MZEE ERNESTO ANAYEISHI NA WAKE 16 "7 KATI YAO NI MTU NA DADA YAKE WAMENIPENDA WENYEWE"
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2020
- Hii ndio mara ya kwanza nakutana na Mwanaume aliyeoa Wake 16 na wote anaishi nao ndani ya eneo moja, tumezoea kuona kwa Ndugu zetu Waislamu ambao wanaruhusiwa Wake wanne ila hii ya Wake 16 ni noma na nusu, tumekaa na Mzee Ernesto kwenye mahojiano ili tusikie ilikuaje mpaka akawa na idadi hii kubwa, anamudu vipi kuishi nao, msosi wa siku inakuaje? Je anakumbuka majina ya Wake zake na Watoto? tazama hii EXCLUSIVE video ujionee.
Kama umesikia mzee anafata Maandiko ngonga like yako apa
*KAMA NAWE UMEGUSWA NA MAAJABU HAYA ACHIA LIKE YAKO*
Njoo nikubinue kwanza
Kaaa hivi kweli anawakumbuka hao watoto
@@salomemchewa5187 hakika
Maajabu yalikuwa kwa Suleiman (wanawake 1000)
@@milickenock8201 *na hiii ni bongo*
huyu mzee anajiweza aisee sijaona mke aliyevaa vibaya wala kupauka kama ilivyo kwa watoto wake.salute kwake
My best host it's u Millard Ayo 😍😍😍...tunaompenda Millard, tujuane kwa like pls
Hi,canI have ur number, for,deeply information, I am among, in this family, am here, dar es salaam
Naota ama nilive jamani
INAUA KWA DAKIKA 10, IFAHAMU PILIPILI HATARI ZAIDI DUNIANI
czcams.com/video/5T9EV26uVGE/video.html
NYETI ZA KIUME KUWA KIVUTIO CHA UTALII NCHINI JAPAN 👇👇
czcams.com/video/rRU5WoWLGdc/video.html
HUYU HAPA ALIYEGUNDUA DAWA ZA KULEVYA 👇🏾
czcams.com/video/xOcTjLyB41E/video.html
WATAFITI WABAINI MAZITO KUHUSU WATOTO MAPACHA 👇👇
czcams.com/video/FULQ-n62-UI/video.html
UPDATES ZOTE Ni 🔥🔥🔥🔥
@@happyneshappy952 haa
Wangapi mlitamani hii interview isiishe .like hapa twende sawa
😂😂😂😂😂😂
@Change Mindset 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duh
Subhanallah
Kama umeona suti ya mzee imenyooshwa na inapendeza japo ni bush gonga like hapa
Hahahahaha mungu anakuona hahaha
Mhhhh
Yngu
liberath samcky kkkkkklajplj na jnjk lol j
czcams.com/channels/bbNN-eBPP69po2Shsb6G3A.html
Kama na ww umependa mazingira na mpangirio wa izo nyumba tujuane wadau
Da hii ni hatali Kuna uwezekano wa kumtembelea huyu mzee anakaa wapi
Mimi binafsi naikubali hii Chanel ya Millard ayo wew vip like
Nimeikubali
Sana
Hata Mimi bro namkubali Millard anafanya kazi Kwa weledi mkubwa
uyu ndio africa mwenyewe,gonga like apa kumkubari mshuaaa
🤣🤣🤣🤣
Ametisha mwanaume jembe
@@nasraabdallah850 by by
Yaan Hawa wanawake inaonekana wanapendana Sana Mungu awaweke pamoja👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿
Kweli
Amin
Inatakiwa serikal imuchengee shele yaake
Nakubali mzeee kama umemkubali Mzee uyu ni jasili naanajikubali gonga like Daa uu ndo wanaume
Hongera sana mzee kwa nguvu ulizojaliwa hapa tanzania ww niwakwanza
Happy family kusema ukweli watoto ni baraka tena watoto wote wako wasafi na afya♥️❤️❤️♥️💜💕
Imagine tena wako na mavazi tu vizuri
Hongera sana Mr Milad Ayo, Wewe ni bonge la mwanahabari, Hapa media zingine lazima ziige mfano huu.
Millard Ayo the best jonalist in Tz...I enjoy the of being your fan
Kama umeskia Shule ya msingi msimame gonga like 😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Masha Allah ,,, maana wote wamependeza hata watt na mwenyez mungu kamjalia Masha Allah mzee wetu🙏
Maashallah ya nn wakati mtu anafanya kinyume na Sheria za Allah
Asante, kweli huyu kidume
He is a hero...both kids en wives are healthy, congratulations baba true african man😃😃😃😃
AHahah
Sawa kabisa hapo kazi kazi
This man is strong enough I can imagine How he can manage to marry all this women ,God help him
Mungu am Jaalie nahiyo family yake
Hongera bro.
Napenga utendaji wako wa kazi Millard,. love u💋
Duuuh yani umetisha Millard ayo wewe kweli ni mwana habari wa kweli
Duh Mzee
Hicho kigongo chako kina nguvu Sana ukishuka hapa unapanda hapa.
@@nasranassor6796 Wallah tena hajazeeka kabisa
Safa tunamkubal mno
Nu
@@hassanally6427 eek
Nimeipenda style yako yaobile office, unatembea na meza na viti,
Bigup boss
Nan kaona mzee anauliza wake zake wamkumbushe kwa lazima na wanajibu kwa furaha 😂🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂fake smile
Hahahaa
Ingkua. Ni wew unaomba kjkumbushwa ungejiskiaje hahaha
Hahahaha 😂tena kwa amani mambo polepole
Haya bwana
Hongera baba nimeipenda iyo
Watot wameenda utawa Mungu awatangulie katk kumtumikia yeye🙏🙏
Shkamoo mzee✋wake wote 16 watoto mia na nne bado upo fiti💪
Sanaaa me pia nipo feet hataree
😂😂😂
Anamiaka 71 na alioa mke wakwanza mwaka stini namoja maanayake alioa akiwa na miaka 12 duh sijui amesahau sijui nikweli haya
@@hamisiomari1990 75 sio 71 sikiliza vzr mwamba
Yani Mimi nikipija viwili tu sitaki tena hadi zipita siku tatu sasa wewe 16 unawagonga vip apo
Ongera Sana mungu Akulinde uzidi kupata Baraka ulee wake zako na watoto wako
Big millad Ayo......I appreciate your effort to give as updates, broo hii ni kali sana 👏👏👏👏👏
instaBlaster...
aisee milardayo,congole xn bro.unafanya kaz had raha kaka.huyo mzee mungu amtangulie kwakweli pamoja na familia yake.
watoto 40 wamefarikik duuu pole sana
Safi sn maguful bado nakukumbuka mzee wangu😪
Jaman nmesoma shule moja na watt wa ernesto, ilikua kila darasa anawatt zaid ya 3. Nakumbuka darasan kwetu nmesoma na Martha mhenuchi, Aida mhenuchi, Maria Mhenuchi na Johnson Mhenuchi . am so proud to hear that
Kweli????
Kumbe ni kweli duuuu
Mkoa Gani huyu baba.
Oyoooo 🙌🙌
Nenden mkaijaze dunia
Umetisha baba..💪💪
Na kajaza kwel
Mirad hongera sana,upewe tuzo baba kiiukweli unachimba na kuchimbua tusiyo jua mambo haya tumezoea kusoma kwenye adithi mwanaume kua na watoto mia na sis wanaume kunakitu tumejifunza hapa
Kasema mambo ya zamu hawezi kusema mbele ya watoto 🤣🤣🤣baba Yuko vizuri
Umejifunza Nini🤣🤣🤣
Waoooh milard your the best journalist
Ongela mzee mungu akubaliki kwahekima nabusara nafamilia kuujengea msimamo
Mefurahi Sana hiyo Millad Ayo ni home huko na baadhi ya watoto wa huyo Mzee nimesoma nao ,,namjua vyema !
Ni sehemu gani
Njombe vijijini ilengititu Kijijini kinaitwa
Umwanani bemdimi umnene hupami hukaye
Chambilo
Mh
Aisee tengeneza documentary ya kingereza hii issue
Hongera millad
Ili iweje!!
Documentary ya kiingereza itauza zaidi kimataifa 100%
Kwan hao waingereza huwa wanatengeneza documentary za kiswahili??? micah nasake
Ingekuwa bongo moto angeuona wangepigana
Millad ayoo ni bonge moja la msaka abari Kama unakubaliana na ilo gonga like tende sawa
Millad Ayo! Hongera saaaana kwa kaz yako nzur!
Hongere mzee uko n nguvu kwli wake kumi n 16 c mchezo waitaji tuzo
Nimerudia kuangalia hi interview mara 3 Aisee huyu mzee ni nomaa sanaa ...#millad Ayo hongera kwa kutuletelea bonge 1 la interview nzuri sanaa🙏
Duu we mkali Mara tatu
Alfu wee Ayo nakupendanga sana sauti mzuri sana from kenya
Hongera kwa huyu mzee ameweza kuwatunza wake zake wote na watoto wakati unakuta wanaume wengine wanashindwa ata kulea mke mmoja na watoto wawili
😅😅
Mzee ana jitambua kweli kaulizwa very person quest kalijibu ki heshima kistarabu kweli ni mzee anae jielewa kwa umri wake sio wale wazee wa dar 🥱😏
Sisi waislamm wake 4 lkn watu wanaona makosa! Sasa ngoma hiyo hapo! Tena sio muislam! Haya wanazengo lete mistari mibovu! Hongera sana mzee!
We jinga kweli, Biblia imezuia kuua lakini wanaua uta justify vipi kwa kutumia maandiko, huyu kaoa kwa utashi wake wengi!
Lakini ujue Mungu aliumba Mume na Mke, sio Mume na wake!
Hizo ni ndoa za kimila hizina limit
Biblia na Quran ziishie uko uko, na sisi tuwe na utaratibu wetu
Pongezi mzee wangu, naomba MUNGU AKUTIE NGUVU uwalee hao ndugu zangu..MUNGU akubariki sana
Huyu komeshea wakati wengine mke mmoja tu wanajinyea magomvi yasiyoisha.🙏hongera zake na hao wanawake&na watoto
Umeonaee
Vijijini mradi mume tu. Wanawake wanajitegemea wenyewe kulima nk.
Ingekuwa mjini kwa idadi hiyo!!
Angekuwa ashafanya boxer kofia 🤣
@@neemakaluwa2089 😂😂ndio nini boxer kofia
Neema umenichekesha sana eti boxer kuwa kofia
Huyo anayesomea upd nadhani atapata changamoto za kuhubiri ndoa ya mke mmoja na mume mmoja bila shaka 😂😂😂😂
Mungu hakukuzie
Kwa utaratibu wa kanisa katoliki awezi kupewa upadri
@@josephmilinga3909 Mh hivi ni kweli? Sasa kama ni hivyo kwanini alipokelewa kusomea huko? Maana asije akasoma na kukataliwa baadae itamuumuza sana.
Mzee nampongeza kutimiza maneno ya Mwenyezi Mungu muumba mbingu na dunia kwamba ZAENI MKAJAZE DUNIA.👍👍👍👍
Hahaaaaa
😂😂ww msish wanawak wanne tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usinukuu maandiko vibaya Hana analotimiza ktk maandiko ,kumbuka ni dhambi kutumia maandiko ya MUNGU vibaya ,mshaauri akatubu na hao wanawake watubu yawezekana waliolewa kwa ajli ya tamaa za Mali ,mashamba na Ng'ombe wanaume wapo wengi tu. unakuta kabinti kadogo kanaolewa mke wa kumi ujinga na tamaa ni mzigo mkubwa wa dhambi.
Daaaa fantastic!!!!!
...this is truly amazing.Siri kubwa kwai familia wanadumisha AMANI,UPENDO na UAMINIFU la sivyo wangetengana na kusababisha kusambaratika("congratulations to AYO TV")HONGERA KAKA MILLARD,big respect to the Mzee and all his Wifes+kids")Mungu aipenguvu familia hii.I'm witching from Africa in Kenya at Kilifi county")
Apo ni sawa ntafikilia iyo kitu
Ayo tv mipaka yote ya dunia hatari San mzee baba 🔥🔥🔥
Trur
I like this brother,, milady 💪💪💪
Mzee cyo mvivu wengine mmoja tu kajasho kanatoka
Maa shaallah
Thats great👏👏👏
Maandiko😂😂😂...nendeni mkazaliane🙏😅
Masha Allah Akubarik mzee wetu pa1 na familia yako..
Ng'ombe hazeek maini....tule ndizi na mihogo manaume wa dar..
🤣🤣🤣
😂😂😂😂 mbn mutakufaaa
😄😄🤣🤣
😃😃
Hahahah
Mzee good job ..i am on the way to catch you
Masha Allh
Dah mungu amlinde magufuli amepewa baraka Kama zote mungu amsimamie kila iitwapo leo
Nimependa Sana Hapo Kwa MAPADRE NA SISTER NA NURSE
Kweli Watanzania nimewapa shukrani kwa ukarimu mlionayo. Hawa wake wako na heshima sana. Bongezi kwa Mzee kwa kujitolea mhanga
Hujambo wewe
Pigaaa kelele kwa mbena wake jamani hawa watu sio wa nchiii mume wangu mbena wako vizuriiiii 😂😂😂😂💃💃💃shooo shoooo
Mmmhu kweli wanawake tuko wengi wanaume ni wachache hii familia ni kijiji tayari.Wanawake wamemzimikia Mzee.
😄😄, Elizabeth Mwandu
Yaani mpaka mtu na dada ake anazimikia shemeji yake
@@martalositotiktok6590 yaani we acha tu ukienda kumsalimia dada haurudi nyumbani unaolewa na kuolewa🤔🤔😁😁😁
Mke mmoja tu anatesa sana mpaka tunakimbia familia, ukiongeza mke wa pili bii mkubwa anakukosa sum kwanza, bii mkubwa akijua tu unamchepuko lazma hapo mtazichapa mpaka iman itakosekana ndan, ...... ....
Sasa wake 20 mpaka 16 duuuuuu !!!!! Hapo ni hatari sanaaaaaa, Hongera kwa mzeeeee ......
So interested story!!! Big Milad Ayo
Wanawake wenzangu hongereni Sana kwa upendo huo kumpenda mzee wetu
Magufur oyeeeeeeeeeee ❤️
Kivip sasa
This guy Millard 👍👌
Hongera miradiayo kwa taarifa nzuri.
Aiseee hii inge tafsiliwa na kizungu dunia ione mzee alivyo fiti
Kwer kabsa 😂😂😂😂
Mzee mpumbavu huyu yuko fiti kishenzi unawachanganya mtu na dada yake alafu mnamsifia mnaendekeza ngono saana nyie watu wajinga saana baadae hiyo laana itamrudia watapigana miti wao vwenyewe
Si umemsikia anakula ndizi na mihogo ya kuchemsha asubuhi, mchana ugali na maharage, hali chipsi hali piza hali Burger, hapo hata akipewa wali wawili full kuwazalisha tu, nguvu ipo, c mchezo kuwamiliki wanawake 16. Hongera zake sana sana
@@selemankishema5780Yani huyu wakupewa somo mana hakuna mila wala dini inayoruhusu uwafanye mke mtu na ndugu yake jamani hili swala Serikali pia ilitizame kwa jicho lengine
@Seleman kishema unaujua upumbavu na ujinga wa aina ngapi...ustaarabu wa dini na maadili yako uliokufikia unaweza kuwa ulochelewa kwa wengine so usimnyooshee kidole mpe elimu ukiweza ila up to now mzee yuko fiti na huwez mrudisha nyuma
"Wengine kwenye amri kumi mmebakiza usiuwe tuu🤣🤣🤣"
Mzee mfano bora kuna wengine wakiwa na mtt 1 wanakimbia familia zao tujifunze
🤣🤣🤣 Mimi ninawawili kablawapili hajazaliwa nimetishiwa talaka
@@latifamkulazi8378 hahahahahahahahaaa🤣🤣🤣🤣🤣 njoo nikuoe mimi nimeshaiga huo mfano sasa hv nanunua viwanja kwa ajili ya kuwa na familia km hio
@@officialjclever9879 nunuatu vitakufaa baadae😃😃
@@latifamkulazi8378 🤣😂😂🤣🤣😂
@@latifamkulazi8378 inabidi tukakuongeze kwa mzee uwe wa 17
CONGRATULATIONS babu💪💪💪💪kama wazee waeza kukaa na wake ivi ndunia ingekua poa
Mzee respect Mimi mmoja tu ananishinda duh ukistaajabu ya Musa utaona yafirauni
Jamanii
Jamani jamani uwiiii nimeshindwa hata neno la kusema
Sema mashaa ALLAH
Mie ni hilo tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante mzee wangu
Mashallaah mwenyz mung akujalie maish marefu uzid kusaidia family yk yn mzee n mchesh mkarim family yk anaihudumia family yk vzr mt n mke wk mmoj anashindw kuhudumia vzr asnt sn Millard kwakutusogezea taarif
Mmmmh! Hatareee sana 😀😀🙌
Ama kweli ng'ombe Azeeki maini.
Alafu wake wakiwa wa2 kwa mume,kelele kibao.hao wako 16 amani imetawala
daase namina penda sana babu yangu alikuwaga na kum 10 hiyo ninema kwamungu
Show kali wazee😂😂😂🔥
Milladayo congratulation kwako.
Mzee mungu akubaliki akusimamie nafamilia yako kwa ujumla
Eeeeh heri yao ..hii ndo sister wives kweli 😂😂😂😂😂
Mh
Imagine we ndo wa kwanza😂😂😂😂anaolewa wa pili unashangaa wa tatu unaumia..
Wa nne unajisi labda ndo mwisho...mara wa tano huyo...itabidi uanze kuhudhuria tu kwenye harusi za mmeo🤣🤣🤣🤣
Hahaaa
😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisaaaa
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Hongera sana brother kwa habar nzur
Ok, watoto 104 plus 40 waliofariki, namba nzuri, mzee amefanya kazi kubwa. Mpiganaji kweli, wanaume wote tukioa hivi kazi ipo.
Hao waliokimbia sasa wanataka kurudi mzee usiwakubari magonjwa ni mengi we piga hao hao 16 tu
Toba roho yangu
Huyu ndo baharia sasa hongera sana mzee na Allah akutunze na family yako
kabsa baharia anakula mizizi sio bure
Uyo baba anamwitaji Yesu Kristo kwa haraka sana.Kweli hili ni jambo la kushangaza.
Hongera Mwanaume mwenzetuu Umewezaa sanaaaa
Alafu ikumbukwe mzee ana miaka 76 mtoto wake wa mwisho ana miez 4 😂😂😂😂😂😂 bado yupo fiti
😂😂😂🤣
@@SefrozaMafuru Mwanaume yoyote had afe ndio inakua mwisho wakuzarisha
Nafikiri sio wa mwisho maana kasema bado anataka kuongeza watoto
Sijawai kusikia hata kuona before 🙌👍🔥❤️
Wow 🤩 djamani 🙏🙏🙏tunashukuru miradayo
Daaah raha sana
Kuna vijiji vingine elimu ya maisha ni muhimu sana.Nyerere alisema tuna maadui watatu,Maradhi,umaskini na ujinga.Hapa hakuna sifa yoyote,hapa kuna ujinga.Kuoa mke na wadogo zake!!wanawake kuja kujilundika mahali pamoja.
Usi tuletee westen life hapa mpumbavu mkubwa wewe asili ya mwafrica ni kuzaaaa mme kuwa mabwege na ulimwengu wa android
Your the best journalist in Tz.. Keep it up brother!
Hii nomaaa
Miladi. We kiboka😁😁😁😁😁😁
Huyo Babu Ana mgoda weeee😂😂😂😂😂
Nice work braza millard
Mhh, mzeee Ernest hongera we kiboko tembeza bakolaaaaa
Siku mojamoja,mzee utampata siku ya 17,mmmm wanawake hapo lazima wachepuke,na watoto wengine sio wake
Kweli
Waoga hawachepuki