"UGUMU WA MAISHA NIKAAMBUKIZWA UKIMWI GEREZANI, NASUBIRI KIFO, NDUGU WOTE WAMEFARIKI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • #HIV #millardayo #ukimwi

Komentáře • 1,4K

  • @sweetmama6885
    @sweetmama6885 Před 5 lety +11

    Jamani nawaomba wenye cm ya kuingia huku, mkikutana na huyu kaka muonyesheni hizi comment za humu asome. Hilo tabasabu lake litaongezeka mara laki 9😁. Jamani ni mzuri. Ana smile nzuri. Eeeh...! Mungu baba mwenyenzi muumba wa mbingu na dunia, nakuomba umfungulie huyu kaka njia sahihi katika maisha yake. Umpe baraka zako siku zote za maisha yake, furaha, amani, upendo, afya njema na maisha marefu vikatawale kwake. 🙏

  • @edithdickson3090
    @edithdickson3090 Před 4 lety +36

    Dah! pole sana kaka!, Matatizo kwa Mwanadamu kawaidaa Mungu anampango nawewe, jamani Bajaji inauzwa Million5, na tulioguswa humu ndani ni zaidi ya watu 3000 Embu tukunjue mioyo yetu tuoneshe mapenzi kwa huyu Mtanzania mwenzetu Aweze pata faraja tujichangishe kutoa ni moyo na wala sio utajiri.

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo564 Před 5 lety +41

    Pole sana kwanza hongera kwa kuyakubali maisha hayo ya kuishi na maradhi pili msamehe huyo aliyekupeleka jela,ushauri wangu kwa wengine ikitokea bahati mbaya umepelekwa jela na huna ndugu usikubali kutumia kiwembe kilichotumiwa na mtu mwingine bora uwaambie hao maaskari wakupige tu maisha ya jela nayafahamu nimekaa humo askari magereza karibu 87% wanaroho mbaya SANA bora ukae na nywele zako zote mpaka zikukere,mabwana jela hivi kweli mnawafanyisha kazi wafungwa mnashindwa kuwagawia viwembe vya kutumia?jifikilieni sana kwa hili ndio maana huwa mkistaafu mnakuwa na maisha mabaya sana kutokana na roho zenu mbaya mnapokuwa kazini

  • @geofreyjulius377
    @geofreyjulius377 Před 4 lety +5

    Natangaza uponyaji kwako kwa Damu ya Yesu,hautakufa in Jesus Mighty Name,pepo ukimwi hatakatiza maisha yako in Jesus Name.Yawezekana ujumbu huu usiuone lakini Mungu wetu ni mwema anasababisha uhai tena ndani mwako.Ukienda kupima hautakuta huo ugonjwa tena .na mpokee Kristo Bwana yeye atayatengeneza maisha yako upya.

  • @rahmachuji853
    @rahmachuji853 Před 5 lety +103

    Mungu akufanyie wepesi ufanikiwe upate Kazi 🙏Du Yani machoz yame nitoka kwa Kweri usiombe ya kukute

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 Před 5 lety

      Rahma Chuji tunamsaidiaje huyo jamaa jamani? Mie nipo nje ya bara la afrika

    • @rahmachuji853
      @rahmachuji853 Před 5 lety

      @@antoinea.katembo5326 0788540869 namba Yake iyoapo

  • @williamreuben9108
    @williamreuben9108 Před 5 lety +195

    Dah God anaweza kukupa maisha marefu kuliko ss wote

  • @doctorgames5011
    @doctorgames5011 Před 5 lety +12

    TBC lazima wajitafakar upya...Hakika unaweza usitazame TBC na ukapata kila habar lakin ukitazama TBC tu utapitwa na kila kitu...Ingekuwa antibiotic in Medicine Ningesema Ayo TV ni Broad Spectrum!

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 Před 5 lety +37

    Usikate tamaa broo bado uko fiti,Maambukizi sio kifo,,,,
    Na bado una nguvuuu freshiiii.....
    Utapata kazi naaminiii in Jesus Name....
    Love from Zambia

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Před 5 lety +28

    Pole sana brother, Mkasa wako unagusa sana . Tunaamini Mungu atakusimamia kwa kila hatua.
    JAMANI COMMENTS SASA NI 435, KILA MMOJA AKITOA TSH 2,000/- TUTAKUWA TUMEMSAIDIA WALAU KIDOGO, SI LAZIMA UWE NA KIKUBWA. TUMA KWNY NAMBA YAKE, MIMI PIA NAFANYA HIVYO SASA.

  • @josephinaclement2129
    @josephinaclement2129 Před 5 lety +36

    Pole sn kk, ila kuugua ukimwi sio mwisho wa kutimiza malengo yako.naamin kila jaribu lina mrango wa kutokea, ipo ck utakuwa sawa na maisha yataendelea

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 5 lety +29

    Kila Kitu hutokea Kwa sababu ndugu yangu,mwamini MUNGU tuu,utaishi maisha marefu mpk ushangae broo,usikate tamaa,duniani wote tunaishi Kwa Neema tuu

  • @queengee988
    @queengee988 Před 5 lety +46

    😭😭😭😭jamn daah tabasam zuri hiv lakn anataman kufa😢😢mpk tymbo limeum mungu akufanyie wepes usikate tamaa

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 Před 5 lety +194

    Yaani wewe kijana mzuri kweli wa sura, unatabasamu Zuri, na kuumwa sio kufa, natamani upate mfadhiri mambo yako yaende.

  • @casandrahhelman7639
    @casandrahhelman7639 Před 5 lety +31

    Jamani Cabayser dah. Pole ndugu yngu. Nakumbuka ulikua driver wangu mzuri tu.😢😢😢 m/mungu akupe nguvu mpnz.

    • @theresaeward4933
      @theresaeward4933 Před 5 lety

      Please help me even secretly

    • @ismaelmatano3571
      @ismaelmatano3571 Před 2 lety

      Hi I'm from Kenya pliz if you know this guy I think we can help him casandrah pliz

  • @twobrothers8228
    @twobrothers8228 Před 5 lety +10

    Inasikitisha Sana ila Huyu Kaka anahitaji Spiritual healing kwanza hizi Kanisa zetu jamani Mpeni Kazi kanisani Naona Mungu Ana kusudi naye amtumie Kama chombo chake ili watu wamjue , anaweza Hata kuponywa, 😭

  • @antybabybintrashid2333
    @antybabybintrashid2333 Před 5 lety +4

    Subhanallah what a inocent soul ata uyo alokupeleka segelea akiona hino vdeo atajihukumu

  • @bintikiziwi4600
    @bintikiziwi4600 Před 5 lety +5

    Pole sana kakangu Mungu amponye aki,but ni handsome hata mimi naeza mpenda na hyo avya yake hivo he's so cute wallahi

    • @evanslawrence7764
      @evanslawrence7764 Před 4 lety

      Binti Kiziwi
      na wee ni binti kiziwi kweli, yaana anakwambia yeye ana umwa ukimwi, huku unamtamani' endelea tu na kujifanya kiziwi uta ula wa chuya kwa uvivu wa kuchambua

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia6066 Před 5 lety +75

    Nakuombea Mungu akupe kazi na sehem ya kuishi akupe na mke mwenye kukupenda ili usirudi nyuma kwa lolote eeeee Mungu skia kuomba kwangu🙏🙏🇧🇮

    • @verossapaul7213
      @verossapaul7213 Před 5 lety

      Frola nitetee mtafute atakusaidia🙏

    • @uwamahoroemanuel4020
      @uwamahoroemanuel4020 Před 4 lety

      Abantu bagwaye sida nibeshi gusa bomufasha kumuha icoyokola

    • @kabwelerywamwatumu5078
      @kabwelerywamwatumu5078 Před 2 lety

      Awe na mke namehasirika?

    • @kabwelerywamwatumu5078
      @kabwelerywamwatumu5078 Před 2 lety

      @@ywydhhd7941 ivi wewe unaona aoe mwenye ukimwi mwenzake au? Mimi naishi Finland 🇫🇮 ukigundulika una ukimwi na wakijua wewe umemwambukiza mtu fulani utafia ndani maishayako yote.

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 Před 2 lety

      @@kabwelerywamwatumu5078 yes mweny ukimwa mwenzake tena ndoa takatifu , hata asiye na ukimwi, ukifuata masharti

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 3 lety +3

    Mwenyezi Mungu atakuponyesha inshaallah.
    Anza kutumia dawa upate Kinga ya mwili.
    Na endelea na maisha.Kazi iendelee

  • @santalover
    @santalover Před 4 lety +8

    Mungu anaweza kukuponya there’s hope to those who believe in God trust me brother unaweza kupoana kabisa na maisha yakaendelea kabisa

    • @marthajohn9120
      @marthajohn9120 Před 2 lety

      Kweli kabisa, haende madhabau sahihi, kwa PROPHET SS ROLINGA

  • @Majambo_Duniani_Tv
    @Majambo_Duniani_Tv Před 5 lety +16

    Pole sana kaka,. Mungu akutie nguvu uyashinde ya dunia. Kaka UKIMWI ni ugonjwa wa kawaida tu, magonjwa mabaya yapo mengi na yasiyo na tiba,. Kansa, Sukari, Ebola na mengineyo ni mabaya sana pengine kuliko ukimwi., Mungu nisamehe kama nimekosea. Be strong bro, our ALMIGHTY GOD IS WITH YOU..

    • @mutalemwagabriel2277
      @mutalemwagabriel2277 Před 5 lety

      😭😭😭😭😭😭

    • @j-sonlian8053
      @j-sonlian8053 Před 5 lety

      Hepatitis B( ugonjwa wa ini ni hatari kuliko UKIMWI)

    • @judymasunzu7517
      @judymasunzu7517 Před 5 lety

      Daah pole sana kijana. Mungu akuangazie nuru yake upate mfadhili. jamani wenye nyumba zisizo na wakaaji mpeni huyu kaka chumba. Duuh kesi ya kuiba Bajaji rumande miaka 2!?

    • @devothadonaldsimbi3499
      @devothadonaldsimbi3499 Před 5 lety +2

      @@judymasunzu7517 Mimi nyumba yangu Haina mtu wa kuishi kumbe Kuna binadamu wanahangaika Hawana pa kulala jamani laiti ningalikuwaTanzania ningemsaidia

  • @villageboysinatra
    @villageboysinatra Před 5 lety +139

    Acheni Kutoa sifa nyingi na pole ..
    Suala jamaa anahitaji msaada mnamsaidia vipi mtanzania mwenzenu???

    • @samahstyles6776
      @samahstyles6776 Před 5 lety +2

      Villageboy Sinatra very true a lot of comments how do we help him does any one know him

    • @bensonisilivery6572
      @bensonisilivery6572 Před 5 lety

      Point

    • @nataemsuya
      @nataemsuya Před 5 lety +5

      Watz ni wazur wa dua, sio pesa. Utasikia Diamond msaidie jamaa.

    • @mahmoudmwavula6182
      @mahmoudmwavula6182 Před 5 lety

      Kweli kabisa msaada ndio muhimu pole nyingi sana nimeona hapa

    • @Oman-bi2ej
      @Oman-bi2ej Před 5 lety +1

      yes ur right....my friend for nothing this people has not talks the point.. .but still ur handsome so what if he is handsome....now let's see how together all of as going to help him

  • @lucyjoachim8319
    @lucyjoachim8319 Před 5 lety +4

    Tabasamu lako lisiishe usoni....mungu katupa maisha bila tarehe ya mwisho....tunakufa kila siku kifo kipo tu hakikwepeki MUNGU AKUPE NGUVU .

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 Před 5 lety +1

    Yupo Mungu bro anayeweza badilisha maisha yako na ndie tumaini letu sote. Tafuta Mtumishi wa Mungu anayeweza kujenga upya ufahama wako. Pia watz tumsaidie ndg yetu

  • @giftmlange3327
    @giftmlange3327 Před 5 lety +7

    😭😭😪😪mweee mwanangu Mungu akufanyie wepesi akuponye na akawe faraja akuponye kwa damu ya Yesu mwanangu 😭😭😭😭😪😪

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania Před 4 lety +3

    Nahisi kupitia kujitangaza na kujiweka wazi kwa ndugu yetu huyu iwe nafasi kwa selikali kupitia na taasisi zinazopambana na Ukimwi kumtumia kwenye matangazo ya kuhamasisha vijana kupima afya zetu.... Mungu akubariki Kwa utajiri wa uthubutu aliokupa.... Hautakufa utaishi.

  • @pillykenedy2140
    @pillykenedy2140 Před 5 lety +9

    Natamani kukusaidia ila sina uwezo😭😭😭😭

  • @nelsonlema4330
    @nelsonlema4330 Před 5 lety +45

    Wadau takribani 606 wamekomenti hapa, tukumbuke haoni hizi komenti, njia muafaka ni vitendo...mfano tungeweza kutuma hata elfu moja 1000/ kwa kila mmoja angekuwa na njia ya kuanza. Mathalani apange room ya chumba kimoja na kiasi anachoweza kupata pia kinaweza kumpa mwanzo wa kuwa na kitu endelevu cha kukabiliana na maisha. Jiulize ungekuwa ni wewe?
    Mimi nimeshamtumia teyari kiasi kidogo, naamini kitampatia mwanga kidogo. Asante Ayo TV.

    • @zainaommy5475
      @zainaommy5475 Před 5 lety +1

      Kweli jmn tungeunda ata grupu la whts up la kuchangia km ivi ndo thawabu zenyewe

    • @zainaommy5475
      @zainaommy5475 Před 5 lety

      Mungu akubark sana

    • @zainaommy5475
      @zainaommy5475 Před 5 lety

      Tuungane ata mia 500 buku kutoa ni moyo sio utajr dah

    • @yusuphkwaya7843
      @yusuphkwaya7843 Před 5 lety

      Nelson Lema nikweli kaka kumbuka umeongea poit nzuri Sana jaman tumwekee japo kidogo kimsaidie yuko kwenye mazingira magumu Sana

    • @yahyamwadini5768
      @yahyamwadini5768 Před 5 lety

      Ni kweli hii rai nzuri kabisa tumtukie direct bubu buku

  • @ummuismail7597
    @ummuismail7597 Před 5 lety +3

    ni mcheshi kaka hadi nimekupenda...sio mwisho wa maisha kula dawa zako vizuri...mungu atakusaidia in sha Allah

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 Před 5 lety +90

    kapime Tena!.......Mungu Atatoa Ayo Maradhi Niamini mimi brother ukikaaa nenda kapime tena

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 Před 5 lety +2

      Oscar oscar Oscar;;Mm niko ZNZ lkn nimeshindwa kuimaliza hii story,,hebu nisaidie mawazo broo 2msaidie vp huyu ndg ye2
      UKITAKA KUJUWA UCHUNGU WA HILI JAMBO IFIKIRIE NAFC YAKO WW KAMA YANGEKUKUTA WW BINAFSI.

    • @poureenkunambi6413
      @poureenkunambi6413 Před 5 lety +3

      Oscar oscar Oscar in JESUS NAME

    • @marrionwatima797
      @marrionwatima797 Před 5 lety

      @Jojo Hihi amen n amen

    • @mpondaahamida2146
      @mpondaahamida2146 Před 5 lety +3

      Nikweli, inawezekana ktk jina la Yesu.

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 Před 5 lety +7

      kapime tena na tumia black seed kila siku tena tembe saba tafuna kwa muda wa miezi mitatu utapona kwa uwezo wa mwenyezi mungu.Nenda kwa abdu swamad pale kariakoo karibu na stendi ya mwenge ni mtaalam wa dawa za asili

  • @zainabissa7986
    @zainabissa7986 Před 2 lety

    Such a Handsome with very nice smile, Binafsi ntakutafta. Usimuache Mungu anampango mzuri sana na wewe na ugonjwa ulionao utapona kabisa na maisha yako utayafurahia.. MTEGEMEE MUNGU...

  • @ezzy_e2450
    @ezzy_e2450 Před 5 lety +12

    Kuna MALKIA WA NGUVU NA jasiri,,, mnaonaje tukaanzisha na MFALME WA NGUVU jasiri,, kwanza pole bro we NI MFLAME WA NGUVU NA JASIRI, Tumsaidie km kijana mwrnzetu linaumiza kwa kweli dah!!!

  • @annen3923
    @annen3923 Před 5 lety +18

    This is so sad and painful. Kakaangu kile naeza kukuambia ni kwamba, usife moyo maana Mungu ni muweza wa yote. Kua na virusi si mwisho wa maisha. Our God is a great healer. He is the father to the fatherless and he will heal you if only you believe. Please give your life to Jesus and expect his miracles in your life. Don't try to kill your self or hurt your self in anyway. God loves you and he cares about you. I wish l can reach you and give you courage but l will still remember you in my prayers. Be healed in Jesus name

  • @annekayi273
    @annekayi273 Před 5 lety +4

    Story yako ndungu inaguza natumai umepata usaidizi jameni watazania msimuache huyu kijana angaike kijana mzuri jameni mfugulieni ata kama nibiashara apate kibaji cha maisha agekua Kenya nigemkombolea kanyumba kidogo na nimpe kabiashara ajiendeleze kimaisha mungu akusaidie ndungu

  • @salimamasanja4659
    @salimamasanja4659 Před 5 lety +1

    Kikubwa kua na ujasili na kujikubali pindi unapopata matatizo makubwa,hongera my kaka kwa ujasiri huko vizuri sana,mungu akupe maisha marefu na uelewa,pole sana

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 Před 4 lety +1

    Dah! Mwenyezi Mungu akujaalie pakuishi na pia kazi inshaallah Mungu ndo mtowaji kaka Ake utapata na na ukimwi sio kifo bro aisee mpaka umeniliz kbs tamasam lako yan dh 😭🙏🙏🙏 Mungu mjaliee kijana wako nina imani kilakitu anetowa ni wewe Mungu 🙏

  • @aishavogelmann6735
    @aishavogelmann6735 Před 5 lety +5

    Amini Mola utaishi maisha marefu....Insha allah kila kitu itakuwa sawa....😭😭😭.......Insha allah mola atakufungulia nautapata bajaji yako kuwa na imani .....Hakuna kitu kubwa mbele ya Mola ,na hakuna kinamshinda....🙏

    • @stanpeter1076
      @stanpeter1076 Před 4 lety

      Very sory man, yote yanapita usikate tamaa.

    • @mamaenjoymamaprince6919
      @mamaenjoymamaprince6919 Před 3 lety

      Pole Sana mwananguu mwenyezi MUNGU azidi kukupa ujasiri na Afya njema mwenyezi mungu amekuandalia mema ondowa mawazo ya kujiuwa mwananguu frank

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety +3

    Kaka mzur Mashaallah, kuumwa
    Cyo kufa,kwanza ww huumwi yaan tu ni cdf zimepungua bado kijina na unanguvu , tena unaweza kufanya kaz na ukaanzisha familia yako

  • @abdallahjuma242
    @abdallahjuma242 Před 5 lety +1

    Pole sana bro InshaAllah hakuna kitu kinachoshindikana mbele ya ALLAH ... atakufanyia wepesi wa kila jambo lako na utarudi kwenye maisha yako ya furaha.

  • @DAUDIMADELEM
    @DAUDIMADELEM Před 2 lety +2

    Kuna muda tunapaswa kujifunza kwa kusikia kuliko kuona mwamba ana roho ya dhahabu Mungu ampe maisha marefu mema Sana. Mungu hutuambia vitu kutumia watu hili ni funzo 🙏🕊️🕊️🕊️🕊️

  • @rahmasuweyd827
    @rahmasuweyd827 Před 5 lety +5

    Wallah inatoa machozi Allah ampe shifaa na ampe kazi in Sha Allah

  • @williamcasmir5068
    @williamcasmir5068 Před 5 lety +3

    Daaaaaah Pole Sana Kaka Mungu Atakusimamia Kwa Kila Hitaji Unalo Hitaji"""Unafurahi Na Marafki Zako Moyoni Unamaumivu Yasiyo Futika 😢😢

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Před 5 lety +2

    Allaah Amuhefadhi in sha Allaah. Maadaam ana imani na moyoo wa subrah.na MashaAllaah mcheshi.Allaah Atamsitirih na kumfunguliyaaa Ayatakayoo.na kulaa mwenye shidaa Allaah Atawafunguliyaaa.kkwa mwenyezimngu kwake nikunfaa ya qoun..

  • @ruthjmkombozi5990
    @ruthjmkombozi5990 Před 5 lety +1

    Daah pole sana kaka angu, nimejisikia vbaya sana kwa hii story, hukutakiwa kupitia yote haya, Mungu ni mwema atakusaidia

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 Před 5 lety +31

    Daa nimeumia mm daa 😢😢jmn mpeni Dada frola atamchangishia

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 Před 5 lety +13

    Nimetokwa na machozi na kulia😭😭 mwenyezi mungu akulinde akuhifadhi kuwa na maisha mema

    • @RAFIKI_TANZANIA
      @RAFIKI_TANZANIA Před 5 lety

      0712927987
      PIGA SIMU TUUNGANE KUMUINUA NDUGU YETU DUNIANI TUNAPITA LEO KWAKE KESHO KWETU POLE HAISAIDII WALA KULIA HAISAIDII MWENZETU ANAZIDI KUTESEKA LAKINI KUMBUKA UMOJA NI NGUVU TUNAWEZA KUMFANYIA JAMBO LA MSINGI NAYE AKAJIHISI MTU KATIKA WATU.
      KAFIBUNI SANA CHANNEL YANGU INAITWA MAPITO NA HII NAMBA YANGU NAPATIKANA MUDA WOTE NA IPO WHATSAP
      JIUNGE NASI NITAKUUNGA GROUP LA WALE TULIOAMUA KUFANYA JAMBO KWAAJILI YA KIJANA MWENZETU.

    • @gracenavilo7946
      @gracenavilo7946 Před 2 lety

      Usiogope Anza kunywa dawa ,,hutakufa Bali utaishi

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 Před 5 lety +30

    Maisha bila Mama nimagum Sana aisee mungu amrehem mamangu

  • @hassanbazi8790
    @hassanbazi8790 Před 5 lety +3

    Pole sana kaka inshaallh kwauwezo wa (allha) inshaallha utapona kwa jili yake inshaallha bada ya siku 6 kapime tena inshaallh 🇹🇿

  • @mwanaidally4368
    @mwanaidally4368 Před 5 lety +21

    Dah nipo tayari kuishi nawewe bila kubangua afya yako ngoja nikutafute umeniumiza san

  • @saumushabani1628
    @saumushabani1628 Před 5 lety +38

    Pole sana kaka yangu

  • @softymoha5484
    @softymoha5484 Před 5 lety +6

    Hakii,,, nimeumia kama mzazi tumbo limechemka. Usijali Allah atakuponya insha allah ameen. Nawapenda ndugu zangu salamu zangu kutoka kenya

  • @fadiasly5001
    @fadiasly5001 Před 5 lety +4

    Pole kaka umeniliza jamani halafu upo na matatizo lakini unatabasamu jamani mwenyezi mungu akuondolee hayo maradhi jamani 😭😭😭😭

  • @hamidahamadi3609
    @hamidahamadi3609 Před 5 lety +5

    Huyu kijana kaniumiza sn wallah dah Allah akufanyie wepesi Inshaallah

  • @vivaidaramsy7415
    @vivaidaramsy7415 Před 5 lety +13

    May Gods Favour Locates And Healing is your portion

    • @janejohn1083
      @janejohn1083 Před 5 lety

      kaka nimekupenda tabasamu lakomungu akutienguvu piakuwa naukimwi siomwishowa maisha .

    • @judithkatembwe277
      @judithkatembwe277 Před 3 lety

      Jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @bosskubwa2727
    @bosskubwa2727 Před 4 lety +1

    Broo Mungu azidi kukulinda, Njia yako safi na una Moyo Mgumu. Ipo siku maisha yatanyoka MUNGU YU PAMOJA NAWE KAKA

  • @dogogaga8804
    @dogogaga8804 Před 5 lety +1

    Dah! Pole sana mwanangu {#Kabaisa!} Kila hatua dua Mungu azidi kukupa Afya Njema.

  • @mamaprose9800
    @mamaprose9800 Před 5 lety +28

    Daaah inauma sana😢😢pole sana kaka angu mungu atakufanyia wepes

  • @rashidimuhibu6832
    @rashidimuhibu6832 Před 5 lety +3

    Daaah hii story imenitoa chozi bro kwa kweli you are strong boy kaka
    Allah atakuweka milele daima na utapata hitaji lako

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před 5 lety +1

    Pole brother, kuugua kwa ngoma sio mwisho wa maisha wala sio mwisho wa ndoto zako usikate tamaa maisha ayana formula shida na raha tunapitia mungu akupe afya njema na maisha marefu mungu akusimamie kila unalo nia nalo.

  • @jumahussein520
    @jumahussein520 Před 5 lety +8

    Daaaah kafyome msela wang my hood brother pambana mm ntakua dar mda c mref takutafta ndug yang miaka ming sanaa kaka yan 2nakuja onana ukiwa katka hal hii ine love blood myng atafanya wepes

  • @fintaniferx9535
    @fintaniferx9535 Před 5 lety +43

    Kweli ni tatizo ila broo ila kutotumia dawa badala ya kuishi myaka ishilini utaishi kumi kwaiyo meza dawa kuna watu washa ishi na mahambukiz myaka 30 bado wana kula maisha2 ndugu ata dalili za kufa awana kabisa kwaiyo meza dawa ndugu

    • @mariampaul9271
      @mariampaul9271 Před 5 lety +1

      Pole sana kaka Mungu atakusaindia

    • @parma786
      @parma786 Před 5 lety

      Brother F, tafadhali ukipata dawa we meza na mtangulize Allah kwa Kila unalotaka kufanya inshallah kwa uwezo wake mwenyezi mungu utafanikiwa kupona kabisa na utapata maisha marefu na pia utapata kazi nzuri mapato mazuri na utaishi maisha mazuri na familia yako usikate tamaa amin hivyo Kila kitu hapa chini ya jua kina ungozwa na ALLAH SUBHANA WA TAALA ameen, (pole sana my brother)

  • @magrethjohn8576
    @magrethjohn8576 Před 5 lety +12

    Watu wana ukimwi miaka nenda rudi wanaolewa na wanaoa na wanazaa watoto salama na wnafurahia maisha yao!usiogope kifo kipo popote.

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 Před 2 lety +1

    Bhanaaa ukiwa na ukimwiii haimaaanishi huna haki ya kufanya mapenzi wewe ni binadamu hata huyo mwanamke wako kama akikutaka tena be hers na tafadhari u can get somebody who can love you 😍 UKIMWI sio mwisho wa maishaaa kijana mwenzetuuuu usifikirie kujiua baba😓plz unanafasi ya kuwa mwanaume tenaaa baba wa familia na ukazaa watoto wengine ambao hawana maambukizi tafadhari mwenye namba ya huyu kaka tafadhari

  • @castoadriano1753
    @castoadriano1753 Před 4 lety +5

    "Silver and gold I have not what I have I give you in the name of JESUS" BE HEALED
    Act 3:6 (TLV Version )

  • @irinemacha2951
    @irinemacha2951 Před 5 lety +64

    Baba wa
    Mbinguni nakuomba umtie nguvu kiumbe wako kwaanayoyapitia. Kiukweli inauma sana

  • @milcahjosiah3967
    @milcahjosiah3967 Před 5 lety +8

    Duuuh kaka mzur wew jmn polee😭😭😭

  • @gersonjohn4353
    @gersonjohn4353 Před 5 lety +5

    Mungu akutie nguvu , dah maisha yanachagamoto nyingi sana kuumwa sio kufa chamsingini kutokukata tamaa na Mungu atafanya njia katika maisha yako

  • @evelynmon9423
    @evelynmon9423 Před 5 lety +1

    Usikate tamaa ndg yangu Mungu yupo aponyae atakuponya wewe nenda makanisa ya kiroho mpokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wako atakuponya kuna maisha mazuri ndani ya Yesu wewe ni kijana mzuri sana ukimtumikia Yesu hatakuacha usiangalie mambo ya udini nenda kwa Yesu ukaponywe

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 5 lety +24

    Your very handsome broo,ila tumia Dawa kaka pls,

  • @miriamgasper8792
    @miriamgasper8792 Před 5 lety +16

    imeniuma sana mungu akujalie yaani me na mtoto wa kiume huwa namuombea kwa mungu maana mtoto wa kiume haaminiki wakumsaidia hamna tuombee vizazi vyetu yaani nimelia. mungu bariki vizazi vyetu.

  • @masagabulemela3228
    @masagabulemela3228 Před 2 lety +1

    Hawa wenye hela ni wangese sana wanajiona maisha wameyamaliza na wanaona hakuna kitu mtu unaweza kufanya kama huna pesa ila Daaah pole sana kwa kweli inauma mno

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před 4 lety +1

    Mwanaume ni mwanaume he is very strong though amepitia maisha magumu ,pole Sana dogo yote yataisha tu .

  • @aay2925
    @aay2925 Před 5 lety +3

    Pole Sana kaka Allah yuko nawe usikate tamaa bro ayush from 254

  • @elishalucumay7743
    @elishalucumay7743 Před 5 lety +30

    Mungu akuponye ndugu yangu hayo ni mapito tu 😰😰😕😕

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 Před 2 lety +1

    Mungu akupe moyo wa subra na akufanyie wepesi katika maisha yako uishi kwa furaha.cha kukupa sina dua yangu muhimu sana kwako.

  • @lucasmatonya2332
    @lucasmatonya2332 Před 5 lety +1

    Daaaaah aliyemfunga alikosea Sana kitu kimeishapotea kimepotea hakiwez kurudi ila jamaa nimekukubali Sana Maana hutaki hela ila unataka kazi ili upate hela ya kutumia Daaaaah respect

  • @willyngendakumana6996
    @willyngendakumana6996 Před 5 lety +8

    Dah pole sana bro Mungu yuko na atakusaidia

  • @Alvinjoely91
    @Alvinjoely91 Před 5 lety +16

    Kaka Milard Ayo fanya hata group hivi au tafuta namba tuweze msaidia mwenzetu...Sijambo jepesi kuongea hali yake adharani naomba utusaidie tufanye jambo

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 Před 3 lety

    Pole sana .. mkimbilie Yesu .. huo ugonjwa wamekupandikizia tu.. nenda kwenye maombi kwa Suguye utapona kwa jina la Yesu ..

  • @sabinajoseph6733
    @sabinajoseph6733 Před 2 lety

    Kaka mzr sanaa....lkn uschkuwe maamuzi mabaya nenda hospital jitahidi upte tiba one day utafanikiwa mtegemee ..Mungu htokutupa

  • @esharamadhani3438
    @esharamadhani3438 Před 5 lety +13

    Pole sana !,pole sana kaka Kwatabasam ulilokua nalo Mungu akuzidishie naakufanyie wepesi

  • @rehemaahamadiahmadi566
    @rehemaahamadiahmadi566 Před 5 lety +4

    Lnk uko handsome Sana usijali mungu yupamoja nawe

  • @theopistamganwa7752
    @theopistamganwa7752 Před 5 lety +1

    Ukweli na uwazi wako mungu akusikie kilio chako. Mungu uwafungue wenye mapenzi mema waweze msaidia huyu kaka katika hitaji lake. shukrani zimfikie Mwandishi wa habari hii uwe na moyo huo huo wa kumjali kila mmoja Amina.

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Před 2 lety +1

    Pole sana kaka Mungu akufanyie wepesi wa maisha yako kaka akupe mwisho mwema kaka🙏🤲

  • @davidwilliam1189
    @davidwilliam1189 Před 5 lety +6

    Mtegemee YESU atakuponya, usione kuwa huo ugonjwa unauwa, maana yupo aliyekufa kwa ajili yako, dai haki yako kwenye hiyo Dam

    • @marthasumaye6017
      @marthasumaye6017 Před 3 lety

      Kilichoua ndg zake ndo kilichomtia mikosi yaani maombi tu ndo yatamsaidia

  • @bboyblackfire
    @bboyblackfire Před 5 lety +17

    they see me smile but they don't know what i feel inside 😞 😞 😞

  • @mligosandrah7851
    @mligosandrah7851 Před 4 lety +1

    Mkaka mzuri sana nachopenda umejikubali na una smile mungu atakusaidia

  • @majitube6682
    @majitube6682 Před 5 lety

    Pole saana monyezi mungu atakusimamia inshallah dont give up na nawapengeza saana milard ayo my faveret chanal keept up na kazi nzuri unafanya from mombasa

  • @josephinepatrick6026
    @josephinepatrick6026 Před 5 lety +4

    Dah kwelii bro kuna ndugu# jinaa yaniiii Unaweza ukawa na ndugu wengi lkn ni ndugu jina tuuu...mh p0lee bro Mungu ni mwemà

  • @anusiatadickson3814
    @anusiatadickson3814 Před 5 lety +4

    Kuna mazingira Mungu anaruhusu unayapitie akijua wewe pekee ndio unaweza kuyastahimili, Mwisho wa siku unasema Asante Mungu.... Pamoja na yote kaka wa watu tabasamu lake halijajificha

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 Před 5 lety +2

    NIMEGUNDUA TABASAMU LAKE SIO BALI ANA MACHUNGU ANAJIKAZA KIUME ASILIE.WE Mungu wewe Msaidie Mia wako.mponye.amepitia pagumu hakustahili pigo hili.Mungu nakuomba sana😪.kuishi na Virusi vya UKIMWI SI JAMBO DOGO.mponye kijana wako Mungu nakuomba sana.

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 Před 2 lety

    Pole Sana. Nakushauri uende Ngomeni kwa Yesu Kimara Temboni kwa Mtumishi wa Mungu Kuhani Musa utapona. Wengi wenye HIVwamepona.

  • @ukhutysalmaah1463
    @ukhutysalmaah1463 Před 5 lety +9

    Pole sana kwa mitihani iliyokukuta 😢

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 Před 5 lety +36

    ila wanaume ni wanaume maana kwa stori yako ungekuwa mwanamke angeshatoa machozi dahh pole kaka

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 Před 5 lety +2

    Allah akufanyie wepesi,,🇰🇪Dawa muhimu,brother

  • @yramlozada3587
    @yramlozada3587 Před 2 lety

    Daa pore kaka kwakweri kwenye maisha kuna mitihani nikumshukuru mungu kwakira jambo rakini inahuzunisha

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 Před 5 lety +9

    Watu mlioko Dsm, suala la kwanza mtafuteni huyu mtu mnunulieni simu ya elf 35. Awe na mawasiliano kwanza. Tuanzie hapo. Kisha tumpeni mtaji apewe fremu aanze biashara yake! Ivo. Mpeni simu, tupeni UPDATES

  • @peacemollel2347
    @peacemollel2347 Před 5 lety +1

    Kha! Mungu akupe maisha marefu... Siamini kijana mzuri hv khaaa! Sina neno ila mungu Ni muweza wa yote

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 Před 5 lety +8

    Kabaisa jaman pole best cjakuwona mda sana

  • @bensonisilivery6572
    @bensonisilivery6572 Před 5 lety +4

    Pole sana mr mungu.. akufanyie wepesi na utatoboa2