MREMBO ALIA kwa UCHUNGU DADA'KE AKIFARIKI INDIA -"WANATAKA KUMCHOMA MOTO" -FAMILIA INA MTIHANI MZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 06. 2024
  • MREMBO ALIA kwa UCHUNGU DADA'KE AKIFARIKI INDIA -"WANATAKA KUMCHOMA MOTO" -FAMILIA INA MTIHANI MZITO...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 57

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 5 dny +6

    Innalillah wainnah lillah rajun Hakika sisi ni wa allah na kwake tutarejea inshallah polen sana family hii kitu JAMN SIKIA TU KWA JIRAN MAANA NIMESHASHUUDIA NCHI EMIRATE MTANZANIA ALIFARIK JINSI YA KUREJESHA MWILI TZ KIVUMBI ASWAAAAA

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 5 dny +9

    Innalilah wainnalilah laijiun subhanna Allah sasa uko alienda kufanya kazi Gani na Kwa nini miaka yote minane hata kurudi nyumbani na mpaka kapata mtoto na Wala hawamjui baba wa mtoto na hawana mawasiliano 😢😢😢 ni mtihani kwa kweli na mama Yao mgonjwa!

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 Před 5 dny +3

      Yaani jamani 😢😢 kuna mitihani Duniani unaeza tamani Ardhi ipasuke uingie huko

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa Před 5 dny

      Aseme kilicho mpelekanuko na Kwa nini hakuwahi kurudi nyumbani miaka yote iyo na pia iyo pesa ni nyingi yakuipata iyo maiti watoe na wamzike tu sio wote wahindi ni wakuchoma moto wengine wanazika wafanya mpango wapate wa Tz ili wamstiri ndungu yetu na watanzania India sio wengi ni nchi masikini sana.sio.sehemu ya kutafuta maisha kule na wahindi wabaguzi sana kama angefia farme za kiarabu angezikwa Kwa Sheria zote za kiislaam Mungu atupe mwisho mwema yarab 🙏

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před 5 dny +6

    Mbona hamnyooshi maneno ??! Alienda kufanya nini India ??? Alafu ni muislam si India Pia kuna waislam wa kumzika??? Alafu miaka nane Ina maana ni mwenyeji , ana Pia mtoto maana ana mwenza ama baba wa mtoto ??? Yaani sielewi hii story hamnyooshi maneno. mhhh
    Mungu amrehemu jamani

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před 5 dny +9

    Pole saana kipenzi.acha tujichangishe Vicente vyetu.ila huwa najiuliza hizi balozi zetu nchi nyingine huwa na msaada gani?au ni kwa manufaa ya wachache tu?

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 Před 2 dny

    Inauma sana tena sana mwezi mungu atujalie mwisho mwema ameen

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 5 dny +5

    Bora mchangiwe pesa mama apate huduma marehem azikwe tu India popote Mungu yupo mdogowangu

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 Před 2 dny +1

    Pole sana

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Před 5 dny +3

    Hizo pesa za mchongo mpeni mama ajihudumie yeye azikwe tu uko jamanii poleni sana

  • @OthnoShezume
    @OthnoShezume Před 3 dny +1

    Yupo sehem gani india maana ss tupa india

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 Před 5 dny +3

    Dah pole san

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Před 5 dny +9

    Acheni kupteza garama mtu anazikwq popote tu tena waislam akifka tabora ndo atakua mtu wa peponi? India wapo waislam wamzike kislam tu

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 5 dny

    Pole sana mdogo angu Mungu akutie nguvu

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Před 5 dny

    Pole Dada inauma Sana nduguzagu wa Tanzania

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx Před 5 dny +1

    Pole ndugu yangu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 4 dny

    Kweli ziadasalimu👍👍👍👍👍

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 Před 4 dny +1

    Kwani Sheria za waislam zinasemaje mtu akifa mahali popote

  • @ZuwenaNoman
    @ZuwenaNoman Před 5 dny

    Pole mdogo wangu i

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 5 dny +3

    Allah atupe mwisho mwema India na uturuki kuna watanzania wengi sana wanajiuza huko ,, Allah amsamehe

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před dnem

      Subuhanallah. Waindinwenyewe wananjaa wamejas wengi nchi zakiarabu wakitesekatu. Sasa.sijui wa Tz wanafata nn huko

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 5 dny +1

    Jaman barozi si zipo?na huko nchi za watu alikwenda kufanya nini? Pole sana bint.

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 5 dny +1

      Simnajuwa lakini ndugu zetu Hawa inawezakana alienda Kwa mambo yake tu siunajuwa Tena utafutaji km alienda Kwa kazi ya maana angerudishwa na kampuni alio kuwa anafanyia

  • @user-ng5xe7ze3j
    @user-ng5xe7ze3j Před 5 dny

    Innalillah wanna ilahi rajuun pole mdogo wangu

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před 5 dny +1

    Dah maskin huyo mtt wa miaka mi3😢 Polen jaman

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 5 dny

    M/MUNGU Ilaze roho ya marehem mahali pema peponi pole kwa familia

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před 5 dny +2

    Balozi za Tanzania zina fanya nini india

  • @steramwanakira7183
    @steramwanakira7183 Před 5 dny

    Poleni and family

  • @aminajuma1156
    @aminajuma1156 Před 5 dny

    Huyu dada si wa tiki tok 😢😢 pole ni jamani

  • @jme5822
    @jme5822 Před 5 dny

    Kwann wachome waslam wapo

  • @djcardb
    @djcardb Před 5 dny

    Jmn amefariki huyu jmn😢 sleep well

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 5 dny +1

    Ndiyo achomwe tu sasa Kila siku ndo vitisho vyao huko nje tufanyeje sasa kama hakuna pesa

    • @shamzone388
      @shamzone388 Před 5 dny +3

      Huwezi kusema achomwe ila kitu muhimu ni kuzikwa kwa dini yake kila mahali mungu yupo

  • @aminamareta9297
    @aminamareta9297 Před 5 dny

    Pore sama 😭😭😭😭

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 5 dny

    Nenda kwa.mama samia m2 wa watu atakusaidia

  • @salwamohammed4787
    @salwamohammed4787 Před 5 dny +1

    Mtihan huu

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 Před 5 dny

    Alienda kufanya nn huko miaka yote alitokaje hapa tz au alikua ameolewa huko

  • @steramwanakira7183
    @steramwanakira7183 Před 5 dny

    I feel your shoes where their pitching you

  • @samiraabdimahamed4449

    Jamani huyu si yule msichana wa kwa Mange kimambi???

  • @tobee7268
    @tobee7268 Před 5 dny +3

    Ujinga kwenda nchi za nje bila travel insurance,
    Kama huwezi insurance, Tz & Kenya ziko specialist & hospitali,
    Nchi za nje ni balaa tuu

    • @loycenicolao7488
      @loycenicolao7488 Před 5 dny

      Kabisa nchi za watu kwenda kijanja kijanja likikupata hawana muda nawewe maiti itadoda hakuna pesa utazikwa huko. Huna Hela hospital hutibiwi, huku TZ tunaraha sana. Hadi maduka ya dawa yapo mitaani na unapata USHAURI bila shida

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Před 5 dny +1

    Miaka 8 huyo raia

  • @KingKong-gu5qn
    @KingKong-gu5qn Před 5 dny +4

    Ina lilahi ainarajioun lakini India waislam wapo why achomwe Moto?

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před 5 dny

    huyo mtoto emezaa na nani na yeye huyo baba mtoto hana msaada

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 Před 5 dny

    Azikwe tu india sababu miaka 8 amjawai kumwona ata akichomwa asikii kitu tena

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 5 dny

    Huyo na hicho kipini mdomoni ni ilikuwa kudanga tu

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o Před 4 dny

    Mbona wwe tapeli dada sasa hujui kinachoendelea sasa umejuaje kama hawaeez kumsafirisha

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před dnem

    Mbon hata humuulizi huko alikuw anafanya kaz gan duuh kwan india hakina msilim wamzike kisilam w

    • @HanenMgeni
      @HanenMgeni Před 13 hodinami

      Sasa itakusaidia nini na kashafariki!toa mchango

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Před 13 hodinami

      @@HanenMgeni kwa hiyo kam kafariki ndo asiulizwe ww wa wap bann kwa hiyo mtuy akifa silazim kujuw ilikuwaj

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 5 dny

    Oiii kokote mwili unazikwa wengine wanapoteaga majini wengine ndege zinaanguka wanaishia kwenye moto wengine wanapoteaga km Ben saa 8 nyie changisheni zakuwasaidia

  • @SharifaOmary-ui8vs
    @SharifaOmary-ui8vs Před 5 dny +3

    C mumuache mtu aje afufukie kwa sharkhun

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 Před 4 dny

    Jamani kuna mambo yakufanya kuna wagonjwa wengi wanahitaji msaada Imelda tuache balozi zitafanya kazi hiyo mtu ameenda kudanga tumchangie halafu huyo binti sio family peke kuna watu wazima wajomba mashangazi kwani wamuachie yeye kuna changamoto tuache tafadhali Imelda