PADRI KITIMA AITEGA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI/AGUSIA MISIMAMO YA CHADEMA,ACT NA CCM
Vložit
- čas přidán 15. 06. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►CZcams: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hongera father kitima , umekuwa miongoni mwa watetezi wa nchi yetu
>State capture na resource capture ndiyo mfumo tyr uliopo! Pasipo kusikiliza matakwa ya umma kuwezesha uchaguzi huru utakaohakikisha kupatikana viongozi bora na siyo bora viongozi taifa lipo mashakani!
>Padre Kitima amedadavua kwa ufasaha na kueleweka vzr sana!
@@albertkamala6843 hakika nchi hii bila ukombozi wa kifikra hatuta fika mbali tutazidi kuwa omba omba wa magharibi , mfano tunaardhi nzuri yenye rutuba halafu tunategemea mafuta ya kupikia na ngano na sukari nje ya nchi its so shame.
Father kitima Kwa kweli uko makini sana nakupenda sana mungu akubaliki
Kwa kweli inatia huruma 😢 Tanzania tunalekea pabaya sana tumeuzwa kila mahali!Fr Mungu akulinde
Father kitima Mwenyezi Mungu akubariki sana! Kwa kuwa unaona mbali kuliko waonavyo wao, wanawaza miaka mitano tuu! Ila hakika naona hata wananchi hawatajitokeza wengi Kwa sababu ya wizi wa kura! Wananchi watatafuta namna ya kujitawala kuliko kutawaliwa maana hakuna uongoz ulio na baraka na wananchi.
Ubaya wa kura kwa mujibu wa mfumo ni kwamba hata usiposhiriki huadhiri chochote, zaidi zaidi usipopiga kura ndio haswa umemchaguwa usiyempenda.
Safi sana kitima
Padri Kitime ni mfano Bora kwa viongozi wadini. Hongera kwa hekima ya Mungu ndani yako
Hatuna haja na tume huru ya uchaguzi bali serikali isiibe kura na kunyanyasa watu
Kitima hongera saana unafaa sana mungu akubariki sana
Asante sana Padre Kitima Mungu akubariki sana hujawahi kumung'unya maneno ila muarobain wa haya yote Katiba mpya ndo msingi
Kwa kweli naona shida kubwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa serikali inaendelea kurubuni watu kwa nini ikatae misaada ya kuboresha uelewa wa wananchi
Tumpate wapi mtu kama padri kitime, viongozi wa dini wenye hekima tanzania kama kitime ni wachache sana ana hekima busara, anajitambua, tofauti na wanaojiita viongozi wengi wao wanan'gan'gania madaraka na uwezo wa kuongoza hawana, na ndiyo watakao leta machavuko tanzania, na mateso na mauaji wanaofanya kwa raia damu za wote waliouwawa kwa hila na ujanjaujanja ziwe juu ya vichwa vyao
Ikumbukwe huyu anazungumza akiwa mwakilishi wa taasisi inayosimamia masuala ya kiroho na ustawi wa kimwili wa mtanzania na siyo mtu binafsi. Taasisi nyingine ni ndumilakuwili na vuguvugu ambao Mungu alisema "atawatapika"
Anaitwa Kitima sio Kitime
@@pulikisia7963 asante kwa kunisahihisha muheshimiwa kitima, ni hazina kubwa ya taifa,, hata MUNGU siku akimchukua tutalia bila kuulizia kabila alilotoka, lakini wanaotuletea kila siku tozo MUNGU awachukue hata leo ni janga la taifa
Kizuri huigwa, Tanzania tukubali kujifunza kwa wenzetu wa Afrika Kusini,chaguzi zao ziko huru sana,
Father kitima, be blessed Tz nchi yetu inaenda wapi??????
Father ubarikiwe sana kwa haya uliyofunuliwa kunena. Lakini ikumbukwe kwamba tangu vyama vingi kuanza 1992, nchi hii haijawahi kufanya uchaguzi huru na wa haki. Vilevile hatuna sera moja ya kitaifa. Kwa ujumla nchi hii inaendeshwa kiimla😭😭.
Thank you father for your outstanding opinions
Mungu akubariki sana
Dr wa ukweli ukweli wewe Tena mcha Mungu ,Asante nakupenda ktk kweli
Mbona katibu wa ccm alisema usichanganye dini na siasa mbona wanawaalika viongozi wa dini? Yaani kiongozi wa dini akiikosoa serikali ni kosa duuuu
Katibu wa CCM alisema na wewe unafikiri kuongea ukweli ni kuchanganya Dini na Siasa? Huwezi kuwahubiria watu bila kuwakomboa kifikra, kisiasa na kiuchumi Fr anaongea vizuri sana
Hongera sana Fr.Kitima
Lakini pia police na wasimamizi waache kuibeba ccm wao wawe kama refa atakae shinda atangazwe tofauti nahapo uchaguzi umechangia vita kwe inchi za majirani tunawashukuru viongozi wa dini kuliona hili mungu akubariki padire kitima
Hawawezi kuwacha kwa kuwa Viongozi wakubwa wa vitengo hivyo wanatoa amri kwa maslahi yao kubaki kwenye nafasi za juu.Watanzania wote tunatakiwa .tudai Katiba mpya ili madaraka yapungue kwa Rais endapo itabaki Rais kuchagua Majaji Wakuu wa Polisi na Majeshi MaDc Rc na wengine wengi hapo tusahau tume huru tusahau uchaguzi huru. Katiba iliyopo Rais ni Mungu wa nchi
Father mmeingizwa mjini. Hawa wanawadhihaki wananchi kwa maulaghai yao. Hawajawahi kuwa serious
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na azidi kukufunua kwa ajili ya wanyonge🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Akili kubwa sana
Father kitima,Mungu akubariki wewe ni kiongozi bora sana! Unaongea ukweli,asante kwa maelezo mazuri na Elimu nzuri kwa Wananchi! Wananchi tuamke elimu hii ni nzuri itupe hamasa ya kuungana tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tuwakatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa,vijiji, madiwani, wabunge na Rais,msíwachague ccm ni kuangamiza Taifa letu. Na mateso kwa wananchi!
Imesema kweli padre
Father umeongea jambo muhimu sana Mungu hawe nawe
Anayedhani Padri kuzungumzia siasa ameingia pasipomhusu ni uthibitisho kamili wa umbumbu walio nao baadhi ya Watanganyika_siasa ya nchi inambeba kila raia aliyemo kwa njia moja au nyingine
Asante Sana padri, akili kubwa Sana hii, wamasai wanatolewa ngorongoro na hawapewi elimu ya kwenda kuendesha maisha yao huko.
Pamba masikioni fikiria mtu kama Nape mwigulu makamba mataper kama hao na wengine wengi hao hawajui kitu akilini mwao wanaangalia kuongoza nchi tu haojalishi wameshinda au wameshindwa wao wanataka kuongoza tu watanzania tujiandae kisaikorojia hawa jamaa watanyang'anya tu wamejaa madhambi tupu hawa viongozi au tungewauliza hawa kina Nape tuwachangie pesa kiasi gani tuwape watuachie nchi yetu tumechoka nao sn
Asante Father Kitima. Ubarikiwe kwa kuwa katika mengi u muwazi. Ila mtazamo wako kuhusu awamu ya 05(ya JPM). Ukweli ni kuwa unachokisinamia kuwa taifa linapaswa kujengwa katika kujiamini na kujitegemea ki maendeleo, mbona ndiyo ilikuwa SERA kuu ya awamu hiyo iliyo abort?
Fr.Mungu akubariki sana,pia nakupa 100%
Democrasia ya kuyalinda majiz yn ingelikua mm hata uchaguzi ni kupoteza pesa watu hawana mahtaji ya msingi
Watanzania wamekata tamaa juuu ya mamboyanayofanyika kuhusu uchaguzi
Father kitima na sheikh ponda hawa watu mungu awabariki sanaaaaaaaaaaaa wao na familia zao
Hongera sana baba Kwa kutoa maoni mazuri tunaomba wenye mamlaka waheshim maamuzi ya wananchi
Hongera baba Kitime kwa kuliongelea hilo.Tuendelee kupigania haki.Hawa watawala ni walaghai na walafi zaidi ya nguruwe.Mafisadi wakubwa hawa na watakufa na dhambi zao.
mwaka huu wasifanye hvo mungu atawapiga pigo ambalo hawataamini mana walikuepo akina farao,nebukaduneza na mwanae wanajua kilichowapata na wao wawe na hofu ya mungu watende haki haki haipotei
Akili kubwa kama hizi zinahitajika sana kwenye kuongoza serikali. Father hongera sana kwa uchambuzi ambao kila mtanzania, hata mwenye elimu ndogo anaelewa. Mungu akubariki sana.
Well said and stay blessed.
Nimekubali , padri uko vizuri na uko huru.
Ukitumiwa vizuri , unaweza kuwa wa miongoni wa watanzania wachache wenye uwezo wa kukomboa nchi yetu.
Tuna watu wa ajabu sana walio juu nchi hii.
Baba Hawa viongozi tulionao asilimia kubwa wanaangalia matumbo Yao tu hawaangalii taifa kwanza ila tuwaombee tu kwa mungu labda kunasiku watalikumbuka taifa lao
Kweli kabisa father, Mungu aendelee kukupa hekima, labda chura na watu wake. Watakusikia.
Viongozi wa Dini wachache sana wanaojitambua ktk kusema kweli nakuikosoa serekali kwa hekima sio kwa matusi ktk uwisramu shekher Ponda nikiongozi wa kidini jasiri anaesimamia kweli yuko tayali hata kufungwa jera kwakutetea kweli
Hongera father k
Hawa ndio viongozi wa dini wanaotakiwa sio wale wanaochukua hongo na kudanganya waumin kwamba wakichagua chama tofauti na ccm wataangania waache wanainchi wafanye maamuzi wakiamuwa kuendelea na mateso basi
Mungu akubariki sana, umesema ukweli kabisa. Unastahili kua kiongozi wa nchi. Serikali yetu kipofu na haina masikio, tuna viongozi ambao hawataki kuambiwa ukweli.
Miaka ya nyuma uchumi was China ulikua kama watanzania. Serikali ya China ikafanya mageuzi ya mitaala yao ya elimu kwenye maswala ya technologia. Serikali ya china ikawapeleka wananchi wake kusoma marekani na nchi nyingine za kiteknologia, ikiwemo kuwachukua wataalamu wa technologia wa kimarekani, kingereza n.k kuwafundisha wananchi wao nchini china. Leo hii china ni nchi yenye uchumi mzuri duniani. Sasa serikali ya TZ iamke, wananchi waamke. Uchaguzi lazima uwe wa huru na haki. Na utawala wa nchi uwe wa haki na unafuata sheria. Bunge, Polisi na Mahakama iwe mihimili huru katika kufanya kazi zao. Mtu yoyote yule akikamatwa ana hujumu rasilimali za nchi sheria ichukue mkondo wake.
Umeongea kama mm vzr
Hongera father kitima kwamfano form moja yamgombea urais wananchi wakawaida waumini wa chama husika wamehusishwa wakalizia
🙏🙏✔️asate nimekueliewa mkuu
Watumishi wa Mungu pazeni Sauti msiache kusema ndio Utume wenyewe
Fr,ubarikiwe sana,uko sahihi sana baba!
Good leader
Mtumishi wa Mungu. We ombea. Taifa. Liwe na watu wenyekuzingatia Sheria za Mungu Kwanza. Mana. Watu wanataka madalaka. ili wapate. Unafuu. Wa maisha binafis tunaona. nakuhalibiana. Au kutengenezeana chuki viongoz wazuri. Wapo. na hawapati nafasi .
Ni kweli fatha kitima hekima kubwa Sana. Unatumia. Mungu akubariki
Perfect 👍 🎉🎉🎉🎉
Asante sana father kitima, simameni nyie maana mmmh!
Upo sahihi father na ukweli utabakia hivyo
Laaana kwa viongozi wa ccm
Fr Kitima approach yako ni ya mlengo wa kati yenye uelewa wa hali ya juu. Inastahili watunga sera, watafiti, wanasiasa na wadau wa maendeleo wapitie hoja zako bila kujali kwamba ziwe za itikadi kali. Ningeomba utoe ushauri wa utekelezaji wa sera na mikakati kwa mustakabali mzima wa maendeleo ya jamii yetu, kwa mipango ya muda mfupi na muda mrefu. Na hii iguse jamii nzima ya watanzania walipa kodi
Wewe baba Padri unaiamini Hii serikali kuwa itatekeleza hizi Ahadi zake na siyo kutaka mtulie na kifanya yao
Fr hongera sana
ASANTE Mhe Katibu Kitime Nyie ndiyo jicho letu Mungu akubariki
Tungepata Watu10 kama padiri kitima tanzania ingekuwa mbali. Sana. Anaongea point. Anaongea bila kumungunya maneno.
hazina ya taifa. keep it up Father.
User siku zingine upo vizuri sana BIG UP
Nimekuelewa vizursana father
Upo sawa unaongea vizuri sana muumba akubariki na awape nguvu mtetee ilo jambo mpaka haki itendeke
Mngu akubariki sanaa
Mwandishi ,Father akielezea tatizo pia muambie atoe Suluhisho lake ! Kwa sababu wasomi wengi tunajua kuelezea Matatizo ila majibu hatuna !
Suluhisho anatoa,msikulize vzr
We unatafuta pointi ya kuanza kupinga tuu wakati kila kitu kinaelezwa sawasawa.
Kaa kimya wewe
Si utulize mshono ukae umskilize father vizur.mxiiiuuuu
Ndo amekutaja wewe chawa mbona unaumiaaa??
Hivi hii Ina nini, mpaka tulete wawekezaji kwenye misitu yetu ? Au viongozi hawana maoni yoyote.
Hong era Sana... Chama hii... CCM imekufa kifikira....
Father kitima unaakili sana unaongea kweli,viongozi wetu ni bule kabisa hawana mipango endelevu wanaangalia ya leo tu,ngozi nyeusi sijui tutavuka lini kazi yetu kuombaomba misaada tu kwa wazungu wakati tuna resources nyingi sana ambazo zinaibiwa na hao tunaowaomba misaada
Natamani uwe raisi wa nchi
Padri barikiwa sana
Mahojiano konki
Father piga zoezi we bado ni kijana mdogo. 😅😅piga zoezi baba hadi kitambi kiishe. We need you Father katika mapambano haya tunataka uishi mamiaka mengi baba
God bless you father
Wachache ndiyo shida tuwakatae na kuwataja hadharani
Kabisa katoriki mna jukumu kubwa Sana kuiokoa Tanganyika kwa sababu huwa mnaonesha msimamo unaoeleweka lakini mkijivuta ole wenu hata umaana wenu haupo
Hapo kwenye uchumi upo vizuri sana uwezi kusema unalima mbaazi zakutegemea mvua
Msema kweli ni mpenzi wa Bwana
Mtumishi wa mungu ni jicho la taifa
Father Kitima bila kumung’unya maneno nilijua ushalambishwa asali ya nyuki wadogo si bure . Sasa naanza kurudisha imani
Walijaribu kumlambisha kwa lazima wakashindwa
Walijaribu kumlambisha kwa lazima wakashindwa
Kama sio ufisadi hi ho kitambi Fr kotambi kimetokea wapi? Hebi muulizeni na yeye
Kweri kabisa unasema kabiaa
Resource capture tayari ipo bado.
Endeleeni kuhamasisha maandamano tu, CCM NI SIKIO LAKUFA.
ALISEMA
HAWA "WANATAWALA KWA DAMU TUWAONDOE KWA DAMU"
Safi sana umeongea pointi
Viongozi wanapenda sana kujilimbikizia mali madaraka na ndivyo ccm walikuwa wanawaminisha watu kwamba yanayo fannyika ni sahihi. Hivi sasa hata vijijini. Wameshafika hatua ya kuzarau ccm. Hata swala la bandali hadi vijijini wamesha ondowa imani na chama tawala.
Kitima anachosema haswa kuwapeleka wananchi kwenda kujifunza nchi za wenzetu wanachokifanya nao wanabadilika enzi za Nyerere wananchi walikuwa wanapewa nafasi ya kwenda kujifunza kwenye nchi zilizoendelea na waliporudi walibadilika sana chukulia ufugaji wa kuku kutoka Holland ,New Zealand,nk kwa hiyo wananchi wapewe nafasi kwenda kutafuta nafasi ya kutafuta Wabia
Mhh 2019 hatukuona watu wakikosoa kwenye media na inchi ilikwenda sijui Sasa iwe hivi tunavoona waswas unatoka wapi tuiamini serikari yetu tuache kuishutumu Kwa kufikiri hata jambo lenyewe halinafikia inafikirisha sana
Ni kweli padiri
Nikweli kabisa hona waliovyo ziaribu barabara za kigoma mjini zinajengwa ilimradi tu ziitwe barabara lakini kiukweli wanaharibu sura ya mji mzima yaani!
Viongozi wote wa dini wangekuwa na akili kama Dr.Kitima haki ya Mungu tungepata maendeleo ya kweli .... Mungu akubariki mwandishi pamoja na Dr.kwa mahojiano mazuri
Hii interview ingekuwa public ingetuelimisha wengi lakini kutokuwa na uhuru wa habari unatudumaza
Katolic huwa wamenyoka
Huyu ndo angetakiwa awe rais
Nchi ikiharibika. Watasema upinzani wanavuruga wa wa tawala wamefanya nchi hii ni Yao wanatunyanyasa Sana. Kuuwa. Kupiga Wao sawa
Safi doctor kitima
Wakati tunapata uhuru hata panka hakufa leo hii mumeanza kuwauwa vijana kwa sababu wanasema ukweli. Auwaye kwa upanga atakufa kwa upanga. Usije ukaona watu wana chukulia kama hadidhi. Siku mambo ya kigeuka ni vibaya.
Busala nyingi sana serikali ya ccm bado inazani wa tz niwajinga tu zamani wa tz wameisha pevuka sio mazoba kama wanavyozania
Nchi zilizoendekea huwa zina utaratibu wa kuwa na watu kama Mh. Padri Kitima ili watoe maoni na mwongozo wa kiutawala wanaitwa (think tank). Kwenye nchi yetu kila maoni yanapuuzwa. Wazawa serikali haiwajali inajali watu kutoka nje tu.
Kweli fadha kitima kama mahindi bei ya mahindi bei ya gunia moja la kilo 20 wakulima tunauza shilingi 35000..viongo wanazuwia mahindi kutoka nje. Mmkulima ananyoywa.. wakulima vijana kuweni wazarendo kupigania haki zenu wenzetu viongozi wanajinufaisha peke yao. Wanajilimbikizia mali😅
Hakika nimekuelewa sana labda mpumbavu na mjinga pekee ndiye hawezi kukuelewa
Inabidi tuwe shujaa kumwambia kiongozi mkuu wa nchi. Na owe tume malalam ya kumtaka awajibike na si kumwacha Ada yako na kuacha nchi inaangamia namna hii. Inakuwa kama wote watanzania tunaafiki na huu ukukuti. Ni lazima sheria ya kumng’oa kiongozi iwapo pale tu aina nchi inaangamia.