Barikiwa sanah pastor kiboko ya wachawi ,naomba uniombee pia me nlitolewa kwa ndoa yangu na mamamkwe na bibi ya kijana yake kwa nguvu za unganga be blessed man of God as well continue praying for me
Nabii ubarikiwe na Mungu mtumishi mimi naitwa Anna niko Arusha ninamtoto mtoto wangu mdogo wakati nikiwa mzazi kitovu chake kilipoteza ndani kwa mazingira ndiyo yaelezwa mtoto anaitwa goodlick
bwana yesu asiwe mtumishi kiboko ya wachawi naomba niombe nimekuwa mutume na maombezi mwenye maono lakini kimepungua kwa sababu ya mtoto wangu mimi mgonjwa wakutojielewa nisaidiwe mtumishi wa mungu
Bwana yesu asifiwe kiboko ya wachawi mtumishi mimi naitwa joyce lazaro naomba unitabirie maisha yangu maana kila biashara nayofanya haiendi uchumi wangu umeyumba
Barikiwa mtumishi wa mungu naitwa jackline koko naomba unitabilie maisha yangu maana nafanya kaz lakin hakuna hata kitu cha maana nimewah kufanya😢hata nikipata hela nimpaka iishe ndo nipate nyingne
Naomba msaada baba Mama yangu anaumwa shida isiyoonekana ...Anapoteza kumbukumbu..Tuliambiwa na pressure lakini hospital lakini pressure hakuna.. Naomba msaada. NAOMBA PIA MSAADA JUU YA FAMILIA YANNGU
Tena sisi wanawake naona ndo tutakua wengi sana motoni coz tunatumika kwa wingi sana kufanya usanii kwenye makanisa ya uongo😢ni huzuni kwakwel MUNGU nisaidie
asee hapa umakini unahitajika...sisi tulienda hapa tukatangaziwa kwamba kama huna laki 5 ondoka hakuna maombi ya bure na kama unaona ni utapeli " tembea na yesu"... cha ajabu zaid ni pale ulipopigwa wimbo wa mapenz madhabahuni na wimbo wenyew ni " bring me back (ft .claire ridgley) [sped up] miles away...na kuna maji ya millita 600 ukifika tu unaambiw shart uwe na chupa 2 na kila moja inauzwa 2000, unajua pepo wenye nguvu nao hufukuza pepo wanyonge, fika mwenyew ukatazame usivunjike moyo
Huo usanii mtupu,huwa wanawapanga,haiwezekani mama mzima akubali kupekuliwa kwenye mwili wake,aise Mimi wataniua hapo mbele lakini hakuna MTU atanikagua mwili wangu
Eee mungu nisaidie namimi nifunguliwe matatizo yangu yoote kwanye mwili wangu matatizo ya kiuchawi nataka namimi nifunguliwe mwezi huu kwa Jina la yesu
Nabii naomba nisaidie Nina changamoto kubwa kwenye familia yangu na maisha yangu kwa ujumla.. familia yangu ina matengano,uchumi wangu,elimu yangu na watu wanizungukao
Aminaaaa baba, yesu alotenda haya yote naomba atende na kwangu baba, MKONO WANGU WA KULIA umepooza baba na mpaka Leo sijajua tatizo Nini pastor naomba nisaidie.
Jambo nabii mimi naitwa marie josee nina matatizo nimetoka burundi niko apa canada ni meacha mwanag burundi adi kwasasa anaumwa sana nisaidie umombey mwanag apon kwasabab nina wasi wasi namwanag san sipati raha juu ya mwanag nauni saidie kwamaomb waniletey mwanag kwamahan namkumbuka sana nisaidie nabii ili mungu afany jambo lake
MUNGU nisaidie na uniongoze nisije ingia majaribuni nipngoze kanisa la kweli lenye kukutumikia ww kwa uhakika ni huzuni huyu namsikiaga kwenye radio eti anafufua hatukatai MUNGU Anaweza lkn nafsi yangu sijui kwann inakataa MUNGU nisaifidie🙏
Naitwa Maua Hassan tumeachan na mume wangu lakin ata kila mwanaume nnaempata anahaid kunisaidia uduma alaf naon anapotea sielew muelekeo WA maisha yang naomba unisaidie babaangu
Mtumishi okoa uchumi wetu okoa hapa tulipo Kuna mtu amedondoka Kwa mapepo na Mimi mwenyewe nahisi kudondoka lakini nashidwa nabaki kutetemeka mtume okoa maisha yetu ndoto zetu mama yangu anahangaika sana umaskini umetuelemea kaka yangu kashidwa kwenda chuo sababu ya uchumi tuokoe
Bwana yesu asifiwe baba kwamajina yangu naitwa joyce sanga kutoka bunju baba naomba msaada ninapata shida kwenye ndoa yangu pia baba naumwa ninaugonjwa wasukari baba naomba unitabirie napata shida sana
Bwana asifiwe mtumishi na kwamajina naitwa enjoy munisa naomba utabirie familia yako napia na mdogo wangu anaitwa devid ametapelia mshaara wake shilingi milioni mbili baba naomba nisaidie
Nabii nmeamin wew mungu kakushusha Tanzania, naomba niponywe marath yangu ya mda ya kiuno na mgongo pia homa mbalmbal amen , naitwa korudula leons
Mungu amekupa kibali kikubwa Sana mtumishi wa Mungu ubarikiwe san pia Mungu akupe maisha marefu uzidi kutusaidia wenye matatizo mbali mbali Amen 🙏
Naitwa Asanterabi Boniface Kihaga
Naomba unisaidie nabii, uchumi wangu umeyumba sana
From Kenya,nimeangaika sana baba nisamehe niombee nabii
Barikiwa sanah pastor kiboko ya wachawi ,naomba uniombee pia me nlitolewa kwa ndoa yangu na mamamkwe na bibi ya kijana yake kwa nguvu za unganga be blessed man of God as well continue praying for me
Aweee❤ Nmekuelewa mtumishi amina sanaa niombee na mimi
Amina mtumishi,,, naomba mchumba wangu afunguliwe honest afunguliwe Kuna kuvu za giza Zina muandama mtumishi
Bwana yesu asifiwe mtumishi kiboko ya wachawi, naomba unitabilie maisha yangu, mm Lazaro Josephat Lazaro
Barikiwa mtumishi wa mungu, naitwa Emmanuel nasumbuliwa naupotevu wa pesa katika mazingira yakutatanisha kwenye biashara yangu.
Pastor Dominic kiboko ya wachawi mungu aendelee kukubariki sana sana Godfrey kalisti kutoka sinza
Nabii ubarikiwe na Mungu mtumishi mimi naitwa Anna niko Arusha ninamtoto mtoto wangu mdogo wakati nikiwa mzazi kitovu chake kilipoteza ndani kwa mazingira ndiyo yaelezwa mtoto anaitwa goodlick
Mungu wa haya Madhibau aje anikombowe nimechoka na Maisha magumu🇩🇪
Nakukubali Mtumishi wa Mungu. Naomba Mungu anijalie nipate nauli nitafika hapo . Haleluya.
Unapata nauli ya kuja hapa unaambiwa wewe mchawi unamloga baba yako wallah
Bwana yes asifiwe mtumishi ninaomba mwombee mwanangu Gilbert anasumbuliwa na kitovu kina miaka 4 hakiponi baba nisaidie jamn
Mungu akutie nguvu mtumishi Ili ufanye kazi yake ipasavyo naamin nammi nitapokea uponyaji naamin kwajina la yesu amen.
Ameeeeeen pstr barikiwa sana mumishi wa mungu 2:59
Bwana yesu asifiwe baba nabii naomba nisaidie niongezewe mshahala wangu mie npo Oman nafanya Kaz
Baba nabii kiboko ya wachawi naomba mwanangu asha Ibrahim aongee na ufahamu wake uludi amen
Nakukubali sana baba MUNGU akupe maisha marefu,, nipoo Arusha Naomba utabiri neno kwa familia yangu baba tupoo tunakusikiliza wote hapa
Mungu nimwema sana,mtumishi wamungu naomba unisaidie kunitabilia maisha yang u nimagumusana.pia nataka unitabilie mamayangu ugonjwa wake yupo malawi
Baba nabii naomba nipate kibali mara 2 maboss zangu wanipende wasinichukie amen amen
Barikiwa mtumishi Naomba mume wangu afunguliwe na nguvu za giza tumekuwa ni watu wakugombana 2 hatuna amani na ndoa yetu
Baba nabii nakufatilia sana niombee nibalikiwe na family yangu yote amen
bwana yesu asiwe mtumishi kiboko ya wachawi naomba niombe nimekuwa mutume na maombezi mwenye maono lakini kimepungua kwa sababu ya mtoto wangu mimi mgonjwa wakutojielewa nisaidiwe mtumishi wa mungu
kama kweli ni mungu anatenda haya uendelee kuwepo ila kama ni uwongo ee mungu Israeli simama toa ule upanga wa Haki Amina
Ubarikiwe Mtumish Naitwa Kayus Joseph Minja wa Mungu na mke wangu amejifungua naomba umuombee apone
Bwana yesu asifiwe kiboko ya wachawi mtumishi mimi naitwa joyce lazaro naomba unitabirie maisha yangu maana kila biashara nayofanya haiendi uchumi wangu umeyumba
Tokea nianze kusikiliza maombi yako baba naona kabisa nabarikiwa amina baba mungu aendeleee kukueka
Ibada yake lini na lini
Utapeli hao wote wanajuana bana mungu atabaki kuwa mungu na huyu ni binadamu kama mimi
Msubiri MUNGU ashuke umuone akutumikie utakosa mengi.
@@pamelaouma6400 Bora nikose kuliko kumfuata mtu kama uyo
Barikiwa mtumishi wa mungu naitwa jackline koko naomba unitabilie maisha yangu maana nafanya kaz lakin hakuna hata kitu cha maana nimewah kufanya😢hata nikipata hela nimpaka iishe ndo nipate nyingne
Ubarikiwe mtumishi naitwa joselida Joseph naomba niweze kulipiwa ada na serikali
Naomba msaada baba Mama yangu anaumwa shida isiyoonekana ...Anapoteza kumbukumbu..Tuliambiwa na pressure lakini hospital lakini pressure hakuna.. Naomba msaada. NAOMBA PIA MSAADA JUU YA FAMILIA YANNGU
Tena sisi wanawake naona ndo tutakua wengi sana motoni coz tunatumika kwa wingi sana kufanya usanii kwenye makanisa ya uongo😢ni huzuni kwakwel MUNGU nisaidie
Hivi inakuwaje hadja hata kumkiri yesu ni bwana Sasa hapo anaponywa na nani mungu tusaidie
Umesema ukweli mtupu
John
John
John mushi
Ubarikiwe mtumishi naomba uniombee sana niweze kurudiana na mke wangu Asha shabani nkunya
Wanangu wabalikiwe kwa jina la yesu ameen
asee hapa umakini unahitajika...sisi tulienda hapa tukatangaziwa kwamba kama huna laki 5 ondoka hakuna maombi ya bure na kama unaona ni utapeli " tembea na yesu"... cha ajabu zaid ni pale ulipopigwa wimbo wa mapenz madhabahuni na wimbo wenyew ni " bring me back (ft .claire ridgley) [sped up] miles away...na kuna maji ya millita 600 ukifika tu unaambiw shart uwe na chupa 2 na kila moja inauzwa 2000, unajua pepo wenye nguvu nao hufukuza pepo wanyonge, fika mwenyew ukatazame usivunjike moyo
Baba naomba familia yangu ifunguliwe kiuchumi pia mtoto wangu ambae no mgonjwa apone
Mungu akupe maisha marefu mtumishi hakika unatenda makubwa Sanaa nabiii ubarikiwe sanaaaaa mungu ni mwema Sana jaman taifa limepata mkombozi
Yeeeeeeeesu wewe ni mchawi kuliko hao unaowaombea wokovu😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Hivi umemaanisha au unatania!!! Hamna nabii apo
Huo usanii mtupu,huwa wanawapanga,haiwezekani mama mzima akubali kupekuliwa kwenye mwili wake,aise Mimi wataniua hapo mbele lakini hakuna MTU atanikagua mwili wangu
Naitwa baraka lazalo,uchumi wangu umeshuka kwa kasi sana,hadi nimekuwa namadeni makubwa,naomba nitabilie nabii.
Kama niuchawi ,uongo,mm hainihusu na sifwati matendo yake kikubwa imani yangu na kupata uponyaji Mungu akujaalie nabii uwe zaid na zaidi
Mungu azidi kukubariki baba
Kweli mungu tuhurumie dah Hawa manabii wa siku za mwisho,wanaharibu utakatifu nakudanganya watu mungu tuponye
Hata hao manabii walioanza walificha makucha tu
Shetani yupo kazini. Anatengeneza na hasafisha
Yaan huruma
Eee mungu nisaidie namimi nifunguliwe matatizo yangu yoote kwanye mwili wangu matatizo ya kiuchawi nataka namimi nifunguliwe mwezi huu kwa Jina la yesu
Nabii naomba nisaidie Nina changamoto kubwa kwenye familia yangu na maisha yangu kwa ujumla.. familia yangu ina matengano,uchumi wangu,elimu yangu na watu wanizungukao
Aminaaaa baba, yesu alotenda haya yote naomba atende na kwangu baba, MKONO WANGU WA KULIA umepooza baba na mpaka Leo sijajua tatizo Nini pastor naomba nisaidie.
Jambo nabii mimi naitwa marie josee nina matatizo nimetoka burundi niko apa canada ni meacha mwanag burundi adi kwasasa anaumwa sana nisaidie umombey mwanag apon kwasabab nina wasi wasi namwanag san sipati raha juu ya mwanag nauni saidie kwamaomb waniletey mwanag kwamahan namkumbuka sana nisaidie nabii ili mungu afany jambo lake
Mungu akamponye mwanao
Ubarikiwe mtumishi. Tafadhali niombee Mungu anifingue
Ubarikiwe Sana Nabii,naitwa Adventina naomba kufunguliwa kiuchumi maana kila ninachofanya hakileti mafanikio
Amen,mambo yangu yanaenda kubadilika
MUNGU nisaidie na uniongoze nisije ingia majaribuni nipngoze kanisa la kweli lenye kukutumikia ww kwa uhakika ni huzuni huyu namsikiaga kwenye radio eti anafufua hatukatai MUNGU Anaweza lkn nafsi yangu sijui kwann inakataa MUNGU nisaifidie🙏
Amen naomba unitolee unabii
Be blessed Man of God. Hallelujah
Naitwa Maua Hassan tumeachan na mume wangu lakin ata kila mwanaume nnaempata anahaid kunisaidia uduma alaf naon anapotea sielew muelekeo WA maisha yang naomba unisaidie babaangu
Nisaidie kiboko ya wachawi nisaidie babaangu
Mungu akubariki sana..Nabii Ninakuombea maisha marefu
Mungu azidi sana kukuinua mtumishi
Baba naitaji neema ya mungu maisha yangu magumu sana Kipato Kila kitu ni vurugu tupu nimekua mtu wa shida na kuanza upya Kila siku
Naomba uniombee Kila ninachokifanya sifanikiwi nikishika Hela zinaishia mkononi kujenga imeshindikana maisha magum baba naomba unisaidie kuniinua
Nabii, uchumi wangu mbaya sana, naomba nisaidie... Kiboko ya wachaw
Hongera sana mtumishi wa MUNGU
unuliwa nabii
Mtumishi okoa uchumi wetu okoa hapa tulipo Kuna mtu amedondoka Kwa mapepo na Mimi mwenyewe nahisi kudondoka lakini nashidwa nabaki kutetemeka mtume okoa maisha yetu ndoto zetu mama yangu anahangaika sana umaskini umetuelemea kaka yangu kashidwa kwenda chuo sababu ya uchumi tuokoe
Baba naomba msaidie mamayangu anaumwa,anakohoa mwakawa kuminasita babamsaidie mamayangu apone,mamayanguAnaitwa Asha Ayubu
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Amina baba naitwa jesca nipo dodoma kibaigwa naomba uniombee nina moto anaitwa kevin babaake alimkataa mpaka leo naomba uniombee ilu babaake amtafute
Ubarikiwe sana mtumishi
Mungu nimwema..akumbariki naakuinue milele amen.ata Mimi niombee juu niinaona kwetu nikama hiyotu nikipata NO Yako twaweza kuongea saidi
Be blessed man of god. Haleluyaaa
Amen mtumishi naomba nifunguliwe na roho ya kukataliwa
Hi
Bwana yesu asifiwe baba kwamajina yangu naitwa joyce sanga kutoka bunju baba naomba msaada ninapata shida kwenye ndoa yangu pia baba naumwa ninaugonjwa wasukari baba naomba unitabirie napata shida sana
Daaah manabiii WA Siku hizi za mwisho niatr
Nabiii anakirimu kweli kbs
Amen barikiwa mtumishi
Mungu akutumie vyema kutuondolea watu wa baya jamani tumechoka kuteseka. Barikiwa
Ubarikie nabii kwa huduma yako nzur pia naomb unitabrie
Naomba unisaidie Mimi na familia yangu..mama yangu Esther na Baba angu gabriel.na Mimi katika Masomo yangu ..naitwa ANETH
Mungu ni mwema natamani sana kuonana na wewe nabii was mungu.
*Ahsante mtumishi Ubarikiwe sana*
Bwana asifiwe mtumishi na kwamajina naitwa enjoy munisa naomba utabirie familia yako napia na mdogo wangu anaitwa devid ametapelia mshaara wake shilingi milioni mbili baba naomba nisaidie
Baba Mungu akubariki utuombee baba tunamatatizo ya kifamilia tusaidie
Uponyaji katika jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye hai Amen
Nakuamin nakuelewa pastor Dominic.
Ubalikiwe baba naomba mungu anisaidie mim na familia yang
Baba naomba uiombe familia yangu kiafya kielimu na kiuchumi hayuko sawa na mume wangu
Bwana yesu asifiwe kwajina naitwa Petro natikea Arusha mereran naomba unisaidie baba familya yang
Naomb nifungulie kwa jina la yesu ahad ya biashara wanitafute tufanye biashara kuanzia leo 🤲🙏🏾
Mungu naomba kupitia maombi haya nisaidie mimi na family yangu
Kweli kabisa maingizo 😂😂😂 kwanza angalia kwanza mwendo mzima 😂😂😂
Wacha akusanye maokoto YA wajinga😂
Yaan wajinga ndio waliwao
Naomba nitabirie mama angu anaumwa sana pastor
POstar naomba nimepotelewa na chet kwa njia ya ajabu nisaidie
Bwana Yesu asifiwe wapendwa Mungu yupo,na kama halijakukuta uwezi amini
Balikiwa Sana mtimshi wamungu kwa kututoa ktk magumu. Mungu akubariki sana
Uyo mama usimuuwe ila muombe aache uchawi kwasambabu yesu ajaua ila aliponya
naitwa anna joseph naomb nifunguliwe kiuchumu,navitu vbya vya kichawi vinitoke🙏🙏
Eee mungu nataka nifunguliwe kiuchumi na mume wangu samwel apende kazi Eee yesu nisaidie mwaka huu
Baba naomba unitabirie ,🙏🙏🙏 thanks father
Naomba uniombee Mimi frahini maruchu mungu anifungulie riziki
The day is coming..... Kila mtu atavuna alicho kipanda
nabii kiboko ya wachawi naomba ufungue maisha yangu
Mungu akubaliki mtumishi
Hata ukisema uongo kutumia jina are yey atafany na wew utajuana naye mimi namuamini yesu christo aliehai
Amen ubalikiwe nabii
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I
Utapokea na mapepo wewe ndugu😄😄
Mungu akubariki sana mtumishi
Pasta nabii Dominiki Mungu akubaliki sana naomba unifunulie kwenye maisha yangu naitwa chansi nyela
Niwawapi
Mimi naitwa omari hosseni Mambo yangu magumu kipesa katika maisha naomba msaada