EXCLUSIVE: MJUE ZUHURA YUNUSI Aliyekuwa MTANGAZAJI wa BBC na MKURUGENZI wa MAWASILIANO IKULU
Vložit
- čas přidán 12. 06. 2024
- MFAHAMU MWANZO MWISHO ZUHURA YUNUSI ALIYEKUWA MTANGAZAJI WA BBC NA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU
#cloudsmedia #efm #exclusive #history #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia #ccm
• MAISHA YA VIONGOZI - Zábava
SIMULIZI ZETU HUWA ZINATOKA KILA JUMAMOSI YA MWISHO WA WIKI HAKIKISHA UMEBONYEZA NENO LA SUBSCRIBE KISHA UMEGUSA ALAMA YA KENGELE ILI USIPITWE NA SIMULIZI YEYOTE KWETU
Unawezaje kujiita mtaalam wa simulizi wakati hata lugha yako sio bora??
Alikua anakaa mji kani na kaka yake!!!!😂 aibu tupu.
Shat up
Jifunzeni kutamka vizuri kiswahili, Zuhura na sio Zuhula
Mjomba jifunze kiswahili vzur kwenye matamshi na na tengeneza story vzur usikurupuke tu.
Jamaa mwongo sana. Haitwi Zuhula , anaitwa Zuhura! Hakuna nchi inayoitwa RANDANI. Umetudanganya bhana. Unakeraa
😂😂😂😂Jina ni Zuhura. Ndio maana ana Lugha ya Kiswahili nzuri.
Nampenda sana zuhura yunus❤❤❤❤❤
Matamshi yako ni mabovu na yameharibu story nzima 7:24
Munambeza sana mtangazaji kua anatamka kiswahili vby baina ya herufi r na l...ila ni kawaida hata wamakonde washindwa kutamka mke wao husema nke.,na sio kosa ni lazima ndimu zitafautiane hata Mungu anasema hili ktk quran suratul ruum kasome utaona anasema "NA KATIKA DALILI ZA KUWEPO KWAKE MUNGU NI KUUMBA MBINGU NA ARDHI NA KUTAFAUTISHA KWA NDIMI ZENU"
Huyu mtangazajia hajui hata kutengeneza kipindi kiswahili kibovu yani ni shida tu 😢
Hakuna Weruweru primary ji Secondary unadanganya.
Masha Allah. Sijui kama ameolewa .
Bado
@@SoudShuraim Ndugu yangu una uhakika bado hajaolewa nijaribu bakhti yangu
@@SoudShuraim Manake miye ni mtu wa Ibada tunakuwa watu wa aibu
@@SoudShuraim alafu unamfahamu vizuri au wanichezeya tu
Mobona wengi bara inawashinda kuitamka R HUSema L
leo south Africa na west Africa pia ulaya wanasoma kiswahili
Hamtofa kupelekwa walimu
🙏🙏
mme? watoto?
Unajuwa mtu yoyote anotaka kuwa Mtangazaji professional basi lazima ajuwa lugha ya Kiswahili kizuri (lugha fasaha) katika kuzungumaza haina neno lakini unapo anza kutoa habari maneno yawe sahihi. Kama Ikulu imekuwa Ikuru Ahhhh
Historia gani iyo unarukaruka tu hueleweki jifunze kutamka vzr then uje tena
Jifunze tofauti ya R na L pamoja utamkwaji wa maneno kwa ufasaha.
Sahihi
Siyo Randan ni landan. Siyo ajila ni ajira
Rwanda?
Nchini London?????
Hata huo mwaka si kweli
Wakweli ni Upi?
Wakweli ni Upi?
😮😮😮 Nchini London 😮😮
Mm apo kuusu mwaka wa kuzaliwa bado sijaelewa ni nwaka gani
1969
Sio kweli Zuhura kamaliza form four 1994 pale Jangwani hawezi kuwa amezaliwa 1969.
Mmepotosha,Babayake ni mtu wa bara alikuwa canal jesting alifariki,lakini sekondari tumesomanae WERUWERU HIGH SCHOOL,Ilikuwa ikiongozwa na mkuu wa shule MARIA CAM,nakumbuka alikuwa mbeleyangu mimi nilikuwa kidato cha nyumayake.
Hii kazi ya haikufai..Huna fasaha ya kuongea kiswahili...R inakuwa L.
😢😢😢
Km umeskia Randani nasiyo landon 😂 umeisoma hiyooo
HUMJUI ZUHRA YUNUS RUDI UKAFANYE UTAFITI WAKO TENA. USISEME KAMA HUJUI
Randan kweli 😂😂😂 London
Muongo wewe! BBC walikuwapo wanawake wengi tu wakitangaza! Zuhura Yunus siyo wa kwanza! hiyo 2008 tayari akina Jamhuri Mwavyombo, Aisha Yahya na wengine wengi walikuwapo kabla ya Zuhura Yunus!
Walikuwa wengi tuu. Kabda ya Zuhura.
Jamani LONDON SIO NCHI NI MJI.
"ALIKUA AKITANGAZIA BBC NCHINI LONDON "
HIVI KUJIFINZA KABLA YA KUTANGAZA KUNAMAKOSA GANI???
😥😥😥🇹🇿
Rekebisha matamshi ya kiswahili
Shukrani 🙏
London siyo Radhan 😅
Matamshi hayawezi kuendana katu,lazima tutafautiane...Suratul room kasomeni mtaona kua Mungu mwenyewe kafanya tutafautiqne
Uyu mtangazaji inabidi azijue RA an LA anakorofisha zana hata Zuhura kaiira Zuhula na London Randan
😥😥😥
Mbona simulizi haijatoa family wise km ana mume au ni single
Hajaolewa inshot hajataka aekewe hadharani Inshu kama hizo
Aliolewa mwaka Jana buana.
Kumbe mkubwa ivyo daaa mzee
Umri wake umeenda kweli
sio kweli hajazaliwa 1969
Wewe hutozeeka utabaki hivyo hivyo @@Santzmedia
Hata akiwa kazeeka. Hakuhitajii kitu kwako weweee. Na kila alozaliwa lazima azeeke na atakufa. Hata wewe hutobakia. Wa Bongo lazima watie comments za kijinga.
@@joycemaimu7265Hata akizaliwa mwaka huo what’s the problem.
Ni I.U.I.U SIO A.U.A.U JOMBAA
Jamani sunliz, huyu mtangazaji zero
UNASAUT NZUR KK ILA JITAHD KUTOFAUTISHA KAT YA" R" NA "L"
HILO TU KK
Shukrani 🙏 Tunaahidi kujirekebisha na usiache kuzidi kutufuatilia mambo mazuri yanakuja🤩
Mbona unaziba uso wa Sugu na Lisu ? Wewe vipi kwani kuwa chadema ni zambi? Kama huyo unusi ni mtangazaji basi anapashwa kuongea au kuhoji mtu yeyote awe wa CAFU , CHADEMA AU CCM MAANA HIYO NI KAZI YAKE.
1969 ni uongo bana
Kwani anaonekanaje na huwo mwaka mkubwa au mdogo?
Uongo kwelikweli, tumesoma darasa moja, acheni kumzeesha
Jamani mtangazaji zero na aibu tupu, kiswahili mtihani, ZUHULA😂😂😂
HISTORIA HIYO INAHITAJI KUTUNGIWA KITABU NI MUHIMU SANA
Itabidi 🫵 tukutafute utuandikie kitabu😆
HIZO NI HASIRA SASA@@Santzmedia
Lakini akitunge mwenyewe Zuhura ndio ataweza kuandika ukweli.
@@awatifalghanim1106 HAPO UMENENA
Binadamu yeyote asili yake ni baba na mama.
Sure 👍
Kaka tafuta kazi nyingine utangazaji sio fani yako.
Nitafutie
Anawatoto ameolewa
Ajaolewa na Hana watoto
@@Santzmedia ameolewa labda watoto ndo hajabahatika
Batan n zooloji😂😂😂
AMEFANANA NA MAMA SAMIA
Kwakweli ⁉️⁉️
Randan kweli 😂😂😂 London