DULLAYO: NUSU KULIA "MADOKTA WALINIAMBIA NIJIONGEZEE", ULEVI CHANZO CHA MENGI, BLUE, JAYMOE WATAJWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • DULLAYO: NUSU KULIA "MADOKTA WALINIAMBIA NIJIONGEZEE", ULEVI CHANZO CHA MENGI, BLUE, JAYMOE WATAJWA

Komentáře • 13

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 Před 15 dny +7

    Marafiki Zako siyo wazuri,inabidi uangalie hao ambao unakaa nao vinginevyo utazidi kuharibikiwa.mzazi wako ni mtu poa sana.Muda mwengine hawa tunaowaona marafiki ndiyo wanaotuharibia,Pombe haipotezi mawazo zaidi ndiyo chanzo tu cha kuongeza matatizo.

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Před 15 dny +3

    Da da da kanikumbusha mbali ilem moj

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 15 dny +4

    jamani inakuaje kila mtu anataka kuwa dazen?mbona mwenyewe yupo na anaskika jahazini😊

    • @uledimasai9415
      @uledimasai9415 Před 15 dny

      Nilishawahigi kumwambia huyu mtangazaji aache kumuiga dozen, ajitafute yeye kama yeye

    • @user-gq2rd3up4k
      @user-gq2rd3up4k Před 15 dny

      IGA na wew acha utoto

    • @mkombozsanga
      @mkombozsanga Před 15 dny

      Kumuiga mtu sio kosa mzee

  • @spartachize122
    @spartachize122 Před 13 dny

    Depression ni mbaya sana..... Dullayo kuna kitu kinamsumbua ki physicology, na hyo ndio imempelekea kunywa pombe nahic kuna kitu alikua anategemea kwenye mziki lkn hakukipata na mbaya zaidi labda akaona alioanza nao wamekipata,ni mtazamo tu jamani tusije kutaftana

  • @mwanaidikingazi4222
    @mwanaidikingazi4222 Před 15 dny

    Dullayo hujibu maswali vzr

  • @KitemaJunior
    @KitemaJunior Před 15 dny

    Sio poa🤔

  • @kamilo_tz
    @kamilo_tz Před 15 dny +1

    Daah, maisha ni fumbo kubwa

  • @glassamo3847
    @glassamo3847 Před 15 dny

    Hapo n kama amekua underground tena😅😊

  • @lowkeybongo
    @lowkeybongo Před 15 dny

    Wasted Talent 💔