WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ALIYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHULIWA MKOPO BENKI BILA KUJUA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 06. 2024
  • WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ALIYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHULIWA MKOPO BENKI BILA KUJUA...
    Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameingilia kati sakata la kiwanja no. 141/40 kilichopo Ananasifu Kinondoni jijini Dar Es Salaam kilichoachwa na marehemu Abrahamu Isac Mdamo baada baada ya kutokea sintofahamu ya kiwanja hicho kudaiwa mkopo na benki ya NMB kiasi cha shilingi milioni 200 uliochukukiwa na Bwana Michael Mwanda ambaye alikuwa mtu wa karibu na marehemu inadaiwa alifoji nyaraka na kuchukulia mkopo katika benki hiyo na baadae msimamizi wa mirathi Bi. Zainabu Bungire kuitwa benki kwa ajili ya kutakiwa kurejesha mkopo huo.
    Aidha Waziri Silaa baada ya kuona taarifa hiyo kupitia vyimbo vya habari alipitia nyaraka na kumuita ofsini kwake jijini Dar Es Salaam msimamizi wa mirathi ya kiwanja hicho ambaye ni Bi. Zainabu Bungire (Mke wa marehemu Abrahamu Isac) na kumtaka amuachie ili aliwasilishe kwa jeshi la polisi walifatilie kwakuwa kuna baadhi ya nyaraka ikiwemo cheti cha kifo kutofautina na nyaraka za murathi hivyo kuhitaji uchunguzi wa jeshi la polisi.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 38

  • @sebastianmwakulya8146
    @sebastianmwakulya8146 Před 2 dny +5

    Dah mhesimiwa mungu akubarki kwa kazi kubwa

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před dnem +3

    Mashaa الله imefika hapa, inshaa الله mambo yatakua sawa.

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota Před dnem +1

    Mungu atambariki Dr slaaa

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt

    Pore sanaa kaka jerry slaaa tunaona utendaji wako uliyotukuka mungu akulinde

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 Před dnem

    Yaani nimefurahi sana kuona umejaaliwa kufika kwa dr jerry silaa huyu bwana atakusaidia ninaimani alhmdulillahi pole mama

  • @shariffsagaf2305
    @shariffsagaf2305 Před dnem

    Mungu akulinde mheshimiwa kwa kazi unayofanya na umakini wa kusikiliza.

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 Před dnem

    Nmefurah sana kuona uyu mtoto Dotto kukutana na waziri Silaaa

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Před dnem

    Ni kijana mdogo lakini Mungu amemua Mhe Jery hakika wewe ni Daudi Mungu akubariki sanaa

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před dnem

    Mungu akupe faraja wazili kutetea wanyonge

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 Před dnem +5

    Huyo Mama inaonekana alikuwa mtu wake huyo chalii

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před dnem

    Hy ni bonge la tapeli khaaa amejua akajua tena slaa mungu akubariki sn

  • @ibrahimdaudi5823
    @ibrahimdaudi5823 Před dnem +5

    mama unaleta uswahili kwenye mali unampa mtu hati.kirahisi tu

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r Před dnem

      Hao ndio wanawake,ndiomaana Mh alimwambia kimtego ukaribu huo wa aina gani,kwani ni babu yao na akina hawa yani Dotto,mana ni ujinga,kwani wizarani hupajui mpaka umkabidhi mtu hati kiholela

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 Před dnem

      Wanawake ni dhaifu

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 Před dnem +2

      Sema bwana jambo likiamua kukutokea linakutokea tu haijalushi ww ni nani af baada ya hapo ndo akili inakujia kwann nilifanya hivi

  • @user-we7jq1rj9u
    @user-we7jq1rj9u Před dnem

    Mungu akubariki sana

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota Před dnem +1

    Dr slaaa kura yangu ya huku ujinga nakupa tena mapemaaa

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op Před dnem

    Mngu akulinde mh waziri na mh mama yangu mh raisi

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před dnem

    HATARI SANA HAWA MATAPELI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU KUPITIA KWA MH. SILAA AKUSAIDIE WEWE NA WATOTO WAKO.

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před dnem

    Inshaallah namm najiandaa kukamilisha makaratasi yangu najuwa haki yangu nita ipata

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před dnem

    Safi sana mkuu

  • @lwakainaza
    @lwakainaza Před 14 hodinami

    Slaa ni waziri mwenye roho ya utu, msikivu na mwenye busara.

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před dnem

    Dr Slaaa kweli wakili msomi, anasikiliza kwa makini.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před 15 hodinami

    Jamani vyeti kama vyeti vingi vinatumika feki wako watu wengi wanajua namna ya kutengenenza izo vitu hapo dar ila kama mungu akihitaji upate haki yako utapata ila itachelewa.

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Před 22 hodinami

    Tangu Zamani Baadhi Yawatu Walikuwa Wakiamini Nawalikuwa Siwaaminifu Kwa Siwaadilifu. Kwa Nyakati Zetu Ndio Kabisa. Wamaaminifu Wamebaki Wachache.

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před dnem

    Uaminifu kuwaamini watu zetu wakarbu una tuumiza sana😢😢😢😢

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před dnem +1

    swali cheti cha ndoa amekitoa wapi?

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 Před dnem

    Huyo bibi nae unawezaje kumuamin mtu ukampa hati ya nyumban, Kuna uongo hapo

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Před dnem

    😅😅😅😅jerry ameisha juu bdo anaendelea kumjaza kwnye mfumo.

  • @selemankindamba9485
    @selemankindamba9485 Před 13 hodinami

    Kwaharaka minaona kama uyo mama na tapeli walikuwa wapenz

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 Před dnem

    Mimi namkubali.jeri.silaha na makonda makufuli.ndogo.

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před dnem +1

    mbona kama kuna kizungu mkuti hapa

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola Před 2 dny +1

    Mhhh

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d Před dnem

    Hakuna mwanamke mpumbavu kama huyu duniani, unatoa vipi hati kwa sababu eti umeishi vizuri na watu? Jinga kabisa hili mama, kuna vitu watanzania sisi kaaaa hivi unashindwa kubadilisha hati mwenyewe unampa mtu? Kweli