"KURA ZA MWINYI NI ASILIMIA 20 TU." MIAKA SABA YA NINI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024
  • Ni tafakuri ya kilicho nyuma ya pazia la CCM kutaka Mwinyi apewe miaka saba ya urais. Sikiliza.
  • Hudba

Komentáře • 163

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Před 29 dny +9

    👏🏽Asante sana kwa taarifa Nguni kwangu, kaka yetu Mbobezi wa habari, always be blessed by our Father. 🙏🏾

  • @Hilali-ff5ul
    @Hilali-ff5ul Před měsícem +7

    Asante sana kaka mkubwa Kwa kututoa taka za sikio

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před měsícem +8

    Kama wamezoea kutufanya sisi wa Pemba ni chumio lao kwa zao la karafuu na mwani kuazia sasa wataisoma nr, barabara za Pemba zimewashinda, Bandari za Pemba zimewashinda, Uwanja wandege wa Pemba ni (maigizo) ya Hussein Mwinyi ya kutia (udhu) usiomaliza , maisha mabovu Zanzibar hususan ktk kisiwa cha Pemba.

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 Před měsícem

      Hamjijui Bado, mbuyu unawahusu tu!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 29 dny

      Wapemba turudi nyumbani tukajenge Pemba yetu, duniani ni sisi tu tunaojenga miji ya wenzetu waliobaki wote wanajenga kwao. Kabla ya Mapinduzi 1964 na miaka 9 Uongozi wa Karume Wapemba walikuwa Pemba na Waunguja Unguja. Na kwa mujibu wa Bwana Shamte Waziri Mkuu wa Zanzibar 1963, na chama chake ZPPP (Zanzibar and Pemba People's Party) Pemba sio Zanzibar.

    • @eddynaeem6708
      @eddynaeem6708 Před 29 dny +1

      we tuzudi wapi hapa hapa haturudi ushamaliza halafu tuzudi tumuwachie chinga alokuwahajatahiriwa ndugu yangu hapahapa hapakwetu na kule kwetu baada ya siku kidogo watatuelewa wamachinga

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 28 dny

      Haji kwani wale wananchi waliopo Pemba sio wapemba ?.warudi Pemba kwa maana wasiende kutafuta maisha sehemu nyingine katika dunia hii ,mbona wachina wapo Tanzania ,Uganda na sehemu nyingine vipi na wao warudi kwao ,wacha fikira za kitoto za kuonesha unaongea sana kwa mirengo ya kiitikadi ya chama bila ya kusimamia ukeli ulivyo.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 27 dny

      ​@@jumamohamed3168wachina wanajenga kwao,nendeni kwenu

  • @jabiridrissa8280
    @jabiridrissa8280 Před měsícem +9

    Ahsante Kamanda AnsbertNgurumo kwa hichi kitu kizito miilini mwa wakuu wa CCM. Hawakujui, Watakujua tu!!!

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před měsícem +9

    Nadhani Lisu na wenzake watakuwa wamesikia na waelimishe wananchi sina mashaka na Zanzibar lakini kwa Watanganyika ni wepesi kuyumbishwa na kutolewa kwenye mjadala wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před měsícem +5

    Ubarikiwe mtumishi kwa kutuelimisha

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +11

    Sasa nimekuelewa vzr sana baada ya kusema wamemtenga nakumbuka kauli ya Raisi mstaafu AMANI ABEDI KARUME alisema kwenye msiba wa Mzee Mwinyi namnukuu...Baba ako alikuwa anatushilikisha hii inanipa picha sasa

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před 29 dny +12

    CCM WAENDELEE KURUKARUKA WEEEE ILA TUNAWASUBILI KWENYE UCHAGUZI. AWAMU HII KITAELEWEKA TU,
    WASIDHANI TUTAENDELEA KUWA WAJINGA MIAKA YOTE "

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Před měsícem +5

    Nipo active mzee wangu, shukran kwa article nzito inayo amsha watu ✅

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před 29 dny +6

    Nakubali kwa hili

  • @user-fq2nu2fr2w
    @user-fq2nu2fr2w Před měsícem +4

    Ni vizuri kwa viongozi wenye Mawazo ya kubadili katiba iwe siku zote mabadiliko hayo yawe yanaanza na wengine siyo hao wanaofanya mabadiliko hayo

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před měsícem +8

    NASHAURI wapinzani wawe makini na LUAGA MPINA. Isije kuwa inatengenezwa inshu ya yeye kutolewa ili wapinzani wamkumbatie nakumpa nafasi ya kugombea uraisi. Na kuna Mh NDUGAI pembeni ametuliaaaa... Wapinzani kazi kwenu kumvuta Mh Ndugai na Mh Mpina halafu mkishashindwa uchaguzi wanarudi kuunga juhudi kama Mh hayati LOWASA na wengineo.... 🙏

    • @knight6757
      @knight6757 Před měsícem +1

      👍

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Před měsícem

      @@knight6757 watalawa wajanja sana. Hata ukichunguza wapinzani kwasasa wanampromot sana MPINA baada ya kuona kaenda kinyume na watawala. Hii inaonesha wapinzani bado hawana jicho la tafakur. Wangekuwa nalo hata wasingemzungumzia MPINA wangekomaa na katiba mpya na misimamo yao. Siku ile KINANA katikisa kidogo wapinzani wote wakaanza kumpigia debe...

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      Sio kweli

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Před měsícem

      @@MathewNathan-yb2bz nimesema USHAURI sijasema ni ukweli au sio ukweli. Kama unafatilia chama cha CHADEMA hakuna mgombea wa uraisi aliyegombea awamu 2. Kila aliyewahi kugombea hakugombea tena. Mbowe aligombea mala moja tu, Dr Slaa, Lowasa hata Tundu Lissu mala moja tu. Je, atakayegombea awamu hii ni nani!?... Hapo ndipo panapelekea kutafuta mtu mwenye ushawishi. Je, kwawapinzani unazani kwasasa nani mwenye ushawishi!?. Mh Tundu Lissu, Mh Mbowe, Mh Mwabukusi, Mh Dr Slaa au Mh Ndugai !?. Tumia upeo mpana halafu vuta picha utapata jibu hatakama sio sahihi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      Acha na Mhe. Lowasa kabisa yeye ndie aliyetakiwa na CHADEMA na sio yeye kuitaka CHADEMA kwa sababu ya likebility yake ya voters

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +5

    Wanzanzibar waachwe wajichagulie Rais wao wenyewe wanaemtaka.CCM iache kuwachagulia mpeperusha bendera wa urais Dodoma.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem +2

      Tatizo ni Muungano, vyama vyote Wagombea Urais Zanzibar huchaguliwa Tanganyika.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +1

      @@hajihassan5433 Hakuna siku hata moja wapinzani wakachagua mtu asiyekubarika huko Zanzibar.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      @@MathewNathan-yb2bz Kukubalika unatumia kigezo gani? Hoja ibakie kwa nini asichaguliwe Zanzibar. Kama CCM ni Dodoma vyama vingine mji mwingine lakini Tanganyika. Juzi alichaguliwa Mwenyekiti Tanganyika. Nani unadhani hakubaliki na nani anakubalika Zanzibar. Issue ni wewe kumkubali fulani na kumkataa fulani lkn wengine ni kinyume chako.

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 14 dny

      Mimi si mwana siasa lakini naamini Raisi CCM anachaguliwa znz na sio bara kwani wao si ndo wanaowapeleka wale watatu wanaowafaa baada ya kuwachuja wengi? Ninavyofahamu wanamaanisha sisi wazanzibari tumemridhia yeyote katika Hawa kwa hiyo Chama kimpe barka mmoja Hivi kiongozi mkuu wa CHADEMA au NCCR au ACT anachaguliwa wapi?

  • @talents7934
    @talents7934 Před 28 dny +2

    Wakenya mnajitambua sana Shkamooni karibuni Tanzania

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před měsícem +5

    Hongera SK Media kwa kutegua kitendawili hiki cha Zanzjbar eti mtendaji mzuri kumbe hofu kuu kama iili ya mtawala wa Misri Pharaoh kupita bahari Sham kuwafuata watu Mungu, wana wa Israel kuelekea nchi ya ahadi.!mheshi.iwa Luaga Mpina usihofu ya kwako na waziri Bashe ni manzoni wa anguko la Babeli, tusibiri tuone!

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před měsícem +4

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 Před 25 dny +1

    Mwinyi binafsi ninakupenda kama baba/au babu lakini unamoyo wa ubinadam epuja kauli za wanaojikomba kwako, nisubiri zanzibar maana hata nagufuli aliitwa wa mikele na akawa wa chap!! Nikonjiani fanya kwa weledi na udiwe wa maaana kwakujimaaanisha, urais ni mtamu na wengi wameandaaa ndimi zao, unapozidi kulamba mwenyewe watakulamba wewe na wataikuta asaliyote ulio ilamba kabla, si unaona mzinga wa magu ni mgavu, hata nyuki wanaogopa kuusogelea haufai wameunaliziathanami, MUNGU AKUPEMAISHA MAREFU HUSENI, AMIN.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +3

    Hii nchi ya DEMOKRASIA kama mnajiamini agombee tu ataongezwa miaka 5 badala ya miwil

  • @Worldunite
    @Worldunite Před měsícem +4

    Katiba mpya inaweza ikamuongezea ama kubakia km ilivyo sasa, lkn hii tuliyonayo ni awamu 2 tu

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 29 dny

      Sasa kelele za nini CCM au yoyote kutaka mabadiliko ya muda wa Urais ndio anataka Katiba Mpya na ndio current issue!

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Před měsícem +7

    CCM imepoteza radha ya kuongoza kote bara na visiwani.

  • @workmantiktok
    @workmantiktok Před 24 dny +1

    wee mzee nitako kweli

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes3027 Před měsícem +3

    CCM wanajua wanacho fanya wanaanzia Zanzibar wakifaulu wanakuja Tanganyika

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 29 dny +1

    Aise, Ngurumo umenena, nimejifunza mengi kupitia makala hii, chukua ua 🎉 lako kwa kutuelewesha mengi kati ya mengi tusiyoyajua kuhusu *Zanzibari*.

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg Před 28 dny

    Shukran kaka ripoti imezid kutufungua macho kumbe hata wao wameshauona ukweli Allah awepe uoni mwema zaid

  • @ramakira7895
    @ramakira7895 Před 27 dny +2

    Nikuongeze usicho kijua wananchi wa zanzibar wako hoi taaban wao kazi iliobak wanagawana tuu VXR

  • @workmantiktok
    @workmantiktok Před 27 dny +1

    wakatoliki mekaa wasenge wasenge watu wanao penda vurugu vurugu kila sehemu mnataka makae nyny nyie ndo mnafanya mpaka mataifa ya Africa hayaendelei

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před 29 dny +3

    Hayo ni kweli.

  • @hubahonlinetz2071
    @hubahonlinetz2071 Před 28 dny +1

    Acha ujinga mwiny ndo chaguo letu

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 28 dny +1

    unaanza kuchechea ?!?au anataka kuleta vita na migogoro kisiwani ????

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Před 28 dny +1

    Zanzibar wanamsimambo sana.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 29 dny +1

    Kitendawili kinaanzia serikali ya Ccm bara kwenda serikali ya ccm Zanzibar,sasa ni kazi bure kutoa madhambi ya baba mdogo kupeleka kwa baba mkubwa..

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Před 28 dny +1

    Maneno mazima uloongea lakini watu wenye akilu finyu eatamtetea mwingi

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 25 dny +1

    Mhe: Rais tunae na tunatamba nae... weee zua mpka ufe kumanina zako na kipara chako

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem +1

    zanxibar kuna wahafifhina wanataka kuifanya zanxibar ni miliki yao,kwanza zanxibar ccm haikubaliki ila mwinyi anakubalika!!

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Před 29 dny +1

    Tumekuelewa Ngurumo!

  • @AbuuBakar-t26
    @AbuuBakar-t26 Před 25 dny

    Zanzibar wakipata nchiyao na tanganyika watapata nchiyao kixa kutakuwa na muungano wenye faida kwa wananchi sio wenyenchi

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před 28 dny

    Thanks bro 🙏

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 Před 28 dny +1

    Hii itakua ni kweli kbs

  • @MUHIDDINMaboko77
    @MUHIDDINMaboko77 Před 26 dny

    Mnaposema Rais Mwinyi si mzanzibar nijuavyo mm wazanzibar wote asiliyao ni kutoka sehemu tofauti duniani,sasa uyo alokua kwao ni nani?

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 Před měsícem +2

    Aminia

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi Před 28 dny

    Apana mwnyi tinamtaka we ni mfitini tu.tunamtaka na tu tunamuitaji Sana .Ila c kwa mkataba wa miaka Saba

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Před měsícem

    Doctor Hussein Mwinyi amekataa huo ujinga,ni mtu anayejitambua na ameweka wazi kuheshimu katiba kwahiyo ameshafunga huu mjadala

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 29 dny

    Ccm nikiisikia nahisi kichefuchefu,ila Husein mwinyi namkubali sana ni kiongozi mzuri sana na anafanya mambo ya maendeleo sana

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz Před 26 dny

    CCM hajawahi kushinda hata mara moja wanatawala kwa ubabe na uhodari tu haya yote dhima hili wanalibeba ni Tume ya Uchaguzi na Vyombo vya Dola ndio wanafanya maamuzi ya kuwauwa uwaweka ji vilema kuwalawiti kuwafanya walemavu na kuwaacha mayatima wakilia na njia Nyinyi muna jukumu kwa Allah mutakwenda kujibu Viongozi wa CCM

  • @wilbartmugheri8258
    @wilbartmugheri8258 Před 29 dny

    Bro.hapo umetutupa jalalani, kwa hoja ya kuwa "Wana-CCM," wamekubali kuwa wamekubali na wapinzani wapewe nafasi waongoze😅 CCM walivyo walafi na madaraka, leo wakubali kweli wapinzani waongoze huko Zanzibar😂. Hayoooo mengine nakubaliana nayo, lakini sio wana-ccm kukubali upinzani uongoze Zanzibar, wapo tayari kwa serikali ya umoja wa kitaifa na si vinginevyo. Hayo ni maoni yangu ninavyoona.

  • @matiredms917
    @matiredms917 Před 28 dny

    Ni kweli kabisa Watanganyika wamelala usingizi mzito kabisa. Sijui walilishwa bangi ya aina gani. Wenzetu wa Kenya wanapambana na watawala waovu ambao ukilinganisha na watawala wa Tanzania hao watawala wa Kenya watakuwa ni malaika. Tanzania tunatawaliwa na mashetani. Watanganyika ni lazima tuamke na kumkataa huyu raisi ambaye hana uwezo mbabe jiizi na mwenye dharau kubwa.

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 28 dny

    Dhahaniaaa😢

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 29 dny +1

    👊✌️🙏

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Před měsícem +1

    Yaani Mzanzibari Hussein Ally Hassan Mwinyi aje kuwa Rais wa Tanganyika baada ya huyu Ajuza Bi Samia Suluhu Hassan? Hilo haliwezekani tena si kwa jina la Muungano wala uchawi wowote. Watanganyika hatutaki, hatutaki, hatutaki!!!

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před měsícem +1

      Huyo ni mtanganyika mwenzenu ila sema nyinyi wakristo wa Tanganyika hamtaki kwasababu mnataka akae mkristo mwenzenu

    • @user-vg9sd2fc1k
      @user-vg9sd2fc1k Před 29 dny

      😂😂😂😂Ajuza

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 29 dny

      Mtafute vizuri Mwinyi katoka wapi na nani kampeleka huko Zanzibar kuwa Rais si Magufuli jamaa yako…Sijuwi nani mkubwa kwa umri mama yako au Rais Samia ulomwita Ajuza??? Kwa miaka yake huyo Rais wako kwa wakati huu haitwi Ajuza. Lugha tunazijuwa siyo wajinga.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 29 dny

      @@mohdkhatib223Asante

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 29 dny

      @@user-vg9sd2fc1kHaichekeshi mtu akiitwa Ajuza (Kizee) hata wewe una vizee kwenu.

  • @chrispinboniface3329
    @chrispinboniface3329 Před 29 dny +1

    Hawana akili, siyo hata wa muhimu kias hicho mpka aendelee kuongoza nchi,, tuna viongozi wajinga sana wanajiona ni wa muhimu sana wakat walio wengi hawana umuhimu wowote na hata wakiondoka nchi itaendele tu bila shida yoyote

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před 28 dny

    Miyeyusho mitupu bongo tamu kaeni na ukimbizi wenu hivyo hivyo ovyoo,,🤣🤣🤣

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj Před 27 dny

    Tanganyika WALIMU wanakusanywa na mabosi wao wa Elimu wa Kitaifa wanaambiwa wakampe MAMA vema siku ya kuchagua.

  • @cyprianboniphace-oz5lw

    Wanaweza kubadili Samia akae miaka yote,walishafanya nchi hii ya kwao.

  • @SeifMjawir
    @SeifMjawir Před 29 dny +1

    Hhhhhhhhh😂😂😂😂😂 uchumi wa blue

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa Před 29 dny

    Hakubaliki kweli wala hawamchaguwa

  • @mirosasaromi6079
    @mirosasaromi6079 Před 21 dnem

    Hivi Wazanzibari mnamuelewa huyu jamaa??

  • @MUHIDDINMaboko77
    @MUHIDDINMaboko77 Před 26 dny

    We mzee muongo we huijui zanzibar mpumbavu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 29 dny +1

    ASANTE SANA BWANA NGURUMO

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Před 28 dny

    Mahospitali,mabarabara mijini na vijijini,viwanja vya michezo,masoko na mengine yanakuja kwa muda mdogo,hakuna Kama mwinyi,wote wivu tu,sisi wazanzibari tuna hisia za mapenzi makubwa kwa raisi wetu,mafisadi mtuache.

  • @MUHIDDINMaboko77
    @MUHIDDINMaboko77 Před 26 dny

    Kuna kiongozi mmoja wa act wazalendo anaitwa jusa kwn yule asili yake wapi

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 Před 29 dny +1

    Endelea kaka

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 28 dny

    Hivi kweli wananchi wawe hawataki kitu kweli wanahitaji kuhamasushwa????tazameni mfano wa rutto na serikali baada ya kuyatomasa maslahi yao muione nguvu halisi ya wananchi acha ya wanasiasa au nyie wachambuzi ilivyo kubwa halafu mlinganishe na issue ya wanasiasa na wanaharakati walio jaribu kulazimisha kuitumia issue ya bandari kwa maslahi yao na kujidai ni ya wananchi ilivyobuma pamoja na ya katiba !

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 28 dny

      Nadhani wewe unapuuza historia. Hata Wakenya hawakuwa hivi. Walijengwa taratibu baada ya kupitia tanuri la moto la Daniel Arap Moi. Unachoona leo ni matokeo ya mbegu iliyopandwa na akina Raila Odinga. Walianza babu zao. Baada ya serikali kutia pamba masikioni, wajukuu sasa nao wameamka.
      Soma vizuri historia ya Tunisia. Walikuwa wapole kuliko Watanzania. Na watawala waliwachukulia poa. Siku waliponyanyuka, hawakurudi nyuma.
      Anayepuuza hoja za wanasiasa na wanaharakati anajipuuza mwenyewe. Mbegu wanayopanda inapaliliwa na jeuri ya watawala na wafuasi wao.

  • @TimbeRum-v1p
    @TimbeRum-v1p Před 24 dny

    Habari za le0

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 Před 26 dny

    Asant mkuu Kwa elimu

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před měsícem +13

    Hakuna raisi aliekosa mapenzi kama Mwinyi hakuna rais aliefeli kama Mwinyi

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 Před 29 dny +1

      Lakini ndo ameibadilisha Zanzibar kwa miundo mbinu jamani…..
      Sijaona baya lake labda kama kuna mengine ya chini chini…..
      Ila ni Rais mzuri kabisa Mwinyi wa watu.
      Ila akae kwa mujibu wa katiba tu na wengine waoneshe uwezo wao wa kuongoza

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa Před 29 dny

      Kaibadilisha kwa njaa hafai pesa mbili na iyo mitano hawezi kupata hadi wauwe watu​@@gracethomas683

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Před 29 dny +2

      ​@@gracethomas683ndio tunaona hayo majengo lakini hakuna uwazi mahesabu ya ujenzi WASIKILIZE ACT WANADADA VUWA WIZI MKUBWA ULIOFANYIKA KUANZIA KIWANJA CHA AMANI NA MASOKO YOTE NI WIZI MTUPU

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 Před měsícem

    Rais Mwinyi ametoa kauli rasmi hana nia ta kuongeza miaka ya muhula na mjadala huo ufungwe.
    Lakini kuna hoja za hicho unachosema utafiti:-
    . Walitumia njia ipi kuwapata wahojiwa wa tabaka tofauti na mitazamo tofauti (methodology) ili matokeo yasiwe ya kupangwa.
    . Nani ana ushahidi na matokeo ya utafiti huo !!!
    . Je watafiti walitembelea maeneo mchanganyiko au walijikita maeneo waliotaka wao kwa sababu zao.
    . Hata kama ni kweli waliohojiwa wanataka upinzani kuongoza Zanzibar BILA SHAKA haiwezi kuwa CHADEMA kwa sababu ziko wazi tu Zanzibar chadema haina ushawishi na haina wafuasi wengi kama ACT WAZALENDO.
    . Kama uliyajua matokeo ya huo utafiti mbona hukusema kabla ulingoja mpaka mjadala wa kuongeza mhula kwa Mwinyi ndo na wewe ujitokeze??

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem +1

      Hii haitaki tochi... Mwinyi hatakiwi zanzibar ... afunge mlango wake waduka aondoke na virago vyake

  • @user-bo2ms3pu6u
    @user-bo2ms3pu6u Před 15 dny

    Nenda achana na Zanzibar ripoti hiyo ya mabwege

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 15 dny

      @@user-bo2ms3pu6u Asante kwa mchango wako wa maoni.

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 28 dny

    Kwa Nini miaka Saba ???ana ruhusa ya kujaguliwa Mara ya pili !! wewe unatokea wapi ???

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 Před 28 dny

    mafisadi hajafugwa hata mmoja wasikia kesi tuuu lakini hawafungi

  • @hamzahamid6262
    @hamzahamid6262 Před 28 dny

    Upuuzi mtupu, Huijui siasa ya ZNZ

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před 28 dny

    Matakwa ya msemaji siyo chama😫

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz Před 28 dny

    Kwani wewe ndie mwenyekiti Wa tume ya uchaguzi zanzibar acha ufedhuli

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před měsícem +2

    Haya maccm yamesha nikera sana ila basi tu, kwanini wanatuona cc wananchi mabwege? hovyo kabisa.

  • @mbarakahaji4302
    @mbarakahaji4302 Před 28 dny

    Wewe huijuwi znz waachie wenye znz.hakuna chama Cha kuitawala znz zaidi ya ccm.

  • @saidmakamo8764
    @saidmakamo8764 Před 28 dny

    Nenda zako uko ccm haogopi kitu kakoge uko upige na mswaki

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před 29 dny +3

    CCM. Hawakubalilki Zanzibar.

  • @SeifHikmany-bf4wt
    @SeifHikmany-bf4wt Před 13 dny

    Msafara wa Kenge.........

  • @mansourfedha2003
    @mansourfedha2003 Před 28 dny

    Wewe unawazimu nini mbumbav

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 Před 14 dny

    Aondoke tuu fisadi mkubwa washenzi

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 Před měsícem +1

    Mzee, Luhaga Mpina is OUT

  • @SaidShombe
    @SaidShombe Před 23 dny

    Hizo fikra zako na uelewa wako tu panda majukwani

  • @Jal210
    @Jal210 Před 24 dny

    Wewe mjinga kabisa

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před 28 dny

    Ni kufuruga mifumo ya muungano na upinzani

  • @jumayusuf1694
    @jumayusuf1694 Před 28 dny

    Chawa wa Mbowe naona leo hii unazungumzia ya wazanzbar sasa kama 20% alizipata ndan ya CCM na hao hao leo wameamunua baya liko wa wapi sasa? cha muhimu ni kwamba endapo wakikubaliana vyama vyote sawa hakuna TATIZO kama wataona sawa ila MWINYI mwenyewe keshatoa TAMKO hawezi vunja KATIBA

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 28 dny

      Asante kwa maoni yako, "chawa wa Mwinyi!" Si ndiyo lugha unayoipenda hiyo?

    • @jumayusuf1694
      @jumayusuf1694 Před 28 dny

      Ni wajinga wenzio ndo wanakuona wa maana kuna kipindi ulikuja na mada za Mzee shamte zimeishia wapi zile? kuna muda ulikuja na mada zanzbar hali sio shwar kisa wazir kajiuzul cha kukusaidia tu Endelea na harakat zako za kumponda Peter Msigwa mbele ya Mwenye kit

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 28 dny +1

      @@jumayusuf1694 Sawa. Si na wewe unamsifia Msigwa? Kumbe ngoma droo! 😂

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 28 dny

      ​@@AnsbertNgurumohahahaha 😂 Ngurumo bhana, majibu yako ni very short but smart and critical.
      Maua yako

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 14 dny

      Mzee samahani hatuna hamasa ya kuingia Barabarani na kuuliwa wa ZNZ hapo umefeli

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 Před měsícem +3

    😂kaka hulali?

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před měsícem +2

    SI kwa uzalendo wako, SI kwa kuwa tofauti na maccm kama
    Mimi...
    You deserve an honorary doctorate degree katika uandishi na uchambuzi wako, kaka!

  • @kombidin..2583
    @kombidin..2583 Před měsícem +1

    Udaku!

  • @abubakarismail6365
    @abubakarismail6365 Před 28 dny

    Kama hujui nyamaza kaka
    Mambo aliyoyafanya bwana mkubwa ni makubwa sana tangu inchi ipate uhuru mambo aliyoyafanya ni makubwa sana hakuna aliofanya labda karume mkubwa tuliamini haya mambo hayawezekani katika nchi yetu kumbe yanawezekana kabisa.

    • @dribrahimmamboleo4435
      @dribrahimmamboleo4435 Před 27 dny

      Ninyi ndio kila rais anaeingia mnasema amefanya makubwa kuliko marais wote, sijui mlishakumbwa na nini, yaani kama majuha hivi.
      Mungu awasaidie macho ya kuona vizuri

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před měsícem

    Huu uchunguzi cjui umefanyika znz ipi mana michongo ni mingi siki izi

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před 29 dny

    Wezi ccm Zanzibar wanaiba kura

  • @ThomasLeonard-ul7ot
    @ThomasLeonard-ul7ot Před měsícem

    We chawa wa upinzani mbona unafahamika

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před 28 dny

    HUYU MLANGO WA DUKA NDIE RAIS FISAD NO1KULIKO MARAIS WOTE WALIOPITA HAKIBALIKI NA WAZANZIBAR NDIO AKAFANYA HAYA YOTE MWIZI NO1ANAPENDA MADARAKA ILA KABURI INAMSUBIRI MBELE ATATOA MJB MBELE YA ALLAH

  • @BUCHUMIONLINETV-lu5jk
    @BUCHUMIONLINETV-lu5jk Před měsícem +1

    Uongozi wa Mwinyi umeweza kutekeleza miradi ya kimaendeleo kwa kishindo na ni rais ambae ameweza kutekeleza miradi mikubwa na kwa kipindi kifupi. CCM itaendelea kutawala daima milele na milele 🙏🙏🙏

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +3

      Hujui siri ya mafanikio nyuma yake

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem +1

      ​@@MathewNathan-yb2bz Hatuhitaji siri tunataka dhahiri tunaona Zanzibar inajengwa. Ulipokuwa ufisadi wa Mwinyi haupo pesa zilikuwa zinakwenda wapi.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      @@hajihassan5433 mama samia ndio anaijenga Zanzibar.

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem +2

      Maendeleo yote hayo kwasababu anatia 20% kila kwenye contact (he is a smart thief) tushachoka nae Aondoke na wizi wake... uso umemparama kwa pesa za haramu

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před měsícem +1

      Dhiki na ugumu wa maisha umeongezeka maradufu

  • @AbdallahIssa-c5u
    @AbdallahIssa-c5u Před měsícem +1

    Wewe si mzanzibar yanakuhusu nini kama si sera yenu Tanganyika

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 Před měsícem +2

      Mpaka ukiona umehashukwa ujuwe uliwashwa. Wewe yanayokuhusu mbona uliufyata?

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před měsícem +1

    Nakushauri achana na Zanzibar, kwa sababu huielewi Zanzibar itaharibu uchambuzi wako.
    Siasa za Zanzibar ni tofauti na siasa za popote duniani, ukumbuke Wapinzani wa Zanzibar ni tofauti na Wapinzani wa Tanganyika kwamba Viongozi wa upinzani Zanzibar ni Viongozi wa SMZ na ni Viongozi waandamizi mfano Makamo 1 leo ndie alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar kwa karibu miaka 10.
    Zanzibar ni Unguja na Pemba, ambapo ni kichaa kusema Zanzibar (Unguja) CCM inakubalika kwa 20% inaweza kuwa ni sahihi kusema upinzani Pemba unakubalika kwa 95%. Suluhisho la Zanzibar ni kugawana visiwa kimamlaka. Sio sahihi CCM kuwa chama tawala Pemba lakini sio sahihi pia Wapinzani wakawa chama tawala Unguja kwa sababu hata Wapinzani waliopo Unguja 90% ni Wapemba.

  • @user-fq2nu2fr2w
    @user-fq2nu2fr2w Před měsícem +10

    Ni mwizi na Fisadi mno huyo Jamaa. Achunguzwe hata kipindi akiwa waziri wa ulinzi maana mahusiano yake na wachina kwa tenda alizowapa yanatia Shaka sana