BIBI ATUHUMIWA KUISHI NA MSUKULE WA KIZUNGU/UKWELI WOTE HUU HAPA

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 17. 08. 2021
  • WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 1,3K

  • @manasadunia3458
    @manasadunia3458 Pƙed 2 lety +72

    Wanamuonea donge bibi anawatoto wa kizungu bibi masha Allah unawatoto wazuri

  • @victoriamkilya928
    @victoriamkilya928 Pƙed 2 lety +26

    Mapenzi ya mama ni makubwa mnooo!
    Mama Mungu akupe uhai mrefu na akubariki uzee wako uwe na furaha! Nakuelewa sana!😭

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 Pƙed 2 lety +21

    Watanzania tuna shida kubwa sana ,,tunaacha kupambana na serikali inatuongezea makodi kila siku tunaanza kufuatilia maisha ya watu

    • @alinassor6956
      @alinassor6956 Pƙed 2 lety

      Kwahakika ounayo yasema niukweli binadamu hafikiri yale yanayo mpasa afadhali washuhulikie nakazi zitakazo wasaidia maesha hata kazi ya mama nitile nikazi badala ya kukaa namawazo yakishetwani

    • @marthakibona
      @marthakibona Pƙed 4 měsĂ­ci

      Kwelikabisa

    • @Ibuhkadugulu
      @Ibuhkadugulu Pƙed 3 měsĂ­ci

      Hahaha kukuta ww

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Pƙed 2 lety +39

    SubhanAllh jamani watu tusipende kuongea vitu ambavyo hauna uhakika navyo sio vizuli kabisa yani pole sana bibi kwa changamoto unazo pitia

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 Pƙed 2 lety +141

    Omg, kama huyu bibi anayosema nikweli watu wamuombe huyo bibi msamaha haraka sana 😭

    • @polytarimo324
      @polytarimo324 Pƙed 2 lety +4

      Kweli mimi mwenyewe imeniuma

    • @shekhamohammed416
      @shekhamohammed416 Pƙed 2 lety +3

      Yeah maskini

    • @marianamontoedi2333
      @marianamontoedi2333 Pƙed 2 lety +2

      Nani kama mama

    • @mapenzikatana9990
      @mapenzikatana9990 Pƙed 2 lety +2

      Kweli kabisa

    • @okelloowino7577
      @okelloowino7577 Pƙed 2 lety +4

      Sana na ikiwezekana bibi akashtaki kwa kuzalilishwa ila sishangai manake ukimjuwa mchawi lazima unawanga nea this was so bad I wish ningekuwepo hapo karibu nimfinze huyu bibi hatua yakuchuwa kwa uzalilishaji huuu manake yangekuwa mengine kama srkali haingeingilia meneno hiii

  • @davidmwombeki5633
    @davidmwombeki5633 Pƙed 2 lety +14

    Jamani mm mama huyo namjua sana siyo mchawi kabisa namjua alishi kigboni maeneo ya Tungi na huyo Dadaye mwenye Asili ya kizungu namjuwa ni Watu wema sana sana

    • @loveelooh1964
      @loveelooh1964 Pƙed 2 lety

      Huyo mzungu kabisa Hana mixed muangalie vizuri

  • @walaaabdallah3236
    @walaaabdallah3236 Pƙed 2 lety +68

    Pole sana bibi kwa changamoto na mitihani ya maisha 😭 Masikini ya mungu mpaka unaitwa mchawi, bora ahame iloeneo awezi kukaa kwa Amani

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 Pƙed 2 lety +19

    Mungu akubariki Bibi đŸ™đŸŸ

  • @drrelaxation6911
    @drrelaxation6911 Pƙed 2 lety +58

    Mzungu alichukua rafiki wa bibi akasepa. Hao wote wanae. Na si mzee kihivyo. Ni maisha tu jamani.

  • @hajikishuwa1078
    @hajikishuwa1078 Pƙed 2 lety +48

    Toto baya zuri kwa mama ye muheshimu sana mama ungali yupo hai 🙏

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 Pƙed 2 lety +22

    Mama bora God bless you 🙏

  • @hassansaid2614
    @hassansaid2614 Pƙed 2 lety +6

    Wadau wenye uwezo msaidieni hyu mama na vijana wake, Mungu atawalipa Insha'Allah

  • @nusuranusura4688
    @nusuranusura4688 Pƙed 2 lety +13

    Maashaallah , mama alipata wazungu wake mwenyewe. Kazaa wanae wazuri. Ila.mtihani ummkuta, kijana ana stress anamtaka baba yake

  • @wegorokibajiro9098
    @wegorokibajiro9098 Pƙed 2 lety +4

    Pole bibi Mungu akusimamie na wananchi kabla ya kujaji ulizeni kwanza

  • @circus2578
    @circus2578 Pƙed 2 lety +11

    May Allah give you strength and longlife too,he's there for you he will protect your family Mama,Good luck Inshallah đŸŒčđŸ€Č♄❀♄

  • @joycechunga400
    @joycechunga400 Pƙed 2 lety +27

    Muda mwingine mama zetu wanaaivishwa lengo tu kututetea sisi watoto,weka namba zako za simu tukuchangie wengine tumeguswa na haya yaliyo kukuta mama

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 Pƙed 2 lety +11

    Pole sana mama Mungu akufanyie wepesi

  • @personcriticalthinking7162
    @personcriticalthinking7162 Pƙed 2 lety +19

    Acheni umang'aa aki mtto wake. Angalieni mama mwenye mnamuuliza maswali jameni.

  • @ramadhanimbwana1763
    @ramadhanimbwana1763 Pƙed 2 lety +8

    Mungu shahidi hii kitu kimeniuma huyu bibi namjua alishawahi kuishi kigamboni. Hana hatia. Mungu tusamehe ila sisi binadamu Daaahhh. Sema imeniuma sana sana tuuu

    • @user-pm4dm3vk3o
      @user-pm4dm3vk3o Pƙed 4 měsĂ­ci

      Pore mama yangu kwamajukum yakiduniya yatapita mngu yupo pamoja na wewe atapona mwanao wanao sema nimusukure nawao siwao hawarijuwi waritedaro 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @zulfahamissi4725
    @zulfahamissi4725 Pƙed 2 lety +50

    Ila tusilaumu sana yy kuitwa mchawi pengine mungu alipanga iwe hivi ili aweze kupata msaada

  • @leamajaliwa3076
    @leamajaliwa3076 Pƙed 2 lety +42

    Subhanaallah binadamu tunamambo iko siku nasisi umri ukisogea tutaitwa wachawi

  • @samuelwange7643
    @samuelwange7643 Pƙed 2 lety +95

    Watanzania nakuhisihisi watu....ndomana mkonyuma sikuzote

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 Pƙed 2 lety +5

    Huyu mama anaitaji kusaidiwa kwakweli bona binadamu tuko hivi bona wanamtia huyu mama aibu tu mungu anawaona.

  • @abdirizakhtuke2882
    @abdirizakhtuke2882 Pƙed 2 lety +47

    Wabongo wana imani chafu, jamii ya kishenzi sana.
    Uchawi ndio mnawaza tu.

  • @ghatititus7136
    @ghatititus7136 Pƙed 2 lety +7

    Yaani wabongo wakiamka asubuhi badala awaze atapataje riziki anawaza wapi apate tukio asambaze umbea,ee Mungu tufundishe kunyamaza hasa kwa yasiyotuhusu.

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Pƙed 2 lety +6

    Watamuharibia hata biashara watu waogope kula unga wake wa muhogo acheni wivu wabongo ndo maana mnachelewa kupata maendeleo 😭😭😭😭😭😭

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 Pƙed 2 lety +47

    Pore sana mama yangu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

    • @righton19
      @righton19 Pƙed 2 lety +1

      Roho imeniuma huyu Bibi nahis anaonewa

    • @selector728
      @selector728 Pƙed 2 lety

      Pole sio pore🚼

    • @wardasaid3269
      @wardasaid3269 Pƙed 2 lety

      Kakosea bb huo cyo utaratibu wa kumsaidia haki haijatendeka huwezi kumfungia binadam kwa miaka yoote

    • @zulfahalily6095
      @zulfahalily6095 Pƙed 2 lety

      @@wardasaid3269 sasa ulitaka afanyeje na Ni mfanya biashara angekua anamuachia Nan naatatizo la akili

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Pƙed 2 lety +3

    Pole sana mama walimwengu wanapenda kuhukumu polee. Wasamehe hawajui walitendalo. MUNGU akufanyie wepesi na Mzungu wetu apone

  • @leonjuly8242
    @leonjuly8242 Pƙed 2 lety +8

    Damn,story kama hii najiweka mwenyewe af nawaza nipate shida haki mamaangu hawez niacha kabisa.!Pole mama nimekuelewa vzur sana

  • @victoriasfamilytalkandcoun6016

    This is shocking! Some people's mindsets are messed up! No empathy! What has gone wrong with today's society? This is wicked!this mother is trying big time she's old and worn out and she needs support but too bad the same people who should be helping out are the ones crucifying her. Shame on the society !

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Pƙed 2 lety +9

    Wabongo nimewavulia kofia wallah 🙌🙌

  • @edwardphillipkimaro3598
    @edwardphillipkimaro3598 Pƙed 2 lety +43

    Huyo sio msukule huyo ni Mama yake kweli na mshikaji anaitwa Robert tumesoma naye Mafinga Iringa 1999-2000 ndio akaondoka.

  • @hamadiselemani1110
    @hamadiselemani1110 Pƙed 2 lety +4

    Pole Bibi sisi tulioachwa Na baba zetu wa nchi za nnje tunaishi Kwa shidaaa sana Kwa kukosa malezi ya baba,mungu atulinde tu Ameen,

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Pƙed 2 lety +73

    Watanzania tunapenda sana kuzuliana mambo yahovyo

  • @superherocolin7564
    @superherocolin7564 Pƙed 2 lety +39

    Huyo jamaa sio mzukule huyo anamatatizo ya akili alishapelekwa kanisa lipo pale magengeni nilishawahi mkuta pale kanisani

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Pƙed 2 lety +28

    Duh bibi ana zali eeeeh,anipe namba ya mganga wake,watoto sita wa kizungu na kila mmoja na baba ake🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @khadijakiba3587
    @khadijakiba3587 Pƙed 2 lety +19

    Makubwa pole bibi yangu đŸ„ČđŸ„Č

  • @elizabethsjoberg5734
    @elizabethsjoberg5734 Pƙed 2 lety +87

    Watanzania wenzangu tumsaidie huyu kijana ili apate sehemu ya kuishi na matibabu 😭

    • @zainabmbarak1043
      @zainabmbarak1043 Pƙed 2 lety +7

      Atafutiwe baba ake akatibiwe kwao bibi hana uwezo

    • @adijaniyonkuru9731
      @adijaniyonkuru9731 Pƙed 2 lety +2

      Kabisa

    • @lidyahaule5343
      @lidyahaule5343 Pƙed 2 lety +6

      Huyo ni binadamu mwenzetu ana hitaji mmsada

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 Pƙed 2 lety

      Bibi alikua ahojiwe vzr aseme uyo baba Raia wawapi iliifuatiliwe ubalozini anaweza kupatikana baba yao kama bado yupo hai

    • @kitengegaston6946
      @kitengegaston6946 Pƙed 2 lety

      acheni ivo alafu kama baba yake ayupo

  • @silyvya2408
    @silyvya2408 Pƙed 2 lety +2

    Pole Bibi Mungu akupe nguvu pamoja na yote wewe NI mpambanaji

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Pƙed 2 lety +20

    Ila watanzanua jamani mbona ukiwaangalia tu unaona wanafanana jamani!!!!MSUKULE!!!! kha

  • @mottomajidshipande8237
    @mottomajidshipande8237 Pƙed 2 lety +17

    Pole bib!wananch tuache kutuhumu Mambo pasipo ku chunguza

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Pƙed 2 lety +7

    Wa Mama mko wapi... Hongera kwa upendo wenu kwetu sisi Watoto... Bibi huyo Ni kielelezo...
    Vile vikindi vya umoja wa Amina mama, vya kijamii, kidini, n.k.
    Jitokezeni Sasa Ni wakati wa kumshika Bibi Mkono na mwanae kumfikishia baraka za Mwenyezi Mungu na kumsaidia kumpata baba wa mtoto... Sheria itungwa kwa wageni wanaowapa mama zetu mimba na kukwepa majukumu ya Jules Watoto... Kwa Sasa wimbi la Watoto wa kichina na wazungu waliotelekezwa Ni kubwa Sana... Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @zulfahamissi4725
    @zulfahamissi4725 Pƙed 2 lety +7

    Subhanallah muombeni radhi huyu bibi acheni fikra potofu. Oneni nahawo wa2 walivyo jazana utafikiri kuna maonyesho

  • @alphageorge5563
    @alphageorge5563 Pƙed 2 lety +15

    Wabongo kwa kuzua mambo, washamnyima raha bibi wa watu.

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 Pƙed 2 lety +28

    Mimi katika woote alonichekesha ni mjumbe na magwanda 😂😂😂

    • @jasice6792
      @jasice6792 Pƙed 2 lety +1

      Mwenyekiti Sasa anaongea balaa

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Pƙed 2 lety +19

    Watanzani wakti mwengine tuna fanya mambo ya ajabu sana. Sasa Bibi maskini shida yake ipo wapi. Tuwache kumzulia mtu kabla ya Uhakika. Bibi nakuombea Allah atakusaidia InshaAllah. 🙏

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 Pƙed 2 lety +1

    Waswahili kazi Yao kubwa uongo ndio tatizo tunakufa masikini kisa kufatilia maisha ya watu pasipo kujua chanzo cha matatizo aliweza kumlea tangu Mdogo akumuua pole mama nimapito Mungu atakusaidia

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Pƙed 2 lety +6

    Daaaah masikini mshikaji handsome kabisa

  • @renildevenerand9473
    @renildevenerand9473 Pƙed 2 lety +10

    Usihofu bibi inawezekana Mungu ametaka watu wakujue upate msada wa mtoto wako.

  • @rajabadriano9741
    @rajabadriano9741 Pƙed 2 lety +1

    Daah polen xana wanafamilia yote ni chngmoto za maisha tuu pole Bibi mwnyezi mungu anajua nn lakkulipa

  • @julithamlay4558
    @julithamlay4558 Pƙed 2 lety +2

    Hongera Sana mama yangu. Endelea kumuomba Mungu atakusaidia

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 Pƙed 2 lety +54

    Serikali imsaidie kumpata Baba yake jamani wee unadhani stress mchezo

    • @kitengegaston6946
      @kitengegaston6946 Pƙed 2 lety

      kama ameshaga fariki ili iweje

    • @hawahabibu661
      @hawahabibu661 Pƙed 2 lety +1

      @@kitengegaston6946 umeonaee? Mama kama mama awezi kukubali mtoto kamzaa kamlea peke ake alaf leo ampeleke kwa baba ake wkt huu ni mda wa yeye kuwa karib na watoto wake ili apewe mahitaj yake kama mama umri huo umtafute baba wa kaz gan usikute uyo baba mwenyew kashajizeekea na yy anahitaj msaada asaidiwe

    • @hawahabibu661
      @hawahabibu661 Pƙed 2 lety

      @@kitengegaston6946 Uyo mama namshaur aendelee kukataa uko wenzao wataenda kumgeuza mwanamke na hivyo alivyo mh!!! Watu weupe wengi wana roho mbaya

  • @johnchuwa2888
    @johnchuwa2888 Pƙed 2 lety +30

    Huyu bibi nimkweli kabisaa niliwahi mku.wona kwa mzee wa yesu swala lakumuuliza yeye ni nani kwa huyo bibi?

  • @furahinidaudi7851
    @furahinidaudi7851 Pƙed 2 lety +2

    Pole Mama Mungu akufariji...

  • @bintrobert4952
    @bintrobert4952 Pƙed 2 lety +5

    Waswahili tukikosa kumzoea mtu na kujua undani wake yanayo Fata ni hayo MUNGU akutie nguvu

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Pƙed 2 lety +4

    Masha Allah...ilaa pole bibi

  • @lydianasambuwanjala8849
    @lydianasambuwanjala8849 Pƙed 2 lety +19

    Surely, wee wa kuleta Habari ya uongo, pole bibi tu Sana,, wanaume waaaaa 😭😭😭😭😭

    • @mariamufungo9619
      @mariamufungo9619 Pƙed 2 lety

      Jamani jamani tusiwalaum sana majirani kwani kukosa hao majirani hata sisi tusengejua kuwa bibi hapo zamani alikuwa akigawa jimbo kwa wazungu..na pia hayo yote tusingeyajua.

    • @zulfahalily6095
      @zulfahalily6095 Pƙed 2 lety +1

      @@mariamufungo9619 usiseme ayo maneno monz ujui kesho yako .....mzee alikua anajarib pengine atapata wa kumtuza na familia yake ila wote wakawa mtihan n kumuomba Mungu tu

  • @manuelarene2645
    @manuelarene2645 Pƙed 2 lety +8

    Aki watu wadaku đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł sasa hapo kukirushwa boom đŸ’ŁđŸ’„... Pole bibi kwa majukumu đŸ™đŸŸ

  • @kamanda007
    @kamanda007 Pƙed 2 lety +6

    Wee mtoto a acha kumlaumu mama yako, kama baba hayupo hawezi kulazimisha awepo, na dogo ni bangi zake tuu wengi hawawajui baba zao wanaishi vizuri tuu

  • @lilwiz5414
    @lilwiz5414 Pƙed 2 lety +27

    Kazi yko ngumu mchaga

  • @alykhan9054
    @alykhan9054 Pƙed 2 lety +37

    Kizzo all the way from Moro bibiii Hana shidaaa huyoooo kashasema mwanaeee

  • @dainesszuber7404
    @dainesszuber7404 Pƙed 2 měsĂ­ci +1

    Pole sana mama hata mimi nikizeeka nitaambiwa mchawi kizazi cha sasahivi ukizeeka sana unaambiwa mchawi pole sana mama angu

  • @jacklinejohn222
    @jacklinejohn222 Pƙed 2 lety +4

    Jamani jamani acheni kuwa jaji watu vibaya me nimeumia sana huyu bibi amepitia mengi 😭 naomba niulize inamana ata sisi tukizeeka tutaitwa wanga jamani tuoneane huruma wazazi wanapitia mengi😭😭😭

    • @zaharaamdilah6602
      @zaharaamdilah6602 Pƙed 2 lety

      Kweli mungu atu saindie nawatoto wetu waweze kuepuka balaa za nduniani

  • @ashankusa1514
    @ashankusa1514 Pƙed 2 lety +3

    Dah mpaka tumbo limeniuma uyo sasa ndio mama mwenye uchungu na mwanae anatamani Angekua na uwezo angemlinda zaidi

  • @unkown2429
    @unkown2429 Pƙed 2 lety +14

    Jamani upendo wa mama kwa mtoto hata kama hana kitu ni mkubwa mno. Amefanya jambo kubwa mno hapaswi kulaumiwa

  • @ibrahimnadir4490
    @ibrahimnadir4490 Pƙed 2 lety +2

    Kwa ufupi wabongo muelewe uyu kijana alijihisi toka utotoni mbona mimi si wa hapa, sasa mama kama umechepuka si unioneshe mzee baba nisepe zangu ma sweden, kwa ufupi mtoto wa kizungu kazaliwa bongo alafu akaona sipo pakamtia stress sasa tujifunze

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 Pƙed 2 lety +10

    Watu hawajuii maana ya msukule msukule ni mtu aliekufa na baadae kuonekana sasa huyu anaishi vipi aitwe msukule?? binaadamu acheni majungu ch kumuhoji huyo mzungu ni mwanae mtoto wa ndugu yake au??

  • @mokohratino9052
    @mokohratino9052 Pƙed 2 lety +1

    Jmni uyu mkka nlimjuaga mda nadda ake mzung ilamda Sana tukawa atuwaongi kumbe waliama jmni duu🙏🙏🙏 pole mma wawtu yanamkuta mazito

  • @sayunicasmiry4365
    @sayunicasmiry4365 Pƙed 2 lety +2

    Pole Sana mama,MUNGU akutie nguvu.

  • @justblackcode
    @justblackcode Pƙed 2 lety +17

    One thing i hate about Tanzanians is that they follow other people's life more than their own â˜č. God bless you mama

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 Pƙed 2 lety +33

    Mashallah watoto wazuri .

  • @ednamasud2613
    @ednamasud2613 Pƙed 2 lety +2

    Duuuh pole sana Bibi Mungu akutie nguvu 🙏🙏

  • @priscalorinius9368
    @priscalorinius9368 Pƙed 2 lety +1

    Oooh maskini pole yake sana huyu kaka jamani, naomba nipate namba ya hiyo familia au majina ha baba yake nimsaidie huyo kijana mimi ninaishi hapa Sweden.... pia ana haki zake huku Sweden jamani huyo kaka

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Pƙed 2 lety +34

    Mpelekeni ubalozi wa Sweden jamani.

    • @gracemunguisaidietanzaniam9340
      @gracemunguisaidietanzaniam9340 Pƙed 2 lety +1

      Sawa kabisa,na namshangaa huyo mswidi kumsahau mtoto kiasi hicho,Mungu amsaidie huyo kijana na Mama yake,inatia huruma kwa kweli

    • @siwetusafari8624
      @siwetusafari8624 Pƙed 2 lety +1

      Pole sana kwa kuuguza mungu akunusuru kwa maneno ya watu

    • @jeziyamaua7196
      @jeziyamaua7196 Pƙed 2 lety +1

      Apelekwe kwa babake anangangania mtoto kulea hawezi

    • @AmmyKurunge
      @AmmyKurunge Pƙed 4 měsĂ­ci

      Nyie jaman hao watu weupe kuacha mtoto kitu Cha kawaida mm Dada yangu alikutana na wachina wakati wanatengeneza barabara akawa anawapikia chakula kwenye starehe zao wakapata mtoto tangu mimba had mtoto Sasa hivi ana miaka 25 hajawah kumuona Bab yake useme tumpeleke kwa baba yake haya hatupajui ni China sehem gan yaan acha tu

  • @bern1229
    @bern1229 Pƙed 2 lety +4

    Kweli si vchwa vya wendawazim..mnaksanyika kshangaa ktu kdg badala ya kupiga Kaz ..pmbav mliokusanyika hapo kwa ajili ya umbea

  • @goodhelpnolland6792
    @goodhelpnolland6792 Pƙed 2 lety

    Pole sana Bibi watanzania tuache mihemko Jambo hamlijui kiundani mnakurupuka acheni Imani za kichawi fanyeni kazi

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 Pƙed 2 lety +12

    sema apo bibi anaitaj kusaidiwa sio kushtakiwaaa watz apo ndo tunafeli 😱

  • @merynjau5614
    @merynjau5614 Pƙed 2 lety +6

    Alieanza kutoa izo shutma inabidi akaomuombe uyu bibi msamaha jmn dah!

    • @damaspmtz1018
      @damaspmtz1018 Pƙed 2 lety

      Apana uyo yupo sahihi kwani wanae wameongea vizuri kabisa hivyo uwezi ukawa unamfungia mtu ndani wewe unaondoka hivyo wameelewa

  • @munaamohd2260
    @munaamohd2260 Pƙed 2 lety +6

    Mkaka mzuri jmny allah amponye Inshaallah

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 Pƙed 2 lety

      Amin Allah ampone ajalie Ă je awe mumeo kama hujaolewa

  • @amosbigirimana5469
    @amosbigirimana5469 Pƙed 3 měsĂ­ci

    Tunaliliya kuishi myaka mingi ayo ndiyo matokeyo yakuishi myaka mingi.ukiwa mzee utakutana na mithani mingi saana.mungu atupe mwisho mwema

  • @abramo08
    @abramo08 Pƙed 2 lety +1

    Asante mchaga og kwakuwa karibu na jamii.

  • @simionikengere3930
    @simionikengere3930 Pƙed 2 lety +3

    Pole kwa huyo mama , Mungu amsimamie.

  • @alykhan9054
    @alykhan9054 Pƙed 2 lety +10

    Bibiii hanaaa shidaaa mizengwee yenuuu tyuuu bibiii hanaaa shidaaa

  • @Miriam760ful
    @Miriam760ful Pƙed 2 lety

    Pole mama pole mama yangu..umeniliza ....mwenyeezi Mungu akusaidia ...nawapenda sana

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma8002 Pƙed 2 lety +33

    Wabongo too much

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 Pƙed 2 lety +56

    Hongera sana mchaga OG for this coverage..

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 Pƙed 2 lety +6

    Pole sana bibi.

  • @davidmwombeki5633
    @davidmwombeki5633 Pƙed 2 lety +2

    Mama ni mwangaikaji sana mjasilia Mali sana namfaamu hadi nilishawai kula Chakula chake ni msitarabu sana

  • @josephsambaja1455
    @josephsambaja1455 Pƙed 2 lety +1

    Uyo bibi namfaham kindaki ndaki,,,Uyo jamaa tunamuita zungu yupo Dada ake nimesoma nae kivukon sec school,,,Tulikua tunaishi nao kigambon Tungi stand,,,akuna asie wajua,,,,uyo bibi sio mchawi n watoto wake wa kuwazaa

  • @paulineonkoba1196
    @paulineonkoba1196 Pƙed 2 lety +21

    She’s a mother for Gods sake she can’t give up on her son

  • @mwashambakipanga4528
    @mwashambakipanga4528 Pƙed 2 lety +1

    Ila inauma sana mtu anakuachia mtoto au mimba alaf baadae umemlea kwa tabu baba ht akumbuki likikuwa linamtaka baba ake duuuuuuh Bibi pole mungu atakusaidia sikieni tu ivyoivyo ukiwa single mother mtoto alikuwa umepitia mengi muache aende kwa baba ake kishakuwa

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice7032 Pƙed 2 lety

    Bibi usikate tamaa. Mungu yupo nanyi. Nasi tupo ili tusaidiane. MUNGU akinijalia mimi nitakuja kuwaona. Tutaongea mawili matatu. Na Baba Mtoto kama bado yupo mimi nakuwahidi. Nitamutafuta najuwa shida ya kutokuwa na Baba.

  • @joycechunga400
    @joycechunga400 Pƙed 2 lety +3

    Pole sana mama,hao walio kushutumu wakuombe msamaha haraka sana

  • @johnezekiel3909
    @johnezekiel3909 Pƙed 2 lety +3

    Pole sana mama yangu, ila kwanini walimwengu tunaamini ushirikina lakini, mtakeni mama huyu pole

  • @RehemaMlila-yt8hd
    @RehemaMlila-yt8hd Pƙed 2 měsĂ­ci

    Mwenyezi mungu amjaaliye na amjalie pia apate wajukuu wa kizungu insha allah

  • @shafimuhsin7685
    @shafimuhsin7685 Pƙed 2 lety +1

    Kama wanakusingizia Allah atakulipia bibi wala ucjali👏

  • @tullachaula1570
    @tullachaula1570 Pƙed 2 lety +4

    Best mom ever

  • @hawahabibu661
    @hawahabibu661 Pƙed 2 lety +1

    Cyo kwamba mama ni mbishi hapana uchungu wa mwana aujuae mzaz aiwezekana mtoto kamzaa kamlea peke ake alaf leo akubali kumpeleka mtoto wake uko mbal na usikute baba mwenyew huko kashajizeekea anahitaj msaada asaidiewe au hana hata mpango wa mtoto mwenyew maana kule kaoa yupo na watoto wake wengine hana abar alaf kwan yeye si anajua uku kama alimuacha mtoto kwann asimfatilie mtoto wake alaf leo bibi akubali kumpeleka hata mm nisingekubali miaka 1000000

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw Pƙed 2 lety

    Yaani watanzania sisi kwa kupenda kuhukumu Uwiiii Bibi wa Watu hata angeuwawa bila hatia Jamani yaani nackiliza Mpaka nalia . Pole Mama yangu wewe kwa changamoto hizi. Za Maisha. Mwenyezi Mungu afanye wepesi uweze msaidia Mtoto wako.

  • @fedelinamahenge6649
    @fedelinamahenge6649 Pƙed 2 lety +7

    Pole mamangu