Kisa Cha Mama Mkwe Kuitwa Mchawi | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2024

Komentáře • 27

  • @user-ik5pw9ju8h
    @user-ik5pw9ju8h Před 18 hodinami

    Yaani Mungu atupiganie wazazi

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 Před 8 dny +3

    Kwa kweli hizi tabiri chonganishi sio nzuri sana,Amina

  • @JulianaChacha-k5b
    @JulianaChacha-k5b Před 2 dny

    Mmhhhhhh mungu awaone hao wanaogawa familia za watu!wawe wakamwana au wakwelima! M/mungu asiwacheleweshe kuwalipa ubaya wao😮

  • @TumpeFord-om1wv
    @TumpeFord-om1wv Před 2 dny

    Mungu atusaidie

  • @lizpallangyo8057
    @lizpallangyo8057 Před 8 dny +2

    Bwana Yesu akubariki mchungaji akuinue zaidi na zaidi,roho chonganishi zimetenganisha familia

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka Před dnem

    Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni

  • @user-oy2fi5qz9n
    @user-oy2fi5qz9n Před 3 dny +1

    Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢

  • @nicksonshoo429
    @nicksonshoo429 Před 4 dny +1

    Mch.Kimaro hili jambo limeniumiza sana sana.Hawa MANABII wanachonganisha sana watu hata zaidi ya Waganga wa Kienyeji.

  • @felistamwashibanda7764
    @felistamwashibanda7764 Před 7 dny +4

    Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma

    • @neemataris3273
      @neemataris3273 Před 5 dny +1

      Acha tu mama yangu pia yaani niliumia sana kama mshale aliondoka

  • @user-tn3oe6ig8w
    @user-tn3oe6ig8w Před 2 dny

    Asante mchungaji kwa ujumbe mzuri nikweli nisingemzaa huyo mme angempata wapi na kwanini nimroge mjukuu nisimroge baba yake

  • @restitutapetro4705
    @restitutapetro4705 Před 7 dny +1

    Amen, Nayakubali maneno yako, na mimi nina mtoto mmoja, Mungu anikumbuke!!

  • @neemakijazi2363
    @neemakijazi2363 Před 2 dny

    Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 Před 2 dny

      Pole sana pole Tena naelewa mapito yako,Kaa utulie ukihisi maumivu Sali,majibu watayaona! HAYA mambo yapo sana Tena Kwa wingi

  • @user-sv4wj5be1b
    @user-sv4wj5be1b Před 5 dny

    Inaumiza kwa kwelii

  • @tinamwashilindi6807
    @tinamwashilindi6807 Před 8 dny

    Kwa kweli

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před 6 dny

    Malipo ni hapahapa dunian

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 Před 8 dny

    Sina hamu na hao wanaojifanya wanaona
    Wanagombanisha watu sana muda mwingine

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 Před 2 dny

    Apandacho mtu ndicho anacho vuna utavuna tu

  • @happiness_713
    @happiness_713 Před 8 dny

    🥹😭😢🥺

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d Před 3 dny

    Haya mambo yapo kwa kuhani mussa

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 Před 2 dny

      Na kiboko ya wachawi

    • @user-ik5pw9ju8h
      @user-ik5pw9ju8h Před 18 hodinami

      Yaani mimi sijawahi kwenda kwake ila rafiki yangu anaabudu huko kila house girl wake anaambiwa mchawi

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před 2 dny

    Kabisa mchungaji kama siyo mama wewe ungemkuta huyo mume wako? Jamani kumbukeni wa mama waliozaa hao waume zenu.

  • @fleviahella9818
    @fleviahella9818 Před 7 dny

    Tikskwcpa
    Hfujfjtfuaw