EXCLUSIVE: ANNA MAKINDA Spika MDOGO "KIUMRI" KUINGIA BUNGENI na HUU NDIO WASIFU WAKE/MUME/WATOTO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 02. 2024
  • Leo tumekuandalia simulizi Nzuri na fupi Sana kuhusu Maisha binafsi ya Anna makinda Aliyekuwa Mbunge,naibu spika na Spika mkuu wa bunge la Jamuhuri ya muungano WA Tanzania
    Fuatilia Simulizi hii yenye utamu na Radha ya kipekee katika kusisimua hisia zako juu ya Maisha ya Anna makinda
    Pia unaruhisiwa kuweka comment yako na maoni yako juu ya simulizi hii nini kiongezwe,nini kiboreshwe na tufanye vipi tuwe No1 Africa nzima
    #simulizinasauti #alhamdulillah #cloudsmedia #dullysantz #efm #history #santzmedia #millardayo #exclusive #wasafimedia
  • Zábava

Komentáře • 24

  • @florachogo243
    @florachogo243 Před 3 měsíci +1

    Hongera mama Anne Makinda❤

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile9062 Před 4 měsíci +1

    Mmmmm

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Před 10 dny

    Kamwene mama mapembelo

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Před 10 dny

    Kumbe wa nyumbani

  • @charleskawo5572
    @charleskawo5572 Před 3 měsíci +1

    amemzaa menyewe@

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 3 měsíci +1

      😂😂 Kwan hawezi kumzaa Mwenyewe Mr @charleskawo5572

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před 3 měsíci

      Mwanamke wala mwanaume hawezi kuzaa mwenyewe lazima washirikiane ndiyo uuuumbaji sahihisha lugha

  • @florachogo243
    @florachogo243 Před 3 měsíci +1

    Amemzaa yeye mwenyewe imekaaje hiyo mwandishi wa habari😂

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 3 měsíci +1

      Amemzaa Kisha akamlea bila Baba ,kutokana na kazi zetu siruhusiwi kulitamka hilo hadharani hivyo ninatakiwa kutumia lugha ngumu kusave Inshu kama hiyo

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Před 3 měsíci +1

    Yaani amemaliza Mzumbe akiwa 21??
    Fanya fact finding

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 3 měsíci +1

      Hiyo ndio fact @maggiehiza5884 Hakuna porojo hapo

  • @emanuelrondo8221
    @emanuelrondo8221 Před 4 měsíci +1

    Alizaa mwenyewe? Kwamba mimba alijipa mwenyewe na kuzaa huyo mtoto?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 4 měsíci +1

      Kama umesikiliza Kwa umakini "Naimani usingeandika hichi ulichokiandika

  • @emmanueltillya8719
    @emmanueltillya8719 Před 3 měsíci +1

    Inamaana alibeba mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu?amekuwa bikira maria ( mama yake na YESU)? Basi kama ni hivo huyo mtoto atakuwa wa maajabu.nyie waandishi habari wa hovyo sana. Si bora ungesema alibahatika kupata mtoto 1.ingetosha ungeeleweka na sio kusema alimzaa yeye mwenyewe.

  • @emmanueltillya8719
    @emmanueltillya8719 Před 3 měsíci +1

    Amemzaaje yeye mwenyewe,jamani nyie waandishi vip?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 3 měsíci +1

      😂😂 @Emmanueltillya8719 Kwani haiwezekani??

  • @user-rp5bk4sn5y
    @user-rp5bk4sn5y Před 3 měsíci +1

    Amemzaa yeye mwenyewe unamaanisha nini. Bila baba?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 3 měsíci +1

      Baba anae ila haishi na mtoto ,Je mpaka Hapo walau umeelewa kidogo

  • @BarakaGabrielMwampamba-kj8ci
    @BarakaGabrielMwampamba-kj8ci Před 3 měsíci +1

    We mtangazaji vp wewe amemzaa yeye mwenyewe

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 3 měsíci +1

      Story Yote mkuu umeona kipengere hiko Tu !!??😂

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 3 měsíci +1

    Ana mtoto amemzaa yeye mwenyewe na pia hajawahi kuolewa😅😅😅

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Před 3 měsíci +1

      Lakini simulizi si umeiskiliza vyema🥺