JAMAA AKATWA MASIKIO YAKE MAWILI BAADA YAKUKUTWA NA MKE WA MTU KICHAKANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 02. 2021
  • Ibrahim Fadhili ni mkazi wa kata ya Magugu mkoani Manyara amekatwa masikio yake mawili pamoja na kuumizwa kwenye macho baada yakukutwa na mume wa binti aliyekuwa naye kwenye kichaka majira ya usiku akidai kuzungumza naye ili aweze kumsaidia kupata chuo

Komentáře • 2,3K

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 Před 2 měsíci +5

    Zinaa mbaya mcheni Mungu,kuishi bila uzinzi inawezekana!

  • @williamgeorge150
    @williamgeorge150 Před 3 lety +9

    tulio oa tujuane hapa, yaan me napambana kwaajili ya familia yangu afu mjinga mmoja unaleta fyokofyoko iseeh sikuachi salama,maelezo yako yanaonesha wew ni mchepuko mmoja nyambafuuuu

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 Před 2 lety +4

    Kujificha kichani na mkeee wa mtu hongera kijana kwa kazi nzuri ili wakome kwa wake za watu

  • @saumuissa4429
    @saumuissa4429 Před 3 lety +8

    Wanawake tuna mitihani mikubwa sana ww upo nyumbani umechoka na ujauzito mume anahangaika na vimada, mungu tusimamie wanawake wote

  • @wahiduitsverycommentmane5421

    Wasomaa comment mko wapii jameniii 🙄😂😂😂😂😂

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Před 3 lety +155

    Kitupekee nacho kijua mke wa mtu siwezi kuchat naye na siwezi kumpa msaada wa siri pia kuonana naye usiku kichakani hiyo ni michepuko hakuna mipango

    • @maggieandrew995
      @maggieandrew995 Před 3 lety +4

      Khahahahah

    • @maggieandrew995
      @maggieandrew995 Před 3 lety +2

      Nimecheka kama mazuri

    • @Iragibarune1.
      @Iragibarune1. Před 3 lety +3

      Kwaiyo sisi wake zawatu hatufai au?? 😂😂 minimehelewa hapa walikosea kuuafanya yasiri
      Kama ange mshirikisha mmeo yasinge mkuta

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 Před 3 lety +4

      Muongo huyu Happy muongooooo

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 Před 3 lety +2

      🤣🤣🤣🏃🏃🏃🤝

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 Před 3 lety +2

    Subuhanallah uwiii,,,,,,,,,, mke wa mtu sumu haijalishi ni hawara ya mtu au mke halali lazima uheshimu
    Ona kilichokukuta sasa uzinzi siyo mzuri
    Nani atamuamini km kweli hawakua wazinifu

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 Před 3 lety

    Saluti ayo Asante sana nashukuru kwa elimu hii

  • @margrethmateru4812
    @margrethmateru4812 Před 3 lety +29

    Kaka mhuniii huyuuu etiii tutafute mda mpanaa!!! Woiiiii🤣🤣🤣wachaaa wamcharangee..

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 Před 3 lety +91

    Miladayo salut kwenu hadi magugu ninyi ni zaidi ya tv zote

  • @ramadhanisaidi5729
    @ramadhanisaidi5729 Před 3 lety +67

    Kama umegundua kua huyo mwanamke kapangwa na ndugu wa mume gonga like

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    SHUKURU MUNGU HAKUKU UWA KWAUWEZO WA MUNGU KWA UWEZO WA MUNGU JE KWAUWEZO YA MUNGU MBONA ULIFANYA HAYO YOTE

  • @maximilanangila8762
    @maximilanangila8762 Před 3 lety +10

    Gospel in me,🎶🎺🎷🎤 kachimbe kisima chako mwenyewe unywe maji yako pekee yako...........

  • @emanuelmtenda6419
    @emanuelmtenda6419 Před 3 lety +5

    Solution. Mwanamke Malaya ni kumwacha tu, utakata masikio wangapi, na wewe maisha yako yatakuwa nikutafutwa na police tu

  • @AbdallaSalum-p8x
    @AbdallaSalum-p8x Před dnem

    Pole.sanakaka

  • @paulmaro6708
    @paulmaro6708 Před 3 lety +1

    Pole sana kaka

  • @faithmlayda5306
    @faithmlayda5306 Před 3 lety +3

    Dah! Pole Bro haya ndo maisha but no way

  • @drwebangila
    @drwebangila Před 3 lety +4

    Excellent story balancing. Jamaa alikuwa anachepuka na mke wa mtu

  • @josephdomi9393
    @josephdomi9393 Před 3 lety +2

    Jamaa kaamua kumrudia mungu wake baada ya kupata zawadi ya uzinzi maisha yanaenda kasi sana

  • @OnesmoMaliatabu
    @OnesmoMaliatabu Před 7 dny +1

    Majina ya kinaheppy ni Malaya sanaaaaaaa

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 Před 3 lety +8

    HUYO DADA ALIPOOONA HUYO JAMAA ANAUWAWA AKAKIMBIA WHY? HAKUPIGA KELELE KUOMBA MSAADA???.?

  • @mimahmadau7442
    @mimahmadau7442 Před 3 lety +13

    Pole Sana Kaka Angu Huyo hapnes kakuponza Na ukome kuchat na wake zawatu ona sasa masikio huna 😭😭

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha Před 12 hodinami

    Jamn anamusaidia kupata chuo kichakani kwa kulikuwa hakuna seheme nyingine daah hiv wanaume ila so wote mnaofanya mambo ya kubaka hamuwezi kupa kazi kubaka watoto wa wa2 jmn tamaa mbaya mauti nyuma emu muogopen mungu wote muoganaya hivo🎉🎉🎉🎉😮😮😮😮

  • @ditrickmilinga1054
    @ditrickmilinga1054 Před 3 lety

    Pole sana ndugu yangu..Mungu akuponye..

  • @sadamumpepo3650
    @sadamumpepo3650 Před 3 lety +5

    Hahahahahaaaaaa,pole sana bro Mke wa mtu sumu usijisahau shukulu TU mungu umepona

  • @muzyexperience
    @muzyexperience Před 3 lety +28

    Jamani kuweni makini na haya mamboo ilaa tumpee Pole sana huyu jamaaa 🙏🙏🙏🙏 gonga like twend sawaa 🙌🙌

  • @cuhgds4320
    @cuhgds4320 Před 3 lety

    Poleni sana, i understand .

  • @JidolaSegeja
    @JidolaSegeja Před 10 měsíci

    Pole Kaka mungu atakusaidia utapona maisha yataendelea

  • @simonmisri6968
    @simonmisri6968 Před 3 lety +15

    Kama umesikia kwenye minyaa na maziwa alibeba na alianza mahusiano baada ya ushauri kupeana like hapa

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 Před 3 lety +3

    Duh sina la kusema 🙏🙏

  • @emmatz5251
    @emmatz5251 Před 3 lety

    Shukuru uyoo kakukata masikio, ingekuwa mm kifungo cha maisha kingenihusu

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q Před 5 měsíci

    Pole sn kakaangu Allah akuponye wema umekuponza hujafa hujaumbika kwakwel

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma8002 Před 3 lety +50

    Jamaa anazungmza kama mapenda mungu😂 ila muache tamaa na mademu za watu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 3 lety +1

      huyo mdada kapanga inshu jike lenyewe sijaona hata uzuri wke hata alomkta c mme kazaa nae 2

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 Před 3 lety +1

      @@heyumi2340 Uyu jamaa fundi inaonyesha anakula wake za watu sana kwa hiyo kakomeshwa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 3 lety +3

      @@sweetbertrwiza5982 maelezo umesikiliza vizuri hapo hakuna mke wa mtu huyo jambazi habar zake umezisikia c mke huyo wacha kusema mke wa mtu

    • @rosetembe3785
      @rosetembe3785 Před 3 lety +2

      Waambie hao,watu wanagharamia etii

    • @gidioniezekieli9896
      @gidioniezekieli9896 Před 3 lety

      Mmmmmmh jmnn

  • @Conshamusic
    @Conshamusic Před 3 lety +9

    Dah!!! Wakina Happy bhana sio powa 😂🤣🤣😂

  • @matridamwaipembe299
    @matridamwaipembe299 Před 3 lety

    Pole broo mungu mwema utapona. 🙏

  • @andrewsteven5375
    @andrewsteven5375 Před 3 lety +12

    Mke wa mtu asaidiwi kwa cho chote hatakama anakufa muache afe kwa usalama wako zaidi, sitakaa nikamsaidia mke wa mtu, Mungu anisaidie kwa hili.

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 Před 3 lety +4

    Dahhh pole sana

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 Před 3 lety

    Pole sana Kaka,Mungu atakuponya na ubarikiwe kwa kutoa msaada maana Mungu anakuona sirini mwako ila ushauri tu siku nyingine ukitoa msaada kwa mtu msijifiche vichakani na pia umshirkishe mkeo

    • @huseinikaji8208
      @huseinikaji8208 Před 3 lety

      Mwenye kujiingizia kwenye shakabasi amejiingiza kwenye haramu wewe msaada kwende minyaa tena wa masomo afadhali angekuwa mgonjwa au mtu aliyepata ajali hata ningekuwa mimi nisingekubali

  • @kastokyando5347
    @kastokyando5347 Před 3 lety

    Pole sana ndg Mwamini Mungu

  • @livingstonesariah7765
    @livingstonesariah7765 Před 3 lety +28

    Hilo ni fumanizi kama mafumanizi mengine...
    Kama unaungana na mawazo yangu nipe Like👇

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q Před 4 měsíci

      Hyu jamaaa ni malaya umbwa wewe ungekufa tu kabisa tena amekuonea huruma

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q Před 4 měsíci

      Yani wewe wewe wewe unastahili kufaa bila huruma angekutoa shingo pembeni na kuhakikishaa mboro imekatwa na kutopwa motoni

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 Před 3 lety +5

    Mapenz yanauma Sana Ila na nyie wanaume tafuten pesa mtunze wake zenu khaa mnakaa na mke mpak anataman msàada na mtu mwingin

    • @justcenturion1275
      @justcenturion1275 Před 3 lety

      Shame on you. Did she marry coz of money. That's prostitution.

  • @husseindatto8359
    @husseindatto8359 Před 3 lety

    Pole brother msaada tunaufanya ila watu hawatujali pole sana

  • @user-ug9nl8lo1o
    @user-ug9nl8lo1o Před 3 měsíci

    Pole mdogo wangu, inaonekana, huko kwenu Kuna ugonjwa wa kuhisi kama huku kwetu Kigogo Mapera Dar,

  • @madamboss348
    @madamboss348 Před 3 lety +12

    Baba mtoto wangu siku zako zinafika umezoea mabibi za watu. I wish ungekuwa wewe

    • @princesstunda7307
      @princesstunda7307 Před 3 lety

      Usimuombee haya jaman muombee aache hayo mambo ya wake za wa2, ila pole dada.mana me bado sijaolewa na sijui uchungu wa hayo yote, ila hata mm mpenz wang akinicheat naumia😭😭😭😭

    • @nurukhalifa9413
      @nurukhalifa9413 Před 3 lety +1

      Wanakeraaa mi pia nimewaza sijui kwanin hawakat sikio zake mana kila siku ni wake za watu tu anankera akatwe hata moja

    • @julianapaulo7298
      @julianapaulo7298 Před 3 lety

      Daa pole madam boss

    • @omarymakota8252
      @omarymakota8252 Před 3 lety

      @@princesstunda7307 saiv atasikia vizuri

    • @billocesamwel2637
      @billocesamwel2637 Před 3 lety

      Madam nawe kuja kwangu

  • @sagayefamily5149
    @sagayefamily5149 Před 3 lety +19

    dada ni msema kweri,, ila ni mzinzi Sana..... Huyo kijana ni bonge la muongo.. Na kavuna alichopanda

  • @saviokide9127
    @saviokide9127 Před 3 lety

    Du! Pole sana mungu ni mwema

  • @DianaChindoli
    @DianaChindoli Před 5 dny

    Daa star sana hay mamb sema mungu asnt😅😮😢😅

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga2126 Před 3 lety +10

    Kumbe na ww mwanamke huna akili! Kama ulikuwa humtaki ilikuwaje uendelee kupanga mikakati ya kutana! Huna haya walla hujui vibaya

    • @bakarihamdouny1956
      @bakarihamdouny1956 Před 3 lety

      kweli kabisa
      mtu kama humwitaji usimvute uwe nae kalibu, alafu hao wote wanaonekana waongo washafanya yao sana tu....

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 3 lety +4

    Hayo mambo ya vichakani na mke wa mtu sio powa kabisa bro. Eti tumekutwa heheheheehe

  • @lellovenance5702
    @lellovenance5702 Před měsícem

    Shida jamaa kaoa mke mzuri, Sana nzi wanamzungukia

  • @gideonemmanyi9593
    @gideonemmanyi9593 Před rokem

    kazi nzuri kata masikio wapepeta wake za watu

  • @barakamalipula9010
    @barakamalipula9010 Před 3 lety +8

    Mke wa mtu ni sumu😆😅🤣😂😃

  • @abdirazaaqhussein3318
    @abdirazaaqhussein3318 Před 3 lety +3

    Funzo kwa wengine acheni kula mizigo ya watu sema kweli usiongopee umma

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Před 3 lety +1

      Allah amsaidie🤔

    • @andrewmsofe6667
      @andrewmsofe6667 Před 3 lety

      Ifike mahali ujielewe akili hauna mbona unatudanganya wakati binti amefunguka kuwa unakula mzigo pumbavuuuuuuu

  • @ednanyangoro924
    @ednanyangoro924 Před 2 lety

    Wewe mtoto Mwenyenzi Mungu anakuona wewe!!!!! Acha uongo!! Dhambi sana!!!

  • @shadrackmajikwa4770
    @shadrackmajikwa4770 Před 3 lety

    Pole. Sana.

  • @davidkumulaga9419
    @davidkumulaga9419 Před 3 lety +3

    Mkuu..wew Ungemwita kwako ,,na ilo jambo ilitakiwa umshirikishe mkeo,,kwenye minnyaa,,afu mnaombana namba za simu za nin

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 Před 3 lety +5

    Dah!! Kweli hujafa ujaumbika pole sana Kaka Kwa kupata ulemavu Kwa sababu ya wema wako mda mwingine huruma inaponza

  • @paulnjovu8582
    @paulnjovu8582 Před 3 lety

    Pole kaka mungu akuponyekwakwel

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 Před 3 lety +6

    Huyu msichana ndio chanzo cha yote,,cha msing akamatwe huyu msichana ili mume wake aje Kam anampend kwel huyo mke wake

  • @chrispinchristopher3914
    @chrispinchristopher3914 Před 3 lety +6

    Duuuu,haya mambo so powa nimekoma Mimi kutembea na wake za watu,kama unaamini kuwa Mimi nitaacha hii tabia gonga like japo Mimi sina tabia hiyo,

  • @fairamkhan4744
    @fairamkhan4744 Před 3 lety +1

    Weuweee magugu ake ayo tv big sharaut kwenu

  • @ZuhuraMdima
    @ZuhuraMdima Před 11 dny

    Pole.kakal😊

  • @boburasa6799
    @boburasa6799 Před 3 lety +11

    Ungefanikiwa kula mzigo akuna ambaye angejua umekula siku 39 atimaye 40 imefika pole mkuu

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Před 3 lety +46

    Kama ulikuwa unaushauri mzuri,kwanini usingemuita aje nyumbani kwako mbele ya makeo?ila pole,sumu mke ya mutu

  • @teahalim1645
    @teahalim1645 Před 3 lety

    Mshukuru mungu kakuachia roho yako

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 Před 3 lety +1

    Subhanallah

  • @nemesshayo9370
    @nemesshayo9370 Před 3 lety +4

    Umekatwa sikio na bado unadai maziwaa hahahhaa brother haupo serious

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 Před 3 lety +3

    SubhanAllah

    • @ashamwamba9088
      @ashamwamba9088 Před 3 lety

      .kama.nikwelii.niushahidi.mpaka.kwamungu..uyooo.wazinifu

  • @sabraomar9638
    @sabraomar9638 Před 3 lety +2

    Dah pole Sana broo ndio mitahn hy il saiv usiwamin tn wat asilimia 💯

  • @sophiangena6104
    @sophiangena6104 Před 3 lety +1

    Watanzaniaaaaaa mtaniua duuuuh when I think I've seen them all then boom.

  • @eliyazacharia7660
    @eliyazacharia7660 Před 3 lety +9

    kosa lako wew ni kusimama na yeye kichochoron ata mim nikiwakuta sikuelew kabsa, msaada gan mpaka mjifiche bana sema mnajuana tu

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 3 lety

      Umeona eee

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 3 lety

      Umeona eee

    • @ndambajuma7077
      @ndambajuma7077 Před 3 lety

      Ww dada sio mstalabu kama alikuaidi inshu yachuo ulivyoona aeleweki ungeachana nae lakin umedeti nae miez miwili ukanogewa mpaka kumsaliti mme wako ww nimshez tu kama washez wengine jieshimu bas kwenye minyaa kweli je ? Ungeumwa namadudu ungesema nn mungu amekuzalilisha uache ushez wako

  • @edenihighness8691
    @edenihighness8691 Před 3 lety +3

    Broo Happy kafunguka ukweli😂😂😂😂

  • @fostinnatasha1873
    @fostinnatasha1873 Před 3 lety

    Pole kaka Mungu atakuponya usijali

  • @rebecasteven709
    @rebecasteven709 Před 3 lety +2

    Mmhh dunia Haina huruma jamani,Mungu tusaidie😭😭

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 Před 3 lety +11

    Mmh pole bro lakin mngeend sehem ya wazi bana jamaaa alikuw analinda utamu wake 👌

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Před 3 lety +14

    Huyo Mtu aliyemkata Masikio na Kumuumiza Usoni huyo Jamaa amefanya Makosa Makubwa sn Ni bora akamatwe "Sheria ichukue Mkondo wake" kwa Watu Wote wanaochukua Sheria Mkononi.... Kusema Ukwl huu ni Ukatili kbs daah! Pole sn Ndg 😢😢😢

    • @rugijofrey3685
      @rugijofrey3685 Před 3 lety +3

      Ingekua mkeo usingesema hivyo

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 Před 3 lety +4

      @@rugijofrey3685 tabia Haina dawa " atakata masikio wanaume wangap" mwanamke ndo malaya" ona Sasa kamkata masikio mwenzake huyo bint ndo ataliwa sana

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 Před 3 lety +1

      Da Ila wanawake ss " kwel wema ajal inamana alimshindwa kupiga kelele"

    • @danmanga7749
      @danmanga7749 Před 3 lety +1

      Ingekuwa wewe umemkuta na mke wako ungefanyaje

    • @juliussechu9537
      @juliussechu9537 Před 3 lety +1

      Wee nyamaza maana hujui uchungu wa mke.

  • @lusiiddi6514
    @lusiiddi6514 Před 3 lety

    Pole sana

  • @user-hk1ci2yg8m
    @user-hk1ci2yg8m Před 2 měsíci

    Pole sana kaka yangu

  • @jamilakangezi4640
    @jamilakangezi4640 Před 3 lety +11

    🤣🤣🙌🙌nimecheka kama mazuri,kaamua kukata masikio kwasbb hayasikii🤣🤣pole sana kaka yote maisha🙏

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 Před 3 lety +41

    Mtu wa mtu nisumu ila jamaa alikuwa anamla huyo demu

  • @zirokamanda503
    @zirokamanda503 Před 3 lety

    Pole sana kaka mungu atakuponya.
    Ila uwe mkweli tu maana mimi ninaamini ukiwa mkweli mungu atakupigania.
    Pia jeshi la polisi tunaomba mumpe huyo kaka msaada na mumfunze adabu huto kijana hafai kwenye jamii.

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 Před 3 lety

    Pole sana broo

  • @estermbise1450
    @estermbise1450 Před 3 lety +10

    duh aliekatwa masikio pamoja na huyo demu (sukuma ndani washenzi kbx)

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 Před 3 lety +7

    😂😂😂😂😂 kanifurahisha huyu Dada kwa ukweli wake pole bro yataota mengine.

  • @migwa100
    @migwa100 Před 3 měsíci +1

    Vijana kaeni mbali na wake za watu mna penda mteremko sana mwana mke akiolewa nimke wamtu kaambali nae wapo W 0:06 ana wake wana tafuta mwanaume umejitia kilema kitu hupendi usifanyie mwezako

  • @HamedeusNgowi
    @HamedeusNgowi Před 6 dny

    Hahahahahaha angel ngja ncheke shukuru mungu hamjanatana au hajakukata matunda😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😢

  • @lameckmichaelmagazi6345
    @lameckmichaelmagazi6345 Před 3 lety +3

    Nanyinyi wanawake mnasumbua sana. Mimi Kuna mwanamke tulijuana fb, nikamtongoza akagubali anakaa mbalikidogo, Sasa tumeanza mahusianotu yakwemye cm nabado hatujaonana huyumwanamke kanipenda mpaka ananitumia picha zake zachumbani. Saanyi gine anajirekodi yukouchi anachezea kisimi Sasa juzi nimetumia sms haikujibiwa badae nikapigiwa namba ngeni kumbe nimmewake. Wakati Mimi najua hajaolewa Yaani wanawake? Nimasjetani kabisa

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Před 3 lety +88

    Kulingana n maelezo y huyu kàka mm kama mdada hy mschana hii nijama walipànga kwanini akimbie bila kuita msaada

    • @ridhiwanikhalifa9036
      @ridhiwanikhalifa9036 Před 3 lety +10

      Nafikiri huyo dada ndio alipanga mchongo mzima

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 Před 3 lety +6

      Remi omar YES UR ARE RIGHT NIMEWAZA HAYO HAYO KWA NINI ALIMWITA QSOGEE PEMBENI ZAIDI

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 Před 3 lety +5

      SUBHANA Allah tusiwe hivi peleleza mke wako mume mkate miguu mkeo

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 Před 3 lety +9

      @@salmaalbarwani2618 hvyo alivyojielza tuu utajuwa kunakitu kimejificha Kwa hy dada

    • @happyjohn7630
      @happyjohn7630 Před 3 lety +3

      Yes

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 Před 3 lety +2

    Wew mkuu umekutwa juu ya mzigoni bna acha kumchelewesha miladi ayo na mambo yake mshukuru mungu ujauawa make una bahati Sana broo

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 3 lety

    Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi

  • @lwitmwamba1732
    @lwitmwamba1732 Před 3 lety +16

    Naww mwenyewe nichanzo unafanyaje siri namke wamtu afu vichochoroni kua naakili utakufa

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 Před 3 lety

      Ni mshenzi kabisa ogopa sana kutombewa.

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 Před 3 lety

      @@msetikebwasi1469 😲🙄🏃🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤝

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 Před 3 lety

      @@beera.g5302 yani huwa ni zaidi ya machungu dada.

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 Před 3 lety +12

    Daaah 😥 Pole Sanaa broo ila ukweli nahisi huyo binti mlikuwa na mahusiano ya kimapenz nyny bhn,,Haiwezekan mtu aje akuvamie na kukutaka masikio 🙄

    • @jamalahmed7057
      @jamalahmed7057 Před 3 lety +1

      Hata mm nahisi hivyo

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 Před 3 lety +2

      Kwel mzee umefanyiwa ukatili Sanaa ilaa ndo ujue mkee wa mtu sumu mbwaa wew maana mkiambiwa hamsikii

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 Před 3 lety +1

      @@jamalahmed7057 huo ndyo ukwel Kaka huyo jamaa alkuwa anamnyaduwa mke wa mtu

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 Před 3 lety

      @@Teacher_01 mke wa mtu sumu kwel 😂😂😂

  • @zipporahmonginamakori3506

    Quick recovery bro

  • @happinesschengulla442
    @happinesschengulla442 Před 3 lety +2

    Happy jamn ona yaliyomkuta mwenzako

  • @daudiminde8496
    @daudiminde8496 Před 3 lety +4

    Mbona mmemuachia pua mngekata na hiyo pua kabisa mamae 😂😂😂

  • @sumeiyatatumohammed2608
    @sumeiyatatumohammed2608 Před 3 lety +4

    Ulikuwa ni mtego huo 🇰🇪🇰🇪

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 2 lety +1

    Uuuwi pole kaka duh

  • @HasaniShija-ye5xg
    @HasaniShija-ye5xg Před 4 měsíci

    Duu pole sana

  • @sniperinktattoo1407
    @sniperinktattoo1407 Před 3 lety +23

    wote ni wazinzi tu hao

    • @gilongachristian1740
      @gilongachristian1740 Před 3 lety

      Haaaaahhh

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 Před 3 lety +1

      Umeonaee🤣🤣

    • @nasrahassanabioll6559
      @nasrahassanabioll6559 Před 3 lety

      Na sawa sawa alivyokatwa masikio yaani mda huo baada kukaa na mkewe tena ni mjamzito akimliwaza kaenda kufanya uzinzi na mke wa mtu jamaa hatosheki looh hapewi pole mwenye kilanga

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 Před 3 lety +19

    Pole kaka Ila statement ako ndg, sio, yaan kwenye minyaa, tena usiku giza na mke wa mtu? Kwanini sio mchana kweupe, ata kama mambo ya shule

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 Před 3 lety +2

      Hat kam ni usiku basi ingekua sehem ya uwazi ingepunguza makali

    • @shabanfitnesstv3977
      @shabanfitnesstv3977 Před 3 lety +1

      @@neemamayco3238 ndiyo, maana giza halafu kwenye minyaa, halafu ukimsikiliza huyo dada anadai wanamahusiano, maana izo za kukutana jion magengeni kigiza giza ziko sana. Izo ndo zinanifanya niwe single, maana akuna demu ako peke ake

    • @josephkomba64
      @josephkomba64 Před 3 lety

      Angekutana nae kwa Mme wke xaxa