MTOTO ALIYEKATALIWA NA MZEE YUSUFU AONGEA KWA UCHUNGU - "TUKAPIME DNA, NIKO TAYARI KWENDA JELA"

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 15. 06. 2023
  • MTOTO ALIYEKATALIWA NA MZEE YUSUFU AONGEA KWA UCHUNGU - "TUKAPIME DNA, NIKO TAYARI KWENDA JELA"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 1K

  • @mariamselemani1366
    @mariamselemani1366 Pƙed rokem +14

    Mungu atakupa maisha mazuri saaaana mudogo wangu achana nailo lize lijaa lana mungu amulani

  • @vincej9275
    @vincej9275 Pƙed rokem +53

    Mimi sipendi sana kuandika comments lakini huyi Mzee Yusufu ana maneno mengi sana ya ovyo, yote haya ni kwa sababu hataki kufanya DNA. Vibaya sana kwa wazazi kama hawa, bora kufanya maisha yako kijana. God is on your side son, you don't need such kind of people in your life.

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Pƙed rokem +21

    Kijana muombe mungu basi niwengi watu walioishi dunian bila baba😱😱

  • @zahraswalehe1853
    @zahraswalehe1853 Pƙed rokem +21

    Angekuwa ana maisha asingemkana ila Mungu analipa achana naye huyo si baba anakana damu yake

    • @gracemsalila7735
      @gracemsalila7735 Pƙed rokem +1

      Kweli kabisa

    • @fatumasaid7421
      @fatumasaid7421 Pƙed rokem

      Mh vichekesho anajifanya mtu wa Sheria yamungu kweny hili mbona alimkana mungu akarudi Kwa ibilisi nyia hamshangai dadida?kamkana munguwake itakua mtoto

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Pƙed rokem +10

    Yani fanya maisha yako tu mdogo wangu, huna aja ya kupoteza gharama, uyo mzee kama nimuungwana angekuwa tu Mpole.

  • @RasulyOthuman-bb6mm
    @RasulyOthuman-bb6mm Pƙed rokem +28

    Huyu mzee yusuph mshenzi sana kama alienda kuhiji na akaapa kuacha mziki matokeo yake ameludi kwenye mziki, ina maana kamuasi mwenyezi mungu na ashindwi kumkana mtoto

  • @TwahaMukhsin
    @TwahaMukhsin Pƙed měsĂ­cem +1

    Pole xn kaka angu ww mwachie mungu atakuinexha njia mzuli uyo mzee amexhindikana kwa kwer mumefanana xn

  • @chaurembo9379
    @chaurembo9379 Pƙed rokem +42

    Mtoto wake lkn kwa jinsi avomkataa bora kijana afanye maisha yake tuu

    • @hiddenbway_
      @hiddenbway_ Pƙed rokem +5

      Shida watoto wakitoboa wakiwakataa wazee kama hao mnaanza kuwa simanga😱

    • @nawechi4818
      @nawechi4818 Pƙed rokem +5

      Yani mzee muongo sana na inaelekea anawatoto wengi sanađŸ€ŁđŸ€Ł

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 Pƙed rokem +2

      Yeah!!

    • @nawechi4818
      @nawechi4818 Pƙed rokem +3

      Halafu hataki kisikiliza anajifanya mkali balaaaa anajikuta anakimbilia sheriađŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

    • @nawechi4818
      @nawechi4818 Pƙed rokem +4

      Mzee utasema anaimba taarabuđŸ€Ł hataki kiskiza watu wanaongea nn

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 Pƙed rokem +24

    Dogo tafuta hela zako, maisha yako yakiwa safi hakuna wakukubabaisha. Baba ako ni Mungu.

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Pƙed rokem +11

    Mungu amuonyeshe baba yake sahii nae afurahie maisha yake

  • @semanayetv
    @semanayetv Pƙed rokem +3

    Mzee yusuph,hauelewi chenye unafanya,huyu mwenye unamkana,utamwiitaji siku Moja,nakuombea Mungu akupe maisha marefu ya uzee ndio ithihirishwe waasi

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 Pƙed rokem +5

    Huyo mtoto angekuwa tajiri alafu amtafute mzee ange sem ni wangu ALLAH ndiye anajua bx kija ww muacha kam hakutaki usifosi fanya maisha yk

  • @rukiamasayanyika2284
    @rukiamasayanyika2284 Pƙed rokem +9

    Ukweli ni kwamba familiar ni tamu na ndo maana huyo mtoto anajaribu kutafuta utamu wa baba jamani,
    Mzee aYusuph Mwenyezi mungu anatuamlisha tuwarendee wema hao watoto

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Pƙed rokem +15

    Kuwa na moyo kama wamondy tu mwanangu kuwa bize na maisha yako!

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 Pƙed rokem +1

      Naam upo sahihi maneno yako inshaallah kher

    • @dottomsuya6597
      @dottomsuya6597 Pƙed rokem +1

      Ila vijana wa tz

    • @dottomsuya6597
      @dottomsuya6597 Pƙed rokem +1

      Huyu anamtafuta mzee yusuph kisa njaaa DNA
      Sawa mwanangu kaaa mbali

    • @dottomsuya6597
      @dottomsuya6597 Pƙed rokem +1

      Alafu akishapata DNA ndio nini sasa

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 Pƙed rokem +2

      @@dottomsuya6597 mzee mwenyewe hana mpunga ndiyo maana hasira nyingi anajua majukumu yataongezekađŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @Halima-zx4pg
    @Halima-zx4pg Pƙed rokem +9

    Mimi nakushauli tafuta maisha yako silazima umtafute baba wakati ujazaliwa ndani ya ndowa achana nae awezikuku bali mtoto wamnje anakuwa wamama tu

    • @HappyHiker-nz9vg
      @HappyHiker-nz9vg Pƙed 2 měsĂ­ci

      Subuhanaallah 😱😱😱 mitihani wallahi

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 Pƙed rokem +4

    Ujana maji ya Moto na mimba haiingii kwa cku mbili, ukweli upo kwenye kupima DNA boss kubali kupima ili yaishe!!!!!!đŸ‘©â€đŸš€đŸ‘©â€đŸš€đŸ‘©â€đŸš€đŸ‘©â€đŸš€đŸ’—

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Pƙed rokem +9

    Mzee maneno mengi uongo mwingi Mungu yupo

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 Pƙed rokem +1

      Mzee amepanik

    • @fatmaomari7824
      @fatmaomari7824 Pƙed rokem

      Atamwamini nani kipindi kile alienda hijja mwisho kasema kaacha mziki lkn karud kwenye ufusika tena

    • @asiamohd5516
      @asiamohd5516 Pƙed rokem

      Ewa anaongea kwa hasira hajui mwisho wa ubaya aibu, anajuwa kila kitu kwenye moyo wake bas tu hakumpenda uyo mtto na hata ikikubalika km ni wa kwake bas atamchukia ndan ya moyo wake.

  • @FloranceLuqman-cg7qm
    @FloranceLuqman-cg7qm Pƙed rokem +25

    Nimesikia uchungu jaman huyu kaka anadhalilika pasipo na sababu amwachie Mungu tu atamlipia hamna haja ya kudhalilika namna hii 😭😭😭😭😭😭

  • @user-cl9hg3uc8e
    @user-cl9hg3uc8e Pƙed rokem +2

    Mimi ni mama wa mtoto 1 nanimetelekezewa mtoto wangu nalea mwenyewe ina ninachojisikia juu ya huyu kijana wallah mzee yusufu kama anamfanyia uyu mtoto ukatili namuomba mwenyezi mungu amzalilishe hapahapa dunian na ata akhera laana mkubwa uyu

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Pƙed rokem +10

    Angeenda kupima nae DNA issue ya kufanana haimfanyi mtu kuwa mtoto wake kufanana watu wanafanana na watu ambao hata hawajawahi kuonana nao kabisa wakapime DNA kupata uhakika

    • @atuganilemsomba3028
      @atuganilemsomba3028 Pƙed rokem

      Damu ni nzito mno na Mungu hatakuacha ufurahie maisha maana kwa kuikana damu yako

    • @AishaSaid-yg1ou
      @AishaSaid-yg1ou Pƙed 27 dny

      Huyu si kufanana tu..yeye kaambiwa na mama yake..na mama ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto..

  • @fridageorge2809
    @fridageorge2809 Pƙed rokem +9

    Jamani ni shida za ulimwengu ndio zinazomzalilisha huyo kijana angekuwa anajiweza asingemtafuta mtu anayemkataa msaidieni huyo kijana anachokitaka ili aishi kwa utulivu! Mwnyezi Mungu amsaidie!

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Pƙed rokem +7

    Kujikuta katika hali hiyo,unachokihitaji cha kwanza ni kuhitaji kuijua vizuri history yako ya kweli.boy anabusara sana

    • @fatmaa4134
      @fatmaa4134 Pƙed 2 měsĂ­ci

      Yeah, nilitaka kusema kuwa huyo dogo yuko makini na ndio ana busara, anakwenda na points

  • @FaridaIsaya
    @FaridaIsaya Pƙed měsĂ­cem

    Naumia sana starehe wafanye wao mtoto ateseke kwani hata kama co wake wanafanana amchukue tu hayo ni maisha 2 mi hata ckuelewi mzee yusuph tena hata anachokiongea ni utumbo tu na mungu wetu sote atamfungulia motor njia one love mdogo wanguuuuuu

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Pƙed rokem +2

    Mimi ningekuwa mawe Yusufu,ningekubali mtoto wangu ,maskini thawabu hiyo ,hata siyo wako,mleye thawabu Allah atakupa, it is so sad 😞

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 Pƙed rokem +4

    Uhu,!!đŸ™†â€â™€ïžSura tu inajieleza haina haja ya DNA, Mzee Yusufu Anajichanganya,Mungu tupe uhai tulee Watoto wetu tuliotelekezewa Had Wakue Duh!!! Inaumaa Sn😱

    • @maryharoun2853
      @maryharoun2853 Pƙed rokem

      Duniani wawili wawili Mimi nimefanana na mtu Muhimbili na Wala hatuna mahusiano.

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Pƙed rokem +9

    Mungu wangu wamefanana sana .mzee yusuphu hii ni aibu kwako namungu atakuuliza tu .

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Pƙed rokem +7

    Subhanallah, mtihani, Mungu akufanyie wepes mtto wangu hii dunia inamengi.

  • @eliasmanyama7874
    @eliasmanyama7874 Pƙed rokem +3

    Ani we mzee Ni mjinga kweli, mungu akiamua kuwapukutisha wanao wote uliozaa kwa ndoa, si utakuja kumpigia magoti huyu unaemkataa, maana hata haujui mwanao atakaekuzika Ni yupi

  • @zaramunir8238
    @zaramunir8238 Pƙed rokem +3

    Kwa nini wakilii??? Huyu siyo muislam kwanini ana roho ngumu hivi Subhanallah 😱

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Pƙed rokem +12

    Kuna watu wanajiweza hiv baba asinijali utotoni Nije kumtafuta ukubwan wa Kaz gani

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Pƙed rokem +9

    Mzee Yusuf acha unafki una mdogo wako wa kiume yupo kama huyo mwanao unaemkana mdogo wako michenzani pale yupo km huyo tena bora mwanao anaongea naeleweka mdogo hawezi kuongea vzr hat akiongea umuelew muogope Mungu mwanaume ww umeenda maka umekuja kuharbu duniani unamdanganya had Mungu

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Pƙed rokem +6

    Mzee Yusuf, hivi ulitaka picha yanini wakati mtoto huyu unafanana nae? Wanaume acheni kukataa watoto wenu ni aibu! Ni shida ni kichefu chefu.

  • @DotoSimbe-de6ir
    @DotoSimbe-de6ir Pƙed rokem +14

    Kuma wewe Mzee Yusuf motoni kataa Malaya sio mtoto

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Pƙed rokem +16

    Aibu kweli mzee yusuph acha ujinga Mungu hawez kukusaodia Wala kukubariki hiyo damu ykoo

  • @user-mf7tz4go2x
    @user-mf7tz4go2x Pƙed rokem +16

    Kama mtu kamhadaa mungu kuwa haimbi tena mbona kumkataa mtt ni kawaida tu

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Pƙed rokem +8

    Huyu mtoto niheri afanye maisha yake tu mbona umeshakuwa mkubwa wewe fanya mambo yako

  • @ShangweSylus-nf6we
    @ShangweSylus-nf6we Pƙed rokem +10

    dogo achana na huyo mzee yusuph ni mwanaume kama wanaume wengine ila hafai kuwa babako,we kaza tafuta pesa umri bado ipo siku utampata baba hata wa bandia kwani baba kitu gani?baba mwenyewe ana watoto dunia nzima hana jipya kwa sasa unamng,ang,ania wa nini? fanya kama alishakufa tu.Nimesikia uchungu jaman ila wanaumeeee 😱

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Pƙed rokem +10

    HUYU MTOTO ANAFANANA SANA NA MZEE YUSUPH.

  • @user-gv1op1oh2c
    @user-gv1op1oh2c Pƙed rokem +1

    Mzee yusufu mungu anakuona umeniliza sn leo

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 Pƙed rokem +2

    Inamaana yusuph.malaya Sana Hadi hajui wanawake aliolala nao

  • @godlovemahenge7448
    @godlovemahenge7448 Pƙed rokem +4

    Fanya mambo yako ndugu yangu achana naalie kukana mungu hamtupi mja wake

  • @hawahawa8441
    @hawahawa8441 Pƙed rokem +13

    Mtoto wake kweli wanafanana kilakitu jmn

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og Pƙed rokem +1

    Ndugu yangu 2pambane mm mwenywe nilikataliwa na mzee wangu ila maisha2 2pambane

  • @AbdoulsudaisSuleiman
    @AbdoulsudaisSuleiman Pƙed 7 dny

    Maashallah 😱 huyu ni mwanae kabisa😱

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 Pƙed rokem +34

    Kitanda hakizai haramu na mtoto hana makosa yoyote hapo, so sad mzee yusufu mpumbavu tu😱😱😱😱. Unakataa vp damu yako

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Pƙed rokem +4

      Turekebishana kwenye msemo wa kitanda hakizai haramu, maana yake mke na mume waliooana ikatokea mwanamke akazaa mtoto akiwa ndani ya ndoa na sio wa mume wa ndoa ndio wazee wakija kusuluhisha wanamwambia yule mume kitanda hakizai haramu kwa maana huyu Mke wako mnalala kitanda kimoja na mtoto mkubali kitanda hakizai haramu, msipotoshe msemo

    • @deeruta9894
      @deeruta9894 Pƙed rokem +5

      @@darajalakidatukilomgi2362 but hakuna mwana haramu bali kuna kitendo cha haramu

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Pƙed rokem +1

      @@darajalakidatukilomgi2362. Kweli. Nawazee hutumia kitanda hakizai haram kwa sbbu kidini ya kiisilam mke alokua ndani ya ndoa akipata uja uzito wa nje na ushahidi uwepo mpaka wa DNA lkn sheria ya kiisilam ni wake. Na Yule alompa mkewe ujauzito hua mtto si wake hata km DNA itaonyesha kua ni wake.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Pƙed rokem +1

      @@deeruta9894 kweli hakuna mwana haramu, umezaliwa msafi waliotenda kitendo cha uharamu sio mtoto

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Pƙed rokem

      @@Fear_Allah394 Asante umeelezea vizuri sana, sheria imekwenda mbali hata mke akiondoka bila Talaka wale watoto wa mume wa ndoa

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Pƙed rokem +3

    Reila inamana humuoni huyo mtoto naukamshauli huyo mzee yusuphu kuwa mtoto ni wake .mh .hii aibu mzee yusuphu mtoto ni wako jamani.mmefanana sana zaidi ya sana

  • @abubakarmohammed2613
    @abubakarmohammed2613 Pƙed 11 dny

    Sheria ya kiislamu iko wazi juu ya swala hili, mtoto yeyote anaezaliwa nje ya ndoa huwa ni wa mwanamke wala siwa mwanamume sababu sheria haitambui mtoto wa nje ya ndoa. Au kibinaadamu kutoa usaidizi sidhani kuna makosa lkn pia kijana kujilazimisha sana kwa mzee yusuf yatokana na umaarufu wake sana!

  • @CharlesNdege-om5oe
    @CharlesNdege-om5oe Pƙed rokem +2

    Duh!! Wanafanana sana, Mzee Yusuph achukue mwanae huyo ni damu yake

  • @mchinatz9335
    @mchinatz9335 Pƙed rokem +6

    Wewe mzee ulaaniwe na mungu

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Pƙed rokem +4

    Watu wa Taarabu mnatuangusha kukataa watoto, wenzenu wanakesha kutafuta hata wa kusingiziwa nyie mnakataa kwa ukali, juzi alihojiwa mjukuu wa Malkia Kopa naye sijui imeishia wapi

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Pƙed rokem +1

    Kijana Muachie Mungu Ndie Akimu WA Yote Uzima Ndio Muimu Sana Pambana Na Mungu Atakupigania Insha Allah

  • @user-bd8ss6sp1e
    @user-bd8ss6sp1e Pƙed rokem +1

    Mungu ndio anajua hivi kweli hiyo sura anakataa

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 Pƙed rokem +4

    Kama mm nakiburi changu hichi siwezii kujikomba Kwa baba ambaye Hana upendo na mm, dogo Fanya maishaa yakoo unafeli nn achaa kijazilirishaa,

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Pƙed rokem +5

    Kumbe huyu mzee hana akili hivi .mtoto wakwako bado unakana kweli .mzee unamkosea mungu .loo haya huna

  • @mzarendo.com9624
    @mzarendo.com9624 Pƙed rokem +1

    Daaah !!! Mzee Yusuph, wee nyoko sana mbona unafanana sana na huyo mtoto?
    Acha usenge mkubali mwanao kitanda hakizai haramu !
    đŸ„șđŸ„ș😳😳

  • @yusuphmatinya8560
    @yusuphmatinya8560 Pƙed 3 dny

    Fatamaishayakodogo mungu yupo wengi hawana baba

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t Pƙed 2 měsĂ­ci +4

    Mwenyez mung awalahani sana mwanaume wanae wakataa,,damu zao moto unawares

    • @user-cu5jr7yc8n
      @user-cu5jr7yc8n Pƙed 2 měsĂ­ci

      Wallah tena watalaniwa mpaka basi wamenisinyiya jitu nikirango alafu yukana mwanae YA ALLAH waume waina hii walani mpaka siku ya kiama😱😱😱😱😱

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Pƙed rokem +27

    Mdomo pua usemaji kichwa macho na anasema kwa usahihi Mzee Yusufu wewe unaleta Usani tu ni mtoto wako

    • @tatukingi2543
      @tatukingi2543 Pƙed rokem

      Mzee Yusuf ana leta mashahiri kwa hili Jambo mtt amesema vzr tu nimemuelewa yeye aliambiwa na mmke Baba alokua anaishi nae c bbke . Bbke ni MTU fulani SASA hayuko duniani mbona kama huyu mtt c wake asikubali Tu DNA analeta maneno mengi

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Pƙed rokem +2

    Dah kijana fanya maisha yako mzee hakutaki kwasababu huyo mzee kasema hata dna haitasaidia kitu

  • @theresiapatrick7860
    @theresiapatrick7860 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Huyo Mzee ana ugonjwa wa ajili, lkn kikubwa huyo mtoto amuombe mungu amjaalie maisha na uhai, Toto lamfanana km Nini!!!!! Amuache mungu stamps malipo yake.

  • @jestinaluvanda-jm4tc
    @jestinaluvanda-jm4tc Pƙed rokem +4

    Sasa mkondo wa wa sheriia wa nini kwani mtoto hajui ameambiwa tu na mama. Kama sio baba basi yaishe DNA iseme

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc Pƙed rokem +4

    Mpaka nimejisikia vibaya mtoto mtiifu na anaongea kwa machungu jomon😱 Mungu atakutetea

  • @EdiltrudesMalivata
    @EdiltrudesMalivata Pƙed 2 měsĂ­ci

    Mzee Yusuph Una dhambi kumkataa huyo mtoto,kama bado hujatengeneza nae tengeneza mapema,kabla hayajakukuta Mambo.
    Maana mtoto huyo ni wako,duniani hata mbinguni.
    TENGENEZA 🙏🙏

  • @user-gb1oh9vk9f
    @user-gb1oh9vk9f Pƙed rokem +1

    Kuwa na roho ya chibu mungu ata ku bless😱😱

  • @abdulshakurmshindo9040
    @abdulshakurmshindo9040 Pƙed rokem +3

    Kosa ni la Mama ake Mwenyewe kwa kumnyima haki mtoto wake kama angemzaa ndani ya Ndoa leo mtoto asingetanganga na Kwa sheria ya Muumba huyo si mtoto wake hawawezi kurithiana

    • @shakilabakari6928
      @shakilabakari6928 Pƙed rokem

      Haswaa ni kweli kabisa kaka yangu tuwe makin kwamaana hapo mtoto ni wamama nasiwababa kwahyo makosa ni yamama

  • @himidmkuya7381
    @himidmkuya7381 Pƙed 2 měsĂ­ci +3

    alitaka iwesiri sasa alihaji mungu anakufedhehesha unachezea laana za mungu

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Pƙed rokem +2

    Hii mizee mingine mabubuazi wewe huyu mtoto No Comment kwa mzee Yusuf mungu Atamuangamiza kama kweli huyo mtoto wake đŸ‡č🇿

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Pƙed rokem +2

    Watoto ni baraka, mpokee mtt na umuombe Mungu utakuwa na amani, hivihivi hilo litakusumbua maisha yako yote mzee Yusuf

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 Pƙed rokem

      Wanaume wanapenda kuchepuka mwisho wasiku wanajidai sio wachepukaji wanona fedheha kiukweli nimwanae hata akimkataa lakini nimwanake

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 Pƙed rokem +6

    Maskini so sad vile kutafuta ujauzito nishida

  • @simonitaagesti4765
    @simonitaagesti4765 Pƙed rokem +16

    huo muda wakumtafuta baba asokutaka nibora ungetafakari nn ufanye mdogo wangu

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 Pƙed rokem +1

      Nafikir anataka kujua ukoo wake

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 Pƙed rokem +4

      Saa nyingine waitafuta ukoo kumbe waitafuta balaa yani kama ni nimsikivu wa maoni ya watu angewachana na huyu Mzee

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Pƙed rokem +1

      Ss wazanzibar mtt ukizaliwa nje ya ndoa mama hiyo ni zawadi yako dogo pambana na hali yako kuliko kupita Maredio kumzalilisha mzee wa wezio

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 Pƙed rokem

      @@rizikiabdalla2501 kumbe Zanzibar sio Tanzania

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 Pƙed rokem +2

      Kama wazanzibar ni hivyo mtoto wa nje ya. Ndoa hakuhusu lakin zinaa inamhusu alilima akapanda mbegu hayo mavumo yake kina na akhera nayo yatungoja Allah atuongonze

  • @LucyHuseni
    @LucyHuseni Pƙed rokem

    Jaman namuomba mwenyezi mungu Hawa watoto wanaokataliea nawazazi wao wawe matajir kupita maelezo amina

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Pƙed rokem +2

    Mimi ningelikuwa na namba ya mzee Yusuf ningemuelekeza kwao uyo mtoto kwa babu yake mzaa baba anaitwa anaitwa mzee mashuguli

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Pƙed rokem +3

    HUYU MZEE ATAHONGA ILI AONEKANE CY MTOTO MTOTO WAKE KWAKUKWEPA AIBU. SERIKALI SIMAMIENI HILI.

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Pƙed rokem +6

    Mzee Yusufu mbona unatoka kipovu mtoto ni wako hata DNA aipindishi

  • @user-dr1pf3hx2e
    @user-dr1pf3hx2e Pƙed 3 měsĂ­ci +1

    Mdoko wangu potezea mungu ndo baba usijali,wanaume ndo walivyo

  • @FatumaBakari-qo6up
    @FatumaBakari-qo6up Pƙed měsĂ­cem +1

    Mnapozini sheria dini hamuioni kwenye matokeo mnaona maandiko ya mungu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Pƙed rokem +14

    MBONA UNA HEPA DNA MZINIFU WEWE.

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 Pƙed rokem +1

      Mambo juu ya meza. Mbwa. Mbwa. Mbwa, mzinifu mkumbwa hiyo. Hahahaha.

    • @user-dg4zc2un1y
      @user-dg4zc2un1y Pƙed 2 měsĂ­ci

      😂😂😂😂ATI mizinifu

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Pƙed měsĂ­cem

      huyu mzee alikuwa kipindi kile moto sana wanawake walikuwa wanakuja wenyewe wanakupa utamu huyu dogo wako

  • @abdallahmkubwa1796
    @abdallahmkubwa1796 Pƙed rokem +5

    Tatizo ww mzee Yusuf umeritad na ndio maana hapana mtu atakae kuamini

  • @VidzoDama
    @VidzoDama Pƙed měsĂ­cem

    Mungu akulani kifo umbwa ww kitanda hakizai haramu hiyo ni damu yko mungu atatoa ukwli😱😱😱😱

  • @paulcosmas7941
    @paulcosmas7941 Pƙed měsĂ­cem

    Pole kwako kaka fanya maisha yako unless uniambie kuwa unashida ya kiafya achana na huyo mzee

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 Pƙed rokem +5

    Tafuta pesa mwanangu yeye ndio akutafute lakini huyo Mzee yusuph ni Baba yako

  • @stelayunami7779
    @stelayunami7779 Pƙed rokem +6

    đŸ„ČđŸ„ČAnavyomkana jamani mbona kafanana nae sana tyuu,,,

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Pƙed rokem +1

    Mzee Yussuf ana maneno mengi ila huyu mtoto ni wake wanafanana sanaaaaa

  • @nasrahassan8067
    @nasrahassan8067 Pƙed rokem +5

    Wamefanana uyo mzee Allah atamlipa

  • @lydialidike3029
    @lydialidike3029 Pƙed rokem +2

    😭😭😭pole sana kaka yangu hata mimi sina papa nakuelewa sana 😭😭😭😭😭

    • @rushdamohammedi
      @rushdamohammedi Pƙed rokem

      Achananae nibola mama co baba we w nimtoto wakiume ni babatosha

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Pƙed rokem +2

    Mhuuu inauma sana pole sana kijana wangu mungu atakusaiidia utapata maisha uako

  • @rahmapelembela-oq4yd
    @rahmapelembela-oq4yd Pƙed rokem +1

    Huyo mtoto ni wa mzee Yusuph kabisa mungu atamchoma moto huyo baba

  • @fakihassan9021
    @fakihassan9021 Pƙed rokem +6

    Mzee yusufu alikua mzinifu sana anakata mtoto wake Doo hatari jamani

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Pƙed rokem +11

    Aisee namuelewa uyu mtto kuwa na famiria raha jmn japo kunafamiria myu anatamani hawe pekeake lkn hakuna kitu kzur kama famiria mtto anataman hawe na famiria na ndiomana anatafuta baba yake wanaume mungu hanawaona mnaokata dam zenu na wanaume kama mzee yusufu wapo wengi sana wanaokata dam zao sio vizuru anataka faraja mtto amjue baba yake jmn wanawake wenzangu tuturieni tuzae na wanaume wariokuwa saihi na ndani ya ndoa iri tusiwasiri watto wetu kama hiv tunawaumiza jmn kanitia uchungu mtto hanadharirika jmn

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Pƙed rokem +1

    Uyu mtoto Ana dhambi sana yani shutuma Anazo zipata mzee Yusuf mungu atamuukumu uyu mtoto

    • @juliethgerald3730
      @juliethgerald3730 Pƙed rokem +2

      We nilijinga ase

    • @aishaabdullah837
      @aishaabdullah837 Pƙed rokem

      @@juliethgerald3730 Sawa mjanja ww unaye amini kudanganywa

    • @fatmaomari7824
      @fatmaomari7824 Pƙed rokem

      Ndio limwehu hili huyu mtoto asingejiamini kupima DNA hili zee linaishi maeneo ya charambe

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 Pƙed 29 dny

    Ka msaliti mungu msikiti wa makka na kaburi la mtume madina atakubali mtoto aliezaa nje ya ndoa.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Pƙed rokem +3

    DINI HAIJASEMA KUWA MTOTO WA NJE YA NDOWA SIO WAKO IMESEMA HAWEZI KURITHI MALI YAKO UKIFA MADAMU UKO HAI UNATAKIWA UMFANYIE KILA KITU MZINIFU WEWE

    • @nigamo9645
      @nigamo9645 Pƙed rokem +1

      Sawa sawa

    • @siasia5469
      @siasia5469 Pƙed rokem

      Huwezi kulima shamba kwenye shamba ambalo sio lako alafu mazao yakawa yako Allah amekataza wanaume juu ya ilo jambo na ndiomaana ikiwa itapatikana mimba kwa njia iyo ya uzinifu basi mtoto anakua ni wa mama na mpaka majina ya ukoo atatumia ya mama. Mtoto uyo anakua hana haki yoyote kutoka kwa uyo baba kwaio apo hata wakapime DNA na itoke asilimia mia moja kua baba yke ni uyo mzee lkn sharia haiwezi badilika ikamfanya uyo mzee ni baba ake ksb njia ilotumika kumleta duniani lakini mtoto hana makosa yoyote na anakua sawa kama watoto wengine makosa ni hao wazazi walioamua kumleta katika mazingira ya zinaa

  • @agnesmwaipopo8287
    @agnesmwaipopo8287 Pƙed rokem +4

    Mi nimeumia sana, kama kweli baba anamkana mtoto wakati ni damu yake ni dhambi sana.

  • @AbdoulsudaisSuleiman
    @AbdoulsudaisSuleiman Pƙed 7 dny

    Dah 😱 nimetoa chozi wallah 😱 Acha tumuachie Allah tu

  • @amanichidyboy2900
    @amanichidyboy2900 Pƙed rokem +5

    Mzee anajua km ni mwanae kbs

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Pƙed rokem +5

    Sasa Dida wewe si mke mtarajiwa wa Mzee Yusufu mpokee mtoto wa mume wako mtarajiwa😂😂

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 Pƙed rokem

      đŸ€ŁđŸ€Ł Alaa kumbe da dida Hana neno kama kina ukweli hapo in sha allah atamshaur atamsikiza

    • @happymchomvu6766
      @happymchomvu6766 Pƙed rokem

      Makubwaa

  • @user-dy5qo6oi2q
    @user-dy5qo6oi2q Pƙed rokem +2

    Huyu jamaa anajifanya mjanja ila mungu analipa haha duniani huyu moto Hana hatia😱😱

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 Pƙed rokem

    Lakini kinana huyo mzee halikukataa tangia mda tuu lakini mungu adhidi kukulinda đŸ‘đŸ‘đŸ‘đŸ‘đŸ–€đŸ–€đŸ–€đŸ˜ąđŸ˜ą

  • @damianmalley8675
    @damianmalley8675 Pƙed rokem +3

    Hahhhhah😂😂😂😂😂
    Nmecheka kweli😂😂😂😂😅😅

  • @hopekrish5433
    @hopekrish5433 Pƙed rokem +3

    Huyu mzee mjaalaana mbwa huyu ameweza kwenda manka na akaludia kufanya ufusikq sembusem kumkana mtoto