Daaah wanaume sisi huyu mama anaonekana anampenda sana mumewe sema hilo jamaa ni lilevi na kiburi sana Mama wa watu mzuri sana huyo na anaheshima nzuri tu mungu fundi sana watu wa hovyo anawapa wanawake wazuri sana na wenye upendo wa kweli sisi ambao tumetulia zetu ndio tunapata mijanamke ya hovyo.
Kabisa mdogo wangu ,, Mwanamke mzuri sana ila nimegundua huyu mwamba anasikiliza dada zake,na dada zake wanawivu na wifi Yao ,kwa uzuri wanaona kama mwamba alivyokuwa jela ,Kuna fisi alikuwa anamla huyu demu,na mwamba dada zake wanaviela wanamdanganya mwamba ukimuacha huyu mwanamke tutakusaidia ,mwamba dhaifu, wanawake wengi wanaroho mbaya sana hapa duniani,Mungu atampa maisha mazuri huyu demu na mtoto wake
Huwa natafuta kibaya Cha nakonda sikion hata kidogo lakn watu wengne hawampendi najiuliza wanachomchukia kakangu Kaka Mungu anakupenda fanya kazi Kaka tuko nyuma yako tunakuombea
Mhe. MAKONDA wenye roho km hiyo ni wachache mno umewekeza duniani na mbinguni Mungu awe nawe jembe la kazi mema yakufuate popote uwe miaka mingi yenye amani teeeeeeeeeeele mnakupenda sana kakangu mzuri
Mheshimiwa Makonda nafurahia sana jnc uongozi wako ulivyo kwa kuckiliza kero za wananchi na kujarb kuzitatua.Ila naomba sn kiongozi, wananchi hawa waekewe ulinzi, maan kuna watu hawapendi kufichuliwa mabaya yao,wataweka kisasii daimaa.
Achunguzwe nini Sheria aijaweka wazi nenda kule dawati la jinsia uone kwa nini saiz wanawake awakimbilii huko maelezo anaweza kuambulia elfu hamsini kwa mwezi mzima kama hauna kipatoa sahihi kwa kila siku elewa sawa
Mpaka nimetoa machozi...😢 dada Mungu akutie nguvu sana katika hatua zako za maisha. Najua ni kwa jinsi gani umepata maumivu kukataliwa mbele ya haraiki. Ila niamini mimi siku zote kisasi ni cha Mungu, huyu baba kufanikiwa kwenye kazi zake asahau kabisa mana hapo amepanda laana. Hakuna chozi la mwanamke ambalo linadondoka bure. MHE Makonda: Mungu akubariki mnoooo naiona roho ya magufuli ndani yako. Utunzwe na kulindwa na Mungu siku zote za maisha yako🙏
Uyo sheria hajui kabisa aise yaani baba kama hataki kuishi na mke wake na wameaza watoto au mtoto haijalishi niwangap baba lazima awajibike kwakila kitu mbaka mtoto atakapo jitambua au akifikisha umli wa miaka 18
MuNGu Mwenyezi akulinde kaka kwa utendaji wako wa kazi kwa wananchi.Nakuombe heri na baraka tele juu yako,Roho Mtakatifu akuzidishie Hekima uendelee kusaidia wananchi ambao ni Taifa la MuNGu.BARIKIWA KATIKA KAZI ZAKO ZOTE UZIFANYAZO.
Ukiona mwanamke kamuita mwanaume aliyemzalisha Jina tofauti na Jina lake au baba flani au Mme wangu...Jua apo tatizo lipo Kwa mwanamke....Mwanamke anayempenda mwanaume aliyemzalisha hawezi kumuita ..(HUYU BABA)
We huna akili nini hujasikia huyo shetani na yeye alivyosema mimi siwezi kuishi na huyu mwanamke si bora haya yeye kasema baba...unajua maumivu ya kutelekezwa na mtoto wewe wanaume wakiachiwa watoto wanapiga kelele mpak mbingu zinatingishika na sisi mjue sio mawe tuna mioyo na tunaumia pia huwezi kumpenda mtu aliyekuacha na mtoto na ndugu zake wanakufukuza nyumbani huwezi broo put your self in her shoes ndo uongee unless na wewe ni shetani kama yeye...
Safi sana muheshimiwa Paul Makonda Kwa kuwajibika wanaume mjifunze mnapowaacha wanawake mliowazalisha mnawatesa watoto, na MUNGU hapendi kabisa,watoto wanateseka sana
Mungu aendelee kukuongoza ili watanzania woooote wakiri kuwa ni Mungu tu ndiye aliye kusimika kuwa ķiongozi wawatanzania kwa uweza wa Jina la Yesu amen.
Daaah wanaume sisi huyu mama anaonekana anampenda sana mumewe sema hilo jamaa ni lilevi na kiburi sana
Mama wa watu mzuri sana huyo na anaheshima nzuri tu mungu fundi sana watu wa hovyo anawapa wanawake wazuri sana na wenye upendo wa kweli sisi ambao tumetulia zetu ndio tunapata mijanamke ya hovyo.
Tena minyang'au ya kutosha
Wanaume wa Arsh wanakiburi mnoo acha kabisa yan ukiwa na mwanaume wa arsh ujipange
Uhakika
Kabisa mdogo wangu ,, Mwanamke mzuri sana ila nimegundua huyu mwamba anasikiliza dada zake,na dada zake wanawivu na wifi Yao ,kwa uzuri wanaona kama mwamba alivyokuwa jela ,Kuna fisi alikuwa anamla huyu demu,na mwamba dada zake wanaviela wanamdanganya mwamba ukimuacha huyu mwanamke tutakusaidia ,mwamba dhaifu, wanawake wengi wanaroho mbaya sana hapa duniani,Mungu atampa maisha mazuri huyu demu na mtoto wake
Kabisa makonda akigombea urais kura yangu yake
I wish siku moja uwe rais my kaka
Dah! Hata mm Nataman Iwe Ivyo
Hii nimeipenda imekaa vizuri sana na Mh. Makonda MUNGU akuinue.
Na alaaaniwe yeyote anaemchukia makonda
Pop yes
Amin.
Huyu kajifunza kitu Kwa magufuli, makonda for president
Kabsa yaan
Masha'Allah Mheshimiwa Makonda maua yako huna haya❤❤❤
Pole saana mwanamke mwenzangu mitihani tumeumbiwa sisi Mungu akufanyie wepesi kipenzi 😢😢
Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu, sifa na utukufu zikurudie wew Mungu wetu
Aisee huyu Mwamba kwakweli Mungu amlinde, Mh Makonda anakila sababu za kupendwa na wananchi. Daaaah mama yetu akuongezee cheo wallah
baba kayatimba aswaaaah
Afisa ustawi hayupo huyo arudi darasani
Mmh😢😂😢😂
Cjaona chochote
@@user-my4dr5oq6v utaonaje na ww una wivu wa kichawi, fitina nyingi, husda kwa sana. Wale wenye husda mtabaki hivyo hivyo mnampango na shetani
Huwa natafuta kibaya Cha nakonda sikion hata kidogo lakn watu wengne hawampendi najiuliza wanachomchukia kakangu Kaka Mungu anakupenda fanya kazi Kaka tuko nyuma yako tunakuombea
Mhe. MAKONDA wenye roho km hiyo ni wachache mno umewekeza duniani na mbinguni Mungu awe nawe jembe la kazi mema yakufuate popote uwe miaka mingi yenye amani teeeeeeeeeeele mnakupenda sana kakangu mzuri
Anaemchukia makonda alaamiwe jamani, makonda mungu akulinde na hasadi zote
Natamani uyu baba aje kuwa rais wa nchi jamani ni mwamuzi mzuri sana Mungu akulinde mheshimiwa
Nchi sizani Kama atapewa
Dume Zima limeona aibu sasa mdada wa watu kapata lak 8 kweli Mwenyez Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo
Mungu akubariki sana baba kwa kazi hii nakufuata nikiwa Congo RDC,,,Pia Mungu akulinde mukuu wamukuwa
Makonda nakupenda kaka barikiwa mnoooo YESU NI MKUU SANA ANAKUPIGANIA SANA
Huyu dada anaonekana ana hekima sana Mungu aiongeze hiyo hela upate maisha
Mwenyez mungu akulinde makonda mwenyezi mungu atakulinda wewe na familia yako
Makonda umeongea point mtoto atakiwi kujua mambo ya wazazi wake
Mheshimiwa Makonda pole sana una kazi kubwa sana . Pole sana Mwenyezi Mungu akusimamie
Makonda umepewa kibari na mungu hii ndiyi ngao yako lsaya 54_17
Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu aliye HAI kweli kweli
Mheshimiwa Makonda nafurahia sana jnc uongozi wako ulivyo kwa kuckiliza kero za wananchi na kujarb kuzitatua.Ila naomba sn kiongozi, wananchi hawa waekewe ulinzi, maan kuna watu hawapendi kufichuliwa mabaya yao,wataweka kisasii daimaa.
Mashaallah kakaangu makonda Mungu akubariki sana ❤❤❤❤❤
Duh!!!!! Mh Makonda wewe ni wa mungu tuuu Rais wangu mungu akupe Afya njema na akubariki sana Insha Allah
Kaka Makonda nakupenda sana Mungu akutunze
AMINI NA KUMBUKA MANENO YANGU SIKU MOJA UTAKUJA KUWA RAIS WA NCHI HII AMEN
100%🎉🎉🎉🎉
100%🎉🎉🎉🎉
Aameen🙏
Amen
Ila Mh ,Makonda kazi yako ni ngumu Sana ,Mungu akujalie akuinulie waombaji wa kukubebe kwenye maombi.
Mungu akulinde Makonda pia pambana sana
Mungu akubariki baba
Mungu akutunze Makonda uwe na roho ya hekima zaidi
Mungu amlinde makonda 👏👏👏👏
Aisee mpaka machozi yamenitoka Mungu akubariki sana muheshimiwa Makonda
Makonda uyo jamaa hamna kitu mchunguzeni iyo kz kapewa na mjomba yake hana taaluma yoyote
Achunguzwe nini Sheria aijaweka wazi nenda kule dawati la jinsia uone kwa nini saiz wanawake awakimbilii huko maelezo anaweza kuambulia elfu hamsini kwa mwezi mzima kama hauna kipatoa sahihi kwa kila siku elewa sawa
Sasa ndo angetoa maelezo hayo,,anajikanyaga sana anashindwa kuongea kama kiongozi@@rabsonchisumo6640
Nani kaskia AJIRA ZA KUPEANA HIZO
Makonda kwenye hili na pongeza mno ubarikiwe mara mbili ya hili
Uko vizuri muheshimiwa mungu akulinde na akupe kibali cha kuwa rais wa tanzania.
Mungu ampe maisha malefu makonda
Ubarikiwe kumsaidia huyu mam
Makonda akiwa raisi atakua km magufuli piga kazi baba namuona kua raisi wa miaka ijayo
❤️❤️❤️
Kwanini watu wengine wanamnyooshea kidole makonda, wakati huyu jamaa ni mpenda haki!
Wajinga na wadhurumaji Tu,
Huwezi kua mzur wote huwez kua mbaya wote
Vizuri ndo hupigwa vita
Love you rc❤
Shida yako.kauli yako mfano kusema . Weee kitanzania nitusi. Wewe nimwamba sana.kasoro nihiyo tu.tunampenda mnoo.lakini turekebishe kauli tu.au Tamsin lake tu.love yoo makonda.hujui tuna kubiliv mno
Makonda the best leader🎉
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤ Mungu akutunze
Sema hamjui tuu uwezi jua jamaa anapitia nn siku wanaume tukisema tutoke tueleze mambo tunayopitia kwa wake zetuu watu watatukataaa
Hiyo kweli kabisa, jama kaongee alipopata matatizo mwanamke alimkimbia
Umejuaje wanaume wanisili Sana
Huwezi kushindana na mwanamke akijitetea hasa akiwa public
Kabisa aiseeh ukiona mwanaume amefika mwisho Kuna jambo
@@davidsika5292 basi achana na mkeo tunza mtoto wako kaka
Mungu akubarik saaan baba makonda
Mwamba uko poa sana yaan mungu akuzidishie hekima na maongiz
Mpaka nimetoa machozi...😢 dada Mungu akutie nguvu sana katika hatua zako za maisha. Najua ni kwa jinsi gani umepata maumivu kukataliwa mbele ya haraiki. Ila niamini mimi siku zote kisasi ni cha Mungu, huyu baba kufanikiwa kwenye kazi zake asahau kabisa mana hapo amepanda laana. Hakuna chozi la mwanamke ambalo linadondoka bure.
MHE Makonda: Mungu akubariki mnoooo naiona roho ya magufuli ndani yako. Utunzwe na kulindwa na Mungu siku zote za maisha yako🙏
Alhamdullilah watching from Uganda ❤❤❤❤❤
Hahahahahahahaha kumbea arusha tunaoa kwa soda 😂😂😂😂😂😂
Makonda wewe hunaga baya bro mungu akupe umri mrefu maisha marefu kaka chapa kazi hayo ndo ulicho itiwa maua yako nakupa
Wanawake wa arusha wazurii wanaume wao km chokoraa khaa
Kumbe nawe umeona sijuwi tatizo nini 😂😂😂😂😂😂😂
Watu wanajiita wadudu 😅 lazima waonekane kidudu dudu
Mimi kidogo niseme ivo 😁 tena wanapendwa sana na wasukuma
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sina mbavu
🤣🤣🤣🤣🤣kwakweli nimecheka kwa sauti eti wanajiita wadudu
Mm Huwa nikitazama p makonda Huwa nalia sana jisi anavyo juwa kufaliji nakuombea maisha marefu ❤
Allah ajaalie mtende haki kwa uwezo wa allah ins
Mmmmm!!! Jamani
High level of incompetence,what a shame😢
Uyo sheria hajui kabisa aise yaani baba kama hataki kuishi na mke wake na wameaza watoto au mtoto haijalishi niwangap baba lazima awajibike kwakila kitu mbaka mtoto atakapo jitambua au akifikisha umli wa miaka 18
Daaa umefata nyendo zote za magufuli mungu akulinde sanaa
Asante,kiongozi,kwa,ushauli,wako.
Makonda mungu akulinde
Mapenzi yana siri sana.... imagine huyu mama anamlilia huyo mwanaume 😢😢😢😢😢😢
Mmoja katia ajira yakupeana hahahahahahahaa watu
Aki Mheshimiwa njoo Kenya utuongoze jinsi hii.
I wish we has such leaders here in Kenya! 🙏
thanks so much
MuNGu Mwenyezi akulinde kaka kwa utendaji wako wa kazi kwa wananchi.Nakuombe heri na baraka tele juu yako,Roho Mtakatifu akuzidishie Hekima uendelee kusaidia wananchi ambao ni Taifa la MuNGu.BARIKIWA KATIKA KAZI ZAKO ZOTE UZIFANYAZO.
Bado kwangu naomba mungu akupe nafasi kubwa zaidi hii ndogo,mama samia angalia hili jembe
Point mtoto atakiwi kuambiwa mabaya ma wazazi. mama pambana mtaji ndo huo sasa.
Mungu akupe maisha malefu,,,hakika makufuli alifua chuma.....
Hakuna ustawi wa jamii hapo,,wa mchongoo,,halijui kitu
😂😂😂😂😂
😅😅😅
😂😂😂😂
Kama mtu huna elimu na kitu, achana nacho ustuletee aibu mkutanoni! Unakaa tu unatulia!
Well!you are a leader but also an educator
Mi sipendi ccm Ila makonda nimekukubali Sanaa Arusha tumepata kiongozi
Hii mhe makonda uko vizur mungu akulinde wakomeshe hao wanaume wanao zalisha watot wawatu
Huyo afisa ustawi yupo sawa, ila ni presha, ya kuitwa na mkuu wa mkoa.
Sipenda alivyomdhalilisha
Kutokujiamini 2
Umeona eeh Sheria aijasema ila inaangalia kipato chako kwa unaingizaje kama hauna kazi ni ungaunga kina cha chini huwa wanakadiria elfu 50
Makonda hajabisha ila ametaka ajibu kisomi kwamba kifungu flan no.fln kwa mujib wa sheria ndio aseme
Ukiona mwanamke kamuita mwanaume aliyemzalisha Jina tofauti na Jina lake au baba flani au Mme wangu...Jua apo tatizo lipo Kwa mwanamke....Mwanamke anayempenda mwanaume aliyemzalisha hawezi kumuita ..(HUYU BABA)
We huna akili nini hujasikia huyo shetani na yeye alivyosema mimi siwezi kuishi na huyu mwanamke si bora haya yeye kasema baba...unajua maumivu ya kutelekezwa na mtoto wewe wanaume wakiachiwa watoto wanapiga kelele mpak mbingu zinatingishika na sisi mjue sio mawe tuna mioyo na tunaumia pia huwezi kumpenda mtu aliyekuacha na mtoto na ndugu zake wanakufukuza nyumbani huwezi broo put your self in her shoes ndo uongee unless na wewe ni shetani kama yeye...
Hongera mheshimiwa Makonda
Ee Mungu tusaidie siku moja Makonda aje kuwa Rais wetu🙏🙏🙏🙏
Makonda mungu akupe nguvu
Mungu akulinde siku moja uwee rais
Makonda mungu akuzidishie umri ufikie uraisi
Kiongozi shupavu mungu akuongezee hekima na maisha marefu
Aisee Hakuna Afisa maendeleo ya Jamii hapa..Yani Bure kabisa..Na hawa ukiwakuta ofisin ndio wanapindisha pindisha tu Sheria
Umeona na ww kumbe
Makonda mungu akulinde sana mimi mwenyewe mwaume kuniachia pacha hapa nateseka sana ila mungu anajuwa
Arusha watu wanapeana kazi kindugu,Rushwa zimetawala Doh
Kwenda huko kirenga mkubwa wewe?
@@Ndu-wa.uroony2kula ushibe ndio utanielewa
Namkubali sana makonda
Yes very good huyo ndio anajuwa haki ya raiya very good god bless you 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻💪🏻💪🏻 na kuombea sana
Eti tulia kwanza na wewe. Daaa makonda bana nimecheka kweli😂😂😂😂😂😂
Mungu akulinde Makonda akukinge na kila Hila za adui na akukinge na Maadui waliopanga kukuangusha.
Safi sana kaka ungekua rais wanyonge tungepona
Makonda umepewa kibari na Mungu lsaya 54 -1
Safi sana muheshimiwa Paul Makonda Kwa kuwajibika wanaume mjifunze mnapowaacha wanawake mliowazalisha mnawatesa watoto, na MUNGU hapendi kabisa,watoto wanateseka sana
Mungu aendelee kukuongoza ili watanzania woooote wakiri kuwa ni Mungu tu ndiye aliye kusimika kuwa ķiongozi wawatanzania kwa uweza wa Jina la Yesu amen.
Mungu akulinde kaka angu makonda
Mungu amubariki kwakumsaidia uyu dada
Elisante huba lilipo kuwa tamu alitoa siri ya shamba😂😂😂😂 huba limeisha anamkana
Mh. Makonda Mungu akulinde akuepushe na kila kibaya, uwe Rais wa nchi, kweli unangalia haki.
God bless you sir ❤
Atakae mtukana makonda tutakunyosha natutakushughulikia
Mwamba hajasikilizwa.. Ndivyo wanaume tunavyoangamia mbele ya macho ya Watu.. Ameshutumiwa moja kwa moja bila kujitetea. 😢
Anitetee na nini wakati amefanya upumbavu mkubwa hv huyo mwanamke unavyomuona anaweza kuwa tofauti na anachokisema.
Sure iyo isnhu haina balance mwanaume imekandamizwa
Mungu Akulinde na kuongezea baraka
Yaan mungu akulind kwa kazi nzur maan wanaume awataki kelea watt wao