BODABODA ATEKWA, AKATWA MIGUU NA MIKONO “VIUNGO VILIOZA, NILIFUNGWA KAMBA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 1,6K

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 Před 9 měsíci +266

    Huyu ndugu yetu anahitaji msaada kwa kila hali,watanzania wengi tuko na shida ila zinazidiana,tunakuomba mama Samia kama unavotoa pesa kwa kila timu kwa kila goli tayari mwenzetu keshasababishiwa magoli manne msaidia kutokana uzito wa ulemavu wake,na wewe makonda sio misifa tu shida nzito na kubwa iyo apo msaidie huyu kijana na watanzania soote tuone ulichomsaidia,Allah amjaalie subra katika kipindi kigumu anachopitia in sha Allah.

    • @peterdeus6093
      @peterdeus6093 Před 9 měsíci +9

      Mim naungana nawewe bought yangu

    • @gideonpaulo2238
      @gideonpaulo2238 Před 9 měsíci +4

      Kweli kabixa ee mungu muguxe Mama xamia aguswa na hili

    • @anthonybeti-sh6cb
      @anthonybeti-sh6cb Před 9 měsíci +5

      Mkuu wa wilaya anapaswa kulishika swala hili n kulipeleka ngazi ya Mkoa na taifa kwa ujumla, mfuko wa wizara inayohusika n jamii, watoto n walemavu iwajibike pia cz kodi zetu pia zimeelekezwa huko, huyu n kijana mtafutaji n mwenye familia, serikali inapaswa kuwajibika pakubwa

    • @reubenpaulomabula6098
      @reubenpaulomabula6098 Před 9 měsíci +7

      Mungu akusaidie na Mungu awaumbue hao watu wanyama

    • @hassmw893
      @hassmw893 Před 9 měsíci +5

      acha makasiriko tuma maombi sio kuanza na mifano kwani kutoa pesa kwa wachezaji ni tatizo kwani ashafanya mangapi huyo raisi ambayo ni makubwa pia mnakua ma mambo yenu kichwani mnatanguliza lawama wee omba msaada raisi au kiongozi mwengi asaidie Hilo mana kilatu linamgusa hata wewe unaweza toa msaada

  • @afamatv4848
    @afamatv4848 Před 9 měsíci +21

    Kuna dhambi Tunazifanya mpaka Shetani mwenyewe anashtuka.., This is not humanity.., Hongera sana mwanaume kwa kuumia ukiwa katika kazi Halali.., Maombi ya Watanzania wema yako Nyuma yako, mke wako na hata mwanao pia na ndugu waliokuwa wanakutegemea. #Ama_Tv

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před 9 měsíci +31

    Pikipiki sh ngap , mpaka unamfanyia mtu unyama, siwangechukua to wakamuacha 😢binadamu anakuzulumu haki yakona anakuzulumu maisha yako

  • @pat4hunnid
    @pat4hunnid Před 9 měsíci +30

    Sijawahi kujiskia vibaya kama leo aisee huyu ndugu yetu anahitaj msaada 😢 daaaah people are so cruel 💔

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Před 9 měsíci +66

    Kuna watu Wana roho mbaya sana kwenye hii Dunia 😢 Tayari wamemuweka kilema wamilele ndugu yet. Dah pole sana M/mungu akupe nguvu na subra ndugu yangu ❤️🙏🥺

  • @AbumishAbu-cz9su
    @AbumishAbu-cz9su Před 9 měsíci +10

    Hivi kweli hata kama ni ukatili ndio unamfanyia mwanadamu mwenzako kitu kibaya kma hiki mtu anahali ngumu ya maisha anajitafutia maisha leo unakwenda kumkatisha ndoto zake ubaya gni huu ila manung'u iko yke yatawatafuna popote mlipo wanadamu tunaroho mbya hata sheitwani anatuna wa ajabu. Hlfu kuna wale watetezi wa haki za binadamu ikitokea mtu aliefanya huu unyama amekamatwa atakiwe auwawe watoka na kumtetea. Ndio maana leo mauwaji na ukatili kma huu yataendelea kwasababu tunaacha kufuata hukmu za kidini

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před 9 měsíci +58

    Nimejisikia vibaya 😭😭😭😭😭
    Mungu awaumbue wote waliokufanyia ubaya ukiwa kwenye harakati zako za kusaka tonge.

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 Před 9 měsíci +1

      Yaani..

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Před 9 měsíci +2

      Kabs yan😢😢😢mungu kwann wasipatikane uko walipo wafungwe

    • @abdimlundi8305
      @abdimlundi8305 Před 9 měsíci +2

      kweli

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft Před 9 měsíci +3

      Tena ni kijana mdogo sana jmn ata mm hanifikii, kweli naamini nafsi ya kiume huwa inawahi sana kufa jmn daahh, yaa rab tulindie vijana wetu inshaallah 🙏

    • @zainabushabani9248
      @zainabushabani9248 Před 9 měsíci +1

      Yaaan 😢😢😢😢😢

  • @dork8749
    @dork8749 Před 9 měsíci +27

    Mtoto wa watu, mdogo sana.
    Mungu umtie nguvu mtoto huyu

    • @DidaSleyman
      @DidaSleyman Před 6 měsíci

      Kweli mdg sana iyi kazi ya boda boda nihatari san

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail Před 4 měsíci

      Yani kijana mdogo sana wamemtia umasikini mkubwa hivi jamani huko waliko wao wanafanya zao alafu wanakula wanashiba💔😭

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 9 měsíci +39

    Dah nimeshindwa kuzuia machozi , Mungu wangu Dunia haina usawa kabisa kwann wasinge chukua pikipiki wakamuacha mtoto wa mwenzao dah Mungu nakuomba ukamkumbuke uyu kaka 😭😭😭

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 9 měsíci +6

    Allah azidi kukupa nguvu Brother, Hakika usikate tamaa, wala usimkifuru Mungu, Hakika Kila kitu anaona, Udhalimu uliofanyiwa Mungu ameuona, na Hakika Malipo ni hapahapa Duniani...🙏

  • @Rogathe-Rogathe
    @Rogathe-Rogathe Před 9 měsíci +28

    Ama kweliiii John Jackson hakuna aijuae keshooo yake...Mungu mpe ustahimilivu 😢😢Ee Mungu waliofanya hili tukio kwa Mathias wasiwahi pata "AMANI"ktk maisha yao

  • @ladooladoo1285
    @ladooladoo1285 Před 9 měsíci +23

    Pole ndugu Mungu Atakupanguvu ya kulea familia yako usikate tamaa, ila mtangazaji alitakiwa aweke namba ya simu angalau angepata kamsaada kurushiwa maana hapo huyo ameshakuwa mlemavu na ana familia tungemrushia hata kahela akapata ugali na uji wa mtoto mpaka watakapotokea wasamaria wema kumpa matibabu, na oia anahitaji bima hivo vidonda ni vikubwa lazima vishuguliliwe ipasavo asije akaoza tena
    Eeh Mungu wetu kuna viumbe wako wakatili humu duniani wavunje kasi na uwaongoze maana misiba kama hii haitaisha wanaturudisha nyuma

    • @ashrafgeorge9384
      @ashrafgeorge9384 Před 9 měsíci

      Umeongea vzr ndugu yangu, namba ziwe zinawekwa Kwa michango.

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před 9 měsíci

      ​@@ashrafgeorge9384Namba zipo 2 kwenye screen ya juu Artel chini NMB

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před 9 měsíci +2

      Namba zipo 2 hapo kwenye screen ya juu Artel chini NMB

    • @user-nv6ii9sd5h
      @user-nv6ii9sd5h Před 9 měsíci

      Ni kweli kwanini msiwe mnafanya mchango unaingia fb live unasema kama miguu bandia sh ngapi apatiwe na bajaji kama ataweza tupo wengi watanzania kwa atakaye guswa anatoa sadaka yake yaani kwa majanga kama hayo msiwe mnapost tu bila kupata muafaka😢

    • @Happy-jc2ms
      @Happy-jc2ms Před 9 měsíci

      Maskini yamungu kaka pole mungu yupamoja nawe binadamu hatuna wema mungu tuhulumie😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @HUKUUSA2020
    @HUKUUSA2020 Před 9 měsíci +30

    😢😢😢😢😢😢😢 Jamani boda boda kazi za usiku msifanye maana usiku hakuna watu wema usiku japo hakuna anayejua makadirio yake mungu aliyempangia

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi Před 9 měsíci

      Kweli kabisa

    • @DidaSleyman
      @DidaSleyman Před 6 měsíci

      Kweli minashangaa mtu unafanya kazi usiku tena unapakia mtu wala humjui

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 Před 9 měsíci +20

    Millard ukileta taarifa kama hizi uwe unaweka mikakakati sahihi ya kumsaidia mtu, Sisi tunakuamini Sasa nawewe tuwezeshe Kwa wingi wetu usiwe wa Bure, Haipendezi kumtizama mtu akihuzunisha hiv afu atumpi saport yoyote. Ni km unamdharirisha Sasa, Ebu tusaidie Kwa hilo bwana ukitizama comment nying watu wanauliza jinsi gn watamsaidia hawajui.
    Sasa sijui kwanini hausomi comment zetu, ungelikuw unazipitia pengine Ungetoa mwongozo. Hata sijaona km amesema yupo wap pengine ni karibu tungefika kumuona kwa chochote kile, ndivyo wa tz tulivyo.

    • @magdalenakakape2839
      @magdalenakakape2839 Před 9 měsíci +1

      Mbona namba zipo kwenye screen ndugu

    • @hemediyassini8696
      @hemediyassini8696 Před 9 měsíci +1

      Namba zimewekwa ila tatzo letu tunawahi sana kuuliza maswali kabla ya kuangalia video mpk mwisho

  • @WillyKanjanja-se6oq
    @WillyKanjanja-se6oq Před 9 měsíci +68

    Rais wetu mama yetu mwema Sana na mwenye uchungu na ss wanae. Nakuomba msaidie kijana huyu inasikitisha Sana.

    • @user-gn9rh7sw7r
      @user-gn9rh7sw7r Před 9 měsíci +4

      Ni kweli kabisa nakuunga mkono mama yetu RAIS DR SAMIA mwone huyu kijana mdogo Mw Mungu atakulipa mema,nasi watanzania tumsaidie tu jamani

    • @user-dn5mq3fw5s
      @user-dn5mq3fw5s Před 9 měsíci +1

      Kwa kweli mama Samia tuna aamini uta muona huyu kina inshallah tuna ona huruma zako

    • @FatumaMamlo-st8pj
      @FatumaMamlo-st8pj Před 9 měsíci +4

      Utasikia Rais saidia jaman anamengi yakufanya yule hebu tushikane mikono raia wenyewe tusaidiane kila jambo linawezekana tukisema tumuachie mkuu ya inchi wengi watakosa misaada kwamtizamo wangu lakin

    • @marryjoely8091
      @marryjoely8091 Před 9 měsíci

      Daaah pole sana kijana mungu mwema atawakulipia. Ila ushauri wangu kwenye hizi changamoto ikishakukuta ni vyema ukiona ni Bora kuachia tu coz hivi vitu vinatafitwa jaman maana mtu mpk kufika hapo anakuwa amejiandaa😭 4:21

    • @FatumaMamlo-st8pj
      @FatumaMamlo-st8pj Před 9 měsíci

      @@marryjoely8091 tatizo huyu mkaka walimkaba halafu wakamfunga mipira wakamsokomeza mchanga na matambara mdomon wakamtupa unazan angefanyaje kiufupi hawakukitaka chombo kwa hery bali walitaka kwa shari inauma sana wallab ridhiki zetu ukiona unarudi sallam hom nijambo lakumshukuru MUNGU WALLAH

  • @user-hm2wv6fe3k
    @user-hm2wv6fe3k Před 9 měsíci +5

    Mtihani kwa kweli kwa nin jmn wamemfanyia ukatili huu jmn ni kher wangechukua tu pikipiki kuliko kumfanyia hivi 😭 MUNGU atalipa kwa hili Amiin🤲🤲🙏

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 Před 9 měsíci +26

    Bora ukutane na simba kukiko binadamu mwenye asila kali,,,mungu tusaidie watoto wako 😢😢👏

    • @AsmaAmeir
      @AsmaAmeir Před 9 měsíci +1

      Kwani wengine wana hasira ni wachawi tu

    • @maryswaibu2218
      @maryswaibu2218 Před 9 měsíci

      Yaani ukatiri wa ajabu sana watu4 pkpk1 ht mkiuza mnapata sh ngap kama cyo kujiongezea laana tu

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e Před 9 měsíci

      ​@@maryswaibu2218jiwaze kweli😢

  • @yusufkuto2020
    @yusufkuto2020 Před 9 měsíci +2

    I'm 254 # kenya 🇰🇪 nakuombea broo uwe na subra na Allah Ako nawe atukuwa poa broo nauzunika sanaa kuhusu jambo hili yani duuuh pole kakangu akupe wepesi..🙏🙏🙏🙏

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Před 9 měsíci +34

    NIMETOKWA NAMACHOZI KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA 😢

  • @Maichampiongirl
    @Maichampiongirl Před 9 měsíci +6

    Haki wafuatwe na radi kila wapitapo,walalapo,watembeapo radi ikawafuate popote pale ikawateketeze wote waliomfanyia unayama huu, na imani kwamba hawata kaa waendelee kuwa hai kamwe na kifo chao kitakuwa cha kinyama vilevile kwani ukiua kwa upanga na utakufa kwa upanga tu .Mungu nakuomba 🙏mpe nguvu kaka huyu pamoja na familia yake 😭😭

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 9 měsíci +15

    Wangempokonya tu pikipik alafu wakamuacha dah inaliza sana😭 pole sana kijana lucas allah awakoseshe amani kila sekunde waliokufanyia unyama huo

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Před 9 měsíci +4

    Jmnn😭😭Ila hii dunia kweli hujafa hujaumbika yaraaby tunusuru na vizazi vyetu Amin Amin Amin pole sanaaaa Mdogo wangu😭😭😭😭😭😭

  • @davidkamando9630
    @davidkamando9630 Před 9 měsíci +17

    Daah! Imeniuma sana.. Mungu atawahuku waliofanya hivyo

  • @justdoit8256
    @justdoit8256 Před 9 měsíci +23

    God will fight your battles 🤲🏾🙏🏾
    He’s a just God!

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Před 9 měsíci +1

      Tumsaidie huyu kijana jamani. Namba ya simu na benki iko hapo.😢

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 Před 9 měsíci +51

    Shemeji yetu mke wa majeruhi wetu Allah akujaalie subra kaza moyo mungu anakupima kwenye mitihani yake usimuache mumeo wala usimnyanyapae leseni watoto wenu na tunamuomba Allah akutie nguvu na ujasiri uishinde mitihani upambane bega kwa bega na mumeo bila kumuonesha unyonge wowote ndio mzidishie mapenzi kuliko apo mwanzo,in sha Allah mungu atasimama na nyie kwa kila hali

  • @feymamwemzundu725
    @feymamwemzundu725 Před 9 měsíci +3

    Ni vibaya kumuombea mtu mabaya lkn kwa wote waliofanya unyama Huu Mungu atawapiga pigo moja kubwa ambalo amtasahau na msipate amani ktk maisha yenu yote yaliobaki hapa duniani

  • @SuddyAlly
    @SuddyAlly Před 9 měsíci +10

    Dahaaaa😢😢😢 kweli hii duniaa hinamambo sana huu ni unyama yani 😢😢😢😢 mbk mwili wangu umesisimuka pole sana mwanetu mungu azidi kukupa subra usikate tamaa Kwa jinx ulivoo😢

  • @JoharOman-md7tk
    @JoharOman-md7tk Před 9 měsíci +5

    😢😢😢😢pole sana mdogo wangu mungu akupe subira allah atawalaani katika maisha yao yote

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Před 9 měsíci

      Nimedikitika kwa kweli walichomfanyia huyu kaka hao walomfanyia mungu awalaani na vizazi vyao 😭😭😭

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Před 9 měsíci

      Bora hata wangemkata miguu na mikono jamani 😢😢😢😢 hapo hata kujichamba hataweza dah 😔😔😔

  • @user-el4gs7fp4x
    @user-el4gs7fp4x Před 9 měsíci +6

    Pole Sana jamaaa anguu Usha potezewa malengo yako 🙏🙏🙏 Huna jinsi kubariana na Hali

  • @nusrahatibu9152
    @nusrahatibu9152 Před 9 měsíci +2

    Mungu akaachilie laana kwenye familia zao..... Nyumb zao zikatawaliwe na njaa.... Wakatafute wakose 😭😭😭

  • @senator2310
    @senator2310 Před 9 měsíci +9

    Unyama huu jamani , Serikali watuone uyu kijana anastahiri matibabu angalau apate viongo bandia na Sisi wanaichi tuchangie angalau upate kipato cha kuendeleza maisha yake , Mungu akupe Afya njema na malipo ni hapa hapa dunia

  • @user-xe4ym2ho4w
    @user-xe4ym2ho4w Před 9 měsíci +4

    Dah! Imenisikitisha sanaaa kwa huyu kijana..😢 kweli hujafa hujaumbika!😭

  • @doramoshi6340
    @doramoshi6340 Před 9 měsíci +9

    Mungu wangu kuwepo kwangu leo ni kwa neema tu😭😭😭kuna watu wanaenda kazin salama wanarud wagonjwa na wengine hawarudi kabisa jamani

  • @user-od6le1jh6t
    @user-od6le1jh6t Před 4 měsíci

    Pole sana ndugu, Kama Mungu aishivyo kila aliyekufanyia ukatili huu Mungu atawaadhibu kama sio kwao basi kizazi chao😭😭 Pole sana kwa familia inayokutegemea🙏 malipo ni hapa hapa duniani

  • @deedee3614
    @deedee3614 Před 9 měsíci +35

    😢😢Yaani yote hii mtu anatafuta 3,000 tu ale jamani. Dah , Mungu akuinulie watu watakaokutunza. Mungu awe karibu nawe

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Před 9 měsíci +3

      Wote mlifanya uwovu huu Mungu anawaona

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Před 9 měsíci

      Tumsaidie huyu kijana jamani. Namba ya simu na benki iko hapo.😢

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Haya ni ya kweli?. Binadamu binadamu hofu akuna?. Ee Mungu mkuu uturehem. Ukatili gani huu?. Pole sana ndugu yangu. Mungu akupe wepesi maishani. Amen.

  • @user-hy9wq6ei1b
    @user-hy9wq6ei1b Před 9 měsíci +13

    Pole sana kaka yang mungu atawaukumu wote waliousika kukufanyia tukio ilo

  • @witnessbenedict1309
    @witnessbenedict1309 Před 9 měsíci

    Daah polee Sanaa kaka,, jamni pia me naona tusipende kugombana na kubishana na watu ,mtu unaweza ukagombana naye ukajuwa yameixha kumbe mwenzako ameweka rohonii 🙏

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 9 měsíci +4

    Subhanallah mwenyewe anajitafutatia rizki wameenda kumtia ulemavu wa kudumu hivi maumivu ya mtoto aliezoea kubebwa na baba leo anaona mazingira mapya pole kwa mzazi mwenzie na familia kwa ujumla 😭😭😭

  • @user-mz9rd4vh8e
    @user-mz9rd4vh8e Před 9 měsíci

    Daaah Kiukwel Nimelia Sana Binadamu Tumekosa utu Unamtesa mtu bila kosa mtu Ametoka nyumban kwaajili ya kujitafutia rizki Mnamfanyia Ukatil kama huu dah Munguvhatowqacha mkaashi kwa amani uko mlipo Ipo siku mungu Atawahukumu haphap dunian

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Před 9 měsíci +8

    Hivi wazazi wake wakimuangalia wanaliaje jamani😢😢. ? Kama mimi tu machozi yanatoka tu,uwiiiii 😢

  • @user-yr6ef2nj7p
    @user-yr6ef2nj7p Před 9 měsíci +1

    DAh,😭😭 ewe mola msaidie ndgu yetu we ndio ulie mpa mtihani 😢 huwo ndio ushakua wamilele, ila fanyie waps maisha yake pamoja na familia yake, maisha Yao kua meps dah 😢 nimeumia sana,

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 9 měsíci +4

    Pole Lucas mungu ni mwema juu yako hakika utapata wa kukusaidia

  • @faustinasamwel5030
    @faustinasamwel5030 Před 9 měsíci +1

    mungu hamtupi mcha wake naamin mungu atawahukumu Kwa adhabu kubwa sana maana wamefanya unyama usio pimika

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před 9 měsíci +6

    Ayo TV mngeweka namba yake mwenye nacho amtumie msaada maana huu ni mtihani alopata ndugu yetu 😭 Allah awafanyie wepesi 🤲🤲

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 Před 9 měsíci +1

    YESU 😭😭😭 kabla ujafa ujaumbika jamani unapo amka Asubui nakumaliza siku Yako vyema nijambo laku mshukuru MUNGU sana kwasababu maisha yetu ubadilika ndani ya Dakika zero tu😢Pole sana ndugu MUNGU yupo nawe

  • @ishaanizkeah8814
    @ishaanizkeah8814 Před 9 měsíci +21

    ALLAh ndo hakim wakila jambo😭😭😭😭

  • @user-rj1gc5xk8k
    @user-rj1gc5xk8k Před 9 měsíci

    Subhannallah 😭😭😭ya allah tulindie baba zetu na kaka zetu ktk utaftaj wao watu wana roho za kinyama mtu hajakukosea unamtia ulemavu wa maisha inaumiza ila hapo uchunguz upite nahis kuna bodabod wenzake wamemfanyia mpango uwo

  • @Officialtirosi
    @Officialtirosi Před 9 měsíci +9

    DHAA HII TANZANIA WATU WAMEKUA NAMIOYO CHAFUU SANA😢😢

  • @user-pz9er6xt3z
    @user-pz9er6xt3z Před 9 měsíci +2

    Pole sana kaka mungu yupo alie fanya ivo malipo nihapahapa dunian 😭😭

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 9 měsíci +6

    Mama samia tunakuomba msaidie huyu kaka

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před 9 měsíci +5

    Najiuliza maswali mengi sipati majibu kuanzia leo sitaki ukaribu na mtu yoyote wanadamu wabaya Sana Tena Sana

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 9 měsíci +1

      @elvisoscar9912 duniani hapa,wakuwaamini walau kidogo n8 WAZAZI WAKO TU😢😢😢😢

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 Před 9 měsíci

      Wanadam awafaii tenaa wasikuzoee

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 Před 9 měsíci

    Jicho la Mungu huwa linaona kila mahala kwa kila nyakati iwe Giza iwe mwanga iwe usiku au mchana watajulikana tu hao !pole Sana kijana mdogo uliyekuwa unajipambania mwenyewe pasipo kuvunja Sheria!

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 Před 9 měsíci +6

    Wanadamu siku hizi moyo zao ni roho za unyama 😢😢😢😢 inauma Kweli

  • @albanbalayingwa4425
    @albanbalayingwa4425 Před 9 měsíci +1

    Pole saana ndugu yetu, Mtanzania mwenzangu mungu akusimamie na akutie nguvu kwa hili na aliekufanyia hivi mungu akafanye jambo juu yao

  • @christinaernesto4636
    @christinaernesto4636 Před 9 měsíci +9

    Kwenye hii dunia bora ukutane na simba kuliko binadamu mwenzako😢😢😢😢😢😢😢😢😢imeniuma mno mno jamani😢😢😢

  • @aishamgambo6422
    @aishamgambo6422 Před 9 měsíci

    Kuna watu wanaroho ngumu humu dunian jaman , dah maskin jaman kaka wa watu😢😢,Mungu hatowaacha salama kabisa watalipia mpaka mwisho wa uhai wao ,kila aliehusika na ukatili huu .Pole sana kaka ,yani hio sauti yako tu inaonesha unaumia kwa uliyopitia jaman

  • @hamidajabu3324
    @hamidajabu3324 Před 9 měsíci +3

    Dunia inaishia jmn 😢 haya matukio yote kwa tuliosoma madrasa tunaelewa 😭😭soo sad 😔🥹

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 Před 9 měsíci

    Jamaniii!,sisi binadamu tupoje?.Inaumiza sana😢😢😢😢😢.Pole sana Lucas,Mungu akutie nguvu kwa haya unayoyapitia,aiseeeee!!!!!!.

  • @sottithomas9443
    @sottithomas9443 Před 9 měsíci +3

    Dah watu ni wanyama sana tena zaidi ya Simba mwenye njaa kali😭😭

  • @Hot_rod-lies
    @Hot_rod-lies Před 9 měsíci +1

    Poli bro wangu mungu yuko na ww kweli yauma

  • @binti_cheche
    @binti_cheche Před 9 měsíci +5

    Allah akutie nguvu😢😢

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc Před 9 měsíci

    Pole sana kakaangu waliofanya kitendo hko mungu atakuonyesha nawatachuliwa haya Kali Tena mm naona wanyongwe hazarani peupe

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 9 měsíci +6

    Mtihani yarabi mtu munamkata mikono na miguu mutaenda mjibu mungu siku ya kiama kwa kudhulumu hii hatari mungu atakusaidia ishaalah😢

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 9 měsíci

    Dah!!!Allah Amfanyie Wepesi ndugu yetu In sha Allah ...Roho imeniuma Sana....pikipiki sh ngapi jamani?,watu wako 4 watagawana sh ngapi..kila mmoja..Allah Atuepushe na Roho yakishetani....Roho mbaya kabisa hii...Unamsababishia mwinzio matatizo makubwa .sio Yeye tu mpaka familia yake..Machozi yao yatajibu kwa Allah...Unaenda kuingizwa kwenye moto wa Jehanam Maisha yako yote Wewe ni wakuchomwa tuuu..Allah Awape subra ndugu zake na majirani wapate kumsaidia bila kuchoka..Binadam tubadilike jamani tuwe na hofu na Mungu...Atujui kesho yetu....Allah Atufanyie Wepesi na tuwe na Mwisho Mwema.in sha Allah.

  • @user-gx2ke7cd5p
    @user-gx2ke7cd5p Před 9 měsíci +3

    Kwa nnavowajua polisi wetu wausika watakamatw tu!😢

  • @MathiasDaud-ii9td
    @MathiasDaud-ii9td Před 3 měsíci

    Pole saana ndugu yangu waliokufanyia hivyo mungu awaangamize kwa moto kbsa

  • @luluray2115
    @luluray2115 Před 9 měsíci +6

    Kwann watu wa hii dunia ni wakatili san kuliko wanyama jaman😢

  • @scopy0428
    @scopy0428 Před 9 měsíci

    Daah inauma sana ukimtazama anaonekana ni mtu mwenye mengi kifuan ya kuzungumza, Yaan mtu unadilik kumfanya unyama kama huu binadam mwenzako kisa Pikipik ( Bodaboda) daah inauma sana Ewe Mwenyeez Mungu umfanyie wepesi huyu kijana

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z Před 9 měsíci +5

    Huyu mtu aliefanya hicho kitendo cha uwaji na ukatili huu alaniwe kbs 😭😭amemsababishia ulemavu wa kudumu.mungu wetu Halali malipo hapahapa🙏🙏

  • @user-qf2tp3px7f
    @user-qf2tp3px7f Před 9 měsíci +1

    Pole sana kaka ase ni huzuni kwa kweli

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 Před 9 měsíci +4

    Adui zako waliokufanyia ubaya huu, Walaaniwe maisha yao yote asiwepo wa kuwapa msaada pande zote nne za dunia😢

  • @WillyIdd
    @WillyIdd Před 9 měsíci +1

    Dah hii imenikumbusha 2015 kaka yangu nae alitekwa wakachkua pikpk wakampa madawa ya kulevya kwa bahati wasamalia walimuokoa
    Dah😢😢😢

  • @user-oi9dk8rc7h
    @user-oi9dk8rc7h Před 9 měsíci +7

    MUNGU amsaidie kuenye maisha yake🙏🏾😢😢

  • @jamesmusukwa229
    @jamesmusukwa229 Před 9 měsíci

    Pole Sana ndugu kwa kweli huo ni ukatiri 😂😂😂 serikali tunaomba mumpe msaada was kudumu kutokana na hali aliyokua nayo ya kudumu daaa!!!!!!!?roho imeniuma kwa kweli😭😭😭

  • @busvicentedaniel
    @busvicentedaniel Před 9 měsíci +6

    Deus abençoe esse jovem

  • @user-ip1cw5iw7w
    @user-ip1cw5iw7w Před 9 měsíci +1

    Coment za watu ndio zinaniliza zaidi😭😭😭 eeh mungu muumba mbingu na ardhi na viumbe vyote katika hii dunia ,,nakuomba mola wangu popote walipo hao waalifu wakamatwe na wanyongwe kabisaaa had kufa😢😢😭😭😭😭

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před 9 měsíci +3

    So sad watu wamekuwa wanyama sana pole mdogo wangu 🤲🤲🤲😭😭😭

  • @JackJoseph-hf8io
    @JackJoseph-hf8io Před 9 měsíci

    Yanii inaumiza sana binadamu tunaroho zakinyama mungu atapigananao wote walohusika kwenye uwompango Aminaa yanii binadamu wasasa nikuanao makinii sana

  • @abdulrahmanabdulrahman837
    @abdulrahmanabdulrahman837 Před 9 měsíci +2

    Dunia sio sehemu salama tena 😢😢😢

  • @gigimarco2592
    @gigimarco2592 Před 9 měsíci

    Pole Ndugu.Mara nyingi hizi vitendo kama hivi vinafanyika na Boda Boda wanao fanya Mapenzi na Bibi za Watu.

  • @MIHAYOBUNDALA
    @MIHAYOBUNDALA Před měsícem

    Pole sana mdogo wangu mungu atawalani ote walio kufanyia hivo watakuja kufa kifo kibaya sana

  • @JAYCLASSICMEDIA
    @JAYCLASSICMEDIA Před 9 měsíci +2

    Mungu atajibu hili na akupe confortability ya maisha yako

  • @MwanaishaBaluti
    @MwanaishaBaluti Před 6 měsíci

    Masikinii!!!,pole mwanangu,Mungu akuponye BB yangu,

  • @HamisiNalinga
    @HamisiNalinga Před 9 měsíci

    Pole sana bro Cha kushangaza serikali yetu inawapa pesa wachezaji mpira tu simba na yanga Hawa ndio wanaohitaji kusaidiwa

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 Před 9 měsíci

    Binadamu sisi tumekuwaje da una maisha magumi unapambana Ili ujikwamue bado hapo hapo anakuja mtu anakutendea ukatili Bila kujali mahangaiko yako. Eeeh Mungu we Ni Mungu wa haki haki yako isimame kwa huyu kaka

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g Před 7 měsíci

    Jamani pole kikana wangu mungu atakuona mungu akuponye inauma sana mungu akufanyie njia pasipo njia utaishi tu

  • @user-re3dw4jv8v
    @user-re3dw4jv8v Před 9 měsíci

    ndo maana huwa nasema wanaume maisha yetu yapo hatarini mda wote kutokana utafutaji wa ridhiki tofauti na wanawake unakuta ndg yetu alikuwa anafoce hadi saa 6 usiku ili familia ipate mkate wa kesho na hii ndo inapelekea wajane kuwa wengi duniani wanaume tunasitahili heshima sana pole sana mpambanaji mwenzetu MUNGU yupo nawewe hatokuacha.

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Před 9 měsíci

    Dah Mungu aendelee kukupa subra.. Huu ni mtihani mzito Sana. Kwakuwa Mungu hajawahi kushindwa ipo siku atawadhihirisha wauaji hao na watapata stahiki ya unyama walioufanya. 😢

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 Před 9 měsíci +1

    Roho imeniuma sana kabla ata sijaanza kuangalia.....si wangechukua tu iyo piki piki wakamuacha 😢😢😢😢

  • @mariamissa4029
    @mariamissa4029 Před 9 měsíci +1

    😢pole sana ndugu Allah atatia wepesi na malipo ni hapa hapa duniani

  • @feristadaudi6599
    @feristadaudi6599 Před 8 měsíci

    Pole sana mwangu inauma sana watalipwa maana mungu wetu ni wakisasi atalipa mwachie mungu ndie mwamzi wakweli

  • @user-tk4vn5ed8n
    @user-tk4vn5ed8n Před 9 měsíci +1

    Subhaana Allaah

  • @user-xs6tc5qp8f
    @user-xs6tc5qp8f Před 9 měsíci

    Pole sana kaka mung atakufanyia wepesi mung akikupa jaribu anakupa namlango wakutokea mm namin mungu iposku adui zako watalipa kilajambo walokufanya

  • @nuldingomolamos128
    @nuldingomolamos128 Před 4 měsíci

    Tuzidi kumuombea kwa mwenyez mungu maana Tena kaka anabadi asari kwa moyo mmoja maa alikua kafalik

  • @PaschalElias-nu8pm
    @PaschalElias-nu8pm Před 2 měsíci

    Pole sana ndugu yetu Lukas mungu atakusaidia🤲

  • @juliussanane1860
    @juliussanane1860 Před 9 měsíci

    Dah Aisee pole sana kaka Mwenyezi Mungu akutie Nguvu

  • @user-om7lv9cj3n
    @user-om7lv9cj3n Před 9 měsíci

    Ila jamani daah haya maisha..tokea dumila ninayoisikia mimi kuwa ni mbali mpaka mkundi kwa bei iyoo kweli elfu tatu na badoo wamemfanyiaa hayo yotee, Mungu atakulipia kaka angu

  • @eveliynejoseph7944
    @eveliynejoseph7944 Před 9 měsíci +1

    Inaumiza sana 😢😢😢,Mungu akufanyie njia Lucas japo ni ngumu

  • @elizabethmvumu1881
    @elizabethmvumu1881 Před 9 měsíci

    Dah jaman wanadam tumekua na roho za kinyama sana,
    M/Mungu atakupa njia mbadala ya kuishi ,
    Pole sana mdogo wangu, na familia kwa ujumla.