HAKUNA NDOA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 06. 2024
  • Jamani wanaume kama hutaki kuoa kwanini upoteze gharama ya kusumbua watu, Hapo hakuna muaji...
  • Komedie

Komentáře • 459

  • @HamisiChipotele-fl8xo
    @HamisiChipotele-fl8xo Před 2 dny +11

    Majemeni mbona nyie wenzangu mnapata likes me sipati 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Kijosh854
    @Kijosh854 Před 2 dny +35

    Dada Asha Boko Allah akujalie afya njema InshaAllah

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Před 2 dny +28

    Wangapi tumependa. Uyo demu alivotikisa Tako apo getini🤣🤣🔥🔥💯💯💯

  • @eliudmkumbwa5681
    @eliudmkumbwa5681 Před 2 dny +26

    Waomba like wangekuwa wanamwomba Mungu kwa nguvu hiyo hiyo wangekuwa mbali vibaya mno, haya naomba like😂😂😂

  • @Abdul_Rashidkibet
    @Abdul_Rashidkibet Před 2 dny +34

    Iko Sawa... Ndoa zifanywe kwa mujib wa dini... Mambo ya Mila Mila nyingi na mambo mengi yanafanya vijana kuogopa kuoa.

    • @bibiswalehemwanyere5493
      @bibiswalehemwanyere5493 Před 2 dny +2

      Kweli tena, Mambo mengine Yanaskitisha na ni ya ajabu sana, Joti ametufunza kwa kweli

    • @Abdul_Rashidkibet
      @Abdul_Rashidkibet Před 2 dny

      @@bibiswalehemwanyere5493 Kuna Maisha baada ya hio siku ya ndoa... Me siwezi gharamika Sana hadi niingie kwa madeni mkubwa ili tu nifurahishe watu siku moja na niishi kwa madeni na ndoa zenyewe za siku hizi hakuna uhakika wa kufika hata miaka 5

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 2 dny


      💯%🤝

    • @YassinGofrey
      @YassinGofrey Před 2 dny

      😂😂😂pole sana ndugu yangu, waulize wazaz wako walipata vipi ndo uongee​@@bibiswalehemwanyere5493

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 Před 2 dny +1

      ..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Před 2 dny +7

    Doris Doris Doris unautumia vizur uumbaji wa mungu 😂😂😂hapo getini umeweza mama

  • @mheheoriginal9712
    @mheheoriginal9712 Před 2 dny +40

    Joti TV NDOO comedy namba moja Tanzania nawa penda SANA from America 🙏🙏💪😁

  • @innocentjohn2142
    @innocentjohn2142 Před 2 dny +1

    joti mwamba kweli kweli nakubali kazi zake❤️❤️❤️

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 2 dny +20

    Wapemba nawapendaga hapo tuu, Wana majibu mawili "NO"na "YES"wamemaliza 😂😂😂😂

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Před 2 dny +5

    Tulikuwa tunasubili sana joti aigize kama mpemba 💯💯🔥🔥

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 2 dny +13

    Leo nimekuwa wa 75 😂😂😂😂😂Harusi tunayoooo 😂😂😂mara HAKUNA HARUSI BIARUSI MWENYEWE MWANA😂😂😂😂

  • @besteva499
    @besteva499 Před 2 dny +5

    Yoo mama shereh bure kumbe ndoa hakuna joti bwana😂😂 wangapi mumeipenda hii❤

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia Před 2 dny +6

    sema hiyo mishangazi ya Joti ina balaa😋😋😋😋😋😋

  • @nemesisumbe6840
    @nemesisumbe6840 Před 2 dny +5

    Nimefurahi kumuona Dada mwene😊

  • @saidmo9250
    @saidmo9250 Před 2 dny +12

    Joti talented Kam unaamini like hapa❤

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Před dnem +1

    Thank you Mr Joti!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @official_Nanga
    @official_Nanga Před 2 dny +14

    MUNGU TULINDIE HUYU MZEE NI HAZINA YA TAIFA MPE MAISHA MAREFU

  • @PolycarpeMulumba-ef5if
    @PolycarpeMulumba-ef5if Před 2 dny +5

    Nakukubali sana bro you are 💪

  • @JamesReuben-gt8up
    @JamesReuben-gt8up Před 2 dny +10

    Sema joti ni bongo moja la comedian sioo hao wapiga kelele wakina mkojanii

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 Před 2 dny

    Nimeipenda ya leo hasa hilo vanga limeungurumishwa balaaa❤❤❤❤

  • @HANDSOMEDIA_bukavu
    @HANDSOMEDIA_bukavu Před 19 hodinami

    Congo BUKAVU tunabakubali , hatutafute likes

  • @user-nl3vl4kn9g
    @user-nl3vl4kn9g Před 2 dny

    Wakina dada wa kihindi nao Wana tabia ya taka pesa kwa bwanaharusi Mila na desturi kama kawa wahindi Wana hatari mpaka milioni Wadai uroho wakuta pesa 🥰🥳🎺🎷📯🥁

  • @elishasaidi
    @elishasaidi Před 2 dny

    tumemmisi kipande. hongereni sana team joti

  • @-thegreat-zawadimmasa307

    Napenda sana hili Kundi. From DRC

  • @tumainidaima9879
    @tumainidaima9879 Před 2 dny +6

    Hatariii sio hatariii😂

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga Před 2 dny +12

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 Před 2 dny +7

    si tushatoa mahali😂😂

  • @MustaphaSwai
    @MustaphaSwai Před 8 hodinami

    Nice 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉joty fu fundi sana

  • @BundalaShija-yb4vo
    @BundalaShija-yb4vo Před 2 dny +2

    😂😂 kanyinyi, zitto na Nanga hii shooo imewafaaa😊

  • @allybaru
    @allybaru Před 2 dny +15

    Ni uhalisia ambao upo kabisa kweny Jamiii zetu ndoa nying hasa za kiislam huu mtindo upo

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 Před 2 dny +1

      Hizo ni Mila wala sio uislam..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..

    • @user-sm6yl2ps7r
      @user-sm6yl2ps7r Před 2 dny

      Wao yenyew wamesema Mila nasio dini

    • @thetrailerzone2791
      @thetrailerzone2791 Před 2 dny +1

      Hapana hta za kikristo huingii ukumbini mpka utoe mpunga nje

    • @allybaru
      @allybaru Před 2 dny

      @@thetrailerzone2791 hii mambo inakela isee

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 2 dny

      ​@@salhawaziri1668sasa mbona wamevaa kiislamu?

  • @chadrackrunogeza3302
    @chadrackrunogeza3302 Před 2 dny +20

    Toka drc kalemie wa kwanza naombeni likes zangu 🎉🎉😂😂😂❤❤

    • @OmarSongoro-bp9pn
      @OmarSongoro-bp9pn Před 2 dny

      Kalemie ndani ya soko la katrekwee avenue ngambo ya lukuga

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 2 dny +93

    Wanaume wote mnaoomba like bila shaka hamjakamilika hamna nguvu z kiume haiwezekani dume zima et naombs like ulilazimishwa kuangalia?

    • @pascalgasper403
      @pascalgasper403 Před 2 dny +4

      Paula Umenuna 😂😂😂
      Hili Swala Tunatakiwa Tuanzisheni Kamati Tulikemee Kwa Kwelii 😅😅, Au Sijui Ukiwa Na Like CZcams Wakulipa😂😂

    • @ZandaMelody-cj5te
      @ZandaMelody-cj5te Před 2 dny +4

      Hataaa Mimi Nawachukia Sanaaa....Anqalia Video Like Comment Then Kaushaaa Lakiniii Daaaahhh....Cjui Wanakuaqa Na Nyeqe Za MIK🗯🗯nd💬

    • @user-pw2sw1sk1b
      @user-pw2sw1sk1b Před 2 dny +1

      😂😂😂😂kama misheta

    • @haidarykufakunoga8869
      @haidarykufakunoga8869 Před 2 dny

      😂😂😂😂😅😅🤣🤣

    • @KhairatiSulemani
      @KhairatiSulemani Před 2 dny +1

      😂😂😂😂sio kama wakenya

  • @user-nr1hn3er9o
    @user-nr1hn3er9o Před 2 dny

    Patrão Joti, nós cá em Moçambique gostamos do seu trabalho. És muito talentoso. Deus abençoe o seu trabalho 🙏

  • @NTM9320
    @NTM9320 Před 2 dny +4

    zito anavyocheza kama ndio mjombaa mwali😄

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan5507 Před 2 dny +12

    Mnaomba omba likes,,, kuoga aaaah😂😂😂😂

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 8 hodinami

    😂😂 joti hayo mambo kwetu hakuna,, na harusi hakuna😂

  • @mtare8942
    @mtare8942 Před 2 dny +1

    mambo ya Bara , Hami J haelewi 😂😂

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Před dnem

    😂😂😂😂😂😂😂 joti never disamppoint 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 nakubali wata mleta nyumbani😂😂😂😂😂

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Před 2 dny +1

    Babahhh mlewa sheweleeeee 😊😂😂😂🔥🔥💯💯💯

  • @SebastianDaniel-mb4nl

    From kumamoto japan naomba like😀😀

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 2 dny +2

    Namuona damwene na mzee mbembe raha sana 😂😂😂😂😂

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před 2 dny +1

    Nimecheka kifala sana. Ila kweli mila nyingine izi zinazingua.

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu Před 2 dny +1

    Joti wewe wanibamba San 😂😂😂😂😂😂😂❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Před 2 dny +1

    HAKUNA NDOA HAPA 😂😂 ina maana amuelewii😂

  • @liliansauwa8448
    @liliansauwa8448 Před 2 dny +1

    Mjomba alivyosisitiza “laki mbili taslimu, laki mbili taslimu” 🤣🤣🤣🤣 mie hoi 😆

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 2 dny +1

    Hivi joti Kuna mengine unakuwa umelenga stori ya mtu au yote maigizo😂😂😂😂😂

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Před 2 dny +5

    Mmmh kwaiyo Zanzibar ndo hawafichui au mmmh

    • @CholoFaizaan
      @CholoFaizaan Před dnem

      Niutani😂 tu Tz hatugombani kwautani wala hatugombani kuhusu makabila

  • @OmaryShabani-nw1ib
    @OmaryShabani-nw1ib Před 2 dny +1

    Ami pkpk inawaka iyooo😂😂

  • @4bod801
    @4bod801 Před 2 dny +2

    You are the best 👌

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 Před 2 dny +1

    😂😂😂 umetisha Ami Jay. M mwenyewe izo mila za njaa zinaniboaga kinoma

  • @lulupeter-xf9gs
    @lulupeter-xf9gs Před 2 dny

    Joti nimekumis uigizee kiboga napendaga sana yani party hileeee ❤❤❤

  • @abdoolshakuruswalehe546

    Ila hiyo sio Vespa, hiyo ni click kwa huku kwetu Zanzibar 😅😅😅😅😅

  • @KhalidNa-bn4gp
    @KhalidNa-bn4gp Před 2 dny +3

    Familia zamabiharus mmeshapata somo😂😂 ole msubutu mtawaowa wenyewe joti umeuwa🎉❤❤❤

  • @petrochengula9480
    @petrochengula9480 Před 2 dny +5

    Ndio dawa yao mahali ushalipa halafu mambo ya mila na desturi tena nikuacha tu.

  • @Shadadihamis25
    @Shadadihamis25 Před 2 dny

    Huwa wanazingua sana na hizo tamaduni zao 😅😂😂nimependa hamiiiiiii

  • @MkasyswallehsaidSwalleh

    Chezea wpemba wee,sie tukinuna tumenuna vyooo 😂😂😂

  • @AraphaCheki
    @AraphaCheki Před 2 dny +3

    Nimewahi Leo kidg khaa😂 nilijua wa kwanza mm

  • @jordankikoti1045
    @jordankikoti1045 Před 2 dny +9

    Joti nomaaa

  • @Petitejollie
    @Petitejollie Před 2 dny +1

    Huyo bibi harusi hapo mwisho kanichekesha sana 😂😂😂😂

  • @Delux698
    @Delux698 Před 2 dny +2

    KUNA hili li shangazi lifupi limevaa kijora cha njan0, mwenye namba please😂😂🙏🙏

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 dny

    Asha boko na bb harusi❤❤❤🎉🎉🎉

  • @makawan_Bway5478
    @makawan_Bway5478 Před 2 dny +1

    Hilo meno ndo lakujibu Sasa Mimi Sio Muoaji 😂 🙌

  • @hilalihamisi
    @hilalihamisi Před 2 dny +2

    Mjomba kama Mjomba😂😂😂

  • @Jay_Y_Charles
    @Jay_Y_Charles Před 2 dny +1

    Ujui kidole ulichobanwaa hahahahhaha😮

  • @seifmswaki6855
    @seifmswaki6855 Před 2 dny

    hahahahah imekaa sawa sana kaka dah! wanazinguaga me mwenyewe nilitakaga kususa ivi iv mala o ela za mashemej hahahahahah😂

  • @harrymakongwa1147
    @harrymakongwa1147 Před 2 dny +3

    Joti kawaweza leo 😅😅

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 Před 2 dny

    Asante joti kwakutuletea wakongwe wenzio keep it up

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 Před 2 dny +2

    joti ww noma😂😂😂

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk Před 2 dny

    Wallah nime furah kumuona asha boko na huyu mwenzie 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Dullyman_Classic
    @Dullyman_Classic Před 2 dny +15

    Wa kwanza leo nipeni Like zangu😂😂. Joti hatar sana

  • @user-mo7iq2fd8g
    @user-mo7iq2fd8g Před 2 dny +2

    shughuli ina watu kweli, nawek pending nitaichek usku nikitulia...😂😂😂

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 Před 2 dny +1

    Mimi hua nachukia basi tu mtu et naomba like nimekua wakwanza 😂😂😂

  • @mukandamaakbar599
    @mukandamaakbar599 Před 2 dny +1

    Joti Mungu awabariki kua kazi zenu mnazo zifanya

  • @user-eo1qy1zh7r
    @user-eo1qy1zh7r Před 2 dny

    Nakubali sana master ❤😂🎉😢😮😅😊

  • @user-mi7yx8ew1k
    @user-mi7yx8ew1k Před 2 dny +16

    Kwan like mnapewa zinakazi gan nyie watu

    • @gynaa2314
      @gynaa2314 Před 2 dny +1

      yaaaan au likes zinaleta hela jamn tuambiane mapema kila mtu likes😢

    • @vigezo
      @vigezo Před 2 dny

      Hata mi sielewi mtu unakuta analilia likes

    • @user-bx9we6xo5d
      @user-bx9we6xo5d Před 2 dny

      Wez zjua

    • @user-mi7yx8ew1k
      @user-mi7yx8ew1k Před 2 dny

      @@vigezo 🤣🤣🤣😃

    • @IluMshana-ni8xf
      @IluMshana-ni8xf Před 2 dny

      ​@@vigezohalafu unakuta ni mwanaume sasa😂

  • @mustafampande173
    @mustafampande173 Před 2 dny

    ila Mlewa 😂😂me binafsi ananifurahisha sanaa hatumii nguvu 🙌🙌

  • @AllyLukwembe
    @AllyLukwembe Před 2 dny +2

    Utanikuta bandari. 😂😂

  • @BIGbone.9422
    @BIGbone.9422 Před 2 dny

    "wame bana kidole gani" 🤣 wachache wata elewa 😂

  • @h.akarim
    @h.akarim Před 2 dny

    Kazi Kubwa ☝️🇨🇩

  • @milimaproductions1565
    @milimaproductions1565 Před 2 dny +7

    Laki mbili 😮😂

  • @jacksonfungo9613
    @jacksonfungo9613 Před 2 dny +8

    Nimekuwa wa kwanza nipeni like zangu

  • @jumakhaji1620
    @jumakhaji1620 Před 2 dny

    kazi ya Uhakika Mollah hawabariki wausika wote 😂🎉❤

  • @BarakaMichael-dm2nx

    King of comedy ❤❤😂

  • @user-nq2np6de6l
    @user-nq2np6de6l Před 2 dny +3

    Mjomba kakazia laki mbili taslim

  • @abuu_town_tz7341
    @abuu_town_tz7341 Před dnem

    nanga kagoma kufungua geti kabisaa😂😂

  • @user-pw2sw1sk1b
    @user-pw2sw1sk1b Před 2 dny +1

    😅😅😅😅Kawakomesha lk 2 masihara usawa huu ovyoooooo😅

  • @panchobway3245
    @panchobway3245 Před 2 dny +3

    Ila uyo mke inasemekana ni ndoa ya mkeka maana si kwa kutafuta sababu iy ili usiow t

  • @mossesngalomba9961
    @mossesngalomba9961 Před 2 dny +1

    Ami J alikuwa anatafuta sababu Tu 😂😂😂😂

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv Před 2 dny +3

    Nimekuwa wa 26. Naomba likes zangu please, Lakini huyu joti anajua jamani tumpe maua yake tu 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😅😅😅❤❤❤

  • @langemwepesi
    @langemwepesi Před 19 hodinami

    Leo jamaa wamemkoroga joti kweli😂😂😂 nani ameona

  • @dollardavid955
    @dollardavid955 Před 2 dny +5

    Wakwanza leo.

  • @ambrosenorbert7756
    @ambrosenorbert7756 Před 2 dny +18

    wakwanza like 10 tu znatosha

    • @emmanuelsamila1477
      @emmanuelsamila1477 Před 2 dny +1

      Zinakusaidia kitu gani hizo likes?? Acheni ushoga bana yaani mwanaume mzima naomba likes naomba likes

    • @lucasAm-mp9sj
      @lucasAm-mp9sj Před 2 dny +1

      @@emmanuelsamila1477 tafuta pesa uache makasiriko

  • @user-kj2xh6bt5y
    @user-kj2xh6bt5y Před 19 hodinami

    😂😂😂😂 pesa noma sana

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Před 2 dny +1

    Joti hii "team work" inakufaa

  • @appolonation
    @appolonation Před 2 dny +1

    Hakuna ndoa hapa 😂😂😂

  • @HawaMkola
    @HawaMkola Před 2 dny

    Napenda sana ubunifu wenu

  • @hamisaally968
    @hamisaally968 Před 2 dny

    Hii tuliifanya kwa dada anguu😂😂 wee cha moto tulikiona wamakondee waliturushaa kwenyee mavumbii😂 na mke wakambebaa

  • @mwanamisiramadhan4773
    @mwanamisiramadhan4773 Před 2 dny +1

    Hii ni tamaduni tu nakufarahia na unaotoa chochote hata buku fresh barida tu 😂😂😂japokuwa sikuhizi imekuwa karaha sanaa mpk kero kwa bwana harusi

  • @frededward7678
    @frededward7678 Před 2 dny +2

    Wa 61 jmn😂😂

  • @saliminimsuya
    @saliminimsuya Před 2 dny

    Una mda sana hujaigiza Babu