EXCLUSIVE: MAISHA YA ZITTO KABWE/ELIMU/NDOA/VITA ya SIASA/KUFUNGWA/KUMNG'OA WAZIRI/UGOMVI na MAKONDA
Vložit
- čas přidán 13. 04. 2024
- #history #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia #zittokabwe#ACTWAZALENDO
MASWALI YAKO YOTE TEYALI TUMESHAYAJIBU KWENYE MAKALA HII HAPA UTAFAHAMU MAMBO YOTE YANAYOMUHUSU ZITTO KABWE - Zábava
Someni kiswahili kabla yabkutangaza kwenye hadhira
PhD ipi mbona hujaielezea vizuri
Huyu mwamba ni noma aliifungua kigoma na Tanzania kwa ujumla kwa hoja murua na data zilizokwenda shule
👊
Waislam huwasemi kwa dini Yao kenge kabisa
In politics is the confidence lmotion
🤝🤝
Halima bulembo mbona huja muweka
Zipo alianza kuwa mbuge kigoma kazikazin na sio kigoma mjini
Shukrani kwa Maoni yako
Waandishi wa habari, mjitahidi kutumia Kiswahili safi. Standard Swahili na kutamka vizuri.. Na pia kutafuta kujiongeza ki elmu. Katika general knowldege ya duniya ki jumla.
Uko sahihi @maryamadam5622
Reo mmm leo acha.kuharibu lugha
Nyota yake imezima ni uchawa tu tulikua naimani na vyama vya upinzani hajafukuzwa ni uchawa
Pumbavu mwandishi kasome kwanza ovyoo
Ok. Ahsante Kwa maoni yako
Jifunze kutamka R na L sehemu sahihi,makara au MAKALA,amezariwa au amezaliwa?
Ahsante kk Naahidi kubadirika makosa hayatojirudia tena🤝
Huyu anatakiwa awe hata waziri kama si kuwa rais kabisa mzalendo muwazi msomi mweny democrasia ya kweli mwamba kwelikwei huyu jamaa
Sahihi 💪
Apo umekosea alianza ubunge kigoma kaskazini then akaja kigoma mjini apo umetupiga
😥
Amesahau jamn
Safi thanaaa
Thenks 🤝
muwe mnafanya research za kutosha kabla ya kutangaza
Nini kilichokosekana @dijohbanks4312 tukuweke Sawa kwenye hilo
Hakuanzia Kigoma mjini, alianzia Kigoma kaskazini
Thenks ila ninakuomba uendelee kumfuatillia zaidi Zitto kabwe
Uyu mtangazaji wa mchongo😂
Twende kazi matamshi ni lazima tutafautiane..ndo maumbile kwsbb ndimi zetu zimeumbwa kutafautiana..suratul room quran imeweka wazi juu ya hilo
Zitto kabwe
Mwanasiasa mashuhuri Sana Huyu🫡
Waislamu hawabatizwi acha ujinga wewe😅😅😅
Eti alibatizwa?? mtangazaji waislamu huwa hatubatizwi..
Ohh thanks mr@ibrahimally8073 Tumekusoma
@@Santzmedia kheir
Waislamu hawabatizwi😅😅😅
😂😂😂😂 kubatizwa uliyomaanishwa Hapo ni "KUPEWA au KUSIMIKWA"
Waisillam piya hawasinikwi mwandishi soma Nini maana ya neno
Uwe unafanya research ya kutoshaa kabla ya makala Yako 2005 alikuwa mbunge wa kigoma kasikazin!! Shame to you
Shukrani kwa Maoni yako mkuu
Program sio PLOGLAM
Thenks my brother 🙏🙏
Zitto kabwe huy jamaa anafaa awe Rais kabisa
Rais wa Nchi gani??😀
@@Santzmedia Tanzania
@@aminatanzanya7475umemjibu vyema😅😅😅
Mnafiki huyo angekuwa malaya
😂😂😂 tumefika huko jamani!!?
Kileno😂ni zito
Yess ilo jina ni lakireno ila Sisi tunalitamka kwakiswahili🤓