BIBI ATUHUMIWA KUISHI NA MSUKULE WA KIZUNGU/UKWELI WOTE HUU HAPA
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 17. 08. 2021
- WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Wanamuonea donge bibi anawatoto wa kizungu bibi masha Allah unawatoto wazuri
Umeona ee
@@user-wv3th2ln4d yah
@@manasadunia3458 masha llah ana watoto wazuri
Amina
@@user-wv3th2ln4d Masha allah
Mapenzi ya mama ni makubwa mnooo!
Mama Mungu akupe uhai mrefu na akubariki uzee wako uwe na furaha! Nakuelewa sana!đ
Watanzania tuna shida kubwa sana ,,tunaacha kupambana na serikali inatuongezea makodi kila siku tunaanza kufuatilia maisha ya watu
Kwahakika ounayo yasema niukweli binadamu hafikiri yale yanayo mpasa afadhali washuhulikie nakazi zitakazo wasaidia maesha hata kazi ya mama nitile nikazi badala ya kukaa namawazo yakishetwani
Kwelikabisa
Hahaha kukuta ww
SubhanAllh jamani watu tusipende kuongea vitu ambavyo hauna uhakika navyo sio vizuli kabisa yani pole sana bibi kwa changamoto unazo pitia
Dotto mambo
czcams.com/video/nDricn2wnhs/video.html
Subhhana Allah jamani tuacheni kuzua hiyo sio vizur masikini bibi bora uhame đąđą
Omg, kama huyu bibi anayosema nikweli watu wamuombe huyo bibi msamaha haraka sana đ
Kweli mimi mwenyewe imeniuma
Yeah maskini
Nani kama mama
Kweli kabisa
Sana na ikiwezekana bibi akashtaki kwa kuzalilishwa ila sishangai manake ukimjuwa mchawi lazima unawanga nea this was so bad I wish ningekuwepo hapo karibu nimfinze huyu bibi hatua yakuchuwa kwa uzalilishaji huuu manake yangekuwa mengine kama srkali haingeingilia meneno hiii
Jamani mm mama huyo namjua sana siyo mchawi kabisa namjua alishi kigboni maeneo ya Tungi na huyo Dadaye mwenye Asili ya kizungu namjuwa ni Watu wema sana sana
Huyo mzungu kabisa Hana mixed muangalie vizuri
Pole sana bibi kwa changamoto na mitihani ya maisha đ Masikini ya mungu mpaka unaitwa mchawi, bora ahame iloeneo awezi kukaa kwa Amani
Polesana Bibi
Waliokuita mchawi nibinadamu hawajakamilika wasamehe maishayaendelee sahau yaliopita
Bei I Think
Bei I Think It Is aa and construction of a good aa
Mungu akubariki Bibi đđŸ
Mzungu alichukua rafiki wa bibi akasepa. Hao wote wanae. Na si mzee kihivyo. Ni maisha tu jamani.
Wabongo hatari
Toto baya zuri kwa mama ye muheshimu sana mama ungali yupo hai đ
Kweli jamaa hakika
Mama bora God bless you đ
Wadau wenye uwezo msaidieni hyu mama na vijana wake, Mungu atawalipa Insha'Allah
Maashaallah , mama alipata wazungu wake mwenyewe. Kazaa wanae wazuri. Ila.mtihani ummkuta, kijana ana stress anamtaka baba yake
Awatafute mtt akitaka baba mpeleke
Pole bibi Mungu akusimamie na wananchi kabla ya kujaji ulizeni kwanza
May Allah give you strength and longlife too,he's there for you he will protect your family Mama,Good luck Inshallah đčđ€Čâ„ïžâ€ïžâ„ïž
Muda mwingine mama zetu wanaaivishwa lengo tu kututetea sisi watoto,weka namba zako za simu tukuchangie wengine tumeguswa na haya yaliyo kukuta mama
Pole sana mama Mungu akufanyie wepesi
Acheni umang'aa aki mtto wake. Angalieni mama mwenye mnamuuliza maswali jameni.
Mungu shahidi hii kitu kimeniuma huyu bibi namjua alishawahi kuishi kigamboni. Hana hatia. Mungu tusamehe ila sisi binadamu Daaahhh. Sema imeniuma sana sana tuuu
Pore mama yangu kwamajukum yakiduniya yatapita mngu yupo pamoja na wewe atapona mwanao wanao sema nimusukure nawao siwao hawarijuwi waritedaro đđđđđđđ
Ila tusilaumu sana yy kuitwa mchawi pengine mungu alipanga iwe hivi ili aweze kupata msaada
Ni kweli Allah ndo mjuzi wa kilajambo na allh ndo mpangaji wa ridhiki atajua skupe vp ridhiki
kweli kila jambo lina sababu ila nimeumia sana
Mipango ya Mungu soo Kama ya wanadamu
ni kweli
Bibi yuko vizur aachwe huru
Subhanaallah binadamu tunamambo iko siku nasisi umri ukisogea tutaitwa wachawi
Ni kweli wajina
Shida hino ipo huku bongo tuuu. Mithiani wallahi
Kabisa
Yaan mpaka nimetoa machozi binadamu jamani kaah
Yaani Mungu atusaidie wamama na watoto wetu!
Watanzania nakuhisihisi watu....ndomana mkonyuma sikuzote
Uyu mama ninoma watoto wote tutawapeleka ubalozin
we upo kwhyo
Wamuombee msamahaa uyo Bibi da!
Huyu mama anaitaji kusaidiwa kwakweli bona binadamu tuko hivi bona wanamtia huyu mama aibu tu mungu anawaona.
Wabongo wana imani chafu, jamii ya kishenzi sana.
Uchawi ndio mnawaza tu.
Omba yasikukute tu
Kabisaaa
Ndio mana watazidi kua maskini
Kudhiirisha ujinga ambao unaleta umaskini,,watu waende kazi
Ni akili ya mtu maskini ndo inawaza hivi
Yaani wabongo wakiamka asubuhi badala awaze atapataje riziki anawaza wapi apate tukio asambaze umbea,ee Mungu tufundishe kunyamaza hasa kwa yasiyotuhusu.
Watamuharibia hata biashara watu waogope kula unga wake wa muhogo acheni wivu wabongo ndo maana mnachelewa kupata maendeleo đđđđđđ
Pore sana mama yanguđđđđđđđđ
Roho imeniuma huyu Bibi nahis anaonewa
Pole sio poređź
Kakosea bb huo cyo utaratibu wa kumsaidia haki haijatendeka huwezi kumfungia binadam kwa miaka yoote
@@wardasaid3269 sasa ulitaka afanyeje na Ni mfanya biashara angekua anamuachia Nan naatatizo la akili
Pole sana mama walimwengu wanapenda kuhukumu polee. Wasamehe hawajui walitendalo. MUNGU akufanyie wepesi na Mzungu wetu apone
Damn,story kama hii najiweka mwenyewe af nawaza nipate shida haki mamaangu hawez niacha kabisa.!Pole mama nimekuelewa vzur sana
Nisawa
This is shocking! Some people's mindsets are messed up! No empathy! What has gone wrong with today's society? This is wicked!this mother is trying big time she's old and worn out and she needs support but too bad the same people who should be helping out are the ones crucifying her. Shame on the society !
Wabongo nimewavulia kofia wallah đđ
Huyo sio msukule huyo ni Mama yake kweli na mshikaji anaitwa Robert tumesoma naye Mafinga Iringa 1999-2000 ndio akaondoka.
Kumbe
Wabongo tunakurupuka sn ndio mana tunadungwa sindano ovyo.
Mafinga shule gani?
Maskini wee bibi wa watu wanamuonea kwan ni lazma mtu mtoto wako ufanane nae
@@ebraniacosmosy2072đđ°đȘ
Pole Bibi sisi tulioachwa Na baba zetu wa nchi za nnje tunaishi Kwa shidaaa sana Kwa kukosa malezi ya baba,mungu atulinde tu Ameen,
đđpole
Watanzania tunapenda sana kuzuliana mambo yahovyo
My dear sema baadhi ya Watanzania hawana akili timamu.
Walivyojazana na Corona hii
Muzungu=muskule? Ni mtu kama wengine kama ni mzungu na wenu anaweza kuwa mugonjwa
Kwelii kabisaa
Yani Watanzania Mungu atukumbuke tumezidi kwa unafiki
Huyo jamaa sio mzukule huyo anamatatizo ya akili alishapelekwa kanisa lipo pale magengeni nilishawahi mkuta pale kanisani
Mmmh
Duh bibi ana zali eeeeh,anipe namba ya mganga wake,watoto sita wa kizungu na kila mmoja na baba akeđđđđđđđ
Bibi alidangaaa
Huyu bbi...nyakati zake alikua wa moto sana
Sasa zali wakati wote walimtelekeza???đ€Łđ€Łđ€Ł
Hahahahahahah
Keki plus umenifurahishađđđ
Makubwa pole bibi yangu đ„Čđ„Č
Watanzania wenzangu tumsaidie huyu kijana ili apate sehemu ya kuishi na matibabu đ
Atafutiwe baba ake akatibiwe kwao bibi hana uwezo
Kabisa
Huyo ni binadamu mwenzetu ana hitaji mmsada
Bibi alikua ahojiwe vzr aseme uyo baba Raia wawapi iliifuatiliwe ubalozini anaweza kupatikana baba yao kama bado yupo hai
acheni ivo alafu kama baba yake ayupo
Pole Bibi Mungu akupe nguvu pamoja na yote wewe NI mpambanaji
Ila watanzanua jamani mbona ukiwaangalia tu unaona wanafanana jamani!!!!MSUKULE!!!! kha
Pole bib!wananch tuache kutuhumu Mambo pasipo ku chunguza
Mm jamani msukule gani msafi hiv
Wa Mama mko wapi... Hongera kwa upendo wenu kwetu sisi Watoto... Bibi huyo Ni kielelezo...
Vile vikindi vya umoja wa Amina mama, vya kijamii, kidini, n.k.
Jitokezeni Sasa Ni wakati wa kumshika Bibi Mkono na mwanae kumfikishia baraka za Mwenyezi Mungu na kumsaidia kumpata baba wa mtoto... Sheria itungwa kwa wageni wanaowapa mama zetu mimba na kukwepa majukumu ya Jules Watoto... Kwa Sasa wimbi la Watoto wa kichina na wazungu waliotelekezwa Ni kubwa Sana... Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Subhanallah muombeni radhi huyu bibi acheni fikra potofu. Oneni nahawo wa2 walivyo jazana utafikiri kuna maonyesho
Musmzalilishe bb siovizuri
Wabongo kwa kuzua mambo, washamnyima raha bibi wa watu.
Mimi katika woote alonichekesha ni mjumbe na magwanda đđđ
Mwenyekiti Sasa anaongea balaa
Watanzani wakti mwengine tuna fanya mambo ya ajabu sana. Sasa Bibi maskini shida yake ipo wapi. Tuwache kumzulia mtu kabla ya Uhakika. Bibi nakuombea Allah atakusaidia InshaAllah. đ
đźđź
Mungu amtie nguvu, watu hata awakumbuki korona a
Waswahili kazi Yao kubwa uongo ndio tatizo tunakufa masikini kisa kufatilia maisha ya watu pasipo kujua chanzo cha matatizo aliweza kumlea tangu Mdogo akumuua pole mama nimapito Mungu atakusaidia
Daaaah masikini mshikaji handsome kabisa
Usihofu bibi inawezekana Mungu ametaka watu wakujue upate msada wa mtoto wako.
Kweli
Kweli kabisa
Kabisa
Daah polen xana wanafamilia yote ni chngmoto za maisha tuu pole Bibi mwnyezi mungu anajua nn lakkulipa
Hongera Sana mama yangu. Endelea kumuomba Mungu atakusaidia
Serikali imsaidie kumpata Baba yake jamani wee unadhani stress mchezo
kama ameshaga fariki ili iweje
@@kitengegaston6946 umeonaee? Mama kama mama awezi kukubali mtoto kamzaa kamlea peke ake alaf leo ampeleke kwa baba ake wkt huu ni mda wa yeye kuwa karib na watoto wake ili apewe mahitaj yake kama mama umri huo umtafute baba wa kaz gan usikute uyo baba mwenyew kashajizeekea na yy anahitaj msaada asaidiwe
@@kitengegaston6946 Uyo mama namshaur aendelee kukataa uko wenzao wataenda kumgeuza mwanamke na hivyo alivyo mh!!! Watu weupe wengi wana roho mbaya
Huyu bibi nimkweli kabisaa niliwahi mku.wona kwa mzee wa yesu swala lakumuuliza yeye ni nani kwa huyo bibi?
Asaidiwe jmn
Pole Mama Mungu akufariji...
Waswahili tukikosa kumzoea mtu na kujua undani wake yanayo Fata ni hayo MUNGU akutie nguvu
Masha Allah...ilaa pole bibi
Surely, wee wa kuleta Habari ya uongo, pole bibi tu Sana,, wanaume waaaaa đđđđđ
Jamani jamani tusiwalaum sana majirani kwani kukosa hao majirani hata sisi tusengejua kuwa bibi hapo zamani alikuwa akigawa jimbo kwa wazungu..na pia hayo yote tusingeyajua.
@@mariamufungo9619 usiseme ayo maneno monz ujui kesho yako .....mzee alikua anajarib pengine atapata wa kumtuza na familia yake ila wote wakawa mtihan n kumuomba Mungu tu
Aki watu wadaku đ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł sasa hapo kukirushwa boom đŁđ„... Pole bibi kwa majukumu đđŸ
Ivi watu mkoje mnakosa kazi?
Wee mtoto a acha kumlaumu mama yako, kama baba hayupo hawezi kulazimisha awepo, na dogo ni bangi zake tuu wengi hawawajui baba zao wanaishi vizuri tuu
Kazi yko ngumu mchaga
czcams.com/video/nDricn2wnhs/video.html
Kizzo all the way from Moro bibiii Hana shidaaa huyoooo kashasema mwanaeee
czcams.com/video/nDricn2wnhs/video.html.
Kabisa lazima mama amlinde mwanae .uchungu wa means aujuae mzazi
Pole sana mama hata mimi nikizeeka nitaambiwa mchawi kizazi cha sasahivi ukizeeka sana unaambiwa mchawi pole sana mama angu
Jamani jamani acheni kuwa jaji watu vibaya me nimeumia sana huyu bibi amepitia mengi đ naomba niulize inamana ata sisi tukizeeka tutaitwa wanga jamani tuoneane huruma wazazi wanapitia mengiđđđ
Kweli mungu atu saindie nawatoto wetu waweze kuepuka balaa za nduniani
Dah mpaka tumbo limeniuma uyo sasa ndio mama mwenye uchungu na mwanae anatamani Angekua na uwezo angemlinda zaidi
Jamani upendo wa mama kwa mtoto hata kama hana kitu ni mkubwa mno. Amefanya jambo kubwa mno hapaswi kulaumiwa
Kwa ufupi wabongo muelewe uyu kijana alijihisi toka utotoni mbona mimi si wa hapa, sasa mama kama umechepuka si unioneshe mzee baba nisepe zangu ma sweden, kwa ufupi mtoto wa kizungu kazaliwa bongo alafu akaona sipo pakamtia stress sasa tujifunze
Watu hawajuii maana ya msukule msukule ni mtu aliekufa na baadae kuonekana sasa huyu anaishi vipi aitwe msukule?? binaadamu acheni majungu ch kumuhoji huyo mzungu ni mwanae mtoto wa ndugu yake au??
Jmni uyu mkka nlimjuaga mda nadda ake mzung ilamda Sana tukawa atuwaongi kumbe waliama jmni duuđđđ pole mma wawtu yanamkuta mazito
Pole Sana mama,MUNGU akutie nguvu.
One thing i hate about Tanzanians is that they follow other people's life more than their own âčïž. God bless you mama
Narrow minded
All Africans are like this
Mashallah watoto wazuri .
Mashaallah
Duuuh pole sana Bibi Mungu akutie nguvu đđ
Oooh maskini pole yake sana huyu kaka jamani, naomba nipate namba ya hiyo familia au majina ha baba yake nimsaidie huyo kijana mimi ninaishi hapa Sweden.... pia ana haki zake huku Sweden jamani huyo kaka
Mpelekeni ubalozi wa Sweden jamani.
Sawa kabisa,na namshangaa huyo mswidi kumsahau mtoto kiasi hicho,Mungu amsaidie huyo kijana na Mama yake,inatia huruma kwa kweli
Pole sana kwa kuuguza mungu akunusuru kwa maneno ya watu
Apelekwe kwa babake anangangania mtoto kulea hawezi
Nyie jaman hao watu weupe kuacha mtoto kitu Cha kawaida mm Dada yangu alikutana na wachina wakati wanatengeneza barabara akawa anawapikia chakula kwenye starehe zao wakapata mtoto tangu mimba had mtoto Sasa hivi ana miaka 25 hajawah kumuona Bab yake useme tumpeleke kwa baba yake haya hatupajui ni China sehem gan yaan acha tu
Kweli si vchwa vya wendawazim..mnaksanyika kshangaa ktu kdg badala ya kupiga Kaz ..pmbav mliokusanyika hapo kwa ajili ya umbea
Pole sana Bibi watanzania tuache mihemko Jambo hamlijui kiundani mnakurupuka acheni Imani za kichawi fanyeni kazi
sema apo bibi anaitaj kusaidiwa sio kushtakiwaaa watz apo ndo tunafeli đą
Bibbi pole sana
Alieanza kutoa izo shutma inabidi akaomuombe uyu bibi msamaha jmn dah!
Apana uyo yupo sahihi kwani wanae wameongea vizuri kabisa hivyo uwezi ukawa unamfungia mtu ndani wewe unaondoka hivyo wameelewa
Mkaka mzuri jmny allah amponye Inshaallah
Amin Allah ampone ajalie Ă je awe mumeo kama hujaolewa
Tunaliliya kuishi myaka mingi ayo ndiyo matokeyo yakuishi myaka mingi.ukiwa mzee utakutana na mithani mingi saana.mungu atupe mwisho mwema
Asante mchaga og kwakuwa karibu na jamii.
Pole kwa huyo mama , Mungu amsimamie.
Bibiii hanaaa shidaaa mizengwee yenuuu tyuuu bibiii hanaaa shidaaa
czcams.com/video/nDricn2wnhs/video.html
Pole mama pole mama yangu..umeniliza ....mwenyeezi Mungu akusaidia ...nawapenda sana
Wabongo too much
czcams.com/video/nDricn2wnhs/video.html
Hongera sana mchaga OG for this coverage..
...
Pole sana bibi.
Mama ni mwangaikaji sana mjasilia Mali sana namfaamu hadi nilishawai kula Chakula chake ni msitarabu sana
Uyo bibi namfaham kindaki ndaki,,,Uyo jamaa tunamuita zungu yupo Dada ake nimesoma nae kivukon sec school,,,Tulikua tunaishi nao kigambon Tungi stand,,,akuna asie wajua,,,,uyo bibi sio mchawi n watoto wake wa kuwazaa
Sheâs a mother for Gods sake she canât give up on her son
Re
Rip
Tena kafanana nae Sana tu SEMA huyo kijana n mweupe
Ila inauma sana mtu anakuachia mtoto au mimba alaf baadae umemlea kwa tabu baba ht akumbuki likikuwa linamtaka baba ake duuuuuuh Bibi pole mungu atakusaidia sikieni tu ivyoivyo ukiwa single mother mtoto alikuwa umepitia mengi muache aende kwa baba ake kishakuwa
Bibi usikate tamaa. Mungu yupo nanyi. Nasi tupo ili tusaidiane. MUNGU akinijalia mimi nitakuja kuwaona. Tutaongea mawili matatu. Na Baba Mtoto kama bado yupo mimi nakuwahidi. Nitamutafuta najuwa shida ya kutokuwa na Baba.
Pole sana mama,hao walio kushutumu wakuombe msamaha haraka sana
Pole sana mama yangu, ila kwanini walimwengu tunaamini ushirikina lakini, mtakeni mama huyu pole
Mwenyezi mungu amjaaliye na amjalie pia apate wajukuu wa kizungu insha allah
Kama wanakusingizia Allah atakulipia bibi wala ucjaliđ
Best mom ever
Dhambi Yao imetangulia mbele Yao,tulia TU bibi
Cyo kwamba mama ni mbishi hapana uchungu wa mwana aujuae mzaz aiwezekana mtoto kamzaa kamlea peke ake alaf leo akubali kumpeleka mtoto wake uko mbal na usikute baba mwenyew huko kashajizeekea anahitaj msaada asaidiewe au hana hata mpango wa mtoto mwenyew maana kule kaoa yupo na watoto wake wengine hana abar alaf kwan yeye si anajua uku kama alimuacha mtoto kwann asimfatilie mtoto wake alaf leo bibi akubali kumpeleka hata mm nisingekubali miaka 1000000
Yaani watanzania sisi kwa kupenda kuhukumu Uwiiii Bibi wa Watu hata angeuwawa bila hatia Jamani yaani nackiliza Mpaka nalia . Pole Mama yangu wewe kwa changamoto hizi. Za Maisha. Mwenyezi Mungu afanye wepesi uweze msaidia Mtoto wako.
Pole mamangu