MANARA AMJIA JUU BABALEVO "KUNIFANANISHA NAE NI KUNITUKANA"

Sdรญlet
Vloลพit
  • ฤas pล™idรกn 25. 08. 2024
  • ๐•Ž๐”ธ๐•‹โ„‚โ„ ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐•‹๐• ๐Ÿ“บ
    ๐—”๐—ญ๐—”๐— -๐Ÿฐ๐Ÿญ๐Ÿญ | ๐——๐—ฆ๐—ง๐—ฉ ๐Ÿฎ๐Ÿต๐Ÿฒ | ๐—ญ๐—จ๐—ž๐—จ-๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿด
    ๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—ง๐—œ๐— ๐—˜๐—ฆ-๐Ÿฐ๐Ÿฐ๐Ÿฐ & ๐Ÿฏ๐Ÿฏ๐Ÿฏ | ๐—–๐—ข๐—–๐—ข๐—ก๐—จ๐—ง ๐—ง๐—ฉ-๐Ÿฎ๐Ÿฌ |๐——๐—ผ๐—ฑ๐—ผ๐—บ๐—ฎ๐—–๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ-๐Ÿญ๐Ÿญ๐Ÿฏ
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐•ƒ๐•€๐•Š๐•‹๐”ผโ„• ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐”ฝ๐•„ ๐Ÿ“ป
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI ๐Ÿ“ป | 104.1 DODOMA ๐Ÿ“ป | 94.5 ARUSHA ๐Ÿ“ป | 97.3 MBEYA ๐Ÿ“ป | 94.9 MWANZA ๐Ÿ“ป | SHINYANGA 106.3 ๐Ÿ“ป | KIGOMA 101.7 ๐Ÿ“ป
    ๐”ฝ๐•†๐•ƒ๐•ƒ๐•†๐•Ž ๐•Œ๐•Š ๐•†โ„•:
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ
    ๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2020 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentรกล™e • 126

  • @work4lifenews276
    @work4lifenews276 Pล™ed 3 lety +2

    Baba levo unakosea saaana kwaku vunja heshima kwa mtu mwenye samani saaana katika Tanzanie kwa swala la mpira.....nakuomba baba levo punguza shobo brorher wangu ..............yule manara ni mtu mkubwa saana tena ni bosi saaaaana shika kweli adabu yako๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ sisi wenyewe wa kongomani tuna mweshimu saaaaaana๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ Manara boss๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 Pล™ed 3 lety +5

    Wap Jer Mulo kiboko wa Aji manara Nmekumis Bro โœ”๏ธโœ”๏ธโœ”๏ธโœ”๏ธ!!

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 Pล™ed 3 lety

    Safi sana, hao umewapasha akina baba levo, wanotafuta umaarufu kwa kukashifu mwingine, washindwe na walegee,ila Haji Pima mazungumzo usivuke mipaka ya Mwenyezi Mungu, naogopa keshotutakwenda jibu mini?

  • @edwinkiemba7178
    @edwinkiemba7178 Pล™ed 2 lety

    Wewe jina lako Zawadi Manara. Hongera chapa kazi

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Pล™ed 3 lety +6

    Subhana Allah sijui hichi kitabu kitukufu cha qur.aan watu wengine wanakichuliaje mpaka kufaninisha na binadamu kisa msemaji wa mpira lakini Allah ameshakitukuza hakuna wa kukishusha๐Ÿ˜ž๐Ÿ˜ž

  • @JohnMartin-ml3qf
    @JohnMartin-ml3qf Pล™ed 3 lety

    Haji manara umenikosha moyo Sana bhana .baba levo hajielewi hata kidogo kichwa kimejaa maji matupu.kwenye soka Mimi nakulinganish na morinyo tu. Nasio Huyo mganga njaa baba levo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

  • @davianofficial6972
    @davianofficial6972 Pล™ed 3 lety +2

    Yesssss ni Kama ukitaka kuwa msanii lazima ushindanishwe na diamond platnumz atar

  • @abdillahjuma8474
    @abdillahjuma8474 Pล™ed 3 lety +5

    Ucfananishe Qur an na Mamb ya ajabu haji

    • @hishamally4846
      @hishamally4846 Pล™ed 3 lety +1

      Hapo umetelenza bro maneno ya mungu sio sawa na mpira

    • @abdillahjuma8474
      @abdillahjuma8474 Pล™ed 3 lety

      @@hishamally4846 Ndio nmemaanish hvi bro

    • @ustadhyusuph1513
      @ustadhyusuph1513 Pล™ed 3 lety +1

      Usijisahau mwenyeezmungu nimuweza juuya kilakitu

  • @othmanali5943
    @othmanali5943 Pล™ed 3 lety +1

    Daaaa asrahafiru llah manara usijisahau daaa pumz isikuhadae

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai5063 Pล™ed 3 lety

    haji br nakukubali sn

  • @user-xh7vw4kk7o
    @user-xh7vw4kk7o Pล™ed 3 lety +8

    Wcb 4 life baba levo ni waku sema sema ovyo na haji kasema vizuri sana

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 Pล™ed 3 lety +10

    This Guy Is Very Smart ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†..Shida Yake Ana Tabia Yan Kupanick Akizidiwa

    • @IJUE_BIBLIA
      @IJUE_BIBLIA Pล™ed 3 lety

      Iyo ndio shida yake

    • @salehal-jabry3102
      @salehal-jabry3102 Pล™ed 3 lety +2

      Kutukana wenzake na kujisifia siyo u-smart. Mtu anafika level ya kusema kuwa kumfananisha na binadamu mwezie ni sawa na kuchana Quraan... heh?!? Kajiona mtume?

    • @yeboclassic9058
      @yeboclassic9058 Pล™ed 3 lety

      czcams.com/video/8bs_9VGV_0k/video.html

    • @paskantymr1368
      @paskantymr1368 Pล™ed 3 lety

      @@salehal-jabry3102 hyo ni kufuru mzee ata mtume hana ukubwa wowote ktk kitabu kitukufu ukweli ndo uwo dini na mtume bora nani ilo swali mtume alilia dini ni bora kuliko yy

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 Pล™ed 3 lety

      Shida ya watanganyika wanapenda sana kujisifu na kujimwambafai tofauti na mataifa mengine lkn kiuhalisia ukifanya vizuri ktk jambo usijisifu bali jamii iliokuzunguka ndio itakusifu kujisifu wewe mwenyewe ni ujinga na upuuzi

  • @wilbertthomas8357
    @wilbertthomas8357 Pล™ed 3 lety +26

    ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚ukitaka kung'aaa kwenye mziki Basi lazima umseme diamond plutnumz

  • @fimbodaddy
    @fimbodaddy Pล™ed 3 lety +18

    Nikama msanii kupambana pambana na Diamondi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

  • @sophiasalim4552
    @sophiasalim4552 Pล™ed 3 lety

    Asante sana hajji manara

  • @abdillahnerotic2129
    @abdillahnerotic2129 Pล™ed 3 lety +1

    Bangi izo Manara #Quraan dah

  • @romakoko2292
    @romakoko2292 Pล™ed 3 lety +5

    Tusitupe chawa wetu mkuu

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 Pล™ed 3 lety +3

    Baba levo kilopolopo hajui kubalance maneno yake shenzi yule

  • @allynassor9127
    @allynassor9127 Pล™ed 3 lety +1

    Heshimu Qur an

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 Pล™ed 3 lety +16

    Baba levo huyu ni mropokaji sana๐Ÿ˜ถ
    Akili yake huwa haiwezi kuchuja ni nini anataka kusema.

  • @theogasttv1922
    @theogasttv1922 Pล™ed 3 lety +8

    May 8 Yanga Will end in tears.....

  • @ramadhanmaulid4088
    @ramadhanmaulid4088 Pล™ed 3 lety

    Daaah, umenikera Sana kuitaja Quran kwenye mifano ya ajabu., fanya toba kwa hili kabla umauti hauja kufikia.

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed8971 Pล™ed 3 lety +4

    Haji unapendwa sana naamin hata mashabiki wa tim pinzani yanga wanapenda utani wako lakini daah inauma sana kuona unashusha thamani ya qurani katika hadhara kiasi hiki. Najua inaweza kuwa kibinadam si sawa ila akumbushwe kwa uzuri inawezkana akakubali na kutofananisha haya mambo na vitab vya dini

  • @immamk678
    @immamk678 Pล™ed 3 lety +16

    Baba levooo hahahaha mjinga kweli mwambien ajifunze kubalance shobo bac nyie c ni watu wake

  • @jumaahmad1348
    @jumaahmad1348 Pล™ed 3 lety +3

    Astaghafiru lllah mamaaaaaaaaa mm nafanya dhambi lakin sjawah kujifnanisha na quran

    • @mwanaeshahusein9376
      @mwanaeshahusein9376 Pล™ed 3 lety

      Huyu jamaa anaona anachekesha amekufuru sn.ajifanya ajua mpira angekua ulaya bc

  • @mwanaeshahusein9376
    @mwanaeshahusein9376 Pล™ed 3 lety +1

    Heshimu quran unathamani gn km quran.km wajua kweli mpira ungekua ulaya

  • @whizzem
    @whizzem Pล™ed 3 lety +3

    wa kwanza

  • @husnamiraj9252
    @husnamiraj9252 Pล™ed 3 lety

    Wanataka Kiki manara awamuezi kuna manara1 tu tz na afrika nzima manara hbr nyengine ww ucfananishe na vi2 vya ovyo ovyo

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 Pล™ed 3 lety +3

    Babalevo ni snitch kuanzia Leo afanye cho chote siwezi kumuelewa tena.

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Pล™ed 3 lety +2

    *Haji usipende kunasibisha Qur-an na kitu chochote kwani qur-an ni maneno ya Allah direct nakuomba uchunge kauli zako uropokaji wako wote chunga sanaa kunasibisha maneno ya Mungu nimekufatilia sana sana kauli zako huwa unapenda sana kutumia maneno kama hayo.. chunga kauli zako Mungu hategemei walinzi yy ulinzi ni wake mwenyewe anaweza kukuumbuwa dakika ikawa kubwa...piga mdomo ndio kazi yko but usinasibishe masuala ya Mungu na wanaadamu tulio jaa dhabi*

  • @kombosalimhamad8353
    @kombosalimhamad8353 Pล™ed 3 lety

    Mda mwengine ni vyema kufukiri kabla kusema maneno mengine mnatufanya tuwachukie musitoe mifano ktk dini haipendezi ni kama munaifanyia dini mzaha Kaka Haji Manara uchunge ulimi wako usipitilize

  • @salehal-jabry3102
    @salehal-jabry3102 Pล™ed 3 lety +1

    Baba Levo ana nogesha mashindano... huyu jamaa ana dharau na anaskia sana!

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Pล™ed 3 lety

    100 mzee umeupiga nje hapo...watanzania kuna vipaji vingi sana kesho tu asubuhi utasikia mtu katoka Mpanda msemaji mzuri kuliko wewe kwanza habari za wasemaji wa Timu zipo Simba na Yanga tu...Namfahamu Doctor Rick

  • @daudkhatib81
    @daudkhatib81 Pล™ed 3 lety

    Mkisifaa

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Pล™ed 3 lety +7

    Wacha tusubiri akirudi kwa Shishi

  • @Kachaa254
    @Kachaa254 Pล™ed 3 lety

    Haji kama HAJJI๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ, kwani chawa mwenyewe anasemaje kuhusu hii ishu ๐Ÿค”??๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnawapenda sana ndugu zangu ๐Ÿ™๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Pล™ed 3 lety

    Pumbavu we miaka mia duuu

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Pล™ed 3 lety +1

    Kuitaja Qur'an katika suala la mpira hapo hajji umekosea!!

  • @harrisjackson592
    @harrisjackson592 Pล™ed 3 lety

    Dakika 90 ndo zinatoa matokeo kamili

  • @ngwalshame5266
    @ngwalshame5266 Pล™ed 3 lety

    Duh htr sn "

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 Pล™ed 3 lety +1

    Haji manara shika adabu yako. Quran haifananishiwi na wapuuzi kama nyie. Kitabu kitukufu sana

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 Pล™ed 3 lety

    Nashaur baba levo apimwe akil

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Pล™ed 3 lety +1

    Kwel hil ukuwe
    Kimzik inatakiw ushindane
    Na diamond platinumz

  • @jacksonletema6071
    @jacksonletema6071 Pล™ed 3 lety

    Ni kweli hamfanani na sio baba levo tu hata hao ulokaa nao hamfanani

  • @barrymichael9221
    @barrymichael9221 Pล™ed 3 lety

    Hakuna siku ume fanya upumbavu kama huu yaaani una fananisha u k na Qur'an

  • @mfaumemaurid9596
    @mfaumemaurid9596 Pล™ed 3 lety +5

    Wewe jomba heshim quran Bob haujastanch Kwanza mchonyon mavi top nn unaongea zungu

  • @SHININGFILMTV
    @SHININGFILMTV Pล™ed 3 lety +2

    Hahahahahaa haji

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 Pล™ed 3 lety +1

    Baba levo mshaba sana

  • @simeonbreezyvevo9745
    @simeonbreezyvevo9745 Pล™ed 3 lety +6

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Pล™ed 3 lety

    Haji ni jeuri sana!

  • @rajabukidanka4957
    @rajabukidanka4957 Pล™ed 3 lety +1

    Chizi manara acha upuuzi wa kuizungumza qur'an kweny mambo ya hovyo

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji1133 Pล™ed 3 lety

    Hahahaha Manara bhana...

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 Pล™ed 3 lety +1

    Don't play with Holly Quran

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Pล™ed 3 lety

    Ww ujielewi unajifananisha na QUR'AN kweli ww ujielewi ndg yangu Allah akuongoze ktk haki

  • @paulmawirakinyu2688
    @paulmawirakinyu2688 Pล™ed 3 lety +5

    Nani amesikia lazima upambane na diamond platinumz....

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Pล™ed 3 lety

    baba levo kakutana na shombo kuu

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 Pล™ed 2 lety +1

    MANARA umevuka mipaka usiitaje QURAANI ktk upuuzi

  • @feintmwashikumbulu8097
    @feintmwashikumbulu8097 Pล™ed 3 lety +1

    Nawe lazima uitaje yanga

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed8971 Pล™ed 3 lety +1

    Kuna wakat haji anazungumza kitu cjui ni katika ubinadam unapofananisha au kutoa mfano kwa kutumia qurani sijui tunakipa kitabu chetu kama waislam hadhi gani. Hivi kweli thaman ya haji kwenye mpira inaweza kuwa sawa na binadam kuchana msahafu kweli haji? Na umesoma
    HAJI MSEMAJI WA SIMBA = QURANI
    Hii Haji unakidhalilisha kitabu chetu si sahihi

    • @hamisiwamikiawanaliwatuham8179
      @hamisiwamikiawanaliwatuham8179 Pล™ed 3 lety

      Huyu jamaa hajitambui sio siri hata mie nimestuka sana kuichana qoroan kweli waislam ndio tunaouchafua uislam yeye nani ajifananishe na kitabu kutukufu akapimwe akili huyu

    • @williamwilifred6563
      @williamwilifred6563 Pล™ed 3 lety

      Da unaizalilisha Yanga yani chawa kamaww ukawemsemaji wayanga

    • @binalawi3519
      @binalawi3519 Pล™ed 3 lety

      Haji unajisahau umekua namaneno ya ajabu watu wanakuachia unawatukana watu wana nyamaza tu sasa unaingia kwa mungu naipo siku huyu atawatukana hadi wakubwa kwenye nchi hii anadekezwa hachukuliwi hatua hayo ynakuja utukufu was qur an unajifananisha sijakuelewa au unataka kuchanganyikiwa

  • @bronzekaylow1298
    @bronzekaylow1298 Pล™ed 3 lety +1

    Hivi Kenya tutaweza kutazamaje mchanange huu

  • @antonjohn8865
    @antonjohn8865 Pล™ed 3 lety

    Manara mama levo wote pimbi

  • @bovickpascal6554
    @bovickpascal6554 Pล™ed 3 lety +2

    Babalevo ana ropoka ropoka nikama kasuku he doesn't know anasho kuongea ana mahanisha nini

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Pล™ed 3 lety +1

    We zelu zelu usifananishe kitabu cha dini na wewe mpuuzi mkubwa wewe

  • @hadijamgamba4397
    @hadijamgamba4397 Pล™ed 3 lety +3

    Atakuwa kifafa kinauanza awahiwe haraka Sana ,,,,

  • @feintmwashikumbulu8097
    @feintmwashikumbulu8097 Pล™ed 3 lety

    Kama mnavyotaka kuwa Kama Yanga lazima uiseme Yanga ili unulikane

  • @williamnkobi1798
    @williamnkobi1798 Pล™ed 3 lety

    fahamu kiingereza ndani ya wiki tatu tu. kutana na mtaalam wa kiingereza Master English. atakufundsha popote ulipo dsm. hii ni special offer offer wahi nafasi ni chache. 0686187225

  • @frankg.heavenly2475
    @frankg.heavenly2475 Pล™ed 3 lety

    Kumbe na we we unatembea juu ya mgongo wa Yanga

  • @hassanbakari7813
    @hassanbakari7813 Pล™ed 3 lety +2

    Manara wewe

  • @jastinesamboto4674
    @jastinesamboto4674 Pล™ed 3 lety

    Acha hizo, brother unawaaminisha wenye akili ndogo kuwa wewe ni zawadi kiasi hicho, miaka mingapi? Ndani ya Simba sawa Ila binafsi sijaona Cha maana Sana unachofanya zaidi kuropoka tu.

  • @ivandaniel320
    @ivandaniel320 Pล™ed 3 lety

    Dh

  • @unathanmakenge937
    @unathanmakenge937 Pล™ed 10 mฤ›sรญci

    ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

  • @MathiasDudu-p5p
    @MathiasDudu-p5p Pล™ed 18 dny

    Mm ni simba ila alchokixema manala nisahihi huyu babalevo ni chawat

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Pล™ed 3 lety +1

    Tatizo wasemaji wa utopolo wanadhani ni usemaji kama haji ni kama Upiga debe stand thubutu!!!

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 Pล™ed 3 lety

    Una lolote haji umepata mhahooo

  • @TheAsominator
    @TheAsominator Pล™ed 3 lety

    Hahahaha๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 Pล™ed 3 lety

    Domo ugolo

  • @allynassor9127
    @allynassor9127 Pล™ed 3 lety

    Ucjicfu Ngoja ucfiwee

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary6563 Pล™ed 3 lety

    Kama kuchan quran sas wew ndio unakufur sw

  • @ulimbombonaulindi5088
    @ulimbombonaulindi5088 Pล™ed 3 lety

    Unajilinganisha na Quran? Duh, huyu jamaa mropokaji.

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 Pล™ed 3 lety

    Ni kama kuchana Qur'an .huyu ni mlevi

  • @hassanmichael7068
    @hassanmichael7068 Pล™ed 3 lety

    Huyu zeruzeru ana akili mbaya sana huenda sio mzima wa akili sasa Quran inahusiana vipi na mambo ya kipuuzi hayo

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 Pล™ed 3 lety

      Haijui thamani ya quraan ndio likalopokwa ovyo lau kama anaijua qur aan thamani yake asingelopokwa

  • @rukkynassor2279
    @rukkynassor2279 Pล™ed 3 lety

    ASTAGHFIRULLAH yani ww wajifananisha na quraan .ati km quraan kuichana chana.wajiropokea tu .uchunge ulimi wako quraan sikitu cha kuchezewa kabisa .heshimu .utakuja pata tabu sana.chezea babalevo but usicheze na MUNGU kabisa.akikufunga mikojo utalia mpaka utakoma

  • @longothedony711
    @longothedony711 Pล™ed 3 lety

    Manara hana jambo

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 Pล™ed 3 lety

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @omaryally436
    @omaryally436 Pล™ed 3 lety

    Wewe chizi na Utaraanika mbwaa wewe

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Pล™ed rokem

    Usiingize Qur'an katika Mambo yako ya kijinga,,,

  • @striderderulo4407
    @striderderulo4407 Pล™ed 3 lety

    ACHA KUITHAMINISHA QUR-AN na MAMBO YA KIJINGA wewe..?

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRU Pล™ed 10 mฤ›sรญci

    Acha ujinga zawadi ya wajinga wenzio

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 Pล™ed 3 lety

    Usifananishe kuluani na mambo ya kijinga wewee ๐Ÿ˜ 

  • @tanzaniaupdate4700
    @tanzaniaupdate4700 Pล™ed 3 lety +4

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @unathanmakenge937
    @unathanmakenge937 Pล™ed 10 mฤ›sรญci

    ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

  • @benardboaz6347
    @benardboaz6347 Pล™ed 3 lety

    Manara hakuna kitu polojotu wote mnatetea ugari tena wa sembe.

    • @officialfredoo3549
      @officialfredoo3549 Pล™ed 3 lety +1

      Bernad wee n mkundu 2 Nan kakwambia manara anateyea ugali,,,baba levo anaujua mpira gan ,,,,

  • @omaryally436
    @omaryally436 Pล™ed 3 lety

    Wewe chizi na Utaraanika mbwaa wewe

  • @husseinmasangya1272
    @husseinmasangya1272 Pล™ed rokem +1

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @benardboaz6347
    @benardboaz6347 Pล™ed 3 lety

    Manara hakuna kitu polojotu wote mnatetea ugari tena wa sembe.