Unamkamataje wakati kakwambia kashinda kesi,hawa viongozi wengine hata busara kidogo tu hawana,wao ni kufoka foka tu,msitu wangu niombe kibari duhhh hizi ndio sheria kandamizi,itakuja hata nyumba unajenga uombe na kibali cha kuhamia😂😂😂😂
Kaninogea shabib alivyomjibu kishujaa ilo li DC asema misijui nimecheka kamjibu kijeuli kamjua hakuna kitu uyo DC anabishana naboss tena aliochagulia nawananchi nasi kuteuliwa kama yeye izi teuzi mungu ndo anaejua ma DC wamejaa muula wa 6 wamama samia kila wilaya DC mwanamke asilimia kubwa ma DC niwanawake tz
Dc yuko sahihi yeye ametaka akaonyeshwe hzo nyumba zilizo chomwa moto shida iko wapi nayeye ndie mwenyekiti wa usalama wilaya nn shida msilete siasa kwenye ukweli ukubwa wake uko palepale na pesa zake Dc yuko sahihi
Hapo ni siasa tu, yaani mbunge unaambiwa tugeuze ili ukatuonyeshe hizo nyumba zilizo chomwa moto kulingana na madai yako unagwaya !! Huyo ndiyo Siriel Nchembe !
MH shabiby mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo
Handeni wamefurah kuondolewa kwa huyu Dc
Mwanamke kakomaaa,duuuh
Mbunge wetu yupo makini xana
Huyu sister anaonekana ni mtu wa kujishoo usister Doo mwingi kuliko kazi
Utakumbukwa sanaa Mh Kanyasu
Shabib una akili mingi sana,yaan unatembea na ukwel halisi
Hivi viwanawake vilivyokomaa vikipata madaraka huwa vnakua vya hovyo sana
Teuzi zizingatie watu makini sio kila mtu awe DC
Unamkamataje wakati kakwambia kashinda kesi,hawa viongozi wengine hata busara kidogo tu hawana,wao ni kufoka foka tu,msitu wangu niombe kibari duhhh hizi ndio sheria kandamizi,itakuja hata nyumba unajenga uombe na kibali cha kuhamia😂😂😂😂
Nakupenda Mbunge wetu
Kwel DC anaongea bila utaratibu
Mbunge anaongea kwa utaratibu,aache amalize aafu uingize hoja yako ya kwenda eneo la tukio,sio kumdaka juu kwa juu kama mlevi
Mbunge embu kunywa Pepsi max
Kaninogea shabib alivyomjibu kishujaa ilo li DC asema misijui nimecheka kamjibu kijeuli kamjua hakuna kitu uyo DC anabishana naboss tena aliochagulia nawananchi nasi kuteuliwa kama yeye izi teuzi mungu ndo anaejua ma DC wamejaa muula wa 6 wamama samia kila wilaya DC mwanamke asilimia kubwa ma DC niwanawake tz
Huyo mwanamke hafai kabisa kuongoza Kwanzaa kuongea hajui hana hekma pili yuko jeuri mnooo
hakuna serekali hapa,ni wapigaji tu
Sawa wazili hao ndyo wanaokata miti
Haya mambo ya Arusha
Huyu DC hafai, hana hekima.
Namba 30 hii
Ngoja kwanza, huyu dada ni DC???? Au basi
Yaani wanawake tukiwa viongozi ni shiida
Huyu Dc panashida mahali
Huyu DC au CD?
Anajiinua
Wanawake wakipewa uongozi shida sana
Yahni wanajiona wako mbinguni
Dc anakua mcharuko namna hii
Uyo dada wa wapi!?
Ukikata kibali bila mti
dc kama dc 😂 😂 😂
Wote mnaongea na kutoa maamuzi kama sio viongozi unafikili kulopoka ndo kutatua matatizo ya wanchi acheni upumbavu nyinyi wote .
Msitutisha nasema msitutisha
Safi dc
Mh pes
Uyo mama anapaniki nini atulie tu
Kanywa gongo huyo DC
Hata kura mdoivoivo mnaiba mnaona mnavoazirika malipobni
hphp duniani
Rudi shule ukasome tena
@@hamadali9159 cwz jibishana na mtu alietoka milembe juzijuzi
N
OK
Huyu mama kiboko ya majeuri
Dc yuko sahihi yeye ametaka akaonyeshwe hzo nyumba zilizo chomwa moto shida iko wapi nayeye ndie mwenyekiti wa usalama wilaya nn shida msilete siasa kwenye ukweli ukubwa wake uko palepale na pesa zake Dc yuko sahihi
Mubunge anajiheshimu ila DC mshamba wa TV anajua ana rekodiwa. Ana payuka payuka.
Katika vitu ambavyo sitavifanya ni pamoja na kumiliki mabas then niwe mbunge
Wewe dada uyu shabib nibilionea mweshimu pia kakuzidi umri nakila kitu nibaba ako mbona dc haujitambui ww dada unabishana vipi nauyo
Acha hzo pigo ww wenye mashamba watalipaje miti Kwan wameikata.acha bax kunyanyasa wananchi kwasababu ww ni kionhoz ndo uyumie madaraka yako kipumbavu
Madc wengine uchwara wanaboa kama nini eti anabishana nabilionea tena inawezekana anaweza ata kukuzaa unapenda mabishano ambayo hayana msingi wwte
Huyu inaonekana ni mkorofi mana Huyu DC niliona clip akibishana na madiwani pamoja na mwenyekiti wa ccm wilaya ya Gairo
Tena kujibizana Kama anavyofanya hapo kwa lugha ambayo cyo ya kiuongozi kabisa
Hapo ni siasa tu, yaani mbunge unaambiwa tugeuze ili ukatuonyeshe hizo nyumba zilizo chomwa moto kulingana na madai yako unagwaya !!
Huyo ndiyo Siriel Nchembe !
Huyo DC ameolewa? Hajui hata kuongea na mkubwa wake
Shida DC anatoka hapo Gairo na aligombea ubunge kura za maoni akapigwa so hapo ana wivu kwa mbunge