HISTORIA YA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR DKT.HUSSEIN MWINYI|KUZALIWA,ELIMU,UONGOZI Part 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
    Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
    App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
    Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
    Twitter: / tbconlinetz
    Instagram: / tbconlinetz
    Facebook: / tbconlinetz

Komentáře • 11

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 Před měsícem

    Dr Hussein Mwinyi Rais ni mwadilifu mwenye huruma na ni mchapa kazi. na ni Rais wa kwanza mtanashati.pongezi kwako baba ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️

  • @bakarbaabuubestforyou1165

    Maashaallah. Mungu amzidishie elimu itakayomletea manufaa hapa duniani na pia kesho akhira inshaa Allah.

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 Před 2 lety +4

    Udactari.. kuongoza 🤔 what's purpose

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 Před 2 lety +2

    Dr by Professional

  • @abdullahihussein6836
    @abdullahihussein6836 Před měsícem

    Mbona hamjasema kazaliwa wapi ??

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc Před rokem +1

    Sasa uyo mzee vipi😂

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 Před 3 lety +3

    ndio maana wakatuletea mtu kutoka Mkuranga ili aje kututawala kwa mkono wa chuma, halafu aikabidhishe rasmi Zanzibar iwe chini ya Mtawala Tanganyika kwa makubaliano ya kutiliana saini, hapo iwe ndio mwisho wa SMZ, mwisho wa Zanzibar.

    • @millowamilonga
      @millowamilonga Před rokem

      Kwani wazenji ni nani?
      Ndiyo hao hao kimahesabu wametokea bara tu hata mnyanye nini, Karume mwenyewe mmalawi, Nasoro Moyo mngoni, Hamadi Masauni kutoka Kilwa, Natepe mmatumbi akina Hamdan Muhidin ni Kilwa, Isack Sepetu mnyaturu na wengine wengi tu.
      Mix ya muomani na wahindi waliokuja kujenga reli enzi za itawala wa British, ndio maana Zanzibar haina makabila rasmi.
      Utasikia mdonge, mtumbatu, mmakunduchi n.k.

    • @khamisjuma2947
      @khamisjuma2947 Před 5 měsíci

      Huyu mtu safi sana kuliko nyie watu wa unguja hamna ila ujinga na choyo akitoka huyu tunaleta john kutoka bara kabisa

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před 5 měsíci

      @@khamisjuma2947
      Zanzibar ni ya Wazanzibari

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 Před 3 lety

    MuHiMu ni UonGoZi wA BuSaLA .
    UonGoZi wA kusimAmiA haKi Na usAwA biLa yA chuKi Na uoNeVu.
    NA KuteKeLeZa MaJukuMu NA AHaDi .