Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.
Sasa hapo c wamebadilisha mfumo kutoka kukutoza kwa cash kuja kukuchukulia kwenye layn sasa c waseme tuchukue kwenye migodi huko au utalii au wabunge waanze kulipza Kodi itumike kwenye bima
Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika
Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo
Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.
Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali
Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄
Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana
Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma. Hata zile tozo za simu walifeli.
Hii bima wanaifanya kama bima ya magari watoto bima yao wanataka ipitie mashuleni na huko shule lazima watoto wafikie idadi ya 100 ndo ndio wasajiliwe. Kitu kigumu wengine hawataki na ni ngumu sana kufikia idadi hiyo mwisho wake watoto hawaangaliwi. Huko nyuma mtoto alikatiwa bima ya sh 54000/ ni kuwadhulumu kwa kweli. Hii wangeirudisha kwa kujali afya ya mtoto.
Ni waheshimiwa wachache wenye moyo kama wako Ahmed Shabiby, Dr. Tulia bila kumsahau mbunge wangu Tony P. Mavunde, mhe. Wa makete, wazir wa fedha, mb. Wa igunga na wengine wachache, ndio maana Mungu anawabariki zaidi mnawajali sana wananchi wenu lakini wengi ni maneno mengiii lakini wanawakimbia wapiga kura wakiingia tu kwenye maeneo yao wanaweka tinted vioo vyote sijui wameshajua hawarudi au wanatumia ndumba kuingia mjengoni ila ndumba zina mwisho. Nawaomba tutafute muarobaini wa matibabu sawa kwa wananchi wote kama tulivyofanya kwenye elimu, likifanyika hili vizuri haki ya nani 95% ya wabunge mtarejea mjengoni
Jamani hali ni mbaya sana kwa wananchi wa chini hata wenye uwezo kidogo wakifikwa na tatizo kubwa la ugonjwa uwezo unaisha mgonjwa akipona na familia imefilisika. Kuna bint alijifungua kwa upasuaji miezi 2 ilopita kigoma mjini akapata tatizo haja ndogo haitoki vizuri na inatoka na uchafu akawa anaishiwa damu baada ya siku 5 hali ilikuwa mbaya akapewa rufaa aende bugando. Kumsafirisha kwenye bus haiwezekani wakaambiwa watoe 1m gharama za mafuta, nesi na dereva ili ambulance impekeke bugando hali ngumu sana wakapunguziwa watoe laki 7 hawana lakini walijitokeza wasamaria ikapatikana kufika bugango wakapokelewa wakaambiwa watoe 1m ya kuanza matibabu hawana hata cent wakaambiwa wamuone afs ustawi jamii akawaambia watoe laki 7 tiba ianze kaki 3 itafutwe raratibu watu wakakamatana zikapatikana tiba ikaanza kagunduliwa figo inashida kubwa afanyiwe dialysis @ laki3 ilitakiwa afanyiwe mfululizo siku 3 then x2 kwa wiki kutokana na kukosa pesa wanafanta x1 kisha wakasake msaada ikipatikana ndo afanyiwe. Ni bora hospital wangemfanyia inavyotakiwa halafu pesa ije kwa kadri wanavyopambana matokeo yake sasa inakaribia miezi 3 mgonjwa bado hali mbaya na katoto hakajawahi kunyonya mama hata tone la maziwa hana yananunuliwa ya kopo na wasamaria wema. Nimeeleza kwa kirefu na kwa uchungu ili watanzania hasa wakubwa juu wajue hali ilivyo ili tutafute muarobani haraka NHIF tuokoe maisha na kutaabika wananchi. Mgonjwa aitwa Aziza miezi 3 bugando watu wamechanga ndg wameuza hadi mashamba hali bado tete.
BIMA kiasili ni kamari ya afya ambayo haijawahi kuwa suluhisho. Ni tabia ya Ubepari kukosa huruma kwa raia. Pesa ni nyingi ikiwemo zile anazoona CAG zikiibwa, zikirejeshwa zinatosha na ziada kwa matibabu. Pesa za malipo kwa wabunge zishushwe hadi 55% na 45% iingie BIMA.
Wabunge anzeni kulipa kodi, tutapata Trillion 1.2 kwa mwaka
Kumbeee 😂
Hivi halipi kodi ? Kama ni hivyo itakuwa niuonevu mkubwa
Pamoja na mabalozi
Wallah mbunge una maono Bima ya Afya ni muhimu sana na Afya ni uchumi Tafuteni vyanzo kama tozo simu mafuta vinywaji nk Asante baba
Bima ya afya imekuwa mateso kwa wananchi, hongera sana mheshimiwa shabiby kujuwa changamoto watu hali ya chini ni mtihani mkubwa
Upo vizuri MH. Shabibi Bima kwa wote, isiwe njia ya kupruni Watanzania.
Shabib umewatetea sana wananchi. Hongera kwa ushauri wa kina juu ya chanzo cha kudumu cha chanzo cha bima ya afya kwa wote
SHABBY upo sahihi sana umetoa wazo zuri sana ambalo serikali walifanyie kazi itapatikana pesa nyingi sana.
You are very clever, May God protect you.
Well said mbunge Shabib I am admiring you.
Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.
Upumbavu mtupu.Wataiba pesa zetu
Mheshimiwa SHABIBY Mungu akubariki kwa hekima na uzalendo wako wa kweli. Inasikitisha kuwa na wizara isiyo na ufahamu wa hali halisi ya wananchi wetu
Asante Mh. Ubalikiwe.
Hapo nimekuelewa Shabby 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Good idea....tulifanyie kazi wazo lake
Safi sana hawa ndo wabunge wa mfano..anaongea fact tupu..mungu akubariki kaka shabiby
Sasa hapo c wamebadilisha mfumo kutoka kukutoza kwa cash kuja kukuchukulia kwenye layn sasa c waseme tuchukue kwenye migodi huko au utalii au wabunge waanze kulipza Kodi itumike kwenye bima
Hongera sana mbunge shabibu uko sawa hicho serikari itafute chanzo Cha pesa ilikuwasaidia wananchi wake bima
immaculate contribution MP Shabiby
Umezunguza ukweli mtupu Mungu akubariki maana umezungumza kwa niaba ya watu wa hali ya chini
Tunakushkuru
mheshimiwaa uko sahihiii kabsaaa,, inaonesha unayajua maishaaa halis ya waTz
Unazingua, kwa mafaoo yote ya spika hilo haliwezekani
Shabby shabby shabby mungu akubaliki sana Kwa michango wako mzuli tunaitaji wabunge km wewe hongera sana ilitakiwa uwe wazili kbs
Hongera mshimuwa shabiby
Hongera shaving
Serikali ilifanyie kazi wazo hili ni nzuri
Mbunge shabby Yuko sahihi mawazo yake yafanyiwe kazi hongera sana
Tatizo uwo mfuko wabima serikali inaukopa mbaya zaidi hailipi na je tukianza kata 2000 kwa kila raia tunauhakika gani zitakuwa salama
@@user-ey8bo5iw9yni namna fulani ya kuufisadi mfuko.
Hongera Sana mbunge kwa maono yako itakuwa mkombozi kwa wa Tanzania
Safi mwenyewe nimemuelewa, changamoto kwetu sisi ni kupinga Kila kitu tukisikia pesa tu.
Safi sana baba mngu akuone
Wazo zuri sana. Ukitaka kujua uzuri wa wazo hili angalia hali za watu kwenye vituo vya afya.
shabiby akili nyingi sana Wana gailo mna jembe hapo mjengoni wengine kazi zao kusinzia
Angesema wabunge waanze kulipza Kodi ndyo tutapata pesa za maana
True CHAMPION of the poor whom are the majority in TZ.
Bip up bunge
Je,wabunge mkilipa kodi tutapata sailingi ngapi?
Yaan bima ya afyaa imekuwa n mateso mateso Kwa wananch ..Kwa utajir wa Mali zet watanzania bima ingelkuwa bure Kwa Kila mwananchi😢
Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika
Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo
Safi sana kamanda,karibu mbarali utete anyone,pia bima ni nzuri ila tatizo ni dawa hazipo!
Uko sawa sana
Mwarabu wa Gailo huwa nakukubali Sana
Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.
Hata uingereza ni mfumo huo huo again good thinking
Si rahisi kuvaa kanda bili hata kama akitoka kwenye kiti kwani wako na stahiki nyingi baada ya kustaafu.
Baba hongera
Mheshimiwa uko vzr Sana ila tatizo mfumo ila ingekuwa Jambo jema uwajibikaji itaongezeka
Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali
Nice
wenye laini zaidi ya moja mtakoma, watumishi wa serikali pia watakatwa mara mbili au tatu na zaidi
Mhe Shabiby chukuwa 💐🌼🌺 yako
What's problem
Nchi bahati mbaya sana hii. Ubunge iwe kazi ya kizalendo mishahara yao ipunguzwe.
Mbunge mahari sana. SAMIA mpe huyu Ahmed uwaziri wa biashara.jamaa ni smart sana
Umeongea suala la mbolea sana. Safi.
Bunge mko vizuri bima lazima ila iwe inayotumika mikoa yote popote unapokutwa na homa
Hongera sana shabby iyo ndio ukweli
ZIBAKI ZA RUFAA TU KWASABUBU NDIKO MNAKO KWENDA.
naomba mawazo ya Shabiby yafanyiwe kazi plz naomba sana
Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄
Bima hizi hizi ambazo wanazichukia wahudumu wa afya au Kuna zingine
Baba ongera kwa wazo nzuri
SHABIBY WILL ALWAYS BE SHABIBY AKILI KUBWA
Safi sana
Daaaa maoni mazuri sana mbunge
Unaongea vizuri sana, ila kuna maeneo mndewa ukuchanganya!
Kweliìiiiiìi
Mungu awe nawe,hiyo ndio sera halisi ya ccm, chapa kazi wanyonge wote tz wapo nyuma yako!
Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana
Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma.
Hata zile tozo za simu walifeli.
Huyo ni muheshimiwa kama muheshimiwa Shabiby
Jackson
Mr Shabby mawazo yako hebu andika andiko ili na wengine wausome kwa manufaa zaidi kongole sana kiongozi.
Mm nilijua atashaur matajir wote wa Mabas wakatwe lak Kwa Kila mwez na wabunge walipe kodi Tena wawe mfano wakatwe asilimia 25 ingesaidia bima vzr
Hii bima wanaifanya kama bima ya magari watoto bima yao wanataka ipitie mashuleni na huko shule lazima watoto wafikie idadi ya 100 ndo ndio wasajiliwe. Kitu kigumu wengine hawataki na ni ngumu sana kufikia idadi hiyo mwisho wake watoto hawaangaliwi. Huko nyuma mtoto alikatiwa bima ya sh 54000/ ni kuwadhulumu kwa kweli. Hii wangeirudisha kwa kujali afya ya mtoto.
Mwenye shibe ham jui mwenye njaa😂😂😂
Hakuna matusi apa hongera mkuu
Na biashara za watu binafsi zifutwe,mabasi imiliki serikali,maduka n.k.Hoja haijakaa vzr,vituo binafsi vinasaidia Sana.Serikali haiwezi pekee yake.
Mlaikiji komenti🤗
Hawez akavaa kandambili kwasababu uwakika wakuishi kwagharama ya serikali mpaka anazeeka upo namsharahara juu
Tunaitaji wabunge kamahawa wanaishauli selikali vituvya maana wengi bungeni wanarara tu nimzingo kwa selikali
huyu mbunge anasema ukweli mtupu isipingwe kitu yoyote !!!
Ukweli mtupu
Chanzo cha pesa ni jambo moja na matumizi sahihi ya hizo pesa ni jambo nyingine
Akika imekaa vizur ifanyiwe tu kazi nafikri fraha itakuwa kwa hawa watu
Hii ingepita
Ni kweli mwanike wa ukaya Ila wasitubague sisi maskini
Nikweli kabisa huna hera ustumie simuu
Nakupongeza SHABIB UKO VIZURI
Trioniii ehee😂😂😂😂😂 basi haya😂😂😂 jamani wanaichi hawa hawa au wengine hahahahaha kumbe kadi za simu zina pesa iv ehee
Kama ni vyanzo vya fedha, wabunge mnachangia nini ninyi?
Mhmm kumbe umeongeea unamaliza kwa kutudanganya yani spika tembelee kandambili kachumbali apo mimi ntakua natembea uchi sasa😮
jamani watu wanatezeka sana kijijini madaktari wanaringa utadhani hospitali ni yao na madaktari hawana ukarimu na watu kabisa!
Maoni yangu elimi isiwe bure kila mzazi awajibike kwa mwanae ila kila mtanzania atibiwe bure ili awe na afya njema afanye kazi na alipe kodi.
Msiseme 'WanaNchi wetu',:semeni 'WanaNchi wenzetu'!
Ni waheshimiwa wachache wenye moyo kama wako Ahmed Shabiby, Dr. Tulia bila kumsahau mbunge wangu Tony P. Mavunde, mhe. Wa makete, wazir wa fedha, mb. Wa igunga na wengine wachache, ndio maana Mungu anawabariki zaidi mnawajali sana wananchi wenu lakini wengi ni maneno mengiii lakini wanawakimbia wapiga kura wakiingia tu kwenye maeneo yao wanaweka tinted vioo vyote sijui wameshajua hawarudi au wanatumia ndumba kuingia mjengoni ila ndumba zina mwisho. Nawaomba tutafute muarobaini wa matibabu sawa kwa wananchi wote kama tulivyofanya kwenye elimu, likifanyika hili vizuri haki ya nani 95% ya wabunge mtarejea mjengoni
Jamani hali ni mbaya sana kwa wananchi wa chini hata wenye uwezo kidogo wakifikwa na tatizo kubwa la ugonjwa uwezo unaisha mgonjwa akipona na familia imefilisika. Kuna bint alijifungua kwa upasuaji miezi 2 ilopita kigoma mjini akapata tatizo haja ndogo haitoki vizuri na inatoka na uchafu akawa anaishiwa damu baada ya siku 5 hali ilikuwa mbaya akapewa rufaa aende bugando. Kumsafirisha kwenye bus haiwezekani wakaambiwa watoe 1m gharama za mafuta, nesi na dereva ili ambulance impekeke bugando hali ngumu sana wakapunguziwa watoe laki 7 hawana lakini walijitokeza wasamaria ikapatikana kufika bugango wakapokelewa wakaambiwa watoe 1m ya kuanza matibabu hawana hata cent wakaambiwa wamuone afs ustawi jamii akawaambia watoe laki 7 tiba ianze kaki 3 itafutwe raratibu watu wakakamatana zikapatikana tiba ikaanza kagunduliwa figo inashida kubwa afanyiwe dialysis @ laki3 ilitakiwa afanyiwe mfululizo siku 3 then x2 kwa wiki kutokana na kukosa pesa wanafanta x1 kisha wakasake msaada ikipatikana ndo afanyiwe. Ni bora hospital wangemfanyia inavyotakiwa halafu pesa ije kwa kadri wanavyopambana matokeo yake sasa inakaribia miezi 3 mgonjwa bado hali mbaya na katoto hakajawahi kunyonya mama hata tone la maziwa hana yananunuliwa ya kopo na wasamaria wema. Nimeeleza kwa kirefu na kwa uchungu ili watanzania hasa wakubwa juu wajue hali ilivyo ili tutafute muarobani haraka NHIF tuokoe maisha na kutaabika wananchi. Mgonjwa aitwa Aziza miezi 3 bugando watu wamechanga ndg wameuza hadi mashamba hali bado tete.
Michango mzuri
Good thinking 😂
Vianzo vingine vya mapato????
Tunaambiwa uchumi uko vizuri sasa mnatafuta vianzo gani?
Sio kweli hospitali binafsi mil 2 ni laki 7 muhimbili laki 5
Katika siku zote mheshimiwa leo ndo umeongea mambo ya msingi ninaimani umeenda kuwatembelea uko vijijini umewaona watu wanavyoteseka
Anataka kuwakamua wananchi,mbona ajasema wenye mabasi wachsngie?
wazo ni zuri cn hilo
Bima ni mpango wa kuwaibia wanachi ukweli bima haina nafuu kwa wagonjwa waulizeni wananchi waliopatwa na shida na wana bima. Kweli mbunge .
Hongera sana shabibi kiongozi wetu umeongea point
HONGERA SANA
BIMA kiasili ni kamari ya afya ambayo haijawahi kuwa suluhisho. Ni tabia ya Ubepari kukosa huruma kwa raia. Pesa ni nyingi ikiwemo zile anazoona CAG zikiibwa, zikirejeshwa zinatosha na ziada kwa matibabu. Pesa za malipo kwa wabunge zishushwe hadi 55% na 45% iingie BIMA.