Mganga ni mwanadamu, mwafwata nni hukooo, tangu lini shetani akatoa shetani mweziwe? Wakristo Yesu ni dawa tosha, pia Waislam maombi/Sala ni tiba tosha, wachawi hawana nguvu, mtumainie Mungu ndie mweza yote
Acheni hizo alama ya mshangao, fukueni kaburi na DNA ifanywe sio eti hamja amini mpaka mtangazaji eti ameogopa 🙆. Mimi nina hakina huyo ni Jebali mwenyewe mpokee kwa njia nzuri sana, maswali mingi muachia Mungu.
Ikiwa niJafari awe Jafari daima ,na ikiwa ni kingine ambacho kinafanywa kwa namna ingine ,kitoke kisipate kudumu ktk nyumbani huko ,kbsa laakini ikiwa niJafari amerudi kwa uwezo wamwenyezimungu ,mungu amuhifadhi ,amurokowe kama anavomufufunuwa ktk kaburi ,au ikiwa walijidanganya wakamzika sio yeye basi mungu amemurejesha kwa uwezo wake.Hayaaka Allah yaa Jaafari
Tafadhalini sana wazazi wa mtoto Jaafar msijichanganye haki na batwili,mtegeemeni Allah peke yake na inshallah mtoto Jaafar atapoa hayo matatizo, na mambo ya waganga- wachawi,hawana lolóte zaidi ya kubahatisha,huyo babu ghafla anataka sh 50000/- kwa msaada gani ilihali mtoto Bado anahangaishwa na hawo wanga!? watakusumbueni sana hao wachawi lakini mkifanya Ruqya na pia kufanya adhkaari za asubuhi na jioni inshallah hayo madhila yatamwondoka huyo mtoto kipenzi Chetu Jaafar.الهم امين
Subhana Allah enyi washirikina muogopeni Allah nasiku ya mwisho dunia nimapito haya mambo yapo kiukweli mtihani hawa watu wabaya wapo na Allah atawahukumu
Jamani mbona binadamu tumekuwa na rohombaya hivi unamnyima amani mwenzio unamuangaisha usiku na mchana Dahhh mwenyezimungu nijaalie mwisho ulio mwema insha Allah 🙏🙏🙏
Pelekeni mtoto kanisani, kanisa la kiroho lenye nguvu ya Kristo. Kwani Yesu ndiye mganga wa waganga, atamponya mtoto na kumkomboa tokana na nguvu za mapepo. Kupitia maombi na kwa Imani yenu kwa Kristo Yesu na wala si mohammed wala majini. Naomba Mungu aliye hai awafunguwe macho ya rohoni mkamjuwe kristo, yeye ndiye ngome imara wenye haki wamkimbilia wakawa salama.
Poleni Sana Mama Nitakusaidiya Kimawazo Ninaelewa Vizuri Unapenda sana mwanao Umpeleke Kanisani Akaombewe. Yesu mwenyewe Anaweza Akamufanya mwanao kuwa muzima
Inabidi mama yake Jafari Atubu awe mcristo yaan Kama Yeye Ni muislamu Abadili dini Awe Mcristo Kamili Hilo ndo Mimi namshauri mama Jafari Asante 🙏🏼🙏🏼💗💗
Kabla sijampa pole uyu dada nawapa pole wanao bisha kuhusu ushirikina... Haya mambo yapo kabisa kama hayaja kukuta utabisha adi ujambe lakini kama ulishawai kukutwa uwezi bishia haya mambo
Uchawi upo kabisaaa wanaokataa hayajawakuta hawanawahi kuona vimbwanga huku duniani huyo japhary alichukuliwa msukule Yale maombi yaliyofanywa uck kuna Aina ya maombi yaliyofanywa Kule wanamshiñdwa
@@estasage5506 Ili akazidishiwe uchawi. Hv sasa kuna ambae hajui uchawi uliopo kanisani? Kujidai wanatibu wagonjwa kumbe waigizaji tu. You won't find pastors in hospitals treating people b'se there are real sick people, all in churches are actors.
@@just_this_way czcams.com/video/OzGpc_tJgVo/video.html Ingawa una fursa ya kufanya chochote unachotaka, ila hiyo haimaanishi ufanye chochote kile. Ingawa unaweza kuwa na uwezo wa kufanya biashara yoyote unayotaka, hiyo haimaanishi ufanye yoyote inayokuja. Ingawa unaweza kuwa rafiki na yoyote unayetaka, hiyo haimaanishi uambatane na yoyote yule. Mafanikio katika maisha yamejengwa katika uwezo wako wa kuchagua UFANYE nini na kwa WAKATI gani. Story By Saidi_Tambwe Director By Tambwe_Remy As_Director By Ndayishimiye_Lucien Camera By Pops Editor By Pops Producer Tambwe_the_Great_Films Location By Harinoti_Bienfait Executive_Producer Tambwe_Remy For_more_contact: Tambwe Remy : +25768851491 Gmail : tambweremy4@gmail.com Bujumbura_Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Huyo ni msukule mpelekeni kwa kanisa yoyote ya UFUFUO NA UZIMA kwa Bishop Gwajima... Ndiyo mtajuwa kwa Yesu Kristo ni Mungu wa miungu.. Wachaneni ni waganga.. Waganga wanamtumikia shetani. Yesu anawapenda na anaweza yote... Last bus stop ni UFUFUO NA UZIMA kwa BISHOP MUHESHIMIWA GWAJIMA.
Pole dada kwakupoteya kwa mwanao acheni kupoteza mda mupelekeni kwenye maombi tena mkaziye kabisa msipofanya ivo mtampoteza mazima fanyeni ivo kabra siku hajakuwa nyingi
Assalamu alaykumu warahmatullah wabarakaatuh Huyo mtoto mungu anampenda ,kama mtangazaaji anasema inaonekana kama kinimacho laakini mungu alikuwapo yupo na atakuwapo ,yeye muweza wavyote ,hata ikiwa kuna kjnachojificha humo naombea familia ya Jafali mwenyezimungu awape iimaani thaabiti kwa hilo kbs, kama mtoto alivoombewa dua wakati waliisha mzika waendelee kumuombea dua baada yakufufuka kwake , nduguzanguni ktk iimani tumtwi Allah sbuhaanahu wataalaa nayoyafanya ktk miujiza nimengi huwezi hata kuyahesabuuuu!!!
Jamani jamani mungu nisaidie namm mwanangu aludi nampenda NASRY wng jamani pia kanitoka kwenye mazingira yakutatanisha afu aliefanya ivyo namjua nayupo hai kabisa yy anaishi atakavyo daah mungu muweke mahara pema baba angu NASRY ISSA KINANA INSHAALLAH
Pole sana mama jafari na familia ,lakin naomba mupeleke kanisani,namutajua nin shida,kimbilieni Mwenyezi MUNGU sio waganga,muganga ni mwanadamu kama wewe,naalicho taka ni pesa tu,naomba MUNGU awafungue macho kama wazazi,uyo mutoto asaidike.
Wanadamu wamejiweka kwa mambo ya giza wanaangamiza dunia Mungu Kinga watu wako maana giza limetanda ulimwengu mzima Amani na uregesho kwa familia Mungu awaonekanie awalinde na kuwakinga na mabaya yote
Huyo mtoto ajakua sawa kabisa ningeomba mpeleke kwa maombi ila kwa kuwa nyie ni waislamu basi ningeomba mletee huyo ustadhi asomewe zaidi kufukuza huyo mashetani hamuwezi kumlinda mkabidhini kwa Mungu amlinde
Mlichukua maiti ya MTU mwingine. Ombeni kibali polisi mkafukue kaburi muone kama hakuna maiti ili kujiridhisha acheni imani za waganga na kumsahau Mungu.
Kama anasema baba mzazi kakagua mwili na ndio wakauchukua hapo hapo na kuusafisha y wachukue mwili wa mwingine Tena na mtoto kakaa mocharw siku nyingi. Lazma wahisi Kuna kitu
Polisi wafukue Kaburi na DNA ya maiti ifanyike ili kujuwa mtu halisi aliyezikwa kuliko kuamini moja kwa moja ushirikina. Inawezekana aliyezikwa bado anatafutwa na.ndugu zake. I
Mama unatakiwa ufunge na kuomba fanya Toba kwaajili yako na mtoto wako nafamilianzima kwaujumla uvunje nguvu za giza Mungu ndio kimbilio lakila mtu na Kila amwombae kwa dhati hamuachi aangamie
Baba jafari ni mchawi na mpaka hapo nawaambieni kua baba alikua anajua kinachoendelea,baba alikula watoto wa wenyewe sasa zamu yake ilifika mungu amsaidie huyo mtoto
Watakuwa walizika maiti ya mtu mwingine mtoto hatakuwa alipotea tyuu ndo maana kaonekana.cha msingi hapo kukazana na maombi sababu maombi hayana dini Cha msingi hapo ni uponyaji wa mwili na roho
Nimeshikilia roho nikiwatch hii daaah uoga na ni usiku mungu wee tunusuru na haya jamani...i cover my family with the blood of Jesus...satan has no power..
Walompeleka hospital ni akina au hiyo maiti ilipelekwa na nani na ni ajali gan kwa mujibu wa uongo wa hosptal na ni hospitali gani na ni ajali ya gar gan au pikipiki? Hayo maswali naomba
Jamani 93.7 naombeni Baba mzazi wa Jafari ahojiwe, yeye ndo anajua ukweli wote. Itakuwa alimuchukua mtoto kimuujiza lkn Mungu kamuumbua.Hakika Mungu ni mkuu.
Jamani! Habari hii yataka kufatiliwa kiundani zaidi. Wakaribu wa mtoto huyu wanatoa maelezo yanaotetanisha sana. Moja, polisi hawajahusishwa mpaka sasa. Mbili, aliezikwa bado hajatambuliwa hii inamaanisha kuna familiia inamtafuta mpendwa wao! Tatu, itakuaje mama mtoto asiruusiwe kuitambua mwili wa mwanawe wakati ni mama naeishi na kumjua mtoto wake kuliko mtu yeyote yule. Ombi langu kwa Dina Marius Tv ni, tafadhalini fanyeni uchuguzi muafaka wa habari hii kuna kutufahamu na shaka nyingi kwenye habari hii na tukio hili kwa jumla
Hii story ni nzito na inasikitisha sana. Ila tafadhali sana wanahabari tuwe na upeo wa jinsi ya kuuliza maswali kutokana na tukio husika. Kama Mdada huyu mwandishi hana upeo na hastahili ktk kuhoji watu wenye nyakati ngumu kama hii.
Na ndoo maana hajawa sw mpk xx Bd wanamfata but kwa Yesu ukienda hawawezi kuja tena na hawatakuona maana kazi ya Yesu Kristo nikunfunika mtu kwa damu yake ili shetani asimwone
Ebi Sollili : Mungu akusamehe kwa tamshi hilo maana hujielewi hata kidogo na ndie utakaemsujudia mbele za kiti cha enzi maana kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kua Yesu ni Bwana .
Hv vi2 vipo hata ktk kipindi cha khalifa umar aliwahi kutekwa mtu na majini miaka minne na ushee Mimi naamini aliezikwa c jafari kabisa ila kutokana na ajali mtu anakua vibaya wamechanganya tu wafukue kaburi tu wamalize utata
Mganga ni mwanadamu, mwafwata nni hukooo, tangu lini shetani akatoa shetani mweziwe? Wakristo Yesu ni dawa tosha, pia Waislam maombi/Sala ni tiba tosha, wachawi hawana nguvu, mtumainie Mungu ndie mweza yote
Umeongea ya maana sis
Amiin
Duuu
Acheni.mirayakwawaganga.munguyupo.
amin
Acheni hizo alama ya mshangao, fukueni kaburi na DNA ifanywe sio eti hamja amini mpaka mtangazaji eti ameogopa 🙆. Mimi nina hakina huyo ni Jebali mwenyewe mpokee kwa njia nzuri sana, maswali mingi muachia Mungu.
Iyohabari siokweli
Ikiwa niJafari awe Jafari daima ,na ikiwa ni kingine ambacho kinafanywa kwa namna ingine ,kitoke kisipate kudumu ktk nyumbani huko ,kbsa laakini ikiwa niJafari amerudi kwa uwezo wamwenyezimungu ,mungu amuhifadhi ,amurokowe kama anavomufufunuwa ktk kaburi ,au ikiwa walijidanganya wakamzika sio yeye basi mungu amemurejesha kwa uwezo wake.Hayaaka Allah yaa Jaafari
Tafadhalini sana wazazi wa mtoto Jaafar msijichanganye haki na batwili,mtegeemeni Allah peke yake na inshallah mtoto Jaafar atapoa hayo matatizo, na mambo ya waganga- wachawi,hawana lolóte zaidi ya kubahatisha,huyo babu ghafla anataka sh 50000/- kwa msaada gani ilihali mtoto Bado anahangaishwa na hawo wanga!? watakusumbueni sana hao wachawi lakini mkifanya Ruqya na pia kufanya adhkaari za asubuhi na jioni inshallah hayo madhila yatamwondoka huyo mtoto kipenzi Chetu Jaafar.الهم امين
Oh lord! Family yote wapagani. Nenda naye kanisani yesu kristo wa Nazarethi anaponya.
Subhana Allah enyi washirikina muogopeni Allah nasiku ya mwisho dunia nimapito haya mambo yapo kiukweli mtihani hawa watu wabaya wapo na Allah atawahukumu
Insha allah yaraby
INSHAALLAH
ee mungu niepushie hili kwenye family yangu, maana kusikia Kwa mwenzangu NI rahisi lakini siwez kuyabeba.😭😭😭
Hhh
mh
Jamani mbona binadamu tumekuwa na rohombaya hivi unamnyima amani mwenzio unamuangaisha usiku na mchana
Dahhh mwenyezimungu nijaalie mwisho ulio mwema insha Allah 🙏🙏🙏
Wakriso tumuombeeni huyu kijana nawenye wako nahuu mpango wakumuangamiza mipngo yao isifanikishwe....wlcm to christianity muachane nauganga
Kaeni naye karibu asiwatoroke, mwombeni Mungu azidi kumlinda
Lilian Luhasi
Pelekeni mtoto kanisani, kanisa la kiroho lenye nguvu ya Kristo. Kwani Yesu ndiye mganga wa waganga, atamponya mtoto na kumkomboa tokana na nguvu za mapepo. Kupitia maombi na kwa Imani yenu kwa Kristo Yesu na wala si mohammed wala majini. Naomba Mungu aliye hai awafunguwe macho ya rohoni mkamjuwe kristo, yeye ndiye ngome imara wenye haki wamkimbilia wakawa salama.
AMEN
Mohammed wengine mnabwabwaja tu maana hamumjui ongeeni mengine
@Florence Shikuku, amen!!
Poleni Sana Mama Nitakusaidiya Kimawazo Ninaelewa Vizuri Unapenda sana mwanao Umpeleke Kanisani Akaombewe. Yesu mwenyewe Anaweza Akamufanya mwanao kuwa muzima
Mpeleke mwanao kwa wacha Mungu aombewe hilo pepo litamsumbua kila mala pole sana kwa mtihani
Majirani zetu watanzania...langu ni hili...tuweke tumaini na tegemeo letu kwa mwenyezi Mungu. Namambo tatakuwa sawa
Inasikitixha sana
Mpelekeni kanisani acheni mambo mengi God knows
Mngemtumia yule ustadhi alosoma dua ile ck ya 40,,,Ile dua ilikuwa tosha kwa kumlilia Allah,,,,Hapo ni dua saana hakuna kingine
Oky
kabisa kazi kubwa kaifanya ostadhi inatakiwa wamludie tena huyo shehe
Inabidi mama yake Jafari Atubu awe mcristo yaan Kama Yeye Ni muislamu Abadili dini Awe Mcristo Kamili Hilo ndo Mimi namshauri mama Jafari Asante 🙏🏼🙏🏼💗💗
Mmhhhhhgh ati awe mkiristo wewe hutaki kua muisl
Amu
Marry Martha.... Mungu ni mwema habagui dini uwe muislamu au mkristo wote ni waja wake na anatupenda wote. 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Marry Martha....... Tuwaombee sana watoto wetu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Binaadamu kweli wanayaweza duuuh...Mungu akisema haiwezekani binaadamu hana lake daaah
Kabla sijampa pole uyu dada nawapa pole wanao bisha kuhusu ushirikina... Haya mambo yapo kabisa kama hayaja kukuta utabisha adi ujambe lakini kama ulishawai kukutwa uwezi bishia haya mambo
Hao wanaobisha wanapromote dini, na ukwelii wanaujua wanaobisha kipumbavu 2 Tz hii nani hajui kwamba kuna uchawi?
Uchawi upo kabisaaa wanaokataa hayajawakuta hawanawahi kuona vimbwanga huku duniani huyo japhary alichukuliwa msukule Yale maombi yaliyofanywa uck kuna Aina ya maombi yaliyofanywa Kule wanamshiñdwa
Uchawi upo bwana wee hata hao wanaosema haupo waongo tuu kikubwa tumuombe mungu na omba yasikukute yasikie tuu kwenye mitandao.
@Neema Myango Shida wote ni wapagani jina lake yesu kristo hawajuwi. Oh lord, they need to take him to the church
@@estasage5506 Ili akazidishiwe uchawi. Hv sasa kuna ambae hajui uchawi uliopo kanisani? Kujidai wanatibu wagonjwa kumbe waigizaji tu. You won't find pastors in hospitals treating people b'se there are real sick people, all in churches are actors.
Kweli omba yasikukukte kabisa
@@just_this_way Very true! Usanii umezidi sasa.
@@just_this_way czcams.com/video/OzGpc_tJgVo/video.html
Ingawa una fursa ya kufanya chochote unachotaka, ila hiyo haimaanishi ufanye chochote kile.
Ingawa unaweza kuwa na uwezo wa kufanya biashara yoyote unayotaka, hiyo haimaanishi ufanye yoyote inayokuja.
Ingawa unaweza kuwa rafiki na yoyote unayetaka, hiyo haimaanishi uambatane na yoyote yule.
Mafanikio katika maisha yamejengwa katika uwezo wako wa kuchagua UFANYE nini na kwa WAKATI gani.
Story By Saidi_Tambwe
Director By Tambwe_Remy
As_Director By Ndayishimiye_Lucien
Camera By Pops
Editor By Pops
Producer Tambwe_the_Great_Films
Location By Harinoti_Bienfait
Executive_Producer Tambwe_Remy
For_more_contact:
Tambwe Remy : +25768851491
Gmail : tambweremy4@gmail.com
Bujumbura_Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Huyo ni msukule mpelekeni kwa kanisa yoyote ya UFUFUO NA UZIMA kwa Bishop Gwajima... Ndiyo mtajuwa kwa Yesu Kristo ni Mungu wa miungu.. Wachaneni ni waganga.. Waganga wanamtumikia shetani. Yesu anawapenda na anaweza yote... Last bus stop ni UFUFUO NA UZIMA kwa BISHOP MUHESHIMIWA GWAJIMA.
Ya mungu mengi asio weza mwanadamu kwa mungu yana wezekana
Mungu nimuweza wayote nikweli uchawi upon duniyani
Pole dada kwakupoteya kwa mwanao acheni kupoteza mda mupelekeni kwenye maombi tena mkaziye kabisa msipofanya ivo mtampoteza mazima fanyeni ivo kabra siku hajakuwa nyingi
Mpeleke mtoto kwenye maombi huyo watamchukua tena, uganga hauna kitu
Kweli
Hata mimi nasikitika saana kuona jamii lote huwa mapagani. Oh lord! Tafadhali wamupeleke kwenye maombi. Yesu kristo wetu anaokowa.
Hakika Mungu halinganishwi na nguvu za wanadamu
Pore Sana dada
Pole sana mama jafali ila ata laaa una maiti inatisha mungu akupe nguvu dada
Ss mm niulize kwan muislamu akifa anaekewa msahada myiiiiii makubwa hayo pole ddngu Allha atuepushie atulindie vizazi vyetu inshaaaallha 🙏
Assalamu alaykumu warahmatullah wabarakaatuh
Huyo mtoto mungu anampenda ,kama mtangazaaji anasema inaonekana kama kinimacho laakini mungu alikuwapo yupo na atakuwapo ,yeye muweza wavyote ,hata ikiwa kuna kjnachojificha humo naombea familia ya Jafali mwenyezimungu awape iimaani thaabiti kwa hilo kbs, kama mtoto alivoombewa dua wakati waliisha mzika waendelee kumuombea dua baada yakufufuka kwake , nduguzanguni ktk iimani tumtwi Allah sbuhaanahu wataalaa nayoyafanya ktk miujiza nimengi huwezi hata kuyahesabuuuu!!!
hii story niyakweli kabisa mimi ni jirani yake wa mbezi mtaa wetu mpaka sasa unataharuki kuhusiana na tukio hili
Dogo ni kwel yupo na mnamwona kwell
Polen mana hapa dunian mmmmh
Itabidi uje utupe mwendelezo wa ufukuaji wa kabuli
@@kijubakidiza5181 😂😂😂😁
Duuh mnaishije sana
I appreciated your work
Gwajima akisema Aya Mambo yapo ooonh muongo Aya mjionee
Aya Mambo yapo jmn tumtegemee Mungu
Mtafuteni Yesu ni suluhisho la kudumu. waganga wa kienyeji ni wanadamu kama sisi. Ombeni kwa Jina la Yesu mtapata suluhisho bila malipo.
Kwel tumheshm Alla kwa kila jamb
Labda alikutana na jini ohh mungu amusaidie... Isha allah atakua poa🙏🙏🙏
kazaneni kuomba👀👀👀
Jmn wachawi wapo na maneno ya mungu yanasema usimuache mchawi haishi azabu yake kifo
Wachawi wabaya jamani, watafute dawa ya Corona kama wao wana nguvu za ajabu.
Jamani jamani mungu nisaidie namm mwanangu aludi nampenda NASRY wng jamani pia kanitoka kwenye mazingira yakutatanisha afu aliefanya ivyo namjua nayupo hai kabisa yy anaishi atakavyo daah mungu muweke mahara pema baba angu NASRY ISSA KINANA INSHAALLAH
@@morokichuna3527 Aamiin
Duuuuuh Jafari Bado Unamaisha marefu Kaka Yangu 😭😭😭Allah Akupe Maisha Marefu Kwakweli
Mpeleken mtt kweny maombi... Damu ya Yesu ni kiboko ya yote....
🤔🤔🤔
Mungu atusaidie jaman mpeleke kwenye maombi
Allah amraisishie huyo mama anamtihani mzito, na huyo mtoto mungu amuokowe kuna kitu kinacho jificha hapo
Hakuna mtu mwenye damu ya yesu. Yesu hajasulubiwa
Nana Denby Greco Nana Denby pole sasa
Imani mtoe kwa wanganga yesu ndio kimbilio peke yake
Pole sana baba kwa kufanya polosesi zote. Pole mama jafari Daaa ila mtazame sana Mungu pole jafari Wewe ni lulu mbele za Mungu
Pole sana mama jafari na familia ,lakin naomba mupeleke kanisani,namutajua nin shida,kimbilieni Mwenyezi MUNGU sio waganga,muganga ni mwanadamu kama wewe,naalicho taka ni pesa tu,naomba MUNGU awafungue macho kama wazazi,uyo mutoto asaidike.
Someni suratl kahfi aya ya 109 mara 71 bi idhin-llah yatakwisha tu
Uchawi upo jaman
Na sura baqara
hayo nikweli wachawi wanamjia mtu niwengi ALLAH amlinde huyo djafari nawooote waislam.
Nikweli kabisa
Wamuombee
Dah inasikitisha sana mama pole sana kwa matatizo yaliokukuta muombe mungu sana akutie nguvu
Wanadamu wamejiweka kwa mambo ya giza wanaangamiza dunia Mungu Kinga watu wako maana giza limetanda ulimwengu mzima Amani na uregesho kwa familia Mungu awaonekanie awalinde na kuwakinga na mabaya yote
Baba Jafari anajua kila kitu.Kwanini amuaminishe mkewe kama Jafari atarudi?UKWELI ANAO NA NDIO MUHUSIKA MKUU.
Umeona ee
Kwa hyo baba jafar anajua kla k2
True
Hata Mimi Nina shaka na Baba wa mtoto, huenda alitaka kumfanyia jambo lkn Mungu alikuwa karibu na mtoto.
Labda baada ya kuombewa Dua
Dunia ina mengi🙌🙌🙌...Mungu arudishe ufahamu wake haraka
Tusingekuw tunakuf na kuzikwa kama wap wafufuaj
Wew Naw unaamini kit kama ichi kama cy uchaw huuu
Chukueni vipimo vya DNA...acheni kuangalia sura..watu wanafanana..tena waliona maiti alipokuwa mortuary..inawezekana alikuwa mtoto waaefanana tu.
Andrew. Gadi Mrinji mpaka kovo
Huyo mtoto ajakua sawa kabisa ningeomba mpeleke kwa maombi ila kwa kuwa nyie ni waislamu basi ningeomba mletee huyo ustadhi asomewe zaidi kufukuza huyo mashetani hamuwezi kumlinda mkabidhini kwa Mungu amlinde
Bora afanyiwe duwa kubwa atapona kwa.nguvu.za.mungu
Katika watu wore waliocoment kwenye hili tukio nadhani wewe (happy times) umeongea busara zaidi kuliko MTU yeyote, ubarikiwe sana.
Acha usanifu wako, atembezwe kwanini? Angekuwa wako ungemtembeza? Jua dunia Ina mengi, mshukuruni Mungu kwa hilo
Ahajakukuta utatembeza upate uwakika unakua Kama umevulugwa
Mantokeo ya ndunia maajabu ombeni mungu sana
Mlichukua maiti ya MTU mwingine. Ombeni kibali polisi mkafukue kaburi muone kama hakuna maiti ili kujiridhisha acheni imani za waganga na kumsahau Mungu.
Bro hili swala kwa maelezo haya hili Jambo limekaa kishirikina zaid
Be the 1 hakika hii sio imani ni ushirikina kabisaaa
Kama anasema baba mzazi kakagua mwili na ndio wakauchukua hapo hapo na kuusafisha y wachukue mwili wa mwingine Tena na mtoto kakaa mocharw siku nyingi. Lazma wahisi Kuna kitu
Polisi wafukue Kaburi na DNA ya maiti ifanyike ili kujuwa mtu halisi aliyezikwa kuliko kuamini moja kwa moja ushirikina. Inawezekana aliyezikwa bado anatafutwa na.ndugu zake. I
Mtu akifariki kwa ajali huwa anavimba vimba kwa hiyo ni rahisi kukosea kutambua mwili ilishatokea stori kama hiyo morogoro
Mama unatakiwa ufunge na kuomba fanya Toba kwaajili yako na mtoto wako nafamilianzima kwaujumla uvunje nguvu za giza Mungu ndio kimbilio lakila mtu na Kila amwombae kwa dhati hamuachi aangamie
Baba jafari ni mchawi na mpaka hapo nawaambieni kua baba alikua anajua kinachoendelea,baba alikula watoto wa wenyewe sasa zamu yake ilifika mungu amsaidie huyo mtoto
Watakuwa walizika maiti ya mtu mwingine mtoto hatakuwa alipotea tyuu ndo maana kaonekana.cha msingi hapo kukazana na maombi sababu maombi hayana dini Cha msingi hapo ni uponyaji wa mwili na roho
Duh pole sana dada ubongo wamechukua wachaw ndio zao
Yani Watu wote kwa mji Huu ni mapagani hawajuwi jina lake yesu kristo wa Nazarethi
@@estasage5506 Ww unalijua? Au na ww ndo mpagan mwnyw
Nimeshikilia roho nikiwatch hii daaah uoga na ni usiku mungu wee tunusuru na haya jamani...i cover my family with the blood of Jesus...satan has no power..
Pole sana dada yangu mungu atakusaidia mtt wako ataponatu chamsingi nikumuomba mungu tu
Ple sna mma jafari kikubha duwa tu Shg yng nilikuwa sijui ila nitakuja kuwaona
Kumbe wamjua jmn mungu mwema lkn
Walompeleka hospital ni akina au hiyo maiti ilipelekwa na nani na ni ajali gan kwa mujibu wa uongo wa hosptal na ni hospitali gani na ni ajali ya gar gan au pikipiki? Hayo maswali naomba
Yajibiwe
Huyo Ni mwanao, Ila fukueni kaburi mtoe kilichopo ndani ya kaburi, pia endeleeni kuomwomba Mungu
Lilian Luhasi kweli
Miujiza yadunia Katika jina layesu tukemea ushirikina mwahuu watatutoa roho navituko da
Aĺahh😢
Duuuuh Ina tisha
Dada
Jamani 93.7 naombeni Baba mzazi wa Jafari ahojiwe, yeye ndo anajua ukweli wote. Itakuwa alimuchukua mtoto kimuujiza lkn Mungu kamuumbua.Hakika Mungu ni mkuu.
Ni kweli kabisa anasumbua watu huyo baba yake
Wa2 mnakera labda mcomment na kinachohusiana mtu anaingiza mambo ya biashara kweny comments hampo serious nyny
ni kwer😔😔
Ahaaaa kumbe sio makosa yenu ila nifamilia ya kichawi jamani kwanini usimkimbilie Mungu tu
Hao wamezika mwili ambao sio wao Sasa mwenye huyo mtoto wao kazi anayo😂😂😂
Exactly
Jamani! Habari hii yataka kufatiliwa kiundani zaidi. Wakaribu wa mtoto huyu wanatoa maelezo yanaotetanisha sana. Moja, polisi hawajahusishwa mpaka sasa.
Mbili, aliezikwa bado hajatambuliwa hii inamaanisha kuna familiia inamtafuta mpendwa wao!
Tatu, itakuaje mama mtoto asiruusiwe kuitambua mwili wa mwanawe wakati ni mama naeishi na kumjua mtoto wake kuliko mtu yeyote yule.
Ombi langu kwa Dina Marius Tv ni, tafadhalini fanyeni uchuguzi muafaka wa habari hii kuna kutufahamu na shaka nyingi kwenye habari hii na tukio hili kwa jumla
Tahiya Lukio kwan polc nd nn polc haamn uchawi
Baba ake alithibitisha coz baba ake pia anamjua vzur mwanae ad alama za mwil anazfaham
kiukweli ningekuwa mimi dah nisingemuchua huyu mtoto kiukweli dah Dunia hii inamambo mengiiiiiii
Diana nicheki 0714123710
Salim Nassem nikucheki kwa sababu ipi
Nashida na wewe
Nashida nawe
Kwanza mlisema alipata ajali..je aliyepatikana ana majeraha?
Tujifunze kuhifadhi picha za wahuska,,mngemficha uso tu,,hio itamsaidia au itamuathiri atakapokuwa mkubwa,,,,allah aendelee kumpigania mtoto mzur
Absolutely true
Kina mwajuma mwanahawa mwanahamisi wanaaaamin sana waganga hawamwamin alo waweka dunia huko amna ishu achen iman hzo
Lazima mubadilishe kanisa tena aonbewe maonbi mengine yakikristo Amen Amen
Kwamaombi gani sasa
Dada nakushauri usiende kwa mganga nendeni kwenye maombi
Alhamdullilah Mwenyezi Mungu amerejesha mtoto wenyu .Allah Akbar 🙏🙏🙏❣️❣️❣️
nijambo lakushukuru allah hata ss waislam tunaiman kubwa sana
God bless your work Young leader of our father God
Hii story ni nzito na inasikitisha sana.
Ila tafadhali sana wanahabari tuwe na upeo wa jinsi ya kuuliza maswali kutokana na tukio husika. Kama Mdada huyu mwandishi hana upeo na hastahili ktk kuhoji watu wenye nyakati ngumu kama hii.
Tawakali kwa Allah nae atawafanyia wepesi mambo ya waganga niyakuyaacha mtoto amerudi kwa uwezo wa Allah
Kabisa sijui kwanini watu wanaamini waganga kuliko m/zimungu
Mlitaka wafanyeje?
Sikieni kwa jirani tu. Yasikukute. Unaweza kuwa chizi aisee
Mpeleke kwa mwanaume yesu kristo atamfungua
@@ibrahimchediel4867 Yesu anakaa mtaa gani niende?
Ampeleke kwa Yesu ayapona kabisaa toka lini jini likamtoa jini mwenzie mpeleke mtongani kwa mchungaji katunzi atapona kabisaa
True giza haiwezitoa giza ,ni mwangaza utoe giza
ww Dada Habari nakuomba hiyo namba yahuyo mama nimtumie hata pole Du sio mchezo
Jini babaako
Mbna kwa maombi ya hao majini ndo amerud??
Na ndoo maana hajawa sw mpk xx Bd wanamfata but kwa Yesu ukienda hawawezi kuja tena na hawatakuona maana kazi ya Yesu Kristo nikunfunika mtu kwa damu yake ili shetani asimwone
maandiko yanaamini nguvu za giza wewe ni nani usieamini subiri yakukute alafu utusimulie uibahatika kuwa salama
Merci bcp pour votre musique.
Kwa maoni yangu mchezo umechezeka hapo hospitali alitakiwa mama mzazi ndio akague mwili na atoe go ahed.
Yap hata Mimi naunga
Hapo anahitaji maombi mazito katika Roho Mtakatifu mpelekeni kanisa la kiroho
Kabsaa
Acha kuamini ushirikina muamini mungu yeye ndo anaweza kila jambo
Yesu anaweza yote. Kimbilia Kwake uwe salama
Wewe ushakimbilia?
Yesu ndiye kiboko wakumfanya awe mzima okokeni wapendwa
Nyie wafanya biashara
Yesu angekuwa kiboko agekamatwa na kuuliwa na watu
Ebi Sollili : Mungu akusamehe kwa tamshi hilo maana hujielewi hata kidogo na ndie utakaemsujudia mbele za kiti cha enzi maana kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kua Yesu ni Bwana .
@@user-pw1ix4fl9g, Goti hata wazee unapigia. Sujudu ndio heshima ya Mungu.
Acheni ubishi wanao mjuwa mamauyo wa mshauri apelekwe kwenye maombi atapona
Hicho kichwa cha habari kilivyoandikwa 🤣🤣🤣 dah jamani hizi kazi mnasomea lakini au mnakurupuka tu
mbn kipo sawa tu au hujaelewa
Subhannallah yarab kwanini wachawi wasife tu
Mchawi hafi haraka
Tena Corana ingewapa wachawi wote.
Ukweli utajulikana wakifukua kaburi, yaweza kuwa walizika mtu mwingine!
ubora fukueni kaburi muangalie kama sie
sahihi
Kupona kwake kanisani kweny maombi atkuwa mzimaaa na ataishi miaka mingi yesu ndio kila kitu
Huyokijana munguamusaidie
Jaman mckurupuke,,, huwenda aliyezikwa cyo man mtoto alishazoea kupoteapotea,,, dunian watu 7
Kwann akili yake haiko poa
Polesana
Mpelekeni akaombewe kanisani mungu anaweza yote
L
Mungu awaepushe na majaribu ya kila namn mkazane kumuomba mungu ni majarib ya shetan hayo msikubali awashindwe
Duh mtangazaji una jicho zuri sana masha allah
Baba Jafari anaujua ukweli wote kwanini aseme mtoto atarudi?
Mungu alinde mtoto wenu amupatiye maisha marefu sana Mungu asifiwe sana
Mungu ni. Mungu tu.
Namba za na bibi nikupe uongee nee hakika Huyo moto Ata Lona kwelkweli
Hv vi2 vipo hata ktk kipindi cha khalifa umar aliwahi kutekwa mtu na majini miaka minne na ushee Mimi naamini aliezikwa c jafari kabisa ila kutokana na ajali mtu anakua vibaya wamechanganya tu wafukue kaburi tu wamalize utata
Duuuuh... pole sana dada yangu huon ni mtihan mkubwa san ila allah atakupa wepes
Jaman hiyo hiyo family ikaombe kibali police ili wafukue kabuli lijulikane kuna nn
😮😢😢😊
Inatishaaaa!!ALLAH tunusuru na shirk
Subhanallah . Jitahidin kumsomea Qur'an .ila kwa uwezo wa Allah atakaa saw hao watu waliofanya hivyo Allah atawahukum
kabisa hakuna wakumuafu ila ni allah pekeake kikubwa dua inshallah
Pole ya Mama jafari, naomba naba ya hi tv
Jamani yanatisha mimi mpaka nione ambacho walicho zika mimi sikubali dhuu
Wachawi kweli wanamazingaombwe wamezika gomba kuwaaminisha watu ni mtu mtoto alikuwa hai kabisa duwa zimesaifia kurudi...kweli mungu ni mwema
Jambo la Kwanza nikushukuru mwenyez mungu pia
Samahani Ndugu najuwa vizuri kiswahili naandika siyo nzuri sana kwani mimi ni Mtu wa Congo nimesikiliza vizuri Hii video
Alichuliwa mda ndomaana alikuwa anatoroka alikuwa na pepo wachawi siwazuri niwakuraniwa
Asha Nestory kweli kabisa alichukuliwa mda
Wachawi si mngezuia corona kuliko kumuadhibu huyo mtoto kiumbe cha Mungu
Korona linabeba Hadi wachawi
Ili ijulikane kua uyo ninani mumuombee kwa imani Kali ataonekana kwa jina LA yesu
Uchawi upo ila wasimame na Mungu wakaze maombi
Kweli kabisa Mungu muweza wa yote
Asha Nestory polesana