SHABIBY AMWAMBIA SPIKA TULIA "SIKU UKITOKA KWENYE UBUNGE, WEWE LAZIMA UTAVAA KANDAMBILI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 04. 2024

Komentáře • 224

  • @AlbertSabo-hp3ss
    @AlbertSabo-hp3ss Před 2 měsíci +29

    Wabunge anzeni kulipa kodi, tutapata Trillion 1.2 kwa mwaka

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 2 měsíci +10

    Wallah mbunge una maono Bima ya Afya ni muhimu sana na Afya ni uchumi Tafuteni vyanzo kama tozo simu mafuta vinywaji nk Asante baba

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před 2 měsíci +5

    Bima ya afya imekuwa mateso kwa wananchi, hongera sana mheshimiwa shabiby kujuwa changamoto watu hali ya chini ni mtihani mkubwa

  • @burkardkayombo4608
    @burkardkayombo4608 Před měsícem +1

    Upo vizuri MH. Shabibi Bima kwa wote, isiwe njia ya kupruni Watanzania.

  • @salatielmwakyambiki8383
    @salatielmwakyambiki8383 Před 2 měsíci +1

    Shabib umewatetea sana wananchi. Hongera kwa ushauri wa kina juu ya chanzo cha kudumu cha chanzo cha bima ya afya kwa wote

  • @jurdanforwardersltd1460
    @jurdanforwardersltd1460 Před 2 měsíci +2

    SHABBY upo sahihi sana umetoa wazo zuri sana ambalo serikali walifanyie kazi itapatikana pesa nyingi sana.

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 Před 2 měsíci

    You are very clever, May God protect you.

  • @prorwega
    @prorwega Před 2 měsíci

    Well said mbunge Shabib I am admiring you.

  • @godsonkilua7738
    @godsonkilua7738 Před 2 měsíci +4

    Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 Před 2 měsíci

    Mheshimiwa SHABIBY Mungu akubariki kwa hekima na uzalendo wako wa kweli. Inasikitisha kuwa na wizara isiyo na ufahamu wa hali halisi ya wananchi wetu

  • @philemonmbalwowa5619
    @philemonmbalwowa5619 Před 2 měsíci

    Asante Mh. Ubalikiwe.

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Před 2 měsíci +2

    Hapo nimekuelewa Shabby 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @mathiasmuhochi435
    @mathiasmuhochi435 Před 2 měsíci +1

    Good idea....tulifanyie kazi wazo lake

  • @SilasMollel-mp9ib
    @SilasMollel-mp9ib Před 2 měsíci +1

    Safi sana hawa ndo wabunge wa mfano..anaongea fact tupu..mungu akubariki kaka shabiby

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem

      Sasa hapo c wamebadilisha mfumo kutoka kukutoza kwa cash kuja kukuchukulia kwenye layn sasa c waseme tuchukue kwenye migodi huko au utalii au wabunge waanze kulipza Kodi itumike kwenye bima

  • @eliasjoseph8830
    @eliasjoseph8830 Před měsícem

    Hongera sana mbunge shabibu uko sawa hicho serikari itafute chanzo Cha pesa ilikuwasaidia wananchi wake bima

  • @jahululamasunga
    @jahululamasunga Před 2 měsíci +1

    immaculate contribution MP Shabiby

  • @RosemaryPeter-hc6ts
    @RosemaryPeter-hc6ts Před 2 měsíci +5

    Umezunguza ukweli mtupu Mungu akubariki maana umezungumza kwa niaba ya watu wa hali ya chini
    Tunakushkuru

  • @user-pm5hw8mf7s
    @user-pm5hw8mf7s Před 2 měsíci +1

    mheshimiwaa uko sahihiii kabsaaa,, inaonesha unayajua maishaaa halis ya waTz

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd Před 2 měsíci +4

    Unazingua, kwa mafaoo yote ya spika hilo haliwezekani

  • @user-vc8cc2pt7n
    @user-vc8cc2pt7n Před 2 měsíci

    Shabby shabby shabby mungu akubaliki sana Kwa michango wako mzuli tunaitaji wabunge km wewe hongera sana ilitakiwa uwe wazili kbs

  • @user-qr7kj3bf9q
    @user-qr7kj3bf9q Před 2 měsíci

    Hongera mshimuwa shabiby

  • @rashidhtibangayukatibangayuka

    Hongera shaving

  • @ibraimnikolaus9702
    @ibraimnikolaus9702 Před 2 měsíci

    Serikali ilifanyie kazi wazo hili ni nzuri

  • @user-rv2gb2gi7q
    @user-rv2gb2gi7q Před 2 měsíci +3

    Mbunge shabby Yuko sahihi mawazo yake yafanyiwe kazi hongera sana

    • @user-ey8bo5iw9y
      @user-ey8bo5iw9y Před 2 měsíci

      Tatizo uwo mfuko wabima serikali inaukopa mbaya zaidi hailipi na je tukianza kata 2000 kwa kila raia tunauhakika gani zitakuwa salama

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 měsíci

      ​@@user-ey8bo5iw9yni namna fulani ya kuufisadi mfuko.

  • @samwelikangambili4831
    @samwelikangambili4831 Před 2 měsíci +7

    Hongera Sana mbunge kwa maono yako itakuwa mkombozi kwa wa Tanzania

    • @bulunjamalimikulwa4876
      @bulunjamalimikulwa4876 Před 2 měsíci

      Safi mwenyewe nimemuelewa, changamoto kwetu sisi ni kupinga Kila kitu tukisikia pesa tu.

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Před 2 měsíci

    Safi sana baba mngu akuone

  • @DennisDidas
    @DennisDidas Před 2 měsíci

    Wazo zuri sana. Ukitaka kujua uzuri wa wazo hili angalia hali za watu kwenye vituo vya afya.

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 Před 2 měsíci +3

    shabiby akili nyingi sana Wana gailo mna jembe hapo mjengoni wengine kazi zao kusinzia

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem

      Angesema wabunge waanze kulipza Kodi ndyo tutapata pesa za maana

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 Před 2 měsíci

    True CHAMPION of the poor whom are the majority in TZ.

  • @user-wl8ej9qy5d
    @user-wl8ej9qy5d Před 2 měsíci +1

    Bip up bunge

  • @raphaelmkosamali1056
    @raphaelmkosamali1056 Před 2 měsíci +1

    Je,wabunge mkilipa kodi tutapata sailingi ngapi?

  • @emazacharia4455
    @emazacharia4455 Před 2 měsíci +3

    Yaan bima ya afyaa imekuwa n mateso mateso Kwa wananch ..Kwa utajir wa Mali zet watanzania bima ingelkuwa bure Kwa Kila mwananchi😢

  • @godfredkimaro3292
    @godfredkimaro3292 Před 2 měsíci +1

    Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika

  • @femexpress7857
    @femexpress7857 Před 2 měsíci

    Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo

  • @user-dh8gj1dt6x
    @user-dh8gj1dt6x Před měsícem

    Safi sana kamanda,karibu mbarali utete anyone,pia bima ni nzuri ila tatizo ni dawa hazipo!

  • @jumaruhinda4109
    @jumaruhinda4109 Před 2 měsíci

    Uko sawa sana

  • @elijuskikoto392
    @elijuskikoto392 Před 2 měsíci +3

    Mwarabu wa Gailo huwa nakukubali Sana

  • @mcsukerpapaa8817
    @mcsukerpapaa8817 Před 2 měsíci

    Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.

  • @user-zu5ee3qe6u
    @user-zu5ee3qe6u Před 2 měsíci +1

    Hata uingereza ni mfumo huo huo again good thinking

  • @wilfredaxwesso7394
    @wilfredaxwesso7394 Před 2 měsíci +2

    Si rahisi kuvaa kanda bili hata kama akitoka kwenye kiti kwani wako na stahiki nyingi baada ya kustaafu.

  • @VarerianRichardi
    @VarerianRichardi Před 2 měsíci

    Baba hongera

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před měsícem

    Mheshimiwa uko vzr Sana ila tatizo mfumo ila ingekuwa Jambo jema uwajibikaji itaongezeka

  • @TheNichym
    @TheNichym Před 2 měsíci +2

    Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali

  • @rich-lr8tq
    @rich-lr8tq Před 2 měsíci +1

    wenye laini zaidi ya moja mtakoma, watumishi wa serikali pia watakatwa mara mbili au tatu na zaidi

  • @KhatibTmk
    @KhatibTmk Před 2 měsíci

    Mhe Shabiby chukuwa 💐🌼🌺 yako

  • @user-ri1yr8ks7y
    @user-ri1yr8ks7y Před 2 měsíci

    What's problem

  • @00P288
    @00P288 Před měsícem

    Nchi bahati mbaya sana hii. Ubunge iwe kazi ya kizalendo mishahara yao ipunguzwe.

  • @user-dk8uf8ho9s
    @user-dk8uf8ho9s Před 2 měsíci +3

    Mbunge mahari sana. SAMIA mpe huyu Ahmed uwaziri wa biashara.jamaa ni smart sana

  • @ziadakayoyo7310
    @ziadakayoyo7310 Před 2 měsíci

    Umeongea suala la mbolea sana. Safi.

  • @emmanuellaizer4808
    @emmanuellaizer4808 Před 2 měsíci

    Bunge mko vizuri bima lazima ila iwe inayotumika mikoa yote popote unapokutwa na homa

  • @AloicemaikoNgakuro
    @AloicemaikoNgakuro Před měsícem

    Hongera sana shabby iyo ndio ukweli

  • @harsoshelezi4658
    @harsoshelezi4658 Před 2 měsíci +1

    ZIBAKI ZA RUFAA TU KWASABUBU NDIKO MNAKO KWENDA.

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 Před 2 měsíci

    naomba mawazo ya Shabiby yafanyiwe kazi plz naomba sana

  • @barakaalfred1491
    @barakaalfred1491 Před měsícem

    Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu Před 2 měsíci +3

    Bima hizi hizi ambazo wanazichukia wahudumu wa afya au Kuna zingine

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 Před 2 měsíci

    Baba ongera kwa wazo nzuri

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 Před 2 měsíci

    SHABIBY WILL ALWAYS BE SHABIBY AKILI KUBWA

  • @premierevents9537
    @premierevents9537 Před 2 měsíci

    Safi sana

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 Před 2 měsíci

    Daaaa maoni mazuri sana mbunge

  • @linogracephord9785
    @linogracephord9785 Před 2 měsíci

    Unaongea vizuri sana, ila kuna maeneo mndewa ukuchanganya!

  • @kilimoufugajipesatv5751
    @kilimoufugajipesatv5751 Před 2 měsíci +1

    Kweliìiiiiìi

  • @user-dh8gj1dt6x
    @user-dh8gj1dt6x Před měsícem

    Mungu awe nawe,hiyo ndio sera halisi ya ccm, chapa kazi wanyonge wote tz wapo nyuma yako!

  • @yateramadavaathumanmmbaga7776
    @yateramadavaathumanmmbaga7776 Před 2 měsíci +1

    Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 měsíci

      Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma.
      Hata zile tozo za simu walifeli.

  • @gladyssembojas5308
    @gladyssembojas5308 Před měsícem +1

    Huyo ni muheshimiwa kama muheshimiwa Shabiby

  • @reignkeshbio7652
    @reignkeshbio7652 Před 2 měsíci

    Jackson

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa415 Před 2 měsíci

    Mr Shabby mawazo yako hebu andika andiko ili na wengine wausome kwa manufaa zaidi kongole sana kiongozi.

  • @jumamhando3992
    @jumamhando3992 Před měsícem

    Mm nilijua atashaur matajir wote wa Mabas wakatwe lak Kwa Kila mwez na wabunge walipe kodi Tena wawe mfano wakatwe asilimia 25 ingesaidia bima vzr

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 2 měsíci

    Hii bima wanaifanya kama bima ya magari watoto bima yao wanataka ipitie mashuleni na huko shule lazima watoto wafikie idadi ya 100 ndo ndio wasajiliwe. Kitu kigumu wengine hawataki na ni ngumu sana kufikia idadi hiyo mwisho wake watoto hawaangaliwi. Huko nyuma mtoto alikatiwa bima ya sh 54000/ ni kuwadhulumu kwa kweli. Hii wangeirudisha kwa kujali afya ya mtoto.

  • @user-rm8gp2kr9i
    @user-rm8gp2kr9i Před 2 měsíci

    Mwenye shibe ham jui mwenye njaa😂😂😂

  • @DaheerK
    @DaheerK Před měsícem

    Hakuna matusi apa hongera mkuu

  • @user-dm3vh4br5f
    @user-dm3vh4br5f Před 2 měsíci

    Na biashara za watu binafsi zifutwe,mabasi imiliki serikali,maduka n.k.Hoja haijakaa vzr,vituo binafsi vinasaidia Sana.Serikali haiwezi pekee yake.

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Před 2 měsíci +1

    Mlaikiji komenti🤗

  • @inocentkaiza7962
    @inocentkaiza7962 Před měsícem

    Hawez akavaa kandambili kwasababu uwakika wakuishi kwagharama ya serikali mpaka anazeeka upo namsharahara juu

  • @user-nk4yl7bw2h
    @user-nk4yl7bw2h Před měsícem

    Tunaitaji wabunge kamahawa wanaishauli selikali vituvya maana wengi bungeni wanarara tu nimzingo kwa selikali

  • @AmusedForestBridge-zo6ox
    @AmusedForestBridge-zo6ox Před 2 měsíci +1

    huyu mbunge anasema ukweli mtupu isipingwe kitu yoyote !!!

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 Před 2 měsíci

    Ukweli mtupu

  • @wenseslausjoseph1749
    @wenseslausjoseph1749 Před 2 měsíci +1

    Chanzo cha pesa ni jambo moja na matumizi sahihi ya hizo pesa ni jambo nyingine

  • @farajiissa8747
    @farajiissa8747 Před měsícem

    Akika imekaa vizur ifanyiwe tu kazi nafikri fraha itakuwa kwa hawa watu

  • @ludumwikechengula448
    @ludumwikechengula448 Před 2 měsíci

    Hii ingepita

  • @user-yz1xq8xo8s
    @user-yz1xq8xo8s Před 2 měsíci

    Ni kweli mwanike wa ukaya Ila wasitubague sisi maskini

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 2 měsíci

    Nikweli kabisa huna hera ustumie simuu

  • @rashidhtibangayukatibangayuka

    Nakupongeza SHABIB UKO VIZURI

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 Před 2 měsíci

    Trioniii ehee😂😂😂😂😂 basi haya😂😂😂 jamani wanaichi hawa hawa au wengine hahahahaha kumbe kadi za simu zina pesa iv ehee

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f Před 2 měsíci

    Kama ni vyanzo vya fedha, wabunge mnachangia nini ninyi?

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před 2 měsíci

    Mhmm kumbe umeongeea unamaliza kwa kutudanganya yani spika tembelee kandambili kachumbali apo mimi ntakua natembea uchi sasa😮

  • @AmusedForestBridge-zo6ox
    @AmusedForestBridge-zo6ox Před 2 měsíci

    jamani watu wanatezeka sana kijijini madaktari wanaringa utadhani hospitali ni yao na madaktari hawana ukarimu na watu kabisa!

  • @tabiasaidi2931
    @tabiasaidi2931 Před 2 měsíci

    Maoni yangu elimi isiwe bure kila mzazi awajibike kwa mwanae ila kila mtanzania atibiwe bure ili awe na afya njema afanye kazi na alipe kodi.

  • @Goofyplayz-fj3ce
    @Goofyplayz-fj3ce Před 2 měsíci

    Msiseme 'WanaNchi wetu',:semeni 'WanaNchi wenzetu'!

  • @yateramadavaathumanmmbaga7776

    Ni waheshimiwa wachache wenye moyo kama wako Ahmed Shabiby, Dr. Tulia bila kumsahau mbunge wangu Tony P. Mavunde, mhe. Wa makete, wazir wa fedha, mb. Wa igunga na wengine wachache, ndio maana Mungu anawabariki zaidi mnawajali sana wananchi wenu lakini wengi ni maneno mengiii lakini wanawakimbia wapiga kura wakiingia tu kwenye maeneo yao wanaweka tinted vioo vyote sijui wameshajua hawarudi au wanatumia ndumba kuingia mjengoni ila ndumba zina mwisho. Nawaomba tutafute muarobaini wa matibabu sawa kwa wananchi wote kama tulivyofanya kwenye elimu, likifanyika hili vizuri haki ya nani 95% ya wabunge mtarejea mjengoni

    • @yateramadavaathumanmmbaga7776
      @yateramadavaathumanmmbaga7776 Před 2 měsíci

      Jamani hali ni mbaya sana kwa wananchi wa chini hata wenye uwezo kidogo wakifikwa na tatizo kubwa la ugonjwa uwezo unaisha mgonjwa akipona na familia imefilisika. Kuna bint alijifungua kwa upasuaji miezi 2 ilopita kigoma mjini akapata tatizo haja ndogo haitoki vizuri na inatoka na uchafu akawa anaishiwa damu baada ya siku 5 hali ilikuwa mbaya akapewa rufaa aende bugando. Kumsafirisha kwenye bus haiwezekani wakaambiwa watoe 1m gharama za mafuta, nesi na dereva ili ambulance impekeke bugando hali ngumu sana wakapunguziwa watoe laki 7 hawana lakini walijitokeza wasamaria ikapatikana kufika bugango wakapokelewa wakaambiwa watoe 1m ya kuanza matibabu hawana hata cent wakaambiwa wamuone afs ustawi jamii akawaambia watoe laki 7 tiba ianze kaki 3 itafutwe raratibu watu wakakamatana zikapatikana tiba ikaanza kagunduliwa figo inashida kubwa afanyiwe dialysis @ laki3 ilitakiwa afanyiwe mfululizo siku 3 then x2 kwa wiki kutokana na kukosa pesa wanafanta x1 kisha wakasake msaada ikipatikana ndo afanyiwe. Ni bora hospital wangemfanyia inavyotakiwa halafu pesa ije kwa kadri wanavyopambana matokeo yake sasa inakaribia miezi 3 mgonjwa bado hali mbaya na katoto hakajawahi kunyonya mama hata tone la maziwa hana yananunuliwa ya kopo na wasamaria wema. Nimeeleza kwa kirefu na kwa uchungu ili watanzania hasa wakubwa juu wajue hali ilivyo ili tutafute muarobani haraka NHIF tuokoe maisha na kutaabika wananchi. Mgonjwa aitwa Aziza miezi 3 bugando watu wamechanga ndg wameuza hadi mashamba hali bado tete.

  • @sylvandm.kamugisha7991
    @sylvandm.kamugisha7991 Před 2 měsíci

    Michango mzuri

  • @user-zu5ee3qe6u
    @user-zu5ee3qe6u Před 2 měsíci

    Good thinking 😂

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 2 měsíci

    Vianzo vingine vya mapato????
    Tunaambiwa uchumi uko vizuri sasa mnatafuta vianzo gani?

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Před 2 měsíci

    Sio kweli hospitali binafsi mil 2 ni laki 7 muhimbili laki 5

  • @ConfusedClogShoes-jq2tt
    @ConfusedClogShoes-jq2tt Před 2 měsíci

    Katika siku zote mheshimiwa leo ndo umeongea mambo ya msingi ninaimani umeenda kuwatembelea uko vijijini umewaona watu wanavyoteseka

  • @Hashimomary
    @Hashimomary Před 2 měsíci

    Anataka kuwakamua wananchi,mbona ajasema wenye mabasi wachsngie?

  • @nasibuupete140
    @nasibuupete140 Před 2 měsíci

    wazo ni zuri cn hilo

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl Před 2 měsíci

    Bima ni mpango wa kuwaibia wanachi ukweli bima haina nafuu kwa wagonjwa waulizeni wananchi waliopatwa na shida na wana bima. Kweli mbunge .

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Před 2 měsíci

    Hongera sana shabibi kiongozi wetu umeongea point

  • @user-kx5dt5ih2i
    @user-kx5dt5ih2i Před měsícem

    HONGERA SANA

  • @harsoshelezi4658
    @harsoshelezi4658 Před 2 měsíci

    BIMA kiasili ni kamari ya afya ambayo haijawahi kuwa suluhisho. Ni tabia ya Ubepari kukosa huruma kwa raia. Pesa ni nyingi ikiwemo zile anazoona CAG zikiibwa, zikirejeshwa zinatosha na ziada kwa matibabu. Pesa za malipo kwa wabunge zishushwe hadi 55% na 45% iingie BIMA.