MAKONDA AMCHENJIA POLISI - ''AFANDE ACHA MASIHARA BASI - HUYO MTU ANAFANYA UHALIFU - KUNA SHIDA''...
Vložit
- čas přidán 19. 06. 2024
- MAKONDA AMCHENJIA POLISI - ''AFANDE ACHA MASIHARA BASI - HUYO MTU ANAFANYA UHALIFU - KUNA SHIDA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Wote wakiwa kama Makonda Tz kama ulaya moja kwa moja
Huyo nyota niza nini hajuwi kitu chochote
Mkuu wa mkoa, upo vizuri kabisa, wewe unabahati sana mshukuru sana Mungu wako fanya sana ibada umeifanya Arusha kuwa pamoja na wewe wengi tulijua unaenda mahala pagumu kumbe hakuna mkate mguu mbele ya chai
tumepokea tunafanyia kazi....so Mkuu wa Mkoa asingekuja msingefanyia kazi!!!?
Noma sana
Mwenye kiti mbona ana akili sana kuliko police na wengine
Huyo kibaka kitu ataenda kufanyiwa huko 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Hongerasana makonda munguakubariki
Kazi nzuri
Habari mbana ya zamani😂😂😂
Eti naye anaitwa police wanachafua jina serkal tyu haw
Huenda Polisi wanashiriki na Wizi anaotendenda na kuvuncha Nyumba za Wananchi wanapokuwa kazini Kijana huyo asante
Hakuna kitu hapo Mkuu Makonda kunahitajika kitu cha ziada.
Polisi.mishahara.vizuri.kazi
Endele
Polisi wa tz ni wahovyo sana tatizo ra mapolisi tz hawajui kabsaaa usarama hakuna,,uku Oman ukipga sm polisi tu wanakuja hawangari wiraya wara kata mazari kunatukio tu wanarishugurikia nashangaha viongozi wanasafri nchi za watu hawajifundi
Kila nchi na sheria zake
Usijivunie police wa oman ni nchi yao na ni wajibu wa kulinda nchi yao…
Nchi yetu hata ikiwa vipi tutarudi makwetu tukamalize maisha yetu
Makonda hoyeee❤❤❤
Mbona kama vile mkurya anaishi Oman?
Afande itakua anafaidika na huyo kibaka
Ila makonda anajua kuwakamata watu napendaga sana hapa kiongozi wawanyonge tunae🙏🙏🙏
Nchi imeoza hii dah mpaka aibu, mifumo ya ajabu kabisa, hii mikutano ni mpaka lini? Nyerere alijitahidi kuondoa ujinga lakini mpaka leo hii majitu majinga yamekaa hapo, unatatua matatizo kama gengeni?
Oc,d,punguani
Bombo
Kitacho mkuta huyo mwizi nko palleeeee ashikweee tuu shenzi
Huyo afande hanyooshi maelezo
Mbona mnaweka maridio shida nin
Police Wana kuka Mishahala ya buletu kazi 0
Mahakama hakuna
Hakuna urizi shirikishi jeshi ra polisi hariereweki watu wanataka polisi wao wanasema hurinzi shirikishi unasaidya nn wengiwao ni vibaka
Mkuu wa upelelezi ndo kanyoosha maelezo
Mheshimiwa Makonda kwanini usiwape kibano hao police
Wananchi wenye hasira kali mpo wapi tena... Kajamaa kamoja kanazingua kata nzima huku😂😂😂
Sheria.mahama.anafanya.n,n.polisi.wapewa.pese.wapewa.mishara.kwa.wakati
Wambunge.wana.pewa.mishahara.mikubwa.wafanyakazi.hoi.hata
Huyo mwizi achukuliwe hatua na wenzake kama walivyofanywa wale PANYA ROAD WA DAR.
Vunja mikono
Huo ndo ukweli sasa wako wapi?
HILI SUALA KAMA LA MATUKIO YA SALENDER BRIDGE HAPA DAR
Afande anaongea kwa logic
Huyo afande aache kujiuma mdomo kama vile paka aliyekamata panya, nikwamba hata uwe Police kutoka Mkoa mwingine una haki ya kukamata muharifu,hivi kipindi unaapishwa uliapa nini si uliapa kulinda raia na mali zao Tanzania au uliapa kulinda maeneo ya mke wako kusudi akiweka maji ya ugali umwambie dkk tatu unga unafika
Mbona taharifa hii mlishaiwekaga?
:
Mahakama ndiyo inatowa hukumu makonda hiyo siyo kaziyako
Kwahiyo watu wandelee kuibiwa hadi mahakama itoe hukumu kwanza unajua kazi ya mahakama wewe
Auna akil wewe
Jinga kabisa
Ww ata D1 huna
Ndo yaleyale mambumbumbu kwenye hii nchi yasokuwa na akili ,jinga kabisa watu wanaomba usalama wa Mali zao kuna fara anaongea ety hiyo sio kazi yako ,mbwa kabisa