ITAKULIZA! ALIYEKUWA MFANYAKAZI BENKI APEWA KESI ya KUMBAKA HOUSE GIRL, APOKONYWA MALI ZOTE na MKEWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 04. 2023
  • ITAKULIZA! ALIYEKUWA MFANYAKAZI BENKI APEWA KESI ya KUMBAKA HOUSE GIRL, APOKONYWA MALI ZOTE na MKEWE...
    Simulizi ya kusikitisha ya Mohamed Kipa mfanyakazi wa benki aliyesingiziwa kesi ya kumbaka mfanyakazi wake wa ndani mkewe kuchukua mali zote alizokuwa anamiliki...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 396

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +5

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před měsícem +5

    Mungu atakulipia Dua ya Madhlum hujibiwa kwa haraka lakini kwa haraka urudi kwenye Dini yako kwa imani. Mnafanya mchezo kuoa na kubadilisha Dini. Fanyeni michezo yenu yote msicheze na Dini.

  • @mngwalijuma597
    @mngwalijuma597 Před měsícem +4

    Rudi kwa mungu wako uliyoyafanya ndio.mungu anakulipa umeacha dini yko ya haki umesaliti kwa ajili ya mapenzi kwa tubu kws mungu wako akusamehe yote yatakua sw kwa uwezo wa allaah hukuwa na imani ya dini yako ya Uislam
    Pole san kakasngu

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před 25 dny +1

    Ila mapenz yakiisha jmniiiiiiiiii 💔😢😢
    Pole sana Mzee ukwel wako anaujua Mwenye enz Mungu ila tu nikwambie dunian kupata haki ni ngumu mtegemee Mungu tu mali ni kitu cha kupita tu Bora uhai wako

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Před měsícem +2

    😭😭😭 Subhana Allah baba umeniliza sana mali ulochuma wewe leo zinakutesa pole sana kwa dhati ya moyo

  • @marthashenenga9076
    @marthashenenga9076 Před rokem +3

    Mungu akusaidie baba angu uyo mwanamke aliyezaliwa na mwanamke muachie Mungu Sali moabidhi Mungu Kila kitu. Utakuja kumshuhudia na wale mashahidi wa uwongo wote utawashuudia amini ilo. Kwa Mungu haki zote zimeifadhiwa baba.

  • @deliriousgentleman7369
    @deliriousgentleman7369 Před rokem +4

    Mshitakie kwa Mwenyezi Mungu. Ataku tetea

  • @zuwaynamussa5629
    @zuwaynamussa5629 Před měsícem +2

    Sijawah kumuona baba angu sijawah feel ulebupondo wa baba ila hii stor ya huyu mzee imeniliza sana wallah

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 Před 24 dny

    Pole sana! Nguvu za giza zipo, pole sana. Jitahidi ufanye maombi!

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Před rokem +5

    Mungu atamlipa hapa duniani

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Před rokem +6

    😢😢😢malipo duniani atalipwa tu uyo mwanamke kwa njia yoyote

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Před rokem +13

    Pole sana babangu,,mwenyezi mungu anajibu kwa wakati na malipo yake ni hapa hapa dunianj,,mungu atakusaidia ,,utapata haki yako,,dahh so sad kwa kweli

    • @jumanesaidi7635
      @jumanesaidi7635 Před měsícem

      Masikini mama Tz, nimeumia sana.
      Wanao tumeshafika hapo! Ziko wapi zile sifa zako za amani na utulivu, ambavyo ni asili, na jadi yako? Uko wapi moyo unaweza kuvumilia dhuluma, na ukatili kama huu, na bado tukabaki ndugu, kama ulivyotulea?

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Před měsícem +1

    😢 Subhana Allah pole sana baba Allah atakulipia kwa hili dhulma alokufanyia huyo mwanamke mpumbavu sana

  • @salehrajab8341
    @salehrajab8341 Před rokem +2

    Ifike wakati tuwe tunautambua uwepo wa mungu ktk maishayetu ili tusipate ujasir wakunyanyasa watu jmn hiidunia niajabu sana

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y Před měsícem +1

    Mrudie mungu wako
    Umemkosea ALLAH

    • @princematumbo
      @princematumbo Před měsícem

      Anastahili kabisa yalomfika, mshenzi sana

  • @eastafricaqualitychickenfa9916

    Mungu atalipa chozi la Mnyonge halipotei bure Ila mzee kosa kumkabizi mali Asimamie mwanamke

  • @mchelekwanza
    @mchelekwanza Před rokem +3

    Pole sana baba

  • @sein.208
    @sein.208 Před rokem +2

    Subhana Allah
    Astaghafirullah
    Pole sana baba
    Allah ni mjuzi zaidi haki yako haitapotea

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 Před rokem

    Subhana ALLAH, Pole Sana kakangu ALLAH atakulipia, ila mwanamke mwenzangu ubabe hauna nafasi katika hii dunia yataja kukutokea puan hayo

  • @fikirinimahamudu6488
    @fikirinimahamudu6488 Před rokem +1

    Sheria Iko wap inakanyagwakanyagwa tu tutaishi wapi ss kama mahaka hazitoi haki?? Pole Sana Mzee wangu mm ushauri wangu kashtaki msikitini kwaidadi ya misikiti utayojaghaaliwa kutoa taarifa ifanyike Dua ya wengi hakika mwenyezi mungu ndie mjuzi 😢😢 naamini lolote laweza kutokea jema kwako wabillah twaufiq

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 Před měsícem

    Hatari sana, Kumbe ni kweli watu husema, raia wa kawaida usioe polisi, utajuta. Baba ukiweza hama usiishi nae jirani anajambo huyo. Mungu awe nawe.Glory be to God.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před měsícem

    Duh mateso Pole sana kaka Hongera kwa ustamhimirivu MashaAllah.

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před rokem

    Pole Sana baba

  • @suleabdullah2247
    @suleabdullah2247 Před rokem +3

    Kama hawajafa wote hao dhulmati watalipwa mmoja baada ya mmoja.Hizi ndizo mahakama zetu na watoa haki wanaotegemewa,pepo ya Mungu nahisi haitakua na hawa watu wanaoitwa watoa haki.
    Vuta subra Mzee Mungu halali utauona mwisho wewe amka kila usiku wa manane kilio hicho kibadilishe kuwa ibada mlilie Mungu atakujibu kwa namna bora

  • @jobmaclean5382
    @jobmaclean5382 Před rokem

    Pole sana

  • @bokaiddi2961
    @bokaiddi2961 Před rokem +3

    Pole sana mze wangu changamoto za wanawake zimekuwa nyingi sana ila inauma sana da😭😭

  • @azizacherepa3979
    @azizacherepa3979 Před rokem +3

    Imeniuzunisha sana jamani pole sana baba yangu Mungu akutie nguvu ww mama kua na huruma vitu vya kupita hivyo

  • @bupemwakihaba-lj2fb
    @bupemwakihaba-lj2fb Před měsícem

    Pole baba mungu yupo hivyo ni vitu vya duniani vyote tutaviacha,,mungu wako yupo

  • @victoriakiwanuka5428
    @victoriakiwanuka5428 Před rokem +1

    Pole sana baba Mungu atamlaani

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před rokem +1

    Uwiiii leo umenifundisha kitu kumbe kuoa hao watu ni hatari.😢😢😢😢eeeeh jamani yaani MUNGU ASIMAME MWANADAMU ASIPATE NGUVU.

  • @user-ju4mi1qx5b
    @user-ju4mi1qx5b Před měsícem +1

    Hatusikii sauti iko juu sana ya mziki

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 Před rokem

    Pole sana mzee

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před rokem +4

    Mwanamke ana roho mbaya dah 😢😢

  • @evalineemmanuel8178
    @evalineemmanuel8178 Před měsícem

    pole sana baba Mungu atamuhukumu hapa hapa duniani namachozi yako hayatapotea

  • @zuhuramussa3996
    @zuhuramussa3996 Před rokem

    Pole sana kaka Mungu atakusaidia

  • @sawackoswald9322
    @sawackoswald9322 Před rokem +2

    Hata juzi mwezi huu April tarehe 27 kunajamaa amefanyiwa ivi ivi na mwanamke Polisi wa pale Songea mjini nanipolisi pia sijui hizi Mali za hii Dunia zitawapeleka wapi Hawa watu WP wajitafakari sana Jamani jamani Mungu wa Mbinguni anawaona tafuteni ya Mungu hii dunia mtaaviacha vyote chini ya ulimwengu

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 Před rokem

    Pole.sana.kaka

  • @OnesmoDenis
    @OnesmoDenis Před měsícem +1

    Kumbuken dunia tunapita tu namali siyo zetu vyote ni maua ya mwenyezi mungu nass anatutumia tu kuvitafuta na kupendezesha dunia yake pea anaweza kuvichukua akiamua hivyo we mama uszan utajir unaolilia niwa muhimu kuliko ubinadam

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Před měsícem +3

    Mzee ulikosea kosa kubwa sana la kubadilisha dini !
    Hayo yote yanayo kukuta ni kwa sababu ya kubadili DINI.
    Fanya shime kurudi kwenye dini yako.
    Koran haikucha kitu kwa hao manaswara.
    Umeyataka mwenyewe kwa hiyo basi usimuombe msaada Raisi wala mtu yeyote.
    Muombe sana MwenyeziMungu peke yake .
    MwenyeziMungu akunusuru inshaallah.

    • @alfoncejohn2104
      @alfoncejohn2104 Před měsícem

      Mawazo yako tu

    • @evelynlehnard3928
      @evelynlehnard3928 Před měsícem

      Dini hizi mbili ni utumwa wa akili..ni wengi wamepitia mambo mazito zaidi na hakuwa wamehusika na dini yeyote..wengini wako kwa dini zao wamefata kikamilifu na bado wamekuwa au wako kwenye mapito mazito sana. Hebu waafrika tujinasue kutoka kwa utumwa. Utumwa ulianza na waarabu halafu wakafata wazungu na moaka leo hatujiulizi kwanini sisi tunafata dini za watu ambao walikuja watukuta kwetu tukiwa tunamjua Mungu. Pili hakuna bara lingine duniani ambayo inaafata dini ya kuletewa. TULILOGWA NA NANI SISI ??

    • @user-jn7tr8ei5n
      @user-jn7tr8ei5n Před měsícem

      We kama huna unalo liwaza nibora upite tuu

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před měsícem

    Pole Sana bro ndio maisha ila muombe mungu Nina hakika hski HAIPOTEI RUDI ktk Imani ya dini ULIOKUWA MWANZO nnina hakika kazi itakua ngumu kwake

  • @bahatijanvier6357
    @bahatijanvier6357 Před rokem

    Pole sana mzee, ukikosea kuoa ndio hivo
    Wanaume tujifunze.....

  • @faizaboubacar5064
    @faizaboubacar5064 Před rokem +1

    Pole sana babu angu

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Před rokem

    Pole mzee

  • @maryikambo6155
    @maryikambo6155 Před rokem +1

    Pole kaka Mungu si kiziwi na wala hana upendeleo na haonei mtu. Ila anatwambia adui yako mwombee, maana kwa kufanya hivyo unampalia makaa ya moto kichwani.

  • @yasintajohn1189
    @yasintajohn1189 Před rokem +2

    Jaman Sisi wanawake tufike Mahal tubadilike jaman sad kwakwel .... huko uliko Mungu ana kuona

  • @ramadhanideu6444
    @ramadhanideu6444 Před rokem

    Hasbiyallahu waneemal wakeeel

  • @princesschii4090
    @princesschii4090 Před rokem +3

    Dah inahuzunisha sana....

  • @kassimally-zu3dz
    @kassimally-zu3dz Před rokem

    Mungu atalimpa mzee wangu kua na aman pole sana

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 Před rokem +1

    Pole Sana Kaka Mungu atakufuta machozi yako na pia tuko wengi wenye matatizo kama yako

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Před rokem

    Mungu ataingilia kati haki itapatikana inshallah

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Před rokem

    Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upate haki zako.huyo mkeo na Mamba mla Watu

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před měsícem

    Polee
    Sanaaa kaka mpakachozi limenitoka naomba serekali kuu imsaidiee huyu baba

  • @verryinyas5065
    @verryinyas5065 Před rokem +2

    Mungu n mwaminifu pole sana baba Mungu yupo amesikia kilio chako serikal itakusaidia pia huku tulioguswa tunakuombea kila kitu kutakuwa Sawa Mungu n mwaminifu na Ndio maaan kila kesi hakupati anavyotaka yeye uwee dah uyo mama atapata alichokivuna Mungu yupo haki ya Mungu naapa utapata haki yako 🤲🙏

  • @saidakiwale9227
    @saidakiwale9227 Před 25 dny

    Jamani Roho inauma sana

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +1

    Jamani inauma pole sana kaka

  • @tausishabani263
    @tausishabani263 Před rokem

    Pole baba malipo Ni hapa hapa duniani kwa mungu Ni hesabu tu muombe mungu na umlilie atamlipa

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Před rokem +1

    Magu angkuepoo jmnii ungeskia naomba uyu baba asikilizwe 😢 uwiii kun watu wanakuag Yan kam vile hawan moyo kabsa uwiii maskinii jasho lako linakuangamiza🙌🙌

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před 20 dny

    Uyo mama mwenyezi mungu ampe maradhi ambayo yatamfanya ajute kwa upumbavu na tamaa alizo zifanya Kama hatakufa vile?

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it Před měsícem

    Bro polesana

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Před rokem +1

    Hayo machozi unayotoa yatalipa baba mueke mungu mbele 😭😭😭😭

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm Před měsícem

    Waziri wa Ardhi Mheshimiwa Slaa msaidie huyu mzee apate haki yake

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 8 měsíci

    Pole bb hilo chixi unalolitoa mungu atakulipia

  • @sizalyimo8468
    @sizalyimo8468 Před měsícem

    Duu Pole sana kaka kipa nimefanya kazi na wewe delina na kiasi mapito yako nayafamu Pole kaka yangu nimelia sana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před měsícem

    Pole kuoa afande

  • @abbtsa3060
    @abbtsa3060 Před rokem

    Pole mzee hao ni wanawake na umefanya makosa sana kumwamini huyo mwanamke

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Před rokem

    Usilie kaka mungu atakusaidia uyo nishetani mukumbwa sio muntu na atataja kilakitu alichokifanya pole sana

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo8864 Před rokem

    Pole mzeewangu mwaminimungu

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před rokem +8

    Hili ni fundisho kwa vijana wa kiume ambao hamjaoa: ogopeni kuoa Wanawake ma Polisi. Hawa wanafaa waolewe na ma Polisi wanaume.

    • @d15355
      @d15355 Před rokem +1

      kwanza ukitaaka stress oa hao askari kwani si mkeo peke yake hadi mabosi zake watakulia maana kule ni amri tu hawakataagi

    • @yohanakananika3586
      @yohanakananika3586 Před měsícem

      ​@@d15355hamnakitu kama hicho hakuna amri kwenye mambo hayo

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Před rokem +2

    Pole mzee mwenzetu, ulikuwa unaishi na jini mtu

    • @HellenKerubo-mo9vh
      @HellenKerubo-mo9vh Před rokem

      Hoo I'm so so sorry but it seems that the man is old than the wife , but mey God be with you

  • @nancyandrew9273
    @nancyandrew9273 Před rokem

    So sad 😭

  • @saleemadhiyabalkhatri7800

    Kaka hakiyako iko tu haitapotea mungu atasimama nawewe daima dhulma haidumu itamtesa tu

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před rokem

    Pole sana ulikosea kuoa mke mwenye tamaa mbaya sheria ifate aki

  • @bashirbaruan3969
    @bashirbaruan3969 Před rokem

    Huyu mwanamke ni zaidi ya ibilisi aise, Hana utu wala khofu ya mungu hata kidogo mungu amlipe anachostahili hapa hapa Dunia kwanza

  • @mngwalijuma597
    @mngwalijuma597 Před měsícem

    Ulichokikosea jamaa yangu kwanza kumkana mungu.wako kuritadi ndio.chanzo cha mitihani yko kwa hiyo allaah amekulipa

  • @GerladSimon-me3sc
    @GerladSimon-me3sc Před měsícem

    Duuuuuh kunabaadhi yawatu nikatili sana. Mshukuru mungu uko hai kaambali nahuyo mwanamke

  • @MagdalenaMalaki-qr6hy

    Pole sana baba MUNGU atakuacha

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Před rokem +3

    Pole baba Haki yako utaipata tu

  • @makambamohamed3632
    @makambamohamed3632 Před rokem

    Pole brother hawa askari depo huwa wanaenda kufundishwa manyanyaso Kwa raia

  • @shimbaalex8837
    @shimbaalex8837 Před rokem

    Dah baba mstaarabu sana

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Před rokem

    Kaka endelea kuomba mungu..iko siku utayasahau hayo.maana mungu wa sasa iv ni kijana..pole sana ndio maana wengine wanauwa

  • @user-xv1pj3wq5b
    @user-xv1pj3wq5b Před 19 dny

    Ndio myaone 😮mkiambiwa wananyanyasa wanaume mnawatetea imauma sana😮

  • @joanesasalavaleriano9980

    Dah pole sana baba yangu , hila wewe ungekua Kama babayangu tungeenda kumkata shingo kwa mganga tu NDIO sul🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿

  • @dominickjohn1128
    @dominickjohn1128 Před rokem +2

    Kama ni kumuua ungeshamuua siku nyingi sana lakn Mungu ana makusudi umefanya la maana kujitenga naye!!wanaume tunapitia mengi sana lkn hakuna wakisikiliza wanawake wamepewa nafasi ya kusikilizwa kuliko kitu chochote

  • @MariaMaria-gj9or
    @MariaMaria-gj9or Před měsícem

    Jamani 😭😭😭

  • @RichardNgowi-wj2ct
    @RichardNgowi-wj2ct Před 11 dny

    Global kwenye saut mnazingua

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 Před rokem

    Mungu.atakulipa.tu

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 8 měsíci +2

    Hapa duniani tunapita
    Mwachie mungu huyo mwanamke yatamkuta dhuruma mbaya mwanamke kaudhu mkavu kweli kweli

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Před 25 dny

      Yaniii utadhan hajazaa nae😢😢

  • @namumlaki9838
    @namumlaki9838 Před rokem

    Mwenyezi atakufanyia wepesi uyo mama akae akijua Dunia hii tunapita atapigwa na mungu mwenyewe siku isiyokuwa na jina

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 Před rokem +4

    Aisee ndio mana unaambiwa fear woman

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643 Před rokem +1

    Bw. Kipa, kama nyumba za Dodoma na Morogoro zipo upande wako, basi muachie cho chote anachogombea.
    Ishi kwa kutegemea hizo nyumba 2. Mali ni ya dunia hii, haitamsaidia, ina machozi ya kweli. Muombe Mungu akupe uzima tu na uhame msionane na hilo jambazi. Muachie hiyo mali, wala haitafika saa 12, utakuwa umepata matokeo. Narudia tena muachie hiyo HAKI yako aimeze iwe ndoano kooni.

  • @gloriamsaki9109
    @gloriamsaki9109 Před rokem +4

    Pole Sana.wanaume mkipata fedha fanyeni mambo yenu wenyewe.Wanawake wamezoea kutawaliwa na kumilikiwa.mwanamke anapenda kutumia vya mwanaume Ila akiwa na uwezo kuliko mwanaume lazima amnyanyase

  • @AgripinaJosephMushi-hw2xw
    @AgripinaJosephMushi-hw2xw Před měsícem

    Mungu hulipa kwa haki kama usemayo ni kweli machozi yako hayataenda bure

  • @sheryphamwenevalley6124

    Mungu atakulipa kilio chako

  • @mwanaidimwinyi844
    @mwanaidimwinyi844 Před rokem

    Dah Mungu wa mbinguni akupe nguvu baba huyo mama hakukupenda alipenda Mali zako inauma kwakweli hakika ni bora ukosee kujenga nyumba kuliko mke au mume Allah atujalie tukutanae na watu watakaotupenda kwa dhati

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv Před rokem

    dah

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před rokem

    Pole SANA brother. Uyo Mama ni mchawiii. Mungu. Atakusimamia. Uyo mkeo ni mchawi

  • @MODESTCHAMI
    @MODESTCHAMI Před měsícem

    Pole sana ndg angu hao ndio wanawake tuishi nao kwa akili

  • @ThomasErro-ec3ov
    @ThomasErro-ec3ov Před rokem

    Pole sana baba, wanaume ndo tunapitia magumu

  • @naaalovee3910
    @naaalovee3910 Před rokem +2

    Hiyo picha mnayoitumia ya huyo mwanamke hapo tuseme ndo house girl au?

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Před rokem +2

    Nimepitia mengi sana na hawa wanawake ndio maana sitaki hata kusikia kitu kinachoitwa ndoa, Mungu anisamehe na namshukuru kwa kunipatia watoto hiyo tosha kabisa kwangu. Kwa kizazi hiki ndoa ni ngumu sana.