#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2024
  • #EXCLUSIVE: EX-WIFE wa Q CHIEF AFICHUA KUNYANG'ANYWA WATOTO 2 UINGEREZA - JINI MAHABA LILIVYOMSUMBUA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 59

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 2 dny +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @samsunggalax8258
    @samsunggalax8258 Před 2 dny +5

    Pole sister yamenikuta hayo habibty lakini ya kwangu baba yao ndoo alinifanyiya ivyo allahum ameen

  • @evakessy3282
    @evakessy3282 Před 2 dny +13

    Sasa dida mpaka hapa kunavitu vingi Sanaa umevificha inaonekana hata kunyang'anywa watoto ilikua sawa kabisa hukuonewa ulikuwa na mauzauza sanaaaa nivile tu hutayaweka wazi

    • @UkhtyDidas-maarifa
      @UkhtyDidas-maarifa Před dnem +2

      Muombe Allah akustiri, mitihani haimfiki mmoja. Kuna wewe na vizazi vyako, Mwenyezi Mungu akusamehe

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 Před 2 dny +7

    Akili za kishirikina tatizo kubwa kwa jamii zetu. Mungu atuongoze njia ilio nyooka.

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 2 dny +5

    Mashallah mashallah ndo inavyotakiwa kurejea kwa Allah kabla ya mauti

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 2 dny +4

    Manshallah mzuri sn

  • @acylaking7990
    @acylaking7990 Před dnem

    Pole sana ukhty Allah awaongoze watoto wako waelekee ktk na sisi pia wtt wetu mengine tumuachie Allah bin Adam tusimbeze wala kumhukumu huyu ni mwanamke na nusu tumewaona wengi yamewafika maskini Allah atupe subra na nguvu tuwashinde kwa ajili ya Allah.

  • @tatually1366
    @tatually1366 Před dnem +1

    Asalam Alyekum waramahatualha wabarakatuha🎉 mama we tu mwenyezi mungu akupe Afya njemaa ❤️

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Před 2 dny +7

    Kwa maelezo yako ni kweli ulikua changamoto ya afya akili ila kikawaida mtu huwezi kujijua

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 2 dny +4

    Walichukuliwa watoto Kwa sababu ulikuwa hunaakili walikuona hamnazo

    • @UkhtyDidas-maarifa
      @UkhtyDidas-maarifa Před dnem

      Wewe ulie kuwa nazo, hongera yako. Umenizidi akili, Allah akujaalie na akuongezee zaidi na ziada.

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 Před 2 dny +2

    Mashallah mashallah ❤❤❤❤

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Před dnem +1

    Naona kama shery makope wa US, Mashallah, mahodari sana nyie

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před dnem +2

    Sasa chilah uliish nae muda gani

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před 7 hodinami

    Bismillah Masha'allah Allah ajuongoe zaid

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Před 2 dny +1

    Ulaya malezi yanapewa kipaumbele na ndio maana mama na watoto wanalipwa ukipuyanga tuu wanawachukua

  • @user-bo1cn3dw6o
    @user-bo1cn3dw6o Před dnem

    Pole sana

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Před 2 dny

    Mental health hiyo ndio maana hao social services waliwachukua 😮😮 mshukuru kama umeungana na watoto wako

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Před 2 dny +2

    Yaani jamani eti "anasoma sheria anasoma finances" 😮

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před dnem

      Inawezekana mtu anaweza soma multiple degrees so sio ajabu hata labda ka ulikua hujui

    • @aminarajabu5795
      @aminarajabu5795 Před dnem

      Sasa Futa mchanga machoni Kumbe hujui!!? 😂inawezekana zaidi ya hizo mbili ni wewe tu uwezo wako hata nne inategemea vipindi kuvimeneji je haviingiliani?.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před dnem

      @@aminarajabu5795 humu mitandaoni nmegundua watu kuuliza jambo wasilojua ni mwiko ivyo huanza na kulaumu au kukosoa hatari sana sa mtu anashangaa mtu kusoma vitu multiple yni

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Před dnem

      @@FahadAbubakari Sio ajabu ila jinsi anavoeleza ndio shida

  • @HanzFudr
    @HanzFudr Před 2 dny +2

    Aline persson that's coming for you sameting
    😂😂😂😂😂😂

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 8 hodinami

    Mie ninavyojuwa kwa serikali ya Ulaya kama mzazi akimnyàngànywa mtoto basi ujuwe wameshafanya uchunguzi wa kutosha kuwa huyo mzazi ana matatizo na hawezi kumlea mtoto ipasavyo, na itakuwa huyo mzazi wamemchunguza na kujiridhisha aidha ana matatizo ni alcoholic au anatumia madaya ya kilevya au anamtesa mtoto au ana ugonjwa wa akili , na wakishachunguza na kujiridhisha basi na atanyàngànywa mtoto na kupelekwa kwenye familia bora ili apate malezi bora, na serikali itakuwa inamlipa ile familia gharama zote za mtoto kila mwezi,kwasababu watoto wa Ulaya wana haki yao ya kutunzwa ipasavyo.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před dnem

    Ukhty sio neno la kiislamu na ww ni la kiarabu

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 2 dny +1

    Ulikuwa kicha kweli na mpaka sasa naona bado hupo Babara yaani hata ukiongea unaonyesha bado unamatatizo ya akili

    • @UkhtyDidas-maarifa
      @UkhtyDidas-maarifa Před dnem +1

      Mishipa imekusimama kweli, wewe mwenye akili. Allah akuzidishie akili, na akupe maendeleo na hizo akili zako.

    • @sharifamnavi6699
      @sharifamnavi6699 Před dnem

      Astaghfurillah. Wangekuwa wanaombeana, wewe dada ningeomba Allah akupitishe kwenye huo mtihani uone maumivu yake. Acha haya maneno hujui huyu dada anapambania wangapi!! Hivi unaijua mitihani ya Allah?!.

    • @sharifamnavi6699
      @sharifamnavi6699 Před dnem

      Astaghfurillah. Wangekuwa wanaombeana, wewe dada ningeomba Allah akupitishe kwenye huo mtihani uone maumivu yake. Acha haya maneno hujui huyu dada anapambania wangapi!! Hivi unaijua mitihani ya Allah?!.

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před 11 hodinami

      Ibilisi mkubwa hasadi zimekujaa kichwan

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly Před dnem +1

    Anafanana na yule anapikaga mapish oman au ndo huyu🤔

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 2 dny +1

    SIDE B TAFADHALI

  • @alimohamedali9824
    @alimohamedali9824 Před 2 dny +1

    Anataka umarufu tu sifa

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 2 dny

    Wewe dida umevaa vizuri lakin bint wako kavaa vibaya hebu jaribu kumfundisha bint wako kuvaa vizuri

    • @Tupena-ov7xq
      @Tupena-ov7xq Před dnem

      Kuvaa vizuri ndio kukupeleka mbinguni, ulizaliwa na nguo?, enjoy maisha Acha kuogopa moto. Dini ni uongo hakuna pepo

  • @rehemakilele2751
    @rehemakilele2751 Před 2 dny

    😢😢😢

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 2 dny +1

    Wanawachukua kuwaleaaaaa au kuwafundisha ushoga mapenz ya jinsia moja?

    • @omarkhelaifi5888
      @omarkhelaifi5888 Před 2 dny

      Kuwaadopt maanake wawe na wazazi wakizungu

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny +1

      Kuadopt ni makubaliano lakini huku wanatabia watt usiwagombe wale usiwapige lakini ukizaa huku lazima upate msongo wa mawazo kwa kuwa upo peke yako sasa yy alivohojiwa alijielezea ndio maana walichukuliwa watoto

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny +1

      Huku kila siku watu wanachukuliwa watt wao usimuazibu mtt wala usimgombe sisi wazazi wa kiafrica hatuna malezi hayo

    • @omarkhelaifi5888
      @omarkhelaifi5888 Před 2 dny

      @@FatimaAli-of4gh safi sana umeiweka sawa nahisi watakuwa wameelewa maana kuna watu hawaelewi kile ambacho huyo mama alikua akikiadidhia wengi wao wamehisi kuwachukua ni kwasababu ya kitu kingine alicho kifanya kumbe iyo tabia wazungu wanayo san hata mimi ninapoishi kuna mdada wakiburundi alijifungua akiwa na myaka 17 alafu mwanae wakampeleka mpeleka mpaka sasa huyo mdada nikama ilapagawa ivi

  • @user-bo1cn3dw6o
    @user-bo1cn3dw6o Před dnem

    Mungu mkubwa

  • @laylatabdallah2796
    @laylatabdallah2796 Před dnem

    Sasa ww umerejea kwa allah mbn mwanao hajistiri?

  • @user-dl2cr9dk1m
    @user-dl2cr9dk1m Před 2 dny +1

    Hiyo ya kumuaidi mtu kakuvisha pete harafu kumuacha ilishanikuta na mm nikatupiwa majini mahaba ma mahangaiko

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny

      Pole sana mimi kuna mwanaume alinitolea mahari lakini mimi nilikuwa sijui baba angu mkubwa analazima mimi niolewe nae hawajanishauri walikaa wenyewe wakapokea pesa nilipokataa akarudishiwa pesa yake nilipigwa kitu ikifika jioni napandisha mashetani naona watu wote walioshakufa nawataja niliumwa sana

    • @sabrinakamikazi2142
      @sabrinakamikazi2142 Před 13 hodinami

      ​@@FatimaAli-of4ghpole sanaa ALLAH akutibu na akunusuru

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 13 hodinami

      @@sabrinakamikazi2142
      Alhamdullah ndugu nilipoa nikaolewa na ninaemtaka mie nikaenda kuishi kwao zanzibar akaondoka kuenda ulaya miaka 6 akaniacha huko nikaona mkosi mwengine huo unakuja na akaowa kisha baada ya miaka 6 akanichukua nashukuru saa hii nipo nje ya nchi na nikapata watt wengine Alhamdullah maisha yanaendelea

    • @sabrinakamikazi2142
      @sabrinakamikazi2142 Před 10 hodinami

      @@FatimaAli-of4gh Mola hawatupi waja wake.Allah aendeleye kukulinda nawatu wako.

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 10 hodinami

      @@sabrinakamikazi2142
      Aamin kwa sote

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 Před 2 dny +2

    Mcharuko mtupu tuache Tu wewe

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 2 dny

    Sasa mume wake alikuwa wapi wakati huo anapata hio Familiya mpaka wakamchukua

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq Před dnem

    Kwa hiyo ulikua na matatizo kweli wazungu waliyaona
    Ulikwenda kuzalia Ireland ili upate makaratasi mahali ambapo hukua hata na marafiki.
    Story yako inaonyesha kweli ulikua na mental illness, umesema tokea ulipo kua mdogo ulikua unaongea na majini