JAMAA AKATWA MASIKIO YAKE MAWILI BAADA YAKUKUTWA NA MKE WA MTU KICHAKANI
Vložit
- čas přidán 27. 02. 2021
- Ibrahim Fadhili ni mkazi wa kata ya Magugu mkoani Manyara amekatwa masikio yake mawili pamoja na kuumizwa kwenye macho baada yakukutwa na mume wa binti aliyekuwa naye kwenye kichaka majira ya usiku akidai kuzungumza naye ili aweze kumsaidia kupata chuo
Zinaa mbaya mcheni Mungu,kuishi bila uzinzi inawezekana!
tulio oa tujuane hapa, yaan me napambana kwaajili ya familia yangu afu mjinga mmoja unaleta fyokofyoko iseeh sikuachi salama,maelezo yako yanaonesha wew ni mchepuko mmoja nyambafuuuu
Kujificha kichani na mkeee wa mtu hongera kijana kwa kazi nzuri ili wakome kwa wake za watu
Wanawake tuna mitihani mikubwa sana ww upo nyumbani umechoka na ujauzito mume anahangaika na vimada, mungu tusimamie wanawake wote
Wasomaa comment mko wapii jameniii 🙄😂😂😂😂😂
Tupo 🤗😃
Tupo
Tupoooooo
tupooo
Kitupekee nacho kijua mke wa mtu siwezi kuchat naye na siwezi kumpa msaada wa siri pia kuonana naye usiku kichakani hiyo ni michepuko hakuna mipango
Khahahahah
Nimecheka kama mazuri
Kwaiyo sisi wake zawatu hatufai au?? 😂😂 minimehelewa hapa walikosea kuuafanya yasiri
Kama ange mshirikisha mmeo yasinge mkuta
Muongo huyu Happy muongooooo
🤣🤣🤣🏃🏃🏃🤝
Subuhanallah uwiii,,,,,,,,,, mke wa mtu sumu haijalishi ni hawara ya mtu au mke halali lazima uheshimu
Ona kilichokukuta sasa uzinzi siyo mzuri
Nani atamuamini km kweli hawakua wazinifu
Saluti ayo Asante sana nashukuru kwa elimu hii
Kaka mhuniii huyuuu etiii tutafute mda mpanaa!!! Woiiiii🤣🤣🤣wachaaa wamcharangee..
Umenichekesha....bila Shaka Ni waarusha
Alikuacha nini
😂😂😂
😂😂😂
Bora hakuliwa ndogo
Miladayo salut kwenu hadi magugu ninyi ni zaidi ya tv zote
Habari zao ni za kweli
Poresana bro
Hakikaaa
Kama umegundua kua huyo mwanamke kapangwa na ndugu wa mume gonga like
Umesema vyema
Liko wazi uyo demu kapangwa na mshikaji😥😥
Ndivyo ilivyokua ila malipo ni hapahapa dunia.
Polesana swayiba
Kabisa!!!
SHUKURU MUNGU HAKUKU UWA KWAUWEZO WA MUNGU KWA UWEZO WA MUNGU JE KWAUWEZO YA MUNGU MBONA ULIFANYA HAYO YOTE
Gospel in me,🎶🎺🎷🎤 kachimbe kisima chako mwenyewe unywe maji yako pekee yako...........
Solution. Mwanamke Malaya ni kumwacha tu, utakata masikio wangapi, na wewe maisha yako yatakuwa nikutafutwa na police tu
Pole.sanakaka
Pole sana kaka
Dah! Pole Bro haya ndo maisha but no way
Excellent story balancing. Jamaa alikuwa anachepuka na mke wa mtu
Jamaa kaamua kumrudia mungu wake baada ya kupata zawadi ya uzinzi maisha yanaenda kasi sana
Majina ya kinaheppy ni Malaya sanaaaaaaa
HUYO DADA ALIPOOONA HUYO JAMAA ANAUWAWA AKAKIMBIA WHY? HAKUPIGA KELELE KUOMBA MSAADA???.?
Pole Sana Kaka Angu Huyo hapnes kakuponza Na ukome kuchat na wake zawatu ona sasa masikio huna 😭😭
😂😂😂😂
Jamn anamusaidia kupata chuo kichakani kwa kulikuwa hakuna seheme nyingine daah hiv wanaume ila so wote mnaofanya mambo ya kubaka hamuwezi kupa kazi kubaka watoto wa wa2 jmn tamaa mbaya mauti nyuma emu muogopen mungu wote muoganaya hivo🎉🎉🎉🎉😮😮😮😮
Pole sana ndugu yangu..Mungu akuponye..
Hahahahahaaaaaa,pole sana bro Mke wa mtu sumu usijisahau shukulu TU mungu umepona
Dunia imeisha hawana uluma
Hakuna mke wa mtu hapo
@@user-kf6wy8gs1shatakama ni mke wake atakata wanaume wenzie wangapi? Adili na mkewe
Jamani kuweni makini na haya mamboo ilaa tumpee Pole sana huyu jamaaa 🙏🙏🙏🙏 gonga like twend sawaa 🙌🙌
mambo,, au mamboo
Duuuu maskn
Poleni sana, i understand .
Pole Kaka mungu atakusaidia utapona maisha yataendelea
Kama umesikia kwenye minyaa na maziwa alibeba na alianza mahusiano baada ya ushauri kupeana like hapa
Duh sina la kusema 🙏🙏
Shukuru uyoo kakukata masikio, ingekuwa mm kifungo cha maisha kingenihusu
Pole sn kakaangu Allah akuponye wema umekuponza hujafa hujaumbika kwakwel
Jamaa anazungmza kama mapenda mungu😂 ila muache tamaa na mademu za watu
huyo mdada kapanga inshu jike lenyewe sijaona hata uzuri wke hata alomkta c mme kazaa nae 2
@@heyumi2340 Uyu jamaa fundi inaonyesha anakula wake za watu sana kwa hiyo kakomeshwa
@@sweetbertrwiza5982 maelezo umesikiliza vizuri hapo hakuna mke wa mtu huyo jambazi habar zake umezisikia c mke huyo wacha kusema mke wa mtu
Waambie hao,watu wanagharamia etii
Mmmmmmh jmnn
Dah!!! Wakina Happy bhana sio powa 😂🤣🤣😂
Uyo mwenyewe anaonekana tyu ajatulia kuma uyo
Kweli kabisa
Pole broo mungu mwema utapona. 🙏
Mke wa mtu asaidiwi kwa cho chote hatakama anakufa muache afe kwa usalama wako zaidi, sitakaa nikamsaidia mke wa mtu, Mungu anisaidie kwa hili.
We nisaidie mm bhana
Hairuhusiwi kuwa falagha na mwanamke wa mtu
@@user-kf6wy8gs1saliyataka mwenyewe
Hahaaaa kwahiyo hata kama nidadako anauliwa na mumewe utamwacha hahaaa
Dahhh pole sana
Pole sana Kaka,Mungu atakuponya na ubarikiwe kwa kutoa msaada maana Mungu anakuona sirini mwako ila ushauri tu siku nyingine ukitoa msaada kwa mtu msijifiche vichakani na pia umshirkishe mkeo
Mwenye kujiingizia kwenye shakabasi amejiingiza kwenye haramu wewe msaada kwende minyaa tena wa masomo afadhali angekuwa mgonjwa au mtu aliyepata ajali hata ningekuwa mimi nisingekubali
Pole sana ndg Mwamini Mungu
Hilo ni fumanizi kama mafumanizi mengine...
Kama unaungana na mawazo yangu nipe Like👇
Hyu jamaaa ni malaya umbwa wewe ungekufa tu kabisa tena amekuonea huruma
Yani wewe wewe wewe unastahili kufaa bila huruma angekutoa shingo pembeni na kuhakikishaa mboro imekatwa na kutopwa motoni
Mapenz yanauma Sana Ila na nyie wanaume tafuten pesa mtunze wake zenu khaa mnakaa na mke mpak anataman msàada na mtu mwingin
Shame on you. Did she marry coz of money. That's prostitution.
Pole brother msaada tunaufanya ila watu hawatujali pole sana
Pole mdogo wangu, inaonekana, huko kwenu Kuna ugonjwa wa kuhisi kama huku kwetu Kigogo Mapera Dar,
Baba mtoto wangu siku zako zinafika umezoea mabibi za watu. I wish ungekuwa wewe
Usimuombee haya jaman muombee aache hayo mambo ya wake za wa2, ila pole dada.mana me bado sijaolewa na sijui uchungu wa hayo yote, ila hata mm mpenz wang akinicheat naumia😭😭😭😭
Wanakeraaa mi pia nimewaza sijui kwanin hawakat sikio zake mana kila siku ni wake za watu tu anankera akatwe hata moja
Daa pole madam boss
@@princesstunda7307 saiv atasikia vizuri
Madam nawe kuja kwangu
dada ni msema kweri,, ila ni mzinzi Sana..... Huyo kijana ni bonge la muongo.. Na kavuna alichopanda
Kuwa na huruma hata kidogo basi🤣🤣🤣🤣🤣
@@rosetembe3785 huruma gani?
Mke wa mtu sumuuu
Du! Pole sana mungu ni mwema
Daa star sana hay mamb sema mungu asnt😅😮😢😅
Kumbe na ww mwanamke huna akili! Kama ulikuwa humtaki ilikuwaje uendelee kupanga mikakati ya kutana! Huna haya walla hujui vibaya
kweli kabisa
mtu kama humwitaji usimvute uwe nae kalibu, alafu hao wote wanaonekana waongo washafanya yao sana tu....
Hayo mambo ya vichakani na mke wa mtu sio powa kabisa bro. Eti tumekutwa heheheheehe
Shida jamaa kaoa mke mzuri, Sana nzi wanamzungukia
kazi nzuri kata masikio wapepeta wake za watu
Amekosea angemkaata pumbu zake
Mke wa mtu ni sumu😆😅🤣😂😃
Funzo kwa wengine acheni kula mizigo ya watu sema kweli usiongopee umma
Allah amsaidie🤔
Ifike mahali ujielewe akili hauna mbona unatudanganya wakati binti amefunguka kuwa unakula mzigo pumbavuuuuuuu
Wewe mtoto Mwenyenzi Mungu anakuona wewe!!!!! Acha uongo!! Dhambi sana!!!
Pole. Sana.
Mkuu..wew Ungemwita kwako ,,na ilo jambo ilitakiwa umshirikishe mkeo,,kwenye minnyaa,,afu mnaombana namba za simu za nin
hahaha muongo uyo
Dah!! Kweli hujafa ujaumbika pole sana Kaka Kwa kupata ulemavu Kwa sababu ya wema wako mda mwingine huruma inaponza
Pole kaka mungu akuponyekwakwel
Huyu msichana ndio chanzo cha yote,,cha msing akamatwe huyu msichana ili mume wake aje Kam anampend kwel huyo mke wake
Duuuu,haya mambo so powa nimekoma Mimi kutembea na wake za watu,kama unaamini kuwa Mimi nitaacha hii tabia gonga like japo Mimi sina tabia hiyo,
🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Acha mke ya m2
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 akiiiiiii jaman ww ucseme huna ss utaachaje km huna
Mpk wakukate iyo chururu ndo utaacha
Weuweee magugu ake ayo tv big sharaut kwenu
Pole.kakal😊
Ungefanikiwa kula mzigo akuna ambaye angejua umekula siku 39 atimaye 40 imefika pole mkuu
🤣🤣
Kama ulikuwa unaushauri mzuri,kwanini usingemuita aje nyumbani kwako mbele ya makeo?ila pole,sumu mke ya mutu
ETI...wapenda wake za watu
Ijamanii
Polee
Duh
Nashangaa ushauli wa kweny nyasi
Kwenye minyaa,tena ucku
Mshukuru mungu kakuachia roho yako
Subhanallah
Umekatwa sikio na bado unadai maziwaa hahahhaa brother haupo serious
Hahahaahaaaa nimecheka wiki nzima
Hahahahahahaha na simu akakumbuk kwamba kachukuliwa woiii
Wachaga Bana hajaa
SubhanAllah
.kama.nikwelii.niushahidi.mpaka.kwamungu..uyooo.wazinifu
Dah pole Sana broo ndio mitahn hy il saiv usiwamin tn wat asilimia 💯
Pole San kak
Watanzaniaaaaaa mtaniua duuuuh when I think I've seen them all then boom.
kosa lako wew ni kusimama na yeye kichochoron ata mim nikiwakuta sikuelew kabsa, msaada gan mpaka mjifiche bana sema mnajuana tu
Umeona eee
Umeona eee
Ww dada sio mstalabu kama alikuaidi inshu yachuo ulivyoona aeleweki ungeachana nae lakin umedeti nae miez miwili ukanogewa mpaka kumsaliti mme wako ww nimshez tu kama washez wengine jieshimu bas kwenye minyaa kweli je ? Ungeumwa namadudu ungesema nn mungu amekuzalilisha uache ushez wako
Broo Happy kafunguka ukweli😂😂😂😂
Pole kaka Mungu atakuponya usijali
Mmhh dunia Haina huruma jamani,Mungu tusaidie😭😭
Mmh pole bro lakin mngeend sehem ya wazi bana jamaaa alikuw analinda utamu wake 👌
Kweli kabisa
Huyo Mtu aliyemkata Masikio na Kumuumiza Usoni huyo Jamaa amefanya Makosa Makubwa sn Ni bora akamatwe "Sheria ichukue Mkondo wake" kwa Watu Wote wanaochukua Sheria Mkononi.... Kusema Ukwl huu ni Ukatili kbs daah! Pole sn Ndg 😢😢😢
Ingekua mkeo usingesema hivyo
@@rugijofrey3685 tabia Haina dawa " atakata masikio wanaume wangap" mwanamke ndo malaya" ona Sasa kamkata masikio mwenzake huyo bint ndo ataliwa sana
Da Ila wanawake ss " kwel wema ajal inamana alimshindwa kupiga kelele"
Ingekuwa wewe umemkuta na mke wako ungefanyaje
Wee nyamaza maana hujui uchungu wa mke.
Pole sana
Pole sana kaka yangu
🤣🤣🙌🙌nimecheka kama mazuri,kaamua kukata masikio kwasbb hayasikii🤣🤣pole sana kaka yote maisha🙏
Nmecheka jamani
Umenichekesha ati hayasikii
Ahaaa
Hahahaha hahahaha hayasikii!!!!
Mtu wa mtu nisumu ila jamaa alikuwa anamla huyo demu
🤣🤣🤣 aki ww 🤣
Pole sana kaka mungu atakuponya.
Ila uwe mkweli tu maana mimi ninaamini ukiwa mkweli mungu atakupigania.
Pia jeshi la polisi tunaomba mumpe huyo kaka msaada na mumfunze adabu huto kijana hafai kwenye jamii.
Pole sana broo
duh aliekatwa masikio pamoja na huyo demu (sukuma ndani washenzi kbx)
😂😂😂😂😂 kanifurahisha huyu Dada kwa ukweli wake pole bro yataota mengine.
Yataota Lin hayo masikio duuuu
😆😆😆yataota mengine
@salha.d chizi wewe😂😂😂
Ahhhhhhh salha umeua duu yataota vp au aanze kumwagilia maji yachipue.🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vijana kaeni mbali na wake za watu mna penda mteremko sana mwana mke akiolewa nimke wamtu kaambali nae wapo W 0:06 ana wake wana tafuta mwanaume umejitia kilema kitu hupendi usifanyie mwezako
Hahahahahaha angel ngja ncheke shukuru mungu hamjanatana au hajakukata matunda😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😢
Nanyinyi wanawake mnasumbua sana. Mimi Kuna mwanamke tulijuana fb, nikamtongoza akagubali anakaa mbalikidogo, Sasa tumeanza mahusianotu yakwemye cm nabado hatujaonana huyumwanamke kanipenda mpaka ananitumia picha zake zachumbani. Saanyi gine anajirekodi yukouchi anachezea kisimi Sasa juzi nimetumia sms haikujibiwa badae nikapigiwa namba ngeni kumbe nimmewake. Wakati Mimi najua hajaolewa Yaani wanawake? Nimasjetani kabisa
Kulingana n maelezo y huyu kàka mm kama mdada hy mschana hii nijama walipànga kwanini akimbie bila kuita msaada
Nafikiri huyo dada ndio alipanga mchongo mzima
Remi omar YES UR ARE RIGHT NIMEWAZA HAYO HAYO KWA NINI ALIMWITA QSOGEE PEMBENI ZAIDI
SUBHANA Allah tusiwe hivi peleleza mke wako mume mkate miguu mkeo
@@salmaalbarwani2618 hvyo alivyojielza tuu utajuwa kunakitu kimejificha Kwa hy dada
Yes
Wew mkuu umekutwa juu ya mzigoni bna acha kumchelewesha miladi ayo na mambo yake mshukuru mungu ujauawa make una bahati Sana broo
Na masikio hana ataambia watu nini
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi
Pole broo
Naww mwenyewe nichanzo unafanyaje siri namke wamtu afu vichochoroni kua naakili utakufa
Ni mshenzi kabisa ogopa sana kutombewa.
@@msetikebwasi1469 😲🙄🏃🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤝
@@beera.g5302 yani huwa ni zaidi ya machungu dada.
Daaah 😥 Pole Sanaa broo ila ukweli nahisi huyo binti mlikuwa na mahusiano ya kimapenz nyny bhn,,Haiwezekan mtu aje akuvamie na kukutaka masikio 🙄
Hata mm nahisi hivyo
Kwel mzee umefanyiwa ukatili Sanaa ilaa ndo ujue mkee wa mtu sumu mbwaa wew maana mkiambiwa hamsikii
@@jamalahmed7057 huo ndyo ukwel Kaka huyo jamaa alkuwa anamnyaduwa mke wa mtu
@@Teacher_01 mke wa mtu sumu kwel 😂😂😂
Quick recovery bro
Happy jamn ona yaliyomkuta mwenzako
Mbona mmemuachia pua mngekata na hiyo pua kabisa mamae 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 noma sana
Ulikuwa ni mtego huo 🇰🇪🇰🇪
Uuuwi pole kaka duh
Duu pole sana
wote ni wazinzi tu hao
Haaaaahhh
Umeonaee🤣🤣
Na sawa sawa alivyokatwa masikio yaani mda huo baada kukaa na mkewe tena ni mjamzito akimliwaza kaenda kufanya uzinzi na mke wa mtu jamaa hatosheki looh hapewi pole mwenye kilanga
Pole kaka Ila statement ako ndg, sio, yaan kwenye minyaa, tena usiku giza na mke wa mtu? Kwanini sio mchana kweupe, ata kama mambo ya shule
Hat kam ni usiku basi ingekua sehem ya uwazi ingepunguza makali
@@neemamayco3238 ndiyo, maana giza halafu kwenye minyaa, halafu ukimsikiliza huyo dada anadai wanamahusiano, maana izo za kukutana jion magengeni kigiza giza ziko sana. Izo ndo zinanifanya niwe single, maana akuna demu ako peke ake
Angekutana nae kwa Mme wke xaxa