Huyu ndugu yetu anahitaji msaada kwa kila hali,watanzania wengi tuko na shida ila zinazidiana,tunakuomba mama Samia kama unavotoa pesa kwa kila timu kwa kila goli tayari mwenzetu keshasababishiwa magoli manne msaidia kutokana uzito wa ulemavu wake,na wewe makonda sio misifa tu shida nzito na kubwa iyo apo msaidie huyu kijana na watanzania soote tuone ulichomsaidia,Allah amjaalie subra katika kipindi kigumu anachopitia in sha Allah.
Mkuu wa wilaya anapaswa kulishika swala hili n kulipeleka ngazi ya Mkoa na taifa kwa ujumla, mfuko wa wizara inayohusika n jamii, watoto n walemavu iwajibike pia cz kodi zetu pia zimeelekezwa huko, huyu n kijana mtafutaji n mwenye familia, serikali inapaswa kuwajibika pakubwa
acha makasiriko tuma maombi sio kuanza na mifano kwani kutoa pesa kwa wachezaji ni tatizo kwani ashafanya mangapi huyo raisi ambayo ni makubwa pia mnakua ma mambo yenu kichwani mnatanguliza lawama wee omba msaada raisi au kiongozi mwengi asaidie Hilo mana kilatu linamgusa hata wewe unaweza toa msaada
Kuna dhambi Tunazifanya mpaka Shetani mwenyewe anashtuka.., This is not humanity.., Hongera sana mwanaume kwa kuumia ukiwa katika kazi Halali.., Maombi ya Watanzania wema yako Nyuma yako, mke wako na hata mwanao pia na ndugu waliokuwa wanakutegemea. #Ama_Tv
Kuna watu Wana roho mbaya sana kwenye hii Dunia 😢 Tayari wamemuweka kilema wamilele ndugu yet. Dah pole sana M/mungu akupe nguvu na subra ndugu yangu ❤️🙏🥺
Hivi kweli hata kama ni ukatili ndio unamfanyia mwanadamu mwenzako kitu kibaya kma hiki mtu anahali ngumu ya maisha anajitafutia maisha leo unakwenda kumkatisha ndoto zake ubaya gni huu ila manung'u iko yke yatawatafuna popote mlipo wanadamu tunaroho mbya hata sheitwani anatuna wa ajabu. Hlfu kuna wale watetezi wa haki za binadamu ikitokea mtu aliefanya huu unyama amekamatwa atakiwe auwawe watoka na kumtetea. Ndio maana leo mauwaji na ukatili kma huu yataendelea kwasababu tunaacha kufuata hukmu za kidini
Tena ni kijana mdogo sana jmn ata mm hanifikii, kweli naamini nafsi ya kiume huwa inawahi sana kufa jmn daahh, yaa rab tulindie vijana wetu inshaallah 🙏
Dah nimeshindwa kuzuia machozi , Mungu wangu Dunia haina usawa kabisa kwann wasinge chukua pikipiki wakamuacha mtoto wa mwenzao dah Mungu nakuomba ukamkumbuke uyu kaka 😭😭😭
Allah azidi kukupa nguvu Brother, Hakika usikate tamaa, wala usimkifuru Mungu, Hakika Kila kitu anaona, Udhalimu uliofanyiwa Mungu ameuona, na Hakika Malipo ni hapahapa Duniani...🙏
Ama kweliiii John Jackson hakuna aijuae keshooo yake...Mungu mpe ustahimilivu 😢😢Ee Mungu waliofanya hili tukio kwa Mathias wasiwahi pata "AMANI"ktk maisha yao
Pole ndugu Mungu Atakupanguvu ya kulea familia yako usikate tamaa, ila mtangazaji alitakiwa aweke namba ya simu angalau angepata kamsaada kurushiwa maana hapo huyo ameshakuwa mlemavu na ana familia tungemrushia hata kahela akapata ugali na uji wa mtoto mpaka watakapotokea wasamaria wema kumpa matibabu, na oia anahitaji bima hivo vidonda ni vikubwa lazima vishuguliliwe ipasavo asije akaoza tena Eeh Mungu wetu kuna viumbe wako wakatili humu duniani wavunje kasi na uwaongoze maana misiba kama hii haitaisha wanaturudisha nyuma
Ni kweli kwanini msiwe mnafanya mchango unaingia fb live unasema kama miguu bandia sh ngapi apatiwe na bajaji kama ataweza tupo wengi watanzania kwa atakaye guswa anatoa sadaka yake yaani kwa majanga kama hayo msiwe mnapost tu bila kupata muafaka😢
Millard ukileta taarifa kama hizi uwe unaweka mikakakati sahihi ya kumsaidia mtu, Sisi tunakuamini Sasa nawewe tuwezeshe Kwa wingi wetu usiwe wa Bure, Haipendezi kumtizama mtu akihuzunisha hiv afu atumpi saport yoyote. Ni km unamdharirisha Sasa, Ebu tusaidie Kwa hilo bwana ukitizama comment nying watu wanauliza jinsi gn watamsaidia hawajui. Sasa sijui kwanini hausomi comment zetu, ungelikuw unazipitia pengine Ungetoa mwongozo. Hata sijaona km amesema yupo wap pengine ni karibu tungefika kumuona kwa chochote kile, ndivyo wa tz tulivyo.
Utasikia Rais saidia jaman anamengi yakufanya yule hebu tushikane mikono raia wenyewe tusaidiane kila jambo linawezekana tukisema tumuachie mkuu ya inchi wengi watakosa misaada kwamtizamo wangu lakin
Daaah pole sana kijana mungu mwema atawakulipia. Ila ushauri wangu kwenye hizi changamoto ikishakukuta ni vyema ukiona ni Bora kuachia tu coz hivi vitu vinatafitwa jaman maana mtu mpk kufika hapo anakuwa amejiandaa😭 4:21
@@marryjoely8091 tatizo huyu mkaka walimkaba halafu wakamfunga mipira wakamsokomeza mchanga na matambara mdomon wakamtupa unazan angefanyaje kiufupi hawakukitaka chombo kwa hery bali walitaka kwa shari inauma sana wallab ridhiki zetu ukiona unarudi sallam hom nijambo lakumshukuru MUNGU WALLAH
I'm 254 # kenya 🇰🇪 nakuombea broo uwe na subra na Allah Ako nawe atukuwa poa broo nauzunika sanaa kuhusu jambo hili yani duuuh pole kakangu akupe wepesi..🙏🙏🙏🙏
Haki wafuatwe na radi kila wapitapo,walalapo,watembeapo radi ikawafuate popote pale ikawateketeze wote waliomfanyia unayama huu, na imani kwamba hawata kaa waendelee kuwa hai kamwe na kifo chao kitakuwa cha kinyama vilevile kwani ukiua kwa upanga na utakufa kwa upanga tu .Mungu nakuomba 🙏mpe nguvu kaka huyu pamoja na familia yake 😭😭
Shemeji yetu mke wa majeruhi wetu Allah akujaalie subra kaza moyo mungu anakupima kwenye mitihani yake usimuache mumeo wala usimnyanyapae leseni watoto wenu na tunamuomba Allah akutie nguvu na ujasiri uishinde mitihani upambane bega kwa bega na mumeo bila kumuonesha unyonge wowote ndio mzidishie mapenzi kuliko apo mwanzo,in sha Allah mungu atasimama na nyie kwa kila hali
Ni vibaya kumuombea mtu mabaya lkn kwa wote waliofanya unyama Huu Mungu atawapiga pigo moja kubwa ambalo amtasahau na msipate amani ktk maisha yenu yote yaliobaki hapa duniani
Dahaaaa😢😢😢 kweli hii duniaa hinamambo sana huu ni unyama yani 😢😢😢😢 mbk mwili wangu umesisimuka pole sana mwanetu mungu azidi kukupa subra usikate tamaa Kwa jinx ulivoo😢
Unyama huu jamani , Serikali watuone uyu kijana anastahiri matibabu angalau apate viongo bandia na Sisi wanaichi tuchangie angalau upate kipato cha kuendeleza maisha yake , Mungu akupe Afya njema na malipo ni hapa hapa dunia
Pole sana ndugu, Kama Mungu aishivyo kila aliyekufanyia ukatili huu Mungu atawaadhibu kama sio kwao basi kizazi chao😭😭 Pole sana kwa familia inayokutegemea🙏 malipo ni hapa hapa duniani
Daah polee Sanaa kaka,, jamni pia me naona tusipende kugombana na kubishana na watu ,mtu unaweza ukagombana naye ukajuwa yameixha kumbe mwenzako ameweka rohonii 🙏
Subhanallah mwenyewe anajitafutatia rizki wameenda kumtia ulemavu wa kudumu hivi maumivu ya mtoto aliezoea kubebwa na baba leo anaona mazingira mapya pole kwa mzazi mwenzie na familia kwa ujumla 😭😭😭
Daaah Kiukwel Nimelia Sana Binadamu Tumekosa utu Unamtesa mtu bila kosa mtu Ametoka nyumban kwaajili ya kujitafutia rizki Mnamfanyia Ukatil kama huu dah Munguvhatowqacha mkaashi kwa amani uko mlipo Ipo siku mungu Atawahukumu haphap dunian
DAh,😭😭 ewe mola msaidie ndgu yetu we ndio ulie mpa mtihani 😢 huwo ndio ushakua wamilele, ila fanyie waps maisha yake pamoja na familia yake, maisha Yao kua meps dah 😢 nimeumia sana,
YESU 😭😭😭 kabla ujafa ujaumbika jamani unapo amka Asubui nakumaliza siku Yako vyema nijambo laku mshukuru MUNGU sana kwasababu maisha yetu ubadilika ndani ya Dakika zero tu😢Pole sana ndugu MUNGU yupo nawe
Subhannallah 😭😭😭ya allah tulindie baba zetu na kaka zetu ktk utaftaj wao watu wana roho za kinyama mtu hajakukosea unamtia ulemavu wa maisha inaumiza ila hapo uchunguz upite nahis kuna bodabod wenzake wamemfanyia mpango uwo
Jicho la Mungu huwa linaona kila mahala kwa kila nyakati iwe Giza iwe mwanga iwe usiku au mchana watajulikana tu hao !pole Sana kijana mdogo uliyekuwa unajipambania mwenyewe pasipo kuvunja Sheria!
Kuna watu wanaroho ngumu humu dunian jaman , dah maskin jaman kaka wa watu😢😢,Mungu hatowaacha salama kabisa watalipia mpaka mwisho wa uhai wao ,kila aliehusika na ukatili huu .Pole sana kaka ,yani hio sauti yako tu inaonesha unaumia kwa uliyopitia jaman
Dah!!!Allah Amfanyie Wepesi ndugu yetu In sha Allah ...Roho imeniuma Sana....pikipiki sh ngapi jamani?,watu wako 4 watagawana sh ngapi..kila mmoja..Allah Atuepushe na Roho yakishetani....Roho mbaya kabisa hii...Unamsababishia mwinzio matatizo makubwa .sio Yeye tu mpaka familia yake..Machozi yao yatajibu kwa Allah...Unaenda kuingizwa kwenye moto wa Jehanam Maisha yako yote Wewe ni wakuchomwa tuuu..Allah Awape subra ndugu zake na majirani wapate kumsaidia bila kuchoka..Binadam tubadilike jamani tuwe na hofu na Mungu...Atujui kesho yetu....Allah Atufanyie Wepesi na tuwe na Mwisho Mwema.in sha Allah.
Daah inauma sana ukimtazama anaonekana ni mtu mwenye mengi kifuan ya kuzungumza, Yaan mtu unadilik kumfanya unyama kama huu binadam mwenzako kisa Pikipik ( Bodaboda) daah inauma sana Ewe Mwenyeez Mungu umfanyie wepesi huyu kijana
Pole Sana ndugu kwa kweli huo ni ukatiri 😂😂😂 serikali tunaomba mumpe msaada was kudumu kutokana na hali aliyokua nayo ya kudumu daaa!!!!!!!?roho imeniuma kwa kweli😭😭😭
Coment za watu ndio zinaniliza zaidi😭😭😭 eeh mungu muumba mbingu na ardhi na viumbe vyote katika hii dunia ,,nakuomba mola wangu popote walipo hao waalifu wakamatwe na wanyongwe kabisaaa had kufa😢😢😭😭😭😭
Binadamu sisi tumekuwaje da una maisha magumi unapambana Ili ujikwamue bado hapo hapo anakuja mtu anakutendea ukatili Bila kujali mahangaiko yako. Eeeh Mungu we Ni Mungu wa haki haki yako isimame kwa huyu kaka
ndo maana huwa nasema wanaume maisha yetu yapo hatarini mda wote kutokana utafutaji wa ridhiki tofauti na wanawake unakuta ndg yetu alikuwa anafoce hadi saa 6 usiku ili familia ipate mkate wa kesho na hii ndo inapelekea wajane kuwa wengi duniani wanaume tunasitahili heshima sana pole sana mpambanaji mwenzetu MUNGU yupo nawewe hatokuacha.
Dah Mungu aendelee kukupa subra.. Huu ni mtihani mzito Sana. Kwakuwa Mungu hajawahi kushindwa ipo siku atawadhihirisha wauaji hao na watapata stahiki ya unyama walioufanya. 😢
Ila jamani daah haya maisha..tokea dumila ninayoisikia mimi kuwa ni mbali mpaka mkundi kwa bei iyoo kweli elfu tatu na badoo wamemfanyiaa hayo yotee, Mungu atakulipia kaka angu
Huyu ndugu yetu anahitaji msaada kwa kila hali,watanzania wengi tuko na shida ila zinazidiana,tunakuomba mama Samia kama unavotoa pesa kwa kila timu kwa kila goli tayari mwenzetu keshasababishiwa magoli manne msaidia kutokana uzito wa ulemavu wake,na wewe makonda sio misifa tu shida nzito na kubwa iyo apo msaidie huyu kijana na watanzania soote tuone ulichomsaidia,Allah amjaalie subra katika kipindi kigumu anachopitia in sha Allah.
Mim naungana nawewe bought yangu
Kweli kabixa ee mungu muguxe Mama xamia aguswa na hili
Mkuu wa wilaya anapaswa kulishika swala hili n kulipeleka ngazi ya Mkoa na taifa kwa ujumla, mfuko wa wizara inayohusika n jamii, watoto n walemavu iwajibike pia cz kodi zetu pia zimeelekezwa huko, huyu n kijana mtafutaji n mwenye familia, serikali inapaswa kuwajibika pakubwa
Mungu akusaidie na Mungu awaumbue hao watu wanyama
acha makasiriko tuma maombi sio kuanza na mifano kwani kutoa pesa kwa wachezaji ni tatizo kwani ashafanya mangapi huyo raisi ambayo ni makubwa pia mnakua ma mambo yenu kichwani mnatanguliza lawama wee omba msaada raisi au kiongozi mwengi asaidie Hilo mana kilatu linamgusa hata wewe unaweza toa msaada
Kuna dhambi Tunazifanya mpaka Shetani mwenyewe anashtuka.., This is not humanity.., Hongera sana mwanaume kwa kuumia ukiwa katika kazi Halali.., Maombi ya Watanzania wema yako Nyuma yako, mke wako na hata mwanao pia na ndugu waliokuwa wanakutegemea. #Ama_Tv
Pole sana
Pikipiki sh ngap , mpaka unamfanyia mtu unyama, siwangechukua to wakamuacha 😢binadamu anakuzulumu haki yakona anakuzulumu maisha yako
Sijawahi kujiskia vibaya kama leo aisee huyu ndugu yetu anahitaj msaada 😢 daaaah people are so cruel 💔
Kuna watu Wana roho mbaya sana kwenye hii Dunia 😢 Tayari wamemuweka kilema wamilele ndugu yet. Dah pole sana M/mungu akupe nguvu na subra ndugu yangu ❤️🙏🥺
Kweli Allah hakusimamie insha'Allah 🤲🤲🙏🙏😥😥
Watu wanyamaaaa 😢
@@bravoh1705🙏🙏🙏
Mtihani sana 😢
Pole sana
Hivi kweli hata kama ni ukatili ndio unamfanyia mwanadamu mwenzako kitu kibaya kma hiki mtu anahali ngumu ya maisha anajitafutia maisha leo unakwenda kumkatisha ndoto zake ubaya gni huu ila manung'u iko yke yatawatafuna popote mlipo wanadamu tunaroho mbya hata sheitwani anatuna wa ajabu. Hlfu kuna wale watetezi wa haki za binadamu ikitokea mtu aliefanya huu unyama amekamatwa atakiwe auwawe watoka na kumtetea. Ndio maana leo mauwaji na ukatili kma huu yataendelea kwasababu tunaacha kufuata hukmu za kidini
Nimejisikia vibaya 😭😭😭😭😭
Mungu awaumbue wote waliokufanyia ubaya ukiwa kwenye harakati zako za kusaka tonge.
Yaani..
Kabs yan😢😢😢mungu kwann wasipatikane uko walipo wafungwe
kweli
Tena ni kijana mdogo sana jmn ata mm hanifikii, kweli naamini nafsi ya kiume huwa inawahi sana kufa jmn daahh, yaa rab tulindie vijana wetu inshaallah 🙏
Yaaan 😢😢😢😢😢
Mtoto wa watu, mdogo sana.
Mungu umtie nguvu mtoto huyu
Kweli mdg sana iyi kazi ya boda boda nihatari san
Yani kijana mdogo sana wamemtia umasikini mkubwa hivi jamani huko waliko wao wanafanya zao alafu wanakula wanashiba💔😭
Dah nimeshindwa kuzuia machozi , Mungu wangu Dunia haina usawa kabisa kwann wasinge chukua pikipiki wakamuacha mtoto wa mwenzao dah Mungu nakuomba ukamkumbuke uyu kaka 😭😭😭
Tumsaidie huyu kijana jamani. Namba ya simu na benki iko hapo.😢
Amen
Allah azidi kukupa nguvu Brother, Hakika usikate tamaa, wala usimkifuru Mungu, Hakika Kila kitu anaona, Udhalimu uliofanyiwa Mungu ameuona, na Hakika Malipo ni hapahapa Duniani...🙏
Ama kweliiii John Jackson hakuna aijuae keshooo yake...Mungu mpe ustahimilivu 😢😢Ee Mungu waliofanya hili tukio kwa Mathias wasiwahi pata "AMANI"ktk maisha yao
Allahumma Amin, popote walipo wasijepata Aman ya dunia mpaka wanaingia kaburini
@@sadatamal3655AMYN 🤲 😢
Kweli kabisa.
Pole sana nduyetu mungu atakujalia tu
Pole ndugu Mungu Atakupanguvu ya kulea familia yako usikate tamaa, ila mtangazaji alitakiwa aweke namba ya simu angalau angepata kamsaada kurushiwa maana hapo huyo ameshakuwa mlemavu na ana familia tungemrushia hata kahela akapata ugali na uji wa mtoto mpaka watakapotokea wasamaria wema kumpa matibabu, na oia anahitaji bima hivo vidonda ni vikubwa lazima vishuguliliwe ipasavo asije akaoza tena
Eeh Mungu wetu kuna viumbe wako wakatili humu duniani wavunje kasi na uwaongoze maana misiba kama hii haitaisha wanaturudisha nyuma
Umeongea vzr ndugu yangu, namba ziwe zinawekwa Kwa michango.
@@ashrafgeorge9384Namba zipo 2 kwenye screen ya juu Artel chini NMB
Namba zipo 2 hapo kwenye screen ya juu Artel chini NMB
Ni kweli kwanini msiwe mnafanya mchango unaingia fb live unasema kama miguu bandia sh ngapi apatiwe na bajaji kama ataweza tupo wengi watanzania kwa atakaye guswa anatoa sadaka yake yaani kwa majanga kama hayo msiwe mnapost tu bila kupata muafaka😢
Maskini yamungu kaka pole mungu yupamoja nawe binadamu hatuna wema mungu tuhulumie😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😢😢😢😢😢😢😢 Jamani boda boda kazi za usiku msifanye maana usiku hakuna watu wema usiku japo hakuna anayejua makadirio yake mungu aliyempangia
Kweli kabisa
Kweli minashangaa mtu unafanya kazi usiku tena unapakia mtu wala humjui
Millard ukileta taarifa kama hizi uwe unaweka mikakakati sahihi ya kumsaidia mtu, Sisi tunakuamini Sasa nawewe tuwezeshe Kwa wingi wetu usiwe wa Bure, Haipendezi kumtizama mtu akihuzunisha hiv afu atumpi saport yoyote. Ni km unamdharirisha Sasa, Ebu tusaidie Kwa hilo bwana ukitizama comment nying watu wanauliza jinsi gn watamsaidia hawajui.
Sasa sijui kwanini hausomi comment zetu, ungelikuw unazipitia pengine Ungetoa mwongozo. Hata sijaona km amesema yupo wap pengine ni karibu tungefika kumuona kwa chochote kile, ndivyo wa tz tulivyo.
Mbona namba zipo kwenye screen ndugu
Namba zimewekwa ila tatzo letu tunawahi sana kuuliza maswali kabla ya kuangalia video mpk mwisho
Rais wetu mama yetu mwema Sana na mwenye uchungu na ss wanae. Nakuomba msaidie kijana huyu inasikitisha Sana.
Ni kweli kabisa nakuunga mkono mama yetu RAIS DR SAMIA mwone huyu kijana mdogo Mw Mungu atakulipa mema,nasi watanzania tumsaidie tu jamani
Kwa kweli mama Samia tuna aamini uta muona huyu kina inshallah tuna ona huruma zako
Utasikia Rais saidia jaman anamengi yakufanya yule hebu tushikane mikono raia wenyewe tusaidiane kila jambo linawezekana tukisema tumuachie mkuu ya inchi wengi watakosa misaada kwamtizamo wangu lakin
Daaah pole sana kijana mungu mwema atawakulipia. Ila ushauri wangu kwenye hizi changamoto ikishakukuta ni vyema ukiona ni Bora kuachia tu coz hivi vitu vinatafitwa jaman maana mtu mpk kufika hapo anakuwa amejiandaa😭 4:21
@@marryjoely8091 tatizo huyu mkaka walimkaba halafu wakamfunga mipira wakamsokomeza mchanga na matambara mdomon wakamtupa unazan angefanyaje kiufupi hawakukitaka chombo kwa hery bali walitaka kwa shari inauma sana wallab ridhiki zetu ukiona unarudi sallam hom nijambo lakumshukuru MUNGU WALLAH
Mtihani kwa kweli kwa nin jmn wamemfanyia ukatili huu jmn ni kher wangechukua tu pikipiki kuliko kumfanyia hivi 😭 MUNGU atalipa kwa hili Amiin🤲🤲🙏
Bora ukutane na simba kukiko binadamu mwenye asila kali,,,mungu tusaidie watoto wako 😢😢👏
Kwani wengine wana hasira ni wachawi tu
Yaani ukatiri wa ajabu sana watu4 pkpk1 ht mkiuza mnapata sh ngap kama cyo kujiongezea laana tu
@@maryswaibu2218jiwaze kweli😢
I'm 254 # kenya 🇰🇪 nakuombea broo uwe na subra na Allah Ako nawe atukuwa poa broo nauzunika sanaa kuhusu jambo hili yani duuuh pole kakangu akupe wepesi..🙏🙏🙏🙏
NIMETOKWA NAMACHOZI KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA 😢
Nikweli Waytonzanzibar
Inaliza sio utani😭
😭😭😭😭😭
Haki wafuatwe na radi kila wapitapo,walalapo,watembeapo radi ikawafuate popote pale ikawateketeze wote waliomfanyia unayama huu, na imani kwamba hawata kaa waendelee kuwa hai kamwe na kifo chao kitakuwa cha kinyama vilevile kwani ukiua kwa upanga na utakufa kwa upanga tu .Mungu nakuomba 🙏mpe nguvu kaka huyu pamoja na familia yake 😭😭
Amiin😢
Wangempokonya tu pikipik alafu wakamuacha dah inaliza sana😭 pole sana kijana lucas allah awakoseshe amani kila sekunde waliokufanyia unyama huo
Amina.
Jmnn😭😭Ila hii dunia kweli hujafa hujaumbika yaraaby tunusuru na vizazi vyetu Amin Amin Amin pole sanaaaa Mdogo wangu😭😭😭😭😭😭
Daah! Imeniuma sana.. Mungu atawahuku waliofanya hivyo
God will fight your battles 🤲🏾🙏🏾
He’s a just God!
Tumsaidie huyu kijana jamani. Namba ya simu na benki iko hapo.😢
Shemeji yetu mke wa majeruhi wetu Allah akujaalie subra kaza moyo mungu anakupima kwenye mitihani yake usimuache mumeo wala usimnyanyapae leseni watoto wenu na tunamuomba Allah akutie nguvu na ujasiri uishinde mitihani upambane bega kwa bega na mumeo bila kumuonesha unyonge wowote ndio mzidishie mapenzi kuliko apo mwanzo,in sha Allah mungu atasimama na nyie kwa kila hali
Vizuri Kwa sms yakutia moyo
Nimekosa cha kusema juu ya mwanadamu huyu.
Amiin🤲🤲🙏🙏
Polee sana
True
Ni vibaya kumuombea mtu mabaya lkn kwa wote waliofanya unyama Huu Mungu atawapiga pigo moja kubwa ambalo amtasahau na msipate amani ktk maisha yenu yote yaliobaki hapa duniani
Dahaaaa😢😢😢 kweli hii duniaa hinamambo sana huu ni unyama yani 😢😢😢😢 mbk mwili wangu umesisimuka pole sana mwanetu mungu azidi kukupa subra usikate tamaa Kwa jinx ulivoo😢
😢😢😢😢pole sana mdogo wangu mungu akupe subira allah atawalaani katika maisha yao yote
Nimedikitika kwa kweli walichomfanyia huyu kaka hao walomfanyia mungu awalaani na vizazi vyao 😭😭😭
Bora hata wangemkata miguu na mikono jamani 😢😢😢😢 hapo hata kujichamba hataweza dah 😔😔😔
Pole Sana jamaaa anguu Usha potezewa malengo yako 🙏🙏🙏 Huna jinsi kubariana na Hali
Mungu akaachilie laana kwenye familia zao..... Nyumb zao zikatawaliwe na njaa.... Wakatafute wakose 😭😭😭
Kabsa
Unyama huu jamani , Serikali watuone uyu kijana anastahiri matibabu angalau apate viongo bandia na Sisi wanaichi tuchangie angalau upate kipato cha kuendeleza maisha yake , Mungu akupe Afya njema na malipo ni hapa hapa dunia
kabisaa
Tumsaidie huyu kijana jamani. Namba ya simu na benki iko hapo.😢
Dah! Imenisikitisha sanaaa kwa huyu kijana..😢 kweli hujafa hujaumbika!😭
Mungu wangu kuwepo kwangu leo ni kwa neema tu😭😭😭kuna watu wanaenda kazin salama wanarud wagonjwa na wengine hawarudi kabisa jamani
Pole sana ndugu, Kama Mungu aishivyo kila aliyekufanyia ukatili huu Mungu atawaadhibu kama sio kwao basi kizazi chao😭😭 Pole sana kwa familia inayokutegemea🙏 malipo ni hapa hapa duniani
😢😢Yaani yote hii mtu anatafuta 3,000 tu ale jamani. Dah , Mungu akuinulie watu watakaokutunza. Mungu awe karibu nawe
Wote mlifanya uwovu huu Mungu anawaona
Tumsaidie huyu kijana jamani. Namba ya simu na benki iko hapo.😢
Haya ni ya kweli?. Binadamu binadamu hofu akuna?. Ee Mungu mkuu uturehem. Ukatili gani huu?. Pole sana ndugu yangu. Mungu akupe wepesi maishani. Amen.
Pole sana kaka yang mungu atawaukumu wote waliousika kukufanyia tukio ilo
Daah polee Sanaa kaka,, jamni pia me naona tusipende kugombana na kubishana na watu ,mtu unaweza ukagombana naye ukajuwa yameixha kumbe mwenzako ameweka rohonii 🙏
Subhanallah mwenyewe anajitafutatia rizki wameenda kumtia ulemavu wa kudumu hivi maumivu ya mtoto aliezoea kubebwa na baba leo anaona mazingira mapya pole kwa mzazi mwenzie na familia kwa ujumla 😭😭😭
Daaah Kiukwel Nimelia Sana Binadamu Tumekosa utu Unamtesa mtu bila kosa mtu Ametoka nyumban kwaajili ya kujitafutia rizki Mnamfanyia Ukatil kama huu dah Munguvhatowqacha mkaashi kwa amani uko mlipo Ipo siku mungu Atawahukumu haphap dunian
Hivi wazazi wake wakimuangalia wanaliaje jamani😢😢. ? Kama mimi tu machozi yanatoka tu,uwiiiii 😢
Huzuni jamani
DAh,😭😭 ewe mola msaidie ndgu yetu we ndio ulie mpa mtihani 😢 huwo ndio ushakua wamilele, ila fanyie waps maisha yake pamoja na familia yake, maisha Yao kua meps dah 😢 nimeumia sana,
Pole Lucas mungu ni mwema juu yako hakika utapata wa kukusaidia
mungu hamtupi mcha wake naamin mungu atawahukumu Kwa adhabu kubwa sana maana wamefanya unyama usio pimika
Ayo TV mngeweka namba yake mwenye nacho amtumie msaada maana huu ni mtihani alopata ndugu yetu 😭 Allah awafanyie wepesi 🤲🤲
ina maana hujaona hapo namba inaelea tu😊
Hujaangalia video had mwsho mbona no zpo
@@hancykinshaga5650 sijaona uwii narudi kuangali
YESU 😭😭😭 kabla ujafa ujaumbika jamani unapo amka Asubui nakumaliza siku Yako vyema nijambo laku mshukuru MUNGU sana kwasababu maisha yetu ubadilika ndani ya Dakika zero tu😢Pole sana ndugu MUNGU yupo nawe
ALLAh ndo hakim wakila jambo😭😭😭😭
Subhannallah 😭😭😭ya allah tulindie baba zetu na kaka zetu ktk utaftaj wao watu wana roho za kinyama mtu hajakukosea unamtia ulemavu wa maisha inaumiza ila hapo uchunguz upite nahis kuna bodabod wenzake wamemfanyia mpango uwo
DHAA HII TANZANIA WATU WAMEKUA NAMIOYO CHAFUU SANA😢😢
Pole sana kaka mungu yupo alie fanya ivo malipo nihapahapa dunian 😭😭
Mama samia tunakuomba msaidie huyu kaka
Najiuliza maswali mengi sipati majibu kuanzia leo sitaki ukaribu na mtu yoyote wanadamu wabaya Sana Tena Sana
@elvisoscar9912 duniani hapa,wakuwaamini walau kidogo n8 WAZAZI WAKO TU😢😢😢😢
Wanadam awafaii tenaa wasikuzoee
Jicho la Mungu huwa linaona kila mahala kwa kila nyakati iwe Giza iwe mwanga iwe usiku au mchana watajulikana tu hao !pole Sana kijana mdogo uliyekuwa unajipambania mwenyewe pasipo kuvunja Sheria!
Wanadamu siku hizi moyo zao ni roho za unyama 😢😢😢😢 inauma Kweli
Pole saana ndugu yetu, Mtanzania mwenzangu mungu akusimamie na akutie nguvu kwa hili na aliekufanyia hivi mungu akafanye jambo juu yao
Kwenye hii dunia bora ukutane na simba kuliko binadamu mwenzako😢😢😢😢😢😢😢😢😢imeniuma mno mno jamani😢😢😢
Kuna watu wanaroho ngumu humu dunian jaman , dah maskin jaman kaka wa watu😢😢,Mungu hatowaacha salama kabisa watalipia mpaka mwisho wa uhai wao ,kila aliehusika na ukatili huu .Pole sana kaka ,yani hio sauti yako tu inaonesha unaumia kwa uliyopitia jaman
Dunia inaishia jmn 😢 haya matukio yote kwa tuliosoma madrasa tunaelewa 😭😭soo sad 😔🥹
Jamaniii!,sisi binadamu tupoje?.Inaumiza sana😢😢😢😢😢.Pole sana Lucas,Mungu akutie nguvu kwa haya unayoyapitia,aiseeeee!!!!!!.
Dah watu ni wanyama sana tena zaidi ya Simba mwenye njaa kali😭😭
Poli bro wangu mungu yuko na ww kweli yauma
Allah akutie nguvu😢😢
Pole sana kakaangu waliofanya kitendo hko mungu atakuonyesha nawatachuliwa haya Kali Tena mm naona wanyongwe hazarani peupe
Mtihani yarabi mtu munamkata mikono na miguu mutaenda mjibu mungu siku ya kiama kwa kudhulumu hii hatari mungu atakusaidia ishaalah😢
Dah!!!Allah Amfanyie Wepesi ndugu yetu In sha Allah ...Roho imeniuma Sana....pikipiki sh ngapi jamani?,watu wako 4 watagawana sh ngapi..kila mmoja..Allah Atuepushe na Roho yakishetani....Roho mbaya kabisa hii...Unamsababishia mwinzio matatizo makubwa .sio Yeye tu mpaka familia yake..Machozi yao yatajibu kwa Allah...Unaenda kuingizwa kwenye moto wa Jehanam Maisha yako yote Wewe ni wakuchomwa tuuu..Allah Awape subra ndugu zake na majirani wapate kumsaidia bila kuchoka..Binadam tubadilike jamani tuwe na hofu na Mungu...Atujui kesho yetu....Allah Atufanyie Wepesi na tuwe na Mwisho Mwema.in sha Allah.
Kwa nnavowajua polisi wetu wausika watakamatw tu!😢
Pole saana ndugu yangu waliokufanyia hivyo mungu awaangamize kwa moto kbsa
Kwann watu wa hii dunia ni wakatili san kuliko wanyama jaman😢
Myama sikatili hatasikumoja
@@georgeigogo9259kweli ndugu yangu mnyama si katili hivi
Daah inauma sana ukimtazama anaonekana ni mtu mwenye mengi kifuan ya kuzungumza, Yaan mtu unadilik kumfanya unyama kama huu binadam mwenzako kisa Pikipik ( Bodaboda) daah inauma sana Ewe Mwenyeez Mungu umfanyie wepesi huyu kijana
Huyu mtu aliefanya hicho kitendo cha uwaji na ukatili huu alaniwe kbs 😭😭amemsababishia ulemavu wa kudumu.mungu wetu Halali malipo hapahapa🙏🙏
Pole sana kaka ase ni huzuni kwa kweli
Adui zako waliokufanyia ubaya huu, Walaaniwe maisha yao yote asiwepo wa kuwapa msaada pande zote nne za dunia😢
Dah hii imenikumbusha 2015 kaka yangu nae alitekwa wakachkua pikpk wakampa madawa ya kulevya kwa bahati wasamalia walimuokoa
Dah😢😢😢
MUNGU amsaidie kuenye maisha yake🙏🏾😢😢
Pole Sana ndugu kwa kweli huo ni ukatiri 😂😂😂 serikali tunaomba mumpe msaada was kudumu kutokana na hali aliyokua nayo ya kudumu daaa!!!!!!!?roho imeniuma kwa kweli😭😭😭
Deus abençoe esse jovem
Coment za watu ndio zinaniliza zaidi😭😭😭 eeh mungu muumba mbingu na ardhi na viumbe vyote katika hii dunia ,,nakuomba mola wangu popote walipo hao waalifu wakamatwe na wanyongwe kabisaaa had kufa😢😢😭😭😭😭
So sad watu wamekuwa wanyama sana pole mdogo wangu 🤲🤲🤲😭😭😭
Yanii inaumiza sana binadamu tunaroho zakinyama mungu atapigananao wote walohusika kwenye uwompango Aminaa yanii binadamu wasasa nikuanao makinii sana
Dunia sio sehemu salama tena 😢😢😢
Pole Ndugu.Mara nyingi hizi vitendo kama hivi vinafanyika na Boda Boda wanao fanya Mapenzi na Bibi za Watu.
Pole sana mdogo wangu mungu atawalani ote walio kufanyia hivo watakuja kufa kifo kibaya sana
Mungu atajibu hili na akupe confortability ya maisha yako
Masikinii!!!,pole mwanangu,Mungu akuponye BB yangu,
Pole sana bro Cha kushangaza serikali yetu inawapa pesa wachezaji mpira tu simba na yanga Hawa ndio wanaohitaji kusaidiwa
Binadamu sisi tumekuwaje da una maisha magumi unapambana Ili ujikwamue bado hapo hapo anakuja mtu anakutendea ukatili Bila kujali mahangaiko yako. Eeeh Mungu we Ni Mungu wa haki haki yako isimame kwa huyu kaka
Jamani pole kikana wangu mungu atakuona mungu akuponye inauma sana mungu akufanyie njia pasipo njia utaishi tu
ndo maana huwa nasema wanaume maisha yetu yapo hatarini mda wote kutokana utafutaji wa ridhiki tofauti na wanawake unakuta ndg yetu alikuwa anafoce hadi saa 6 usiku ili familia ipate mkate wa kesho na hii ndo inapelekea wajane kuwa wengi duniani wanaume tunasitahili heshima sana pole sana mpambanaji mwenzetu MUNGU yupo nawewe hatokuacha.
Dah Mungu aendelee kukupa subra.. Huu ni mtihani mzito Sana. Kwakuwa Mungu hajawahi kushindwa ipo siku atawadhihirisha wauaji hao na watapata stahiki ya unyama walioufanya. 😢
Roho imeniuma sana kabla ata sijaanza kuangalia.....si wangechukua tu iyo piki piki wakamuacha 😢😢😢😢
😢pole sana ndugu Allah atatia wepesi na malipo ni hapa hapa duniani
Pole sana mwangu inauma sana watalipwa maana mungu wetu ni wakisasi atalipa mwachie mungu ndie mwamzi wakweli
Subhaana Allaah
Pole sana kaka mung atakufanyia wepesi mung akikupa jaribu anakupa namlango wakutokea mm namin mungu iposku adui zako watalipa kilajambo walokufanya
Tuzidi kumuombea kwa mwenyez mungu maana Tena kaka anabadi asari kwa moyo mmoja maa alikua kafalik
Pole sana ndugu yetu Lukas mungu atakusaidia🤲
Dah Aisee pole sana kaka Mwenyezi Mungu akutie Nguvu
Ila jamani daah haya maisha..tokea dumila ninayoisikia mimi kuwa ni mbali mpaka mkundi kwa bei iyoo kweli elfu tatu na badoo wamemfanyiaa hayo yotee, Mungu atakulipia kaka angu
Inaumiza sana 😢😢😢,Mungu akufanyie njia Lucas japo ni ngumu
Dah jaman wanadam tumekua na roho za kinyama sana,
M/Mungu atakupa njia mbadala ya kuishi ,
Pole sana mdogo wangu, na familia kwa ujumla.