Dk Bashiru aibua shangwe Bungeni, amtaja Magufuli akieleza UDSM kilivyotoa viongozi wakubwa Afrika

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • Mbunge wa Kuteuliwa, Dk Bashiru Kakurwa ameibua shangwe miongoni mwa wabunge baada ya kueleza jinsi ambavyo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimekuwa na mchango mkubwa kwenye maendeleo ya sekta ya elimu ikiwemo kuzalisha viongozi wakubwa akiwemo Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson, Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Hayari Rais John Garang aliyekuwa Rais wa kwanza wa Sudan Kusini na Hayati Dk John Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania.
    Dk Bashiru ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, jijini Dodoma leo Mei 8, 2024.

Komentáře • 49

  • @williummaroseck7366
    @williummaroseck7366 Před 23 dny +1

    Hongera Sana father Dr bashiru watalaam wanamna hiyo ndiyo tunaowahitaji safiiii

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s Před 29 dny +6

    Bashiru Ally kakurwa ni kiongozi mzalendo kwelikweli. Namkubali mnooooo.

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před 20 dny +1

    Hapo ndipo unapoona shule ipoje, Yani unapandishwa cheo hafu mshahara uleule wa zamani

  • @MedardMushobozi
    @MedardMushobozi Před měsícem +4

    MUNGU akupe Maisha marefu sana Dk

  • @Jal210
    @Jal210 Před měsícem +8

    Mama SAMIA uliufyata wapambe huyu ni Jembe ambaye angeweka Mambo mazuri kwenye chama na serikali

  • @daudinyanda2499
    @daudinyanda2499 Před 24 dny +1

    Huyu jamaa ni Genious sanaa kama hujaenda shule kumuelewa ni ngumu sana.

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Před 23 dny +1

    Hiyo sheria ya utumishi ibadilishwe haraka sana inaua taasisi za umma zinazojitegemea, utumishi wanaharibu hizi taasisi kwa kuchelewesha mipango yao na pia kuajiri kwa niaba ya hizi taasisi wafanyakazi wa hovyo kwa maslahi yao binafsi. Hatua ichukuliwe sasa kuwa poka hayo mamlaka haraka sana

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 Před měsícem +7

    Kuna mpango mzuri unakuja naona magwiji sasa wanaongea

  • @neddon5822
    @neddon5822 Před měsícem +7

    Dr Bashiru umeongea point muhimu. Unao uzoefu mkubwa sana

  • @PauloJhon-qv8cx
    @PauloJhon-qv8cx Před měsícem +6

    Hongera sana bashiru

  • @user-ey2oe8zx6z
    @user-ey2oe8zx6z Před 16 dny

    Muhuza ndizi wa zaman na msomi aliyebobea anatema cheche zake

  • @dr.philpojohn4800
    @dr.philpojohn4800 Před měsícem +5

    Huu mchango mzuri sana.Dkt.Bashiru umeongea vema sana!

  • @edwarddaniel7459
    @edwarddaniel7459 Před 27 dny +2

    Critical. Thinker wanaongea

  • @billyrique
    @billyrique Před 26 dny +1

    Hili ni tatizo kwa kada mbalimbali serikalini. Wananapanda cheo kilichopaswa mfanyakazi kuwa nacho miaka 7 iliopita. Hakika hili ni tatizo. Hope watabadili hizi sheria ili iwanufaishe watu wote hasa wafanyakazi wa vyuo vyoote vya serikali.

  • @JUMAOMARI-pp8fe
    @JUMAOMARI-pp8fe Před 24 dny

    Facts one🤝🏻🤝🏻

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 Před 23 dny

    Hatari

  • @EdiphonceNdibarema
    @EdiphonceNdibarema Před 28 dny +2

    Wewe ni raisi ujae makonda ni waziri mkuu ajae

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 Před 27 dny

    Mbunge baada ya kuzunguzia jamii anazungumziati

  • @geey7893
    @geey7893 Před 22 dny

    Watu wenye akili wakiongea nchi inatulia

  • @lweganwatilubuzya8183
    @lweganwatilubuzya8183 Před 24 dny

    Huyu mwamba namkubali sana

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 Před 29 dny

    😢

  • @nurumligo4862
    @nurumligo4862 Před 22 dny

    Mwanga hauzibiki

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Před 18 dny

    Afadhali umemutaja jpm

  • @wazirishipula5040
    @wazirishipula5040 Před 28 dny

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 Před 25 dny

    Jembe.

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si Před měsícem +1

    H
    Kongole kwako omwana wo omuka

  • @user-mg7jj1hm2t
    @user-mg7jj1hm2t Před 14 dny

    Dr.Bashir ni KADA MAHILI NA JEMBE WA C.C.M (HONGERA)

  • @AndreaAmbros-kw2he
    @AndreaAmbros-kw2he Před měsícem +1

    Hatutaki historia ya mtu leta hoja zinazomnufaisha watanzania

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 Před 22 dny

      Wajinga pekee ndio hawathamini wala kujifunza kutokana na yaliyopita. Kama hujui unapotoka utajuaje unapokwenda?? Kuna mda ni bora kukaa kimya kuliko kudhihirisha uwaki ulionao.

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 Před 25 dny +1

    Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akipewa media kuongea Baada ya kupewa mrija wake kufyonza asari ya taifa ubongo akaushusha tumboni akawa mtu wa kejeri na kutukuza utawala wa kibabe na kidikiteta ndo mana anataja hadi majina ya madikiteta waliosoma Udsm akina m7 na mtetezi wa wanyonge ni sifa za chuo chetu ni muhumini mtiifu wa tawala za kiimla.

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Před měsícem +3

    Bunge la kupiga makofi tu hawana lolote.

    • @LovelyBrain-wz7si
      @LovelyBrain-wz7si Před měsícem +4

      Anaongea mwana taaluma makofi lazima wewe ubaki na roho mbaya tu

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před 28 dny

    Sasa mchango gani kama sio kunukuu tuuu basi

  • @user-mi3bi3fj3s
    @user-mi3bi3fj3s Před měsícem +2

    Tunamis saut hizo na maneno yenye mwelekeo ya uzalendo

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 Před měsícem

    Ningeshangaa amalize hotuba bila kumtaja

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Před měsícem +3

    JPM mzalendo alitamani atuvushe

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před 29 dny

    Mbona mijinga inapiga makofi bila hata kujua mtu ataongea Nini !. Naona Kama Bunge limejaa mijinga

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem +1

    HIVI MUSEVEN NAYE KASOMA CHUO KIKUU?

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 Před měsícem

    Nchii inaelekea Pazuri huoni huko Kusini gari haziendi Barabara zimesombwa na Maji

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 28 dny

      Ni janga na majanga ya mvua hakuna nchi duniani inayoweza zuia mvua.