INATISHA! AVAMIWA na MAJAMBAZI na KUPIGWA RISASI AKITOKA KWENYE BIASHARA ZAKE -ASIMULIA TUKIO ZIMA..
Vložit
- čas přidán 20. 03. 2022
- INATISHA! AVAMIWA na MAJAMBAZI na KUPIGWA RISASI AKITOKA KWENYE BIASHARA ZAKE -ASIMULIA TUKIO ZIMA...
Mfanyabiashara wa huduma za Kifedha kutoka wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma, ameelezea jinsi alivyovamiwa na majambazi na kupigwa Risasi maeneo ya kiunoni wakati akitoka katika biashara yake majira ya usiku.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Pole sana kastory , classmate muyama sekondari 2008-2011 , buhigwe kigoma Tanzania,
Ndo maana huwa nasema watu wasikariri Sana maisha yako unaishije jitahidi watu wasijue ratiba zako kama nibiashara funga muda usio tabirika njia yakupita isiwe Moja
Kabisa
Acha kujiongopea muonbe mungutu akuepushe
Allahu akbaru ooh allah tuondoleee hawa madhwalimu
Kama picha pole sana na hongera huyu mama wa nguvu
YESU wa huyo mama aliyekua anasoma Biblia amekuokoa Asante YESU.
😢😢😢😢
Ooh Mungu wangu, pole sana Mwanafunzi wangu Mpoki
Pole sana mungu akutaka ufe.Mungu ni mwema.
Pole sana kk
Huyu walipanga kumua ndio maana walikua ata hawaangaiki, yani mmoja ameingia kuchukua ela wenzake wanamsubiri nje🤭 Mungua alikulinda bro Hongera sana kwa hilo. Pole pia na matatizo boss💙💙
Pole sana
Pole sana Kaka yangu. Mwenyezi Mungu akujaaliye upone Insha Allah.
Pole sn Bro! Mungu atayaweka adharani yachomwe moto.
Dah pole sana
Nimecheka jinsi anavojieleza maskin pole broh! Eti anasema anasikia paa! Anajiuliza eeh nn hiyo inawaka kwenye mwili wang 😆😆
Malaika mlinzi alikuwa na ww siku hiyo
Bwana Mungu ashukuriwe 🙏
😄😄😄😄😄😄😄😄😄👊👊👊👊
🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁🤲🤲🤲😥😥
😀😀😀
yaan kumb risas unawaka kma motooo🤣🤣🤣🤣
Halafu ana sema anamshukuru mke wake Kwa kimvumilia,kumogesha ,ni Sawa lazima ayafanye yote hayo Kwa sababu vi miamia.vipo ,,alisahau yakuwa Zama hizi hapendwi mtu ,,ilA kinapendwa kile ulicho kiandaa
Pole sana kaka na hongera sana kwa kupona Mungu yuko na ww
Mungu mwema
Pole sana kaka
Na pole na mafua
Ukiona dalili za kufuatilia wapoteze maboya usielekee nyumbani, ukibeba pesa inatakiwa uwe na machale sana
Jaman pole sana kaka
Pole Sana
Pole Sana my classmate
Daah jamani pole sana kaka
pole sana kaka
Hawa watu wa 2 wana kujua uyu 1 wame mkodi
kweli
Pole Sana Yan kaz hiz ngum
Pole sana kaka
Pole sana ndugu yangu
Mungu atulinde
Lkn bando.. umetumalizia(pole na hongera kwa ujasiri)
Pole sana ndugu
Pole sana mungu ni mwema😭🙏
Mungu nimwema
Mh pole jaman
Poleni sana
Pole
Pole jamani mungu yu pamoja nawe.
Pole babaangu
Duu kaka pole sana
Pole sn
Pole Sana kaka dunia inatisha sana saiv
Yote kwa yote kak. Hongera san san kuwez kupamban nao
Sasa una mafua daah mbona ivyo mimi nakula banah stori mzuri ila mmmh 😂😂
😂😂😂😂😂pole my
😀😀😀 Asante mpendwa
Huyu jamaa vipi mbona Risasi hazitokii daahh 🤣 ila pole bro.
SHIKAMOO TANZANIA YANI BONGO MOVIE NI NYINGI.MIMI HAPA ITALY NIKIPATA STRESS NAKUJA YOU TUBE KUANGALIA VITUKO VYA WATANZANIA
Hahaaa umeona ee
Jaman Yesu yupo tumeona kaz zake
Hii story haijakaa vizuri
ata mimi sijaelewa
Nimependa kumusifia mke wake
😢😢😢😢 pole sana kaka yangu
ماشاءاللہ یاحاہم=جرورآئےگے
Hizo hirizi ni hawa hawa waganga ambao mnawatangaza insta na mitandao mingine tuwe makini jamani na waganga
Ashukuru alikutana na jambazi wanafunzi
Hao ni ndugu,na rafiki zako,jaribu kuludi mapema home.
Pole sana ndugu japo kua nakusikia kwashisa sana yani unavyo ongea nakupata kwa tabu pole sana
🤣🤣🤣
😱😱😱
Huyo dada alokuwa anasoma biblia na tochi ndie alomlilia Mungu yote yakapita na leo upo salama toa sadaka umshukuru Mungu🙏🙏
Wakati yeye mwenyewe bibilia alitupa akaanza kunya..chezea pisto
Ilitupwa huko bibilia unacheza na kifo
Wakati wameshikana na huyo mama wewe uko wapi, mbona husaidii
Yupo ila hawez kumbuka amejeruhiwa
Hii bongo movie aisee
Pore sana namshangaa binadamu. Hawana huruma
Kumbe Ulikua Jeuli Toa Hela Unaleta Mabishano Wakati Wezio. Wako Na Moto
yesu ni mzuri ❤❤❤❤❤❤
Ina maana huo mtaaa hauna watu, mbona ilichukua muda mrefu sana.
Jamani msikosoe mtu kwa maneno makali hivyo tuko tofauti eti alaa hata hivyo wewe ni jasiri sana sana sana
Wana wake kamahoao nimojamoja sana
Yaani ukimpata mke wa kiha uwa ni wavumilivu sana
Nakubaliana na wewe asilimia 98
Hongera dd Mungu akuone mwanangu
Mimi kaka yangu ameoa muha aisee anaenjoy ile mbaya.Wavumilivu sana.Wapo wacheche walio kwisha kuwa chotara hawana uvumilivu.
mimi ni wakala pia ila siku hata tapeli tu siku ajichanganye kwangu amekwisha
Maelezo ya mwanamke yamenyooka
Ila pole sana
Pole sana kaka unavovuta hayo mafua yn namm nameza
🤣🤣🤣Jamani ww
@@mwajumaissa2358 😄
🤣🤣🤣 acha tu nicheke, japo Story yakusikitisha,wangempa muda angalau wa kupenga kamasi
😂😂😂😂😂
😂🤣🤣🤣🤣🤣
Poreni sana ira mkeo nijasiri sana ira ameniuzi kitu kimoja angefunguwa geti vizuri wara uasinge kukuta tote ayo ira binadam jamani niatari
Yaani muda wote huo haujapoga kelele tuuu watu wakaja jamaniiii.
the story is unbelievable. uongo tupu. fiction fiction fiction. kwani hiyo place hakuna police.
Duu . Jamaa ana Roho ngumu
Maandaliziyote yakukuokowa YalifanywanaBABA MUNGUMWENYEWEhakukiwanaujanjawowoteule Kwahiyo BWANA ASIFIWE
Ila mwanamke alivyofuguwa geti agefuguwa kabsa ila mume aingie na pikipiki haya yote yasingemkuta sasa unafunguwa geti unarudi ndani maisha ngani hayo watu wengi sana wanafia nje ya geti kusubiri kufunguliwa geti watu tujifunze
Ni kweli usiku mnaingia ndani eti mnamuacha mtu ndani
inamaana hata huwaga hampokei mme wake huyoo😂
Ndo maana mimi naporudi nyumbani huwa nawaambia nakaribibia kufika,kaa getini ukiona taa za gari au pikipiki nitawasha nakuzima fungua geti mi sisimamagi getini akisha fungua nikipita tu nageti linafungwa haraka kama vile mimi ndo jambazi.
Ksl kuna baraaaa
Dada mama jasiri ile mbaya
Aliponea nyu mba ya walokole na jambazi kukamatwa hapo yesu anaweza,njoon kwayesu,
Kweli kabisa
Amini
Amina
KWANI YESU ANAKAA MTAA GANI NA MIMI NIJE.
@@salimmalaka256 yani wewe 😂😂🤣🤣
nmeguduna kuna haja kubwa ya kumpata mwanamke walau mwenye ujasili, maan hapo wengne akisikia tu lisasi anajifungia na kujikojolea ndan mwoga kama nini,
Hayajakukuta ndugu sikulaumu
Huuu ujinga umerudi;r.I.p magu
Jamani mie atasielewi yani muda wote huo wanazunguka na jambazi kwanini wasipige kelele mapema.
Waha wabishiiiiiii Sasa si ungetoa begi
Jaman majambazi ivi hamna huruma eti
Pole sana brother 😔
Kwakweli ulikuwa na uwoga kweli mtu mmoja wenzake wamekaa nigemfinyanga bala na unavyosema lisasi alitoki🤣🤣
Ndio mjifunze kujiweka sawa biashara na ulinzi majirani wanatokaga tangia lini??
Babu Kigoma saiv kama south Chicago babu ni robbery na shaba tu
Mpaka umepata mafua?
Majirani jamani khaaa ,,
Yaani huo mtaa sio kabisa.Nimeumia sana.
Alishindwa kuona dalili mapema tangu anafatilia ajastukia
Nawe jmn usiku unaona watu huwaelewi kwanini unasimama kwa nje kuwachunguza?
🤣🤣🤣
Angeingiza ata begi ndani kwanza
M pesa funga saa 12 acha tamaa
kula kwa Hila hutoboi, sasa ndyo Kisha iacha familia yake
Pole Sana bro ila Waha waga ni wachafu kinoma Yani
🤣🤣Kumbe hata wewe umeliona anavyo vuta makamasi 🤣🤣
😆😆😆😆😆
Pole kwa majanga, lkn unaongea vibaya kweli hususan waha wanaongea kaa cherehan maneno wanayabebesha🙌🙌🙌😬😬😬😬kusikiliza had uvivu+ mafua🙌🙌🙌
Jamani wewe kama Mimi huku mwisho nilichobatika tu ni milioni Tena na nimepata mke ananijali
@@ameenaameena1224 😆 🤣 😂
Afadhari yenu ninyi wenye kujuwa kiswahili fasaha. ......wanaharamu ninyi mnaoshindwa kujuwa utofaut wa lafudhi na kujiona wakamilifu kumbe madangaji t.....
😂😂alafu anavuta na mafua ,,
🤣🤣🤣🤣🤣hapo kwenye mafua
Hata tabora ivo ivo jamani
Mwamba kashiba makohozi
🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆😆😆
Waha Kwa kuongea mko Sawa,ndio maana hata ubishi mnauweza,
Kwenda huko muone 🤣🤣
@@shakilamasoud2983 umeonaee habari ndio hiyo
Ulikuwa na shilingi ngapi we we mpaka unauz roho
Simba
Hao hawakuwa majambazi sawasawa ni wadokozi tu.
Pole lakini usivute uchafu ukameza huuuf
😆😆😆😆😆😆😆
Huyu jamaa ni hatari mara anavuta makohozi kwenye interview 🤣🤣🤣😂
🤣🤣🤣🤣aise hadi kichefuchefu mke wake anamoyo du
🤣🤣🤣
@@janeschurmanns7364 😆 🤣 kwani ana mafua kila siku jamani
Jamani kwani hamuoni kama anamafua yana msumbua. Nakila mmoja anajua mafua yanavo sumbua vumilieni tu tena jamani
@@janeschurmanns7364 kichef chef KWA ww hujawai kuwa na mafua au ushamba