MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 03. 2024
  • MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 240

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 3 měsíci +11

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @essammanyologa3934
    @essammanyologa3934 Před 3 měsíci +18

    This is guy is strong, and of course he has a very command of speeches. Mwinyi raised intelligent sons!

  • @TheB920
    @TheB920 Před 3 měsíci +24

    Sisi Wakenya tunaendelea kuwaombea. Mungu awape nguvu familia ha Raisi mstaafu Mheshimiwa Mwinyi. Mungu awape nguvu serikali ya Tanzania na ndugu zetu Watanzania ❤

  • @savannacollection5205
    @savannacollection5205 Před 3 měsíci +6

    Inna Lillahi Waina Ileyhi Rajiun,
    Allah [S.W] ampe kauli thabit ,amuondole adhabu ya moto na ya kaburi, ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia na amuweke miongoni mwa waja wema JANNAT FIRDAUS, pia na wazee wetu na families walio tangulia tukutane tena Allah atukutanishe tena kwenye pepo yake
    ALLAH ATUPE SUBRA FAMILY NA SISI SOTE KUONDOKEWA NA MZEE WETU , KIONGOZI , MENTOR ,ROLE MODEL, MWALIMU BABU NA BABA YETU MPENDWA
    ALLAH AKURAMU.

  • @user-nc2cl6tt5b
    @user-nc2cl6tt5b Před 3 měsíci +16

    Poleni sana yote ni mapenzi ya Mungu na ni njia ya kila mtu amin

  • @user-eu4pk3eh5d
    @user-eu4pk3eh5d Před 3 měsíci +9

    Kufiwa hakuna ukubwa kiukweli inaumiza Mungu awape subra

  • @UstadhImran
    @UstadhImran Před 3 měsíci +5

    Mungu amlaze mahalipema pepon Amin kikubwa kwa Sasa nikumuombeya duwa t tuweni pole 😭😭😭

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 3 měsíci +6

    Mungu ampuzishe Kwa Amani Mzee wetu Mwinyi 🙏

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Před 3 měsíci +2

    Pole sana kaka Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumuuuuuu sana pamoja na Sisi watanzania wote kwa ujumla pumzika Kwa aman Mzee wetu Babu yetu kipenz yote ni mipango ya Mungu ishallaah Allaah ❤️😭

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t Před 3 měsíci +1

    Aa Poleni sana ameondoka mtu wa watu na akipenda watu.Allah amuweka mahala pema peponi❤❤❤Frm Kenya

  • @ashuumuhammad8269
    @ashuumuhammad8269 Před 3 měsíci +1

    Allah amsameh,amrehem amjaalie kaburi liwe ni miongoni mwa viwanja vya peponi..Amiin

  • @mwajabuswedi2252
    @mwajabuswedi2252 Před 3 měsíci

    Innalilah waina ilaih Rajiun. Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Mwenyezi mungu aiweke roho ya mzee wetu pahala pema inshallah

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 3 měsíci +2

    Poleni Sana Allah Akupeni Moyo Wasubra Hili Niletu Sote Allah Ammpe Malazi Meme Amughufiriye Kilaalilokosea Ndio Mja Allah Amjaalie Qaulthabit Yarabiy Amjaalie Qabriyake Liwe Minalriaadhiljannnah Yarabiy..

  • @shadyasaid1908
    @shadyasaid1908 Před 3 měsíci +11

    Poleni wanafamilia kwa kuondokea na mzee wenu mpendwa inauma ila kazi ya mungu Haina makosa nmetokwa na machozi pole rais wetu mpendwa kuweni na subra

  • @nasramassawe5794
    @nasramassawe5794 Před 3 měsíci +6

    Mungu amlaze mahali pema peponi usilie kaka jikaze umeniliza sana

  • @johnsonmajura552
    @johnsonmajura552 Před 3 měsíci +5

    Hapo anaejua machungu ya kufiwa ni yule mfiwa mwenyewe ila wengine ni kutoa saport tu na kuchekelea na kuchambuana basi

  • @athanasmalatabu7573
    @athanasmalatabu7573 Před 3 měsíci +1

    Poleni sana familia ya Mzee Ally Hassan Mwinyi. Hayati Mzee Mwinyi atakumbikwa daima Kwa uungwana, ukarimu, utu na uzalendo Kwa Taifa lake!
    R. I. P Mzee Mwinyi

  • @RaphaelMgonja-zd6kp
    @RaphaelMgonja-zd6kp Před 3 měsíci +1

    Poleni sana ndugu zetu mungu amrehemu pema peponi apumzike kwa amani mzee wetu .

  • @abelimwakijungu1226
    @abelimwakijungu1226 Před 3 měsíci +2

    Inaonyesha aliwapenda sana watoto wake, ndio maana wanasikia huzuni. Shukrani Mzee Mwinyi kwa zawadi ya maisha yako kututumikia Watanzania vema na kwa unyenyekevu.

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 Před 3 měsíci +2

    Pole sana mwenyezi mungu awapeni subira na uvumirivu
    Kwa wakati huu mgumu

  • @rizikinassor5618
    @rizikinassor5618 Před 3 měsíci

    Allahuma arhamhu waskinahum fil jannah🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭

  • @user-ir1cw9ev3v
    @user-ir1cw9ev3v Před 3 měsíci +4

    Poleni sana wanafamilia nimeumia sanaa kwa kweli uyu kaka kaniliza kbs 😢😢

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Před 3 měsíci +6

    انلله ؤان اليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه الفردوس الأعلى

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Před 3 měsíci +1

    pole sana familia ya Mzee Mwinyi hakika alikua mtu mwema sana aliye penda nchi yake na watu wote bila ubaguzi

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv8551 Před 3 měsíci +3

    ‏‎‎إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع الصديقين والشهداء والصالحين

  • @user-mh9dx5xs4j
    @user-mh9dx5xs4j Před 3 měsíci +1

    Poleni Sana Alla awatie nguvu nasitupo pamoja ktk kipind hiki kigum Allah ampe kauli dhabit ktk balizaaa

  • @ChidAlly
    @ChidAlly Před 3 měsíci

    Mungu ampumzishe mzee wetu tuta kukumbuka sana I'll mungu amekupenda Zaid sisi tuko nyuma yako baba🙏🙏

  • @Petro-ip8mi
    @Petro-ip8mi Před 3 měsíci

    Mungu alitoa na bwana ametwaa jina la baba lihimidiwe amina

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 3 měsíci

    Poleni sana familia ya mzee Mwinyi,,pole Rais wetu(mama Samia).

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 3 měsíci +1

    Poleni sana wana familiy wote na watz kwa ujumla hakika tumeumia pumzika kwa amani babu yetu hakika tutakukumbuka😢😢 msalimie mzee jpm

  • @user-uf3ij3gq1j
    @user-uf3ij3gq1j Před 3 měsíci +2

    Pole sana familia ya mzee wetu🤲🏽🤲🏽

  • @michilita2959
    @michilita2959 Před 3 měsíci +10

    Pole swahiba yangu Abdallah

  • @magrethnkuba2643
    @magrethnkuba2643 Před 3 měsíci +2

    Allah awatie nguvu wafiwa wote

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 3 měsíci

    Polen sana wafamilia.Mungu awatie moyo. Pia On green Madktari wa Hospital ya Mzena kwa kazi nzuri.

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 Před 3 měsíci +1

    Asante,groba

  • @amoursalum7486
    @amoursalum7486 Před 3 měsíci +2

    Poleni sana, ndio maandiko ya Allah Muhimu subra na Dua kwake ili safari yake iwe nyepesi

  • @user-lp9pt6mj2c
    @user-lp9pt6mj2c Před 3 měsíci

    Poleni Sana familia ya Mwinyi Kila nafsi itaonja mauti Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi

  • @mossimakamba8095
    @mossimakamba8095 Před 3 měsíci

    Allahuma ghfirlahu waarhamhu wamaskanahu filjannah 🤲

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Před 3 měsíci

    Kufiwa usikie kwa jirani tu,omba usifikwe japo ni ngumu😢😢Mungu awape nguvu na faraja familia,ndugu jamaa na watanzania wote kwa ujumla... Innalillah wainalillah rajiun,Mola wetu mtukufu tunakuomba umpokee Mzee wetu umpe jaanat firdaus,nasi tunakuomba utupe neema ya mwisho mwema Allaumah Amiin Rarab🤲

  • @user-fc2xd6qe8r
    @user-fc2xd6qe8r Před 3 měsíci +2

    My condolences to the family

  • @bibiejuma5094
    @bibiejuma5094 Před 3 měsíci +4

    Innalillah wainaillahim rajiunah Allah amsamehe alipomkosea na ampokee akiwa ameridhia mzee wetu Mwinyi

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 3 měsíci +1

    Mwacheni Alieee jamani, mzazi anaumaaaa, haijalishi kafa na umri ganiii, na ukizingatia upendo wa huyu baba Kwa familia yake na hata kwa nchi yake ...huyu kaka ameniliza hata mimi, maumivu ya kumpoteza mzazi nayajuaa...
    Poleni Sana wanafamilia na watanzania wotee 😭😭🙏

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 Před 3 měsíci +2

    He raised a very wised mans

  • @greysonmandai132
    @greysonmandai132 Před 3 měsíci +1

    Poleni sana familia ya babu yetu mzee mwinyi

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 Před 3 měsíci

    Has confidence on his speech.. like father like son

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 3 měsíci +3

    Poleni sana

  • @aminamkumbi2054
    @aminamkumbi2054 Před 3 měsíci +3

    Poleni Sana

  • @amneali2804
    @amneali2804 Před 3 měsíci

    Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun Ee Mwenyezi Mungu mpokee vyema hayati Ali Hassan Mwinyi

  • @noelahmsuyashawa8134
    @noelahmsuyashawa8134 Před 3 měsíci

    Mungu Amrehemu Rais wetu he is indeed a role model kwenye kila sector

  • @user-os3ed2nl2k
    @user-os3ed2nl2k Před 3 měsíci +1

    Poleni sana Allah awape subira ishaallah

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před 3 měsíci

    Inalilah wainalilah rajighun kazi yake mungu haina makosa leo kwake kesho kwetu yaarabi tupe njia sahihi nas tupe mwisho mwema

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 Před 3 měsíci +2

    Poleni sana, allah amsamehe

  • @user-le3gg9cw7w
    @user-le3gg9cw7w Před 3 měsíci

    Dah mwenyez ndie anajua yote mzee mwinyi pumzika kwa Aman

  • @jk40895
    @jk40895 Před 3 měsíci +1

    Apumzike kwa Amani Mzee Wetu!

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 Před 3 měsíci +3

    Allah amsamehe makosayake

  • @clememallya4257
    @clememallya4257 Před 3 měsíci

    Peni sana familia ya mzee mwinyi. Apumzike jwa amani. Ni ngumu sana ila Allah ampe pumziko la milele

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 Před 3 měsíci +1

    Mushukuruni Mungu sana hamna hata haja ya kulia , wenzenu sisi wazee wetu wote walituacha tukiwa wadogo na wala hawakutuachia mtu wala kitu ni majonzi ya kudumu mpaka Leo tunaomboleza , ila nyie mmebarikiwa heshima na Mari na Mzee wenu kaishi myaka mingi sana. 😢

    • @alicemwanjali1833
      @alicemwanjali1833 Před 3 měsíci

      Hajalishi kifo kinauma kaka mtu ni Bora kuliko mali inauma

  • @hassankatram5697
    @hassankatram5697 Před 3 měsíci

    Allah amrehemu mzee wetu inshaAllah.....

  • @user-pq9qc1sz7b
    @user-pq9qc1sz7b Před 3 měsíci +2

    ALLAH AWAPE SUBRA.KUONDOKEWA SI MCHEZO.MZAZI HATA AWE NA MIAKA 200 LAKINI AKIONDOKA UTAUMIA.

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Před 3 měsíci +1

      MZAZI HANA MBADALA UNALOSEMA NI HAKIKA

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Před 3 měsíci

      Kabisaa, eti watu wako muache aende amezeeka, life kisikie kwa jirani jamani kisiingie ndani.

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx Před 3 měsíci +2

    Ni kweli siku nzito baba ni baba mama ni mama mzazi wako hata akiwa mtu mzima bado unamtamani poleni

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Před 3 měsíci +1

    ila nimejifunza kitu kupitia hii msimba kwakweli ukiishii n watu vizuri utakapo ondoka wengii watabaki wasema mazuri yko n hio ndio mwishomwema 😢 Allah amjalie awe miongoni watakao ingia jannatulfirdaus Allahummah Ameen 🤲

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 Před 3 měsíci

    Mungu awape subra wakee na watoto wa mzee Ali Mwinyi na awalipe ujira mkubwa.

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Před 3 měsíci +2

    R.i.p mzee wetu😢😢😢

  • @DamtuKhalef
    @DamtuKhalef Před 3 měsíci

    Swadakta haqi Innalilah wainna ilayhi rajiuon

  • @TillionsMon
    @TillionsMon Před 3 měsíci +1

    FAMILIA NZIMA YA MZEE WETU MH:HAYATI RAIS MWINYI,MUNGU AWAPE FARAJA KUU ,AMIIN

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před 3 měsíci

    Mm namuelewa.. nimeondokewa na baba yangu mzazi mwaka jana na hadi sasa nahc uchungu mwingi sana😢

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 Před 3 měsíci

    Mungu Ampe Pumziko la Amani

  • @himbokomussa3419
    @himbokomussa3419 Před 3 měsíci

    Allah amsamehe mzee wetu madhambi yake.

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie Před 3 měsíci

    Innalillah wainna illah rajioun. Allah ampe kaul thabir

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 Před 3 měsíci

    Kulia sio kutia aibu kaka, just cry huyo ni baba yako mzazi. We understand you

  • @user-ir1ci1lo5y
    @user-ir1ci1lo5y Před 3 měsíci

    Pole sana kiongozi.

  • @user-mi4yx1np3z
    @user-mi4yx1np3z Před 3 měsíci

    Poleni sana Kila chenye mwanzo akiksi mwisho

  • @user-fm5qm8ql5e
    @user-fm5qm8ql5e Před 3 měsíci

    Pole sana wazalendo wa Tanzania

  • @erastolyimo2423
    @erastolyimo2423 Před 3 měsíci +1

    Pole familia ya mzee mwinyi,

  • @SleepyBallet-yp2cu
    @SleepyBallet-yp2cu Před 3 měsíci

    Apumzike kwa aman babu yetu kiongozi wetu ameen

  • @abdibilali4186
    @abdibilali4186 Před 3 měsíci

    Poleni sana Wana familia na Taifa kwa ujumla

  • @user-xy3yx1hl6e
    @user-xy3yx1hl6e Před 3 měsíci

    Mungu amlaze mahari pema pepon 😭😭

  • @salimngari6295
    @salimngari6295 Před 3 měsíci

    Pole sana Abdallah

  • @user-gv4gh6xz4z
    @user-gv4gh6xz4z Před 3 měsíci +1

    Pumzika Babu yetu

  • @issacalley5145
    @issacalley5145 Před 3 měsíci

    Innalilah wainnailah rajiuun,kitachowaliza kila cku ni mazoea ya baba enu,mu gu awape moyo wa subra

  • @Alishaib-zp2yn
    @Alishaib-zp2yn Před 3 měsíci

    Mungu akulaz mahala pema peponi Baba yake Ali Hassan mwinyii

  • @MatandikaOmari
    @MatandikaOmari Před 3 měsíci

    Poleni sana wanafamilia kwa kweli tuna majonzi watanzania😭😭😭😭😭😭😭

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 Před 3 měsíci

    Na kakako muombe awe kama babake muadilifu aitendee haki Zanzibar ni jukumu kubwa alilonalo amuone babake anavosifiwa na watu.

  • @ameenamohammed4413
    @ameenamohammed4413 Před 3 měsíci

    pole sana😢😢

  • @fetyalmas698
    @fetyalmas698 Před 3 měsíci +1

    Innalillah wainna illah rajiun😢

  • @user-hk9iq3wq4u
    @user-hk9iq3wq4u Před 3 měsíci

    Jikaze mwanaume

  • @user-tp5jb1zj2i
    @user-tp5jb1zj2i Před 3 měsíci

    Pole sanaa

  • @user-te1vf9fg1g
    @user-te1vf9fg1g Před 3 měsíci

    Poleni sana Kwa msiba

  • @user-cb5ds9ql6s
    @user-cb5ds9ql6s Před 3 měsíci

    Pole sana

  • @SalimSilima-ze9ep
    @SalimSilima-ze9ep Před 3 měsíci

    poleni wana familia na watanzania kwa ujumla na wale wote walioguswa na msiba huu

  • @user-wu7ou4ns4j
    @user-wu7ou4ns4j Před 3 měsíci

    Pole sana na msiba

  • @user-rr5wq6sg6c
    @user-rr5wq6sg6c Před 3 měsíci +1

    Inalilah wainah illah rajiun

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 Před 3 měsíci

    YAALLAH

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 Před 3 měsíci

    Allahumma ghafrillahu waskanahu fil janah🤲🤲

  • @mwantumubakari5904
    @mwantumubakari5904 Před 3 měsíci

    Pole sana😭

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 Před 3 měsíci

    Safari yake iwe ya salama Mungu tunakuomba dua zetu

  • @modyworldmody4297
    @modyworldmody4297 Před 3 měsíci

    انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته يارب العالمين

  • @khatimabdallah8143
    @khatimabdallah8143 Před 3 měsíci

    innah lillaah wainnah ilaihum rajiuun allaa awape subra nyote familia amiin

  • @ramadhanswalehe7259
    @ramadhanswalehe7259 Před 3 měsíci

    Poleni sana familia

  • @bubulini645
    @bubulini645 Před 3 měsíci

    Ni ukweli kupiteza mzazi sio rahisi....lalini kukaa mirele hawiwezekani....mumushukulu mungu mumekuwa na bahati