EXCLUSIVE: MJUE RIDHIWANI KIKWETE -MTOTO wa RAIS ALIYEPEWA KASHFA ya MADAWA CHINA na KUMILIKI SHELL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 05. 2024
  • #exclusive #cloudsmedia #efm #simulizinasauti #history #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia
    USIDANGANYWE TENA FUATILIA MAISHA YA RIDHIWANI KIKWETE A-Z
    • MAISHA YA VIONGOZI
  • Zábava

Komentáře • 50

  • @danielmadale
    @danielmadale Před měsícem +7

    OK, MMEAMUA KUMSAFISHA. HATA JIK HAIWEZI

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +2

      Kumbe simulizi inaendana na kumsafisha mtu?

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +4

    Mfikishie na hizi comment aliekutuma

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Před měsícem +1

    Hatuhusu

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před měsícem +5

    Umelipwa shilingi ngapi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +2

      Tuendelee kuipenda Nchi yetu!!!!!!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem +3

    Haloooo ya Ccm hamna kitu hapo wewe simulia tu ufanye kazi ya kumsifia wala hana nyota ya kupendwa ila upambe tu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      Ndugu wewe ni Mtanzania kweli???

  • @StephanoMoses
    @StephanoMoses Před měsícem +1

    Kumbe siku hizi hamna simulizi zaid ya kumsafisha mtu . Huku anawalipa bei ghali inaonekana

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Před 20 dny +1

    Mkoani RINDI au LINDI,jifunze kwa kiswahili ndio ufanye hii kazi,RIDHIWANI sio LIZIWANI.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 20 dny +1

      Sawa mkuu nitabadilika natumai video zijazo sitokuangusha💥📌

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před měsícem +1

    Ili iweje kwa maelezo haya

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su Před měsícem +1

    Mtajua wenyewe huko

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 Před 17 dny +1

    Jamani huyu bibisikumoja nitienda kwake na bibiangu kimsrimia arikuwa hivi hivi na kanga hii irijitanda arikuwa mkarimi sana na mpendawatu mungu iraze roho yake mahar pema peponi amina kubwa pia tunamshuru mungu kwa kutuzaria mtu huyu mwamba wa charinze mungu mrinde mbunge wetu kwani nichaguo retu

    • @aishamtaula1959
      @aishamtaula1959 Před 17 dny +1

      Pia mumewe nirimkuta barazani umri huuu anasuka jamvi hawana makuu wazee Hawa wawir mtu na mumewe bibiangu bitirajabu msakamar armuita bibi Goya na mumewe arimwita murisho Asante kuturetea makara hii naitwa Aisha mtaura wa charinze miono huna baya aropewa kapewa cheo kinamruhusu kufanya biashara afanye tuu ajira zinaongrzeka Kwa vijana wetu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 17 dny +1

      🇹🇿🤝

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 Před měsícem +3

    Sijui utatumia lugha gani ili watu wakuelewe

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před měsícem +1

    Yote ya Nini maneno hayo

  • @deusdeditishengoma4335
    @deusdeditishengoma4335 Před měsícem +1

    Huyo mwandishi kahongwa! Ridhiwani Ni Kweli Ni muuza unga na alishikwa China! Pumbavu anajisafisha saa hizi!

  • @JackM.-mh5cs
    @JackM.-mh5cs Před 11 dny

    Huyu ni birionea mkubwa sanaa

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před měsícem +2

    Kwann unamsifia kwann et Kuna nn et

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      Mtu anasifiwa kutokana na uhodari wake ,Ikitokea amefanya kitu chanya Kwa jamii sifa zake Atapewa Tu kwaiyo nawewe jitahidi Uje usifiwe kama Mhs;

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +2

    Njaa mbaya. Na democrasia ni ushetani

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      Tuendelee kufanya kazi Kwa bidii "Njaa Hakuna

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 Před 25 dny +1

    Mwamba flani ivi kutoka chalinze.

  • @user-ig6pg6oz9i
    @user-ig6pg6oz9i Před měsícem +1

    Upofu wetu atujui unajua wewe ayo tusimulie wtz mazombi wote. Ata majani ya mpapai yanafua nguo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před měsícem +1

    Baba ,mama na mtoto wote wanakula nchi.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      Ukiongea jaribu kuwa na Fact kidogo 😥

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před měsícem +1

    Kiukweli Ridhiwani hausiki na uuzaji unga anayehusika ni Miraji sio Ridhiwani ni bahati mbaya watu wengi hawamjui Miraji ambaye ni mama tofauti na Ridhiwani

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před měsícem +1

    Mwandishi unatumia fagio gani mbona unasafisha sana atajuana huko mbinguni au motoni

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před měsícem +1

    Hivi nani alisababisha bandari ya bagamoyo apewe mchina kwa miaka 132? Kwa maslahi yake na family yake?🤔🤔

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      Embu Tujiulize wote sasa!!!🤔🤔

  • @MohamediOmari-nz4vv
    @MohamediOmari-nz4vv Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +1

    Siwezi kumjua,bora watoto wa nyerere,huyo ni kibaraka wa wazungu, Rip JPM

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +2

    Umepewa shilingi ngapi ndugu mwandishi kwa hii propaganda uliyoitoa?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      Kwani wewe sio Mtanzania 🤓

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před měsícem +1

    Tafuta cha kuongelea😮uache uchawa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před měsícem +1

      Unadhani kuzungumzia Maisha ya mtu Kwa wasiomfahamu ni uchawa !!!!!???🥺🥺🥺

  • @theopisterchalle7059
    @theopisterchalle7059 Před 19 dny +1

    Na wewe mwiz

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem +1

    HUU NI MPANGO WA WATU MAHASIDI!!
    RIDHIWANI ANATABIA NZURI KAMA ZA BABA YAKE,HANA MAJIVUNO WALA MAJITAMBO!!HILO LINAWAKERA WALE WENYE UHASIDI MNO!!
    ANAFAA KUWA RAISI WETU MIAKA IJAYO!!