HADI HURUMA: MAMA MZAZI wa ASKARI ALIYEMCHINJA BABA YAKE AKISIMULIA KILICHOTOKEA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 01. 2022
  • Mama Mzazi wa Mussa Edward Ndonde Askari wa JWTZ MT.109772 Kikosi cha Ruvu JKT mkoani Pwani Bi Renatha Ndonde ameeleza hali Ilivyo kua nyumbani kabla mwanae kumuua baba yake.
    Bi Renatha Ndonde amesema Mwanae imefika nyumbani mapema leo asubuhi na baada ya kuwasili Jambo la kwanza aliuliza alipo baba yake Mzazi Ambaye Kwa wakati huo alikua kuoga.
    HADI HURUMA: MAMA MZAZI wa ASKARI ALIYEMCHINJA BABA YAKE AKISIMULIA KILICHOTOKEA!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 762

  • @Wasafi_Media
    @Wasafi_Media  Před 2 lety +20

    📌ASKARI 'ADAIWA' KUMCHINJA BABA YAKE >> czcams.com/video/cURWSMDdQQM/video.html

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před 2 lety +27

    Ee BABA wa mbinguni kwa uluma yako naomba nikiamini utatenda kawaondolee raho ya ukatili vijana ili wawe na hofu na wewe siku zote za maisha yao🙏🙏Apumzike kwa amani mzee wetu, Poleni sana

  • @havyanine9430
    @havyanine9430 Před 2 lety +44

    Mungu bariki vizazi vyetu naogopa naogopa uchungu wako unakupa uchungu🙌🙌🙌🙌 Mungu tuhurumie wanawake sisi

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 Před měsícem

      Kanywa pombe na bangi huyo kamix maana siyo pombe tu imvuruge akili ivyo

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 2 lety +79

    Hii dunia jaman inageuka watoto ndo wanauwa tu wazazi .Mungu tunakuomba ondoa hili roho la mauti 🙏🏽🙏🏽

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 Před 2 lety +41

    😭😭😭Pole mama Hawa watoto wetu wanatuua wazazi jamani Mungu utuongoze watoto wetu wanahitaji hekima yako

  • @salmaabdulabdul1057
    @salmaabdulabdul1057 Před 2 lety +58

    mwisho wa dunia umeshafika tumrejee mungu wetu ,,,pole Sana mama na familia kwa ujumla kwa kumpoteza mpendwa wetu ,,,😭😭😭😭😭 eeh mwenyezi mungu tujaalie mwisho mwema

  • @oman7710
    @oman7710 Před 2 lety +25

    Yaaan nimeumia sana yaan wazazi watulee kwa wema leo wamuua Allahu akbar subhanallah

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 Před 2 lety +35

    Inasikitisha sana,mungu atunusuru na tumuombe sana haya matatizo yakome ya kuuana..

  • @annahchaz5537
    @annahchaz5537 Před 2 lety +51

    Tanzania serikali tunaomba tuweke japo siku2 yakufunga mashekhe na mapadre jmni imekua to murch sis pekeyetu hatuwez bila msaada WA mungu

    • @richvetty3243
      @richvetty3243 Před 2 lety

      Umeongea point

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 2 lety +4

      Mambo makuu matatu ya kuombea
      1.Serikali
      2.Hali ya hewa
      3 Mauaji
      Mungu tusimamie

    • @vitabuvyamahesabu5275
      @vitabuvyamahesabu5275 Před 2 lety

      Jmn n kweli kabisa ndg yang...maombi y pmj yahitajika

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 Před 2 lety

      @@mamachris6811 kweli maana sasa tunaanza kuuawa nawatoto wetu,wazaz nao kuua watoto mtihani

  • @siaedward5305
    @siaedward5305 Před 2 lety +28

    Mungu atusaidie jamani inaumiza mnooo pole sana mama

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Před 2 lety +17

    Pole Sana mama maumivu Mara mbili mume na mtoto kiukweli kiatu chako sikiwez na hakinitoshi hata sekunde moja pole Sana mama angu

  • @subiraadam2322
    @subiraadam2322 Před 2 lety +14

    Duuuuuhhh😭😭polen bha kukaja mweeeeh pepo gani hili Mungu awatie nguvu,tunamhitaji Sana Mungu kipindi hiki tulichonacho n kigumu Sana.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 2 lety +15

    Tumrudie Mungu vijana shetani anacheza na sisi 😭😭 matukio ya watoto kuuwa mzazi yamezidi jamani nyie Ee Mungu tusamehe Waja wako 🙏🏼

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma3731 Před 2 lety +44

    Innalillaah wainna ilaihi Raajiun Pole sana Mama yangu umempoteza Mumeo Kichwa cha familia na unampoteza mtoto wako pia. 😭😭😭😭

  • @umibana6759
    @umibana6759 Před 2 lety +9

    Pole Mwanamke mwenzangu kwa kuzaa kizazi hichi cha Nyoka, Mungu atunusuru woote maana hatujui saangapi hizi Nyoka zita tugonga. Tuombe Mungu atunusuru nao

  • @veronicatweve8908
    @veronicatweve8908 Před 2 lety +14

    Pole Mama M/Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu mnoo kwako yaani umepoteza mume wako pia kijana wako atafungwa kwa kosa la kuua 😭😭😭😭😭

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 Před 2 lety +7

    Huu mwaka umeanza vibaya Mungu aingilie kati atuhurumie 😭 poleni sana wafiwa

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před 2 lety +24

    Poleni sana wafiwa , jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl

    • @emmanuelletema6165
      @emmanuelletema6165 Před 2 lety

      Ww nawe na makolokolo yako😔 ..wenzako wana msiba huko ww umekomaa na makuruani utafikir ww ndo malaika kweli

    • @aishaally4912
      @aishaally4912 Před 2 lety

      Mungu akusamehe... Maana unavyosema makolokolo ... Unafananisha na nn hy quraan

    • @betterlifehouseholds1016
      @betterlifehouseholds1016 Před 2 lety

      @@aishaally4912 /Poleni
      Lakini tafuteni maombi
      Kuna mtu hapo
      Mwindani wenyu anawamaliza Kima Pepo
      Nenda mama kwa maombi

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před 2 lety +23

    Pole sana mama yangu jmn hadi naumia eti!!! Kweli maisha bila Yesu ni matatizo.

    • @husseinhamis1428
      @husseinhamis1428 Před 2 lety

      yeah ndo alokuumba wewe watu wengine bhana sijui mnasizigi af ndio mnakuja Ku comments

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 2 lety

      Huyo Yesu mwenyewe ndio naye mnasema kauawa, ndio dhambi ya kuuwana inaendelea hiyo.
      We Mica Mathew vipi

    • @user-gi4ls3bh3l
      @user-gi4ls3bh3l Před 2 lety

      Sasa yesu nini kaigiaje

  • @yunismahanga2871
    @yunismahanga2871 Před 2 lety +4

    😭😭😭😭😭 mwenzenu mpaka naogopa kuingia kwenye mtandao maana kila nikiingia ni matukio Tu mungu tuhulumie 😭😭😭 we mtoto Baba amekukosea nini nimeumia sana

  • @dianangailo9878
    @dianangailo9878 Před 2 lety +7

    Poleni Sana mamaangu ( Mwalimu wangu ) kwa kuondokewa na baba yetu 😭 😭 Mungu akupe ujasili

  • @dickymediapro4179
    @dickymediapro4179 Před 2 lety +11

    Dah.! Pole Mama.
    Yani wazazi wakulee na kukusomesha kwa shida upate kazi badala uwasaidie unakuja kuuwa hata hawajakula matunda ya mafanikio yako.Mungu atuhurumie
    R.i.p Baba,umemlea mwanao kishujaa na umekufa kishujaa,inauma sana

  • @benskissy8238
    @benskissy8238 Před 2 lety +13

    Hakika Mwenyezi Mungu ndio anajua hukumu ya mwenye dhambi, RIP

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před 2 lety +1

    Mama awe pole sana. Shetani ni kumbe mbaya sana, hafurahi kuona mkimaliza maisha haya salama usalimini.
    Tumpige vita kwa nguvu zetu zote, na tukiondoa vile viashiria vyake, pombe, chuki sisi kwa sisi, na hata utumwa mbovu utakao kua chanzo cha kuponza akili zetu kujidhuru ama kudhuru mwengine.

  • @fatumaabdala4697
    @fatumaabdala4697 Před 2 lety +1

    Allah yaallah , poleni Sana wazazi tuombe Dua Sana, watu wa mkoa wa pwani , inauma sana

  • @002RYE
    @002RYE Před 2 lety +5

    Bongo kumechafuka😪so sad.Allah atulinde na kutuongoza🙏watching from Kenya🔥

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 2 lety +13

    Walahi Mama umeniliza sana! Mama Pole sana sana!

  • @cautharyally5584
    @cautharyally5584 Před 2 lety +4

    Pole sana mama angu mwenyezi mungu akutie nguvu mama ... ivi kwann hii nchi isingeweka utaratibu ule ukifanya kosa la mauaji na wewe unyongwe🤔mbona nchi nyingine wanaiyo taratibu,wakiweka iyo taratibu nadhani watu watakuwa na akili maana tunaendekeza sana roho za umauti

  • @KesheMedia
    @KesheMedia Před 2 lety +12

    Yani nimelia jamanii..Mungu tuondolee hili pepo la kuua wazazi

  • @abubakariomari4660
    @abubakariomari4660 Před 2 lety +23

    Utaona kwanini mwenyezimungu ameharamisha pombe, kila kilicho haramishwa na mwenyezimungu kina madhara, Sawa Sawa tuyajue au tusiyajue.
    Lakusikitisha ni kua baadhi ya wanadamu wanahalalisha viliyoharamishwa kwa kuvipa majina mbali mbali na mazuri, nakujifanya kutoa faida za kisayansi nk, katika hivyo viliyoharamishwa.
    Tufahamu alietuumba anatujua zaidi na anaju kila kilicho na faida nasi na kisichokua na faida.
    Hivyo tusimame alipotuamrisha.

    • @coazoneone1174
      @coazoneone1174 Před 2 lety

      kwahiyo ukichukua statistics za mauaji kama hayo wengi ni pombe kuliko yaliyofanywa na wasio kunywapombe? au wanagapi wanakunywa pombe na ni wastaarabu hawana matukio mabaya? watu kila siku wanauana,wanabaka na pombe hawanywi

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před 2 lety +7

      Walevi watateteana tu!! Hakuna shaka pombe inamadhara makubwa sana

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 Před 2 lety +1

      @@coazoneone1174 ata magomvi mengi kati ya wanandoa uletwa na pombe

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 2 lety +1

      Al-Qaida, Al-Shababu, Boko Haramu hawanywi pombe na ni wauaji wakubwa! Unasemaji Bwana Abuuuuu!!

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před 2 lety +1

      @@mimiraia2531 Hata kama mauaji mengi yanafanywa na wasokunywa pombe lakini pombe pia inamchango wake mkubwa na kuna vifo vinatokana na unywaji wa pombe kama hichi!!! Inshort pombe ina madhara makubwa, sema kweli atakama ni chungu

  • @deopamedia
    @deopamedia Před 2 lety +10

    Pole sana mama na familia kwa ujumla Mungu awafariji kipindi hiki kigumu cha msiba

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 Před 2 lety +8

    Uturehem Ee Bwana kwakua tumetenda dhambi, waondolee vijana wetu roho ya shetani ilio wavamia na kuwaletea kutenda yasio faa katika family na jamii nzima 🙏🙏🙏

  • @alicembaga6350
    @alicembaga6350 Před 2 lety +1

    Pole Sana mama mungu akutie nhuvu mama kwa pito gumu lakumpoteza mwenzako,

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema8631 Před 2 lety +5

    Daaaaaaah Nyakati Za Mwisho Hizi, Wanajeshi Mungu Anawaona.

  • @carolinejulius3913
    @carolinejulius3913 Před 2 lety +26

    Watu wa aina hii mimi napeleka moja kwa moja kwenye kitanzi hakuna mahakamani wala haki za binadamu hapo ondoa takataka hii hapa duniani

    • @gracepius9762
      @gracepius9762 Před 2 lety +1

      Nikweli kabisa jamaniii uwiiii baba kajifunga mkanda kumsomesha Leo anamtoa uhai wake??? Inauma ...

    • @mariammwendakazungu5783
      @mariammwendakazungu5783 Před 2 lety +1

      Kweli ht dini inasema ukimshuhudia mtu kauwa basi inpaswa umuuwe nawe inauma sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety

      @@mariammwendakazungu5783 dini ipi?

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 Před 2 lety

      Haki za bnadamu ndy wNazngua kbsa maana polis wakitaka kumuua ila haqi za bnadamu wanazuia kuua

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 Před 2 lety

      @@mariammwendakazungu5783 kwel kbsa rafk angu Yan ingekua uarabuni na yy vlevle anachnjwa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety +3

    Pole mama pole

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 2 lety +12

    R.i.p Baba!

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma3731 Před 2 lety +32

    So sad sana Mama analia MAMA (Pepo ipo chini ya nyayo za wazazi wawili) how you can kill them 😭😭😭

  • @danielmwamahonje9852
    @danielmwamahonje9852 Před 2 lety +12

    Mungu Mungu Mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @gabriellafaith6128
    @gabriellafaith6128 Před 2 lety +36

    Spirit of death 🥺Polee mama na MUNGU akutie nguvu, pia omba something is not right

  • @FadyFs
    @FadyFs Před 2 lety +12

    ile nyimbo ya marioo bia tamu ifungiwe na isiwe ruhusa kupigwa sehemu yoyote

    • @calvinsilayo2052
      @calvinsilayo2052 Před 2 lety

      Wew kwa upeo wako Ni kuw alikuw amelew au

    • @FadyFs
      @FadyFs Před 2 lety

      @@calvinsilayo2052 ndio... Kwani hauna masikio??

    • @calvinsilayo2052
      @calvinsilayo2052 Před 2 lety

      @@FadyFs ttz siyo ilo bro ishu n kwamb wew unaon n pombe imefny ivyo

    • @FadyFs
      @FadyFs Před 2 lety

      @@calvinsilayo2052 amna jipya zaidi ni kwamba wew jamaa unatetea vileo..

    • @calvinsilayo2052
      @calvinsilayo2052 Před 2 lety

      @@FadyFs ningekuw natumia saw lkn Mimi nimelet hoj nyingine mezan coz huwez kuniaminish moja kwa moja ety akili y pmb ndo imefany ivyo.

  • @selinamashoko2490
    @selinamashoko2490 Před 2 lety

    Pole sana mama...M/Mungu akupe nguvu katika wkt huu mgumu wa Majonzi!

  • @mwanrique
    @mwanrique Před 2 lety +4

    Pole sana sana Mama! 🙏🏾

  • @amosmichael487
    @amosmichael487 Před 2 lety +3

    Poleni sanaaa

  • @christinemangaza6303
    @christinemangaza6303 Před 2 lety +2

    Pole sana mama 😩😩😩

  • @giftramadhani9275
    @giftramadhani9275 Před 2 lety +4

    pole mama🥺 pole sana mamaangu

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Před 2 lety +5

    Poleni sana wafiwa inauma sana 😭😭😭😭

  • @yassiraliy8174
    @yassiraliy8174 Před 2 lety +2

    Pole mama

  • @hamisayusuph5966
    @hamisayusuph5966 Před 2 lety +1

    Pole sana mama imeniuma sana nimelia kwa uchungu unavyosimulia tukio la mwanao kumuua baba yake

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 Před 2 lety +2

    Poleni sana pole mamaaetu

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 2 lety +1

    Poleni sana. Mungu aturehem.Amen.

  • @mourinebey_kenya7027
    @mourinebey_kenya7027 Před 2 lety

    Pole sana Mama na Family nzima. Mwenyezi Mungu Mwenye Rehema Awatiye nguvu inshallaAh 🙏🏻🙏🏻😭😭😭😭

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety +15

    Pombe tu hiyo na ndo mana Allah ameiharamisha pombe ni baba Wa maasi unaweza kufanya chochote ambacho huwezi kufanya ikiwa hujalewa sasa ikiruka unajutia lakini inakuwa umeshachelewa pombe ni mbaya na ndo mana ikaharamishwa

    • @mikemasala5754
      @mikemasala5754 Před 2 lety +1

      Acha uongo..mi vaccine izo

    • @reubenkissinga5802
      @reubenkissinga5802 Před 2 lety +1

      Kwa hiyo unataka kutuaminisha ya kwamba watu wanaofanya vitendo vya mauaji wanakuwa wamekunywa pombe???

    • @abdulrazakhassanor498
      @abdulrazakhassanor498 Před 2 lety +1

      @@mikemasala5754 aliyekuambia nani?unadhani tukio hilo ni moja tu hata kabla ya vaccine matukio kama hayo yapo kibao ya kumwaga tu

    • @abdulrazakhassanor498
      @abdulrazakhassanor498 Před 2 lety

      @@reubenkissinga5802sio pombe tu chochote kile kitakachoweza kumtoa MTU akili

    • @reubenkissinga5802
      @reubenkissinga5802 Před 2 lety

      @@abdulrazakhassanor498 Akili ni Nini??

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Před 2 lety

    Daah!!! Mungu kaa nasi.Nikiasi gani Mungu umetuacha.Utatuacha mpaka lini Baba.Tunakuhitaji katika taifa letu nawatu wake.Hali imekuwa mbaya sana sana sana.

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja444 Před 2 lety

    Poleni sana mama. Nimesikitishwa sana na kitendo alichokifanya huyo kijana Kwa kukatisha maisha ya mzazi wake

  • @bettykarimi9267
    @bettykarimi9267 Před 2 lety +2

    Pole Sana mama

  • @marrynyagawa6997
    @marrynyagawa6997 Před 2 lety

    Pole sana mamaangu ,Mungu akutie nguvu sana pamoja na wafiwa wote

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 Před 2 lety +2

    Aaaaaa kumbe ni mlevii basi analaana la baba na mama yake loo pole mama uchungu wa mmeo

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 2 lety +2

    Wasokua na watt wanajuta na wenye watoto wanajuta je ni wapi pakukanyaga ama pa kukimbilia?!?? Uwe na mtt ama usiwe na mtt 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @raveenagasper8491
    @raveenagasper8491 Před 2 lety +3

    Mama yangu umenilizaa sana😭😭😭jamn tunaenda wapiii

  • @enithanelson8418
    @enithanelson8418 Před 2 lety

    Duuuu! Mwenyez Mungu atusaidie kuufikia mwisho mwema na tunapoyaona haya yanatokea mahalimahali tujue yesu yu karbu jaman tuache maisha ya anasa tumugeukie Mungu mathayo 24:1........

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 Před 2 lety

    Pole Sana mama damu ya Yesu Kristo ikufariji, Baba alikuwa na haki ya kumeonya mtoto wake, poleni sana

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 Před 2 lety

    Mama pole mungu atakupa subra dah inaumiza sana mtoto unamlea unasomesha leo anakuja kukupotezea maisha kwa kweli tuzid kuwaombea Dua watt wetu waondokone na mabilisi haya

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Před 2 lety

    Poleni sana ndg zetu daaah mwenyezi mungu akupe amani na uvumilivu kwenye ili mama

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Před 2 lety

    Innalilah wainnaillah rajiuun pole sana mama angu Allah akupe subra na akufariji nafsi yako
    Yarabiy tusitir waja wako katika hii dunia

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 Před 2 lety +1

    Pole mamangu mzazi, kweli inauma

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya4283 Před 2 lety +6

    😭😭😭😭daah yn umuuwe mzazi wako kisa wasema mchawi 😳😳🙆🏾🙆🏾km angekuwa mchawi nadhn Asinge kukuza hd ukubwa huo mungu atulinde cc na vizazi vyetu

  • @happynesmakuru8371
    @happynesmakuru8371 Před 2 lety +2

    Pole sana mamaangu kiukweli nimetokwa machozi 😭😭😭

  • @joshuamchiwa861
    @joshuamchiwa861 Před 2 lety

    Inauma sana. Pole sana Mama na Mwalimu wangu tokea darasa la kwanza na la pili. Vijana tunatakiwa tujitathmini sana, maana inakuwa inapitiliza sasa.

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 Před 2 lety +3

    Jaman Dunia hii jaman hii subhannah Allah yarab tunusuru viumbe wako jaman mbona mauaji mengi kila siku 😭😭😭nimelia walah

    • @yusuphwm
      @yusuphwm Před 2 lety

      Siku za mwisho hizi ndugu

  • @jullietumutesi2937
    @jullietumutesi2937 Před 2 lety +2

    Hiviii dunia hii tunaelekea wapiiii eeeeh Mungu😭😭😭😭 so sad jamaniii

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 Před 2 lety

    Daah pole saana mama Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu 🙏

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 Před 2 lety

    Mtoto wazazi wamekulea kwa shida Leo unamuua baba yako!umesomeshwa na umepata kazi,shukrani yako ndo hiyo kwa baba yako!

  • @simonraphaeli1426
    @simonraphaeli1426 Před 2 lety +2

    Aaaah dah inauma hatakuzaa inakatishatamaaa

  • @heriethjoram3298
    @heriethjoram3298 Před 2 lety +1

    Mungu Wetu Wa Rehema Turehemu sisi.

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 Před 2 lety

    Doooh! Inasikitisha sana kwa kweli..... Tumwombe Mwenyezi Mungu atujaalie watoto wema

  • @subirasanga5276
    @subirasanga5276 Před 2 lety

    Hilp n pepo hilo bib hap panahitaji maombi. Nae hakujijua n pepo tuu lilimvaa. Familia yak inahitaji maombi kwakwer sio bule. Mungu awatete kwakwer! Pole bibi Mungu akufunge mkanda eeh!

  • @gama_liely
    @gama_liely Před 2 lety

    Duh, pole sana mama katika kipindi kigumu hiki màma,,,,,,, dah mungu atamlipa kwa alichomfanyia baba yake, sababu ni mungu wake wa pili dàh😓😓😓😓😭

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před 2 lety

    Pole Sana mamaangu.umeniliza sana.nawatu wambeya wanavyoliaga kwa uchungu

  • @saniakisinga3645
    @saniakisinga3645 Před 2 lety

    Mama pole sana, muombe Mungu pepo la mauti hilo ktk ukoo na familia,lishindwe kwa jina la yesu.

  • @morombotv
    @morombotv Před 2 lety +2

    Pole sana mamaa

  • @georgespenser1038
    @georgespenser1038 Před 2 lety +1

    daaahhh,, aiseee,, inauma sanaaa

  • @priscamussa4672
    @priscamussa4672 Před 2 lety

    Eeeeh mungu wa mbinguni tuondolee hizi roho za kinyama 😭😭😭bila huruma yako mungu hatutaweza baba wa rehema tuhurumie sisi wanadamu maana mioyo yetu imejaa kisasi cha damu😭😭😭😭okoa taifa lako bwana mungu roho ya mauti imetawala ndan ya roho zetu eeh mungu tunavunja kwa damau ya yesu kristo maana taifa la sasa ni kisasi na chuki ndo vimetawala mioyon mwetu 😭😭😭😭BABA WA MBINGUNI MUNGU UTIHURUMIE BIKIRA MTAKATIFU MAMA WA WENGI UTUOMBEE😭😭😭

  • @kelvinmtavangu7701
    @kelvinmtavangu7701 Před 2 lety +1

    Poleni sana wafiwa wote. Hakika DUNIA IMEKUWA TAMBARA BOVU. EE MUNGU UTUEPUSHE NA JANGA LA VIJANA KUWAUA WAZAZI WAO? R.I.P
    MWL MZEE NDONDE. KAZI UMEIMALIZA VITA IMESHINDA. KIFARANGA CHAKO UMEKILEA MA KUKISOMESHA, KIMEPATA KAZI. LEO ETI KINAKUCHINJA????MWEMWE. EE MUNGU UTUREHEMU.
    .

  • @vj8313
    @vj8313 Před 2 lety

    Poleni sana mama jamani 😭 Mungu akutie nguvu mama yangu jaman nimeumia sana 😭😭

  • @tofautinamalengo5035
    @tofautinamalengo5035 Před 2 lety +1

    Pole sana mama angu mungu akutiye nguvu

  • @ayshasulaiman5026
    @ayshasulaiman5026 Před 2 lety +2

    Huu ni mtihani Allah atunusuru na watoto wetu

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 2 lety +1

    Si pombe tu huyo pombe+ bangi+jeshi🙌 , Allah atustilie watt wetu jmn, umzae mwenyewe mlee, mwenyewe, kaz umpambanie, leo shukran yake ndio hiyo?🙄🤔innah lillah wainnah illah rajiuna, Iman ya mungu hamna kifuan pia.

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g Před 2 lety +1

    Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 🤲 umeniliza mama ,nilitamani Sana kupata japo usia WA Baba Ila Baba alinika taa nimelelewa Tu na mama ☹️wengine mmejaaliwa wazazi wote wawili na mnausiwa mazuri lakini mnawaowa?!?!shetani yupi kazini tuweni makini Sana ndugu zangu

  • @manyamamasau2027
    @manyamamasau2027 Před 2 lety

    Pole sana mama Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu.😭😭

  • @norahmichael7760
    @norahmichael7760 Před 2 lety +1

    Duh mama anaongea kwa uchungu mkubwa 😭😭😭😭😭😭😭 Mungu tusaidie🙏

  • @mwanamisakulembwa1147
    @mwanamisakulembwa1147 Před 2 lety

    😭😭😭poleni xana duh imeniliza xana.. inalillah wainaillahi rajiun mwenyezi mungu tusamehe

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 2 lety +2

    😭😭😭😭😭😭😭 poleni sana wana familia wote

  • @aishanasri7561
    @aishanasri7561 Před 2 lety

    Pole mama Allah akufanyie wepes inshallah

  • @JohnDoe19xx
    @JohnDoe19xx Před 2 lety +5

    Sisi kama Taifa inabidi tuwe na mjadala maalumu kuhusu Afya ya akili

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 2 lety +1

      ukisema habari ya mental health waTzn wengi wanakataa .

    • @sarahtaste2876
      @sarahtaste2876 Před 2 lety

      Kabisa kabisa mm nimepambana sana na afya yangu ya akili mpka nimetoka huko nashkuru Mungu inaweza ikafanya uwe kichaa ety

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 2 lety

      @@sarahtaste2876watu wengi wako depressed kutokana na maisha zaidi vijana nayo hii inapelekea kuwa mental illness lakini wenyewe husema depression ni maradhi ya wazungu basi hatujui tutasaidika vipi ?

  • @cautharyally5584
    @cautharyally5584 Před 2 lety +1

    Hapana kabisa una kifungo cha maisha naona hakisaidi coz kule gerezani anapokuwa anakuwa anaishi bado na anakuwa anakula na kukaa kwa amani wakati yeye ni muaji kwann na yeye asinyongwe ? Roho inaniuma sana daah

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 Před 2 lety

    Pole sana mamaangu pole sana inaumaaa jamani MTT umzae mwenyewe umlee kwafurahaaa leo aje kukutoa roho dah

  • @patriciakwidika3366
    @patriciakwidika3366 Před 2 lety

    Pole mama angu Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu lumbila imezizima jamana nin hiki 😭😭😭

  • @jamilaabdallahsalim9284

    Unaeza ukasema basi ni watoto wa kiume ndo wakatili jaman lakini nimekumbuka ya yule wakike aliemuua mamaake nachoka jamani tuzae tu lakini tumuombe sana mungu vijana wameharibika jamani,, pole sana mama mungu akutie nguvu nimejaribu kuvuta taswira wakati unamwambia mbona unampiga babaako nimelia😥 pole sana mama

  • @syliviamgeta8131
    @syliviamgeta8131 Před 2 lety

    Pole Sana mama😭😭😭😭haya matukio ya kuuwa wazazi yanazid jaman ee mungu simama na uzao wangu 😭😭😭😭