MREMBO ALIA kwa UCHUNGU DADA'KE AKIFARIKI INDIA -"WANATAKA KUMCHOMA MOTO" -FAMILIA INA MTIHANI MZITO
Vložit
- čas přidán 26. 06. 2024
- MREMBO ALIA kwa UCHUNGU DADA'KE AKIFARIKI INDIA -"WANATAKA KUMCHOMA MOTO" -FAMILIA INA MTIHANI MZITO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Innalillah wainnah lillah rajun Hakika sisi ni wa allah na kwake tutarejea inshallah polen sana family hii kitu JAMN SIKIA TU KWA JIRAN MAANA NIMESHASHUUDIA NCHI EMIRATE MTANZANIA ALIFARIK JINSI YA KUREJESHA MWILI TZ KIVUMBI ASWAAAAA
Innalilah wainnalilah laijiun subhanna Allah sasa uko alienda kufanya kazi Gani na Kwa nini miaka yote minane hata kurudi nyumbani na mpaka kapata mtoto na Wala hawamjui baba wa mtoto na hawana mawasiliano 😢😢😢 ni mtihani kwa kweli na mama Yao mgonjwa!
Yaani jamani 😢😢 kuna mitihani Duniani unaeza tamani Ardhi ipasuke uingie huko
Aseme kilicho mpelekanuko na Kwa nini hakuwahi kurudi nyumbani miaka yote iyo na pia iyo pesa ni nyingi yakuipata iyo maiti watoe na wamzike tu sio wote wahindi ni wakuchoma moto wengine wanazika wafanya mpango wapate wa Tz ili wamstiri ndungu yetu na watanzania India sio wengi ni nchi masikini sana.sio.sehemu ya kutafuta maisha kule na wahindi wabaguzi sana kama angefia farme za kiarabu angezikwa Kwa Sheria zote za kiislaam Mungu atupe mwisho mwema yarab 🙏
Mbona hamnyooshi maneno ??! Alienda kufanya nini India ??? Alafu ni muislam si India Pia kuna waislam wa kumzika??? Alafu miaka nane Ina maana ni mwenyeji , ana Pia mtoto maana ana mwenza ama baba wa mtoto ??? Yaani sielewi hii story hamnyooshi maneno. mhhh
Mungu amrehemu jamani
Pole saana kipenzi.acha tujichangishe Vicente vyetu.ila huwa najiuliza hizi balozi zetu nchi nyingine huwa na msaada gani?au ni kwa manufaa ya wachache tu?
Na mm nashangaa ubaloz faida yake nn?
Inauma sana tena sana mwezi mungu atujalie mwisho mwema ameen
Bora mchangiwe pesa mama apate huduma marehem azikwe tu India popote Mungu yupo mdogowangu
We wanamchoma moto
Pole sana
Hizo pesa za mchongo mpeni mama ajihudumie yeye azikwe tu uko jamanii poleni sana
Yupo sehem gani india maana ss tupa india
Dah pole san
Acheni kupteza garama mtu anazikwq popote tu tena waislam akifka tabora ndo atakua mtu wa peponi? India wapo waislam wamzike kislam tu
Pole sana mdogo angu Mungu akutie nguvu
Pole Dada inauma Sana nduguzagu wa Tanzania
Pole ndugu yangu
Kweli ziadasalimu👍👍👍👍👍
Kwani Sheria za waislam zinasemaje mtu akifa mahali popote
Pole mdogo wangu i
Allah atupe mwisho mwema India na uturuki kuna watanzania wengi sana wanajiuza huko ,, Allah amsamehe
Subuhanallah. Waindinwenyewe wananjaa wamejas wengi nchi zakiarabu wakitesekatu. Sasa.sijui wa Tz wanafata nn huko
Jaman barozi si zipo?na huko nchi za watu alikwenda kufanya nini? Pole sana bint.
Simnajuwa lakini ndugu zetu Hawa inawezakana alienda Kwa mambo yake tu siunajuwa Tena utafutaji km alienda Kwa kazi ya maana angerudishwa na kampuni alio kuwa anafanyia
Innalillah wanna ilahi rajuun pole mdogo wangu
Dah maskin huyo mtt wa miaka mi3😢 Polen jaman
M/MUNGU Ilaze roho ya marehem mahali pema peponi pole kwa familia
Balozi za Tanzania zina fanya nini india
Poleni and family
Huyu dada si wa tiki tok 😢😢 pole ni jamani
Kwann wachome waslam wapo
Jmn amefariki huyu jmn😢 sleep well
Ndiyo achomwe tu sasa Kila siku ndo vitisho vyao huko nje tufanyeje sasa kama hakuna pesa
Huwezi kusema achomwe ila kitu muhimu ni kuzikwa kwa dini yake kila mahali mungu yupo
Pore sama 😭😭😭😭
Nenda kwa.mama samia m2 wa watu atakusaidia
Mtihan huu
Alienda kufanya nn huko miaka yote alitokaje hapa tz au alikua ameolewa huko
I feel your shoes where their pitching you
Jamani huyu si yule msichana wa kwa Mange kimambi???
Ujinga kwenda nchi za nje bila travel insurance,
Kama huwezi insurance, Tz & Kenya ziko specialist & hospitali,
Nchi za nje ni balaa tuu
Kabisa nchi za watu kwenda kijanja kijanja likikupata hawana muda nawewe maiti itadoda hakuna pesa utazikwa huko. Huna Hela hospital hutibiwi, huku TZ tunaraha sana. Hadi maduka ya dawa yapo mitaani na unapata USHAURI bila shida
Miaka 8 huyo raia
Ina lilahi ainarajioun lakini India waislam wapo why achomwe Moto?
huyo mtoto emezaa na nani na yeye huyo baba mtoto hana msaada
Azikwe tu india sababu miaka 8 amjawai kumwona ata akichomwa asikii kitu tena
Huyo na hicho kipini mdomoni ni ilikuwa kudanga tu
Mbona wwe tapeli dada sasa hujui kinachoendelea sasa umejuaje kama hawaeez kumsafirisha
Siotapeli nikweli hilo swala na mm nipo hindiya
Mbon hata humuulizi huko alikuw anafanya kaz gan duuh kwan india hakina msilim wamzike kisilam w
Sasa itakusaidia nini na kashafariki!toa mchango
@@HanenMgeni kwa hiyo kam kafariki ndo asiulizwe ww wa wap bann kwa hiyo mtuy akifa silazim kujuw ilikuwaj
Oiii kokote mwili unazikwa wengine wanapoteaga majini wengine ndege zinaanguka wanaishia kwenye moto wengine wanapoteaga km Ben saa 8 nyie changisheni zakuwasaidia
C mumuache mtu aje afufukie kwa sharkhun
😂😂😂😂
Jamani kuna mambo yakufanya kuna wagonjwa wengi wanahitaji msaada Imelda tuache balozi zitafanya kazi hiyo mtu ameenda kudanga tumchangie halafu huyo binti sio family peke kuna watu wazima wajomba mashangazi kwani wamuachie yeye kuna changamoto tuache tafadhali Imelda