RC MAKONDA ACHARUKA, AAGIZA MTENDAJI KUKAMATWA - "MIMI SINA UTANI Kwenye KAZI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 06. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 18

  • @JacksonOnesmo
    @JacksonOnesmo Před 12 dny +7

    I wish mkuu awe Rais one day.kuna watu wengi Sana watapata faraja

  • @user-zr3qf1io1n
    @user-zr3qf1io1n Před 12 dny +3

    Kazi iendelee kaka

  • @twahamitingi4028
    @twahamitingi4028 Před 12 dny +1

    Mungu akubariki makonda

  • @Afrikalove736
    @Afrikalove736 Před 12 dny +1

    Mungu mbariki Mh Makonda kazi anayo ifanya ni kubwa mno na yenye risk .Tanzania sio inch maskini ila wala rushwa na majizi ndio walipo ifikisha inch kuwa maskini ya wakutupwa hata uchumi wa kati sasa ivi hatuuskii tena.

  • @user-rh5yn3bc1o
    @user-rh5yn3bc1o Před 12 dny +1

    Ushaur tuache kuteua watumishi hao...
    Kwa misingi ya siasa

  • @bonge9223
    @bonge9223 Před 12 dny +1

    Kazi iendeleee

  • @makulyzerpixel
    @makulyzerpixel Před 12 dny +1

    yooh today am first❤

  • @raymondwilliam3042
    @raymondwilliam3042 Před 12 dny +1

    Ni jins gan Wasaf mnaonesha media yenu inachukua matukio kwenye media nyngne issue ya kitambo hiyo mpaWanakijiji wameandamana wanamtaka Mtendaj wao

  • @jbdedon
    @jbdedon Před 11 dny

    Tulishakwisha sahau na hii habari nyie ndio mnaipost utazani ni mpya daaah hapo kuna usafi gani sasa mlionao kama mnapost mambo ya zamani

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 12 dny

    Kuhusu kanisa hiyo mbona imejirudia...

  • @LukazakayaMlaiza-zo1wi

    Utapata kiti Cha urais

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Před 10 dny

    Baba keagan

  • @YonaMadata
    @YonaMadata Před 6 dny

    Makonda

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 Před 12 dny

    Mamb ni moto

  • @vnasstv363
    @vnasstv363 Před 12 dny +2

    Jamaa anajikuta president

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 12 dny +3

      Wacha roho mbaya..... jingazzzzz

    • @Anuaryomary-su9cd
      @Anuaryomary-su9cd Před 12 dny

      Mjinga kama wew ndo huwez kumuelewa makonda ushabrain washed na wajinga wenzako wa akili jingaaazzz😅😅

    • @edsonhiza8519
      @edsonhiza8519 Před 12 dny

      Una fact tatizo lako umekosea namna ya kuirepresent.... huwezi kujua kama hujawahi pelekwa hata kwa mjumbe kaa tuliaaa