Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni
Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢
Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma
Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.
Yaani Mungu atupiganie wazazi
Kwa kweli hizi tabiri chonganishi sio nzuri sana,Amina
Mmhhhhhh mungu awaone hao wanaogawa familia za watu!wawe wakamwana au wakwelima! M/mungu asiwacheleweshe kuwalipa ubaya wao😮
Mungu atusaidie
Bwana Yesu akubariki mchungaji akuinue zaidi na zaidi,roho chonganishi zimetenganisha familia
Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni
Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢
Mch.Kimaro hili jambo limeniumiza sana sana.Hawa MANABII wanachonganisha sana watu hata zaidi ya Waganga wa Kienyeji.
Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma
Acha tu mama yangu pia yaani niliumia sana kama mshale aliondoka
Asante mchungaji kwa ujumbe mzuri nikweli nisingemzaa huyo mme angempata wapi na kwanini nimroge mjukuu nisimroge baba yake
Amen, Nayakubali maneno yako, na mimi nina mtoto mmoja, Mungu anikumbuke!!
NAMI pia
Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.
Pole sana pole Tena naelewa mapito yako,Kaa utulie ukihisi maumivu Sali,majibu watayaona! HAYA mambo yapo sana Tena Kwa wingi
Inaumiza kwa kwelii
Kwa kweli
Malipo ni hapahapa dunian
Sina hamu na hao wanaojifanya wanaona
Wanagombanisha watu sana muda mwingine
Mm niliambiwaga ni mganga yan
Apandacho mtu ndicho anacho vuna utavuna tu
🥹😭😢🥺
Haya mambo yapo kwa kuhani mussa
Na kiboko ya wachawi
Yaani mimi sijawahi kwenda kwake ila rafiki yangu anaabudu huko kila house girl wake anaambiwa mchawi
Kabisa mchungaji kama siyo mama wewe ungemkuta huyo mume wako? Jamani kumbukeni wa mama waliozaa hao waume zenu.
Tikskwcpa
Hfujfjtfuaw