Mzee Mwinyi alivyosoma hotuba yake nusu na kumwachia mwanae Abdullah aimalizie

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2021

Komentáře • 261

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem +34

    Jamaniiii, mimi nilikua sijawahi kukumbuka kumshukuru Mungu kwa kuniumba mwanadamu!! na kunipa akili timamu nk...
    Hapa baba anatufundisha jambo kubwa sanaaa, kushukuru..na ndani ya shukrani ndiko amepata huu umri, baraka na kibali cha kukubalika na wengi...
    Ee Mungu nijalie moyo wa shukrani, nikushukuru kwa kila jambo 🙏🙏 pumzi, ufahamu ,kuona, kusikia, kutembea na kila kitu🙏🙏🙏🙏😭

  • @andulilembwile6271
    @andulilembwile6271 Před 4 měsíci +18

    Mheshimiwa hayati Rais Ali Hasan Mwinyi ni Powerful wonderful Fantastic Alikuwa mwema sana Mkweli sana Mwaminifu sana Mkarimu sana tulipo mtembelea kwake. Mara kadhaa na Rafiki yangu Apostle Onesmo Ndegi Alikuwa baba kwelikweli Mzazi mwenye huruma kwelikweli Mcha Mungu kwelikweli Bwana Ametoa Bwana Ametwaa jina lake Libarikiwe Ayubu 1 : 21 Mimi Rev.Andulile Mbwile.

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Před rokem +26

    Wooow anaona bila ya miwani mashallah,Allah akuhifadhi.

  • @PeterKive
    @PeterKive Před 4 měsíci +13

    Tuna toa poleni sote Mombasa Kenya na nzanzibaa na Tanzania Barra
    Thanks 👍 All nice ni peter lungalunga

  • @leodegarfoyanshaw7111
    @leodegarfoyanshaw7111 Před rokem +11

    Jamani huyi Mzee Wetu kipenzi nionavyo atafaidi maisha duniani na mbinguni, Ni mtu wa haki, mkweli, mwadilifu, mcha Mungu, anahekima, upendo na mwenye elimu kubwa. Mungu ambariki Mara dufu

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 3 lety +38

    Ana visa huyu mzee hahaha nampenda sana Wallah

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 Před 3 lety +20

    My Allah bless you mzee wetu kipenzi ❤️💕❤️💕❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @alisenipeter4307
    @alisenipeter4307 Před 3 lety +13

    Tunakupenda Sana Mzee wetu unajitahidi Sana kusoma kwaumri wako umejitahidi Sana babu yetu

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f Před 4 měsíci +7

    Mungu amlipe kwa mema aloyafanya,kwa kua ni binadam bc Kuna siku alikiuka Allah amsamehe Insha Allah

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation Před 4 měsíci +7

    Lala salama Babu Mungu akusamehe pale ulipo teleza akupe pepo ya Daraja la juu

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety +9

    Mungu yakuepushe nakorona unanza kukohoa sababu umevaa barakoa mh Abdallah mwinyi

  • @blueeyes5952
    @blueeyes5952 Před 3 lety +12

    Ukiwa na roho nzuri na kunyamaza basi utaishi miaka mingi, maman Samia uko na bahati sana mtoto wa mwinyi ni rafiki yako tena raisi , muchape kazi na kufukuza wazungu wale wanaoiba mali ya nchi.

  • @lucasmfaume4535
    @lucasmfaume4535 Před 3 lety +12

    Hongera sana mh,Raisi mstafu mh, Mwinji.kweli Mungu akujalie maisha marefu zaidi.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 3 lety +20

    Samahani ila malikia wetu makadirio ya umri wa mwinyi ni zaidi ya 100 inshallah kheri 🤲🏻🤲🏻🤲🏻💪🏻🇹🇿

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před 5 měsíci +5

    Wonderful! Kwenye huo umri anasoma bila miwani

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 Před 4 měsíci +4

    Kweli Baba Mungu kukumiminia Baraka tele

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 6 měsíci +2

    Namshukuru pia sana sana mwenyezi mungu kwa kutumbia mwanawake ili tupate furaha katika dunia.

  • @mahadmaxamed8452
    @mahadmaxamed8452 Před 3 lety +5

    Maa shaa allah I love him my former president Mzee Rukhsa may allah SWT bless you Mzee Rukhsa kama Leo wazalendo wako matajiri wengi sababu yake mzee Ruksa best leader in Tanzania former president of tanzania ali hassan mwinyi long life in shaa allah I wish you all the best

  • @oman7710
    @oman7710 Před 3 lety +8

    Masha Allah Allah akuhifadhi mzee wetu.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety +44

    Anasoma bila miwani,,,,hongera zake!!

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 3 lety +19

    Mashaallah kamanda hata miwani havai kusoma, huyu inshallah zaidi ya miaka 100 sababu ni Mkakamavu sana maungu ampe umri mrefu zaidi Aamin 🤲🏽 🤲🏽🤲🏽💪🏽🇹🇿

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 6 měsíci +3

    Mimi huwa nikiwaona wanawake namkumbuka mwenyezi mungu kwa furaha.

  • @hidayahassan693
    @hidayahassan693 Před 4 měsíci +3

    ALLAH AMPE KAULI THABIT,INNALILLAH WAINAILAYH RAJIUN.

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 Před 3 lety +7

    HBD TR.Raisi Mzee Mwinyi Mungu azidi kukulinda,na pia pongezi kwa kitabu chako💪❤️🔥🌞🙏🇰🇪.

  • @rukiamwinyihija7849
    @rukiamwinyihija7849 Před 4 měsíci +1

    Ni neema juu ya neema,mungu amrehemu mzee wetu na amlipe pepo ya daraja la juu.

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany210 Před 3 lety +15

    Wewe ni mbunge kumbuka Kisha una baba raisi mstaafu, una Kaka raisi dah, hii dunia Haina usawa, tutafute pesa aisee watoto wetu wasome

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 4 měsíci +2

    "Njoo kijana wangu, maliza kwa niaba yangu"-

  • @mustajany689
    @mustajany689 Před 3 lety +5

    Mungu akubariki mzee wangu

  • @salumshaib2528
    @salumshaib2528 Před 3 lety +14

    Hapa kazi tuu""kwakweli marehemu aliitendea haki kauli mbiu yake kwa hio tunaikumbusha serikali usimamizi na ufuatiliaji ndio siri ya mafanikio ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya ya uma,kazi iendeleee

  • @wasemeabdallah7689
    @wasemeabdallah7689 Před 3 lety +18

    Msomi wa kwanz asietumia miwani mashallah mzee Mwinyi

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      munafanya nicheke mukimshangaa kuwa hatumii miwani .

    • @wasemeabdallah7689
      @wasemeabdallah7689 Před 3 lety

      @@kiri5807 kwa umri huo me nastaajabu na kumsifu cjui anakula vyakula gani😂

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      @@wasemeabdallah7689 sasa unastaajabu kupata huo umri au vipi?

    • @wasemeabdallah7689
      @wasemeabdallah7689 Před 3 lety

      @@kiri5807 kutokutumia miwani binafsi nmempenda bure cjawah ona msomi mweny umri kama huo akisoma bila miwan

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      @@wasemeabdallah7689 sasa siku hizi kuna lense . mimi mamaangu mtu mzima lakini havai miwani ila ana hizo lenses. inakuwa ni glass inavishwa kwenye kiduara cheusi na inakuwa chini ya ile skin ya jicjo kwa hiyo ni surgery . ikisha kuekwa hiyo imetoka tayari umevaa miwani . sasa naye atakuwa ni jivyo.

  • @anthonykondobole3962
    @anthonykondobole3962 Před 3 lety +30

    Tz bhana Kipnd corona imezidi hatukuvaa barakoa saiz ime pungua tunavaa dahh.

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Před 3 lety +27

    "umri mrefu, uzima wa mwili na akili iliyo timamu."

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 3 lety +9

    Mzee Mwinyi alimpenda sana Magufuli

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      kiasi ampende kamuhonga mwanawe uraisi .

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Před 3 lety

      @@kiri5807 Husagi la kusema

    • @meshackngaboss1236
      @meshackngaboss1236 Před 3 lety +1

      Ni kweli kabisa alimpenda sana inaonekana utendaji wake ulimfurahisha

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      @@meshackngaboss1236. ndio hawakuthubutu kumkosoa

  • @shaklaomar697
    @shaklaomar697 Před 4 měsíci

    Allahumafir-lahu war'hamhu waskinhu fii Jannah Ameen inshaA'llah

  • @michiali9814
    @michiali9814 Před 3 lety +17

    Mi mkenya ila nikimuona huyu mzee nafurahi vibaya love u more Allah akupe umri mrefu jamani

  • @mawananasoro4405
    @mawananasoro4405 Před 3 lety +2

    .mungu tunamuomba tuwekee mzee wetu tunajivunia sana 😍😍😍😍😍

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 6 měsíci

    Tunakushuru mungu wetu wa haki na upendo kutuumbia mzee huyu katika nchi yetu ya tanzania.

  • @user-if8mb3xo8h
    @user-if8mb3xo8h Před 6 měsíci +1

    Naskitika sana baadh ndugu zake Awana kazi.watu wa pembeni wanapewa kazi.amkeni Mzee watu wa pwani jamani

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před 3 lety +11

    Hivi awamu ya tano mlikuwepo au nawafananisha? Viziba mdomo?Mnalazimisha Corona ipo kwa nguvu?Mungu tutetee watanzania.Pumzika kwa amani Magufuli, tumeonja asali mkitulisha pilipili hatuli

  • @nurasam5475
    @nurasam5475 Před 4 měsíci

    Quran inasaidia uono wa macho vizuur maashaAllah

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 Před 3 lety +3

    Masha allah babu yetu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 4 měsíci +3

    May his soul rest in peace!!

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Před 3 lety +13

    Duuu Barakoa Kama Zoote.Angelikuepo JPM tusingeona Hiyo mibarakoa

  • @abdulkhalim5564
    @abdulkhalim5564 Před 3 lety +8

    Long Live Baba Mwinyi Ur a true Leader.

  • @ziadayasin711
    @ziadayasin711 Před 4 měsíci +1

    Innalillah waina lillah rajuuni Allah amsamehe makosa

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol Před 3 lety +6

    Maashallah haya ndio matunda kuwa na watoto

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Před 3 lety +3

      Watoto wema na walio lelewa malezi mema. Unaweza kua na watoto wengi na wakawa ni mtihani tu. Uzae kisha usiwape malezi mema huku wafiki ng'ooo. Ni wazazi wangapi sasahivi wako Kama hawajazaa. Wakike makahaba, wakiume majambazi na ma rasta. Wengine ma DJ kwenye ma club .

    • @fatmarashid2066
      @fatmarashid2066 Před 3 lety

      @@bjzee1981 fact kabisa umeongea

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před 4 měsíci

    Mashaallah Mashaallah hadithi mzuri

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 Před 3 lety +14

    Rip jpm kweli uliipenda lugha yetu kiswahili.na leo umetajwa😭

  • @emmanuelmaganiko7218
    @emmanuelmaganiko7218 Před 3 lety +3

    Sana mzee hapa kazi tu.

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Před 3 lety +3

    Babu kaona isiwe tabu🥳🥳

  • @mjsaidkeya822
    @mjsaidkeya822 Před 3 lety

    MashaAllah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 Před 3 lety +2

    Masha"Allah

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon3624 Před 4 měsíci

    Buriani Mzee Ruksa 🙏

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 Před 4 měsíci

    Allah amrehem mzee wetu

  • @MTAVASSYTv
    @MTAVASSYTv Před 4 měsíci

    Kiingereza sio utaalamu hata kidogo bali ni Lugha tu ya mawasiliano, vijana kama wangepewa nafasi ya kusomeshwa utaalamu unaopatikana kwenye masomo ya kitaalamu bila kuhusisha kizungu kwa asilimia 100 tungekuwa mbali sana, serikali oneni haja ya kufanya kingereza kuwa somo tu lenye kujitegemea. Sisi watanzania tunaona namna tunavyokosa utaalamu wa mambo kwaajili ya hii lugha ya kihuni duniani, hatuwezi kukuza uchumi hata tuweze kujitegemea isipokuwa kwa kuitumia lugha ya kiswahili fasaha na kingereza kibakie kusomwa kama somo la mawasiliano tu. Mutaikumbuka hii mukizeeka na vizazi vikihangaika na kujua kujibu masuali tu na kukosa utaalamu wenyewe kwa kushughurishwa na Lugha ya kizungu.

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 Před rokem

    Masalam Zen zen aiwaaa

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 Před rokem

    Qullu zein tabarak lahh

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 Před rokem

    Mashallah

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před 3 lety +2

    Niseme au nisome yote nayaona sawa🤣🤣🤣🤣🤣 unanikosha maneno yake

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa Před 3 měsíci

    Mzee mwinyi alikua shekhe alietimia maana ukisoma miaka 15 kwa Hao vigogo alioishi nao kisha ukaishi misri ilipokua Al azhar ya zamani ikimeremeta.Aliweza kuchota mengi.Mola amrehemu

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 Před 4 měsíci

    ikiambiwa mzee yuko ardhini leo,kifo kinaumiza sana,daaaaaaa,mtu mwema sana alikuwa wazee,wetu,wenye maadili ya kiafrika na uungwana wake kama hawa huwezi kuwapata leo,wakati wetu ni watu kujilimbikizia mali ndo kazi.Afrika inaenda pabaya sana

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 Před 3 lety +8

    Dunia niatari sana kabisa mme wa shilole ana vaa miwani Monday to Monday uku mzee mwenye miaka 100 ana soma utuba bila miwani 🤣🤣🤣🤣🤣Asante sana Mzee wetu

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      jamani hii ni 21 century mambo yakuvaa miwani mbona yamepitiwa na wakati? mamangu ni mtu mzima na anatumia glass zimeekwa ndani ya jicho km lense za warembo ila yake ni yakuonea na kaekewa kwa surgery . hapo hahitaji miwani inawezekana na huyu mzee ni hivyo . si tunamuona mwanawe anavaa miwani ? kwa nini yeye asivae?

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Před 3 lety

      Ushetann na umalaikani tofauti

    • @MainethWella-zl9ux
      @MainethWella-zl9ux Před 4 měsíci

      😂😂😂😂😂

  • @mgasathedon1579
    @mgasathedon1579 Před 3 lety +3

    Anamuandaa tena huyo mwanae

  • @komboabdallah4451
    @komboabdallah4451 Před 3 lety +2

    Wake wawili ongera mzee

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety +4

    Vaeni barakoa neupe au zavitambaa lakini hizo za bluu ziacheni kabsa pili muendelee kupika majungu kunwa chai ya tangawizi mdarasini lemon karafuu kila wakati

    • @nohatredbutlove5786
      @nohatredbutlove5786 Před 3 lety

      Whats wrong with the blue ones? 😅😅😅

    • @nohatredbutlove5786
      @nohatredbutlove5786 Před 3 lety

      And you really think that those made from fabric are more effective than approved surgical masks? 😅😅😅

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 3 lety

      Jinga kubwa

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 3 lety

      Mediocrity at its best

    • @michiali9814
      @michiali9814 Před 3 lety

      @@damariszuckschwert9489 musimuite kubwa jinga jamani anayajuwa huyo mmmmmm

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před 3 lety +4

    WANA BAHATI NYUMBA NZIMA VIONGOZI.

  • @fatumajuma1157
    @fatumajuma1157 Před 3 lety +2

    Kitabu kimechelewa umri umeenda mengi nadhan kaandkiwa

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 6 měsíci

    Hamuwaki Waarabu lakini munatawala utawala uke ule wa Kiarabu wa Kisultan Baba ni Mfalme na watoto ni Wafalme hongereni Watanganyika na Wazanzibar Mapinduzi

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Před 3 lety

    ❤❤❤❤❤

  • @aminalafaeringaizangaiza614

    Uerewa tanzaznia mdogo mabarakoa ya nn Sasa wakati ndo hatarishi

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 3 lety +10

    Yamevaa mabarakoa yamekua kama makima.

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety

      nyinyi waTzn muwajinga sana , huwezi kuwaita watu makima kwa kujikinga afya zao . hizo dharau ndio zilompata Magu akafa corona wacheni dharau zenu hizo wewe unaonekana ndio wale miongoni mwa wanyonge

    • @azizimangara9024
      @azizimangara9024 Před 4 měsíci

      😂😂😂

  • @daviddominick5274
    @daviddominick5274 Před 4 měsíci

    Dah

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Před 3 lety +4

    Hv wajumbe mnajua km ndo tunaagwa hvo km mkapa alikiandka hvhv akakzndua akafark cjui itakuaje

  • @user-lr3bv5mo6y
    @user-lr3bv5mo6y Před 6 měsíci

    Tubia tena allah akusameh

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 Před 3 lety +3

    Mzee Mwinyi maisha malefu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety +1

    Yani uki zeeka unakua na vituko Kama utotoni

  • @veronicapeterluvingo458

    Kwahio hapa ndio tuone akimaliza ndugu mtu anafata kaka mtu tulitambue hilo zanzibar teari tumeshakua tuna mfalme na sio raisi koo ya mzee mwinyi ndio imesha kabiziwa zanzibar

  • @kisamurashid346
    @kisamurashid346 Před 3 měsíci

    Hapo saw

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem

    Mungu azidi kukutunza baba yetu, mzee mwenye hekima zake, na ulikua kiongozi mzuri.

  • @upendohalisi5763
    @upendohalisi5763 Před 3 lety

    Mmh hivi barakoa imekuwaje ndo kusema corona imekuja kwa upya au, tumtegemee aliyetuumba jamani mbona twarudi misri??

    • @giztony2009
      @giztony2009 Před 5 měsíci

      Acha kukarili korona imekuwepo tangu zamani

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 Před 4 měsíci

    Amenifunsiaha kitu mzee,kwanza amaniamsha mwenye dini

  • @mbarakaiddi8209
    @mbarakaiddi8209 Před 3 lety +2

    Kimejaa hekma kitabu hiki na maneno matam

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Před 4 měsíci

    Pumzika Kwa amani Babu yetu

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 Před 3 lety

    Kibabu Mwinyi

  • @gaitanokamage7366
    @gaitanokamage7366 Před 3 lety +3

    Hana hata miwani safi sana

  • @veronicapeterluvingo458

    Tuamkeni Tuamkeni

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před 4 měsíci

    Pumzika kwa amani Babu

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 Před 3 lety +1

    Mmhh barakoa

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 3 lety +1

    💞👍🏾

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety +4

    Barakowa za bluu sinzuri zina wadudu na sumu ya korona ndani yake kwahio acheni kuvaa barakowa hizo za bluu

  • @habibajuma2444
    @habibajuma2444 Před 3 lety

    Km mnajua kuna mungu barakooa yanini

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před 3 lety +2

    Mashallah Allah azidi kukupa umri mlefu zaidi

  • @abdulkhamis1170
    @abdulkhamis1170 Před 3 lety +2

    Hayo mabarakowa ya nini hukiandikiwa kufa na corona utakufa tumtegemee mungo tu ndiyo mwenye kutuokowa sisi uswazi tunapeta tu

  • @japhetdeus3464
    @japhetdeus3464 Před 3 lety +4

    JPM

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 3 lety

    Ombeni Sefue OYEEEEEEE

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 Před 3 lety

    10:23 Nani amemwona Maalim Seif?

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety

    Alie zaa wauza unga amekosea wapi

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před rokem

      Watt wa mzeee msingi wananizamu sana hata wajukuu zake hawana majivuno wala hajioni Allhamdullilah Allah wazidishie

  • @andersonmzo5893
    @andersonmzo5893 Před 4 měsíci

    Akutumi miwani kusoma

  • @Sylvia547
    @Sylvia547 Před 3 lety +3

    Tanzanians mshaanza kuvaa mask??

    • @junioryasin5306
      @junioryasin5306 Před 3 lety

      @travelstylish nurse tuvae tu kila sehem kinga ni bora kulko tiba

  • @edinahebel381
    @edinahebel381 Před 3 lety

    Mazingira ya jambo lijalo huwa yanatengenezwa mapema.napata hofu na uvaaji wa barakoa isijekuwa...