INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!

Sdílet
Vložit

Komentáře • 70

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 24 dny +7

    TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 28 dny +5

    Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 Před 25 dny +5

    Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo

  • @galamwendagalikunga8587
    @galamwendagalikunga8587 Před 19 dny +2

    Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 27 dny +2

    Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před 28 dny +12

    Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.

    • @xaverymakwi
      @xaverymakwi Před 25 dny

      Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg Před 22 dny +2

    Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 28 dny +2

    You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Před 28 dny +4

    Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali

  • @josephsamwel8145
    @josephsamwel8145 Před 24 dny +3

    Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri

  • @samasob8233
    @samasob8233 Před 24 dny +2

    Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!

  • @ZephaniaMwailugula
    @ZephaniaMwailugula Před 28 dny +4

    Tundu upo vizuri kaka

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Před 27 dny +3

    Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.

  • @user-pn5gv7ix3g
    @user-pn5gv7ix3g Před 5 dny

    Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 28 dny +6

    Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe.
    Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 27 dny +2

    Huyo mwandishi ametumwa mbona unapoongea ukwer hataki kikusikiliza

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 Před 28 dny +10

    Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...

  • @issaali1321
    @issaali1321 Před 28 dny +2

    Huyu mtangazaji haufai ata kuitaviw mbuzi .

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 27 dny +2

    Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 28 dny +4

    We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du Před 28 dny +1

    Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před 28 dny +3

    Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza Před 28 dny

      Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza Před 28 dny

      Poa

    • @user-qb1jv2dy2d
      @user-qb1jv2dy2d Před 22 dny

      Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před 28 dny +2

    Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před 28 dny +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo Před 28 dny +1

    Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete Před 18 dny

    Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 27 dny +1

    Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 27 dny +1

    MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 28 dny +1

    Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Před 21 dnem

    Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před 28 dny +1

    Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 Před 28 dny +2

    Nyanda ni pure CCM😮

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt Před 28 dny

      Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.

  • @EmanueliThomas
    @EmanueliThomas Před 28 dny +1

    Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 Před 28 dny +1

    Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu

  • @MegaVhp
    @MegaVhp Před 15 dny

    Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 28 dny +1

    NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Před 23 dny +1

    Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d Před 22 dny

    Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.

  • @SaidMrisho-du1fm
    @SaidMrisho-du1fm Před 28 dny +1

    ✌✌✌

  • @PaulMhufu
    @PaulMhufu Před 28 dny

    😮 bbh

  • @petsmore9955
    @petsmore9955 Před 21 dnem

    Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?

  • @ramadhaniomarishauri9905

    Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 24 dny

    Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 24 dny

    HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Před 27 dny

    Wazungu wamepiga hela kiurahisi

  • @yohanakadiva839
    @yohanakadiva839 Před 18 dny

    Ukimuinterview Lissu hutakiwi kuogopa, utaharibu interview au personality yako. Wewe mwandishi ungetulia upewe majibu yako uliyouliza.

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 Před 18 dny

    Mwandishi kasome huna iq kabisa

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi Před 28 dny

    Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před 28 dny

    Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 23 dny

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 28 dny

    acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 28 dny

    Kama wewe unavotaka kuharibu taifa

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 Před 24 dny

    Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 Před 22 dny

      hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 Před 22 dny

      @@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 28 dny

    Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???

    • @godamc
      @godamc Před 19 dny

      Lissu mnyaturu

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578 Před 23 dny

    Hongera Nyanda

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 27 dny +1

    Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před 28 dny +1

    Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 Před 28 dny

      Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před 28 dny +1

    Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako