TAZAMA MAMA ALIYEKUWA AKIMROGA MKWEWAKE AJITOKEZA BAADA YA MAOMBI YA NABII KIBOKO YA WACHAWI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 12. 2023

Komentáře • 801

  • @user-hx9qf6vz4i
    @user-hx9qf6vz4i Před 27 dny +2

    Nabii nmeamin wew mungu kakushusha Tanzania, naomba niponywe marath yangu ya mda ya kiuno na mgongo pia homa mbalmbal amen , naitwa korudula leons

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 Před měsícem +4

    Mungu amekupa kibali kikubwa Sana mtumishi wa Mungu ubarikiwe san pia Mungu akupe maisha marefu uzidi kutusaidia wenye matatizo mbali mbali Amen 🙏

  • @AsanterabiBoniface
    @AsanterabiBoniface Před měsícem +2

    Naitwa Asanterabi Boniface Kihaga
    Naomba unisaidie nabii, uchumi wangu umeyumba sana

  • @user-li5ol8yo5l
    @user-li5ol8yo5l Před 9 dny +2

    From Kenya,nimeangaika sana baba nisamehe niombee nabii

  • @TehsHdhdh-lm3ow
    @TehsHdhdh-lm3ow Před 24 dny

    Barikiwa sanah pastor kiboko ya wachawi ,naomba uniombee pia me nlitolewa kwa ndoa yangu na mamamkwe na bibi ya kijana yake kwa nguvu za unganga be blessed man of God as well continue praying for me

  • @LeahCosmasNzoka-po3dr
    @LeahCosmasNzoka-po3dr Před 11 dny +1

    Aweee❤ Nmekuelewa mtumishi amina sanaa niombee na mimi

  • @JacklineMasawe
    @JacklineMasawe Před 3 měsíci +1

    Amina mtumishi,,, naomba mchumba wangu afunguliwe honest afunguliwe Kuna kuvu za giza Zina muandama mtumishi

  • @lazarojosephat4417
    @lazarojosephat4417 Před 4 měsíci +1

    Bwana yesu asifiwe mtumishi kiboko ya wachawi, naomba unitabilie maisha yangu, mm Lazaro Josephat Lazaro

  • @EmmanuelMachungi-kk7ys
    @EmmanuelMachungi-kk7ys Před 2 měsíci +1

    Barikiwa mtumishi wa mungu, naitwa Emmanuel nasumbuliwa naupotevu wa pesa katika mazingira yakutatanisha kwenye biashara yangu.

  • @godcalist5654
    @godcalist5654 Před 3 měsíci +3

    Pastor Dominic kiboko ya wachawi mungu aendelee kukubariki sana sana Godfrey kalisti kutoka sinza

  • @annajoshua
    @annajoshua Před 2 dny

    Nabii ubarikiwe na Mungu mtumishi mimi naitwa Anna niko Arusha ninamtoto mtoto wangu mdogo wakati nikiwa mzazi kitovu chake kilipoteza ndani kwa mazingira ndiyo yaelezwa mtoto anaitwa goodlick

  • @shanti-hd7zy
    @shanti-hd7zy Před 7 hodinami +1

    Mungu wa haya Madhibau aje anikombowe nimechoka na Maisha magumu🇩🇪

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 Před 6 měsíci +7

    Nakukubali Mtumishi wa Mungu. Naomba Mungu anijalie nipate nauli nitafika hapo . Haleluya.

    • @mrikongosi3151
      @mrikongosi3151 Před 4 měsíci

      Unapata nauli ya kuja hapa unaambiwa wewe mchawi unamloga baba yako wallah

    • @BethaJohn-es3fj
      @BethaJohn-es3fj Před 3 měsíci

      Bwana yes asifiwe mtumishi ninaomba mwombee mwanangu Gilbert anasumbuliwa na kitovu kina miaka 4 hakiponi baba nisaidie jamn

  • @user-li3ey4nc6b
    @user-li3ey4nc6b Před 4 měsíci +4

    Mungu akutie nguvu mtumishi Ili ufanye kazi yake ipasavyo naamin nammi nitapokea uponyaji naamin kwajina la yesu amen.

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m Před 4 měsíci +4

    Ameeeeeen pstr barikiwa sana mumishi wa mungu 2:59

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx Před 6 dny

    Bwana yesu asifiwe baba nabii naomba nisaidie niongezewe mshahala wangu mie npo Oman nafanya Kaz

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx Před 6 dny

    Baba nabii kiboko ya wachawi naomba mwanangu asha Ibrahim aongee na ufahamu wake uludi amen

  • @ShangweNgiroliti
    @ShangweNgiroliti Před měsícem

    Nakukubali sana baba MUNGU akupe maisha marefu,, nipoo Arusha Naomba utabiri neno kwa familia yangu baba tupoo tunakusikiliza wote hapa

  • @FransisMawanga
    @FransisMawanga Před 29 dny

    Mungu nimwema sana,mtumishi wamungu naomba unisaidie kunitabilia maisha yang u nimagumusana.pia nataka unitabilie mamayangu ugonjwa wake yupo malawi

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx Před 6 dny

    Baba nabii naomba nipate kibali mara 2 maboss zangu wanipende wasinichukie amen amen

  • @OliverKikole
    @OliverKikole Před 3 měsíci +1

    Barikiwa mtumishi Naomba mume wangu afunguliwe na nguvu za giza tumekuwa ni watu wakugombana 2 hatuna amani na ndoa yetu

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx Před 6 dny

    Baba nabii nakufatilia sana niombee nibalikiwe na family yangu yote amen

  • @christinenanzala6569
    @christinenanzala6569 Před 3 měsíci +1

    bwana yesu asiwe mtumishi kiboko ya wachawi naomba niombe nimekuwa mutume na maombezi mwenye maono lakini kimepungua kwa sababu ya mtoto wangu mimi mgonjwa wakutojielewa nisaidiwe mtumishi wa mungu

  • @drcharlesswai1123
    @drcharlesswai1123 Před měsícem +2

    kama kweli ni mungu anatenda haya uendelee kuwepo ila kama ni uwongo ee mungu Israeli simama toa ule upanga wa Haki Amina

  • @juniorjamhuri4348
    @juniorjamhuri4348 Před měsícem

    Ubarikiwe Mtumish Naitwa Kayus Joseph Minja wa Mungu na mke wangu amejifungua naomba umuombee apone

  • @JoycelAzarobalam
    @JoycelAzarobalam Před 3 měsíci

    Bwana yesu asifiwe kiboko ya wachawi mtumishi mimi naitwa joyce lazaro naomba unitabirie maisha yangu maana kila biashara nayofanya haiendi uchumi wangu umeyumba

  • @NaimahAbdi-xs7dk
    @NaimahAbdi-xs7dk Před měsícem +1

    Tokea nianze kusikiliza maombi yako baba naona kabisa nabarikiwa amina baba mungu aendeleee kukueka

  • @tabiangonyani3526
    @tabiangonyani3526 Před 6 měsíci +6

    Utapeli hao wote wanajuana bana mungu atabaki kuwa mungu na huyu ni binadamu kama mimi

    • @pamelaouma6400
      @pamelaouma6400 Před 5 měsíci +1

      Msubiri MUNGU ashuke umuone akutumikie utakosa mengi.

    • @tabiangonyani3526
      @tabiangonyani3526 Před 5 měsíci

      @@pamelaouma6400 Bora nikose kuliko kumfuata mtu kama uyo

  • @JacklineKoko-em9xb
    @JacklineKoko-em9xb Před měsícem +1

    Barikiwa mtumishi wa mungu naitwa jackline koko naomba unitabilie maisha yangu maana nafanya kaz lakin hakuna hata kitu cha maana nimewah kufanya😢hata nikipata hela nimpaka iishe ndo nipate nyingne

  • @user-px2ob8hd6z
    @user-px2ob8hd6z Před měsícem +2

    Ubarikiwe mtumishi naitwa joselida Joseph naomba niweze kulipiwa ada na serikali

  • @lightnessmlay4189
    @lightnessmlay4189 Před 3 dny

    Naomba msaada baba Mama yangu anaumwa shida isiyoonekana ...Anapoteza kumbukumbu..Tuliambiwa na pressure lakini hospital lakini pressure hakuna.. Naomba msaada. NAOMBA PIA MSAADA JUU YA FAMILIA YANNGU

  • @pendorobert3552
    @pendorobert3552 Před 5 měsíci +16

    Tena sisi wanawake naona ndo tutakua wengi sana motoni coz tunatumika kwa wingi sana kufanya usanii kwenye makanisa ya uongo😢ni huzuni kwakwel MUNGU nisaidie

  • @ashashabani5397
    @ashashabani5397 Před měsícem

    Ubarikiwe mtumishi naomba uniombee sana niweze kurudiana na mke wangu Asha shabani nkunya

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx Před 6 dny

    Wanangu wabalikiwe kwa jina la yesu ameen

  • @navierstokes7641
    @navierstokes7641 Před 29 dny +2

    asee hapa umakini unahitajika...sisi tulienda hapa tukatangaziwa kwamba kama huna laki 5 ondoka hakuna maombi ya bure na kama unaona ni utapeli " tembea na yesu"... cha ajabu zaid ni pale ulipopigwa wimbo wa mapenz madhabahuni na wimbo wenyew ni " bring me back (ft .claire ridgley) [sped up] miles away...na kuna maji ya millita 600 ukifika tu unaambiw shart uwe na chupa 2 na kila moja inauzwa 2000, unajua pepo wenye nguvu nao hufukuza pepo wanyonge, fika mwenyew ukatazame usivunjike moyo

  • @LeocadiaQamunga
    @LeocadiaQamunga Před 6 dny

    Baba naomba familia yangu ifunguliwe kiuchumi pia mtoto wangu ambae no mgonjwa apone

  • @jonathanbrayson6946
    @jonathanbrayson6946 Před 6 měsíci +5

    Mungu akupe maisha marefu mtumishi hakika unatenda makubwa Sanaa nabiii ubarikiwe sanaaaaa mungu ni mwema Sana jaman taifa limepata mkombozi

    • @scholarmawala1403
      @scholarmawala1403 Před 6 měsíci

      Yeeeeeeeesu wewe ni mchawi kuliko hao unaowaombea wokovu😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @scholarmawala1403
      @scholarmawala1403 Před 6 měsíci

      Hivi umemaanisha au unatania!!! Hamna nabii apo

    • @pieremchome5202
      @pieremchome5202 Před 6 měsíci

      Huo usanii mtupu,huwa wanawapanga,haiwezekani mama mzima akubali kupekuliwa kwenye mwili wake,aise Mimi wataniua hapo mbele lakini hakuna MTU atanikagua mwili wangu

  • @barakarazalo545
    @barakarazalo545 Před 18 dny +1

    Naitwa baraka lazalo,uchumi wangu umeshuka kwa kasi sana,hadi nimekuwa namadeni makubwa,naomba nitabilie nabii.

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před 6 měsíci +1

    Kama niuchawi ,uongo,mm hainihusu na sifwati matendo yake kikubwa imani yangu na kupata uponyaji Mungu akujaalie nabii uwe zaid na zaidi

  • @SilviaLuhumbika
    @SilviaLuhumbika Před 3 měsíci +4

    Mungu azidi kukubariki baba

  • @tumainimwakalinga4749
    @tumainimwakalinga4749 Před 4 měsíci +12

    Kweli mungu tuhurumie dah Hawa manabii wa siku za mwisho,wanaharibu utakatifu nakudanganya watu mungu tuponye

  • @SifaMwashite-dg3bl
    @SifaMwashite-dg3bl Před 5 měsíci +1

    Eee mungu nisaidie namimi nifunguliwe matatizo yangu yoote kwanye mwili wangu matatizo ya kiuchawi nataka namimi nifunguliwe mwezi huu kwa Jina la yesu

  • @nathaliakajubili3701
    @nathaliakajubili3701 Před 2 měsíci +3

    Nabii naomba nisaidie Nina changamoto kubwa kwenye familia yangu na maisha yangu kwa ujumla.. familia yangu ina matengano,uchumi wangu,elimu yangu na watu wanizungukao

    • @twalibabdully4987
      @twalibabdully4987 Před měsícem

      Aminaaaa baba, yesu alotenda haya yote naomba atende na kwangu baba, MKONO WANGU WA KULIA umepooza baba na mpaka Leo sijajua tatizo Nini pastor naomba nisaidie.

  • @user-mm6ys7ex6r
    @user-mm6ys7ex6r Před 5 měsíci +2

    Jambo nabii mimi naitwa marie josee nina matatizo nimetoka burundi niko apa canada ni meacha mwanag burundi adi kwasasa anaumwa sana nisaidie umombey mwanag apon kwasabab nina wasi wasi namwanag san sipati raha juu ya mwanag nauni saidie kwamaomb waniletey mwanag kwamahan namkumbuka sana nisaidie nabii ili mungu afany jambo lake

  • @inviolathaathanas7989
    @inviolathaathanas7989 Před 4 měsíci

    Ubarikiwe mtumishi. Tafadhali niombee Mungu anifingue

  • @AdventinaPhilimon
    @AdventinaPhilimon Před měsícem

    Ubarikiwe Sana Nabii,naitwa Adventina naomba kufunguliwa kiuchumi maana kila ninachofanya hakileti mafanikio

  • @gracerishandumilema278
    @gracerishandumilema278 Před 6 měsíci +3

    Amen,mambo yangu yanaenda kubadilika

  • @pendorobert3552
    @pendorobert3552 Před 5 měsíci +2

    MUNGU nisaidie na uniongoze nisije ingia majaribuni nipngoze kanisa la kweli lenye kukutumikia ww kwa uhakika ni huzuni huyu namsikiaga kwenye radio eti anafufua hatukatai MUNGU Anaweza lkn nafsi yangu sijui kwann inakataa MUNGU nisaifidie🙏

  • @JullyMushy
    @JullyMushy Před 2 dny

    Amen naomba unitolee unabii

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf Před měsícem +1

    Be blessed Man of God. Hallelujah

  • @user-uy3hn2wp8q
    @user-uy3hn2wp8q Před 4 měsíci +4

    Naitwa Maua Hassan tumeachan na mume wangu lakin ata kila mwanaume nnaempata anahaid kunisaidia uduma alaf naon anapotea sielew muelekeo WA maisha yang naomba unisaidie babaangu

    • @user-uy3hn2wp8q
      @user-uy3hn2wp8q Před 4 měsíci +1

      Nisaidie kiboko ya wachawi nisaidie babaangu

  • @Hawael-ek1ev
    @Hawael-ek1ev Před 24 dny

    Mungu akubariki sana..Nabii Ninakuombea maisha marefu

  • @user-xt9ne3uv5d
    @user-xt9ne3uv5d Před 6 měsíci +4

    Mungu azidi sana kukuinua mtumishi

  • @AnnaTemu-oj2uy
    @AnnaTemu-oj2uy Před měsícem

    Baba naitaji neema ya mungu maisha yangu magumu sana Kipato Kila kitu ni vurugu tupu nimekua mtu wa shida na kuanza upya Kila siku

  • @MeryMshana
    @MeryMshana Před 2 dny

    Naomba uniombee Kila ninachokifanya sifanikiwi nikishika Hela zinaishia mkononi kujenga imeshindikana maisha magum baba naomba unisaidie kuniinua

  • @OlivaryKileo
    @OlivaryKileo Před měsícem +1

    Nabii, uchumi wangu mbaya sana, naomba nisaidie... Kiboko ya wachaw

  • @barakamwalukomo2998
    @barakamwalukomo2998 Před 4 měsíci

    Hongera sana mtumishi wa MUNGU
    unuliwa nabii

  • @StellaVicent-lg6yy
    @StellaVicent-lg6yy Před 18 dny

    Mtumishi okoa uchumi wetu okoa hapa tulipo Kuna mtu amedondoka Kwa mapepo na Mimi mwenyewe nahisi kudondoka lakini nashidwa nabaki kutetemeka mtume okoa maisha yetu ndoto zetu mama yangu anahangaika sana umaskini umetuelemea kaka yangu kashidwa kwenda chuo sababu ya uchumi tuokoe

  • @AngelKifaru
    @AngelKifaru Před 6 dny

    Baba naomba msaidie mamayangu anaumwa,anakohoa mwakawa kuminasita babamsaidie mamayangu apone,mamayanguAnaitwa Asha Ayubu

  • @janemangowi4579
    @janemangowi4579 Před 6 měsíci +6

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @JescaMpweza
    @JescaMpweza Před 9 dny

    Amina baba naitwa jesca nipo dodoma kibaigwa naomba uniombee nina moto anaitwa kevin babaake alimkataa mpaka leo naomba uniombee ilu babaake amtafute

  • @JanethDesderius
    @JanethDesderius Před 6 měsíci +2

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @agnesnjoroge4328
    @agnesnjoroge4328 Před 6 měsíci +1

    Mungu nimwema..akumbariki naakuinue milele amen.ata Mimi niombee juu niinaona kwetu nikama hiyotu nikipata NO Yako twaweza kuongea saidi

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx Před 6 dny

    Be blessed man of god. Haleluyaaa

  • @user-oz9bd7kh5i
    @user-oz9bd7kh5i Před 3 měsíci

    Amen mtumishi naomba nifunguliwe na roho ya kukataliwa

  • @joycesanga-in6es
    @joycesanga-in6es Před 2 měsíci

    Bwana yesu asifiwe baba kwamajina yangu naitwa joyce sanga kutoka bunju baba naomba msaada ninapata shida kwenye ndoa yangu pia baba naumwa ninaugonjwa wasukari baba naomba unitabirie napata shida sana

  • @user-ct5yp7wk7l
    @user-ct5yp7wk7l Před 3 měsíci +1

    Daaah manabiii WA Siku hizi za mwisho niatr
    Nabiii anakirimu kweli kbs

  • @user-zu2lh6mn7v
    @user-zu2lh6mn7v Před 4 měsíci

    Amen barikiwa mtumishi

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 Před 6 měsíci +1

    Mungu akutumie vyema kutuondolea watu wa baya jamani tumechoka kuteseka. Barikiwa

  • @user-kg1sb3bl7u
    @user-kg1sb3bl7u Před 3 měsíci +1

    Ubarikie nabii kwa huduma yako nzur pia naomb unitabrie

  • @EstherForodhan
    @EstherForodhan Před měsícem

    Naomba unisaidie Mimi na familia yangu..mama yangu Esther na Baba angu gabriel.na Mimi katika Masomo yangu ..naitwa ANETH

  • @suzanngoty3827
    @suzanngoty3827 Před 6 měsíci +2

    Mungu ni mwema natamani sana kuonana na wewe nabii was mungu.

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne123 Před 4 měsíci

    *Ahsante mtumishi Ubarikiwe sana*

  • @EnjoyMuniss
    @EnjoyMuniss Před 3 měsíci +1

    Bwana asifiwe mtumishi na kwamajina naitwa enjoy munisa naomba utabirie familia yako napia na mdogo wangu anaitwa devid ametapelia mshaara wake shilingi milioni mbili baba naomba nisaidie

  • @valeriaothman9327
    @valeriaothman9327 Před 18 dny

    Baba Mungu akubariki utuombee baba tunamatatizo ya kifamilia tusaidie

  • @user-ky5cy1ux4z
    @user-ky5cy1ux4z Před 5 měsíci

    Uponyaji katika jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye hai Amen

  • @janethmkoba5145
    @janethmkoba5145 Před 5 měsíci +1

    Nakuamin nakuelewa pastor Dominic.

  • @SabinaAntonny
    @SabinaAntonny Před měsícem

    Ubalikiwe baba naomba mungu anisaidie mim na familia yang

  • @EufranciaNgombo
    @EufranciaNgombo Před 27 dny

    Baba naomba uiombe familia yangu kiafya kielimu na kiuchumi hayuko sawa na mume wangu

  • @PetroMasanga
    @PetroMasanga Před měsícem

    Bwana yesu asifiwe kwajina naitwa Petro natikea Arusha mereran naomba unisaidie baba familya yang

  • @MariamShagata
    @MariamShagata Před 3 měsíci

    Naomb nifungulie kwa jina la yesu ahad ya biashara wanitafute tufanye biashara kuanzia leo 🤲🙏🏾

  • @rehemayohanasamwelyrehemay5422
    @rehemayohanasamwelyrehemay5422 Před 5 měsíci +1

    Mungu naomba kupitia maombi haya nisaidie mimi na family yangu

  • @user-gw4vv5uh9z
    @user-gw4vv5uh9z Před 6 měsíci +8

    Kweli kabisa maingizo 😂😂😂 kwanza angalia kwanza mwendo mzima 😂😂😂

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 Před 6 měsíci +2

      Wacha akusanye maokoto YA wajinga😂

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga Před 8 dny +1

      Yaan wajinga ndio waliwao

  • @Abdallahsalim-po9ez
    @Abdallahsalim-po9ez Před 2 měsíci +1

    Naomba nitabirie mama angu anaumwa sana pastor

  • @joycerwechungura3182
    @joycerwechungura3182 Před 6 měsíci

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa Mungu yupo,na kama halijakukuta uwezi amini

  • @NEEMANGULELE
    @NEEMANGULELE Před 27 dny

    Balikiwa Sana mtimshi wamungu kwa kututoa ktk magumu. Mungu akubariki sana

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Před 6 měsíci +3

    Uyo mama usimuuwe ila muombe aache uchawi kwasambabu yesu ajaua ila aliponya

  • @latifaabla6441
    @latifaabla6441 Před 14 dny

    naitwa anna joseph naomb nifunguliwe kiuchumu,navitu vbya vya kichawi vinitoke🙏🙏

  • @SifaMwashite-dg3bl
    @SifaMwashite-dg3bl Před 5 měsíci

    Eee mungu nataka nifunguliwe kiuchumi na mume wangu samwel apende kazi Eee yesu nisaidie mwaka huu

  • @NancyrimoyVenancy
    @NancyrimoyVenancy Před měsícem

    Baba naomba unitabirie ,🙏🙏🙏 thanks father

  • @DominickSenya
    @DominickSenya Před měsícem

    Naomba uniombee Mimi frahini maruchu mungu anifungulie riziki

  • @user-le6jm2tf5y
    @user-le6jm2tf5y Před 6 měsíci +5

    The day is coming..... Kila mtu atavuna alicho kipanda

  • @deborambanga5759
    @deborambanga5759 Před 2 měsíci

    nabii kiboko ya wachawi naomba ufungue maisha yangu

  • @SalmaYusuph-jb1sx
    @SalmaYusuph-jb1sx Před 6 dny

    Mungu akubaliki mtumishi

  • @SULEMANRIJALI-fv1ji
    @SULEMANRIJALI-fv1ji Před 2 měsíci

    Hata ukisema uongo kutumia jina are yey atafany na wew utajuana naye mimi namuamini yesu christo aliehai

  • @user-ir6pv4oe5z
    @user-ir6pv4oe5z Před 4 měsíci

    Amen ubalikiwe nabii

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 Před 6 měsíci +2

    I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I

  • @rehemapeter5894
    @rehemapeter5894 Před 5 měsíci

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @CHANSIESAU
    @CHANSIESAU Před 6 měsíci

    Pasta nabii Dominiki Mungu akubaliki sana naomba unifunulie kwenye maisha yangu naitwa chansi nyela

  • @DoJong
    @DoJong Před 4 měsíci

    Mimi naitwa omari hosseni Mambo yangu magumu kipesa katika maisha naomba msaada