Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
Pole Sana mtoto wetu mungu akulinde popote ulipo mwizi likaliwe na majoka na huyo alikimbia na boda boda afe Kama kifo kibaya nawe tajili TUNAKUOMBA msamehe mtoto Bado mdogo amejitahidi kupambana msamehe
Wewe kaka Mungu Akusaidie sana kwakweli duh Mungu Alikupa nguvu mpya Yaani siyo kwa uwezo wako mdogo wangu ni Mungu tu Usiache kumuomba Mungu Usiache Kumtumikia Mungu Usiache Kumshukuru Mungu
Pole sana aiseee uyo aliyeiba pikipiki ndio tatizo ofu yangu kama utaishi salama ungeweza ungeama io sehemu ukaenda kuishi sehemu nyingine majaribu yatakuwa mengi mungu akuepushie
Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
Nimewaza kama weww
Nimeumia jamani kama kaka yangu@@mwajabumsami6388
Kweli kabisa
Kweli inaliza jmn
Kweli kabisa
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
Yaani mpaka mtu unaeza his kama nae anajua huo mchongo sababu pikipik mpya siku mbili TU alafu tukio Hilo boss anadai mmmh?
@@mariamkibindo1741 hapa duniani kuna watu wanateseka kisirisiri huyo kabahatika kukutana na mwandishi wangapi wanaonewa kama yeye ni wengi mnoo kpz.
😅😅😅😅
Hatareeeee !Anajali pesa tuuu ila ukimaliza den lake achana nae kwanza hujui misingi aliyotumia huyo boss kupata pikpik yamkin ungekua kafara yke
@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
Mungu bado anakupenda mwanangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Mchanga ni silaha moja matata sana. Hata mbwa alikukimbiza mkabidhi mchanga. Big up chalii kwa kupambana.
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
@@HusnaMtitiko-yt4ru Duuh 😢 MashaAllah nimejifunza
JE DANGOTE
Safi Sana bro
duh huyu dogoni noma❤
Hii mbinu ya mchanga na kumvuta pua aisee😂🦁🦁🦁 we ni zaidi ya mjeda🎉
😂😂😂kavuta pua ikapasuka. Asee huyu ni zaidi ya jambazi
@@naomikatharinaandrewmnkai6760ushaona pua ina achana aisee 😅😅 sio poa ana mbinu za kivita huyu janja
@@frezo8177 apewe kazi dogo😂
😂😂😂
Nimeinjoy Sana
Ila Yote kwa yote nikwanguvu ya Allah
Nguvu ya Yesu kristo hiyo
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
Daah aisee umeongea point sanaaa yaan anahitaj ulinzi maana pia aliekufa anawatu wake
Yaani Mungu amlinde mdogo wangu
Hata Mimi nimeshangaa Kwann wamemuonesha Sura
Huyu mtoto angeenda jeshi bila kupingwa. Wasn't easy. Una mungu kijana
Unalindwa na Mungu my son. Una kitu utafika mbali
Mchanga fimbo nzuri sana😂hongera mwanangu wewe ni shujaa
Lakini hawezi kuwa mpenzi kama mbwa analindda chake tu
Subhanallah pole sana mdogo wangu...ALLAH azidi kukuhifadhi...pia shikamana na ibada
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
Hili ni wazi zuri sana
Kabisa
Kweli kabisa 😢
Kuna watu hawana huruma jamani, yani mkaka wawatu kidogo athlete roho na majelaha hv lakn bado tajili anamdai😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Atoe namba
Tumsaidie jamani. Anafaaa aende jeshini❤❤. Kikubwa tumsaidie. Brother wetu mdogo wetu😢 ila alihamundulih. Umetoka salama
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
Mnge mficha sura hii nhatari kwakwel Allah akulinde babaa 🤲🤲
Amiin
Pole dogo, pia hongera kwa kupambania roho yako
Mungu ni mwema. Pole zake . Huyo ni jasiri ila tajiri yake hana utu. Askari wasitoe maneno ya kukatisha tamaa ,
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
Aslay wa bongo wenyew waoga
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
InshaAllah
Kabisa
Kabisaaa
Dogo nimempenda sana, da! Hongera uko vizur, natamani awe dereva wangu, na umri wake, 19 yrs, hongera sana,
Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe
Maa Shaa Allah hongera sana mdogo wangu kwa ujasiri pia pole kwa mashakil na iman utapata msaada kwa uwezo wa Allah
Aisee hongera kwa kuonyesha ushunjaa 🙏🙏🙏
Huyu apewe kazi ya jeshi
😂😂 kwa sabab gan sasa kumwaga mchanga machon au
Ndio utaki au?au we ndio mtoa ajira
Et kama majaliwa😂
@@MauaDumba sijui
Ni shujaa na bado mdogo sana🎉
Pole sana kijana....na hongera Kwa kupambania maisha yako
Achana na iyo kazi dogo tafuta kazi nyingine 😊
Pole kijana wangu wewe ni zaidi ya mjeshi. Mpeni nafasi jeshini huyu
Ingefaa mbona Awe kama Majaliwa...
Serekali Ione pia
Kwakweli we ni daudi umemuweza goliati hongera sana kijana
Hu wizi bado upo jmn aisee pole sana mwanangu,vijana fanyeni kazi sio pow kuiba mari za watu
Nimefurahi sana, mungu awalinde kaka zetu
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
Mungu mwema hongera kwa ushindi huu mkubwa Mungu azidi kukulinda ❤❤❤
Shujaa kapambania maisha..hongera sana. Mungu kakupa ujasiri.
Na kweli ni Mungu tu kampa ujasir
Hongera mdg wangu mungu akulinde uendelee kuwa shujaa mtu wa mungu
Mungu tusahidie na watt wetu wa kiume kupata kazi ninngumu maskin wana pambana pole kijana wngu❤
Uanze kwenda Kansan Maana ni Mungu aliye kusaidiya
Pole brother tajiri 😭hana uruma haangalii maisha
Pole sanaa aisee du!
Big up kijana kwa ushujaa wako,,unekonesha wezi wa pikipiki
Mungu ukimuomba ushindi nirazima
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
Mama samia amwangalie huyu kijana na ahame maeneo hayo bado kijana sana
Mung akufanyie wepes kijana mwenzang
Dah iyo kaz imeshakuwa hatari maana watakutafuta kwa mbinu zote walipize kisasi tafuta kaz nyingine kwa muda pole sana
Umri wa mwanangu daaa! watoto wetu Mungu awalinde watoto wetu wa kiume wanapitia changamoto
Ongera sana mdogowangu wewe nimwanaume kamili😢😢
Kijana anajua kujieleza ~maa shaa allah..mngu akujaalie afya njema..wezi sina hamu nao.
Mungu amekuokoa mwanangu pole sana
Pole sana dingii ,askri anao wajue kupigana na ktu sio mwili ni mbwinu tu,na mbwinu zake kazitaja
Huyu kaka ni shujaa jamani afu Bado mdogo, umepambana sana mungu anakupenda sana siyo kazi rahisi.
Hongera sana,dogo! Umepambana kiume. Usijal kuhusu jino lililotoka.
😂😂😂👍👍👍
😂😂😂😂😂
Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid
Pole mwanangu na hongera kwa ukakamavu
Polesana kaka daaaa!!!!!!
siri ya ushindi ni mungu kampa akili ya kupambana nakapata akili ya kutumia michanga mungu nimwema
huyu kamanda sana apewe kaz jeshin
kabisa kamuua pekeake ahahahahaha
Jeshini wanasema ajira hamnaaa😢
Huyu mwamba akir yake kubwa sana ila boss nae achunguzwe
Huyo boss ni msenge anajali pikipik kukiko uzima wa mtu so angekufanya uyo dogo je angemdai
Hapo sasa
Vijana wa chuga siowakuchezea mtoto mdogo lakini kapambana mungu atakusaidia utapata pikipiki nyingine namba tumeiona
Kaka hongera mi sio mtz ila ninamtoto mtz. Ndugu yako hongera saana kaka nakuombea tu pia namimi nakuombea
Pole sana dear, ashukuriwe Mungu alokuponya 🙏🙏🙏
Dogo... Umri unaruhusu... Asahidiwe tunamtaka jeshini huyu... Tena kitengo cha komando
Dogo hongeraa kwa kupambana,MUNGU awe nawe pukipiki utapata MUNGU yupo hamwachi mja wake
Kijana Shujaa sanaa big up
Uende kanisan ukasali Umshukuru Mungu, ujikite kwenye Sala usiku na mchana umwombe Mungu akulinde.
Mungu anakupenda sana kijana sifa na utukufu kwayesu tu
Nmekubali goliati alikufa kwa nguvu za mwenyez mungu!! Allah akujalie upate Tena kwa wepes amen!!
Kazi nzuri dogoo
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
@@FatimaAli-of4gh Yan huwa wanawaonea mno mno
@@FatimaAli-of4gh😢
Mungu Akusaidie kijana, Upate mfadhili,
Pole sana mwanangu! Mungu anakupenda sn,wewe ni Shujaa,mwenye piki2 kuwa na huruma.
Pole Sana mtoto wetu mungu akulinde popote ulipo mwizi likaliwe na majoka na huyo alikimbia na boda boda afe Kama kifo kibaya nawe tajili TUNAKUOMBA msamehe mtoto Bado mdogo amejitahidi kupambana msamehe
Big up chaliii
Pole sana Mwanangu Mungu Anakupenda
Uwe makini kwa atakae kupigia maana wabaya wako wamezipata namba zako
Duh pole san
Hongera sana kijana hongera mnooooo
Kijana jasiri sana... anafaa kuwa jeshini...ila siku hz hata jeshi ni kujuana...vijana kama hawa hawapati nafasi
Mungu alikuwa upande wako usi ache ku mtukuza Mungu alikuteteya akakupa nguvu
Mmhh pole. Sana Mwananguuu kwa Mtihani uliokufika
Jambazi likasema "Unaniua"😅 kumbe yakizidiwa hua yanaleta huruma 😂
Cha muhimu uhai mengine sasa hayo ya tajiri sasa🙌🙌
Huyo boss ana roho mbaya na hatofanikiwa 😢je kama angeuliwa huyo boda.......Unaweza kuwa mtu mkubwa ila haujui kupambana vitu viwili tofauti
Duuuu dogo pambana utakua Bora zaidi ila tajir hli swala lakipolisi
Daah chalii wa home pole sana mdogo wang
Ila mngeficha sura ya huyu kijana kwa usalama wake jamani hamjui zamira ya yule alobaki 😢😢
Kweli kabisa, Mungu amlinde.
@@StellaWaillupia wangetumia hata namba nyingine kwenye kuchangia jamani yaani kijana hatarini sana kuwa makini
@@Sweetnaah Umeona ee!
Boss kuna kitu anacho😢Munguu atusaidie kwa kweeeli ubinadamu umeishaa uuwii
Yaaani wanaume wamaana wanashindwa kufanya kazi wanakaba watoto wadogo Jamanii
Pole kaka mungu nimwema
Pole sana mwanangu Mungu akutetee
Hongera dogo nimetuma mchango kidogo.
Namba ikwap
Nakushauri mwanangu tafuta kazi nyingine
Pole sana kaka
😢😢😢😢nimelia mwee eti tajiri anipe bike nyingine nifunge kwa 15 tutakuchangia utapata
pole mzee
Huyo tajiri mbona una soho ya hivo unamdaije huyo kijana?si ushukuru yupo hair cha kwanza
Pole sana na hongera kwa ujasiri
But nimecheka ya kumfungulia kesi marehemu
Hongera kijana
Wewe kaka Mungu Akusaidie sana kwakweli duh
Mungu Alikupa nguvu mpya Yaani siyo kwa uwezo wako mdogo wangu ni Mungu tu
Usiache kumuomba Mungu Usiache Kumtumikia Mungu Usiache Kumshukuru Mungu
Hongera sana na pongezi kwako ww ni shujaa mwanangu
Jamn pole sana mdog wangu
Oooh Michael mwanangu pole
Daaa mungu akutie nguvu mdogo wangu na pole sana
Pole Sana Dogo
Simu ya Huyu alieuawa haijapatikana isaidie kuwasaka Hao wezi sugu😢
Pole sana aiseee uyo aliyeiba pikipiki ndio tatizo ofu yangu kama utaishi salama ungeweza ungeama io sehemu ukaenda kuishi sehemu nyingine majaribu yatakuwa mengi mungu akuepushie