EXCLUSIVE: ANNA MAKINDA Spika MDOGO "KIUMRI" KUINGIA BUNGENI na HUU NDIO WASIFU WAKE/MUME/WATOTO
Vložit
- čas přidán 17. 02. 2024
- Leo tumekuandalia simulizi Nzuri na fupi Sana kuhusu Maisha binafsi ya Anna makinda Aliyekuwa Mbunge,naibu spika na Spika mkuu wa bunge la Jamuhuri ya muungano WA Tanzania
Fuatilia Simulizi hii yenye utamu na Radha ya kipekee katika kusisimua hisia zako juu ya Maisha ya Anna makinda
Pia unaruhisiwa kuweka comment yako na maoni yako juu ya simulizi hii nini kiongezwe,nini kiboreshwe na tufanye vipi tuwe No1 Africa nzima
#simulizinasauti #alhamdulillah #cloudsmedia #dullysantz #efm #history #santzmedia #millardayo #exclusive #wasafimedia - Zábava
Hongera mama Anne Makinda❤
Mmmmm
🤷🤷
Kamwene mama mapembelo
Kumbe wa nyumbani
amemzaa menyewe@
😂😂 Kwan hawezi kumzaa Mwenyewe Mr @charleskawo5572
Mwanamke wala mwanaume hawezi kuzaa mwenyewe lazima washirikiane ndiyo uuuumbaji sahihisha lugha
Amemzaa yeye mwenyewe imekaaje hiyo mwandishi wa habari😂
Amemzaa Kisha akamlea bila Baba ,kutokana na kazi zetu siruhusiwi kulitamka hilo hadharani hivyo ninatakiwa kutumia lugha ngumu kusave Inshu kama hiyo
Yaani amemaliza Mzumbe akiwa 21??
Fanya fact finding
Hiyo ndio fact @maggiehiza5884 Hakuna porojo hapo
Alizaa mwenyewe? Kwamba mimba alijipa mwenyewe na kuzaa huyo mtoto?
Kama umesikiliza Kwa umakini "Naimani usingeandika hichi ulichokiandika
Inamaana alibeba mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu?amekuwa bikira maria ( mama yake na YESU)? Basi kama ni hivo huyo mtoto atakuwa wa maajabu.nyie waandishi habari wa hovyo sana. Si bora ungesema alibahatika kupata mtoto 1.ingetosha ungeeleweka na sio kusema alimzaa yeye mwenyewe.
🤝
Amemzaaje yeye mwenyewe,jamani nyie waandishi vip?
😂😂 @Emmanueltillya8719 Kwani haiwezekani??
Amemzaa yeye mwenyewe unamaanisha nini. Bila baba?
Baba anae ila haishi na mtoto ,Je mpaka Hapo walau umeelewa kidogo
We mtangazaji vp wewe amemzaa yeye mwenyewe
Story Yote mkuu umeona kipengere hiko Tu !!??😂
Ana mtoto amemzaa yeye mwenyewe na pia hajawahi kuolewa😅😅😅
Lakini simulizi si umeiskiliza vyema🥺