MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...
Vložit
- čas přidán 1. 03. 2024
- MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
This is guy is strong, and of course he has a very command of speeches. Mwinyi raised intelligent sons!
Swahili pliz
I agree
Sisi Wakenya tunaendelea kuwaombea. Mungu awape nguvu familia ha Raisi mstaafu Mheshimiwa Mwinyi. Mungu awape nguvu serikali ya Tanzania na ndugu zetu Watanzania ❤
Inna Lillahi Waina Ileyhi Rajiun,
Allah [S.W] ampe kauli thabit ,amuondole adhabu ya moto na ya kaburi, ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia na amuweke miongoni mwa waja wema JANNAT FIRDAUS, pia na wazee wetu na families walio tangulia tukutane tena Allah atukutanishe tena kwenye pepo yake
ALLAH ATUPE SUBRA FAMILY NA SISI SOTE KUONDOKEWA NA MZEE WETU , KIONGOZI , MENTOR ,ROLE MODEL, MWALIMU BABU NA BABA YETU MPENDWA
ALLAH AKURAMU.
Poleni sana yote ni mapenzi ya Mungu na ni njia ya kila mtu amin
Kufiwa hakuna ukubwa kiukweli inaumiza Mungu awape subra
Mungu amlaze mahalipema pepon Amin kikubwa kwa Sasa nikumuombeya duwa t tuweni pole 😭😭😭
Mungu ampuzishe Kwa Amani Mzee wetu Mwinyi 🙏
Pole sana kaka Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumuuuuuu sana pamoja na Sisi watanzania wote kwa ujumla pumzika Kwa aman Mzee wetu Babu yetu kipenz yote ni mipango ya Mungu ishallaah Allaah ❤️😭
Aa Poleni sana ameondoka mtu wa watu na akipenda watu.Allah amuweka mahala pema peponi❤❤❤Frm Kenya
Allah amsameh,amrehem amjaalie kaburi liwe ni miongoni mwa viwanja vya peponi..Amiin
Innalilah waina ilaih Rajiun. Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Mwenyezi mungu aiweke roho ya mzee wetu pahala pema inshallah
Poleni Sana Allah Akupeni Moyo Wasubra Hili Niletu Sote Allah Ammpe Malazi Meme Amughufiriye Kilaalilokosea Ndio Mja Allah Amjaalie Qaulthabit Yarabiy Amjaalie Qabriyake Liwe Minalriaadhiljannnah Yarabiy..
Poleni wanafamilia kwa kuondokea na mzee wenu mpendwa inauma ila kazi ya mungu Haina makosa nmetokwa na machozi pole rais wetu mpendwa kuweni na subra
Amemaliza safari yake.
Mungu amlaze mahali pema peponi usilie kaka jikaze umeniliza sana
Hapo anaejua machungu ya kufiwa ni yule mfiwa mwenyewe ila wengine ni kutoa saport tu na kuchekelea na kuchambuana basi
Poleni sana familia ya Mzee Ally Hassan Mwinyi. Hayati Mzee Mwinyi atakumbikwa daima Kwa uungwana, ukarimu, utu na uzalendo Kwa Taifa lake!
R. I. P Mzee Mwinyi
Poleni sana ndugu zetu mungu amrehemu pema peponi apumzike kwa amani mzee wetu .
Inaonyesha aliwapenda sana watoto wake, ndio maana wanasikia huzuni. Shukrani Mzee Mwinyi kwa zawadi ya maisha yako kututumikia Watanzania vema na kwa unyenyekevu.
Pole sana mwenyezi mungu awapeni subira na uvumirivu
Kwa wakati huu mgumu
Allahuma arhamhu waskinahum fil jannah🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭
Poleni sana wanafamilia nimeumia sanaa kwa kweli uyu kaka kaniliza kbs 😢😢
انلله ؤان اليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه الفردوس الأعلى
امين 🤲🤲انشاء الله
pole sana familia ya Mzee Mwinyi hakika alikua mtu mwema sana aliye penda nchi yake na watu wote bila ubaguzi
إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع الصديقين والشهداء والصالحين
Poleni Sana Alla awatie nguvu nasitupo pamoja ktk kipind hiki kigum Allah ampe kauli dhabit ktk balizaaa
Mungu ampumzishe mzee wetu tuta kukumbuka sana I'll mungu amekupenda Zaid sisi tuko nyuma yako baba🙏🙏
Mungu alitoa na bwana ametwaa jina la baba lihimidiwe amina
Poleni sana familia ya mzee Mwinyi,,pole Rais wetu(mama Samia).
Poleni sana wana familiy wote na watz kwa ujumla hakika tumeumia pumzika kwa amani babu yetu hakika tutakukumbuka😢😢 msalimie mzee jpm
Pole sana familia ya mzee wetu🤲🏽🤲🏽
Pole swahiba yangu Abdallah
Allah awatie nguvu wafiwa wote
Polen sana wafamilia.Mungu awatie moyo. Pia On green Madktari wa Hospital ya Mzena kwa kazi nzuri.
Asante,groba
Poleni sana, ndio maandiko ya Allah Muhimu subra na Dua kwake ili safari yake iwe nyepesi
Poleni Sana familia ya Mwinyi Kila nafsi itaonja mauti Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi
Allahuma ghfirlahu waarhamhu wamaskanahu filjannah 🤲
Kufiwa usikie kwa jirani tu,omba usifikwe japo ni ngumu😢😢Mungu awape nguvu na faraja familia,ndugu jamaa na watanzania wote kwa ujumla... Innalillah wainalillah rajiun,Mola wetu mtukufu tunakuomba umpokee Mzee wetu umpe jaanat firdaus,nasi tunakuomba utupe neema ya mwisho mwema Allaumah Amiin Rarab🤲
My condolences to the family
Innalillah wainaillahim rajiunah Allah amsamehe alipomkosea na ampokee akiwa ameridhia mzee wetu Mwinyi
Mwacheni Alieee jamani, mzazi anaumaaaa, haijalishi kafa na umri ganiii, na ukizingatia upendo wa huyu baba Kwa familia yake na hata kwa nchi yake ...huyu kaka ameniliza hata mimi, maumivu ya kumpoteza mzazi nayajuaa...
Poleni Sana wanafamilia na watanzania wotee 😭😭🙏
He raised a very wised mans
Poleni sana familia ya babu yetu mzee mwinyi
Has confidence on his speech.. like father like son
Poleni sana
Poleni Sana
Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun Ee Mwenyezi Mungu mpokee vyema hayati Ali Hassan Mwinyi
Amina pole sana
Mungu Amrehemu Rais wetu he is indeed a role model kwenye kila sector
Poleni sana Allah awape subira ishaallah
Inalilah wainalilah rajighun kazi yake mungu haina makosa leo kwake kesho kwetu yaarabi tupe njia sahihi nas tupe mwisho mwema
Poleni sana, allah amsamehe
Dah mwenyez ndie anajua yote mzee mwinyi pumzika kwa Aman
Apumzike kwa Amani Mzee Wetu!
Allah amsamehe makosayake
Peni sana familia ya mzee mwinyi. Apumzike jwa amani. Ni ngumu sana ila Allah ampe pumziko la milele
Mushukuruni Mungu sana hamna hata haja ya kulia , wenzenu sisi wazee wetu wote walituacha tukiwa wadogo na wala hawakutuachia mtu wala kitu ni majonzi ya kudumu mpaka Leo tunaomboleza , ila nyie mmebarikiwa heshima na Mari na Mzee wenu kaishi myaka mingi sana. 😢
Hajalishi kifo kinauma kaka mtu ni Bora kuliko mali inauma
Allah amrehemu mzee wetu inshaAllah.....
ALLAH AWAPE SUBRA.KUONDOKEWA SI MCHEZO.MZAZI HATA AWE NA MIAKA 200 LAKINI AKIONDOKA UTAUMIA.
MZAZI HANA MBADALA UNALOSEMA NI HAKIKA
Kabisaa, eti watu wako muache aende amezeeka, life kisikie kwa jirani jamani kisiingie ndani.
Ni kweli siku nzito baba ni baba mama ni mama mzazi wako hata akiwa mtu mzima bado unamtamani poleni
ila nimejifunza kitu kupitia hii msimba kwakweli ukiishii n watu vizuri utakapo ondoka wengii watabaki wasema mazuri yko n hio ndio mwishomwema 😢 Allah amjalie awe miongoni watakao ingia jannatulfirdaus Allahummah Ameen 🤲
Mungu awape subra wakee na watoto wa mzee Ali Mwinyi na awalipe ujira mkubwa.
R.i.p mzee wetu😢😢😢
Swadakta haqi Innalilah wainna ilayhi rajiuon
FAMILIA NZIMA YA MZEE WETU MH:HAYATI RAIS MWINYI,MUNGU AWAPE FARAJA KUU ,AMIIN
Mm namuelewa.. nimeondokewa na baba yangu mzazi mwaka jana na hadi sasa nahc uchungu mwingi sana😢
Mungu Ampe Pumziko la Amani
Allah amsamehe mzee wetu madhambi yake.
Innalillah wainna illah rajioun. Allah ampe kaul thabir
Kulia sio kutia aibu kaka, just cry huyo ni baba yako mzazi. We understand you
Pole sana kiongozi.
Poleni sana Kila chenye mwanzo akiksi mwisho
Pole sana wazalendo wa Tanzania
Pole familia ya mzee mwinyi,
Apumzike kwa aman babu yetu kiongozi wetu ameen
Poleni sana Wana familia na Taifa kwa ujumla
Mungu amlaze mahari pema pepon 😭😭
Pole sana Abdallah
Pumzika Babu yetu
Innalilah wainnailah rajiuun,kitachowaliza kila cku ni mazoea ya baba enu,mu gu awape moyo wa subra
Mungu akulaz mahala pema peponi Baba yake Ali Hassan mwinyii
Poleni sana wanafamilia kwa kweli tuna majonzi watanzania😭😭😭😭😭😭😭
Na kakako muombe awe kama babake muadilifu aitendee haki Zanzibar ni jukumu kubwa alilonalo amuone babake anavosifiwa na watu.
pole sana😢😢
Innalillah wainna illah rajiun😢
Jikaze mwanaume
Pole sanaa
Poleni sana Kwa msiba
Pole sana
poleni wana familia na watanzania kwa ujumla na wale wote walioguswa na msiba huu
Pole sana na msiba
Inalilah wainah illah rajiun
YAALLAH
Allahumma ghafrillahu waskanahu fil janah🤲🤲
Pole sana😭
Safari yake iwe ya salama Mungu tunakuomba dua zetu
انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته يارب العالمين
innah lillaah wainnah ilaihum rajiuun allaa awape subra nyote familia amiin
Poleni sana familia
Ni ukweli kupiteza mzazi sio rahisi....lalini kukaa mirele hawiwezekani....mumushukulu mungu mumekuwa na bahati