INATISHA! AVAMIWA na MAJAMBAZI na KUPIGWA RISASI AKITOKA KWENYE BIASHARA ZAKE -ASIMULIA TUKIO ZIMA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 03. 2022
  • INATISHA! AVAMIWA na MAJAMBAZI na KUPIGWA RISASI AKITOKA KWENYE BIASHARA ZAKE -ASIMULIA TUKIO ZIMA...
    Mfanyabiashara wa huduma za Kifedha kutoka wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma, ameelezea jinsi alivyovamiwa na majambazi na kupigwa Risasi maeneo ya kiunoni wakati akitoka katika biashara yake majira ya usiku.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 214

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 22 dny +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @nicklasndabiyeho6650
    @nicklasndabiyeho6650 Před 2 lety +5

    Pole sana kastory , classmate muyama sekondari 2008-2011 , buhigwe kigoma Tanzania,

  • @neemasamwel9545
    @neemasamwel9545 Před 2 lety +15

    Ndo maana huwa nasema watu wasikariri Sana maisha yako unaishije jitahidi watu wasijue ratiba zako kama nibiashara funga muda usio tabirika njia yakupita isiwe Moja

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 25 dny +1

    Allahu akbaru ooh allah tuondoleee hawa madhwalimu

  • @abbasbakary3491
    @abbasbakary3491 Před 2 lety +7

    Kama picha pole sana na hongera huyu mama wa nguvu

  • @marysinkolongo7347
    @marysinkolongo7347 Před 2 lety +13

    YESU wa huyo mama aliyekua anasoma Biblia amekuokoa Asante YESU.

  • @jamesbilafumba6902
    @jamesbilafumba6902 Před 2 lety +2

    Ooh Mungu wangu, pole sana Mwanafunzi wangu Mpoki

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety +1

    Pole sana mungu akutaka ufe.Mungu ni mwema.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 2 lety +3

    Pole sana kk

  • @Henryson-beats
    @Henryson-beats Před 2 lety +2

    Huyu walipanga kumua ndio maana walikua ata hawaangaiki, yani mmoja ameingia kuchukua ela wenzake wanamsubiri nje🤭 Mungua alikulinda bro Hongera sana kwa hilo. Pole pia na matatizo boss💙💙

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 Před 2 lety +3

    Pole sana

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 2 lety

    Pole sana Kaka yangu. Mwenyezi Mungu akujaaliye upone Insha Allah.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 2 lety

    Pole sn Bro! Mungu atayaweka adharani yachomwe moto.

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před 2 lety +1

    Dah pole sana

  • @marrymenas
    @marrymenas Před 2 lety +28

    Nimecheka jinsi anavojieleza maskin pole broh! Eti anasema anasikia paa! Anajiuliza eeh nn hiyo inawaka kwenye mwili wang 😆😆
    Malaika mlinzi alikuwa na ww siku hiyo
    Bwana Mungu ashukuriwe 🙏

    • @fraviansweetberty8819
      @fraviansweetberty8819 Před 2 lety +1

      😄😄😄😄😄😄😄😄😄👊👊👊👊

    • @user-jz8sj5us1h
      @user-jz8sj5us1h Před 2 lety

      🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁🤲🤲🤲😥😥

    • @elizabethsanga9184
      @elizabethsanga9184 Před 2 lety

      😀😀😀

    • @praisesteven7774
      @praisesteven7774 Před 2 lety

      yaan kumb risas unawaka kma motooo🤣🤣🤣🤣

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 Před 2 lety

      Halafu ana sema anamshukuru mke wake Kwa kimvumilia,kumogesha ,ni Sawa lazima ayafanye yote hayo Kwa sababu vi miamia.vipo ,,alisahau yakuwa Zama hizi hapendwi mtu ,,ilA kinapendwa kile ulicho kiandaa

  • @belinamartini1768
    @belinamartini1768 Před 2 lety +1

    Pole sana kaka na hongera sana kwa kupona Mungu yuko na ww

  • @estherwilliam3758
    @estherwilliam3758 Před 2 lety +1

    Pole sana kaka
    Na pole na mafua

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety +3

    Ukiona dalili za kufuatilia wapoteze maboya usielekee nyumbani, ukibeba pesa inatakiwa uwe na machale sana

  • @elizabethsanga9184
    @elizabethsanga9184 Před 2 lety +1

    Jaman pole sana kaka

  • @angelclement9149
    @angelclement9149 Před 2 lety

    Pole Sana

  • @learningswahilistreet7682

    Pole Sana my classmate

  • @rozina2161
    @rozina2161 Před 2 lety +3

    Daah jamani pole sana kaka

  • @YonaMbwilo
    @YonaMbwilo Před měsícem

    pole sana kaka

  • @AishaAisha-rh1fc
    @AishaAisha-rh1fc Před 2 lety +10

    Hawa watu wa 2 wana kujua uyu 1 wame mkodi

  • @happykimodoi1528
    @happykimodoi1528 Před 2 lety

    Pole Sana Yan kaz hiz ngum

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Před 2 lety

    Pole sana kaka

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Před 2 lety

    Pole sana ndugu yangu

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Před 2 lety

    Mungu atulinde

  • @hanifaamani3363
    @hanifaamani3363 Před 2 lety

    Lkn bando.. umetumalizia(pole na hongera kwa ujasiri)

  • @MonayLai
    @MonayLai Před 29 dny

    Pole sana ndugu

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 Před 2 lety +3

    Pole sana mungu ni mwema😭🙏

  • @MonaJuma-cp3jg
    @MonaJuma-cp3jg Před měsícem

    Mungu nimwema

  • @modestersalmon7764
    @modestersalmon7764 Před 2 lety

    Mh pole jaman

  • @user-rw6jc7zp9k
    @user-rw6jc7zp9k Před 8 měsíci

    Poleni sana

  • @tantineebengo8799
    @tantineebengo8799 Před 2 lety

    Pole

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 lety +4

    Pole jamani mungu yu pamoja nawe.

  • @judithmakuto3612
    @judithmakuto3612 Před 2 lety +1

    Pole babaangu

  • @asiasalum6735
    @asiasalum6735 Před 2 lety

    Duu kaka pole sana

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před měsícem

    Pole sn

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 Před 2 lety

    Pole Sana kaka dunia inatisha sana saiv

  • @user-df6ui9ro8s
    @user-df6ui9ro8s Před 26 dny

    Yote kwa yote kak. Hongera san san kuwez kupamban nao

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před měsícem +2

    Sasa una mafua daah mbona ivyo mimi nakula banah stori mzuri ila mmmh 😂😂

  • @tracejeezy8917
    @tracejeezy8917 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa vipi mbona Risasi hazitokii daahh 🤣 ila pole bro.

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Před 2 lety +4

    SHIKAMOO TANZANIA YANI BONGO MOVIE NI NYINGI.MIMI HAPA ITALY NIKIPATA STRESS NAKUJA YOU TUBE KUANGALIA VITUKO VYA WATANZANIA

  • @zainaseleman3043
    @zainaseleman3043 Před 8 měsíci

    Jaman Yesu yupo tumeona kaz zake

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 2 lety

    Hii story haijakaa vizuri

  • @husnaseph9476
    @husnaseph9476 Před 2 lety +3

    Nimependa kumusifia mke wake

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před měsícem

    😢😢😢😢 pole sana kaka yangu

  • @alaudindarji7147
    @alaudindarji7147 Před 2 lety

    ماشاءاللہ یاحاہم=جرورآئےگے

  • @bwanautamu2081
    @bwanautamu2081 Před 2 lety +1

    Hizo hirizi ni hawa hawa waganga ambao mnawatangaza insta na mitandao mingine tuwe makini jamani na waganga

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety +2

    Ashukuru alikutana na jambazi wanafunzi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety +1

    Hao ni ndugu,na rafiki zako,jaribu kuludi mapema home.

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 Před 2 lety +3

    Pole sana ndugu japo kua nakusikia kwashisa sana yani unavyo ongea nakupata kwa tabu pole sana

  • @cecygeorge4443
    @cecygeorge4443 Před 2 lety +1

    Huyo dada alokuwa anasoma biblia na tochi ndie alomlilia Mungu yote yakapita na leo upo salama toa sadaka umshukuru Mungu🙏🙏

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před 2 lety +4

    Wakati wameshikana na huyo mama wewe uko wapi, mbona husaidii

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety

    Hii bongo movie aisee

  • @atupilikembuba9093
    @atupilikembuba9093 Před rokem

    Pore sana namshangaa binadamu. Hawana huruma

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 lety +2

    Kumbe Ulikua Jeuli Toa Hela Unaleta Mabishano Wakati Wezio. Wako Na Moto

  • @florahthamson133
    @florahthamson133 Před 2 lety +1

    yesu ni mzuri ❤❤❤❤❤❤

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před měsícem

    Ina maana huo mtaaa hauna watu, mbona ilichukua muda mrefu sana.

  • @sashahauke2032
    @sashahauke2032 Před 2 lety

    Jamani msikosoe mtu kwa maneno makali hivyo tuko tofauti eti alaa hata hivyo wewe ni jasiri sana sana sana

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa9622 Před měsícem

    Wana wake kamahoao nimojamoja sana

  • @adamfundikira742
    @adamfundikira742 Před 2 lety +7

    Yaani ukimpata mke wa kiha uwa ni wavumilivu sana

    • @doreenkaiza9930
      @doreenkaiza9930 Před 2 lety +1

      Nakubaliana na wewe asilimia 98

    • @agnesn9947
      @agnesn9947 Před 2 lety

      Hongera dd Mungu akuone mwanangu

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Před 2 lety

      Mimi kaka yangu ameoa muha aisee anaenjoy ile mbaya.Wavumilivu sana.Wapo wacheche walio kwisha kuwa chotara hawana uvumilivu.

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 Před 2 lety +2

    mimi ni wakala pia ila siku hata tapeli tu siku ajichanganye kwangu amekwisha

  • @ummutaswaufi3980
    @ummutaswaufi3980 Před 2 lety

    Maelezo ya mwanamke yamenyooka
    Ila pole sana

  • @himnasalum2424
    @himnasalum2424 Před 2 lety +4

    Pole sana kaka unavovuta hayo mafua yn namm nameza

  • @zawadimwakipale4222
    @zawadimwakipale4222 Před 2 lety

    Poreni sana ira mkeo nijasiri sana ira ameniuzi kitu kimoja angefunguwa geti vizuri wara uasinge kukuta tote ayo ira binadam jamani niatari

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před měsícem

    Yaani muda wote huo haujapoga kelele tuuu watu wakaja jamaniiii.

  • @Juls7ur
    @Juls7ur Před 2 lety

    the story is unbelievable. uongo tupu. fiction fiction fiction. kwani hiyo place hakuna police.

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 2 lety

    Duu . Jamaa ana Roho ngumu

  • @user-vb3sy6oe2y
    @user-vb3sy6oe2y Před měsícem

    Maandaliziyote yakukuokowa YalifanywanaBABA MUNGUMWENYEWEhakukiwanaujanjawowoteule Kwahiyo BWANA ASIFIWE

  • @ednajeremiah928
    @ednajeremiah928 Před 2 lety +1

    Ila mwanamke alivyofuguwa geti agefuguwa kabsa ila mume aingie na pikipiki haya yote yasingemkuta sasa unafunguwa geti unarudi ndani maisha ngani hayo watu wengi sana wanafia nje ya geti kusubiri kufunguliwa geti watu tujifunze

    • @salustiashayo3486
      @salustiashayo3486 Před 2 lety

      Ni kweli usiku mnaingia ndani eti mnamuacha mtu ndani

    • @florahthamson133
      @florahthamson133 Před 2 lety

      inamaana hata huwaga hampokei mme wake huyoo😂

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Před 2 lety +1

      Ndo maana mimi naporudi nyumbani huwa nawaambia nakaribibia kufika,kaa getini ukiona taa za gari au pikipiki nitawasha nakuzima fungua geti mi sisimamagi getini akisha fungua nikipita tu nageti linafungwa haraka kama vile mimi ndo jambazi.

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 Před 2 lety +2

    Ksl kuna baraaaa

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 Před 2 lety +1

    Dada mama jasiri ile mbaya

  • @fredymbilinyi6323
    @fredymbilinyi6323 Před 2 lety +10

    Aliponea nyu mba ya walokole na jambazi kukamatwa hapo yesu anaweza,njoon kwayesu,

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 Před 2 lety

    nmeguduna kuna haja kubwa ya kumpata mwanamke walau mwenye ujasili, maan hapo wengne akisikia tu lisasi anajifungia na kujikojolea ndan mwoga kama nini,

  • @monikakimath3810
    @monikakimath3810 Před 2 lety

    Huuu ujinga umerudi;r.I.p magu

  • @zakhianzuki9348
    @zakhianzuki9348 Před 2 lety +2

    Jamani mie atasielewi yani muda wote huo wanazunguka na jambazi kwanini wasipige kelele mapema.

  • @jacquelinembowe3214
    @jacquelinembowe3214 Před 2 lety

    Waha wabishiiiiiii Sasa si ungetoa begi

  • @tithombeya5779
    @tithombeya5779 Před rokem

    Jaman majambazi ivi hamna huruma eti

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety

    Pole sana brother 😔

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 Před 2 lety

    Kwakweli ulikuwa na uwoga kweli mtu mmoja wenzake wamekaa nigemfinyanga bala na unavyosema lisasi alitoki🤣🤣

  • @sophiamirambo9656
    @sophiamirambo9656 Před rokem

    Ndio mjifunze kujiweka sawa biashara na ulinzi majirani wanatokaga tangia lini??

  • @tattoobobby3103
    @tattoobobby3103 Před 2 lety +1

    Babu Kigoma saiv kama south Chicago babu ni robbery na shaba tu

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 26 dny

    Mpaka umepata mafua?

  • @irenewile
    @irenewile Před 2 lety

    Majirani jamani khaaa ,,

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety

    Alishindwa kuona dalili mapema tangu anafatilia ajastukia

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 Před 2 lety +1

    Nawe jmn usiku unaona watu huwaelewi kwanini unasimama kwa nje kuwachunguza?

  • @emmysfitnessandforex9403

    M pesa funga saa 12 acha tamaa

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 2 lety

    kula kwa Hila hutoboi, sasa ndyo Kisha iacha familia yake

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před 2 lety

    Pole Sana bro ila Waha waga ni wachafu kinoma Yani

    • @msaysha5886
      @msaysha5886 Před 2 lety

      🤣🤣Kumbe hata wewe umeliona anavyo vuta makamasi 🤣🤣

    • @mwajabually2407
      @mwajabually2407 Před 2 lety

      😆😆😆😆😆

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 2 lety +3

    Pole kwa majanga, lkn unaongea vibaya kweli hususan waha wanaongea kaa cherehan maneno wanayabebesha🙌🙌🙌😬😬😬😬kusikiliza had uvivu+ mafua🙌🙌🙌

    • @ameenaameena1224
      @ameenaameena1224 Před 2 lety

      Jamani wewe kama Mimi huku mwisho nilichobatika tu ni milioni Tena na nimepata mke ananijali

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 Před 2 lety

      @@ameenaameena1224 😆 🤣 😂

    • @yusuphhugugu9759
      @yusuphhugugu9759 Před 2 lety +3

      Afadhari yenu ninyi wenye kujuwa kiswahili fasaha. ......wanaharamu ninyi mnaoshindwa kujuwa utofaut wa lafudhi na kujiona wakamilifu kumbe madangaji t.....

    • @elizabethbusigara4568
      @elizabethbusigara4568 Před 2 lety

      😂😂alafu anavuta na mafua ,,

    • @jacquelineadrian6436
      @jacquelineadrian6436 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣hapo kwenye mafua

  • @sabahiali6021
    @sabahiali6021 Před 2 lety

    Hata tabora ivo ivo jamani

  • @isackdaniel5790
    @isackdaniel5790 Před 2 lety +2

    Mwamba kashiba makohozi

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 2 lety +1

    Waha Kwa kuongea mko Sawa,ndio maana hata ubishi mnauweza,

  • @rehemanyoni9494
    @rehemanyoni9494 Před 2 lety

    Ulikuwa na shilingi ngapi we we mpaka unauz roho

  • @letisiaelias4246
    @letisiaelias4246 Před rokem

    Simba

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 Před rokem

    Hao hawakuwa majambazi sawasawa ni wadokozi tu.

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 Před 2 lety

    Pole lakini usivute uchafu ukameza huuuf

  • @smarttv3272
    @smarttv3272 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa ni hatari mara anavuta makohozi kwenye interview 🤣🤣🤣😂

    • @janeschurmanns7364
      @janeschurmanns7364 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣aise hadi kichefuchefu mke wake anamoyo du

    • @mweusiasili8345
      @mweusiasili8345 Před 2 lety

      🤣🤣🤣

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 Před 2 lety

      @@janeschurmanns7364 😆 🤣 kwani ana mafua kila siku jamani

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 Před 2 lety +1

      Jamani kwani hamuoni kama anamafua yana msumbua. Nakila mmoja anajua mafua yanavo sumbua vumilieni tu tena jamani

    • @jackmacha6057
      @jackmacha6057 Před 2 lety +1

      @@janeschurmanns7364 kichef chef KWA ww hujawai kuwa na mafua au ushamba