KIJANA WA MIAKA 23 ALIYEACHA CHUO KISA UMASKINI WA KWAO, ANAINGIZA ZAIDI YA M.1 KILA MWEZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 01. 2019

Komentáře • 623

  • @gracejoseph7005
    @gracejoseph7005 Před 5 lety +191

    Millad tunataka story Kama hizi za ku inspire watu, sio unatuletea habar za Amber Ruty!!

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 Před 5 lety +128

    Ni mpole na mnyenyekevu kwa anavyoonekana Mungu akuongeze ktk kheri na akubariki sana ufanikiwe na uendelee kuilea familia yako

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 Před 5 lety +275

    kama unakubali forex inalipa ngonga like

  • @macoclevercc2357
    @macoclevercc2357 Před 5 lety +7

    Uyo kijana yuko vizuri pia ameonyesha kuwa kweli amefunzwa uvumilivu na KARATU boys from arusha !!!!safi sana kijana wa ANEI

  • @wilsonnyabagaka2265
    @wilsonnyabagaka2265 Před 5 lety +64

    Avitu Rwebingira big up classmate. Hongera san

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 Před 5 lety +3

      shukrani sana brother de son

    • @jonathannkoba3806
      @jonathannkoba3806 Před 5 lety +1

      @@avituswibingire9382 Br Avitus naweza pata contacts zako ili tufahamishane vizur kuhusu hii biashara nahitaji na mim nijiunge.

    • @allyiddy6171
      @allyiddy6171 Před 5 lety +1

      Samahan naomb namba zake ka unazo

    • @nyalajapaulo8469
      @nyalajapaulo8469 Před 5 lety +1

      wilson nyabagaka MAPENZI

    • @nadian818
      @nadian818 Před 5 lety +3

      Avitus Wibingire nipe Whatsapp yako from USA 🇺🇸

  • @jorumkiungo303
    @jorumkiungo303 Před 4 lety +8

    One of my inspiration video iliowah kunifanya niwe trader kwa sasa hahahaa ....printing

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 5 lety +15

    Hongera sana kaka Mungu akupiganie ktk kazi yako hiyo unayoifanya.

  • @ibrahimalexander4653
    @ibrahimalexander4653 Před 5 lety +13

    Guys Its not easy as he explain but through heavy effort and discipline its doable

  • @annawinstone6075
    @annawinstone6075 Před 5 lety +3

    Millard thanks for this hujui tu inasaidia wangapi

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il Před 5 lety +30

    Knowledge first then money will follow..
    1. Pay for training.
    2. Practice as much as you can.
    3. Look for mentors to guide you.
    4. Money will be pouring big.

    • @faithshomary7936
      @faithshomary7936 Před 5 lety +2

      TRUE

    • @titus_maridhia
      @titus_maridhia Před 4 lety +2

      Bro nimeipnda iyoo idea

    • @IbrahimMohamed-yy2il
      @IbrahimMohamed-yy2il Před 4 lety +1

      @@titus_maridhia sure brother hii forex bila mentor ni bahari kubwa, ila ukiwa nae utaona maisha unafuu wake maana kila step unakuwa na mtu unaeweza kumwomb msaada... Kwa bongo wapo wengi unaweza kuapata contact zao hapa CZcams/instagram na bei zao kawaida..
      1. Rich Feelings Forex
      2. 255Millioniresfx
      3. Waileys fx
      Na wengine wengi etc.

    • @thobiasjared3648
      @thobiasjared3648 Před 4 lety +1

      Xana kaka positive mind

    • @aderickusemmanuel9126
      @aderickusemmanuel9126 Před 4 lety +1

      Big up

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 Před 5 lety +10

    u so humble bro, congrats and all the best...Mungu akuzidishie

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +9

    Hongera sana kaka angu uko smart mno💔😭

  • @RichFeelingsForex
    @RichFeelingsForex Před 5 lety +34

    HONGERA SANA

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama9016 Před 5 lety +9

    Vijana tujitume sio tusubiri kuajiriwa na serekali tutaumia akili zetu tuzifanyie kazi mambo ya kuigwa nikama haya si kuuza sura kwa mitandao na kukaa uchi hongera kijana

  • @irenedamas4806
    @irenedamas4806 Před rokem +1

    Mungu akubariki sana bro umeongeza maarifa Kwa kichwa yangu big up 🙏🙏🙏

  • @martinjohn7382
    @martinjohn7382 Před 5 lety +36

    Maisha ni kujua hasara na faida, ukianguka simama, tuamke vjana wezangu

  • @bekatza6947
    @bekatza6947 Před 5 lety +7

    Ume ni inspire bird 🙏🙏

  • @iddishabaranks6067
    @iddishabaranks6067 Před 5 lety

    Big up Millard! hii interview imenifundisha kitu katika maisha.

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 Před 5 lety +2

    Good,keep it up, brother

  • @hishamjonas3810
    @hishamjonas3810 Před 5 lety +4

    unavyooneka ni myenyekevu kutoka moyoni na unauchungu na jasho
    lako ,,,pole na hongera sana

  • @sakinasheidhan4642
    @sakinasheidhan4642 Před 5 lety +4

    Hongera hii ndio elim inayotakiwa kujiwezesha kuliko mtu kutwa kucha kutembea na vyeti kuomba kazi kazi zenyewe hakuna hongera sana vijana tunatakiwa kuiga mfano huu

  • @ladykimnan902
    @ladykimnan902 Před 5 lety +23

    hongera bro vijana wachache sana wenye mawazo kama yako inshalah mungu akutangulie amin

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 Před 5 lety +2

      asante sana dada

    • @jessicabrown5885
      @jessicabrown5885 Před 4 lety

      @@avituswibingire9382 hahaa😂 naona unaangalia comment za speech yako
      Sema milard alikufwata au uliwafwata

  • @yanayojirimitaaniTV
    @yanayojirimitaaniTV Před 5 lety +2

    subra ina kheri bidii pia imo ndani mwenyezi mungu akubariki

  • @zakeishengomaeward5918
    @zakeishengomaeward5918 Před 5 lety +12

    Good sana home boy ,,,,Be blessed

  • @hamismwinyi3723
    @hamismwinyi3723 Před 4 lety +3

    Daaaah awesome salute

  • @youngmmbaga2478
    @youngmmbaga2478 Před 5 lety +30

    LAKINI PIA SIO KILA MMOJA ANAWEZA KUIFANYA,,,TUIELEWE HIYO

  • @aliusanthony9158
    @aliusanthony9158 Před 5 lety +2

    Avitus wibingire hongera sana, maisha yanahitaji uthubutu kama wako. Nataman uwe roll model Wangu
    Please nisaidie nipate mawasiliano yako uniongoze wap naweza kupata mentor mzur wa kunisaidia

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 5 lety +71

    Hongera sana mdogo wng lakin huku mtaani tunawenzio tena wana D'gree 1 wanaume na wanawake' kaz yao nikumlaumu raic na kudangatu. Hawataki kujiajiri wao wanataka kuajiriwa walipwe kuanzia mil' 3 hadi'5 kwa mwezi. Mi nawaambia mtasubiri sana

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 Před 5 lety +4

      shukrani bro ,umeongea ukweli mtupu ni mda sasa tuamke vijana tujiajiri

    • @eliahedward7761
      @eliahedward7761 Před 5 lety +3

      lucas juma kusoma level ya chuo sio kuajiliw ni kpta uwezo wa kjipambanua kwa kujiajil na ndo maana kila chuo ck hiz kuna somo LA entrepreneur

    • @thegreat5000
      @thegreat5000 Před 5 lety +2

      @@avituswibingire9382 good bro mungu akuongoze

    • @Suleimansalum
      @Suleimansalum Před 5 lety +3

      eliah edward huyu jamaa amepayuka tu hawa ndio wale wakiona mtu kasoma wanaanza kumtenga mtaani na kumuitmsomi

    • @sharonenson9107
      @sharonenson9107 Před 5 lety +2

      Nimpole aisee daah

  • @franckierububura5625
    @franckierububura5625 Před 5 lety +19

    Nmekukumbuka mwamba ulipoteaga duce Mzee kumbe zilikua mishe izo.wazee tulijuaga umedisco

  • @arthurfesto9026
    @arthurfesto9026 Před 5 lety +8

    Shule hasara kwa kipindi hiki shule haina faida zaidi ya kutoa ujinga ningeona kuwa mambo yatakuwa hivi ningeacha shule form 4 kudadadeki nimepoteza time yangu ni mwalim hapa ila kwasasa ni dereva wa roli ningeliona hili ningeingia kwenye maroli 2008 nisingejuta bachelor ya education GPA ya 3.8 ipo Zambia mda huu inasubiri kuvuka mpakaaa

    • @allan29adam43
      @allan29adam43 Před 5 lety +2

      Arthur Festo shule kwa tz inachelewesha tuu na sifa tuu mwenyew najuta mda niliopoteza

    • @arthurfesto9026
      @arthurfesto9026 Před 5 lety

      Japhet fracis ndio elimu ni muhim ila ya form 4 zaidi zaid 6 baada ya hapo pambana kwa system ilivokaa kwasasa

    • @johnsapati103
      @johnsapati103 Před 5 lety

      japhet francis elimu isiyo na msaada ya nin we soma forex ujiajili tyu

  • @reubenmwakalundwa7881
    @reubenmwakalundwa7881 Před 5 lety +5

    Wow nice.. Utupage madini kama haya mara kwa mara brother..! Inatupa changamoto

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 Před 5 lety +8

    "your life begins the day it nearly ends"

  • @gloryisaac1477
    @gloryisaac1477 Před 3 lety

    Wooh nmepata KTU apo ...hongera sana kaka

  • @DaudiNungwana
    @DaudiNungwana Před 5 lety

    Top notch traders wamenisaidia Sana kujua hii kitu. Ushauri wangu, chukua muda wa kujifunza na utaweza forex

  • @wollytdiller8067
    @wollytdiller8067 Před 5 lety +13

    you make one million tsh a month here(here we make 1 million dollar south africa) but big up

    • @belamicheal3353
      @belamicheal3353 Před 5 lety +1

      Ashuo🙄

    • @manaratv1628
      @manaratv1628 Před 5 lety

      Nawezaje kujiunga basi

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 Před 5 lety +3

      will be there soon my guy

    • @venamlowe3556
      @venamlowe3556 Před 5 lety

      You have got to start from somewhere, and keep growing!! You can't become a millionaire overnight.

    • @rek118
      @rek118 Před 5 lety

      Avitus Wibingire Iam so proud of you my man...makofi mengi kwako mzee baba

  • @kasesecompany3187
    @kasesecompany3187 Před 4 lety

    Aseeeh safi sana trader

  • @tasbibiabdullah9560
    @tasbibiabdullah9560 Před 5 lety +9

    Aise mm nagombana na mume wangu huwa nazani anapoteza hela ila hakati tamaa najua na yy atakuwa kama ww mumgu saidie

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 Před 5 lety +1

    Ur a gud broza coz niwachache wanaoweza kuangalia na kufanya maamuzi magum juu yakulea mama na wadogo zake mungu awez kukuacha ukiwa na moyo kama huo!

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 Před 5 lety +1

    Never give up💪✊

  • @damasigenga4835
    @damasigenga4835 Před 5 lety

    Bro big up sana

  • @heavenlypatric4822
    @heavenlypatric4822 Před 5 lety +10

    Nimejifunza kitu kizuri kwa interview hii

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl Před 5 lety +1

    God bless you guy

  • @de-crownde-crown3573
    @de-crownde-crown3573 Před 5 lety

    safi sana bro ...umenipatia hsmasa sana ..congrats

  • @sophianuru9360
    @sophianuru9360 Před 5 lety +45

    Nimejifunza katika maisha hakuna kukata tamaaa

  • @maggiemichael1621
    @maggiemichael1621 Před 5 lety +1

    Nimejifunza Kitu..... Asante

  • @mussaelikana2897
    @mussaelikana2897 Před 2 lety

    Hongera sana broo uko vizur sana na una mawazo mazur

  • @shamsaismail7707
    @shamsaismail7707 Před 5 lety +2

    Hongera kaka

  • @godwillseverine3863
    @godwillseverine3863 Před 5 lety

    Big up brother

  • @nichummputo516
    @nichummputo516 Před 5 lety +1

    Mwenyezi mungu akupe afya njema na aibariki kaz yako

  • @GeorgeEdward-mu1xg
    @GeorgeEdward-mu1xg Před měsícem

    Sema vdo waga anaoji maswali ya msing sana in short vido ni the best sanaa

  • @Mturuma
    @Mturuma Před 5 lety +72

    Not everyone is a trader,have that in mind,and you’ll thank me later

    • @babalois7240
      @babalois7240 Před 5 lety +5

      Hahaaaaa... 100% your correct... But any one can be a trader too

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 Před 5 lety +2

      sure brother the struggle is real

    • @fredyedward3401
      @fredyedward3401 Před 5 lety +2

      But anyone can invest in trading.

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 Před 5 lety +2

      @@babalois7240 Sure

    • @petroaugust6133
      @petroaugust6133 Před 5 lety +5

      everyone can trade forex , but not everyone can make a profit because of emotional na tamaa b cause in forex there is a tones of money ,na hakuna dunia biashara yoyote ile yenye mzunguko wa pesa mkubwa km forex , so watu wakisikia mtu ana tengeneza milion moja kwa mwezi kwa kukuaa tu kwenye pc au simu wapo wanao kuwa exited sana na wapo ambao wanaona ni km story tu za wizi wizi sasa hizo alizo sema jamaa milioni moja watu wana zitengeneza ndani ya dakika tano kulingana na mitaji yao

  • @shabanisaalum1148
    @shabanisaalum1148 Před 4 lety

    Safi sana bro nimeipenda hii. Je? Naweza Pata direction pls bro. Tusaidiane.

  • @lameckclement2804
    @lameckclement2804 Před 5 lety +3

    Vitus mambo vp hongera kw kupiga hatua kimaisha lkn sasa MTU aombae msaada husaidiwa ndugu basis naomba namba za cm tufanye mawasiliano hata mm pia nahtaji kutengeneza maisha maana sasa ww n mwalmu kwetu ss.

  • @projestusprosper1626
    @projestusprosper1626 Před 5 lety

    Hongera Mwanangu

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 Před 4 lety

    Hongera Sana broo

  • @moniedwese5778
    @moniedwese5778 Před 5 lety +2

    Ongera mwaya👋😘😘

  • @francisngwale4567
    @francisngwale4567 Před 5 lety +10

    Tumejifunza Apa nikusonga mbele

  • @bayoTV1
    @bayoTV1 Před 5 lety

    Job well

  • @chumanondochuma8012
    @chumanondochuma8012 Před 3 lety

    Nimeipenda Sana hiyo motivation

  • @salehmasunga5147
    @salehmasunga5147 Před 5 lety +1

    Ahsante milad

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 Před 5 lety

    Hongera sana mdogo wangu rwebingira

  • @teeanna2060
    @teeanna2060 Před 5 lety

    Family mzima ni wasomi 😍😍😍.
    Ongera huna maringo

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Před 5 lety +1

    hongera kijana mpambanaji

  • @dennistarimo5125
    @dennistarimo5125 Před 5 lety

    hongera kwake

  • @mabulaezekielmd7723
    @mabulaezekielmd7723 Před 4 lety +1

    Pamoja sana brother nazikubar sana story zako

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 Před 3 lety

    Maashaallaa uko vizur sana pambana

  • @gracepius9762
    @gracepius9762 Před 2 lety

    Hongera sana kakaaa

  • @deniselias9897
    @deniselias9897 Před 5 lety +27

    Hii ni kwa wale wenzangu watakoingia na mihemuko ya kupiga pesa kwa muda mufupi. Forex trading ni biashara kama biashara zingine na pia ni kazi kam a kazi zingine. Sio shortcut ya maisha hivo inahitaji kujifunza kusiko-isha, hardworking na discipline na uvumilivu wa hali ya juu. Nakufuata mashariti yake yote . Kama hutoweza kufanya vitu hivi ni bora ukawekeza sehemu nyingine kuliko kupoteza pesa zako bure. Utakula za uso utapata depression na utakufa buree🤣🤣

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 Před 5 lety

      fact

    • @annachales9623
      @annachales9623 Před 5 lety

      Umeongea but ngoja tujaribu kila kitu ni imani wangu ngoja tujaribu maisha.

    • @veronicacharles4527
      @veronicacharles4527 Před 5 lety

      Anna Chales wajina kweli nikukomaa tu hakuna kisicho na changamoto

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 Před 5 lety

      @@annachales9623 his point sio kukukatisha tamaa its a good thing i can advice you ukakifanye ila usiingie na expectations kubwa hio ni kama biashara nyingne tu unapata pesa kubwa ukiweka pesa kubwa au uki weka risk kubwa kwa pesa ndogo na since kufundisha watu ni biashara pia hauta oneshwa negative side zake sasa jiulize kama mtu anaweza tengeneza mill 20 hata kwa miez mitatu kwa forex tu ....laki moja yako anaibembeleza ya nn?

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 Před 5 lety

      @@annachales9623 his point sio kukukatisha tamaa its a good thing i can advice you ukakifanye ila usiingie na expectations kubwa hio ni kama biashara nyingne tu unapata pesa kubwa ukiweka pesa kubwa au uki weka risk kubwa kwa pesa ndogo na since kufundisha watu ni biashara pia hauta oneshwa negative side zake sasa jiulize kama mtu anaweza tengeneza mill 20 hata kwa miez mitatu kwa forex tu ....laki moja yako anaibembeleza ya nn?

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 Před 4 lety +1

    Gonga like vijana wenzangu kama hii video imekugusa.

  • @harmondtz1162
    @harmondtz1162 Před 5 lety +1

    One love aseeee

  • @PesaDownloaders
    @PesaDownloaders Před 5 lety +48

    Kwa mtu yoyote ambae angependa kujua biashara hii. Nakukukaribisha kwenye channel yangu. Nitakuwa nafundisha kila siku alafu tutakuwa tunatrade live ukiwa na demo account yako. Ukielewa vizuri utaamua mwenyewe kufungua real account. Mafunzo yanaanza mwezi 1/2/2019. Fanya kuweka notification on. Nipo naandaa video kwa sasa. Karibu sana kwenye forex.

  • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326

    Mpole mwenyewe

  • @emmypaul7455
    @emmypaul7455 Před 5 lety +2

    Aiseeeeeee

  • @piliwisman7020
    @piliwisman7020 Před 5 lety +5

    kaka naomba mwongozo plz na mm natamani sana kufanya hiyo biashara

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 Před 5 lety +3

    Br naomba nisaidie namba yaki plz

  • @ezekiellugali305
    @ezekiellugali305 Před 5 lety +1

    uko vizuli Kaka nimekuku Bali Frx noma

  • @ezekiafilbert4896
    @ezekiafilbert4896 Před 5 lety

    honger sana kijana

  • @malikijuma2759
    @malikijuma2759 Před 2 lety +1

    hongera sana,ila jamaa mpaka akimaliza kuelezea ushachoka

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 Před 5 lety

    good,sana wanyumbani

  • @jenipherkavusha506
    @jenipherkavusha506 Před 4 lety

    Barikiwa sana

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 5 lety

    Piga bro hongera san

  • @lostcodeofficial5603
    @lostcodeofficial5603 Před 3 lety

    Cool

  • @hejopansimon5217
    @hejopansimon5217 Před 5 lety +1

    Eh uko sawa namm kiumri honger kwakua xhujaa

  • @saidishabani6802
    @saidishabani6802 Před 5 lety +4

    Hongera kk

  • @MARY-bt1zm
    @MARY-bt1zm Před 5 lety +3

    these are the news we want...... others its gossip

  • @alfarsiali2779
    @alfarsiali2779 Před 5 lety

    Naomba nkutafte WhatsApp tuongee coz npo mbal kidogo na Tanzania ila nkirud nataka nijarbu hko kitu brother kama hautojar ntumie namba yko please

  • @mwanajumaomahundumla6504

    Barikiwa dogo

  • @prudencejeremiah8083
    @prudencejeremiah8083 Před 5 lety +4

    Hongera sana home boy

  • @emanuelmiseri7231
    @emanuelmiseri7231 Před 4 lety

    Good

  • @kassimliwola7248
    @kassimliwola7248 Před 5 lety

    Hongera xnaaa janja komaa tu.

  • @musashidonge6876
    @musashidonge6876 Před 2 lety

    Nice

  • @sudyslaa8278
    @sudyslaa8278 Před 5 lety +3

    Alichosema kwa kiasi ni kweli hata mm nafanya forex lakini asilimia 95% ya traders hasa bongo wana loose. Siku zote usikurupuke na usipelekwe na emotions kaa chini jipange elewa forex ni nini. Maana nje na mafanikio kuna changamoto kubwa sana. Hakuna wa kukwambia ukweli kuhusu forex na huyu mbn bado sana???? Milion 15 ni hela ya chai tu.

    • @gadafimasoud310
      @gadafimasoud310 Před 4 lety +1

      Kweli hela ya chai kwako lkn kwake na wengine masikini nafikili ni mzigo mrefu

  • @nelsonsimtowe4268
    @nelsonsimtowe4268 Před 5 lety +21

    Dogo kweliii uwalimu nikibaruaa kazi ya YESU sirikalin uko sawa njaa tu madaraja akuna haki zao loooh bado kikokotozi bora kutema namimi natema week hii

    • @eddyjunior7821
      @eddyjunior7821 Před 5 lety

      Nelson Simtowe 0757906119 nichek tuongee

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 Před 5 lety

      hahaha sio hvo bro ni kutokana na malengo ya mtu siwezi kuiponda kazi ya mtu.

  • @talantamhanga6961
    @talantamhanga6961 Před 5 lety +1

    Nimeipenda hii,ubunifu ni mhimu.Kukata tamaa mwiko.

  • @raphaelmagani8540
    @raphaelmagani8540 Před 4 lety +3

    Nakumbuka niliingia bitclub nikapoteza 2ml zangu SIJUI KM NTADHUBUTU TENA

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule7667 Před 5 lety +1

    Keep pushing son

  • @jacksonthomas3955
    @jacksonthomas3955 Před 5 lety

    nakuelewa san mkal hongera san

  • @minstarbrown6732
    @minstarbrown6732 Před 5 lety

    bro razm nkutafut tuongee 🙏

  • @ibrahimlikonga5676
    @ibrahimlikonga5676 Před 4 lety

    Jamaa anatumia jina gan insta?

  • @zuueliza9463
    @zuueliza9463 Před 5 lety +1

    Muhaya mwenzangu jaman