DOGO WA BODA ASHANGAZA WATU APAMBANA NA WEZI PORINI, ALITOA PANGA KUNIUA NIKAMUWEKEA MCHANGA MACHONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024

Komentáře • 667

  • @viviankihiyo1076
    @viviankihiyo1076 Před 8 dny +95

    Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před 9 dny +172

    Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Před 9 dny +10

      Yaani mpaka mtu unaeza his kama nae anajua huo mchongo sababu pikipik mpya siku mbili TU alafu tukio Hilo boss anadai mmmh?

    • @PendoMatemba-ql1ng
      @PendoMatemba-ql1ng Před 9 dny

      @@mariamkibindo1741 hapa duniani kuna watu wanateseka kisirisiri huyo kabahatika kukutana na mwandishi wangapi wanaonewa kama yeye ni wengi mnoo kpz.

    • @kibasamohamedi8029
      @kibasamohamedi8029 Před 9 dny +3

      😅😅😅😅

    • @user-eu6ql9zl7n
      @user-eu6ql9zl7n Před 9 dny +8

      Hatareeeee !Anajali pesa tuuu ila ukimaliza den lake achana nae kwanza hujui misingi aliyotumia huyo boss kupata pikpik yamkin ungekua kafara yke

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g Před 9 dny

      ​@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 9 dny +52

    Mungu bado anakupenda mwanangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 9 dny +129

    Mchanga ni silaha moja matata sana. Hata mbwa alikukimbiza mkabidhi mchanga. Big up chalii kwa kupambana.

    • @HusnaMtitiko-yt4ru
      @HusnaMtitiko-yt4ru Před 9 dny +9

      Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏

    • @auntmakochela4202
      @auntmakochela4202 Před 9 dny +4

      ​@@HusnaMtitiko-yt4ru Duuh 😢 MashaAllah nimejifunza

    • @MwanadiaSaid
      @MwanadiaSaid Před 9 dny +1

      JE DANGOTE

    • @user-ot2qw9fb7o
      @user-ot2qw9fb7o Před 9 dny +3

      Safi Sana bro

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 8 dny +3

      duh huyu dogoni noma❤

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 Před 9 dny +49

    Hii mbinu ya mchanga na kumvuta pua aisee😂🦁🦁🦁 we ni zaidi ya mjeda🎉

  • @Maroo6Official
    @Maroo6Official Před 9 dny +54

    😂😂😂
    Nimeinjoy Sana
    Ila Yote kwa yote nikwanguvu ya Allah

  • @JaliaMuro
    @JaliaMuro Před 9 dny +83

    Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake

    • @user-bz7kg2lr3f
      @user-bz7kg2lr3f Před 9 dny +6

      Daah aisee umeongea point sanaaa yaan anahitaj ulinzi maana pia aliekufa anawatu wake

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz Před 8 dny +3

      Yaani Mungu amlinde mdogo wangu

    • @shuwehaharuna6309
      @shuwehaharuna6309 Před 8 dny

      Hata Mimi nimeshangaa Kwann wamemuonesha Sura

    • @winniesimon850
      @winniesimon850 Před 4 dny +2

      Huyu mtoto angeenda jeshi bila kupingwa. Wasn't easy. Una mungu kijana

    • @winniesimon850
      @winniesimon850 Před 4 dny

      Unalindwa na Mungu my son. Una kitu utafika mbali

  • @ConfusedAlien-xk3sh
    @ConfusedAlien-xk3sh Před 9 dny +60

    Mchanga fimbo nzuri sana😂hongera mwanangu wewe ni shujaa

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j Před 6 dny

      Lakini hawezi kuwa mpenzi kama mbwa analindda chake tu

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 5 dny +9

    Subhanallah pole sana mdogo wangu...ALLAH azidi kukuhifadhi...pia shikamana na ibada

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o Před 8 dny +35

    Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 Před 9 dny +25

    Tumsaidie jamani. Anafaaa aende jeshini❤❤. Kikubwa tumsaidie. Brother wetu mdogo wetu😢 ila alihamundulih. Umetoka salama

  • @user-gx4vx5ru2u
    @user-gx4vx5ru2u Před 9 dny +14

    Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia

  • @SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin

    Mnge mficha sura hii nhatari kwakwel Allah akulinde babaa 🤲🤲

  • @MaryKalunde
    @MaryKalunde Před 8 dny +12

    Pole dogo, pia hongera kwa kupambania roho yako

  • @LaurenciaKitauli-or8rr
    @LaurenciaKitauli-or8rr Před 9 dny +34

    Mungu ni mwema. Pole zake . Huyo ni jasiri ila tajiri yake hana utu. Askari wasitoe maneno ya kukatisha tamaa ,

    • @user-mi7cd8ch1b
      @user-mi7cd8ch1b Před 9 dny +5

      Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 Před 9 dny

      Aslay wa bongo wenyew waoga

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Před 9 dny +48

    Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 5 dny +6

    Dogo nimempenda sana, da! Hongera uko vizur, natamani awe dereva wangu, na umri wake, 19 yrs, hongera sana,

  • @user-ct2fb4ro9e
    @user-ct2fb4ro9e Před dnem +3

    Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Před 9 dny +7

    Maa Shaa Allah hongera sana mdogo wangu kwa ujasiri pia pole kwa mashakil na iman utapata msaada kwa uwezo wa Allah

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha Před 9 dny +20

    Aisee hongera kwa kuonyesha ushunjaa 🙏🙏🙏

  • @vero57
    @vero57 Před 9 dny +84

    Huyu apewe kazi ya jeshi

  • @user-wr7wp9sl2p
    @user-wr7wp9sl2p Před 9 dny +12

    Pole sana kijana....na hongera Kwa kupambania maisha yako

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před 7 dny +8

    Achana na iyo kazi dogo tafuta kazi nyingine 😊

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation Před 8 dny +11

    Pole kijana wangu wewe ni zaidi ya mjeshi. Mpeni nafasi jeshini huyu

  • @JoycemsangiJoyce-go9su
    @JoycemsangiJoyce-go9su Před 9 dny +21

    Kwakweli we ni daudi umemuweza goliati hongera sana kijana

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Před 9 dny +5

    Hu wizi bado upo jmn aisee pole sana mwanangu,vijana fanyeni kazi sio pow kuiba mari za watu

  • @MageshotofuShotofufande
    @MageshotofuShotofufande Před 2 dny +3

    Nimefurahi sana, mungu awalinde kaka zetu

  • @godfreyelibarikilaizer6178

    Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 8 dny +5

    Mungu mwema hongera kwa ushindi huu mkubwa Mungu azidi kukulinda ❤❤❤

  • @user-ne2zv8km3x
    @user-ne2zv8km3x Před 9 dny +21

    Shujaa kapambania maisha..hongera sana. Mungu kakupa ujasiri.

  • @AsnathRingo-db4jl
    @AsnathRingo-db4jl Před dnem

    Hongera mdg wangu mungu akulinde uendelee kuwa shujaa mtu wa mungu

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 9 dny +13

    Mungu tusahidie na watt wetu wa kiume kupata kazi ninngumu maskin wana pambana pole kijana wngu❤

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703 Před 2 dny +1

    Uanze kwenda Kansan Maana ni Mungu aliye kusaidiya

  • @julianaouma9230
    @julianaouma9230 Před dnem +1

    Pole brother tajiri 😭hana uruma haangalii maisha

  • @HamadBashir-bs5wo
    @HamadBashir-bs5wo Před 9 dny +2

    Pole sanaa aisee du!

  • @SiaCollins
    @SiaCollins Před 9 dny +5

    Big up kijana kwa ushujaa wako,,unekonesha wezi wa pikipiki

  • @allyopi6101
    @allyopi6101 Před dnem +1

    Mungu ukimuomba ushindi nirazima

  • @hawasaid7151
    @hawasaid7151 Před 9 dny +4

    Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 2 dny +1

    Mama samia amwangalie huyu kijana na ahame maeneo hayo bado kijana sana

  • @nicholouslahoya9510
    @nicholouslahoya9510 Před dnem +1

    Mung akufanyie wepes kijana mwenzang

  • @MdakimohamedRamadhan
    @MdakimohamedRamadhan Před 20 hodinami

    Dah iyo kaz imeshakuwa hatari maana watakutafuta kwa mbinu zote walipize kisasi tafuta kaz nyingine kwa muda pole sana

  • @hildegundembilinyi9042
    @hildegundembilinyi9042 Před 4 dny +2

    Umri wa mwanangu daaa! watoto wetu Mungu awalinde watoto wetu wa kiume wanapitia changamoto

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 Před dnem +1

    Ongera sana mdogowangu wewe nimwanaume kamili😢😢

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o Před 8 dny +2

    Kijana anajua kujieleza ~maa shaa allah..mngu akujaalie afya njema..wezi sina hamu nao.

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Před 8 dny +3

    Mungu amekuokoa mwanangu pole sana

  • @ndagabwenekusaya223
    @ndagabwenekusaya223 Před 8 dny +3

    Pole sana dingii ,askri anao wajue kupigana na ktu sio mwili ni mbwinu tu,na mbwinu zake kazitaja

  • @JJKitomary
    @JJKitomary Před 9 dny +2

    Huyu kaka ni shujaa jamani afu Bado mdogo, umepambana sana mungu anakupenda sana siyo kazi rahisi.

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 Před 9 dny +13

    Hongera sana,dogo! Umepambana kiume. Usijal kuhusu jino lililotoka.

  • @valleliahkitundu
    @valleliahkitundu Před 3 dny +1

    Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid

  • @azzaalmalki41
    @azzaalmalki41 Před 9 dny +3

    Pole mwanangu na hongera kwa ukakamavu

  • @ntihaboseadonis8746
    @ntihaboseadonis8746 Před 3 dny +2

    Polesana kaka daaaa!!!!!!

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p Před 9 dny +7

    siri ya ushindi ni mungu kampa akili ya kupambana nakapata akili ya kutumia michanga mungu nimwema

  • @isaselogistics7266
    @isaselogistics7266 Před 9 dny +21

    huyu kamanda sana apewe kaz jeshin

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy Před 2 dny +1

    Huyu mwamba akir yake kubwa sana ila boss nae achunguzwe

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 Před 9 dny +6

    Huyo boss ni msenge anajali pikipik kukiko uzima wa mtu so angekufanya uyo dogo je angemdai

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 Před 9 dny +7

    Vijana wa chuga siowakuchezea mtoto mdogo lakini kapambana mungu atakusaidia utapata pikipiki nyingine namba tumeiona

  • @user-es2yt1jc4i
    @user-es2yt1jc4i Před 4 dny +2

    Kaka hongera mi sio mtz ila ninamtoto mtz. Ndugu yako hongera saana kaka nakuombea tu pia namimi nakuombea

  • @user-hf5qq2qy4y
    @user-hf5qq2qy4y Před 8 dny +1

    Pole sana dear, ashukuriwe Mungu alokuponya 🙏🙏🙏

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Před dnem +1

    Dogo... Umri unaruhusu... Asahidiwe tunamtaka jeshini huyu... Tena kitengo cha komando

  • @user-sn9yp3sc2f
    @user-sn9yp3sc2f Před 9 dny +3

    Dogo hongeraa kwa kupambana,MUNGU awe nawe pukipiki utapata MUNGU yupo hamwachi mja wake

  • @WinnieMapunda
    @WinnieMapunda Před 3 dny +2

    Kijana Shujaa sanaa big up

  • @regybahati5986
    @regybahati5986 Před 7 dny +2

    Uende kanisan ukasali Umshukuru Mungu, ujikite kwenye Sala usiku na mchana umwombe Mungu akulinde.

  • @user-yk3we9vk6y
    @user-yk3we9vk6y Před 7 dny +3

    Mungu anakupenda sana kijana sifa na utukufu kwayesu tu

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před 9 dny +1

    Nmekubali goliati alikufa kwa nguvu za mwenyez mungu!! Allah akujalie upate Tena kwa wepes amen!!

  • @JosephSumage
    @JosephSumage Před dnem

    Kazi nzuri dogoo

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 9 dny +13

    Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 9 dny +4

      Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Před 9 dny +1

      @@FatimaAli-of4gh Yan huwa wanawaonea mno mno

    • @JohaDomi-bg5yh
      @JohaDomi-bg5yh Před 8 dny

      ​@@FatimaAli-of4gh😢

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 9 dny +3

    Mungu Akusaidie kijana, Upate mfadhili,

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 8 dny

    Pole sana mwanangu! Mungu anakupenda sn,wewe ni Shujaa,mwenye piki2 kuwa na huruma.

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu Před 6 dny

    Pole Sana mtoto wetu mungu akulinde popote ulipo mwizi likaliwe na majoka na huyo alikimbia na boda boda afe Kama kifo kibaya nawe tajili TUNAKUOMBA msamehe mtoto Bado mdogo amejitahidi kupambana msamehe

  • @islahhamis5291
    @islahhamis5291 Před 9 dny +1

    Big up chaliii

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 Před 7 dny +1

    Pole sana Mwanangu Mungu Anakupenda

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 Před 9 dny +6

    Uwe makini kwa atakae kupigia maana wabaya wako wamezipata namba zako

  • @Aminaathuman-yh5ke
    @Aminaathuman-yh5ke Před 2 dny

    Duh pole san

  • @NeemaKimario-ui3ir
    @NeemaKimario-ui3ir Před 2 dny

    Hongera sana kijana hongera mnooooo

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 4 dny +1

    Kijana jasiri sana... anafaa kuwa jeshini...ila siku hz hata jeshi ni kujuana...vijana kama hawa hawapati nafasi

  • @NyotaBalolane.
    @NyotaBalolane. Před 7 dny +2

    Mungu alikuwa upande wako usi ache ku mtukuza Mungu alikuteteya akakupa nguvu

  • @LamaribamJumbe
    @LamaribamJumbe Před 9 dny

    Mmhh pole. Sana Mwananguuu kwa Mtihani uliokufika

  • @TonnyCaesar
    @TonnyCaesar Před 18 hodinami

    Jambazi likasema "Unaniua"😅 kumbe yakizidiwa hua yanaleta huruma 😂

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw Před 7 dny +1

    Cha muhimu uhai mengine sasa hayo ya tajiri sasa🙌🙌

  • @Juke995
    @Juke995 Před 8 dny +1

    Huyo boss ana roho mbaya na hatofanikiwa 😢je kama angeuliwa huyo boda.......Unaweza kuwa mtu mkubwa ila haujui kupambana vitu viwili tofauti

  • @KalebyHennry-ux7fj
    @KalebyHennry-ux7fj Před 5 dny +2

    Duuuu dogo pambana utakua Bora zaidi ila tajir hli swala lakipolisi

  • @hawaally3136
    @hawaally3136 Před 8 dny +1

    Daah chalii wa home pole sana mdogo wang

  • @Sweetnaah
    @Sweetnaah Před 9 dny +6

    Ila mngeficha sura ya huyu kijana kwa usalama wake jamani hamjui zamira ya yule alobaki 😢😢

    • @StellaWaillu
      @StellaWaillu Před 9 dny +2

      Kweli kabisa, Mungu amlinde.

    • @Sweetnaah
      @Sweetnaah Před 9 dny +3

      @@StellaWaillupia wangetumia hata namba nyingine kwenye kuchangia jamani yaani kijana hatarini sana kuwa makini

    • @StellaWaillu
      @StellaWaillu Před 9 dny +1

      @@Sweetnaah Umeona ee!

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 Před 8 dny +1

      Boss kuna kitu anacho😢Munguu atusaidie kwa kweeeli ubinadamu umeishaa uuwii

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 Před 8 dny

      Yaaani wanaume wamaana wanashindwa kufanya kazi wanakaba watoto wadogo Jamanii

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Před 3 dny +1

    Pole kaka mungu nimwema

  • @user-uv2zg4uc5o
    @user-uv2zg4uc5o Před 6 dny

    Pole sana mwanangu Mungu akutetee

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 Před 6 dny +1

    Hongera dogo nimetuma mchango kidogo.

  • @user-hx9ev6rk7o
    @user-hx9ev6rk7o Před 8 dny

    Nakushauri mwanangu tafuta kazi nyingine

  • @vero57
    @vero57 Před 9 dny +1

    Pole sana kaka

  • @VictoriaMefya
    @VictoriaMefya Před 9 dny +2

    😢😢😢😢nimelia mwee eti tajiri anipe bike nyingine nifunge kwa 15 tutakuchangia utapata

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist Před 9 dny +1

    pole mzee

  • @ZawadiSaid-x6f
    @ZawadiSaid-x6f Před 5 dny +1

    Huyo tajiri mbona una soho ya hivo unamdaije huyo kijana?si ushukuru yupo hair cha kwanza

  • @JudithAdonis
    @JudithAdonis Před 9 dny +1

    Pole sana na hongera kwa ujasiri
    But nimecheka ya kumfungulia kesi marehemu

  • @EstherKolowa
    @EstherKolowa Před 8 dny

    Hongera kijana

  • @user-dq4ur9kk6h
    @user-dq4ur9kk6h Před 8 dny

    Wewe kaka Mungu Akusaidie sana kwakweli duh
    Mungu Alikupa nguvu mpya Yaani siyo kwa uwezo wako mdogo wangu ni Mungu tu
    Usiache kumuomba Mungu Usiache Kumtumikia Mungu Usiache Kumshukuru Mungu

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586 Před 9 dny

    Hongera sana na pongezi kwako ww ni shujaa mwanangu

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 Před 9 dny

    Jamn pole sana mdog wangu

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před 8 dny +1

    Oooh Michael mwanangu pole

  • @ChristopherCosmas
    @ChristopherCosmas Před 6 dny

    Daaa mungu akutie nguvu mdogo wangu na pole sana

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 Před 9 dny +1

    Pole Sana Dogo
    Simu ya Huyu alieuawa haijapatikana isaidie kuwasaka Hao wezi sugu😢

  • @TynahChitamu
    @TynahChitamu Před 8 dny +3

    Pole sana aiseee uyo aliyeiba pikipiki ndio tatizo ofu yangu kama utaishi salama ungeweza ungeama io sehemu ukaenda kuishi sehemu nyingine majaribu yatakuwa mengi mungu akuepushie