MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 05. 2024
  • MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 475

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 27 dny +26

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 Před 26 dny +32

    Willy huna tabia ya wizi. Nakufahamu tangu kibo huna baya na mtu na huna konakona kwrnye kazi zako.
    Big Up Willy!! Just keep on going

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Před 27 dny +59

    Bravo brother.
    Hii nchi itakombolewa na wenye uthubutu kama wako.
    Wametumaliza hawa.

    • @daviddsouza735
      @daviddsouza735 Před 18 dny +1

      Uthubutu changanya na uwezo wa kifedha na uzoefu wa miaka mingi

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3g Před 27 dny +88

    Nimempenda huyu Baba anajua kujielezea,ni kichwa Masha Allah

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Před 27 dny +38

    The demeanour of his speaking is an evidence of his integrity, wits and intelligence.

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 27 dny +40

    Dah
    Mzee anakwenda na Facts kali I see👌👍

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 27 dny +54

    Huyu mtu kama sio ubize wake,angeweza hata kuwa waziri wa maliasili na utalii, anaujua utalii nje ndani.
    Mungu azidi kumlinda.

  • @Tango696
    @Tango696 Před 27 dny +52

    Dah mzee uko vizuri umesaidia upelelezi kwa kweli.

    • @WinfridaFabian
      @WinfridaFabian Před 27 dny +3

      Kwa wanvyobebana ushahid ipo waz hakitakua na hatua yoyote

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 27 dny +21

    Makonda mungu akulinde na majitu yenye Roho mbaya na wewe,

  • @hemedshalua2002
    @hemedshalua2002 Před 27 dny +28

    Daaah alivosema "Tunapigika usiku na mchana" n kweli hayo ndo maisha ya mfanyabiashara.

  • @rappachugz
    @rappachugz Před 27 dny +32

    One of the Best Administrator ever..!!!

  • @blandinapeter7004
    @blandinapeter7004 Před 27 dny +52

    Jamaa Ana mzigo na documents zimenyooka mtamwambia nn😂😂

  • @janesuma-is4wc
    @janesuma-is4wc Před 27 dny +42

    Mungu akusimamie mh Makonda kuna madudu mengi sana kwenye hizi almashahuri nchi imeharibiwa na watu wasio kua na hutu majizi yaliyo ajiriwa ndani ya serekali

  • @jamesakhabuhaya4747
    @jamesakhabuhaya4747 Před 14 dny +3

    Huyu mwamba inaonyesha hata wafanyakazi wake wanainjoy sana.nikipata chance kwake aiseee nitajifunza mengi.willy big up bro

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 Před 27 dny +62

    Jamani naomba muhifadhi maneno yangu, kunasiku mtaamini huyu makonda atakuja kuwa kiongoz wa hii nchi Tena ataongoza vzur na Tanzania tutazungumziwa Sana na Dunia nzima nasio kwa mabaya ni mambo ambayo yakuushangaza ulimwengu Tena mazuri mno... One day yes❤️‍🔥

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 Před 27 dny +23

    Private Sector Iko Smart Sana Mf Ni Huyu Ndugu Chambulo.

    • @davidlyamboko7477
      @davidlyamboko7477 Před 26 dny

      Maafisa wawajibikaji, Inatakiwa hawa uwaendee polepole, private sectors wapo vizuri ktk itifaki, sheria, kanuni na taratibu za mawasiliano serikalini.

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 Před 26 dny

      @@davidlyamboko7477 Locally Government Kuna Mambo Ya Ajabu Sana Watendaji Hawapogi Serious Kabisa Yale Mavilaza Kabisa Ndiyo Huudumu.

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 Před 27 dny +27

    Hiki ndio kinacho fanya watu wanakwepa Kodi

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar Před 26 dny +19

    Kitendo cha mh Makonda kumpa muda huyu bwana mkubwa kuongea mwanzo mpk mwisho ni utume tosha na kesho mbinguni MUNGU ATAMLIPA KWA WEMA HUU WA LEO❤🙏

    • @edgarmbegu1974
      @edgarmbegu1974 Před 24 dny

      Sasa ulitaka ampige makofi bilionea? Kenge kweli ww

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před 27 dny +27

    Jamaa anaongea very smart lakini inauma sana watanzania wenzangu daaah Kwann lakini ...? Tunakosa vya kusema ila mh Paul apewe ukuu wa mkoa Kila mkoa mwaka mmoja mmoja tu afu awe anazunguka kama circle Yan

    • @JosephMargareth
      @JosephMargareth Před 26 dny +1

      Kweli kabisa, azunguke Kila mkoa. Hata Kama itakuwa miezi 2. Atatusaidia saana.

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 27 dny +15

    Kwa baba si msanii ni msema kweli nikija kunulia bia kwa kweli mkweli Mungu hakulinde wewe na family

  • @charlessimba1184
    @charlessimba1184 Před 27 dny +30

    Nlitaman makonda atoe kauli ya kusema..."RPC huyu jamaa apewe ulinzi"

    • @jivitafoundation450
      @jivitafoundation450 Před 27 dny +4

      Huyu Mr.chambulo awe ulizi ?unamjua vinzuri huyu siyo wale wafanyabiasha wakarikao

    • @samwelngao3201
      @samwelngao3201 Před 26 dny +5

      Ana ulinzi mkali sana huyo mzungu chambulo wala hakuna Fala wa kumgusaa

    • @bayekefarijala5042
      @bayekefarijala5042 Před 26 dny

      Haya ni maujanja ya kimahesabu ya kihasibu, makonda hapo anatakiwa asaidiwe na wataalam

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Před 26 dny +12

    Wale watumishi wa Serikali wanaodhani vyeo vinaongeza akili wajifunze kwa Mr. Chambulo kuwa wanapaswa kujua wanaongoza watu wenye uelewa mkubwa pengine kuliko wao!

  • @edwardrigha6782
    @edwardrigha6782 Před 26 dny +7

    Mimi kama Mkenya nimeguswa na naionea wivu Tanzania kwa mwelekeo wanaochukua kupiga vita ufisadi. heko kwenu mtafika mbali na kuwa vigogo kiuchumi katika Afrika mashariki

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před 27 dny +25

    AKILI KUBWA CHAMBULO❤

  • @jumamohammed2748
    @jumamohammed2748 Před 26 dny +14

    Huyu nafanyabiashara yuko vizuri sana mashaallah

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Před 23 dny +1

    Chambulo is something else, So transparent, direct and to the point, (Akili kubwa hii)👏👏👏👏🏋️🏋️

  • @richardmshiu5118
    @richardmshiu5118 Před 26 dny +5

    He is so serious and smart guy..

  • @verynicemonyo8671
    @verynicemonyo8671 Před 27 dny +18

    Hongera sana mzee

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 27 dny +12

    Ahsante sana ndugu yangu❤

  • @danielmbaga4596
    @danielmbaga4596 Před 27 dny +11

    Komaa ukweli ukidhihiri uongo utajitenga ndugu ❤

  • @user-qp5jh6qy3p
    @user-qp5jh6qy3p Před 27 dny +13

    Tanzania nzima na haswa Arusha😢 RUSHWA imekithiri inanuka SANA

  • @mr.ability4578
    @mr.ability4578 Před 26 dny +3

    huyu mzee very bright aisee🔥

  • @JosephMwangiluke
    @JosephMwangiluke Před 27 dny +37

    Makonda uko vizuri. The feature president

  • @GoodluckAmos
    @GoodluckAmos Před 26 dny +8

    4.2 bilion na mtu ametulia yan dah,Mama Samia njooo umteue huyu ana kipaji super

  • @user-xx4wb9yo9p
    @user-xx4wb9yo9p Před 16 dny +3

    Makonda nikimsikia namkumbuka magufuli wangu mungu namuomba akupe maisha marefu ili uje uwe rais natamani sana roho yamagufuli iko pamoja na ww

  • @kilimanjaro695
    @kilimanjaro695 Před 26 dny +8

    i like huyu jamaa yupo very transparent, Mkurugenzi hana pa kutokea hapo

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před 27 dny +26

    Huyu mfanyabiashara Ana akili sana

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 Před 27 dny +7

    For sure, he is speaking on behalf kila siku penalty zisizojulikana

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před 27 dny +22

    Mnatubana wananchi kumbe majizi mnayafunga wenyewe

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 Před 27 dny +13

    Duh hapa kazi ipo

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 27 dny +7

    Makonda Mungu azidi kukutangulia....

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 Před 27 dny +18

    Na huu ndio umuhimu wa good records keeping

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 27 dny +6

    Huyu jamaa yukogo smart sana.

  • @flavianapeter494
    @flavianapeter494 Před 7 dny

    Ñimeanza kumwelewa Makonda na kumpenda bure Hongeraa sana na heri ya tumbo lilokuzaaaaa🙏

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 Před 26 dny +3

    Kiboko yao Makonda!
    Unavyo wakatiliza watu kutumbua majipu, kumbe kuna mda wakusikiliza dakika hizi zote???!❤ Nakuoenda bure mzee wangu Makonda. 🇨🇩 🇨🇩

  • @mauricebaraka9119
    @mauricebaraka9119 Před 13 dny +1

    Chambulo ni genius

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před 26 dny +7

    Kiongozi Bora huonekana akiwasikiliza watu wake 🎉🎉🎉makonda Mungu akupe umri mrefu uje uikomboe tanzania❤

  • @ListonElly
    @ListonElly Před 15 dny +1

    Umenyoooka. Sana mzee

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před 26 dny +3

    Mwanaume akitoa sumu namna hii anaongeza siku za kuishi safi sana mimi nimemuelewa.Chambulo. asitoke kwenye hicho kiti

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 27 dny +10

    Haya Kumekucha.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před 27 dny +11

    Awa jamaa wa Almashauri awakujua kama mama SSH kumtuma Mh Makonda Arusha ana maana gani sasa wameingia chakike baba mzee baba

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Před 27 dny +10

    Jamani makonda Ao wezi wa Arimashauri muwafunge wametuchosha

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 27 dny +8

    Wezi kama hawa kule China hupigwa risasi. Ilipofikia Tanzania inabidi kuiga sheria hiyo. Watendaji wamefikia kiwango kikubwa sana cha kudharau serikali na sheria.

  • @annahmakabara3049
    @annahmakabara3049 Před 8 dny

    Mashalah mungu akulinde

  • @annazacharianmko4657
    @annazacharianmko4657 Před 22 dny +1

    Hakika makonda mungu akutetee na akupiganie kwa kazi ngumu unayoifanya huwezi pendwa kweli

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya9873 Před 26 dny +2

    Hongereni Global kwa taarifa kama hizi

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před 27 dny +8

    This is Tanzania bhna dah!!ninamonea sana huruma mama SSH wangu Mzalendo wangu dah maumivu

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg Před 27 dny +1

      Usimuonee huruma huyo mamako yeye ndo aliowaruhusu hao majizi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 27 dny +1

      ​@@George-jz3jgMWEHU WEWE WACHA KUROPOKA ROPOKA

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 27 dny +9

    Alafu tunaskitika hatuna waekezaji unafikiri watu kwa wizi huo nani atakuja kufanya biashara nasi

  • @user-qi8pk4xg9z
    @user-qi8pk4xg9z Před 14 dny

    Big up Mr chambulo umesema ukweli nchi hii inawapigaji wengine ahsante director wangu ulinipa Kaz kule Mara Mara na kubukubu uko vizuri Mungu akubariki

  • @desderykarugaba1826
    @desderykarugaba1826 Před 27 dny +4

    Mhh Mungu atusaie sana.

  • @KelvinKimambo
    @KelvinKimambo Před 26 dny +2

    Nimeipenda sana hii

  • @PeterStephen-on4zz
    @PeterStephen-on4zz Před 27 dny +7

    Respect Mkuu. Makonda ...do something 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 27 dny +10

    Mmmm!! Inauma sana lakini hawo Ccm wengine hawajitambuwi zaidi ni kusema hatujinyongi hatunyi sumu inauma sana

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 Před 26 dny +1

      Acha kuleta habari za CCM, mtu ukikosa hoja nyamaza ukiongelea mambo ya kula pesa sio CCM ni mambo ya mtu binafsi, Makonda ni CCM Mbona anafanya kazi nzuri ana machungu je huyo sio CCM, ndo shida ya vyama vya upinzani mtu akiamka yeye ni CCM CCM, badala aongelee mhusika, kuna watu CCM wako smart sana, mbona huko upinzani kwenye ufisadi upo

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Před 25 dny

      😂😂😂😂😂😂😂huo wimbo unanikelaga Sanaa aiseee!!!

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 Před 26 dny +2

    Nimependa RC Makonda alivyo mtulivu. Big up Willy. Ukweli utaponya Taifa.

  • @OmaryAlly-ku5le
    @OmaryAlly-ku5le Před 26 dny

    Asante

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před 6 dny

    Hapana kula pesa ya Mtu. Good job. Tusaidieni Nchi yetu isonge mbele. Lila na Fila havitangamabi! Wafanyabiashara wakilipa kodi zao zifike sehemu husika. Wapigaji enough is enough.

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 Před 5 dny +1

    😂😂😂 heti mwanaume mwenzangu unakulàje hela yangu

  • @kungugeni
    @kungugeni Před 27 dny +6

    Mnawapa wezi uongozi Atari sana

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Před 26 dny +2

    Watu wanaumizwa na uongozi wa namna hii haswa Arusha 🙌🏼🙌🏼 ,Mh. Makonda anakazi kubwa kubwa kubwa

  • @easykiswahili
    @easykiswahili Před 26 dny +2

    Ina maana Kuna kampuni hewa,,,,control no hewa alafu wanabambikia watu

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx Před 26 dny +1

    Very nice

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 Před 26 dny +3

    Ukweli uwekwe wazi ☄️🔥

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c Před 27 dny +8

    The most dangerous thing is the world is the human brain so usicheze na mtu mwenye brain kubwa

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 Před 26 dny +1

    Bravo Sana Mr Chambulo🙏🙏🙏

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 25 dny

    Mungu akulinde mh. Paul Makonda👏👏

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před 27 dny +14

    Duh mtu analipa analipa Millioni 20 alafu mnamuandikia risiti ya milioni 3??kweli kweli kabisa aisee hiiiiiiiiiiiiiiii yani yani sijui aisee

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 Před 20 dny +1

    Dis man nataman mumpe nafasi nzuri nadhan akisimamia kwa uangalizi kila kitu kitaenda vzr

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 27 dny +10

    Nchi inaliwa kumbe kuna chura anameza

  • @elizabethnicodemus5192

    Mungu akulinde mr. Chambulo akupe miaka mengii ya furaha na amani bwana akutunze🙏🙏

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 Před 27 dny +6

    Kuna Madudu Mengi Sana Serikalini

  • @mohdymuddy-464
    @mohdymuddy-464 Před 14 dny +1

    Kuna majitu yako na akili mingi na hayana muda wa kukodolea macho kazi za serikali😂😂😂...CHAMBULO MY HERO...MQKONDA TULIIIIII😅😅

  • @AdamMaglas-ye1bi
    @AdamMaglas-ye1bi Před 24 dny +1

    🙏🙏🙏🙏 hata kuwa rais babaang Kwan unatenda mema ukikuta mtanzania anakuchukia jua ni mpgaji na pia hajitambui. Nakukubali sana tangia ukiw dar. Mm naitwa Adam ramadhan shemzigwa nipo arusha yetu endelea kujenga na mung atakuw pamoja nawe babaang.dah? Wakat mwingine mpakaachoz ananitoka kwa upendo unaowafanyia waliozulumiwa Hali zao. Sijui ata nikupe zawad gan baba Kwan siez ata kukulipa ela mm ni mtu wa chin sana. Bali malipo yangu ni Dua kwa mung nakuombea sana baba Yan ungejua ninavoomba kwaajili yako babaang. Ni mm na mung wangu tu ndo anajua ninachokuombea kwa Kaz ngum na kubwa unayoifanya mung atakulipa kwa mema.

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 Před 26 dny +5

    Ahsante sana Mweshimiwa chambulo

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 Před 12 dny

    Big brains

  • @glorianassary5684
    @glorianassary5684 Před 11 dny

    Proud of you mkuu wa Mkoa Mh.Makonda

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 Před 26 dny

    Mueshimiwa uliebalikiwa na muumba mbingu na alizi endelea kuchapa kazi yako ili chama kiendelee kua imala nami nakuombea dua kila kukicha ili uwe na maisha malefu ili utende haki kwa wanyonge ❤❤❤❤❤

  • @shafiiwajad457
    @shafiiwajad457 Před 26 dny

    Very humble man

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před 24 dny

    Asante mzee kwa kumlaisishia kazi makonda

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 26 dny +3

    Jamaa uko vizurii mnooo mambo yatakaa sawaaa kwenye ishu ya biashara umeshika namba

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před 25 dny

      Mpaka mama kamrudishia bilioni 4.2 tangu 2022 inaonyesha amenyooka hana mbambamba kwenye kulipa kodi

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 26 dny +6

    Kumbe pia ni vizuri mfanyabiashara akawa msomi? Pamoja na uzoefu elimu pia inatakiwa.

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 26 dny +1

      Kama sio msomi wewe ni mjasiriamali sio businessman huyu wala sio mfanyabiashara ni investor

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 25 dny

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 Před 25 dny

    hii nchi ni balaa,mzee kaongea very smart and clear

  • @user-bz7kg2lr3f
    @user-bz7kg2lr3f Před 26 dny +3

    Mzungu haibiwagi mnafikir wazungu nikama waafrikaee mmezoea kutuibia hapo mmeingia chakike

  • @user-fq2gp1ek5y
    @user-fq2gp1ek5y Před 26 dny +1

    Walah m nimemkubal huyu mzae bigUp manzee

  • @Emmanuel-ze1vz
    @Emmanuel-ze1vz Před 23 dny

    Kumbe kuna watu wataingia mbinguni bila maswali mbele za mungu godbless you mr chambulo your faith man totaly

  • @emmanuelkyandochali990

    That man is 🔥🔥🔥

  • @AnnaNoah-jr6ow
    @AnnaNoah-jr6ow Před 17 dny

    Huyu mfanyabiashara yuko makini sana tena zaidi ya sana ❤

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation Před 27 dny +6

    God bless Mrs Chambulo ameonyesha Matatisu

  • @magdalenapeter6416
    @magdalenapeter6416 Před 24 dny

    Makonda mungu akulinde nauwe rais siku moja

  • @mwaminilikane2281
    @mwaminilikane2281 Před 26 dny

    Big up nimependa.