Ni utamaduni mzuri ktk maisha ya kiafrika, hata Mimi na familia yangu tunafanya hivyo, mungu akupe umri mrefu wenye manufaa Kwa watanzania wote na watu wote wanaopenda haki duniani
Tumwombe Mungu atujalie uwe rais wa Tanzania. Inaonesha mmekulia kwenye maadili meme na mna ushirikiano mzito. Kama mnavyoshirikiana ndivyo tungetamani taifa letu lisshirikiane. Inafaa kuwa kiongozi Bora kwa kuwa umekulia kwenye maadili ya upendo, HAKI, nidhamu na maadili mema. Mungu akubariki sana wewe na ukoo wako na hatimaye akufanye chaguo lake kwa Watanzania.
Mnaweza kujifunza jambo hapa. Huu ukoo n mkubwa. Ukoo mkubwa n ulinzi na mafanikio makubwa...vijana oeni msiogope kutunza familia.kwan Babu zetu waliwezaje na sisi tunashindwaje?
MWIGULU NCHEMBA NDIE ANAEWAJUA WALIOMSHAMBULIA LISSU, MAANA MWIGULU NDIE ALIEKUA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA NDIE ALIYEAMRISHA ULINZI KUONDOLEWA KTK BUNGE!
Mungu wetu wa ajabu, anampenda sana Lisu, kamtendea mambo makuu. Huwezi amini baada ya kumiminiwa risasi zote hizo akamjalia uhai hiki ni kutu cha ajabu, naamini ana jambo kubwa naye. Tunakushukuru Mungu wetu,mjalie Maisha marefu
Yaani siku lissu akifa Tanzania aitokaa atokee mtu shujaa kama lissu na mwana siasa nguli kama uyu sijawai ona mtu makini kama lissu kwanza ametufundisha mambo mengi ktk taifa hili siku zote ccm na serikali nzima nikusema uongo tuu .Tumuombe Mungu lissu awe Raisi wetu
Kweli gari hilo lenye risasi zilizolenga kuondoa uhai wa Kamanda Tundu Lissu lazima libaki kumbukumbu kwa vizazi na vizazi kuwa uovu haulipi na daima watu wema wasiruhusu uovu ulipe.
Mungu ni mwema aliyebariki jambo Hilo mungu ameshamuhukumu mheshimiwa lisu aliyepigwa risasi 16 bado anadunda kwani hamjiulizi walinzi waliondolewa na nani ?pia hamjiulizi kamela ziliondolewa nanani?na kwa idhini ya nani?mtawalaumu polisi kutofanya upelelezi lakini wao pia wanafuata maelekezo hakuna binadamu anaependa kulaumiwa cha msingi tukubali yaishe maana mungu alishachukua hatua ndio maana .mheshimiwa lisu Yuko hai lakini mheshimiwa?????mungu alishachukua hatua
Nnahakika serikali inajua Kila kitu kuhusiana na Mpango dharimu wa kuondosha maisha ya Mh. TL hata wanapoyaskia haya wanaona aibu. Hii dhambi haitawaacha huru au nchi hii haitatawaliwa kwa utulivu lazma ccm na ukoo wenu wote mtapitia moto daima pamoja na kumiliki Kila kitu mtakula na kuishi kwa taabu kwa dhuluma zenu halaf mbaya zaidi bado mnahangaika kumchafua Mh Lissu mtakufa vibaya kama walivyotamgulia mamia ya viongozi waandamizi tangu baada ya mlichomtendea Mh. Lissu
Wakili Msomi Tundu Lisu, Sadaka yako ni kubwa Mbele za Bwana..Mtegemee Mungu wako kwa kila jambo. HADI KUFIKA HAPO NI MUNGU KASIMAMA NA WEWE. HAUTAKUFA , BALI UTAISHI ILK USIMULIE MATENDO MAKUU YA BWANA
napenda hilo gar awe anaendanalo popote aendako ila matundu asiyazibe iwe onesho kila kona kwa mwananch mpigania uhuru.kama maonesho ya kila mwananch popote awapo
Zidaiwe Footage za mitaa na majengo ndo upererezi uanzie hapo kama zilifichwa na mtu basi awajibishwe, na pia itabidi sasa serikali inayotawala iweke cctv cameras mitaani kwa ajiri ya usalama maana wanao miliki silaa mtaani ni wachache na wengi wao ni watu wa serikali ambao Raia atuna imani nao kwasababu nchi aiko huru kwa sasa matukio ni mengi.
Walaaniwe walaanika wale na wapumbavu wapuuzi waliofanya uhovyo ule wa kutaka Kumuua Mtu Muhimu na Ambaye ni Zawadi Kutoka kwake Mwenyezi Mungu. Na Hakika Wao na Vizazi Vyao Damu ya Haki ya Ndugu Tundu Antipas Lissu.
Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent na hukuhitaji ulipwe kifo kwa kutetea haki zaWatanzania na watu wako
Ni utamaduni mzuri ktk maisha ya kiafrika, hata Mimi na familia yangu tunafanya hivyo, mungu akupe umri mrefu wenye manufaa Kwa watanzania wote na watu wote wanaopenda haki duniani
Mungu akulinde na akupe maisha marefu Tundu Lisu
Taifa letu litasimama na ww lisu
Na 2025 Tutakutawaza kuwa Rais na Utatuondolea dhuluma ktk nchi hihi
Mungu akubariki
Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent hukuhitaji malipo ya kifo kwa kutetea Nchi na watu wako Damu ya YESU ikufunike
Familia la kisomi sana hongera sana FAMILIA. YA LISU.
Kamanda umesha shinda fita mpaka hapo tuombe uzima
Tumwombe Mungu atujalie uwe rais wa Tanzania. Inaonesha mmekulia kwenye maadili meme na mna ushirikiano mzito. Kama mnavyoshirikiana ndivyo tungetamani taifa letu lisshirikiane. Inafaa kuwa kiongozi Bora kwa kuwa umekulia kwenye maadili ya upendo, HAKI, nidhamu na maadili mema. Mungu akubariki sana wewe na ukoo wako na hatimaye akufanye chaguo lake kwa Watanzania.
SIFA ZA KUWA RAIS WA NCHI HANA
SABABU NI MLEMAVU
SIO KWA TANZANIA BALI NI DUNIANI KOOOTE
Umeongea pumba futa haraka sana haraka futa
Wewe mwenyewe ni mlemavu ni huruma za Mungu tu zinakulinda ndiyo maana unapata nguvu zakuropoka
mlemavu mwenyewe muombe mungu msamaha hujui uliongealo unaishi kwa neema2 kesho yako huijui
@@elimringimoshi590kama yeye ni Kwa neema anaishi, wewe unaishi Kwa pmbu za Mzee wako?
Jamaa wanafanana. Hata kwa kuongea
Kweli
Yaan afu anaongea kwa busara
Mungu anakupigania mwenyewe, wala haina haja ya kukimbizana nao hata sasa walisha shindwa na Mungu anakupa hii nchi.Amina.
Mungu ni mwema kwa kweli
Napenda sana hoja za chadema ilah kaka mtu ameupiga mwingi
Polen sana tunaumia lakin hatuna namuna lissu baba yeti tunampenda na mung anampenda ndo maana yupo anaishi mung aendelee kumpa neema zaid
Mnaweza kujifunza jambo hapa.
Huu ukoo n mkubwa.
Ukoo mkubwa n ulinzi na mafanikio makubwa...vijana oeni msiogope kutunza familia.kwan Babu zetu waliwezaje na sisi tunashindwaje?
Amina' Kaka....
alafu mababu zetu waliowa wake wengi sisi mmoja tu noma
MWIGULU NCHEMBA NDIE ANAEWAJUA WALIOMSHAMBULIA LISSU, MAANA MWIGULU NDIE ALIEKUA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA NDIE ALIYEAMRISHA ULINZI KUONDOLEWA KTK BUNGE!
ALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KIPINDI LISSU ANAPIGWA RISASI NI KANGE LUGOLA
Kaka alikuwa Cirro sio kangi logola alikuwa saimon Cirro na kumteka MO ALIKUWA HUYO HUYO CIRRO NDUGU YANGU.. NA ALITOLEWA NA MAMA KUMPELEKA UBALOZI
Hivi tundu lisu nguo za chadema unatoaga kwel
Atatoaje na yy ndo chadema
Chadema
Mungu wa Israel ni Mungu wetu. Hatutakufa bali tutaishi na kuyasimulia matendo ya makuu siku zote.
Asanteni sana Lissu family. MUNGI aendelee kuwa nanyi
Huyu Ni Mwamba Kwelilweli. Mungu Aendelee Kumtunza
Pole sanaa bwana tundulisu na ongera sanaaa shujaaa
CHADEMA KWANINI WANAMTENGA MHE. LISU? WAMPE MIL'150 KTK ZILE BIL'2.7 ANUNUE GARI
Wamefanana sura mpaka sauti mashaAllah
Mungu.ni mkuu. Kwakilajambo. Mubarikiwe sana
Kwaiyo mzee anakes maliasili😢 ya kuua simba
Mungu akulinde lissu❤
Waone watu hawa walivyofanana hadi sauti. Kaka yake ana busara nyingi sana❤❤❤❤
Naipenda sana hii Familie
Mungu wetu wa ajabu, anampenda sana Lisu, kamtendea mambo makuu. Huwezi amini baada ya kumiminiwa risasi zote hizo akamjalia uhai hiki ni kutu cha ajabu, naamini ana jambo kubwa naye. Tunakushukuru Mungu wetu,mjalie Maisha marefu
Ila ujumbe umefika....
Mungu ndiye mfariji na mtetezi mkuu
Mbalikiwe kuwawamoja mungu awabaki san muwe naupendo uwouwo
Hongeren Sana mungu awatunze muishi miaka 10000 na risu akiwa rais tz
Unaona na unajua anaitwa LISSU bado unakuja kuandika Risu....Vilaza wengi sana
Tundu ni mdogo sana lkn ndiye anayeunganisha huu ukoo
Ukoo Bora Sanaa na Makini Hakika Mungu Amewabariki
Unaonekana n ukoo wa walevi😂
😂😂😂😂 kabisa upuuzi mtupu
Wajifia myampaa Alutree,mughwai, Allah akuhifadhi na mdogo,ntundu L mghwai,
Safi san
Kiukweli wanyaturu tunaoipenda pombe huwa tukiipata hatufanyagi ajizi tunaipa za uso live
😂😂😂😂😂
Hongereni san wazee wetu
Amina
Hawa jamaa hatari lakini salama🤣🤣🤣🤣
Hakika utukufu wa Mungu unaotembea kupitia MH Lisu Mungu ndiye muweza wa yooote ktk maisha ya mh Lisu
Yaani siku lissu akifa Tanzania aitokaa atokee mtu shujaa kama lissu na mwana siasa nguli kama uyu sijawai ona mtu makini kama lissu kwanza ametufundisha mambo mengi ktk taifa hili siku zote ccm na serikali nzima nikusema uongo tuu .Tumuombe Mungu lissu awe Raisi wetu
Advocate kweli anaongea ki uanasheria.
Nimeipenda sana wazee wameshikilia vinywaji wanawaka
👊✌👍.
Good family❤❤❤
Familia kubwa yenye baraka tele tena kumbe tunashea BABU yaani MURO
Tundu lisseu unakunywa Nini hapo ?. Naona Kuna kitu unakunywa kwenye kikombe
Nimeona Mambo yanafanywa fanywa hapo kwenye gari,waliofanya kitendo hicho wakaombe msamaha mungu ni mweme.
Kweli gari hilo lenye risasi zilizolenga kuondoa uhai wa Kamanda Tundu Lissu lazima libaki kumbukumbu kwa vizazi na vizazi kuwa uovu haulipi na daima watu wema wasiruhusu uovu ulipe.
Kweli mungu yupo jamani ❤
No doubt about it
Mungu ni mkuu na mwema kwa mja wake
Mzee Alute inaonekana umekunywa mma.
😅😅😅😅
Mungu ni mwema aliyebariki jambo Hilo mungu ameshamuhukumu mheshimiwa lisu aliyepigwa risasi 16 bado anadunda kwani hamjiulizi walinzi waliondolewa na nani ?pia hamjiulizi kamela ziliondolewa nanani?na kwa idhini ya nani?mtawalaumu polisi kutofanya upelelezi lakini wao pia wanafuata maelekezo hakuna binadamu anaependa kulaumiwa cha msingi tukubali yaishe maana mungu alishachukua hatua ndio maana .mheshimiwa lisu Yuko hai lakini mheshimiwa?????mungu alishachukua hatua
Mnafanana sauti Sana kaka mtu
Familia ibalikiwe
Baba anapiga kill beer 🍻
Pole Lisu
Wamefanana kweli na mdogo wake hata kuzungumza sawa sawa na ndugu yake
Heeee wanafanana hadi sauti
Mungu Alisha lips zamani alietenda hicho kitendo Alisha tangulia
Wamefanana Hadi sauti aiseeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sana wamefanya mpaka sauti
Kila k2 ni lisu m2pu
Kabisa Hilo Gari lijengewe makubusho. Na itangozwe siku ya tundu lissu day.
Amazing family 🎉
Nakama polis wako makin upelezi nimiaka mingi atakama walizuiliwa kiongozi mkubwa saiz wakamatwe hao ila kwakua ccm inamfumo mmoja shida
Naona wazee wananyonya kirauri tarrrrrratu😂
kaka ake lisu mzuri
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WOTE...FAMILIA YOTE NA UKOO WA COMRADE LISSU.
Kufananaje huko
Nnahakika serikali inajua Kila kitu kuhusiana na Mpango dharimu wa kuondosha maisha ya Mh. TL hata wanapoyaskia haya wanaona aibu. Hii dhambi haitawaacha huru au nchi hii haitatawaliwa kwa utulivu lazma ccm na ukoo wenu wote mtapitia moto daima pamoja na kumiliki Kila kitu mtakula na kuishi kwa taabu kwa dhuluma zenu halaf mbaya zaidi bado mnahangaika kumchafua Mh Lissu mtakufa vibaya kama walivyotamgulia mamia ya viongozi waandamizi tangu baada ya mlichomtendea Mh. Lissu
Natamani huyu bwana arudi bungeni akawachangamshe watu wamelala
Wamefanana adi kuongeaa😂
Hakika mbarikiwe sana
Mzee advocate Alute.
Wakili Msomi Tundu Lisu, Sadaka yako ni kubwa Mbele za Bwana..Mtegemee Mungu wako kwa kila jambo. HADI KUFIKA HAPO NI MUNGU KASIMAMA NA WEWE. HAUTAKUFA , BALI UTAISHI ILK USIMULIE MATENDO MAKUU YA BWANA
napenda hilo gar awe anaendanalo popote aendako ila matundu asiyazibe iwe onesho kila kona kwa mwananch mpigania uhuru.kama maonesho ya kila mwananch popote awapo
Naunga mkono hoja
Eemungu tusaidiye utujariye watu wenye rohozakupenda Haki kamamheshimiwa lissu
Polesana bro lissu
Watanzania wengii hawaaminiii kujenga nyumbaniiii
Zidaiwe Footage za mitaa na majengo ndo upererezi uanzie hapo kama zilifichwa na mtu basi awajibishwe, na pia itabidi sasa serikali inayotawala iweke cctv cameras mitaani kwa ajiri ya usalama maana wanao miliki silaa mtaani ni wachache na wengi wao ni watu wa serikali ambao Raia atuna imani nao kwasababu nchi aiko huru kwa sasa matukio ni mengi.
Lisu hyo chuma usiiache tengeneza v8 hyo mazeee
Ila mzee muwae wake watatu😂😂😂😂
Anasauti kama ya lisu
Mbona kama mkenya Ni watanzania kweli nyinyi ?
Yaap tena original from singida land
Mbona wanakunywa bia sana 😂😂😂
Wanasherehekea sikukuu ya kukutana na ndugu yao, pigeni bia mpaka kieleweke, natamani kuzaliwa ktk ukoo huu❤❤❤❤❤❤❤❤
Magaidi ninyi nendeni kwa watu wenu huko wakopumulisha.
Polenii
Huijui Tanganyika.wewe
Walaaniwe walaanika wale na wapumbavu wapuuzi waliofanya uhovyo ule wa kutaka Kumuua Mtu Muhimu na Ambaye ni Zawadi Kutoka kwake Mwenyezi Mungu. Na Hakika Wao na Vizazi Vyao Damu ya Haki ya Ndugu Tundu Antipas Lissu.
Na wanaxhuxhia ka kuli safiiii
Lissu njoo Ccm. Huko chadema wanakunyanyasa. Ukiludi Ccm chukua Jimbo lako bungeni.
Hizo bia sasaa?
Mwamba anapiga kilimanjaro taratiiiibuuu
Wanafanana sana
Hivyo vikopo
Usinge mpa pole tu
HI KWA FAMILIA 📘📘🇹🇿🇹🇿😭😭👁️👁️👁️👁️👁️👁️
Lisu ni Maasai?
Ya lizzu haitaji upelelezi nikuajibishwa tu walio ondoa walinzi kamera nahap walinzi
Advocate uko vyombo
Mpaka kuongea kama Lisu