Jamaniiii, mimi nilikua sijawahi kukumbuka kumshukuru Mungu kwa kuniumba mwanadamu!! na kunipa akili timamu nk... Hapa baba anatufundisha jambo kubwa sanaaa, kushukuru..na ndani ya shukrani ndiko amepata huu umri, baraka na kibali cha kukubalika na wengi... Ee Mungu nijalie moyo wa shukrani, nikushukuru kwa kila jambo 🙏🙏 pumzi, ufahamu ,kuona, kusikia, kutembea na kila kitu🙏🙏🙏🙏😭
Mheshimiwa hayati Rais Ali Hasan Mwinyi ni Powerful wonderful Fantastic Alikuwa mwema sana Mkweli sana Mwaminifu sana Mkarimu sana tulipo mtembelea kwake. Mara kadhaa na Rafiki yangu Apostle Onesmo Ndegi Alikuwa baba kwelikweli Mzazi mwenye huruma kwelikweli Mcha Mungu kwelikweli Bwana Ametoa Bwana Ametwaa jina lake Libarikiwe Ayubu 1 : 21 Mimi Rev.Andulile Mbwile.
Jamani huyi Mzee Wetu kipenzi nionavyo atafaidi maisha duniani na mbinguni, Ni mtu wa haki, mkweli, mwadilifu, mcha Mungu, anahekima, upendo na mwenye elimu kubwa. Mungu ambariki Mara dufu
Ukiwa na roho nzuri na kunyamaza basi utaishi miaka mingi, maman Samia uko na bahati sana mtoto wa mwinyi ni rafiki yako tena raisi , muchape kazi na kufukuza wazungu wale wanaoiba mali ya nchi.
Maa shaa allah I love him my former president Mzee Rukhsa may allah SWT bless you Mzee Rukhsa kama Leo wazalendo wako matajiri wengi sababu yake mzee Ruksa best leader in Tanzania former president of tanzania ali hassan mwinyi long life in shaa allah I wish you all the best
Hapa kazi tuu""kwakweli marehemu aliitendea haki kauli mbiu yake kwa hio tunaikumbusha serikali usimamizi na ufuatiliaji ndio siri ya mafanikio ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya ya uma,kazi iendeleee
@@wasemeabdallah7689 sasa siku hizi kuna lense . mimi mamaangu mtu mzima lakini havai miwani ila ana hizo lenses. inakuwa ni glass inavishwa kwenye kiduara cheusi na inakuwa chini ya ile skin ya jicjo kwa hiyo ni surgery . ikisha kuekwa hiyo imetoka tayari umevaa miwani . sasa naye atakuwa ni jivyo.
Hivi awamu ya tano mlikuwepo au nawafananisha? Viziba mdomo?Mnalazimisha Corona ipo kwa nguvu?Mungu tutetee watanzania.Pumzika kwa amani Magufuli, tumeonja asali mkitulisha pilipili hatuli
Watoto wema na walio lelewa malezi mema. Unaweza kua na watoto wengi na wakawa ni mtihani tu. Uzae kisha usiwape malezi mema huku wafiki ng'ooo. Ni wazazi wangapi sasahivi wako Kama hawajazaa. Wakike makahaba, wakiume majambazi na ma rasta. Wengine ma DJ kwenye ma club .
Kiingereza sio utaalamu hata kidogo bali ni Lugha tu ya mawasiliano, vijana kama wangepewa nafasi ya kusomeshwa utaalamu unaopatikana kwenye masomo ya kitaalamu bila kuhusisha kizungu kwa asilimia 100 tungekuwa mbali sana, serikali oneni haja ya kufanya kingereza kuwa somo tu lenye kujitegemea. Sisi watanzania tunaona namna tunavyokosa utaalamu wa mambo kwaajili ya hii lugha ya kihuni duniani, hatuwezi kukuza uchumi hata tuweze kujitegemea isipokuwa kwa kuitumia lugha ya kiswahili fasaha na kingereza kibakie kusomwa kama somo la mawasiliano tu. Mutaikumbuka hii mukizeeka na vizazi vikihangaika na kujua kujibu masuali tu na kukosa utaalamu wenyewe kwa kushughurishwa na Lugha ya kizungu.
Mzee mwinyi alikua shekhe alietimia maana ukisoma miaka 15 kwa Hao vigogo alioishi nao kisha ukaishi misri ilipokua Al azhar ya zamani ikimeremeta.Aliweza kuchota mengi.Mola amrehemu
ikiambiwa mzee yuko ardhini leo,kifo kinaumiza sana,daaaaaaa,mtu mwema sana alikuwa wazee,wetu,wenye maadili ya kiafrika na uungwana wake kama hawa huwezi kuwapata leo,wakati wetu ni watu kujilimbikizia mali ndo kazi.Afrika inaenda pabaya sana
Dunia niatari sana kabisa mme wa shilole ana vaa miwani Monday to Monday uku mzee mwenye miaka 100 ana soma utuba bila miwani 🤣🤣🤣🤣🤣Asante sana Mzee wetu
jamani hii ni 21 century mambo yakuvaa miwani mbona yamepitiwa na wakati? mamangu ni mtu mzima na anatumia glass zimeekwa ndani ya jicho km lense za warembo ila yake ni yakuonea na kaekewa kwa surgery . hapo hahitaji miwani inawezekana na huyu mzee ni hivyo . si tunamuona mwanawe anavaa miwani ? kwa nini yeye asivae?
Vaeni barakoa neupe au zavitambaa lakini hizo za bluu ziacheni kabsa pili muendelee kupika majungu kunwa chai ya tangawizi mdarasini lemon karafuu kila wakati
Hamuwaki Waarabu lakini munatawala utawala uke ule wa Kiarabu wa Kisultan Baba ni Mfalme na watoto ni Wafalme hongereni Watanganyika na Wazanzibar Mapinduzi
nyinyi waTzn muwajinga sana , huwezi kuwaita watu makima kwa kujikinga afya zao . hizo dharau ndio zilompata Magu akafa corona wacheni dharau zenu hizo wewe unaonekana ndio wale miongoni mwa wanyonge
Kwahio hapa ndio tuone akimaliza ndugu mtu anafata kaka mtu tulitambue hilo zanzibar teari tumeshakua tuna mfalme na sio raisi koo ya mzee mwinyi ndio imesha kabiziwa zanzibar
Jamaniiii, mimi nilikua sijawahi kukumbuka kumshukuru Mungu kwa kuniumba mwanadamu!! na kunipa akili timamu nk...
Hapa baba anatufundisha jambo kubwa sanaaa, kushukuru..na ndani ya shukrani ndiko amepata huu umri, baraka na kibali cha kukubalika na wengi...
Ee Mungu nijalie moyo wa shukrani, nikushukuru kwa kila jambo 🙏🙏 pumzi, ufahamu ,kuona, kusikia, kutembea na kila kitu🙏🙏🙏🙏😭
Mheshimiwa hayati Rais Ali Hasan Mwinyi ni Powerful wonderful Fantastic Alikuwa mwema sana Mkweli sana Mwaminifu sana Mkarimu sana tulipo mtembelea kwake. Mara kadhaa na Rafiki yangu Apostle Onesmo Ndegi Alikuwa baba kwelikweli Mzazi mwenye huruma kwelikweli Mcha Mungu kwelikweli Bwana Ametoa Bwana Ametwaa jina lake Libarikiwe Ayubu 1 : 21 Mimi Rev.Andulile Mbwile.
😢😢😢3
Wooow anaona bila ya miwani mashallah,Allah akuhifadhi.
Tuna toa poleni sote Mombasa Kenya na nzanzibaa na Tanzania Barra
Thanks 👍 All nice ni peter lungalunga
Jamani huyi Mzee Wetu kipenzi nionavyo atafaidi maisha duniani na mbinguni, Ni mtu wa haki, mkweli, mwadilifu, mcha Mungu, anahekima, upendo na mwenye elimu kubwa. Mungu ambariki Mara dufu
Ana visa huyu mzee hahaha nampenda sana Wallah
My Allah bless you mzee wetu kipenzi ❤️💕❤️💕❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tunakupenda Sana Mzee wetu unajitahidi Sana kusoma kwaumri wako umejitahidi Sana babu yetu
Mungu amlipe kwa mema aloyafanya,kwa kua ni binadam bc Kuna siku alikiuka Allah amsamehe Insha Allah
Lala salama Babu Mungu akusamehe pale ulipo teleza akupe pepo ya Daraja la juu
Mungu yakuepushe nakorona unanza kukohoa sababu umevaa barakoa mh Abdallah mwinyi
Ukiwa na roho nzuri na kunyamaza basi utaishi miaka mingi, maman Samia uko na bahati sana mtoto wa mwinyi ni rafiki yako tena raisi , muchape kazi na kufukuza wazungu wale wanaoiba mali ya nchi.
Hongera sana mh,Raisi mstafu mh, Mwinji.kweli Mungu akujalie maisha marefu zaidi.
Samahani ila malikia wetu makadirio ya umri wa mwinyi ni zaidi ya 100 inshallah kheri 🤲🏻🤲🏻🤲🏻💪🏻🇹🇿
Mwinyi kwa umri anasoma mia na point na bado ana nguvu sana.
97
@@michaelkessy5740 ulimzaa wewe
May katimiza 97
Wonderful! Kwenye huo umri anasoma bila miwani
Kweli Baba Mungu kukumiminia Baraka tele
Namshukuru pia sana sana mwenyezi mungu kwa kutumbia mwanawake ili tupate furaha katika dunia.
Maa shaa allah I love him my former president Mzee Rukhsa may allah SWT bless you Mzee Rukhsa kama Leo wazalendo wako matajiri wengi sababu yake mzee Ruksa best leader in Tanzania former president of tanzania ali hassan mwinyi long life in shaa allah I wish you all the best
Masha Allah Allah akuhifadhi mzee wetu.
Anasoma bila miwani,,,,hongera zake!!
Pia nimejiswali hivo
Nami nimejiuliza,more than 90
Mashaallah kamanda hata miwani havai kusoma, huyu inshallah zaidi ya miaka 100 sababu ni Mkakamavu sana maungu ampe umri mrefu zaidi Aamin 🤲🏽 🤲🏽🤲🏽💪🏽🇹🇿
Mimi huwa nikiwaona wanawake namkumbuka mwenyezi mungu kwa furaha.
ALLAH AMPE KAULI THABIT,INNALILLAH WAINAILAYH RAJIUN.
HBD TR.Raisi Mzee Mwinyi Mungu azidi kukulinda,na pia pongezi kwa kitabu chako💪❤️🔥🌞🙏🇰🇪.
Ni neema juu ya neema,mungu amrehemu mzee wetu na amlipe pepo ya daraja la juu.
Wewe ni mbunge kumbuka Kisha una baba raisi mstaafu, una Kaka raisi dah, hii dunia Haina usawa, tutafute pesa aisee watoto wetu wasome
Iyo roho mbaya tafuta elaa
Pamoja na shule lazima baraka za Allah ziwepo, na baraka huja kwa kutenda mema
"Njoo kijana wangu, maliza kwa niaba yangu"-
One love mapenzi ya hali ya juu
Mungu akubariki mzee wangu
Hapa kazi tuu""kwakweli marehemu aliitendea haki kauli mbiu yake kwa hio tunaikumbusha serikali usimamizi na ufuatiliaji ndio siri ya mafanikio ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya ya uma,kazi iendeleee
kwakwel
Msomi wa kwanz asietumia miwani mashallah mzee Mwinyi
munafanya nicheke mukimshangaa kuwa hatumii miwani .
@@kiri5807 kwa umri huo me nastaajabu na kumsifu cjui anakula vyakula gani😂
@@wasemeabdallah7689 sasa unastaajabu kupata huo umri au vipi?
@@kiri5807 kutokutumia miwani binafsi nmempenda bure cjawah ona msomi mweny umri kama huo akisoma bila miwan
@@wasemeabdallah7689 sasa siku hizi kuna lense . mimi mamaangu mtu mzima lakini havai miwani ila ana hizo lenses. inakuwa ni glass inavishwa kwenye kiduara cheusi na inakuwa chini ya ile skin ya jicjo kwa hiyo ni surgery . ikisha kuekwa hiyo imetoka tayari umevaa miwani . sasa naye atakuwa ni jivyo.
Tz bhana Kipnd corona imezidi hatukuvaa barakoa saiz ime pungua tunavaa dahh.
Kinga bora
kwani umelazinishwa kuvaa afya yako yakuiangalia ni wewe sasa wewe inakukera nini
Mama kasema,
Kweli
Huyu mma ana tengeneza mazingira ya kuleta chanjo
"umri mrefu, uzima wa mwili na akili iliyo timamu."
huyo nani ?
@@kiri5807 Ali Hassan Mwinyi.
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Huyu ni baba yake Rais wa Zanzibar kwasasa Dr Mwinyi?au nimekosea
Amin Mimi na uzazi wangu
@@johnkerrysibomana9062 ndio
Mzee Mwinyi alimpenda sana Magufuli
kiasi ampende kamuhonga mwanawe uraisi .
@@kiri5807 Husagi la kusema
Ni kweli kabisa alimpenda sana inaonekana utendaji wake ulimfurahisha
@@meshackngaboss1236. ndio hawakuthubutu kumkosoa
Allahumafir-lahu war'hamhu waskinhu fii Jannah Ameen inshaA'llah
Mi mkenya ila nikimuona huyu mzee nafurahi vibaya love u more Allah akupe umri mrefu jamani
Mzee mcha Mungu,mpole,muadilifu
@@mamachris6811 Allah atasimama na yeye na kizazi chake
Tunakupend pia mkenya
@@sophiarashid5152 asante undugu daima
Kenyans you are the best neighbous. Tz we love you too.
.mungu tunamuomba tuwekee mzee wetu tunajivunia sana 😍😍😍😍😍
Tunakushuru mungu wetu wa haki na upendo kutuumbia mzee huyu katika nchi yetu ya tanzania.
Naskitika sana baadh ndugu zake Awana kazi.watu wa pembeni wanapewa kazi.amkeni Mzee watu wa pwani jamani
Hivi awamu ya tano mlikuwepo au nawafananisha? Viziba mdomo?Mnalazimisha Corona ipo kwa nguvu?Mungu tutetee watanzania.Pumzika kwa amani Magufuli, tumeonja asali mkitulisha pilipili hatuli
Acha wajikinge...kama vip mfate mwendazake
Quran inasaidia uono wa macho vizuur maashaAllah
Masha allah babu yetu
May his soul rest in peace!!
Duuu Barakoa Kama Zoote.Angelikuepo JPM tusingeona Hiyo mibarakoa
Ishapta hiyo walipta wng kbla yk
Nactutapta
Yy ndo nani au alikuwa mungu. Mtu
Yy ndo nani au alikuwa mungu. Mtu
Na ndo imemuua..ujuaji kibao chaliii
@@mwigaali8800 hahahhahaa nashangaa
Long Live Baba Mwinyi Ur a true Leader.
Innalillah waina lillah rajuuni Allah amsamehe makosa
Maashallah haya ndio matunda kuwa na watoto
Watoto wema na walio lelewa malezi mema. Unaweza kua na watoto wengi na wakawa ni mtihani tu. Uzae kisha usiwape malezi mema huku wafiki ng'ooo. Ni wazazi wangapi sasahivi wako Kama hawajazaa. Wakike makahaba, wakiume majambazi na ma rasta. Wengine ma DJ kwenye ma club .
@@bjzee1981 fact kabisa umeongea
Mashaallah Mashaallah hadithi mzuri
Rip jpm kweli uliipenda lugha yetu kiswahili.na leo umetajwa😭
🤮🤮🤮
Sana mzee hapa kazi tu.
Ishakufa hiyo..kazi iendelee
Babu kaona isiwe tabu🥳🥳
MashaAllah
Masha"Allah
Buriani Mzee Ruksa 🙏
Allah amrehem mzee wetu
Kiingereza sio utaalamu hata kidogo bali ni Lugha tu ya mawasiliano, vijana kama wangepewa nafasi ya kusomeshwa utaalamu unaopatikana kwenye masomo ya kitaalamu bila kuhusisha kizungu kwa asilimia 100 tungekuwa mbali sana, serikali oneni haja ya kufanya kingereza kuwa somo tu lenye kujitegemea. Sisi watanzania tunaona namna tunavyokosa utaalamu wa mambo kwaajili ya hii lugha ya kihuni duniani, hatuwezi kukuza uchumi hata tuweze kujitegemea isipokuwa kwa kuitumia lugha ya kiswahili fasaha na kingereza kibakie kusomwa kama somo la mawasiliano tu. Mutaikumbuka hii mukizeeka na vizazi vikihangaika na kujua kujibu masuali tu na kukosa utaalamu wenyewe kwa kushughurishwa na Lugha ya kizungu.
Masalam Zen zen aiwaaa
Qullu zein tabarak lahh
Mashallah
Niseme au nisome yote nayaona sawa🤣🤣🤣🤣🤣 unanikosha maneno yake
😂😂😂😂
Mzee mwinyi alikua shekhe alietimia maana ukisoma miaka 15 kwa Hao vigogo alioishi nao kisha ukaishi misri ilipokua Al azhar ya zamani ikimeremeta.Aliweza kuchota mengi.Mola amrehemu
ikiambiwa mzee yuko ardhini leo,kifo kinaumiza sana,daaaaaaa,mtu mwema sana alikuwa wazee,wetu,wenye maadili ya kiafrika na uungwana wake kama hawa huwezi kuwapata leo,wakati wetu ni watu kujilimbikizia mali ndo kazi.Afrika inaenda pabaya sana
Dunia niatari sana kabisa mme wa shilole ana vaa miwani Monday to Monday uku mzee mwenye miaka 100 ana soma utuba bila miwani 🤣🤣🤣🤣🤣Asante sana Mzee wetu
jamani hii ni 21 century mambo yakuvaa miwani mbona yamepitiwa na wakati? mamangu ni mtu mzima na anatumia glass zimeekwa ndani ya jicho km lense za warembo ila yake ni yakuonea na kaekewa kwa surgery . hapo hahitaji miwani inawezekana na huyu mzee ni hivyo . si tunamuona mwanawe anavaa miwani ? kwa nini yeye asivae?
Ushetann na umalaikani tofauti
😂😂😂😂😂
Anamuandaa tena huyo mwanae
Wake wawili ongera mzee
Vaeni barakoa neupe au zavitambaa lakini hizo za bluu ziacheni kabsa pili muendelee kupika majungu kunwa chai ya tangawizi mdarasini lemon karafuu kila wakati
Whats wrong with the blue ones? 😅😅😅
And you really think that those made from fabric are more effective than approved surgical masks? 😅😅😅
Jinga kubwa
Mediocrity at its best
@@damariszuckschwert9489 musimuite kubwa jinga jamani anayajuwa huyo mmmmmm
WANA BAHATI NYUMBA NZIMA VIONGOZI.
I wish mama akimaliza aje mwinyi mtt
Kitabu kimechelewa umri umeenda mengi nadhan kaandkiwa
Hamuwaki Waarabu lakini munatawala utawala uke ule wa Kiarabu wa Kisultan Baba ni Mfalme na watoto ni Wafalme hongereni Watanganyika na Wazanzibar Mapinduzi
❤❤❤❤❤
Uerewa tanzaznia mdogo mabarakoa ya nn Sasa wakati ndo hatarishi
Yamevaa mabarakoa yamekua kama makima.
nyinyi waTzn muwajinga sana , huwezi kuwaita watu makima kwa kujikinga afya zao . hizo dharau ndio zilompata Magu akafa corona wacheni dharau zenu hizo wewe unaonekana ndio wale miongoni mwa wanyonge
😂😂😂
Dah
Hv wajumbe mnajua km ndo tunaagwa hvo km mkapa alikiandka hvhv akakzndua akafark cjui itakuaje
Tubia tena allah akusameh
Mzee Mwinyi maisha malefu
Yani uki zeeka unakua na vituko Kama utotoni
Kwahio hapa ndio tuone akimaliza ndugu mtu anafata kaka mtu tulitambue hilo zanzibar teari tumeshakua tuna mfalme na sio raisi koo ya mzee mwinyi ndio imesha kabiziwa zanzibar
Hapo saw
Mungu azidi kukutunza baba yetu, mzee mwenye hekima zake, na ulikua kiongozi mzuri.
Mmh hivi barakoa imekuwaje ndo kusema corona imekuja kwa upya au, tumtegemee aliyetuumba jamani mbona twarudi misri??
Acha kukarili korona imekuwepo tangu zamani
Amenifunsiaha kitu mzee,kwanza amaniamsha mwenye dini
Kimejaa hekma kitabu hiki na maneno matam
Pumzika Kwa amani Babu yetu
Kibabu Mwinyi
Hana hata miwani safi sana
Tuamkeni Tuamkeni
Pumzika kwa amani Babu
Mmhh barakoa
💞👍🏾
Barakowa za bluu sinzuri zina wadudu na sumu ya korona ndani yake kwahio acheni kuvaa barakowa hizo za bluu
Rubbish
Jinga kubwa
Nani kakujaza ujinga huo ..!!??
Au umetumia kipimo gani kulitambua ilo ..!!??
@@wilikinsmauti5573 hahaha babako ni mauti
Huyu nae Jaman 🙄mbona sisi huku tulko ndo twavaa mda mrefu kwel na hatuumw aisee,
Km mnajua kuna mungu barakooa yanini
Mashallah Allah azidi kukupa umri mlefu zaidi
Hayo mabarakowa ya nini hukiandikiwa kufa na corona utakufa tumtegemee mungo tu ndiyo mwenye kutuokowa sisi uswazi tunapeta tu
JPM
😸😹😹
Ndoto za wapumbavu ambao bado wako ndoton mwa uwaji
Ombeni Sefue OYEEEEEEE
10:23 Nani amemwona Maalim Seif?
Itakua humjui we marhuni Maalim.Seif
Alie zaa wauza unga amekosea wapi
Watt wa mzeee msingi wananizamu sana hata wajukuu zake hawana majivuno wala hajioni Allhamdullilah Allah wazidishie
Akutumi miwani kusoma
Tanzanians mshaanza kuvaa mask??
@travelstylish nurse tuvae tu kila sehem kinga ni bora kulko tiba
Mazingira ya jambo lijalo huwa yanatengenezwa mapema.napata hofu na uvaaji wa barakoa isijekuwa...