KAKA WA LISSU AELEZEA MASIKITIKO YAO JUU YA HAKI YA MDOGO WAKE, ADAI WATAPAMBANA HADI HAKI IPATIKANE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 05. 2024

Komentáře • 174

  • @reginamwendwa6709
    @reginamwendwa6709 Před 2 měsíci +23

    Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent na hukuhitaji ulipwe kifo kwa kutetea haki zaWatanzania na watu wako

  • @MohammedAbdallahSaid
    @MohammedAbdallahSaid Před 2 měsíci +3

    Ni utamaduni mzuri ktk maisha ya kiafrika, hata Mimi na familia yangu tunafanya hivyo, mungu akupe umri mrefu wenye manufaa Kwa watanzania wote na watu wote wanaopenda haki duniani

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Před 2 měsíci +7

    Mungu akulinde na akupe maisha marefu Tundu Lisu

  • @rajababrahman4365
    @rajababrahman4365 Před 2 měsíci +15

    Taifa letu litasimama na ww lisu
    Na 2025 Tutakutawaza kuwa Rais na Utatuondolea dhuluma ktk nchi hihi
    Mungu akubariki

    • @reginamwendwa6709
      @reginamwendwa6709 Před 2 měsíci +1

      Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent hukuhitaji malipo ya kifo kwa kutetea Nchi na watu wako Damu ya YESU ikufunike

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před 2 měsíci +4

    Familia la kisomi sana hongera sana FAMILIA. YA LISU.

  • @KelvinKimambo
    @KelvinKimambo Před 2 měsíci +10

    Kamanda umesha shinda fita mpaka hapo tuombe uzima

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw Před 2 měsíci +16

    Tumwombe Mungu atujalie uwe rais wa Tanzania. Inaonesha mmekulia kwenye maadili meme na mna ushirikiano mzito. Kama mnavyoshirikiana ndivyo tungetamani taifa letu lisshirikiane. Inafaa kuwa kiongozi Bora kwa kuwa umekulia kwenye maadili ya upendo, HAKI, nidhamu na maadili mema. Mungu akubariki sana wewe na ukoo wako na hatimaye akufanye chaguo lake kwa Watanzania.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Před 2 měsíci

      SIFA ZA KUWA RAIS WA NCHI HANA
      SABABU NI MLEMAVU
      SIO KWA TANZANIA BALI NI DUNIANI KOOOTE

    • @Commentsplus
      @Commentsplus Před 2 měsíci

      Umeongea pumba futa haraka sana haraka futa

    • @elimringimoshi590
      @elimringimoshi590 Před 2 měsíci

      Wewe mwenyewe ni mlemavu ni huruma za Mungu tu zinakulinda ndiyo maana unapata nguvu zakuropoka

    • @gadisonmichael7805
      @gadisonmichael7805 Před 2 měsíci

      mlemavu mwenyewe muombe mungu msamaha hujui uliongealo unaishi kwa neema2 kesho yako huijui

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 Před 2 měsíci

      ​​@@elimringimoshi590kama yeye ni Kwa neema anaishi, wewe unaishi Kwa pmbu za Mzee wako?

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 Před 2 měsíci +13

    Jamaa wanafanana. Hata kwa kuongea

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Před 2 měsíci +1

    Mungu anakupigania mwenyewe, wala haina haja ya kukimbizana nao hata sasa walisha shindwa na Mungu anakupa hii nchi.Amina.

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 2 měsíci +10

    Mungu ni mwema kwa kweli

  • @juliusphaustine
    @juliusphaustine Před 2 měsíci +1

    Napenda sana hoja za chadema ilah kaka mtu ameupiga mwingi

  • @AnneNdabila-uv2qh
    @AnneNdabila-uv2qh Před 2 měsíci +4

    Polen sana tunaumia lakin hatuna namuna lissu baba yeti tunampenda na mung anampenda ndo maana yupo anaishi mung aendelee kumpa neema zaid

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 Před 2 měsíci +6

    Mnaweza kujifunza jambo hapa.
    Huu ukoo n mkubwa.
    Ukoo mkubwa n ulinzi na mafanikio makubwa...vijana oeni msiogope kutunza familia.kwan Babu zetu waliwezaje na sisi tunashindwaje?

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 2 měsíci +5

    MWIGULU NCHEMBA NDIE ANAEWAJUA WALIOMSHAMBULIA LISSU, MAANA MWIGULU NDIE ALIEKUA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA NDIE ALIYEAMRISHA ULINZI KUONDOLEWA KTK BUNGE!

    • @MuhidiniLebba
      @MuhidiniLebba Před 2 měsíci

      ALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KIPINDI LISSU ANAPIGWA RISASI NI KANGE LUGOLA

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Před 2 měsíci

      Kaka alikuwa Cirro sio kangi logola alikuwa saimon Cirro na kumteka MO ALIKUWA HUYO HUYO CIRRO NDUGU YANGU.. NA ALITOLEWA NA MAMA KUMPELEKA UBALOZI

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu Před 2 měsíci +5

    Hivi tundu lisu nguo za chadema unatoaga kwel

  • @PaulMuna
    @PaulMuna Před 2 měsíci +6

    Mungu wa Israel ni Mungu wetu. Hatutakufa bali tutaishi na kuyasimulia matendo ya makuu siku zote.

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před 2 měsíci +1

    Asanteni sana Lissu family. MUNGI aendelee kuwa nanyi

  • @punguzauzitofurahiamaisha
    @punguzauzitofurahiamaisha Před 2 měsíci +3

    Huyu Ni Mwamba Kwelilweli. Mungu Aendelee Kumtunza

  • @Samwel-kz4nq
    @Samwel-kz4nq Před 2 měsíci +1

    Pole sanaa bwana tundulisu na ongera sanaaa shujaaa

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 2 měsíci +3

    CHADEMA KWANINI WANAMTENGA MHE. LISU? WAMPE MIL'150 KTK ZILE BIL'2.7 ANUNUE GARI

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Před 2 měsíci +1

    Wamefanana sura mpaka sauti mashaAllah

  • @user-yi3jk5vd8l
    @user-yi3jk5vd8l Před 2 měsíci +1

    Mungu.ni mkuu. Kwakilajambo. Mubarikiwe sana

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Před 2 měsíci +3

    Kwaiyo mzee anakes maliasili😢 ya kuua simba

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Před měsícem

    Mungu akulinde lissu❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 měsíci +2

    Waone watu hawa walivyofanana hadi sauti. Kaka yake ana busara nyingi sana❤❤❤❤

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před 2 měsíci +1

    Naipenda sana hii Familie

  • @subilagalyimo9917
    @subilagalyimo9917 Před 2 měsíci

    Mungu wetu wa ajabu, anampenda sana Lisu, kamtendea mambo makuu. Huwezi amini baada ya kumiminiwa risasi zote hizo akamjalia uhai hiki ni kutu cha ajabu, naamini ana jambo kubwa naye. Tunakushukuru Mungu wetu,mjalie Maisha marefu

  • @chrisphabyevents7826
    @chrisphabyevents7826 Před 2 měsíci +5

    Ila ujumbe umefika....
    Mungu ndiye mfariji na mtetezi mkuu

  • @DamasAmos
    @DamasAmos Před 2 měsíci +2

    Mbalikiwe kuwawamoja mungu awabaki san muwe naupendo uwouwo

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y Před 2 měsíci +1

    Hongeren Sana mungu awatunze muishi miaka 10000 na risu akiwa rais tz

    • @nikkimbishiunju2402
      @nikkimbishiunju2402 Před 2 měsíci

      Unaona na unajua anaitwa LISSU bado unakuja kuandika Risu....Vilaza wengi sana

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 měsíci +2

    Tundu ni mdogo sana lkn ndiye anayeunganisha huu ukoo

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 Před 2 měsíci +5

    Ukoo Bora Sanaa na Makini Hakika Mungu Amewabariki

  • @sadinimtinangi-zt4pv
    @sadinimtinangi-zt4pv Před 2 měsíci +4

    Unaonekana n ukoo wa walevi😂

    • @yassinm69
      @yassinm69 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂 kabisa upuuzi mtupu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 2 měsíci

    Wajifia myampaa Alutree,mughwai, Allah akuhifadhi na mdogo,ntundu L mghwai,

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 Před měsícem

    Safi san

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 měsíci +2

    Kiukweli wanyaturu tunaoipenda pombe huwa tukiipata hatufanyagi ajizi tunaipa za uso live

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 Před měsícem

    Hongereni san wazee wetu

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Před 2 měsíci

    Amina

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před 2 měsíci +1

    Hawa jamaa hatari lakini salama🤣🤣🤣🤣

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Před 2 měsíci

    Hakika utukufu wa Mungu unaotembea kupitia MH Lisu Mungu ndiye muweza wa yooote ktk maisha ya mh Lisu

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Před 2 měsíci +4

    Yaani siku lissu akifa Tanzania aitokaa atokee mtu shujaa kama lissu na mwana siasa nguli kama uyu sijawai ona mtu makini kama lissu kwanza ametufundisha mambo mengi ktk taifa hili siku zote ccm na serikali nzima nikusema uongo tuu .Tumuombe Mungu lissu awe Raisi wetu

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 2 měsíci +1

    Advocate kweli anaongea ki uanasheria.

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 Před 2 měsíci

    Nimeipenda sana wazee wameshikilia vinywaji wanawaka

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci +1

    👊✌👍.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 2 měsíci

    Good family❤❤❤

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před 2 měsíci +2

    Familia kubwa yenye baraka tele tena kumbe tunashea BABU yaani MURO

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před 2 měsíci +1

    Tundu lisseu unakunywa Nini hapo ?. Naona Kuna kitu unakunywa kwenye kikombe

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu Před 2 měsíci

    Nimeona Mambo yanafanywa fanywa hapo kwenye gari,waliofanya kitendo hicho wakaombe msamaha mungu ni mweme.

  • @azavelilwaitama1975
    @azavelilwaitama1975 Před 2 měsíci

    Kweli gari hilo lenye risasi zilizolenga kuondoa uhai wa Kamanda Tundu Lissu lazima libaki kumbukumbu kwa vizazi na vizazi kuwa uovu haulipi na daima watu wema wasiruhusu uovu ulipe.

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před 2 měsíci +2

    Kweli mungu yupo jamani ❤

  • @FrancisThomas-jc8wq
    @FrancisThomas-jc8wq Před 2 měsíci

    Mungu ni mkuu na mwema kwa mja wake

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza Před 2 měsíci +1

    Mzee Alute inaonekana umekunywa mma.

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q Před 2 měsíci

    Mungu ni mwema aliyebariki jambo Hilo mungu ameshamuhukumu mheshimiwa lisu aliyepigwa risasi 16 bado anadunda kwani hamjiulizi walinzi waliondolewa na nani ?pia hamjiulizi kamela ziliondolewa nanani?na kwa idhini ya nani?mtawalaumu polisi kutofanya upelelezi lakini wao pia wanafuata maelekezo hakuna binadamu anaependa kulaumiwa cha msingi tukubali yaishe maana mungu alishachukua hatua ndio maana .mheshimiwa lisu Yuko hai lakini mheshimiwa?????mungu alishachukua hatua

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z Před 2 měsíci +1

    Mnafanana sauti Sana kaka mtu

  • @Mshuta
    @Mshuta Před 2 měsíci +3

    Familia ibalikiwe

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Před 2 měsíci +1

    Baba anapiga kill beer 🍻

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před 2 měsíci

    Pole Lisu

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz Před měsícem

    Wamefanana kweli na mdogo wake hata kuzungumza sawa sawa na ndugu yake

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před 2 měsíci +1

    Heeee wanafanana hadi sauti

  • @yasiniabdallah2412
    @yasiniabdallah2412 Před 2 měsíci

    Mungu Alisha lips zamani alietenda hicho kitendo Alisha tangulia

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 Před 2 měsíci

    Wamefanana Hadi sauti aiseeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sharoshine9984
    @sharoshine9984 Před 2 měsíci +1

    Kila k2 ni lisu m2pu

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 Před 2 měsíci

    Kabisa Hilo Gari lijengewe makubusho. Na itangozwe siku ya tundu lissu day.

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před 2 měsíci +2

    Amazing family 🎉

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq Před 2 měsíci

    Nakama polis wako makin upelezi nimiaka mingi atakama walizuiliwa kiongozi mkubwa saiz wakamatwe hao ila kwakua ccm inamfumo mmoja shida

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta Před 2 měsíci

    Naona wazee wananyonya kirauri tarrrrrratu😂

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před 2 měsíci

    kaka ake lisu mzuri

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 2 měsíci

    MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WOTE...FAMILIA YOTE NA UKOO WA COMRADE LISSU.

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps Před 2 měsíci +1

    Kufananaje huko

  • @andersonnyahove2867
    @andersonnyahove2867 Před 2 měsíci

    Nnahakika serikali inajua Kila kitu kuhusiana na Mpango dharimu wa kuondosha maisha ya Mh. TL hata wanapoyaskia haya wanaona aibu. Hii dhambi haitawaacha huru au nchi hii haitatawaliwa kwa utulivu lazma ccm na ukoo wenu wote mtapitia moto daima pamoja na kumiliki Kila kitu mtakula na kuishi kwa taabu kwa dhuluma zenu halaf mbaya zaidi bado mnahangaika kumchafua Mh Lissu mtakufa vibaya kama walivyotamgulia mamia ya viongozi waandamizi tangu baada ya mlichomtendea Mh. Lissu

  • @ngotikongotiko2711
    @ngotikongotiko2711 Před měsícem

    Natamani huyu bwana arudi bungeni akawachangamshe watu wamelala

  • @user-yw1rq3xj1q
    @user-yw1rq3xj1q Před 2 měsíci

    Wamefanana adi kuongeaa😂

  • @josephatmakuka4860
    @josephatmakuka4860 Před 2 měsíci

    Hakika mbarikiwe sana

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 2 měsíci

    Mzee advocate Alute.

  • @africosimonmattogoro6986
    @africosimonmattogoro6986 Před 2 měsíci

    Wakili Msomi Tundu Lisu, Sadaka yako ni kubwa Mbele za Bwana..Mtegemee Mungu wako kwa kila jambo. HADI KUFIKA HAPO NI MUNGU KASIMAMA NA WEWE. HAUTAKUFA , BALI UTAISHI ILK USIMULIE MATENDO MAKUU YA BWANA

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 Před 2 měsíci

    napenda hilo gar awe anaendanalo popote aendako ila matundu asiyazibe iwe onesho kila kona kwa mwananch mpigania uhuru.kama maonesho ya kila mwananch popote awapo

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před měsícem

    Eemungu tusaidiye utujariye watu wenye rohozakupenda Haki kamamheshimiwa lissu

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 2 měsíci

    Polesana bro lissu

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 2 měsíci

    Watanzania wengii hawaaminiii kujenga nyumbaniiii

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes Před 2 měsíci

    Zidaiwe Footage za mitaa na majengo ndo upererezi uanzie hapo kama zilifichwa na mtu basi awajibishwe, na pia itabidi sasa serikali inayotawala iweke cctv cameras mitaani kwa ajiri ya usalama maana wanao miliki silaa mtaani ni wachache na wengi wao ni watu wa serikali ambao Raia atuna imani nao kwasababu nchi aiko huru kwa sasa matukio ni mengi.

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 Před 2 měsíci

    Lisu hyo chuma usiiache tengeneza v8 hyo mazeee

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 Před 2 měsíci

    Ila mzee muwae wake watatu😂😂😂😂

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 Před 2 měsíci

    Anasauti kama ya lisu

  • @huyu1993
    @huyu1993 Před 2 měsíci +1

    Mbona kama mkenya Ni watanzania kweli nyinyi ?

  • @bensenlukumai4691
    @bensenlukumai4691 Před 2 měsíci

    Mbona wanakunywa bia sana 😂😂😂

    • @vedastusmlavumba1158
      @vedastusmlavumba1158 Před 2 měsíci

      Wanasherehekea sikukuu ya kukutana na ndugu yao, pigeni bia mpaka kieleweke, natamani kuzaliwa ktk ukoo huu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 Před 2 měsíci

    Magaidi ninyi nendeni kwa watu wenu huko wakopumulisha.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 2 měsíci

    Polenii

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d Před měsícem

    Walaaniwe walaanika wale na wapumbavu wapuuzi waliofanya uhovyo ule wa kutaka Kumuua Mtu Muhimu na Ambaye ni Zawadi Kutoka kwake Mwenyezi Mungu. Na Hakika Wao na Vizazi Vyao Damu ya Haki ya Ndugu Tundu Antipas Lissu.

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 2 měsíci

    Na wanaxhuxhia ka kuli safiiii

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 měsíci

    Lissu njoo Ccm. Huko chadema wanakunyanyasa. Ukiludi Ccm chukua Jimbo lako bungeni.

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 Před 2 měsíci

    Hizo bia sasaa?

  • @user-qy4vk2qp9t
    @user-qy4vk2qp9t Před 2 měsíci

    Mwamba anapiga kilimanjaro taratiiiibuuu

  • @qudraismail5160
    @qudraismail5160 Před 2 měsíci

    Wanafanana sana

  • @allymwanga
    @allymwanga Před 2 měsíci

    Hivyo vikopo

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi Před 2 měsíci

    Usinge mpa pole tu

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Před 2 měsíci

    HI KWA FAMILIA 📘📘🇹🇿🇹🇿😭😭👁️👁️👁️👁️👁️👁️

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 Před 2 měsíci

    Lisu ni Maasai?

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi Před 2 měsíci

    Ya lizzu haitaji upelelezi nikuajibishwa tu walio ondoa walinzi kamera nahap walinzi

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Před 2 měsíci

    Advocate uko vyombo

  • @user-dn8so9pe1j
    @user-dn8so9pe1j Před 2 měsíci

    Mpaka kuongea kama Lisu