Comfort gani wakati sheria ni mbovu kuanzia upatikanaji wa pasport tuu ni shida. Mtu anapata scholarship wanataka uambatanishe passport number ndiyo wakupe na huna ukienda uhamiaji wanakudai barua ya scholarship kwanza
Tupunguze sifa kwa Rais. Mambo hayako sawa, ufisadi umezidi. Kodi za watanzania zinaibiwa na wachache. Wanaoiba hawafungwi. Mała ya mwisho kusikia mtu mwenye fedha anafungwa ni wakati wa JPM, kwa Sasa kila mtu anakula kwa uregu wa kamba yake bila wasi wasi, bora tunamusifue Rais. Wanyonge wanakoma Watanzania wanateseka lakini hawalalamki kwa sauti, wananong’ongo’na.
Waoooooooh! Uyo binti ni lulu ya taifa hili kabisa mungu amsimamie asije akanunuliwa
Mhe. Ng'wasi kamani umeongea sahihi kabisa. Big Up sana
Safi Sana mwakilishi wa vijana mkoa wa mwanza una contents
Huyu mbunge apewe uwaziri
Waoooooooh! Uyu binti ni lulu ya taifa
unaitendea haki Masters yako ya Economic law
our education status does match with Usa
Dada upo sahihi, pokea 100%
Parliament should make , as one Following Parliament with You tube , there is LACK OF SOUND , and sometime it is not CLEAR , blurring
Hongera Sana maadam damas kaman
Comfort gani wakati sheria ni mbovu kuanzia upatikanaji wa pasport tuu ni shida. Mtu anapata scholarship wanataka uambatanishe passport number ndiyo wakupe na huna ukienda uhamiaji wanakudai barua ya scholarship kwanza
Ww unafaa kuwa waziri wa fedha. Nakuombea sana uwe wazir wa FEDHA.
Good and logic speech! Congratulate Hon .kaman😢
Subutu niko pale pembeni mifumo tu kuonana sijui ni mwaka wa ngapi tuonaongea hamna kitu, ila mchango mzuri kuliko lakini????😢😢😢
Safiii sana Binti. Tunapenda michango kama hii. Kuliko kusifia tu tu bila kushauri namna ya uboreshaji.
Shida ya nchi yetu ni kusifiana sifiana, Mambo ya kusifiana ndo yametufikisha hapa.
Hivi ninyi wabunge, CCM na serikali-CCM mnajua vizuri SIDO ni nini???
Binti ni kweli una Madini kichwani. Tatizo ni je Serikali IPO tayari kuufanyia kazi ushauri?
SEREKALI ifanye connection ya sisi raia kufanya kazi nje ya nchi
au dada afungue agent ya kututafutia kazi nje ya nch
Huyo dogo sijamuelewa, yaani mwenyekiti, eti serekali iwape uwezo wa kwenda kupambana nche, wadaiu nielewesheni hapa anamaanisha nini
Halafu we binti sasa nakuomba uolewe usije ukaitwa singo Maza.
Maua yako mbunge kija
Huyu mbunge ni tunu ya taifa anabeba moono ya rais samia
Wewe upigaji wa wabongo utauwawa
Kazi ile ile ya wizi au?
Mapato tozo wizi mtupu ngoja mungu yupo
Hizo pikipiki ni wizi tu madam
Kuondoa fedha za makaratasi matokeo yake serekali ikiwa haikupendi utaamka asubui uta kuta 0. ndio utaelewa dhumuni la huo mfumo
Tupunguze sifa kwa Rais. Mambo hayako sawa, ufisadi umezidi. Kodi za watanzania zinaibiwa na wachache. Wanaoiba hawafungwi. Mała ya mwisho kusikia mtu mwenye fedha anafungwa ni wakati wa JPM, kwa Sasa kila mtu anakula kwa uregu wa kamba yake bila wasi wasi, bora tunamusifue Rais. Wanyonge wanakoma Watanzania wanateseka lakini hawalalamki kwa sauti, wananong’ongo’na.
Badala ya kumuongezea dk hata tatu amemkata watanzania sijui tuna nn
Dada bajeti ipi?
Dada unaakili kutambua hilo
Hamuna uchumi wewe mtoto sela ya ccm nikuzalisha machinga Kwa sela zenu bado waze Wana sinzia kazini
Watanzania hawapgopo kodi, lakini wanataka kuona kodi zawo zimefanya kazi gani.
Binti Una madini mno ila unarusha Sana mikono!yaani kama vile unapigana