila kitu
Najadili hoja iliyo mbele yetu. Leta hoja yako. Kila kiu? Kipi, kipi, na kipi?
Msigwa anaelement za kuhama chama ,na Kwa jicho la darubini nyuma ya msigwa Kuna CCM,huyu tumpuuze.niking'ang'anizi wa madaraka.? Msigwa alifaa kuwa mfano wa kuheshimu matokeo, swali ,je msigwa angeshinda yy angeyasema hayo?
Ndio ujue kila binadam anapenda kua juu hapendi kushindwa hat awe mchungaji shekhe .
Na pia km kuna kasoro lazima zisemwe ili wat wajue kilichojificha ndani.
Kuna siku alitembelewa na marehemu magufuli jimboni mwake akiwa mbunge...na akamsifia. Siku moja baadaye bungeni akaanza kumponda, wakamkumbusha mbona ulimsifia, akajibu kitu kama sikuwa serious, leo ndiyo nipo serious...Binafsi niliona tatizo kubwa sana la kiuongozi kwa Msingwa kwani kiongozi lazima awe mtu unayeweza kusimamia maneno yake.
Ndiyo pia tunachokiona hapa, kabla ya uchaguzi anasema hivi baadaye anabadirika.
Ni kweli aliwahi kufanya hivyo
Irrational analyst. Congrats. I am not a CHADEMA man ,but I like your analysis of political matters
Asiye kubari kushindwa si mshindani,kubari kushindwa msigwa.
Umechemka MSIGWA ni heri ungeunga juhudi kipindi cha Mwendazake kama walivyofanya Wenzio.!
tena ikitokea hakashindwa kuthibitisha AFUKUZWE UANACHAMA.
Msigwa umetia aibu sana sana mchungaji muongo kuwahitokea
Yaani Chadema pamoja na wewe Mtu akiamua kusema ukweli wa moyo wake mnasema ananunuliwa?😢 Binadamu ni mtu na anahisia zake, ila akitokea upande wa pili mnasema kafuata haki 😅 Huwa mnachekesha sana na kuhuzunisha.
Lakini mbona Tundu lisu alisema kuna rushwa ndani ya Chadema lakini watu wamekaa kimya? mi nadhani msigwa anakaukweli flani na inabidi Chadema wajitafakari sana wengine mlio inje mtasema lakini kilichopo ndani kinaweza kisiwe sawa.
Hukumuelewa alikuwa na maana fedha zimemwagwa kule ili kuwanunua na kufarakanisha chama cha Chadema
Mwahachie sugu hata Kama hameonga
Changamoto kubwa sana
Msigwa umejulikana,watu hatushangai
Chadema ilikuwepo, na itaendelea kuwepo. Hatafanikiwa chochote
Msigwa alibebwa na mbowe sana na kwa sababu alikuwa akimuhonga mbowe sana alikuwa anasaliti wenzie sana hata kuondoka kwa zitto alichangia sana sasa muosha huoshwa
Hakika ngurumo umetupa darasa kamili🎉🎉🎉🎉
Msigwa hata kenye mdahalo alipwaya sana. Sugu alitulia sana
Hivi Kama Mgombea Unawezaje kujua Nani atakupigia kura kabla kura hazijapigwa?
Mi swali gumu sana, maana kura ni siri ya mpiga kura.
Hongera Msigwa kwa kutufungua macho Kumbe ndani kuna uchafu
Mch Msingwa unaoneka kukisaliti chama kabla na baada ya uchaguzi ksababu ya kumunga mkono mbunge SAS wa jimbo la Iringa mjini, si ajabu umelamba noti, unatafuta sababu, jimbo la Iringa Chadema kwa ww litakosekana.
Nimekuelewa ngurumo. Uko vizuri Sana. Nilitumia lkn umenifariji Sana.
Msigwa keshaona jimboni pagumu jesca yupo vizuri mfungeni kamba huyo atatoroka😅😅😅😅😅
Ngurumwa nakukubali Mno Mchambuzi Wangu, Hongeraaa sana napenda Mno Kazi na chanel Yako....
Yaelekea msigwa baada ya kutangaza kukubali kushindwa alienda kufanya kikao na maadui wa chadema ndio wakamshawishi kuchafua Chadema. Tusubiri kidogo Kuna dalili ya kuchepuka... Tuendelee kufuatilia.
Au alikua mda mrefu mguu moja ndani mwingine nje .Mtu mwenye kuishi kibinafsi kimtegomtego
Msigwa mmmmmmm
Hawa wanasiasa uchwala tu Mzee gurumo ni wachumia tumbo mi nilitegemea kuwa kukibali kushindwa na sio kuja adharani kulalamika
Tatizo msigwa umezoea kula kupitia cdm. Ukihamia CCM utakula zaidi.
Siasa bwana yani sugu anamshinda msigwa😂
Mchambuzi uko vizuri, hongera
Mbona uli kubali Mwenyewe kumbee hata tume ya uhadema sio huru kama ya Taifa haya sasa fungeni Midomo yenu
Hajasema yeye ni Chadema anachambua tu
Dah ansbert ni mchambuzi nimemkubali sana huyu msigwa chadema wa muangalie Kwa macho mawili Mimi SI chadema ila napenda upinzani imara na ustaarabu. Wa siasa lakini ukiona mtu anatoka Siri za chama huyu tayari ameishaanguka.ushauri Kwa mh mbowe awe mtaratibu tu na afanye siasa za ustaarabu sababu mamluki anao wengi sana
Wasioelewa leo, wataelewa kesho!
Prophetic!!!
Mchungaji nini kimempata?yeye si amesoma biblia na anaielewa? Huyu roho mbaya amemnyemeleaje na kumwingilia? Akumbuke ameshaelekezwa la kufanya na afanye hima!
MH PETER MSIGWA "MCHUNGAJI" AMENI SIKITISHA SANA. SIKUTEGEMEA KAMA ANGEONGEA MANENO HAYO. NIMEFEDHEHEKA NAFSINI MWANGU KWAAJILI YA KAULI ZAKE KWENYE PRESS.
Asanteee mchambuzi uko vzr sana Balikiwaaa sana
Hapo kwa Njombe umejipotosha Alichosema Msigwa ni baada ya rufaa uchaguzi uliitishwa tena na ukavurugwa
Watu hawajui
Msigwa kakosea sana.Huku ni kutaka kukibomoa chama.
Huyu ni kiongozi mzuri japokuwa anaweza kuonekana na madhaifu madogo madogo kama hayo . Lakini bado ni kiongozi
Nafikiri kuna watu wako nyuma yake ndio wanaomsukuma ila anaharibu zaidi kuliko kujenga!. Yeye anafikiri yeye yuko juu ya chama na anaweza kukipasua kama ataondoka, anashindwa kukumbuka hata Dr Slaa aliondoka lakini hakuleta madhara yoyote!.
Munyalu huyu hofyo kabisa yaani unajivua chupi hadharani hivi et kisa ni madaraka!!!! Hata ckutegemea hofyo kabisa ila sisi bado tupo na cdm yetu,, cdm ilikuheshimisha sana!!! Yaani kumbe hata uchungaji mwachie Abihudi we umekuwa mbwa mwitu mla kondoo😭😭😭
Uko sahihi kbs anasema sitaki kukikchafua chama changu wakati ameshakishafua tayali yaan sielewi ana maana gan
Matusi yote ya chadema juu ya CCM tulijua kuwa chadema ni malaika kumbe Nao Ni Wana wa belzebuli?! Watoa rushwa na Wala rushwa wakubwa
wezi wa kura katika chaguzi zao za ndani
Komeni sasa kuiandama CCM
Nakubaliana na Wewe 10,000,000,000%
Hii ni sawa na mtu kulipwa million kumi ukanye msikitini, umejidhalilisha sana bro,heshima yote imeondoka kwa sekunde,nani kakuloga sikujua una kichaa,dah🤔!..
UKO VIZURI SANA BROTHER..HAKIKA TUNAHITAJI WATU WENGI KM WEWE KWENYE KUUSEMA UKWELI NA KUUSIMAMIA KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA...NIMEKUPENDAGA BURE EE
Kwani alichokifanya Msigwa na CHADEMA kwa ujumla kinatofauti gani na suala la kusema Lowassa ni Fisadi na badae kusema ni msafi.
Kuna kosa gani badae ukigundua kwamba haki haikutendeka ukachukua hatua zingine.
Pia ukichunguza kwa umakini anataka kuleta hoja mwenyekiti ni mbaya.
Kibaya zaidi alichofanya Msigwa kwa mujibu wa sauti iliyofuja ni kauli za kitoto, za kipuuzi, za chuki na unafiki kwa kumsimanga M/kiti wa chama chake eti yeye ni "kulambwa miguu" na watu wake na kwamba Mbowe anataka kubaki na watu anayewapenda na hawezi kujipendekeza kwake na maneno mengine ya dhihaka !!!!
Huyu Msigwa hana ukomavu wa kisiasa amevamia fani kutafuta maslahi binafsi na nina mashaka kama kweli ana taaluma na sifa ya kuwa mchungaji.
Pepo uyo ashindwe kwaza nimchungaji wanini ana civic mbuzi au mbna simuelew😃😃🤣🤣 kumbe kushndwa kunaumae
mh.umefafanua vizuri sana ambaye hajakuelewa ni mchawi.
Mbowe anataka Uwenyekiti wake uendelee maisha sasa anabadilisha Viongozi ili wampigie kura ndiyo maana Zito alitoka hicho ni Chama cha kikabila Wachaga kwanini Mbowe asitoke wanachama wake wamemchoka kabisa
WEWE MCHAMBUZI AMUACHI UKABILA WAKICHAGA MAAMUZI YA MWENYE KITI TUNA JUWA NDIO MAANA AMUWEZI KUONGOZA NCHI HII
Kungekuwa na kina Ngurumo km kumi nchi hii hakika taifa lingenyooka i wish Mh Ngurumo angekuwa Wazir mkuu nchi ingenyooka jamaa anajua tumpe maua yake i wish nikutane nae live huyu mtu hakika ni mtu na nusu
Nilimpenda sana Msigwa , Lakini sasa najuta, kumbe ni wa Maslahi tu. Kule zanzibar karibuni Muheshmiwa Mazrui ataungana na Msigwa. Watu wa aina hii bora wajulikane mapema.
Ukiona kuna moshi ujue kuna moto, zitto kabwe alilalamika CHADEMA hakuna haki, wakina halima mdee walilalamika, pia mbowe alishaenda ikulu kuchukua rushwa
mzee ngurumo wewe ni bingwa bobezi wa uchambuzi na nitaendelea kukufuatilia ili nipate asali ya ya ubongo
Kweli kabisa kabisa
Msigwa is too ambitious!
msigwA has capacity of creat lmotion into chadema we can say anything but reality stil there kwahiyo tusimbeze msigwA abauwezo mkubwa ktk siasa ndivyo ilovyo
SK MEDIA is so brighter Media so fact more than Fact i do apriciate on you bro upo vizur xana sijaona mchambuzi makini km ww bravo to you bro
Tatizo ni sisi wàpigakula hatujitambui tumekua tukiwashabikia wanasiasa badala ya kuwaunga mkuno wachapa kazi bila kujali chama,lkn pia tunasahau kua hao wanasa wao ni sehemu ya ajira,ndiomaana hawawezi kupishana kwenye maswala ya poshozao mishahalayao Wala viinua mgongo vyao,mbunge akimaliza miaka mitano analipwa sh.milion mia mbili hamsini lkn mwalimu miaka 35 analipwa million 60. Huadaima kwenye maswala ya pesa wanaungana wabunge wote.sasa akitokea mchapa kazi Kama mama,magu,sabaya,makonda wote hua wanaungana kuwapiga vita wakiwemo hata wa chama Chao,wanaanza kupambana kuwatafutoa kashifa ili waendelee kuufunika uiziwao.
Msigwa kajichanganya ,maneno yake
We msigwa usipoteze muda wetu nenda ccm maana wewe si wa kwanza kuhama wamehama wazuri kuliko wewe acha kubweka
Salamba peter achana na ccm...mgombane wenyewe msingizie ccm!!! Kwani chadema kuna miungu watu au chadema ni mungu mpaka wanachama wasihoji chochote???!!! Mtasubiri sanaaaaa!!!
Ngurumo wewe ni lulu ya taifa letu unaumuhimu sana kwenye uchambuzi wa mambo, hongera sana kaka kwa kuweza kutuelimisha kiasi kikubwa.
Msigwa hata huko CCM uliko nunuliwa ukiteuliwa kugombea nafasi ukashindwa bado utalalamika hivyo hivyo, kwa maana hiyo wewe sio mwanasiasa mwadilifu kama unavyo jinadi. Kumbuka uchaguzi wa huko nyuma ulicheza rough ukamtoa Wakili Mwambikusi Hadi akahama Chama. ACHA TAMAA YA MADARAKA.
Politician always they are there for their benefit kwa hyo sishangai kunena lugha kama hz na huyu anasumbuliwa na kukosa uongozi
Nimekusubili sana kuhusu hili hatimea nimefurahi usichekewe kutufafanulia
Umechambua vyema sana kiongozi wangu
Ndugu Ngurumo hakika unafaa kuwa mwalimu wa siasa, vilevile unaye Roho Mtakatifu anayekuongoza vema, aksante leo kwa ufafanuzi wa @Msigwa!
Hakuna ya hivi. Ali hiki fanya sivyo. Nimekuelewa disappointed naye. Hapa unaona moja kwa moja kajidharilisha mwenyewe kwa kauli mbili tofauti. Na hii ni tatizo kubwa kwa mtu mwenye hekima na heshima. Kashindwa kuzitawala hasira zake na hii imetuonyesha upande wa pili wa ndugu Msigwa. Ana sura mbili tofauti.
Namsikiyimia sababu angetulia kidogo na kutafakari, hata kama ameonewa angeita kikao ndani ya chama kwa maslahi ya chama na si kwenda hadharani namna hii. Inamaana Hana imani na chama bila yeye kuwa madaraka I.