MZEE ERNESTO ANAYEISHI NA WAKE 16 "7 KATI YAO NI MTU NA DADA YAKE WAMENIPENDA WENYEWE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2020
  • Hii ndio mara ya kwanza nakutana na Mwanaume aliyeoa Wake 16 na wote anaishi nao ndani ya eneo moja, tumezoea kuona kwa Ndugu zetu Waislamu ambao wanaruhusiwa Wake wanne ila hii ya Wake 16 ni noma na nusu, tumekaa na Mzee Ernesto kwenye mahojiano ili tusikie ilikuaje mpaka akawa na idadi hii kubwa, anamudu vipi kuishi nao, msosi wa siku inakuaje? Je anakumbuka majina ya Wake zake na Watoto? tazama hii EXCLUSIVE video ujionee.

Komentáře • 2,1K

  • @josephmhoma4339
    @josephmhoma4339 Před 3 lety +57

    Kama umesikia mzee anafata Maandiko ngonga like yako apa

  • @mrbweichum
    @mrbweichum Před 3 lety +363

    *KAMA NAWE UMEGUSWA NA MAAJABU HAYA ACHIA LIKE YAKO*

  • @lucywakolela5619
    @lucywakolela5619 Před 3 lety +12

    huyu mzee anajiweza aisee sijaona mke aliyevaa vibaya wala kupauka kama ilivyo kwa watoto wake.salute kwake

  • @bethjaphary3459
    @bethjaphary3459 Před 3 lety +109

    My best host it's u Millard Ayo 😍😍😍...tunaompenda Millard, tujuane kwa like pls

    • @happyneshappy952
      @happyneshappy952 Před 3 lety +1

      Hi,canI have ur number, for,deeply information, I am among, in this family, am here, dar es salaam

    • @lilianochieng4347
      @lilianochieng4347 Před 3 lety +1

      Naota ama nilive jamani

    • @WASHATube
      @WASHATube Před 3 lety

      INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI
      czcams.com/video/5T9EV26uVGE/video.html
      NYETI ZA KIUME KUWA KIVUTIO CHA UTALII NCHINI JAPAN 👇👇
      czcams.com/video/rRU5WoWLGdc/video.html
      HUYU HAPA ALIYEGUNDUA DAWA ZA KULEVYA 👇🏾
      czcams.com/video/xOcTjLyB41E/video.html
      WATAFITI WABAINI MAZITO KUHUSU WATOTO MAPACHA 👇👇
      czcams.com/video/FULQ-n62-UI/video.html
      UPDATES ZOTE Ni 🔥🔥🔥🔥

    • @janetnalianya8887
      @janetnalianya8887 Před 3 lety

      @@happyneshappy952 haa

  • @sarahpendo515
    @sarahpendo515 Před 3 lety +222

    Wangapi mlitamani hii interview isiishe .like hapa twende sawa

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 Před 3 lety +195

    Kama umeona suti ya mzee imenyooshwa na inapendeza japo ni bush gonga like hapa

  • @francfrancs1508
    @francfrancs1508 Před 3 lety +44

    Kama na ww umependa mazingira na mpangirio wa izo nyumba tujuane wadau

  • @mossesmuumbakhan7617
    @mossesmuumbakhan7617 Před 3 lety +43

    Mimi binafsi naikubali hii Chanel ya Millard ayo wew vip like

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 Před 3 lety +86

    uyu ndio africa mwenyewe,gonga like apa kumkubari mshuaaa

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 Před 3 lety +22

    Yaan Hawa wanawake inaonekana wanapendana Sana Mungu awaweke pamoja👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿

  • @barakaserina9364
    @barakaserina9364 Před 3 lety +5

    Nakubali mzeee kama umemkubali Mzee uyu ni jasili naanajikubali gonga like Daa uu ndo wanaume

  • @richardmoses936
    @richardmoses936 Před 2 lety +8

    Hongera sana mzee kwa nguvu ulizojaliwa hapa tanzania ww niwakwanza

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Před 3 lety +15

    Happy family kusema ukweli watoto ni baraka tena watoto wote wako wasafi na afya♥️❤️❤️♥️💜💕

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 Před 3 lety +38

    Hongera sana Mr Milad Ayo, Wewe ni bonge la mwanahabari, Hapa media zingine lazima ziige mfano huu.

  • @ritchiesamballa5078
    @ritchiesamballa5078 Před 2 lety +7

    Millard Ayo the best jonalist in Tz...I enjoy the of being your fan

  • @arnoldrukwembe4146
    @arnoldrukwembe4146 Před 3 lety +19

    Kama umeskia Shule ya msingi msimame gonga like 😂😂😂

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před 3 lety +9

    Masha Allah ,,, maana wote wamependeza hata watt na mwenyez mungu kamjalia Masha Allah mzee wetu🙏

    • @fauziahamisi2557
      @fauziahamisi2557 Před 2 lety

      Maashallah ya nn wakati mtu anafanya kinyume na Sheria za Allah

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 3 lety +24

    Asante, kweli huyu kidume

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Před 3 lety +21

    He is a hero...both kids en wives are healthy, congratulations baba true african man😃😃😃😃

  • @jacobnapikwejacobnapikwe9603

    This man is strong enough I can imagine How he can manage to marry all this women ,God help him

  • @jocety4426
    @jocety4426 Před 3 lety +33

    Hongera bro.
    Napenga utendaji wako wa kazi Millard,. love u💋

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 Před 3 lety +135

    Duuuh yani umetisha Millard ayo wewe kweli ni mwana habari wa kweli

  • @yoramdogezah8000
    @yoramdogezah8000 Před 2 lety +6

    Nimeipenda style yako yaobile office, unatembea na meza na viti,
    Bigup boss

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 Před 3 lety +87

    Nan kaona mzee anauliza wake zake wamkumbushe kwa lazima na wanajibu kwa furaha 😂🤣🤣🤣

  • @jocety4426
    @jocety4426 Před 3 lety +19

    Hongera baba nimeipenda iyo
    Watot wameenda utawa Mungu awatangulie katk kumtumikia yeye🙏🙏

  • @sarahpendo515
    @sarahpendo515 Před 3 lety +73

    Shkamoo mzee✋wake wote 16 watoto mia na nne bado upo fiti💪

  • @ayshaayshaabdulrahman6143

    Ongera Sana mungu Akulinde uzidi kupata Baraka ulee wake zako na watoto wako

  • @saitotikukula1798
    @saitotikukula1798 Před 3 lety +5

    Big millad Ayo......I appreciate your effort to give as updates, broo hii ni kali sana 👏👏👏👏👏

  • @amiabillity1635
    @amiabillity1635 Před 3 lety +22

    aisee milardayo,congole xn bro.unafanya kaz had raha kaka.huyo mzee mungu amtangulie kwakweli pamoja na familia yake.

  • @raymondpaul2891
    @raymondpaul2891 Před 3 lety +20

    watoto 40 wamefarikik duuu pole sana

  • @christianosimba6083
    @christianosimba6083 Před 2 lety +7

    Safi sn maguful bado nakukumbuka mzee wangu😪

  • @irenemwakasonda6735
    @irenemwakasonda6735 Před 3 lety +3

    Jaman nmesoma shule moja na watt wa ernesto, ilikua kila darasa anawatt zaid ya 3. Nakumbuka darasan kwetu nmesoma na Martha mhenuchi, Aida mhenuchi, Maria Mhenuchi na Johnson Mhenuchi . am so proud to hear that

  • @jocety4426
    @jocety4426 Před 3 lety +5

    Oyoooo 🙌🙌
    Nenden mkaijaze dunia
    Umetisha baba..💪💪

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc4502 Před 3 lety +22

    Mirad hongera sana,upewe tuzo baba kiiukweli unachimba na kuchimbua tusiyo jua mambo haya tumezoea kusoma kwenye adithi mwanaume kua na watoto mia na sis wanaume kunakitu tumejifunza hapa

    • @athanasiaanney5839
      @athanasiaanney5839 Před 3 lety

      Kasema mambo ya zamu hawezi kusema mbele ya watoto 🤣🤣🤣baba Yuko vizuri

    • @esterjema2484
      @esterjema2484 Před 3 lety

      Umejifunza Nini🤣🤣🤣

  • @elizabethmwitila5205
    @elizabethmwitila5205 Před 3 lety +1

    Waoooh milard your the best journalist

  • @musafiriomary8156
    @musafiriomary8156 Před 3 lety +2

    Ongela mzee mungu akubaliki kwahekima nabusara nafamilia kuujengea msimamo

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 Před 3 lety +97

    Mefurahi Sana hiyo Millad Ayo ni home huko na baadhi ya watoto wa huyo Mzee nimesoma nao ,,namjua vyema !

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 3 lety +88

    Aisee tengeneza documentary ya kingereza hii issue

  • @lukasrogath5825
    @lukasrogath5825 Před 3 lety +2

    Millad ayoo ni bonge moja la msaka abari Kama unakubaliana na ilo gonga like tende sawa

  • @bahatynangi3842
    @bahatynangi3842 Před 3 lety +3

    Millad Ayo! Hongera saaaana kwa kaz yako nzur!

  • @monicahjared2412
    @monicahjared2412 Před 3 lety +20

    Hongere mzee uko n nguvu kwli wake kumi n 16 c mchezo waitaji tuzo

  • @goodluckkitomari2809
    @goodluckkitomari2809 Před 3 lety +4

    Nimerudia kuangalia hi interview mara 3 Aisee huyu mzee ni nomaa sanaa ...#millad Ayo hongera kwa kutuletelea bonge 1 la interview nzuri sanaa🙏

  • @eunicewambui4645
    @eunicewambui4645 Před 3 lety +2

    Alfu wee Ayo nakupendanga sana sauti mzuri sana from kenya

  • @samantafrance5287
    @samantafrance5287 Před 2 lety +7

    Hongera kwa huyu mzee ameweza kuwatunza wake zake wote na watoto wakati unakuta wanaume wengine wanashindwa ata kulea mke mmoja na watoto wawili

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 Před 3 lety +4

    Mzee ana jitambua kweli kaulizwa very person quest kalijibu ki heshima kistarabu kweli ni mzee anae jielewa kwa umri wake sio wale wazee wa dar 🥱😏

  • @sonialand2646
    @sonialand2646 Před 3 lety +11

    Sisi waislamm wake 4 lkn watu wanaona makosa! Sasa ngoma hiyo hapo! Tena sio muislam! Haya wanazengo lete mistari mibovu! Hongera sana mzee!

    • @paulshija7632
      @paulshija7632 Před 3 lety

      We jinga kweli, Biblia imezuia kuua lakini wanaua uta justify vipi kwa kutumia maandiko, huyu kaoa kwa utashi wake wengi!
      Lakini ujue Mungu aliumba Mume na Mke, sio Mume na wake!

    • @bahatimakango4033
      @bahatimakango4033 Před 3 lety

      Hizo ni ndoa za kimila hizina limit

    • @herikaniugu
      @herikaniugu Před 3 lety

      Biblia na Quran ziishie uko uko, na sisi tuwe na utaratibu wetu

  • @samsonjuma5618
    @samsonjuma5618 Před 2 lety

    Pongezi mzee wangu, naomba MUNGU AKUTIE NGUVU uwalee hao ndugu zangu..MUNGU akubariki sana

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 Před 3 lety +9

    Huyu komeshea wakati wengine mke mmoja tu wanajinyea magomvi yasiyoisha.🙏hongera zake na hao wanawake&na watoto

    • @liberathsamcky
      @liberathsamcky Před 3 lety +1

      Umeonaee

    • @neemakaluwa2089
      @neemakaluwa2089 Před 3 lety

      Vijijini mradi mume tu. Wanawake wanajitegemea wenyewe kulima nk.
      Ingekuwa mjini kwa idadi hiyo!!
      Angekuwa ashafanya boxer kofia 🤣

    • @childofgod4412
      @childofgod4412 Před 3 lety

      @@neemakaluwa2089 😂😂ndio nini boxer kofia

    • @krizofrancisco1287
      @krizofrancisco1287 Před 2 lety

      Neema umenichekesha sana eti boxer kuwa kofia

  • @thobiasluanda224
    @thobiasluanda224 Před 3 lety +30

    Huyo anayesomea upd nadhani atapata changamoto za kuhubiri ndoa ya mke mmoja na mume mmoja bila shaka 😂😂😂😂

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 Před 3 lety +13

    Mzee nampongeza kutimiza maneno ya Mwenyezi Mungu muumba mbingu na dunia kwamba ZAENI MKAJAZE DUNIA.👍👍👍👍

    • @twariatiomary486
      @twariatiomary486 Před 3 lety

      Hahaaaaa

    • @fadhilaally1826
      @fadhilaally1826 Před 3 lety

      😂😂ww msish wanawak wanne tu

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Před 4 měsíci +1

      Usinukuu maandiko vibaya Hana analotimiza ktk maandiko ,kumbuka ni dhambi kutumia maandiko ya MUNGU vibaya ,mshaauri akatubu na hao wanawake watubu yawezekana waliolewa kwa ajli ya tamaa za Mali ,mashamba na Ng'ombe wanaume wapo wengi tu. unakuta kabinti kadogo kanaolewa mke wa kumi ujinga na tamaa ni mzigo mkubwa wa dhambi.

  • @joycemushi248
    @joycemushi248 Před 3 lety +1

    Daaaa fantastic!!!!!

  • @dennowderullow1118
    @dennowderullow1118 Před 3 lety

    ...this is truly amazing.Siri kubwa kwai familia wanadumisha AMANI,UPENDO na UAMINIFU la sivyo wangetengana na kusababisha kusambaratika("congratulations to AYO TV")HONGERA KAKA MILLARD,big respect to the Mzee and all his Wifes+kids")Mungu aipenguvu familia hii.I'm witching from Africa in Kenya at Kilifi county")

    • @ngorox254
      @ngorox254 Před 2 lety

      Apo ni sawa ntafikilia iyo kitu

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel2821 Před 3 lety +11

    Ayo tv mipaka yote ya dunia hatari San mzee baba 🔥🔥🔥

  • @ipmtv3298
    @ipmtv3298 Před 3 lety +9

    I like this brother,, milady 💪💪💪

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 3 lety +1

    Maa shaallah

  • @ayshaayshaabdulrahman6143

    Thats great👏👏👏

  • @elviraramadhan3900
    @elviraramadhan3900 Před 3 lety +26

    Maandiko😂😂😂...nendeni mkazaliane🙏😅

    • @aishadaba7045
      @aishadaba7045 Před 3 lety +1

      Masha Allah Akubarik mzee wetu pa1 na familia yako..

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 3 lety +46

    Ng'ombe hazeek maini....tule ndizi na mihogo manaume wa dar..

  • @allenmanyika4590
    @allenmanyika4590 Před 3 lety +1

    Mzee good job ..i am on the way to catch you

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 3 lety

    Masha Allh

  • @zenamshana6852
    @zenamshana6852 Před 3 lety +6

    Dah mungu amlinde magufuli amepewa baraka Kama zote mungu amsimamie kila iitwapo leo

  • @winnermariah
    @winnermariah Před 3 lety +3

    Nimependa Sana Hapo Kwa MAPADRE NA SISTER NA NURSE

  • @davidtoo9825
    @davidtoo9825 Před 3 lety +2

    Kweli Watanzania nimewapa shukrani kwa ukarimu mlionayo. Hawa wake wako na heshima sana. Bongezi kwa Mzee kwa kujitolea mhanga

  • @jacklinewilliam4565
    @jacklinewilliam4565 Před 3 lety +9

    Pigaaa kelele kwa mbena wake jamani hawa watu sio wa nchiii mume wangu mbena wako vizuriiiii 😂😂😂😂💃💃💃shooo shoooo

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 3 lety +11

    Mmmhu kweli wanawake tuko wengi wanaume ni wachache hii familia ni kijiji tayari.Wanawake wamemzimikia Mzee.

    • @ndembwamponda7674
      @ndembwamponda7674 Před 3 lety

      😄😄, Elizabeth Mwandu

    • @martalositotiktok6590
      @martalositotiktok6590 Před 3 lety

      Yaani mpaka mtu na dada ake anazimikia shemeji yake

    • @elizabethmwandu6937
      @elizabethmwandu6937 Před 3 lety

      @@martalositotiktok6590 yaani we acha tu ukienda kumsalimia dada haurudi nyumbani unaolewa na kuolewa🤔🤔😁😁😁

  • @sadamramadhan2754
    @sadamramadhan2754 Před 3 lety +1

    Mke mmoja tu anatesa sana mpaka tunakimbia familia, ukiongeza mke wa pili bii mkubwa anakukosa sum kwanza, bii mkubwa akijua tu unamchepuko lazma hapo mtazichapa mpaka iman itakosekana ndan, ...... ....
    Sasa wake 20 mpaka 16 duuuuuu !!!!! Hapo ni hatari sanaaaaaa, Hongera kwa mzeeeee ......

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 Před 3 lety

    So interested story!!! Big Milad Ayo

  • @nemhinapolenisanahakiyamtu2321

    Wanawake wenzangu hongereni Sana kwa upendo huo kumpenda mzee wetu

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před 3 lety +12

    Magufur oyeeeeeeeeeee ❤️

  • @carolinekathure3132
    @carolinekathure3132 Před 3 lety +1

    This guy Millard 👍👌

  • @titosanga5447
    @titosanga5447 Před 3 lety

    Hongera miradiayo kwa taarifa nzuri.

  • @Royazdad
    @Royazdad Před 3 lety +83

    Aiseee hii inge tafsiliwa na kizungu dunia ione mzee alivyo fiti

    • @zaitunilucas7133
      @zaitunilucas7133 Před 3 lety +2

      Kwer kabsa 😂😂😂😂

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 Před 3 lety +9

      Mzee mpumbavu huyu yuko fiti kishenzi unawachanganya mtu na dada yake alafu mnamsifia mnaendekeza ngono saana nyie watu wajinga saana baadae hiyo laana itamrudia watapigana miti wao vwenyewe

    • @lucykanyopa5350
      @lucykanyopa5350 Před 3 lety +5

      Si umemsikia anakula ndizi na mihogo ya kuchemsha asubuhi, mchana ugali na maharage, hali chipsi hali piza hali Burger, hapo hata akipewa wali wawili full kuwazalisha tu, nguvu ipo, c mchezo kuwamiliki wanawake 16. Hongera zake sana sana

    • @naimanurdin1354
      @naimanurdin1354 Před 3 lety +4

      @@selemankishema5780Yani huyu wakupewa somo mana hakuna mila wala dini inayoruhusu uwafanye mke mtu na ndugu yake jamani hili swala Serikali pia ilitizame kwa jicho lengine

    • @honeydiamond6235
      @honeydiamond6235 Před 3 lety +2

      @Seleman kishema unaujua upumbavu na ujinga wa aina ngapi...ustaarabu wa dini na maadili yako uliokufikia unaweza kuwa ulochelewa kwa wengine so usimnyooshee kidole mpe elimu ukiweza ila up to now mzee yuko fiti na huwez mrudisha nyuma
      "Wengine kwenye amri kumi mmebakiza usiuwe tuu🤣🤣🤣"

  • @officialjclever9879
    @officialjclever9879 Před 3 lety +16

    Mzee mfano bora kuna wengine wakiwa na mtt 1 wanakimbia familia zao tujifunze

    • @latifamkulazi8378
      @latifamkulazi8378 Před 3 lety +1

      🤣🤣🤣 Mimi ninawawili kablawapili hajazaliwa nimetishiwa talaka

    • @officialjclever9879
      @officialjclever9879 Před 3 lety

      @@latifamkulazi8378 hahahahahahahahaaa🤣🤣🤣🤣🤣 njoo nikuoe mimi nimeshaiga huo mfano sasa hv nanunua viwanja kwa ajili ya kuwa na familia km hio

    • @latifamkulazi8378
      @latifamkulazi8378 Před 3 lety +1

      @@officialjclever9879 nunuatu vitakufaa baadae😃😃

    • @heromanmwamba5000
      @heromanmwamba5000 Před 2 lety

      @@latifamkulazi8378 🤣😂😂🤣🤣😂

    • @heromanmwamba5000
      @heromanmwamba5000 Před 2 lety

      @@latifamkulazi8378 inabidi tukakuongeze kwa mzee uwe wa 17

  • @margitmargitt5935
    @margitmargitt5935 Před 3 lety

    CONGRATULATIONS babu💪💪💪💪kama wazee waeza kukaa na wake ivi ndunia ingekua poa

  • @erickevarist8738
    @erickevarist8738 Před 3 lety +2

    Mzee respect Mimi mmoja tu ananishinda duh ukistaajabu ya Musa utaona yafirauni

  • @halimamis4236
    @halimamis4236 Před 3 lety +3

    Jamanii

  • @rehemamdoro5165
    @rehemamdoro5165 Před 3 lety +12

    Jamani jamani uwiiii nimeshindwa hata neno la kusema

  • @paulomgan2064
    @paulomgan2064 Před 3 lety

    Asante mzee wangu

  • @rehemshehoz8704
    @rehemshehoz8704 Před 3 lety

    Mashallaah mwenyz mung akujalie maish marefu uzid kusaidia family yk yn mzee n mchesh mkarim family yk anaihudumia family yk vzr mt n mke wk mmoj anashindw kuhudumia vzr asnt sn Millard kwakutusogezea taarif

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 3 lety +7

    Mmmmh! Hatareee sana 😀😀🙌
    Ama kweli ng'ombe Azeeki maini.

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 3 lety

      Alafu wake wakiwa wa2 kwa mume,kelele kibao.hao wako 16 amani imetawala

    • @shadrackdonath568
      @shadrackdonath568 Před 3 lety

      daase namina penda sana babu yangu alikuwaga na kum 10 hiyo ninema kwamungu

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 Před 3 lety +8

    Show kali wazee😂😂😂🔥

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 3 lety +2

    Milladayo congratulation kwako.

  • @harmocent7720
    @harmocent7720 Před 3 lety

    Mzee mungu akubaliki akusimamie nafamilia yako kwa ujumla

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 3 lety +12

    Eeeeh heri yao ..hii ndo sister wives kweli 😂😂😂😂😂

  • @emmysfitnessandforex9403
    @emmysfitnessandforex9403 Před 3 lety +23

    Imagine we ndo wa kwanza😂😂😂😂anaolewa wa pili unashangaa wa tatu unaumia..
    Wa nne unajisi labda ndo mwisho...mara wa tano huyo...itabidi uanze kuhudhuria tu kwenye harusi za mmeo🤣🤣🤣🤣

  • @pililaniothman8734
    @pililaniothman8734 Před 3 lety

    Hongera sana brother kwa habar nzur

  • @nkunasuitbert7837
    @nkunasuitbert7837 Před 2 lety

    Ok, watoto 104 plus 40 waliofariki, namba nzuri, mzee amefanya kazi kubwa. Mpiganaji kweli, wanaume wote tukioa hivi kazi ipo.

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 Před 3 lety +21

    Hao waliokimbia sasa wanataka kurudi mzee usiwakubari magonjwa ni mengi we piga hao hao 16 tu

  • @munnawwaryaqub8524
    @munnawwaryaqub8524 Před 3 lety +5

    Huyu ndo baharia sasa hongera sana mzee na Allah akutunze na family yako

  • @floramrema5743
    @floramrema5743 Před 3 měsíci +1

    Uyo baba anamwitaji Yesu Kristo kwa haraka sana.Kweli hili ni jambo la kushangaza.

  • @mtakatifubony1829
    @mtakatifubony1829 Před 3 lety +1

    Hongera Mwanaume mwenzetuu Umewezaa sanaaaa

  • @zaitunilucas7133
    @zaitunilucas7133 Před 3 lety +14

    Alafu ikumbukwe mzee ana miaka 76 mtoto wake wa mwisho ana miez 4 😂😂😂😂😂😂 bado yupo fiti

  • @nehanasri4531
    @nehanasri4531 Před 3 lety +6

    Sijawai kusikia hata kuona before 🙌👍🔥❤️

  • @nkurunzizaachel6929
    @nkurunzizaachel6929 Před 3 lety

    Wow 🤩 djamani 🙏🙏🙏tunashukuru miradayo

  • @safinamdingi2338
    @safinamdingi2338 Před 3 lety +1

    Daaah raha sana

  • @iuem5792
    @iuem5792 Před 3 lety +4

    Kuna vijiji vingine elimu ya maisha ni muhimu sana.Nyerere alisema tuna maadui watatu,Maradhi,umaskini na ujinga.Hapa hakuna sifa yoyote,hapa kuna ujinga.Kuoa mke na wadogo zake!!wanawake kuja kujilundika mahali pamoja.

    • @jamiestan7280
      @jamiestan7280 Před 2 lety

      Usi tuletee westen life hapa mpumbavu mkubwa wewe asili ya mwafrica ni kuzaaaa mme kuwa mabwege na ulimwengu wa android

  • @derickkalinga8559
    @derickkalinga8559 Před 3 lety +9

    Your the best journalist in Tz.. Keep it up brother!

  • @nzotasingisha1289
    @nzotasingisha1289 Před 3 lety +1

    Nice work braza millard

  • @philipomasudya-hy6fj
    @philipomasudya-hy6fj Před rokem

    Mhh, mzeee Ernest hongera we kiboko tembeza bakolaaaaa

  • @priscamagambo7419
    @priscamagambo7419 Před 3 lety +11

    Siku mojamoja,mzee utampata siku ya 17,mmmm wanawake hapo lazima wachepuke,na watoto wengine sio wake