LIVE: Stamina Anashea Magumu Aliyopitia Kwenye Mahusiano na Ndoa I Zilizokiki Mitandaoni I Kuteta

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • #CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #LeoTena

Komentáře • 101

  • @joshuason557
    @joshuason557 Před rokem +3

    Tunamupenda Sana Shorebwenzi hapa Kampala ✌️🇺🇬his songs are full of message

  • @koffianodichisesa238
    @koffianodichisesa238 Před rokem +17

    Nimejifunza kitu asante sana stamina 🙏

  • @salaita2829
    @salaita2829 Před rokem +5

    Lucky dube aliwahi imba nyimbo inaitwa its not easy,muitafute muisikilize,inaujumbe mkubwa kwa watu kama stamina na wote wanaopitia mahusiano ya hivi.

  • @gatimarwa7525
    @gatimarwa7525 Před rokem +19

    Wanaume wanaonaga kuvunja ndoa ni kitu kidogo na anweza akaoa yeyote.....Baada ya miaka kadhaa ndyo wanakujaga kuregret.....Mimi npo napitia hii Hali saiv ila Najua ni matter of time tu.....Huwez Oa mtoto wa mtu alafu vitu vya kuzungumza ambavyo hata ww umesababisha unavibeba kama fimbo unamuacha mtu...... Wakwe wakwe wakwe ndyo Sina hamu kabsaaaaa......Tuwachekee hivhiv pakiwa na amani yakikukuta kwenye ndoa yako ndyo utagundua c watu hawa......Pole Stamina....you can take few step back na kuendelea na Mkeo......Alichokiunganisha Mungu Binadamu Asikitenganishe.....

  • @scopy0428
    @scopy0428 Před rokem +9

    Ndugu zanguni Tuishi kwa hofu Ya Mungu Kila Mwanandoa abebe Madhaifu ya Mwenza wake Akuna aliyemkamilifu

  • @katibampya8442
    @katibampya8442 Před rokem +9

    Ndo nimeelewa sasa hii ngoma

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma Před rokem +11

    Hii ngoma huwa naisikiliza kwa hisia kali sana...

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 Před rokem +3

    Hii story wanazo watu wengi sana hata Mimi pia nimekutana nayo km hii japo vitu tofauti kidogo il

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Před rokem +19

    Stamina bado anampenda mke wake maskini😨😨

  • @praygodlivingstone
    @praygodlivingstone Před rokem +6

    Brother nakuamin sana
    Una nyimbo za mashiko sana

  • @salimwanga8336
    @salimwanga8336 Před 7 měsíci

    Masha Allah kakaa

  • @lovinomwamtambulo6629
    @lovinomwamtambulo6629 Před rokem +7

    Nimetoa machozi Mzee Pole Sana Kwa Sisi Wakubwa Tunafahamu Sana 😢😢😢😢

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Před rokem +5

    Hayo ndo niliopitia mm baada ya ex wife kusepa yani familia yake haikutaka masikilizano na familia yangu,familia zingine ni mbaya sana yani niliilaani sana iyo familia mpk leo

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před rokem +1

    Nyimbo zako nzuri sn nimekuelewa

  • @The7101987
    @The7101987 Před rokem +5

    Mimi nimekuelewa sana Stamina
    Katika ndoa kuvunjika familia zinachangia sana.
    Rafiki yangu ndoa yake ilivunjika, toka matatizo yanaanza, hakuna familia iliyokuwa tayari kukaa na familia nyingine kuzungumza
    Kiukweli mpaka kesho naamini kama familia zile zingekaa na Watoto wao ndoa ile mpaka leo ingekuwepo

    • @gatimarwa7525
      @gatimarwa7525 Před rokem

      Umeongea kweli kabsa....wazazi wa sikuizi ni WA hovyo kabsa.....Laiti hata wao wangeachwa kama wanavoziacha ndoa za watoto wao zvunjike nafikir ndoa nyng zngekuwa chali

    • @givendaudi8721
      @givendaudi8721 Před rokem

      Yaaan mazungumzo huwa yanasaidia Ila siku hizi wazaz hawataki mazungumzo

    • @shabanmaganga9972
      @shabanmaganga9972 Před rokem

      Kama mnataka suluhu inawezekana lakin wapo wanandoa mmoja msimamo wake kuachana mmoja suluhu Ndiyo yaliyomkuta mwamba hapo

  • @madownloadionlinetv759

    mwaka 2018 umepanga mimi nipo kwenye nyumba yangu

  • @gwamakangwala6468
    @gwamakangwala6468 Před rokem

    Good Point

  • @blacksignaturevisuals694

    3 years ago Stamina addressed the topic om cloudsmedia...he gave a totally different answer...Sasa leo kaamua kusema ilikua sanaa😂😂😂 just say you are over her

  • @sunzutz1012
    @sunzutz1012 Před rokem +2

    Kwahyo stamina hata milioni ya akiba huwa hauna dah kumbe hii Sanaa ni machozi

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      😂😂😂😂unawajua wasanii wewe

  • @bahatilubata1582
    @bahatilubata1582 Před rokem +1

    Nakuelewa sana mwamba

  • @kulwamathias7680
    @kulwamathias7680 Před rokem

    pole sana kaka

  • @jamiinaafyanjema2966
    @jamiinaafyanjema2966 Před rokem

    Daah pole sana stamina

  • @hallerboy
    @hallerboy Před rokem

    Pole sn broh

  • @salimwanga8336
    @salimwanga8336 Před 7 měsíci

    Mungu tu kakaa

  • @scopy0428
    @scopy0428 Před rokem +3

    Brother Stamina haujatulia mwanangu ukitaka kutoboa kwenye mahusiano jaribu kupunguza Vitu visivyo na ulazima

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 Před rokem +5

    Hii ndoa inamaana hat viongoz wa dini hawajashirikishwa,half wadad mjifunze unakutana na mwanaume ana msongo wa kuachwa huko anakuja unamsaidia akiwa saw anamkumbka X wake

    • @cutieprecious7809
      @cutieprecious7809 Před rokem +3

      Kweli kabisaa my dia naona hata Mimi naona na ninaishi hayo

  • @hallerboy
    @hallerboy Před rokem

    Dj naomb ngoma ya haller boy balance

  • @Malaikakisseto
    @Malaikakisseto Před rokem +1

    Ndoa inajengwa na wanandoa wenyewe sio familia bwana.kama utasema au utaijenga akili yako kuwa mumue au mke wangu ni wamaisha yote hata itokee nini simwachi basi mtaishi lakini ukisema wanaume wengi au wanawake wengi akizingua aende zake hapo hutakaa kwenye ndoa

  • @andrewbongate6859
    @andrewbongate6859 Před rokem +1

    Hii interview itunzwe

  • @arakajeremiah3077
    @arakajeremiah3077 Před rokem

    Stamina, Kenya 🇰🇪 tunakutambua kaka. Ndoa sio football kubahatisha

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 Před rokem +4

    Leo amebadilika kabisa,Ile interview ya kwanza aliofanyaga na XXL alipotoka kuachana hakua anaongea hivi.

    • @cutieprecious7809
      @cutieprecious7809 Před rokem

      Ndio maana akasema ameyajua makosa ya kurekebisha baada ya kutoka ndoani sasa amejua kaeleza vizur

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 Před rokem

      @@cutieprecious7809 👊

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.....

  • @mashakashobo2529
    @mashakashobo2529 Před rokem

    leo ndo najua mastaa wanakuwaga doro aisee

  • @salimwanga8336
    @salimwanga8336 Před 7 měsíci

    Kila kitu na wati wake boss wngu

  • @selemanimkwichu782
    @selemanimkwichu782 Před rokem +1

    Goma kali

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 Před rokem

    Hat mim nikikumbuk Dr aisee

  • @theonestinamutole8549

    Pole sana.

  • @daudiissa9256
    @daudiissa9256 Před rokem +1

    Mwijaku ingia site ndoa ya kijana iludi hewani

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před rokem

    Tupo wengi sana tunaopitia magumu kwenye ndoa

  • @maulidmrisho-zb8cp
    @maulidmrisho-zb8cp Před rokem

    Usiwaze

  • @aliaboud9202
    @aliaboud9202 Před rokem

    Stamina kitu ambacho hujakielewa kwenye ndoa ni hiki mwanaume unatakiwa uwe unaomba msamaha sana bila ya kujua kosa lako ulikua Huna muda wa kumsoma mke wako wanawake wote ndio wapo hivi hivi dunia nzima unatakiwa u handle stress kila wakati ww jua ni mkosaji tuu

  • @agynoel2846
    @agynoel2846 Před rokem +2

    Safe cycle ndo ilisaidia mambo yake yasije kwenye mitandao laasivyo kina mwijaku 😀😀😀

  • @emmanueldaud8371
    @emmanueldaud8371 Před rokem +3

    Uyu mwamba namuelewaga xaana bg up

  • @patricknguya-jt2kz
    @patricknguya-jt2kz Před rokem

    Mbona gear kama unamwangalia can stamina au umemuelewa nini?

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Před rokem +2

    mtoto wakiume razima ukaze na uwe namsimamo Mzee mimi kabra sijachukua maamuzi nafikia kwanza ata mara nne au Zaid haitaz kujutia maamuzi Yako ukishaamua

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před rokem +3

    Ila wasanii khaaa mpaka kamtungia nyimbo 🤣🤣🤣🙌

  • @aronmbunda6603
    @aronmbunda6603 Před rokem +3

    Daah ila maisha haya

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 Před rokem

    duuh kweli mziki haulipi sana mpka kodi ilikushinda pamoja na u star

  • @valentinernestkavishe7297

    Mwijaku amepoa

  • @seifhoza-tt1ku
    @seifhoza-tt1ku Před rokem

    Mwijaku pambana shemej etu alud

  • @selemanisiraji-iu3vm
    @selemanisiraji-iu3vm Před rokem

    Duh kuna mengi yakujifunza ase

  • @madownloadionlinetv759

    wasanii hawa

  • @kimingowameno4068
    @kimingowameno4068 Před rokem +1

    Kumbe tatizo limeanzia hapo ndiyo maana mke kakimbia

  • @mariamsanga1781
    @mariamsanga1781 Před rokem +1

    Maisha ya wasanii Ni magumu hata kujenga mnashindwa mziki wenyewe mmeanza kitambo mpaka mnadharirika kutolewa viombo nje

  • @festomishita3303
    @festomishita3303 Před rokem

    Kama huu wimbo unamhusisha huyo binti wa pili basi jamaa anapigwa matukio sana aise 😀😀😀😀😀🙌🙌🙌.... watakuuwa mzee hawa watu n umeme

  • @hallerboy
    @hallerboy Před rokem

    Mmb vp oohooo sorry naomb ngoma ya haller boy pole

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 Před rokem +1

    Matangazo mengi mpka watu wamechoka

  • @urasaomben8641
    @urasaomben8641 Před rokem

    1 Wafalme 18:17-18 (KJV) Ikawa, Ahabu alipomwona Eliya, Ahabu akamwambia, Je! Ni wewe, Ewe mtaabishaji wa Israeli?
    Naye akajibu, Si mimi niliyewataabisha Israeli; bali ni wewe, na nyumba ya baba yako, kwa kuwa mmeziacha amri za Bwana; nawe umewafuata mabaali.
    czcams.com/video/syvWz_oq7eM/video.html

  • @fizzozimba
    @fizzozimba Před rokem

    Sema ulioa mwizi kaka kila kitu kwelii na hamna mtoto daah😰

  • @aminaoman2100
    @aminaoman2100 Před rokem +1

    Eeeh wasanii wabogo kweli wanashangaza yan umaarufu wote huo nahuna makaz

  • @musaalfani9303
    @musaalfani9303 Před rokem

    Kumbe na wao hua wanakosa hata mia ya kodi daaa

  • @happyadam2683
    @happyadam2683 Před rokem

    Huyu stamina anaonekana ndo anamatatizo

  • @aliaboud9202
    @aliaboud9202 Před rokem

    Ndoa bwana kama utani mwana munabinyabinya nyanya munanunua bilinganya

  • @honestkassim5261
    @honestkassim5261 Před rokem

    Tufanye labda huo wimbo wake WA Machozi kamgusia rafiki yake Roma ambae amescha familia Bongo Kwa kitambo kirefu

  • @estershekika8865
    @estershekika8865 Před rokem +4

    Acha uonga mkeo alikuwa namahusiano kweli na mchezaji wa simba Acha kujisafisha

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před rokem

      Muongo kbs huyu 🤣🤣alisha sema mwanzo na tukasikia aseme tu kama ataka kumrudia mkewe amrudie tu 🤣🤣

    • @estershekika8865
      @estershekika8865 Před rokem

      @@ruqaiamohammed345 anajifanya kasahau tena Alisema hapo hapo clouds tena kile kipindi cha mchana mpka saa kumi na mke wake alikuwa analalamika kwa watu kuwa mwamba hapigi show ya kueleweka then pia anakibamia yule demu kakimbia vingi kwa mwamba

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před rokem

      @@estershekika8865 😃na demu alikuwa anatoka kwenda kwa mchezaji na kirudishwa home na yy anajua hilo mara anaaga anaenda nyumbn kwao kumbe yuko kwa mchezaji 😃aseme tu kammis mke wake warudiane

    • @estershekika8865
      @estershekika8865 Před rokem

      @@ruqaiamohammed345 kwli maisha yamempiga kaamua tu kurudisha mpira kwa kipa

    • @villanjimmy7625
      @villanjimmy7625 Před rokem

      @@ruqaiamohammed345 ni nan huyo mchezaji 😱

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před rokem

    Yule binti umemucha Kama single mother, wasani bhana

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 Před rokem

    Naweza kusema sisi watu wafupi tunamatatizo frani Ni yapi haya yani Kwanza hata km tumefeli vipi hua hatutaki kujishush pili hua hatutaki kujishush hata km tumekosea ala Ni wachumi sana. N.k

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 Před rokem

    Mwamba anajuwa

  • @wardadanda6322
    @wardadanda6322 Před rokem

    Nilicho gundua stamina bado anampenda mke wake.

  • @seifhoza-tt1ku
    @seifhoza-tt1ku Před rokem +1

    😂😂😂 mwijaku naingia site