MKASA WA KIJANA ANAYEDAI KUTISHIWA KUPIGWA BASTOLA KISA KUKATAA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 10. 2023

Komentáře • 454

  • @JennyJma
    @JennyJma Před 9 měsíci +69

    Yaani sisi tuliozaa watoto wa kiume ni Mungu tu atusaidie ni mtihani eeh Mungu nilindie watoto wangu🙏

  • @DARUBINIYAUNABII538
    @DARUBINIYAUNABII538 Před 9 měsíci +40

    Ongera sana ndugu yangu. Kwa msimamo wako mzuri ❤

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Před 9 měsíci +21

    Dah pole sana mwamba na hongera sana Kwa kushinda hio vita 💪👍

  • @ujenezasandrine6854
    @ujenezasandrine6854 Před 9 měsíci +9

    Ama tumuchangiye apate pesa ya
    kwenda nyumbani..wewe ni mjasiri kbsa...umewezq kutoka katika shimu..Pole sana usiache kufanya kazi na kuomba mungu..mungu atakusaidiya

  • @user-tp3ep6td9x
    @user-tp3ep6td9x Před 9 měsíci +25

    Huyu kijana anaakili sana jamani 🥹 Mungu amlinde

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Před 9 měsíci +20

    Ee Mungu turindie watoto wetu 😢😢😢😢😢huyu mzee ni pepo kabisa ndomaana ataki Ata mambo ya kusali 😢😢

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 Před 9 měsíci +16

    Huyu kaka apewe hulinzi sana,, nawasikitikia watt wetu wa kiume mungu awalinde au awaepushe na tamaa Ameen 😭😭😭🙏🙏🙏

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 Před 9 měsíci +1

      Kuna kazi mtoto wa kiume hautakiwi kufanya, sijui kazi za ndani, piga kazi za nje.
      Bora nikabebe magunia sokoni kwa 700 kwa siku, kuliko kuwa nadeki, sijui nafua n.k kwa 700,000 kwa mwezi. Kuna moment mtu anatakiwa ajue mzani wa pesa na utu.

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před 9 měsíci +22

    Subhanallah yarrab nusuru watoto wetu na ndugu zetu kwa ujamla 😢😢😢😢😢
    Milard ayo fatilieni muendelezo huyo mzee akamatwe sheria afate mkondo wake 😢😢😢

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 Před 9 měsíci +20

    Hizo sindano zitakuwa za kisukariii na hivyo vidonge nivya ukimwii na viwembee aliviweka makusud ili vimkatee na mtt wa watu apate maradhiii Yan inshort huyooo baba piaa kasha jikatia tamaa Ila alaaniweee😭😭😭 tenaa alaaniweee Leo adi kesho akheraaa

    • @franciskibay8948
      @franciskibay8948 Před 9 měsíci

      Sure yani umeongea point sana huyo kashajikatia tamaa ni mgonjwa

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Před 9 měsíci +12

    Mmhhh AISSEH pole sana
    Pia ulizi waitajika kwl kwa mtoto wetu huyuu wallaah

  • @batilda4920
    @batilda4920 Před 9 měsíci +16

    Daaa inaumiza sana aisee afungwe Uyo mzee Kwa kuwafanya watoto wa mwenzao mashoga

  • @mimimtanzania9738
    @mimimtanzania9738 Před 9 měsíci +6

    Badilisha namba ya cm haraka,hongera sana kwa ushujaa,umeokoa taifs
    Acusna na huyo dalali anaweza kua chambo wakuumize.weewe ni shujaa mkubwa sana Tanzania
    Asante sama kwa kuokoa vijana ma watoto

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Před 9 měsíci +12

    Siku nyingine muache mtu aelezee kwanza kisha ndo uchague vipengele vya kuhoji siyo kila neno una hoji

  • @daviddouglas8943
    @daviddouglas8943 Před 9 měsíci +8

    Dah, hatari ila Tz mabasha wapo wengi sana na watu wanawachekea tu. Ilihali
    Wanajulikana tena wengine huo ndio umaarufu wao mxixisiu. Wazee wa hovyo

  • @gasperazziza7364
    @gasperazziza7364 Před 9 měsíci +8

    WE JAMAA MTUKABLA AJAMALIZA SENTENCE UNAULIZA SWALI AISEE UNA BOA KICHIZI YANI ACHA IZO

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Před 9 měsíci +8

    Sema kwel imeniuma saana lakin we kijaana umeonesha tabia shupavu MUNGU akulinde na aiongeze haki yako na ridhiki yako ili uwe mfano bora katika Jamii yako

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 Před 23 dny

      Bado wapo vijana wanaokataa ubaya Mungu akulinde na akufungulie njia zko

  • @glorydaniel6549
    @glorydaniel6549 Před 9 měsíci +5

    Hongera sana kaka Mungu akulinde na akupe haja ya moyo wako...wewe ni mwanaume wanguvu kuwa na msimamo siku zote za maisha yako...Mungu akukumbuke umeamua jambo jema😭😭

    • @goshenieagleWOG
      @goshenieagleWOG Před 9 měsíci

      Watupe number yake tuchangie chochote dogo apate kabiashara

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 9 měsíci +8

    Subhanallah pole sana mdogo wangu ALLAH akufanyie wepesi upate haki yako.

  • @user-mc6um1it1r
    @user-mc6um1it1r Před 9 měsíci +12

    Yani mm inauma san nikisikia habari za kulawiti watto😢😢

  • @amemasudi5735
    @amemasudi5735 Před 9 měsíci +21

    Wapo vibosile hiyo ndio kazi yao kuchkuwa Vijana wenye tamaa na kula Mzigo unapata hamu gni ya Kumuingilia Men mwenzio duh Vijana tusipende mtrmko tufnye kazi kw bidii mbona tutatobowa kw uwezo wa Allah wengi wa Wanaume ni wake za Watu hapa Mjini dah !😢

    • @nurumwangoka5924
      @nurumwangoka5924 Před 9 měsíci +2

      Kwa kweli ni laana 😢😢😢😢

    • @jonasnyanga8167
      @jonasnyanga8167 Před 9 měsíci +1

      Ndio mana @chimakeke anasema toka magetoni ngozi ta mbupu

    • @fatumakweka5182
      @fatumakweka5182 Před 8 měsíci

      Hapana hii sio nguvu ya ushawishi ya kawaida aisee

  • @Jackylmariam-qy6qe
    @Jackylmariam-qy6qe Před 9 měsíci +5

    Mdogo wangu kuanzia leo ukipigiwa simu na mtu usiyemjua plz nenda na mtu akusindikize au akupeleke Mana dunia hii ni kiboko

  • @jumatajiri585
    @jumatajiri585 Před 9 měsíci +12

    Na vijana siku hizi wanatamaa jamani mungu atunusuru vizazi vyetu

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 8 měsíci

      Kukosa ajira that's why

  • @SuddyAlly
    @SuddyAlly Před 9 měsíci +3

    Duhu hii atali na nuxu 😢 sema ongele sana mwanetu miximamo yako nimeipenda sana na mungu atakufanyiaa uwepexi utapata tu kazi

  • @starlily07
    @starlily07 Před 9 měsíci +27

    Huyo mzee ni wankumvizia na kumkata hiyo dudu yake wala haina haja ya kumshtaki popote, Mungu amlaani maisha yake yote

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo Před 9 měsíci +9

      mashoga woote hukumu yao ni kuuwawa Either kwa upanga au apigwe na mawe..maana wanafanya ufuska ktk Ardhi na kuharibu vizazi vilivo bora..Allah atunusuru na Vizazi vyetyu

    • @SelestinaJoshua-pn4zv
      @SelestinaJoshua-pn4zv Před 9 měsíci +3

      Tufanye mpango huo unajua hilo wazo ni zuri ujue àkikatwa uume hiyo tabia itaisha

    • @annakapolondo7771
      @annakapolondo7771 Před 9 měsíci

      Amen MUNGU alinde watoto wetu jamani uwiii

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 8 měsíci

      😂😂😂

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 8 měsíci

      ​@@SelestinaJoshua-pn4zvyes hatawafanyia watoto wengine tena

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 Před 9 měsíci +7

    Daah eeh mungu tulindie vizazi vyetu

  • @comraderashid_nuru_m5260
    @comraderashid_nuru_m5260 Před 9 měsíci +13

    Sauti ya TIA haijazimwa vizuri 😢😢😢😢

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji Před 9 měsíci +8

    Afungwe Tu Huy mbwa mzee anazeek vibaya mno

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před 9 měsíci +7

    Dah mungu baba naomba utuepushie kwenye hilo janga.

    • @HawaDegwa
      @HawaDegwa Před 9 měsíci +1

      Pole sana mungu atakusimami uckate tamaa

  • @mwaneylushino3389
    @mwaneylushino3389 Před 9 měsíci +9

    Mtangazaji muache mtu aongeee woiiii,hapo sio polisi

    • @ummusumayya7845
      @ummusumayya7845 Před 9 měsíci +1

      Saana angemuacha ajielezee kwanza kama afanyavyo vido vidox.

  • @saraphinermassare3330
    @saraphinermassare3330 Před 9 měsíci +5

    Zaidi ya kusali hakuna kingine cha kukifanya ambacho kitaokoa vizazi vyetu. Mungu mwenye rehema aturehemu

  • @flowerqq1280
    @flowerqq1280 Před 9 měsíci +2

    Mungu akulinde mwanangu umekuwa muwazi kwa ilo uyo mzee anaonekana zaidi ya shetani sharia irate mkondo wake

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Před 9 měsíci +17

    Pole sana kijana.Ila asante pia kwa uzalendo utaokoa wengi sana barikiwa😭😭🙏

    • @rithaurassa
      @rithaurassa Před 9 měsíci

      Huyo Mzee achukuliwe hatua Kali ,Kam cy Tz tuna hofu ya Mungu angenyongwa, kabisa

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před 9 měsíci

      ​@@rithaurassahata Mungu alitoa amri walawiti wapigwe hadi kufa

  • @jackmuta8827
    @jackmuta8827 Před 8 měsíci +2

    Huyu nae maswali mengi bana siaache aongeee

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 Před 9 měsíci +14

    Kila atakaejalibu kukiraghali kizazi changu Siku zote za maisha yangu Kabla hajatimiza makusudi yake afe ghafla kwa plesha mishipa ya damu ipasuke asiishi katika uso wa nchi

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 9 měsíci +9

    ilitakiwa msitangaze ilitakiwa mtoe taarifa polis wakamkamate wamfunge firauni huyo mwaribu watoto laana hata hivo akakamatwe astahili kuishi kwenye jamii

    • @joanpeter9121
      @joanpeter9121 Před 9 měsíci +2

      Polisi ipi, na hizi rushwa Za Tanzania.hapo ni kuchukua sheria mkononi usiku wa manane mnamwaga petrol piga kiberiti mfyuuuu

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 Před 9 měsíci

      Unadhani polisi ktk level za kawaida hawajui?!
      Watu wanachukua posho.
      Hapo ili anaswe inataka nguvu kubwa, kama hii ya media ifichue hivi, kisha tuhuma ipelekwe polisi na kesi ianze.

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 Před 9 měsíci +9

    Ndomana jua likuwa kali sana kwa mambo yanayofanyika apa duniani.pole mdogo wangu😢

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 8 měsíci

      😂😂 jua lamungu haingiliani na haya machafu

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv Před 8 měsíci +1

    Kikubwa ludinyumbani kwenu mungu amekuponya usikutwe namabaya

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 9 měsíci +7

    Dunia hii..Mwenyezi Mungu wewe unajua😨

  • @johnhammlay6531
    @johnhammlay6531 Před 9 měsíci +11

    Maswali ya mwandishi yanavuruga hadithi msimuliaje anachjichanganya kuhadithia. Maswali yanalwenda mbele nyuma

  • @gloryvictor7013
    @gloryvictor7013 Před 9 měsíci +7

    Dunia imeisha 😭😭😭😭😢😪, nyakati hizi zimefika

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h Před 9 měsíci +8

    Mungu wanguuu Dunia imekwisha watoto wetuu

  • @tatotato506
    @tatotato506 Před 9 měsíci +4

    MAMA GWAJIMA UYO MPUUZI MFATILIENI AKAMATWE AFUNGWE MBWA UYO NAWEWE BABA UTAKUFA KIFO KIBAYA MSHENZ WEWE

  • @user-sp6sv3cg9d
    @user-sp6sv3cg9d Před 9 měsíci +15

    Mhhhh Mungu wa mbinguni tuhurumie watu wako tunapata shida na watoto wetu

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 Před 9 měsíci +4

    Vijana msiende dar sio kuzuri limeni dar wanaish mashoga tu wanaume tupo mikoan

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h Před 9 měsíci +7

    Kwa usalama wako huondoke atakuua tu na tupate no yake tumchangie shujaa wetu

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 Před 9 měsíci +2

    Vijana tuna penda vitu Rahice hatutaki kufanya kazi hili janga lina umiza sana vijana wa sasa mambo ya uchoko yamekubuu kwakweri eeh mwenyezi mungu atuepushe na janga hili

    • @Hamidkaran
      @Hamidkaran Před 9 měsíci

      Aliambiwa atapewa kazi sasa kakuta kitu tofauti

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 9 měsíci +8

    Astakafirullah huyo mzee auwawe kutuaribia vijana wetu tu

    • @sistertrashid2488
      @sistertrashid2488 Před 9 měsíci +1

      Yaani anaharibu mpaka Dunia maana kaumi ruti waliangamia ivi ivi

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 Před 9 měsíci +3

    That's ma hero

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 9 měsíci +1

    Pole sana kweneutaftaji watu wanakutana namengi bg up kwamsimamowako uyonimwakirishi wa ushoga mataifa kazaa

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 Před 9 měsíci +3

    Subhana ALLAH

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 9 měsíci +7

    Kuna mtandao mkubwa sana wakueneza ushoga Africa, dalali anatakiwa akamatwe ataje huo mtandao ,,,,mama samia mbna umekaa kimya

  • @Mrscaptaingillah
    @Mrscaptaingillah Před 6 dny

    Huyu muandishi nae ana maswali anakera😅😅

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 Před 9 měsíci +5

    Mpe nafasi ajielezee maswali mengi hata atuelewi

  • @user-ub8ig1rl7h
    @user-ub8ig1rl7h Před 26 dny

    😂 MOLA akulinde naomba namba yako. Kwao msaada

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Před 9 měsíci +4

    Dawa yao ni kuwaua tu maana selikali ipo ila ni kama vile wanafuga huu ushetani

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před 9 měsíci +13

    Mtangazaji nyoko zako jifunze kwa bro wako millad ayo ,,, hua anaacha mtu aelezee story kisha badae maswali ,,, unakera mnooo
    Poor interview,,,
    Poor mtangazaji ,
    Ongezeni na pua zingine
    Km mziki mkubwa kuliko anayezungumza ,,,,
    Milard umetuangusha mfunze huyo mfanyakazi wako 😏😏😏

    • @user-fd4dt9zo2g
      @user-fd4dt9zo2g Před 9 měsíci

      Wewe nae 😅😅😅😅😂nimecheka

    • @Commentsplus
      @Commentsplus Před 9 měsíci +3

      wivu tu mbona hakuna kibaya na wala mziki sio mkubwa labda unatumia infinix

    • @e7bits_tz
      @e7bits_tz Před 9 měsíci

      ​@@Commentspluswhy infinix😂😂

    • @jovintosssi3287
      @jovintosssi3287 Před 9 měsíci

      ​@@Commentsplus watu wa infinx utawaweza ww😂😂

  • @halimabakari2280
    @halimabakari2280 Před 9 měsíci +5

    Huo mlio mpunguze maana hata hatusikii vzr🥺

  • @GemaMaleko-zf7tg
    @GemaMaleko-zf7tg Před 9 měsíci

    Duuuh pole na hongera Sana kwa msimamo wako

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před 9 měsíci +3

    muhaya mwenzangu ongerasana kwakuwa mujasiri

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Před 9 měsíci +3

    Uwemakini Sana. Asijekukupigia mwenyewe akakudhuru.

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 Před 9 měsíci +3

    af wew katto kapumbavuuu yaan baada yakukwambiaaa ivo ilitakiwa usepeeee yaan unavumiluaaa nn ssa 🙄🙄🙄

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před 9 měsíci

      umeshaambiwa amekuja kutafuta maisha na hana ndugu hana hata mia mbovu mi nazani alikua anasubili apate huo mshahala wake ndio aondoke lakini mshahala wenyewe kapewa 20k nakaambiwa zingine ad huyo shetan ajisikie kumpa😢 sasa angefanyaje😢

  • @hakambashe8421
    @hakambashe8421 Před 9 měsíci +1

    Usalama Ndo ulitakiwa uwe unawapeleka pasipo julikana watu kama hao sio wapinzani. Nchi za magharibi hazitajua achen uoga anzisheni kampene ya "Kupelekwa pasipo julikana".
    Naaamin wanamitandao mikubwa kutoka mataifa yakishoga sema Kampen pasipo julikan itafaaa

  • @mithlaabdulrahim8566
    @mithlaabdulrahim8566 Před 9 měsíci +2

    Inalillahi wainailaihi rajiun...yaarabi tuepushe na hizi fitna ...mtihani mzito wawahi daaahh....taifa hatuna 😢😢😢😢

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu Před 9 měsíci +3

    Mungu tulindie watoto wetu

  • @anjelinakaniki9162
    @anjelinakaniki9162 Před 9 měsíci +3

    Jamani tunaenda wapi kwahali hiyo mungu akufanyie Wapesi na watoto wetu

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Před 9 měsíci +2

    Mnazingua sana mnakata kata sauti ya nn wakati inatakiwa tuwajue ili tujifunze

  • @mohamedyusuph7824
    @mohamedyusuph7824 Před 9 měsíci +1

    Mwanang pole xn tena napenda kukupa hongera n mungu akulinde pia tapakanya no zk maan tunamupgopa asituharibie wanetu, pia sheria ifate mkondo wake

  • @kelvinmkondoa9558
    @kelvinmkondoa9558 Před 9 měsíci

    ayo tv mwenyezi mungu awasimamie na kuwalinda kila hiitwapo leo na pia naiyomba selikali hiifanyie kazi hii lipoti kuokoa jamii ya vijana wa kiume

  • @ShakiraHamisi-si9yx
    @ShakiraHamisi-si9yx Před 8 měsíci

    Pole sana dear

  • @Happy-tx7p
    @Happy-tx7p Před 9 měsíci +4

    Mung amekusaidia kijan kwa iman yk pole san😢

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Před 9 měsíci +11

    Uyu kijana asingetaja namba yake kwa usalama wake ni mdogo😢

    • @De_lima98
      @De_lima98 Před 9 měsíci +1

      Wameficha majina wametaja namba

  • @user-zj5hm5lj5m
    @user-zj5hm5lj5m Před 9 měsíci +2

    Sheria yakunyongwa irudishwe mzee kama huyo anyongwe tu

  • @hawasaid2670
    @hawasaid2670 Před 9 měsíci +1

    Subhanallah allah 😢😢😢😢😢

  • @navioma4882
    @navioma4882 Před 9 měsíci +8

    Dunia ina mambo sana

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 Před 9 měsíci

    Aiseee ndo maana jua mpaka bonyokwa ni kali sana😂

  • @user-kd7ey2mu7p
    @user-kd7ey2mu7p Před 9 měsíci +1

    Allah anamuona uyo mzee mshenzi hukumu ataikuta kesho kwa Allah

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Před 9 měsíci

    MUNGU atuepushe wanaume sis na vizaz vyetu....kwann mnawafanyia watot wakiume kwan wakike amuwaon daaaah MUNGU atusameh aisee

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 Před 9 měsíci +1

    😢😢😢😢SubhannaAllah

  • @polycarpykavishe9001
    @polycarpykavishe9001 Před 9 měsíci +5

    Huyo mzee wakitambo nlipokuja mjini nlimkuta na harakati zake ni miaka mingi sana... Japo nlikua mdogo ila nliona mengi sana maana tulikua majirani sema nn vijana tuache tamaa tutafute kilichoriziki yetu cha kumpendeza Mungu maana mzee hamlazimishagi mtu vijana wanajipelekaga wenyewe

    • @JBB875
      @JBB875 Před 9 měsíci

      Kweli

    • @JBB875
      @JBB875 Před 9 měsíci +2

      Kweli Kitambo sana uyu mzeee na ana pesa kweli na ana Nyodo za atar, alafu anadanganya sana watoto wa watu, tena vijana wadogo wadogo na sidhan kama ana uzima wa afya… apo si alimwambia atampa io milion 5 lakin asingempa.. ni mbaya sana uyo baba na sijui kama hatumii nguvu za giza… Yan ni wa muda sana uyo baba … ni wa miaka na miaka, na ni mweupe mweupe ivi, na inasemekana sio mzima, eneo analokaa kama sikosei ni nyuma makaburini msewe i

    • @zenarzchenga2631
      @zenarzchenga2631 Před 9 měsíci

      Kwanini msimshtak

    • @polycarpykavishe9001
      @polycarpykavishe9001 Před 9 měsíci

      @@JBB875 yap ndio huyo huyo ni wakitambo balaa yan vijana wameliwa balaaa wameliwa sana na anajiamini wala hanaga wasiwasi

    • @arthurdonnietello9691
      @arthurdonnietello9691 Před 9 měsíci

      ​@@zenarzchenga2631wanaogopa hata kutaja jina lake, watamshtaki vipi

  • @kiehbhzh7044
    @kiehbhzh7044 Před 9 měsíci +2

    Duuh mtihani wallah😢 uko mwisho mmeharibu kuweka namba

  • @ramadhanideu6444
    @ramadhanideu6444 Před 9 měsíci

    Inalillah wainaillaih rajiun yaarab inshaaallah tulindie vjana wetu daaah..😢😢

  • @Trys6254
    @Trys6254 Před 9 měsíci

    nakubari sana bro bakari upo makini sana kwenye kufatilia issue sentive

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Před 9 měsíci +4

    Taaa hizo ndio zilizo fungwa uwanja wa benjamini mkapa jaman mbn hatushituk

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION Před 9 měsíci +1

      Hata hii African league,,,lengo nahisi ni Hilo ulaya naskia Kuna mataifa yaligoma, angalia junsi mashindano yenyw yanavoendeshwa ndani ya sku 20 eti mshindi bilioni ngapi .....ila hii ni vita ya kisaikolojia ,,,ni kuwa makini kiakili

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 9 měsíci +1

    Tanzania ime oza mna karibisha laana katika taifa lenu na serikali kama haijali matokea maovu yaliopo hivi sasa kumbukeni nanyie wanenu watafikiwa n'a hili janga 😢

  • @Tatuhamza-me6oe
    @Tatuhamza-me6oe Před 9 měsíci

    Subhanallah😢

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 9 měsíci +1

    Kwann usingetoroka unawezaje kuvumilia ujinga hv hata kama n shida hapana jmn

  • @tatotato506
    @tatotato506 Před 9 měsíci +2

    JAMANI MAMA SAMIA UYO MZEHE MFATILIENI AKAMATWE AFUNGWE MSHENZ UYO MBWA KABISA

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před 9 měsíci +4

    Sizani kama nisawa huyu kijana kutowa namba yake wanaweza ukampoza

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 9 měsíci

    Mungu hatunusuru na vizaz vyetu

  • @user-xf3mg6qr7d
    @user-xf3mg6qr7d Před měsícem

    Yaan huu mtangazaji kazinguwa sana mtu atahajielezi vizr unahoji tu hupi ata nafsi ya kujihoji

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 9 měsíci +2

    Kwani kumchukulia chakula huwexi weka sumu? Ungeweka sumu ya panya.Hiyo nyumba ni mavi2 tu.

  • @anandennko3383
    @anandennko3383 Před 8 měsíci

    Mungu akutunze kijana kama kweli uliweza kupingana na hilo aisee kwanini wasiende kumvamia aende maabusu hyo atakuwa ni mshirikina kabisa huyo

  • @prettyshani9767
    @prettyshani9767 Před 9 měsíci +1

    Kama huyo baba alikuwa anajichoma sindano kwenye tumbo na mapajani na anakunywa sana soda itakuwa anaumwa kisukari..

  • @ramadhanideu6444
    @ramadhanideu6444 Před 9 měsíci

    Yáallaah mjaalie uyo maluun kifo chenye kukufedhesha

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před 9 měsíci

    Wewe ndugu mwandishi mbona kama unamtisha uyo Dogo 😅😅😅😅😅

  • @hawasaid2670
    @hawasaid2670 Před 9 měsíci +1

    Pole sana kaka 😢

  • @marrypius576
    @marrypius576 Před 9 měsíci +2

    Huy mzee achukuliwe hatua alafu akatwe hilo dudu lake pumbavu kabisa

  • @khatibumpare6865
    @khatibumpare6865 Před 9 měsíci

    Vijana tufanye kazi vijana tufanye kazi haya Mambo ya Bure Bure haya yatatumaliza vijana

  • @JansanMokiwa-hr6hl
    @JansanMokiwa-hr6hl Před 9 měsíci +4

    Milard Ebu njooni mnioji na Mimi nitamipa Mambo Mazito sana 😭😭😭

  • @scholamodestus9386
    @scholamodestus9386 Před 9 měsíci +7

    Hizo taa nahisi ni camera, zinafungwa hata nje ya gate mtu akifika getini inawaka unaona nani kacmama nje

    • @jescarkinabo6281
      @jescarkinabo6281 Před 8 měsíci

      Napajua Ni kwelii Pana taa Kuna siku mtoto akawa anabonyeza hiyo taa akatoka mkaka akataka kumvuta Yule mtoto akakimbia alikimbia nae mpk anafika kwetu huku alivyoona watu wengi akarud ilibid tumpige Yule mtoto na kumuonya maana angerud kuja kuendelea kuchezea taa tukawa tushasanuliwa hii nyumba Ni ya mashoga😭🙄