TUNDU LISSU AKUTANA NA NESI ALIYEMPOKEA KWA MARA YA KWANZA GENERAL HOSPITAL DODOMA ALIPOPIGWA RISASI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 05. 2024

Komentáře • 175

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 Před 26 dny +5

    Mungu wa mbinguni akulinde NESI wetu kwa kuokoa maisha ya shujaa wetu mh. Tundu lisu hakika haikuwa rahis.

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz Před 25 dny +8

    Mh! Mungu alikuokowa comrade lissu

  • @simonmwasile4377
    @simonmwasile4377 Před 26 dny +9

    Mahojiono yanaumiza sana ,kwa kweli ni MUNGU mkubwa sana. Very painful indeed!!!

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před 27 dny +44

    Please toeni namba ya muuguzi tumpe angalau ya soda kwa kuhudumia maisha ya watanzania akiwemo shujaa wetu Mungu azidi kumlinda Tundu mwana wa Lissu ..

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 27 dny +7

    MAMA NA DADA YETU UBARIKIWE....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ATAKULIPIA HAPA HAPA DUNIANI....MH. RAIS SAMIA MSAIDIE HUYO MAMA....WOTE WALIOHUSIKA KUMDHALILISHA NA KUMFUKUZISHA KAZI HUYU MAMA WAWAJIBISHWE.

  • @emanuelfrancis579
    @emanuelfrancis579 Před 27 dny +15

    Gharama za kuokoa uhai ndo hizo😢😢

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Před 26 dny +4

    Mungu yupo upande wako Kamanda, nimeingia chadema kwa ajiri yako❤❤❤❤

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 27 dny +10

    Muuguzi Mungu àtakulipa na hayo unayopitia Mungu anaona atajibu kwa wakati wake.

  • @emanuelgella8201
    @emanuelgella8201 Před 27 dny +10

    Mtaka huyu ambaye namjuwa Mimi jamani? Daah kumbe binadamu wengi wanao onekana kondoo kumbe ni chui.. nimevunjika moyo kabisa

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Před 27 dny +5

    Mungu akubariki mama wewe ni shujaa wetu Mungu atakufungilia NJIA.

  • @henrynjovu9147
    @henrynjovu9147 Před 26 dny +8

    Mama Jasiri Sana huyu sijui kwanini wamemdhurumu ajira yake. Ni Nesi na Nusu.

  • @user-ch9ny6uw1d
    @user-ch9ny6uw1d Před 27 dny +13

    Nesi mungu atakulipa,,umefanya kitu kikubwa sana,,kuokoa maisha ya lisuu,,hakika mungu alikutumia wewe siku hiyo.

  • @Jamessichone-tg7pm
    @Jamessichone-tg7pm Před 27 dny +24

    Kiukweli Mungu yupo upande wa mheshimiwa Tundu lisu muuguzi Mungu ndiye atakaye kulipa

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 Před 25 dny +1

      Nikuulize swali! Sasa hapo kama magu angehusika kumtaka kumuua tundu angeshindwa? Wakati alipokelewa hospital ya serikal?

    • @PhabianYasih
      @PhabianYasih Před 24 dny

      Mungu na magufuri, wewe kwako nani zaidi

    • @solomoneglesias9752
      @solomoneglesias9752 Před 24 dny +1

      ​@@ndogoroedson199oooh akili yako iko kwa nini yako rip nguvu ya Taifa

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Před 26 dny +5

    Hongera NESI kwa kumsaidia Huyo Baba

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před 26 dny +5

    Kiukweli Lisu mwenyezi Mungu ni mkubwa Sana😭😭😭Pole Sana 🙏🏼

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 26 dny +5

    Mh. Lissu Amefanya Kitu Cha Muhimu sana Kuwaona Wauguzi wake wa First Respond.

  • @colethamkamate6617
    @colethamkamate6617 Před 25 dny +3

    Dar Sister Vero kumbe hauko kwenye ajira tena pole sana best🙆

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 26 dny +2

    Mungu awabariki kwa ajiri ya huruma yenu kujitoa kwenu na ma dr.wote mliopambana kufa na kupona kwa nguvu na uwezo wa mungu atawalipa mema.

  • @LoiteyoAmakoMako
    @LoiteyoAmakoMako Před 27 dny +9

    Pole sana mwambaa

  • @deogratiusmaila676
    @deogratiusmaila676 Před 27 dny +8

    Mheshimiwa Rais huyu mama umkumbuke sana umpe wizara

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot Před 26 dny +5

    Hakika madoctor mnaojali afya za watu kulliko pesa MUNGU awalipe maradufu mama uishi nakufaniki kwajina la yesu

  • @deusdedthutenga408
    @deusdedthutenga408 Před 25 dny +2

    Pole sana nesi wetu na MTANZANIA mwenzetu.

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika Před 27 dny +8

    KAMA SISI, TUNAUMIA HIVI TUKIONA ANAVYOCHECHEMEA KWA SHIDA AKITEMBEA. JE KWA FAMILIA YAKE WANAUMIA KIASI GANI NA WATU WAKE WAKARIBU?.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 26 dny +2

    Mungu akubariki sana wewe dada kwa wito

  • @bahatisanga8890
    @bahatisanga8890 Před 23 dny +2

    Mungu msaidie huyu Dada apate haki zake

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 27 dny +5

    MUBARIKIWE SANAA

  • @syliviaibrahim5315
    @syliviaibrahim5315 Před 21 dnem +1

    Hongera muuguzi kwa kusave life

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746 Před 27 dny +5

    Nakumbuka Maneno ya Ndugu Tundu Lissu Alipokuwa Kwenye Matibabu Ubelgiji Alisema:
    Nanukuu:
    Nitarudi Tanzania Mchana Kweupe.
    Nitarudi Tanzania Nikiwa Natembea tena.
    Mwisho wa Kunukuu.
    Ni Maneno ambayo Nilikuwa Siyaamini Amini nilihisi Unajipa tu Moyo.
    Kumbe! Ni kweli.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 26 dny +3

    Lisuu naona mahaba yasha kubamba kwa nesiii Hale baba

  • @user-td9rq5vl1v
    @user-td9rq5vl1v Před 22 dny +4

    Huyu mama anaongea hadi naumia jamaniii, Wamrudishe kazini 😢😢

  • @abdulseif4093
    @abdulseif4093 Před 27 dny +4

    Mungu atakusimia kama alivyomsimamia lissu

  • @user-zf2dn7su4f
    @user-zf2dn7su4f Před 26 dny +2

    Mungu akupee maishaa malefu

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 27 dny +16

    Huyu maza tupaze saut arudi kazin ata km utoro kazin hakupewa nafas ya kujitetea

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 Před 26 dny +5

    Eeh mungu wetu waadhibu waliofanya tukio la lissu

  • @user-gn4lc5sk6p
    @user-gn4lc5sk6p Před 26 dny +2

    Mungu asimame kutetea haki za wanaoonewa.

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772 Před 22 dny +1

    Msaidie huyu mama Hawa waajiri wanaoneaga Sana Hawa watu wa chini...

  • @eliainasomalisa7599
    @eliainasomalisa7599 Před 20 dny +1

    It's a painful story 😢

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před 26 dny +1

    Mungu akisema apana nani mwengine apinge Asante mungu

  • @saiddaji6342
    @saiddaji6342 Před 26 dny +5

    Pole nurse kwa kumuhudumia shujaa wetu

  • @jonaskalebe5486
    @jonaskalebe5486 Před 27 dny +6

    Long live Lissu, and God bless you. You are a real fighter.

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t Před 26 dny +3

    Dah wakurugenzi wabaya hao

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 Před 26 dny +2

    Mungu wangu nchi hii Ina Mambo serikali hii, mbona mama huyu anaeleza vema kabisa

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před 25 dny +2

    Halafu mseme Magufuli ndyo alihusika hivi hao waliompokea ungekuwa ni mpango wa kumuua huyo si angeagizwa tu kukumalizia? Maana angepigiwa cm tu mwacheni afe au mchomeni sindano ya sumu! Acheni kulaumu sana kuwa JPm alihusika c kweli wao chadema waulizane wenyewe

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Před 27 dny +3

    Huyu nesi yuko vizur sana.

  • @PhabianYasih
    @PhabianYasih Před 24 dny +3

    Kiukweli madakitari wangeweza kummalizia Tundu Lisu, lakini tatizo Hospitali nzima ya General, iliingiliwa na uwepo wa Mungu hivyo wakawa wanafanya kazi si kwa matakwa yao. Sidhani hawakuambiwa kwamba Tundu Lisu anatakiwa auawe ila ni Mungu kazubaisha kuja kushituka Mwamba kashahamishwa wakati wazo la Tundu Lisu apelekwe Nairobi linatekelezwa wauaji ndio fahamu zinawarudia, wakawa wanashauri apelekwe mhimbili ili wakammalizie huko. Wasijue kwamba Mungu hayupo upande wao

  • @Petronkambi
    @Petronkambi Před 11 dny

    Mtaka huyu huyu nnaemjua mm nilikua namkubali sana mtaka Kwanzia Leo hapana kumbe mnfki

  • @user-rp9lh3wl1v
    @user-rp9lh3wl1v Před 18 dny

    Mungu Am bariki Sana huyo dada jaman

  • @elymollel
    @elymollel Před 27 dny +4

    Hongera sana mama, ila Kwa hapo usiwe na shaka kipele kimepata mkunaji.

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před 25 dny

    Pole sana muuguzi naomba arudishwe kazini

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 Před 27 dny +1

    Kaka yangu mh.mtaka dah. Hikiulichofanya Muombe Mungu msamaha watu tunakupenda sana na tu akuheshim sana sijui nini kilikukuta 😭

  • @Francis-kx1sb
    @Francis-kx1sb Před 19 dny

    Mungu akubariki sana nesi

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 Před 19 dny

    Mama samia hebu msaidie huyu mama umpe kazi

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 Před 26 dny

    Story inafurahisha na inahuzunisha sana.Bigup Dr,Mungu akulinde Mhe Lisu

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 22 dny +1

    Dah LISSU ALINUSURIKA KIFO. cha ajabu hata waliotumiwa hakuna aliye fuatilia😢

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vs Před 20 dny

    Kama movie vile kilichotokea kwa Mh. Lissu Antipas Tundu

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Před 23 dny

    Pole sana Hili Taifa linakiu ya HAKI ,

  • @Manase-uj7lj
    @Manase-uj7lj Před 26 dny +1

    Muuguzii only mhe tundulisu anaejua msaadawako, huyo mkurugenzii atafutwee malamoja

  • @emanuelfrancis579
    @emanuelfrancis579 Před 27 dny

    Pole sana MUHESHIMIWA..
    DAHH SO SAD

  • @LeahMabula-sv8ij
    @LeahMabula-sv8ij Před 25 dny

    Pole sana

  • @VicentBernard-sy9zc
    @VicentBernard-sy9zc Před 13 dny

    Namjua huyu mama

  • @user-gn1io8tu8h
    @user-gn1io8tu8h Před 26 dny

    Daaaah pole sana mama Hiyo Ndo Dunia

  • @user-td9rq5vl1v
    @user-td9rq5vl1v Před 22 dny

    May God Grant you more life,we Love you all🙏

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s Před 27 dny

    Goods is the first one

  • @Chrizabizzy1
    @Chrizabizzy1 Před 9 dny

    Anaye taka namba ya huyo mama amchangie aniambie

  • @EltonKivuyo-cv2gq
    @EltonKivuyo-cv2gq Před 26 dny +1

    Lisu msaidie huyo mama kisheria tafadhali

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 Před 23 dny

    Pole sana Mama

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 Před 26 dny +1

    Kwann usifuatilie haki zako kama ulifukuzwa bila kufuata taratibu za ajira

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 27 dny +5

    Lissu nakukubari sana kamanda wangu

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před 26 dny

    Pole hero

  • @janesiwingwa3142
    @janesiwingwa3142 Před 12 dny

    Mkipata number tumchangie uyu mama

  • @dlumala
    @dlumala Před 26 dny +1

    Video hii one mengi gani kwa sasa??

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 26 dny

    MAMA huyu apewe chote chote kwa kweli. Amefanya kazi ya wito kwa kweli.

  • @ammytv8338
    @ammytv8338 Před 21 dnem

    Lissu msaidie huyu mama

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 27 dny +5

    Wauaji wanaroho ngumu usipime lakini ninacho jua Mimi nikuwa hata iweje kila nafsi hai itaingia mautini hivyo kila anayefikiri kumfanyia mwenzie ubaya atambue hivyo

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz Před 25 dny

    Mh! Mungu siku zote hamtupi mja wake

  • @NgombeMasalu
    @NgombeMasalu Před 27 dny

    Mwamba pole sana

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg Před 25 dny

    Mama Samia wekapembeni siasa mpezawadi mwanamke mwenzi wakina mama kama Hawa wauguzi wenyehuruma kama huyu ndio Taifa linawataka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 Před 26 dny

    Inaumiza sana

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 Před 24 dny

    Mtaka ana dharau sana na hujiona anajua kila kitu

  • @eliudinyangura3921
    @eliudinyangura3921 Před 24 dny

    mmhh Mtaka tena kama ni kweli basi

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před 27 dny +2

    Pole sana kaka

  • @williammakali5518
    @williammakali5518 Před 25 dny

    Tutamkumbuka,kama😂 alivyosema,,ilikuwa hiviii,,,,mwacheni huyo mwananchi,,,,njooo mama,,njoo tu

  • @BahatiMahenge
    @BahatiMahenge Před 26 dny

    Mwacheni mungu aitwe mungu

  • @charleskingimwakasagule5752

    Ubalikiwe mama kwa ujasili huo make mifanyakazi ya kibongo inafyata mikia sana kwa sisiemu yani kama imezaliwa nazi uoga mtupu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 26 dny

    Kweli mungu atabaki kuwa mungu

  • @joelbenardkaselya
    @joelbenardkaselya Před 26 dny +1

    Ww dada ni jeuri kwa jinsi unavyoongea2 unadharau kumbk meno ya mbwa haya umani😂😂😂

    • @SephrozaMatuli
      @SephrozaMatuli Před 26 dny

      We ni mbwa hujui ht haki za binadam unabwatuka tu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 27 dny

    👊✌️👍.

  • @ayubumwakabana2137
    @ayubumwakabana2137 Před 24 dny

    Daaaaa Sina hamu

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 Před 26 dny

    Mama imetisha sana naamini utafanikiwa

  • @mwikuyusemwenda9625
    @mwikuyusemwenda9625 Před 26 dny

    amen

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 25 dny

    Huyu mama story ndefu sijui km ina ukweli😂

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 26 dny

    Changamoto kubwa sana

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale Před 21 dnem

    Daaa MUNGU NI MKUUU

  • @sukumaganga2613
    @sukumaganga2613 Před 23 dny

    Mama huyu muonekano wake anaonekana yupo kazin upande wa pili watu wa cuba tuna jua hiyo

  • @renatusdeogratias2108
    @renatusdeogratias2108 Před 27 dny +3

    Watanzania tufanye jambo kwa huyu mama

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 Před 26 dny

    Ni vyema kusikia muuguzi alivyotoa huduma ya kusaidia kuokoa maisha kwa niaba ya Mungu, lakini mahojiano haya ni hatari wanaposikia wale waliotaka kuuondoa uhai kwa niaba ya shetani.

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Před 25 dny

    Ila nchi inawaovu wengi sana

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 24 dny

    Hii nchi ina mambo ya ajabu sana. Hivi muhudumu kama huyu unamuachishaje kazi. Jamani kisa kakunyima mapenzi, mbona laana zingine ni za kujitakia. Malaya wote waliojaa lakini bado mtu anaharibu maisha ya mtu hivihivi.
    Mama Samia Tafadhari, do something for this woman

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 25 dny +1

    Mboe alitaka kuchukua picha ujue

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Před 26 dny +1

    Mm nionacho Tundu Lissu mshukuru Mungubc anakupenda songa mbele kuleta Sera zenye mshiko Aya mep ushauri nasaa wakutoe uchungu ili ufanye siasa
    😢 by. Z