ROMA - SUGU Na BILL NASS NAWEZA / SIO WEMA | STAMINA - SIWEZI KUMJIBU EDU BOY
Vložit
- čas přidán 2. 08. 2018
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com - Zábava
"Unanidiss hafu tukionana unachekacheka.. Hasa unacheka nn.. " nimependa hiyo Stamina 🐐
Punchline
Mi nafikiri kinachompa utam Roma ni ngoma zake za kiharakati anzotoa ase kiukweli zina vibe sana but uchungu wake ni pale alipokidnapped by watu wasojulikana.ama vipi like na ucomment hapo chini kinachompa utam roma na uchungu wake.
Wapige kelele kwenye mic lkn watangazaji wangu wa burudani namba moja lilyomy, jabil salehe na mzazi dulah planet. Salute brothers
Nimeikubari sana ngoma yenu parapanda mmeua sana humo 👊👊👊👊 kwenu
kizazi san 💯💯💯💯
Charles Edward 👊👊👊
Tungu Izengo ✊✊
Starmina Kaka we ni mkali watu napenda sana kazi zako
Kama unawakubali #RosTAm gonga like twende sawa 👍👍✌✌
Salut kwenu rostam
Wako poaaaaaaa kinomaaaa
good
Oya ROSTAM mi mbona napenda michano yenu...especially ubunifu kwa ujumla...Yenyewe nimependa chorus ya Atan kwenye Parapanda👊👊👊
matano safari
Nawaelewa sana rostam tambwe shoo ilikua poa
Rostam wanyama Sana! Big up Tambwe Lil Ommy hataree Sana kizazi Sana!!
this is one of my best interview bro keep it mwenyez mungu atakusaidia
goma imekaa fresh nimeikubali san 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
kama wewe shabiki wa rostam weka like tuwe pamoja
Charles Edward pamoja
Charles Edward hongera
v
?b
Nawakubali chunya
Dah mafundi wa hip hop top juu sana # By THIAGO KARUME chaboli mungu awaongoza
2021 still Kenya tunawakubali #RoStam 🔥🔥🔥
Nawapenda hawa wakaka kweli toka moyon wanavyoshirikiana tu wanapendana kweli Allah awaepushe mahasid wasijeingiza fitna juu yenu amina yarab🤲
sema nn Hawa jamaa huwa wanajielewa had wanaboa vichwa vilivyobaki Tz twende nao sawa
Namukubal sitamin kwakuchan
Jamani was kwanza ni edrick
Noma sana rostam,
Wakali wetu
Pamoja sana nawakubali m2 mbili Kali
Parapanda ndio mziki mzuri kinoma cjawahi kuwafikiria kwa kitu kama hicho
Nawakubali wazeee #parapanda
nawakubali sana wana bgp
Iyo parapanda ni noma sana budaa
It
Oo
Parapanda ni bonge la ngoma
Nawakubali sanaa rostam
Nawakubali sana Rostam
Hasaaa mate wqngu Boniventure Kabogo
lilommy nice bro
Wa kwanza kucomment,nipeni basi like zenu
Abasi Lihundu
ok
nimekupenda sana nyie mjma mme jibu poa wastarabu ase mmeua from 🇧🇮🤗
Ebwana safi sanaaa nyie muko really sanaaa ROSTAM.....WANII MUNATAKIWA MUWE IVO....
Roma bhana ety stamina anakaa Sana morogoro kwahy Ana mawazo ya mor town
hahahaha
Oi wewe unajuwa hip kwl
Kenya tunamiss hii
Parapanda haijawaacha watu salama kbx
ROSTAM ndio, kwanini maswali yenu hayaendi kwa Stamina... kuna kitu mnakosa mizani hata kama ninyi presenters mna kitu mnahitaji tuwe versatile sometime! Otherwise tuko poa... Album ni alama zinazowaacha wasanii katika nembo ila mafanikio hakuna kwa sasa! Kuna kitu flani tubadilike
iko pouwh Xan
#2022_05_22 bado mnanifraisha saaaana #Stamina🌍💪🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
28 April 2023
Haha I Love You Pals..
..HiPhOp Vybes heads
Wakizazi Sana🔥♥️🇰🇪♥️🔥🙌🏽
Lili omy nakukubali sana
Rostam parapanda iko vizuri sana
Nawakubari sana kwa hip hop kbx munauwa kama ile palapanda daaah
LILommy yuh the illest presentor in Bongo for now brah. .Just keep uplifted fam
Ao jamaa wanaju sana
Aiseee parapara kiboko . Subscribe kwenye chaneli yetu bonyeza picha itakuleta kwneye chaneli kucheki filamu ubuyu wote wa insta karibuni
Staminaaa nakuelewaaa
Kali mbaya na wa baya wanawabaya wao
*Rostam* nawakubali sana
Taaaambweeeee
Like nyingi kwao@rostam
Makini mzazi
Roma so sana huyu pamoja na Stamina
OK pouwa nawakubali
Nakubali Daimaaaaaaa!
stamina.na.roma.ni.shidaah.
Nakubr sana
mko vizuri sana wana
Ninyi ni wa kweli na wa kali
nice nawakubaliii
kizazi san lily ommy
Honey wangu vp n Isaac from Kenya vp mwana mbona hujanipa namba
Nawepanda jamani pale nawaona mkiwa ote na mkiwa na fraha nawakubari Sana Happ tanzani
Heshima stamina
Nomaaaa sana
Lily ommy iyo kofia ya Tecno ni promo sio!
#OmMYbOY🔥🔥🔥💰💰💰👍🏿
#rOStaM🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubal
ROMA# Kinakachokupa utamu ndiyo Kitakachokupa uchungu #
WanAa... NwAkubAl xnAa.....
..........Hip Hop wnyE mximAmo......
nawakubali sana rostam
Stamina haskii et kaziyake mkewake aende choon kila saa
Comment ya kwanza like ya kwanza views ya 4 taaaaaambweeeee
Big up Sana stamina mkali wao
2019 like zangu
Pamoja sana
From 254... 🔥
Nakubali hii miamba inajua inachojua
Pamoja sana mwana
nice wanangu #Rostam
Sema washikaji wanawezaaaaaa
wametisha sana
nawakubali sana
Kali Sana #ROSTAM..
#LilOmmy big up Sana mwana unaua Sana...
👍👍
gud xana ma'bro
Roma stamina ney wamitego fagio la chuma
Good
Ya kizazi sana nakubali sana
Ommy waambie hao wat wafny Ngoma ndan awe kala Jeremiah na ngosha
Hahahaaaa umetisha
Mm nimemuelewa sasa Roma
Kali xn
stamina 🔥
#themvp Kizazi sana unajua
🔥🔥
Rostam
#nakubal xan
nimecheka yalivyokuwa yanaitikia salam
Wozaaa xna stamina
Kuwa maarufu inamaanisha we ni bora kuliko yule asiye maarufu? Au star siku zote ana pesa kuliko tusio star? Think again . Wasanii wengi kama Joh makin wakipita maeneo kama airports huwa wanatoa hi kwetu mashabiki na hata kupiga selfies lkn Roma. ...nisiongee nikaharibu!
Sijaona wasanii hapa Tanzania zaid yenu
jitahidi kubalance interview mzee baba wasipishane kuongea maana stamina haongei ni roma tu ata kama interview itanoga ukmhoj roma ila jitahidi kubalance
Kiukweli hawa ndio wasanii wa Bongo flever wengine wasindikizaji tu
hahaa eti unacheka nn sasa duh stamina nouma kweli cc so saiz yko
Yeyoooh Mke aende chooni kila saa anaharisha
Roma miwni wapi mzazi unaniangusha
stamina 😘
Mnyamwezi unajua Sana kutangaza