Taarifa ya LEMA Yasambaa DUNIA NZIMA, Nchi YATIKISIKAA!!!!

Sdílet
Vložit

Komentáře • 281

  • @katunzikamara7989
    @katunzikamara7989 Před 14 dny +19

    mimi ni ccm dam lkn lema unatufaa kuwa kiongozi wajuu nchini tanzania kweli tuna viongozi wanao alibu nchi yetu.lkn ipo cku Mungu atatutetea sisi watoto watanzania Mungu mbaliki lema mrinde lema mtunze lema kwaajili ya watanzania.

    • @RaymondKilomeye
      @RaymondKilomeye Před 4 hodinami

      Tatizo mafisiem nimajambaz ht akiingia watamuua km walivyo wauwa wengne jambaz ni jambaz TU

  • @ImaniMasuwi
    @ImaniMasuwi Před 14 dny +13

    Saluti sana Kiongozi mungu akulinde watabusha lakini ukweli umesemwa

  • @AdotTanzania
    @AdotTanzania Před 14 dny +9

    Hayati JPM aliyaona yote haya kitambo lakini alipigwa vita hadi kifo. Ni nani alituroga watanzania haya ndio yalikuwa maneno ya hayati JPM enzi za uhai wake. RIP JPM 😭😭😭

  • @johnmlangi6890
    @johnmlangi6890 Před 14 dny +18

    Nakupongeza sana Mhe. Godbless Lema, Leo umeongea mazito sana na Kusheheni Ukweli. Nategemea Wananchi Wamekuelewa

  • @obedimolel7938
    @obedimolel7938 Před 14 dny +7

    Viongozi kama hawa ndio wa kutusaidia kukomboa ngorongoro ,bandari zetu na sehemu nyingi zilizouzwa na uongozi mbovu uliopo madarakani tunakuombea sana Mungu akutie nguvu maana unasema ukweli mtupu

  • @felixngwasi9469
    @felixngwasi9469 Před 13 dny +5

    Brovo kamanda, Mungu ni mwema, hakuna lisilo na mwanzo lisilo na mwisho, hawa jamaa wameshajiaminisha kuwa wao ndio wao kuwa hawaamini kwamba kuna Mungu ambaye ndiye Mpangaji kwamba siku ikifika hata wafanyaje mabadiliko ni lazima, na mabadiliko ni sasa hakuna mwenyekuweza kuzuia Mungu akiruhusu....

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Před 14 dny +21

    Tanzania tunajifunga kamba ya utumwa wa pili chini ya mikono ya waarabu iko siku kitakuja kizazi kitakachotaka kukomboa bandari za Tanzania kukomboa mbuga za Tanzania kitashindwa ndipo ipelekea Tanzania itamwaga damu nyingi kutokana na maamuzi mabaya ya viongozi wetu walioko madaraka Ieo wasio fikilia Nchi wanafikilia matumbo yao na watoto wao
    hakika iko siku maiti zao zitafukuliwa na kuchapwa viboko hadhalani.

  • @RobertJonathan-jm5um
    @RobertJonathan-jm5um Před 14 dny +7

    Hongeraa ukweli mtupu

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před 14 dny +12

    Pamoja nauccm wangu kwahili lema nisemeukweli ukosawa kabisa.

  • @amaniringo5533
    @amaniringo5533 Před 14 dny +3

    Hongera sana kamanda Lema piga misumari baba❤

  • @user-vz3bb3ch3z
    @user-vz3bb3ch3z Před 14 dny +10

    Rema maneno yako yànachoma make nikweli mutupu

  • @SylivesterKasikila
    @SylivesterKasikila Před 14 dny +6

    Thanks Lema. You have brain.

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 Před 12 dny +5

    Darasa zito sana Lema! Watu wanashindwa kushangiria kwa sababu ya umakini wa kusikiliza hoja zako nzito! Mungu akulinde sana watanzania wanahitaji ukombozi kupitia watu kama wewe.👍👏

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 Před 11 dny +1

      Namtukuza MUNGU kwaajili yako kulijua hilo 🎉🎉🎉🎉

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 Před 11 dny

      @@upendoeliya9329 Amina Amina ubarikiwe 🙏🙏

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 Před 11 dny

      @@davidrweyemamu938 👏👏👏🤝🤝🙏🙏

  • @danysikira4302
    @danysikira4302 Před 12 dny +2

    vibrant speech which wrapped by truth

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 Před 14 dny +4

    A clear message and delivery

  • @charlesmahuna
    @charlesmahuna Před 14 dny +4

    Sidhani kama Magufuli angekuwepo angeruhusu mkataba wa bandali, japo alikuwa na mabaya yake mengi Ila kuna mambo ambayo Samia anayafanya yatai kost hii nchi vinaya mno, mambo ya CCM kujiona kuwa wanapitisha mambo Kwa sifa ili waonekane ni wababe, mnatukosea saaana CCM Kwa matendo yenu mabaya mnooo

  • @AugustineLukumay
    @AugustineLukumay Před 12 dny +1

    Dah unaupiga mwing baba mungu akujalie upate uongozi utatufikisha mbali

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 14 dny +13

    Lema Uko vizuri

  • @user-pj8cj7ps5b
    @user-pj8cj7ps5b Před 14 dny +8

    Safi sana lema tunahitaji viongozi wenye akili timam safi lema

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 14 dny +24

    Wanaosema anaongea UPUMBAVU,HAMJUI DUNIA INAVYO KWENDA!

  • @niyonzimakatama6516
    @niyonzimakatama6516 Před 12 dny

    Roho wa Mungu afanye kazi ndani yetu wananchi tujuwe Lema anachokisema ili tujipange ukweli yuko sahihi

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před 14 dny +6

    Umeongea ukweli mkubwa sana Tanzania yangu die

  • @user-wk4br3rc6u
    @user-wk4br3rc6u Před 13 dny +2

    Nakufatilia San kiongozi wang Lena,mpina ,tundulisu ,wakili wangu mwambukusii nawaombea sana mwenyezimungu awatangulie nawaombea sana

    • @HadsonFanuel
      @HadsonFanuel Před 13 dny

      Ambaye hawezi kumuerewa Lema hana Akili timamu MUNGU akubariki sanaa

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před 14 dny +6

    Mzee mungu akujalie zaidi,

  • @AdotTanzania
    @AdotTanzania Před 14 dny +3

    Hayati JPM alisema wazi kuwa ni kichaa tu angeweza kukubali mkataba wa bandari uliowazi kuwa ungeenda kumuondolea mwananchi uchumi na uhuru bali mlimpinga. Hayati JPM alishatueleza wazi kuhusu hatma hii. Apumzike kwa Amani

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Před 10 dny +2

    Kuna vitu huwa unaongea nikiacha upinzan wa kichama nikakaa kama mtanzania mwenye fkiraa endelevu nakuelewa ila sasa ebu mtafute njia sahihi ya kuwadhilisha aya mawazo kwa mkuu wa nchi kwa heshima.

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im Před 14 dny +2

    Safi sana Kwa elimu yako

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 12 dny

    Umeeleweka kiongozi nice speach

  • @reginaldsmtui148
    @reginaldsmtui148 Před 14 dny +4

    Bravo my brother Lema.

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 Před 14 dny +6

    Huo ni ukweli Lema.

  • @MfunjoWabaBoydays
    @MfunjoWabaBoydays Před 13 dny +1

    God bless you as your name ❤

  • @neemamollel6057
    @neemamollel6057 Před 13 dny +2

    Hatari sana inasikitisha maisha ya badae waarabu watakuja kutufanya watumwa tena 😢😢😢r.i.p.jpm

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 12 dny

      Niambie muarab gani alikufanya mtumwa😢

  • @roggoyacny
    @roggoyacny Před 6 dny

    Wapinzani kuchukua NCHI HII nindoto,,unatumia muda mwingi kukosoa hamsemi ninyi mtafanya Nini endapo mtapewa NCHI hii,, CCM itawaburuza sana mpaka muache unafiki wenu ndani ya vyama vyenu 👍

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 Před 9 dny

    Wewe ni kichwa. Hongera chuga boy.

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před 14 dny +5

    Lema, Lema mwanangu, umeongea hadi machozi yamenilengalenga. Maneno kuntu. God bless you!!

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw Před 14 dny +1

    kweli mh. Lema haya mambo ni magumu kwetu katika yote tunayopitia yafaa Sasa tuwe na katiba maana tumejifunza mengi

  • @saidiotham7508
    @saidiotham7508 Před 13 dny +1

    safi sana kk

  • @johnmboya7313
    @johnmboya7313 Před 8 dny

    Lema nakupongeza Sana mungu akulinde

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před 13 dny +1

    Kweli kamanda pambana hiyo hoja murua sana br

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před 14 dny +1

    Hayo maneno yaLema niLulu viongoziwengi hasawakiafrika auwanafahamu au ni ubinafisitu watamaa naroho zakujitanua waobinafisi kulikowanaotawaliwa.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 14 dny +3

    WATAKANYIKA NI VICHWA MCHUNGWA. KAZI NI POMBE NA WANAWAKE TU, WAKATI WANAUZA NCHI YAO🤣🤣🤣👁️👁️

  • @godfreykisaka8562
    @godfreykisaka8562 Před 14 dny +4

    JAMBO kubwa niDemokirasia sikiliza sera sio Matukano tu mungu hapendiAmina

  • @Elesciahmdugo
    @Elesciahmdugo Před 2 dny

    Uko sahihi sana msigwa

  • @allenmacha4131
    @allenmacha4131 Před 14 dny +3

    Lema tunakutaka urudi bungeni

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Před 14 dny +1

    Umenena brother

  • @user-id7ws5hl5p
    @user-id7ws5hl5p Před 14 dny +4

    Hii ndio siasa sio ubaguzi wa lissu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 13 dny +1

      Lisu anatumia lugha nyingine lakini ujumbe ni mmoja.

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi1671 Před 13 dny

    Hoyeee God bless Lema,

  • @user-cq6nr8fq6m
    @user-cq6nr8fq6m Před 13 dny +1

    Haujawahi kuniangusha mwamba, facts tu.

  • @NelsonagustinoSwai
    @NelsonagustinoSwai Před 12 dny

    Lema uko sawa kabisa MUNGU akulinde popote uendapo

  • @josephchege-bp3cd
    @josephchege-bp3cd Před 14 dny +2

    Sio Tanzania Hilo ni liko Dunia nzima

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před 14 dny +2

    Kumbe sio tz TU hata ulaya Kwa wajanja

  • @Tone255
    @Tone255 Před 13 dny +3

    Utasubiri sana

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před 14 dny +1

    Hoja zinapenya sna mwenyewe akili anaelewa nn maisha

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4p Před 14 dny +1

    Wakina Msukuma hao. Na Tulia anajiita Dr alafu anapambana kutetea huu ujinga.

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 Před 13 dny

    Lena bhana Kama nakuona nice

  • @amidulyuma1833
    @amidulyuma1833 Před 14 dny +1

    Kichwaaa Lema !!!🎉🎉

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 Před 9 dny

    Tuacheni kung'a ng'ania chama,tuangaliye viongozi wenye uelewa na uchungu na wananchi

  • @IssaNyangasa-em9bt
    @IssaNyangasa-em9bt Před 14 dny +1

    Good messege

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 Před 14 dny +1

    congratulations

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv Před 13 dny +1

    Tutamkumbuka baba magufuri

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 14 dny +3

    THATS the reality

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 Před 14 dny +1

    Kweli ujumbe umefika kwa Tundu Lissu baba wa Uzanzibar......Na Utanganyika..

  • @Mupaji-vz8ke
    @Mupaji-vz8ke Před 10 dny

    Lema mimi mara nyingi nakuelewa sana

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před 12 dny

    ❤ bigger up

  • @samwelrobertmwakatobe6467

    Katika hili nikupongeze nchi Haina mpango kazi wa mda mfupi na mda mrefu

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 Před 14 dny +1

    Jamani Anachosema Jamaa yanamashiko Sana Tu.

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2f Před 14 dny +1

    Kuna watu wanakuangalia kwa jicho mbaya hapo ila wataona matokeo hapo baadaye watanzania wagumu kuelewa tukiacha ushabiki tutafika

  • @anwares-haq6497
    @anwares-haq6497 Před 14 dny +2

    Wanasiasa ni maadui wa maendeleo. Huyu anazungumza bila elimu, anachojali yeye ni Kiki ya Siasa tu. Watanzania wengi hatuna elimu, matokeo yake wanasiasa kama hawa wasio na elimu wanatupelekesha na njaa zao.

    • @CristinLyanga
      @CristinLyanga Před 14 dny +1

      Lema ni msomi, mangi,hakuna mtu ambae hajaenda shule anayeweza kuzungumzia features.

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 Před 9 dny

    Lema una madini lakini hakuna wakuyatendea kazi,kusema umesema utalipwa na Mungu

  • @ezekieldeus6022
    @ezekieldeus6022 Před 3 dny

    Kwanini tusiwatumie watz, wenye aikiu, yaani wenye akiri Kama lema ili kuiinua hari ya nchi hii, kiuchumi.

  • @abdallahmagomba4022
    @abdallahmagomba4022 Před 14 dny +2

    Hina jipyaaa

  • @patricksoko1279
    @patricksoko1279 Před 14 dny +1

    ❤❤❤

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye Před 4 hodinami

    Hakika akili ndogo ndio inayo tawala bongo

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Před 13 dny +1

    Lema hapa umeongea kijituzima sio kama Lissu anaongea comedy

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Před 13 dny +1

    Eti taarifa ya Lema chizi nchi itikisike, huu ni upuuzi mtupu

  • @PantaleoBundala-tl2kd
    @PantaleoBundala-tl2kd Před 12 dny

    ccm ni nzuri tu ila viongozi wake ndio wabaya sana

  • @user-kp2jf5jc2i
    @user-kp2jf5jc2i Před 13 dny

    Umesema kweli, ht Mh. Rais ameliona hilo ndiyo maana BANDIKA BANDUA kuona nani amsaidie ni endelevu!

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 13 dny

    Lema nakuelewa sana ingawa mimi siyo Chadema, ni kweli kabisa imagine unatuma mtu kama msukuma std 4 aende kujadili mambo ya uchumi, ukweli ni matusi makubwa sana na watanzania tunazarauliwa sana, na siyo huyo tu karibu wote wameenda wapigaji.

  • @user-kl8xf1yk2b
    @user-kl8xf1yk2b Před 10 dny

    Huhu jamaa anamarifa sana sanaaaaaa

  • @saidjuma7878
    @saidjuma7878 Před 14 dny +1

    Na kuna watu wanamshangilia anasema risiki inapangwa na mahesabu

  • @jamesmsengi7483
    @jamesmsengi7483 Před 14 dny +2

    Safi sana kamanda

  • @user-cw4jr1jz4x
    @user-cw4jr1jz4x Před 11 dny

    Sema ww maana

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 Před 9 dny

    Tubadilike 2025

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 Před 12 dny

    Mwizi wa magari hadi SIASA.

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Před 13 dny +1

    😂😂😂😂😂 Nchi yangu maamaaaaaa..

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 8 dny

    Bandari haijauzwa, imepewa DP Worms inaongoza bandari 80 Ulimwenguni mpaka Ulaya bandari zinaendeshwa na DP World.

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e Před 14 dny +1

    Kichwa cha nchi

  • @masungajp1
    @masungajp1 Před 14 dny +5

    Tunajua

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 Před 14 dny +1

    Sawa kama wamefanya mpaka canada sisi ni nani tuzuie fukwe tuu😅😅😅

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po Před 3 dny

    DUUH KWERI UONGO MWINGINE MBONA MKAPA KAUZA TIKS BILA FAIDA MLIKUA KIMYA LEO TIKSI ILEILE KAPEWA MWALABU POVU LINAWATOKA POLE SANA

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před 14 dny +1

    Mlikejeri jpm leo unaongea nini

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Před 13 dny +1

    Chura kuna ujumbe wako kutoka Kwa Mh Lema😂

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv Před 13 dny

    Ni kweri kabisa unayo yasema tunaona huku tuliko

  • @Renatusmethod-dy4bh
    @Renatusmethod-dy4bh Před 13 dny +1

    Nyie wote maccm mnaomtukana lema tukiangalia majina yenu na pata jibu kile anacho kisema lema matus mnayotoa ni dhahiri kuendelea kuamini ni matokeo ya ficm kufaulu kuwagawa watu maana ccm wanaitaji watu wajinga ili kuendelea kukaa madarakani

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Před 7 dny

    Lema wewe ni kiongozi kiukweli. Naipenda ccm ila Ukweli utabaki kuwa ukweli

  • @RamadhanMrimbo
    @RamadhanMrimbo Před 12 dny +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ReviRashidi
    @ReviRashidi Před 14 dny

    Nishida sana

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfa Před 12 dny +1

    Piga kelele chadema hampati kura ng'o. Mama mshindi 2025 In Sha Allah.

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před 14 dny +1

    Makonda piga kazi huyu Hana jipya marudio tu haya ya miaka 10 hakuna mabadiliko saidia watu wenye kuteseka bro achana na mambo ya ulaya na waarabu hapo hawakuelewi unapoteza muda bure bro siasa kwa Sasa ni kutatua kero majukwaa hayana faida tena saidia wenye shida msile ruzuku na misaada wenyewe leta na zile Land rover tulizopewa msaada wakati wa M4C hatujawahi kuziona barabarani ulipeleka jimbo gani?

  • @blessjo1678
    @blessjo1678 Před 13 dny

    Sisi TUNAONA ubahili kusomesha watu nje, hata wakienda nje ni wale ndugu na jamaaa zetu WA ukoo wetu hata wasiona vigezo... Na wakienda nje ni wachache sana.... Syllabus zetu na curriculum zetu za kizamani hazibadiliki na DUNIA Iko mbali kwenye elimu...
    Tunaaamua kwa hisia za kivyama sio utaifaa na uzalendo... Wanawaza matumbo na familia zao