MWANASHERIA ALIYEBISHANA na MAKONDA APEWA za USO - MKATABA FEKI - ''INABIDI MFUKUZWE KAZI''...
Vložit
- čas přidán 27. 05. 2024
- MWANASHERIA ALIYEBISHANA na MAKONDA APEWA za USO - MKATABA FEKI - ''INABIDI MFUKUZWE KAZI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Makondo you deserve everything brother,,, uongozi ni kipawa toka kwa mungu na siyo kujifunza,,,,,makonda nikiongozi huyu ni mwamba wa wakuu wa mikoa wote,,,,,,,rolu modo wa wakuu wa mikoa wote,,,,kama wananchi lazima tuwe wakweli,,,,,,,umeona alivyomnyosha huyo mwanasheri ni nomaaaaaaaa apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂 Napenda sana Kuskiliza Mikutano ya Makonda ananikumbusha Mikutano ya Marehem Rais wetu wa awamu ya Tano
Hapa Sasa naona umuhimu wa nafasi ya ukuu wa mkoa, ila Kwa hapa Tanzania, tunae mmoja tuuu Makonda ,
Hata mimi sikujuaga kazi za wakuu wa mikoa mpk umri wangu wa miaka 70.
Na naamini wakuu wengi wa mikoa hawajui, niulize, je wakuu wa wilaya majukumu yao ni yepi?
Haswaaa
Huu ni uongoz wa ki governor wenye sifa za kuchaguliwa na wananchi ebu Ccm mkubali serikali za kimajimbo tupate viongoz wengi km huyu nchi isonge kwa speed ya digital.
Kuwapata Sasa hao viongozi wazuri ndo issue @@saleheinnocent7636
Huyu mwanasheria mrefu Yuko vizuri sana.Huyu mwingine wa mji mdogo hamna kitu
Makonda oyeeeeee Nakupenda sana makonda mpaka Nakupenda Tena M/mungu akupe maisha marefu 🌹
Mheshimiwa sasa nakuelewa ...hii ndio kazi wengi tulitamani kuiona hasa kusimamia haki na kutoa adhabu stahiki kwa wanaokwenda ndivyo sivyo..am now proud of you, and you are my inspiration
huyu mkuu wa mkoa apewe ht mikoa mitano mbona anaimudu
Mh Makonda Asante tumakuelewa wale tunaopenda haki Hakika wewe ni Kiongozi unayoeleza Kila mwanainchi anafunguka masikio mwenye kuelewa Asante Baba
Ndio kamanda wetu Makonda Mungu akusimamie katika kutenda hakki
Wanaomuelewa mhshmw Makonda na team yake tusichoke kuwaombea kwa sababu hawatakosa maadui, kama tujuavyo, alipo Mungu shetani hakosekani.
Hivyo maombi ni lazima.
Npo pamoja na wew
Makonda nilikua nakuchukia, ila kwa sasa hakutoi mtu moyoni mwangu. Nimekukubali 100%. Kumbe ulikuwa unasingiziwa ubaya na Askofu feki
Kabisaa ❤!@@!!
Tansania yetu ukiwa unafanya kazi nzuri maadui ni wengi ,haswa wala rushwa
Naungana na ww kwakwel
Kama mm tuu ❤❤
Amina npo pamoja na wew
Makonda kuwa natakwimu ukibishana nae unapoteswa duniani
Makonda hujawahi kuniangusha Mungu akujalie afya njema wewe nihazina Kwa taifa,❤❤❤
Amina makonda 🎉🎉
Huyu mhe Makonda mkuu wa mkoa wa Arusha kaziunayo endelea naohao wababaishaji nakuzurumu wananchi pole yao piga kazi mhe ❤
Si jambo zuri kutetea maovu mheshimiwa mwanasheria. RC ana nia njema kwa wananchi.
I love makonda ❤️
Malouda you're the best may Allah protect you ❤
Mh. Makonda tafadhali waamshe wakuu wote wa mikoa ya Tanzania wa chape kazi kama wewe. Mikoa miimgi Ina shida nyingi sana hasa Bagamoyo. Basi sisi wananchi tunatamani ungekuwa unazunguka mikoa yote tungeishi kwa matumaini. Mungu akubariki sana lakini ombi letu ni kukuomba uhamasishe wakuu wote wa mikoa wafanye kazi walizoomba. Makonda Kila jambo jema hutoka juu. Tunakuombra sana baraka na afya njema na hatimaye uweze kuhudumia taifa lote maana Mungu anakitumia.
Mmmmh huyu Jamaa ana husubutu wa kweli na sio sifa
Piga kazi Makonda ,wananchi hawakuwa na mahala pa kutoa malalamiko yao,Mungu Akusimamie
Mungu mbariki makonda
Bravo Paul christian makonda....unamuwakilisha vyema mama SAMIA...keep it up
Huyo anatafuta sifa naye anajitafuta kwani hajui kama wewe
@@marcokaroje8980Hayo MAWAZO yako wewe na ndivyo ulivyo elewa
We nae lipumbavu sijui lawapi mtu anatatua kero zs wananchi wewe unaleta hija zako zakifala hapa malaya wakiume wewe nyie ndio mnafanya hii nchi iuzwe nakuonekana wote niwapumbavu kebge wewe@@marcokaroje8980
Rais Samoa naye ni mbabe ?
@@marcokaroje8980sifa yake faida kwa wanyonge
Kazi iendelee kaka mungu akulinde na maadui
Ha ha ha makondaa ni genious kwenye uongoz
Makonda jameni ni mtu na nusu❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Amin
Umeuaaa vibe uhakika
Muombeeni Makonda Mungu amkinge kila aina yamabalaa
Bora mgekaa kimya tu maana hamjui wanayopitia maumivu wananchi wasio kuwa na uwezo
Lkn mwenzie akinyolewa hajui anatakiwa zake atie maji...
wanasheria wa serikali ni shida kwenye Taifa hili
Hawa ndo wanaoliingiza taifa kwenye mikataba mibovu inayoitafuna nchi kwa kushirikiana na walafi
HUU ni UTAPELI,unajenga eneo la biashara,kisha baada ya muda anakuja mwenye nguvu anahonga ili utolewee!!
Tuna tuzo kuubwa Tanzania mungu ametupatia makonda piga kaziiiiii babaaa 🙏🙏🙏
Wanasheria waserekali kuweni makini msilitafutie taifa hili matatizo ni madudu tuu wasomi fekii😂😂😂😂😂😂
mwanasheria acha kutetea mkataba BATWILI!!
Ahsante BROTHER MAKONDO!!
Makondo ni yupi?
@@ismailahmed5133error
Mh! Mkuu wa mkoa Paul Makonda kwa kweli sijawahi ona uongozi uliotukuka kiasi hiki Mungu akuzidishie hekima na busara na utetezi huo wa wanyonge; natamani siku moja uwe waziri fulani
“Mwanasheria profesheno”😂
Enheee🤣🤣
Kuanzia Sasa wew nimagufuli mungu akubaliki akuepushe na mabalaayote
RC P Makonda, upo vizuri una jeshi kamili la wataalam kwenye vikao nyako ,asante sana
Ubarikiwe Mh. Makonda tenda haki kwa kuzingatia kesho kwa m.mungu malipo mwema. Umeletwa na mungu shukrani sanaaa 🤲 mpaka machozi yanatoka💪💯🙏✅🇹🇿🌹🌹🌹🌹
MGEMSHITAKI KWA UTAPELI HUYO MWANASHELIA SIO KAZI YAKE 😂😂😂😂😂
MAKONDA ❤❤❤
Wahuni tu wanasheria ndio wanao wapa vichwa wapigaji wanachanganya sanaa serikali inapata shida hao ndio nuksi
Mwanasheria professional
Arusha mungu kawaona wenzetu
Makonda uongozi wako una hofu ya mungu. Endelea umtegemea mungu ktk kazi zako❤
Mwanasheria Profeshenoooo
😂
Sukuma ndani hao
Kweli kapata za uso
Hakika
Aiseeee
Mkuu wa mkowa ongera sana
Tatizo nikwamba inch za Africa azipendi msamakweli. Makonda anafaakuwa hata rais wa inch, acha tusubiri. Tanzania mnabahati yakupata viongizi wazuri lakini mnatamani watoke. I wish him he can becoming a presindent for my coutry. Makonda oyeeeeeeeeee❤
asante sana mwanasheria makonda ni mpigadebe
Kama viongozi wote wa ccm watakuwa kama makonda upinzani wakazi sasa
Kumbe rais. Samia
Kumpa ukuu wamkoa
Makonda sahihi
Haya angekuwa
Katibu asingeyaweza
Kwasasa watanyooka
Me naomba makonda akabiziwe mikoa yote ya Tanzania awe anasimamia yeye
Huyu mwana sheria nimemkumbuka mwaka flani hivi usharikani alikuwa nana kashutuma 😊
Alafu ety na Sisi tunasema tunao wanasheria duuh
❤
Hakika Makonda wewe ni mfano wa kuigwa.umevaa uzalendo wa kweli,Mungu akupe maisha marefu
Daah..hii nchi
Huyu mbabaisha tu hana sifa za uanasheria maana anaonekana ni sehemu ya wahujumu uchumi wa nchi
Mungu wa mbinguni akulinde
Kimeumana!!!❤
Makonda yuko vizuri zaidi
etii umepigwa spana😂😂😂😂😂
lizards never lack
Makonda Bi up 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Akichukua fomu ya urais makonda alafu akipita dah watammaliza afiki mbali watamuuwa
Wengi wanaofia hatua huyo ila itakuwa vyema sana akichukuwa form
Mwanasheria anatamani ayeyuke kama mchaw😅😅
😅😅😅😅
Makonda juuuuuuuuuuuuuuuuuu
Wanasheria wa Tanzania ni hovyo kabisa
Ifikia hatua kuwe na cheo cha kusimamia wakuu wote wa mkoa halaf Makonda awe ndo top wananchi tungeenjoy
Huyo mzee wa nyuma alivyoshangilia mpaka mwanasheria kamgeukia😂😂😂😂
Kashamkariri
Makonda wewe uko juu.....
Mikataba hiyo ni sahiii
Mimi si mwanasheria lakini sijawahi ona mkataba ulioandikwa Kwa kuchapwa pia Kwa mkono halafu wenye tarehe tofauti. Hata mtu asiyejua sheria anaona hapo si sahihi
Huyo mwanasheria alikua anachunga ngombe.
😂😂😂😂😂
❤❤
Ni ishara nzr na unawakilisha vyema vijana tujifunze kupitia kwako.
Piga kazi kaka
Wasomi wa kizazi kipyaa wanazidiwa akili na maalifa ata na Mama ntilie ni vile tuu Mama ntilie hawana vyeti vya kuheshimika na wao wamepata nafasi ya vyeti vya kuheshimika
Lakini uchukue msomi
Na Mama ntilie uwape laki 5 kilammoja ndani ya miezi 3 msomi utamkuta atamaniki.... Na Mama ntilie utakuta amefanikiwa kupita kiwango na laki 5 yako atakurejeshea
Muongp huyo mwanasheria wa michongo michongo 😂😂
Nyosha baba
Sijuwi Kama watasalimiana 😅😅😅😅
Umewaza kama mimi..Yan nimecheka balala😂😂😂
🔥🚒
Wakuu wa mikoa mingine wako wapi? Hatuwasikii
RC OYEEEE🎉
Uwezo wa kusikiliza hoja upo chini sana. Hivyo kujua kiini cha tatizo hakiwezi kupatikana.
Tunashukuru sana Mhe RC Makonda kusikia mikataba ilikuwa endelevu.
Lakini kosa lilikuwa kwa Mkuu wa Nchi JPM ambapo ndie aliagiza watu kunyan'ganywa vibanda hivyo.
Lakini uhalisia ni kwamba vibanda hivyo vinapaswa kurudi kwa waliovijenga vyote Nchi nzima Mhe RC Makonda jamani.
Dah jamn mpaka uruma mzee wetu
Huu ushindani umeelemea upande mmoja,wakili wa upande wa pili hawezi kufanya kazi kwa confidence
Makonda ubalikiweeee
makonda uwezo wako uko juu sana kaka
Uuuuwh uyu mzee jamn mwachen
Tatz advocate mnasahau nguvu ya media 😂😂😂😂
MAGUFURI BABAAAAAAA
Mwenye nguvu mpishe,ilikuwa zamani co sasa,haonewi m2,mwanasheria archie ngazi
Namjua huyo mzee wa dear gambe?
Hiv wakuu wa mikoa wengine tofaut na makonda na chalamila wanafanya kaz gan?
Hiyo jamaa anajikanyaga kila kona kama amezoea kunyoosha maneno ya zulma Leo Mungu amewaonea huruma wananchi nakuufinya ulimi wako ona unavyojingata mwenyewe
Ulipaswa kujua huo udhaifu kabla ya kuja hapo,sio unakuja kutetea ujinga
Umeona ndugu. Hawa ndio wanatetea mafisadi makonda akichukua hatua anaoenaka mkorofi
AKILI KUBWA
Duhhh jamaangu mwana sheria 😮😮
Kuna watu ndio style yao ya kuongea
Eeeeeeeeee Arusha mtanizeeeesha 😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe watu walikua wakusema vbaya kumbe ww nijembe wakuu wa mikoa wanajifunza Nini hapo tendeni kama makonda mungu ataweka mkongo wake
Huyu mwanasheria mwenye mkataba feki ndio ameshapoteza wateja wake na wengine hawawezi kumpa kazi tena
😂😂😂😂😂 baba eveniii pole sana
Huyu mwamba anapiga kazi jaman tuache utanii
Ila makonda yaani arusha saizi ndipo sehemu kuna hai saizi