EXCLUSIVE: MJUE FREEMAN MBOWE MWENYEKITI na MWANASIASA wa CHADEMA/ELIMU/MKE/WATOTO na KESI ya UGAIDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 05. 2024
  • #freemanmbowe #chadema #ccm #free #dullysantz #santzmedia #wasafimedia #manara #cloudsmedia #simulizinasauti #history
    EMBU KIFUATILIE KISA HIKI KWANZA ALAFU NJOO KWENYE COMMENT TUANDIKIE MAONI YAKO
    • MAISHA YA VIONGOZI
  • Zábava

Komentáře • 32

  • @Santzmedia
    @Santzmedia  Před 29 dny +1

    SIMULIZI ZETU HUWA ZINATOKA KILA JUMAMOSI YA MWISHO WA WIKI " HAKIKISHA UMEBONYEZA NENO LA SUBSCRIBE KISHA UMEGUSA ALAMA YA KENGELE ILI USIPITWE NA SIMULIZI YEYOTE KWETU

  • @MwitaTv
    @MwitaTv Před 22 dny +3

    Wewe ni Mtangazaji mzuri sana

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 28 dny +3

    🎉🎉🎉🎉🎉 na msichokijuwa huyu ndo aliyenifanya niipende CHADEMA mwaka 2005 na hadi leo mm ni Kamanda halisi wa CHADEMA na siwezi badirika.

  • @ashabushiri4610
    @ashabushiri4610 Před 28 dny +1

    Ongera

  • @felixmsale9244
    @felixmsale9244 Před měsícem +2

    Bro simulizi yko haina mtiririko unaoleweka unarukaruka !!!!!

  • @user-oc3jf3ts5i
    @user-oc3jf3ts5i Před 24 dny

    Hujui chochote! Gavana Bank kuu baada ya Edwin Mtei ni Charles Nyirabu! hitoria ya uongo na mapungufu mengi!

  • @charlesluanda9161
    @charlesluanda9161 Před 3 dny +1

    Yaani mtu azaliwe mwaka 1961 halafu mwaka 1993 awe na miaka 19! Mbona Math is Mathing 😂😂😂😂

  • @georgefesto8455
    @georgefesto8455 Před 27 dny +1

    Kilicho mtajirisha sana ni biashara haramu ya pembe za ndovu na madawa ya kulevya kama mirungi na bangi.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +2

    NI JASIRI HUYO FREEMAN AIKAELI MBOWE

  • @deusntobi6682
    @deusntobi6682 Před měsícem +1

    Miaka 19 duh!!

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro Před měsícem +3

    Bilikana Mbowe alikuwa miaka mingi sana alikuwa halipi kodi nchi usiseme kaonewa ni sheria

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      Kama utakuwa umetufuatilia Vizuri si dhanii kama kunasehemu tumefikili au kuhisi Ameonewa!!!?

    • @mfalmekaitaba2425
      @mfalmekaitaba2425 Před 28 dny

      Kama halikuwa halipii huo ni uzembe wa wakusanya kodi

    • @JackKanyigo
      @JackKanyigo Před 23 dny

      Kwa hiyo kama alikuwa halipi jibu ni kubomoa?..tumia akiri angalau za kwendea chooni

    • @MohamedRashid-py7ro
      @MohamedRashid-py7ro Před 23 dny

      @@JackKanyigo kwani nyumba ni yake

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h Před 21 dnem +1

    Anatafuta haki tabani? anatafutia tumbo lake na watu wake

    • @user-tb8zb4rv6h
      @user-tb8zb4rv6h Před 21 dnem

      Nadhani umesahau kutaja walipotuibia pesa za kigeni wakati wakiwa watumishi wa uma bank kuu ya Tanzania wakaiunguza gavana mtei nimrodi mkono mbowe

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 Před měsícem +1

    Ndie mfanya siasa pekeeee nchini hapa

  • @stanslausshayo7104
    @stanslausshayo7104 Před 26 dny +1

    wewe ni ccm

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y Před měsícem +1

    Mboe achia ngazi sasa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem +1

    Wanschama wake wamemchoka haiwezekani awe yeye kila siku na kuhusu klub ya bilcanas ilikuwa inaendeshwa na Baba yake na ilikuwa nightclub na ilikuwa mali ya Nhc yeye alikuwa mrithi tu aondoke tu wamemchoka kwanini analazimisha uongozi aondoke tu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      @Margarethpolepole , Wewe NI Mtanzania wa kweli lakini jaribu kufuatilia ukweli wa mtu ,na usije ukalishwa sumu kuhusu mtu kwakuaminishwa kitu then ukamchukia mtu

    • @JackKanyigo
      @JackKanyigo Před 23 dny

      Umefanya research au unaharisha tu