walaaniwe wote walotenda kitendo hiki cha kinyama walaaniwe wote bila kujali umaarufu walio nao wala cheo chao!!... ilimradi yeyote alohusika humo alaawe! Mungu lisimamie taifa letu!
kafumuliwa Rinda na kuonywa vikali wasiseme ukweli mb zangu Roma nirudishe coz umeficha ukweli na huyo waziri Nani kamualika na sura kama kinyago mm Mkenya lkn Fan wa Roma na n must nimfuatilie
kwakweli vile iko ni siri kali na wali pewa onyo kutoboa siri mana waki toboa siri maisha yao yataisha mana ingelikua ni jambazi vile najua wange uliwa wasinge onekana lakini hii ni siri ya viongozi waliwaadhibu na wali achiliwa siri ipo kwa wakuu wamkoa
pole sana roma kwan mungu hajakupagia kupoteza maish yako
Uwo wazir anajua kila ktu anawachabu tu ole wenu museme ukweli sura alivyokunja tu Mungu awaone
pole xana Roma mkatoliki...
pole sn kaka yangu mpendwa Roma Jicho la Mungu lipitalo macho yote litawamulika wanafiki wote!
Pole Sana wewe Ni mtu wa Mungu pia. Mungu akulinde Kaka Roma.
Daaah pole sana kaka angu kipenzi huwa nakupenda sana pamoja na mama ivan
Pole sana roma mungu atawalipa
Hello. roma. mkatoliki. and. na. Wenzake. poleni. sana. na. habari. ya. kusisimua. Sana. poleni
walaaniwe wote walotenda kitendo hiki cha kinyama walaaniwe wote bila kujali umaarufu walio nao wala cheo chao!!... ilimradi yeyote alohusika humo alaawe! Mungu lisimamie taifa letu!
Huyu jamaa nakubali miaka mia
Watu wasio juilikana nishida ila allah anawajua na adhabuyake haishi wala haina mfano jamani tumuogopeni mungu uonevu mwishowake niaibu
Kweli Roma polenisana
in God we trust
Mwambaaa nakukubali roma
Poleni ndugu zanguni. Lakini, iweje mwewe kumlinda kifaranga?
Cerekali itatue kes za wanamzk kwan na wao wanapitia mitihan mikubwa wasjal mapolis t na maajesh hata wananch wanyonge
pole sana kaka allah atakulinda daima
Achauongo.mkenyagani?.malinda ya bibiako nn?
uyu waziir mwakyembe anajua kila kitu anazuga tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwel kabsa
Pole sana maisha hayana kanuni
Natamani siku moja na mm camera zinijalie kama hivo
Daah Hii hatari sana😭😭
Pole Sana
Whats the soundtrack for,you making the video noisier
hapo kuna ki2 kizito sana na hyo wazili mnafik naanajua kilak2
pole Sana kaka
Jiran anahofu sana
kafumuliwa Rinda na kuonywa vikali wasiseme ukweli mb zangu Roma nirudishe coz umeficha ukweli na huyo waziri Nani kamualika na sura kama kinyago mm Mkenya lkn Fan wa Roma na n must nimfuatilie
Shyne Platnumz hahahahahahahaha eti wamemtoa rinda
Shyne Platnumz mpumbavu
unaakil wew mpumbavu tuteme wabongo umefumuliwa Linda mwenyewe
Du !!! Nataman nyerere arudi ashuhudie haya polesana Ndugu roma
Pole
Hii hapana kabisa, na najua hawaruhusiwi kutoboa siri, nadhani ni issue ya wakubwa..
so sad
Jilani yako mbona ka anajua
kwakweli vile iko ni siri kali na wali pewa onyo kutoboa siri mana waki toboa siri maisha yao yataisha mana ingelikua ni jambazi vile najua wange uliwa wasinge onekana lakini hii ni siri ya viongozi waliwaadhibu na wali achiliwa siri ipo kwa wakuu wamkoa
N ikweli akisema wamekwisha
ZINAP Z yaogopesha sana hata mm kisha sisemi ila wanajua nn chaendelea hawa wakubwa
Pole sana kaka
Ingekuwa mm ningesema tu kwani Kufa kitu gani
@@salmajuma4015 😃😃😃weeeee unasema tu
wow
My God.
Alaf uyu wazir kama anataka kucheka ivip
Dunia mapito
Hasira tu
hio backgroung ya muziki niujinga umeweka kwani movie hio
Pole sana mkatoriki
Ashmaj
sasa hiyo background musik ya kazi gani
dije unazinguha rimziki zima
😢😢😢
Kabla ya hospital kuhojiwa, yaani yuko chini ya mateka
Kwan walimuingilia nyuma kwel jmn
Duh inauzunixha Ila kuna mtu namuis hapo
Ungeuliwa asaaaa bota
Huo mziki wa nini bana
Odg
Shija Kushilimwa pole sana
Tumjue mtu ambae aliwafanyia ivyo tutamjua tu siku ipo
Hivi vituo vyahabari kwanini mnakua washamba mtuanatoa maelezo mnaweka mziki iliiweje tusisikie anacho ongea au vipi wacheni ujinga wasenge wakubwa nyny mmbwa wakubwa nyie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👉 haki nimecheka