LISSU AMVAA NYALANDU, WATU WAKE WANACHOMEW NYUMBA MOTO, ANAENDA UINGEREZA? SIJUI TULIMUITAJE CHADEMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 06. 2024
  • #TANZANIA: SIJUI TULIMLETAJE LAZARO CHADEMA, WATU WAKE WANACHOMEWA MOTO YEYE ANAENDA UINGEREZA? - LISSU
    Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amvaa Lazaro Nyalandu kwa kushindwa kushughulikia mgogoro wa ardhi, Lissu adai alimpigia simu akasema yuko uwanja wa ndege anaenda Uingereza, "watu wake wanachomewa nyumba yeye anaenda Uingereza?, sijui tulimletaje letaje, mmeletewa vita na Serikali, si kwasababu halali iko upande wao, walishindwa kesi"
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 88

  • @madenge731
    @madenge731 Před měsícem +11

    Huyu jamaa anajua anajua anajua hadi anakeraaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 TZ hii sijawahi kuona kama kuna Raia mwenye akili zilizopevuka kama za huyu kiumbe. Hakupaswa kuzaliwa wala kuishi nchi hizi za Kiafrika. Huyu mtu alipaswa kuwa nembo za nchi fulani huko mambele 😍😍🥰🥰

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před měsícem +10

    Tuungane kwa pamoja kuindoa ccm

  • @adrianoadriano-ys6bm
    @adrianoadriano-ys6bm Před měsícem +7

    Sisi watanzania ni waajabu tunawapenda watu wanaotudaganya. Watu wakweli wanapigwa vita, kwa nini hatutaki kumuelewa Huyu Lissu!

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Před měsícem +1

      Lissu ni Tapeli tu hawezi kusaidia chochote kile
      Ameshindwa kusaidia akiwa mbunge atasaidiaje sasa hivi
      Waeleze sera za chama chako

    • @ibrahshifta1595
      @ibrahshifta1595 Před měsícem

      We mzee hujitambui ,hivi ww unamuweza Lissu ? Mavi ww

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 Před měsícem

      ​@@adamlubawa1281auna akili ww mkubwa mzima lakini akili kisoda hiv ccm tangu wamechukua nchi miaka mingapi
      Kero zile zile tangu nimepata akili hadi leo
      Umeme
      Barabara mbovu
      Afya

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Před měsícem +8

    Welldone mh Lissu.

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Před měsícem +9

    Elimisha jamiii ielewe haki zao, zilizofichwa na haramu CCM

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před měsícem +3

      Wamewaficha alafu wanawafanya wajinga wanawadanganya tu wao wanatajirika kwa mali za nchi yetu kikundi kidogo tu

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před měsícem +1

      Elimu Elimu Elimu

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před měsícem +5

    Tanzania wapo 7 watano lisu1 mpina 2 aidani kenani3 esta bulaya4 mwabukusi5 mbarikiwa mwakipesile6 na kishimba7 MUNGU walinde uwasaidie

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před měsícem +9

    Awamu hii wakimwaga ugari tutamwaga mboga sote tuwe na njaa

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před měsícem +2

      Aaah sana Mungu yupo atupe njia tumechoka kwakweli🙏🤲

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +9

    Lissu ww niwakipekeee sana

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 Před měsícem +5

    Big up tundu

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před měsícem +3

    Akili.kubwa.mungu.akulinde.ccm.hawataki.watu.wenye.akili.ndio.maana.walitaka.ufe

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před měsícem +7

    Viva Lissu❤

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před měsícem +3

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @jonathansam4159
    @jonathansam4159 Před měsícem +2

    Huyu jamaa anajua, huihitaji akili kubwa kumuelewa...suala la ubunge ni bajeti pia yy hutembea jimbo kwa jimbo. Hazungumzii ya jimbo moja...

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Před měsícem +1

    Huyu mwalim tumepewa na mungu tusimwache aende

  • @MwakaSchone-gt7xc
    @MwakaSchone-gt7xc Před měsícem +2

    Ccm wanajifanyaga watekelezaji
    Na watu wakujari watu kwenye kero dogodogo kipind cha kampenitu . Ndo wanajifanyaga wema
    Tanzania amkaa

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem +4

    Lissu mnyampaa uko saw katbak KWANZA

  • @Mkorajr
    @Mkorajr Před měsícem +3

    Akili km hizi zitunzwe

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 Před měsícem +3

    Sema baba

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y Před měsícem

    Lisu unafaa sana mungu akupe miaka 100000

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 Před měsícem +2

    Upo viziri

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y Před měsícem

    Lisu umetishaa ashukuliwe mama mzazi wa lisu

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Před měsícem

    Kama huna akili kubwa huwezi kumwelewa lisu , tunahitaji wapatikane akina lisu watano wengine

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem

    BRAVO KOMREDI LISSU.....KWA HAKIKA NCHI 'INAUZWA'....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUING'OE CCM MADARAKANI....MIKATABA YOTE IPITIWE UPYA NA VIONGOZI WOTE WALIOHUSIKA HATUTAWAACHA SALAMA!

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 Před měsícem

    KICHWA KIMOJA NI SAWA NA MAFISIEMU WOOOTE TANZANIA DAH JAMAA KICHWA SANA ILA UKIWA TAHILA UWEZI ELEWA😅

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Před měsícem

    Ukweli unawauma wanaomtukana lisu maana kwenye ccm hawana kama lisu ,nakama yupo tuwapambanishe wabishane kwa hoja

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Před měsícem

    Wa tz tunahitaji viongozi ka lisu ,heche,mbowe, wasio ogopa kusema kweli nawaombea kwa mungu wasipate janga lolote mungu awalinde ili wazidi kuturolea blanket zito walilotufunika ccm tusiijue kweli maana kwa sasa naamini wa tz tumeanza kuelewa nini kinasababisha tunakua masikini

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Před měsícem

    Akili ya lisu ni sawa na maccm million 10

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem

    Umemsahau Halima Mdee.

  • @isayagilson5710
    @isayagilson5710 Před měsícem

    Huo ndo upinzani wa kweli.

  • @LuckmanMiraji
    @LuckmanMiraji Před měsícem

    Wewe unae muita risu tapeli kuma amamaako

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před měsícem

    😂😂😂

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před měsícem

    Mnyampaa, mkali

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 Před měsícem

    CCM hawana huruma

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Před měsícem +3

    Na ulipokuwa mbunge uliwasaidiaje LISSU WACHA UTAPELI HUWEZI KUSAIDIA CHOCHOTE

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před měsícem +1

    Í📗🇹🇿💪💯👁️👁️👁️👁️👁️👁️👁️👫👫😃👨🏿‍🤝‍👨🏻👬😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NDEWARA
    @NDEWARA Před měsícem

    CHADOMOOOO😂😂 yaani yeye ni kukosoa tu. Aseme amewafanyia nini wananchi alipokuwa mbunge na aache porojo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem

    Now the res no ccm the res police ccm and military that all nyarandu went ccm because of leadership saif benefits not leadership for tanzanian population nyarandu is not a capable leader

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před měsícem +2

    Big AP

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Před měsícem

    Sema basi ukiwa wewe utafanya nini?? Mbona kuutwa unalalama tu! Mikutano unafanya mwenyewe wenzako wako wapi? Au utaongoza nchi peke yako? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂😂

    • @user-ti8fn1wn1w
      @user-ti8fn1wn1w Před měsícem

      Akr huna sahz ni dampen?

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 Před měsícem

      Wewe dorodh msuya unaonge pumba.kama huna Cha kuongea SI ukae kimya.wenzake wanakuhusu nn.?? Kuelemishwa wananchi wajue haki zao ni kosa wewe bumumba sana.

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před měsícem

      @@albinusmkono5887 wewe ni nani mpaka unifundishe cha kuongea! Hebu pita kule na hao waganga njaa wenzako! Wewe unajielewa unanisaidia nini!

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před měsícem

      @@albinusmkono5887 sisi tunataka sera! Anatuelimisha kwani yeye ni nani! Njaa tu hizo akiingia atakua zaidi ya hawa waliopo!

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem +1

    Toa sera za chama chako acha upimbi

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před měsícem +1

      Kuna tatizo mahali fulani.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Před měsícem

      Hana Sera yeye kazi yake ni kuwadanganya na kuwaongopea tu
      Sijui hao anaoongea nao wanahitaji historia

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 Před měsícem

      Wewe said kwakua hujitambui na huna la kusema Bora ukae kimya.unaongea utumbo sasa unataka Sela ipi ya kwako.? Toa wewe yakwako mnafiki sana😢😢😢

    • @ShamteMohmed-ed2kk
      @ShamteMohmed-ed2kk Před měsícem

      Porojo tu

    • @ibrahshifta1595
      @ibrahshifta1595 Před měsícem +1

      Haya manyumbu ya CCM majinga sana na yanaroho mbaya sana ,alafu yanajua hayakubariki ndo maana mnalazimisha watu wasimuelewe Lissu, ww huoni anazungumzia matatizo ya wananchi au? We unataka sera Gani? Ina maana wananchi hawaelewi wajibu wao, unatakiwa kwanza uguse matatzoo ya watu ndo watakuelewa ,nyie wehu kweli

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před měsícem +1

    SIJUWI CHADEMA WALIMKUBALI VIPI HUYU MWEDAWAZIMU TUDU LISSU

    • @levissanga8867
      @levissanga8867 Před měsícem +1

      Mwendawazimu ni wewe usiyejali haki za watu

    • @petermasanilo732
      @petermasanilo732 Před měsícem +1

      Mwendawazimu ni wewe kama ulikuwa hujui

    • @user-mf7xy3sf6q
      @user-mf7xy3sf6q Před měsícem +1

      Mwenda wazma ni wew usiye jitabua

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před měsícem +1

      Kabla hujaoondoa kibanzi jichoni pako hangaikia boriti jichoni kwako.

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 Před měsícem +1

      Wewe. Ndio tunakushangaa uwenda wazimu wako umepitiriza kikomo

  • @SalumChema
    @SalumChema Před měsícem

    Shida.kubwa.tanzania.kila.Rais.anaekuja.anakujanamamboyake.mwenyewendiomaanahatuendelei.haswa.vijijikunashida.nyingisana.kama.kwetu.korogwe.watutupo.toka.74.leotunaambiwa.wavamizi.tunatakiwatuondoke.wakati.Nyerere.alituwekapale.vijiji..6.mgobe.kalekwa.lewa.god.sheni.kwa.mbaazi.msambiazi.watuwotehao.twende.wap.mamasamia.angalia.masikin.kamawamekwambia.ni.msitu.sio.msitu.ni.vijijtena.vinahati.sasahatiimetoa.nchigani.kama.sio.Tz